Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Shule ya Wasichana Yafungwa kwa Dharura kwa Kuwepo Tuhuma za Vitendo vya Ubakaji

$
0
0

Shule ya sekondari ya Wasichana ya Moi nchini Kenya imefungwa kwa dharula kwa muda wa wiki moja, baada ya kuwepo kwa tuhuma za vitendo vya ubakaji.

Katibu wa Tume ya Elimu Amina Mohamedi ametoa agizo la kufungwa kwa shule hiyo asubuhi ya leoJuni 3, baada ya kufanya kikao na uongozi wa shule hiyo, ambayo imekutwa na tukio la ubakaji.

Katibu huyo amesema kwamba serikali inajipanga kuweka ulinzi shuleni hapo, huku ikijiandaa kufanya hivyo kwa shule zingine ili kuzuia vitendo kama hivyo visijitokeze tena.

Shule ya hiyo ambayo hivi karibuni ilikumbwa na tukio la ajali ya moto, imekumbwa na tukio la ubakaji baada ya mtu mmoja kuingia bwenini na kubaka wanafunzi watatu

Rais Magufuli Asikitishwa na Kifo Cha Mapacha Waliokuwa Wameungana, Asema Haya!

$
0
0

Leo June 3, 2018 Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia, Masista wa Maria Consolata na wote walioguswa na kifo cha mabinti mapacha walioungana Maria na Consolata Mwakikuti waliofariki dunia jana jioni katika hospitali ya Mkoa wa Iringa.
Rais Magufuliwa aliwatembelea Maria na Consolata walipokuwa wakipata matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam January 6, 2018.
Pamoja na kuwapa pole Maria na Consolata waliongoza sala ya kuliombea Taifa na Viongozi wake.
Rais Magufuli anasema anatambua kuwa Maria na Consolata walikuwa na ndoto kubwa ya kuja kulitumikia Taifa baada ya kumaliza Chuo Kikuu cha Masista wa Consolata Ruaha (RUCO) walikokuwa wakiendelea na masomo yao, lakini haikuwa hivyo.


Maria na Consolata walikuwa watoto yatima, na walikuwa wakilelewa na kusomeshwa na Masista wa Maria Consolata wa Kanisa Katoliki.

Maswali yazuka Baada ya Aslay Kupiga Picha Kwenye Mjengo Matata, Je Huu Ndo MJengo wa Aslay??

$
0
0

Hivi karibuni millardayo.com na Ayo Tv zilifanya mahojiano na muimbaji Aslay ambaye alisema kuwa pesa ya kubadilishia mboga anayo na ikiwemo gari yake aina ya BMW na nyumba ya kuishi, sasa leo June 2, 2018 mkali huyo kutokea bongoflevani ametuonesha picha za mjengo mkali na yeye akiepo.

Je hii ndo nyumba ya Aslay tunayoisikia…? millardayo.com inakukaribisha kutazama baadhi ya picha alizotuonesha mkali huyo kupitia ukurasa wake wa Instagram…..>>>”Mambo Mawili Huonesha Picha Yako Halisi (1) Subila Yako Ukiwa Huna Kitu (2)Mwenendo Wako Pindi Unapokuwa Na Kitu, Kila Hatua Dua #dingimtoto“ – ASLAY



Sugu Kuachia Wimbo Mpya Baada ya Kutoka Gerezani, Apanga Kuupa jina la namba yake ya mfungwa

$
0
0

Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amesema wakati wowote kuanzia sasa anatarajia kuachia wimbo wake mpya alioupa jina la 219, ambayo ni namba yake aliyopewa wakati akitumikia kifungo cha miezi mitano katika Gereza Kuu la Ruanda, Mbeya.

Sugu ambaye ni msanii wa Hiphop anaachia wimbo huo ikiwa zimepita siku 25 tangu alipotoka gerezani kwa msamaha wa Rais John Magufuli, Mei 10, 2018.

Akizungumza na MCL Digital leo Jumapili Juni 3, 2018, Sugu amesema maandalizi yote yamekamilika, “maandalizi na kila kitu kipo poa na soon (muda si mrefu) nitautoa wimbo wangu nilioupa jina la 219.”

“Nimeimba mimi mwenyewe wimbo na nimezungumzia hali ya nchi, experience (uzoefu) yangu niliyoipata gerezani na mambo mengine, ni ngoma nzuri kabisa.”

Alipoulizwa sababu za wimbo huo kuupa jina la namba yake ya mfungwa amesema, “kwa kuwa hii ni namba inajulikana nchi nzima na kwa kuwa wanaitambua, tunawapelekea wimbo kupitia hii namba.”

Sugu amesema alipokaa gerezani amejifunza mambo mengi na kupitia majukwaa yake mawili ya siasa na muziki, atayatumia kufikisha ujumbe kwa wananchi.

“Namshukuru Mungu mimi nina majukwaa mawili, nikiona katika siasa kazi natumia jukwaa la muziki kufikisha ujumbe. Kwa hiyo wakibana katika siasa napiga muziki,” amesema.

Mikopo ya Wanafunzi wa Diploma Yasitishwa

$
0
0

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesitisha mpango wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wanaosoma stashahada (diploma) kuanzia mwaka wa masomo 2018/19 kama ilivyotangaza awali.

Hayo yameelezwa leo Jumapili Juni 3, 2018 kupitia taarifa ya bodi hiyo iliyotolewa na mkurugenzi mtendaji wake, Abdul Razaq Badru.

Taarifa hiyo inasema hatua hiyo imechukuliwa ili kuhakikisha kiasi chote cha Sh427.5bilioni zilizotengwa kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi kwa mwaka 2018/19 zinaelekezwa kwa wanafunzi wenye mikopo hivi sasa na waombaji wapya, wahitaji ambao wana sifa za kujiunga na kozi za shahada tu ambao ndio walengwa wakuu.

“Tunatoa wito kwa wanafunzi wote wenye sifa za kujiunga na masomo ya shahada katika taasisi za elimu ya juu na ambao ni wahitaji wa mikopo kuhakikisha wanasoma kwa makini mwongozo wa utoaji mikopo na kuuzingatia. Mwongozo unapatikana katika tovuti ya HESLB,” inaeleza.

Taarifa hiyo inafafanua kuwa kwa takwimu za mwaka 2017/18, takribani maombi 10,027 ya mikopo yaliyowasilishwa HESLB yalikuwa na upungufu kama kutosainiwa, kutokuwa na viambatanisho sahihi na mambo mengine.

Mei 10, 2018 bodi hiyo ilitoa mwongozo unaosimamia utoaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/19, mwongozo huo pamoja na mambo mengine, unaeleza kuwa bodi hiyo itaanza kutoa mikopo kwa wanafunzi wa stashahada na kuwa mwongozo kuhusu utaratibu wa kuomba mikopo hiyo ya wanafunzi wa stashahada ungetolewa baadaye.

Aina 6 ya Vyakula Vyenye Kuongeza Nguvu na Kuimarisha Kinga ya Mwili

$
0
0

Unapozungumzia vyakula vyenye kuongeza nguvu na kuimarisha kinga ya mwili basi huna budi kwanza kuzingatia lishe bora na mpangilio mzuri wa ulaji kwani kila kitu kikizidi mwilini huwa ni tatizo.


Vyakula huvi husaidia kuimarisha kinga ya mwili pia husaidia kulinda mwili usipatwe na magonjwa. Vipo aina na hivi ni moja ya vyakula hivyo.

1.Yogurt ( Maziwa mtindi )
Unywaji wa maziwa ya mtindi husaidia kuweka mwili katika kinga ya magonjwa kama UTI, Fangasi na mengineo kwani maziwa hayo yanasaidia kuogeza Kinga ya mwili.

2. Matunda
Katika mlo wako wowote jitahidi usiache kujumuisha angalau tunda la aina moja. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, mtu asiyekula matunda anahatari kubwa zaidi ya kupata magonjwa zaidi ya mlaji wa matunda.

3. Supu ya kuku
Wengi watahisi ni gharama lakini si kubwa kuzidi gharama ya kumuona daktari! Unywaji wa supu ya kuku ya moto husaidia kuzuia kupungua kwa seli nyeupe za damu vilevile hupunguza uwezekano wa kupata matatizo yanayohusiana na mapafu na mfumo wa hewa kiujumla!

4. Viazi vitamu
Unaweza kuhisi ngozi sio sehemu ya muhimu katika kinga ya binadamu lakini ukweli ni kwamba ngozi ni sehemu ya muhimu sana kwa mwili wa binadamu. Kwa kinga kamili ya mwili wa binadamu tunahitaji Vitamin A ambayo hupatikana kwa wingi kwenye viazi vitamu.

5. Samaki
Walaji wa samaki wapo katika kundi la kutopata magonjwa yanayosababishwa na hewa kwa ulaji wa samaki husaidia seli nyeupe kuzalisha ctokins zinatohusika kuzuia baadhi ya magonjwa yanayosababishwa na virusi hasa yale yanayohusiana na mfumo wa hewa.

6. Matikiti/Maji
Kwa kuwa tunda hili lipo katia asili ya kuwa na maji basi sio vibaya kuliweka hapo. Tikiti ni tunda ni muhimu sana katika afya ya kila siku ya binadamu kwani husaidia kuongeza kiasi cha maji mwilini, madini chuma na kuimarisha seli nyeupe za damu

Je Una Upungufu wa Nguvu za Kiume? Unakosa Hamu ya Tendo au Maumbile Madogo?

$
0
0

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

kocha Minziro alalamika kutotendewa haki na kudhalilishwa.

$
0
0

Baada ya klabu ya soka ya Kinondoni Municipal Council FC kumchukua kocha Ettiene Ndayiragije na kumtema kocha aliyeipandisha ligi kuu Felix Minziro, kocha huyo amelalamika kutotendewa haki na kudhalilishwa. 

Minziroa ambaye pia aliipandisha Singida United kisha kuachwa na kuchukuliwa kocha Hans Van Pulijm amesema ameshangazwa na uamuzi uliochukuliwa na Manispaa hiyo na kuongeza kuwa walichokifanya ni sawa na kumdhalilisha. 

"Hawajanitendea haki, waliniita siku moja kabla na kunieleza kuwa wanaachana na mimi lakini ndani ya muda mfupi wakamtangaza kocha mpya, maana yake walikuwa na mipango chini chini na huo ni nudhalilishaji kwa kocha laiyetumia nguvu nyingi kuipandisha timu'', amesema. 

Kuondolewa kwa Minziro kwenye benchi la ufundi la KMC inamfanya sasa ajiwekee rekodi ya kuwa kocha aliyepandisha timu kwa misimu miwili mfululizo kisha kufukuzwa kazi na timu hizo. 

Mbali na KMC timu nyingine ambazo zimepanda kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao ni pamoja na JKT Tanzania, African Lyon zote za Dar es salaam, Coastal Union ya Tanga, Alliance FC ya Mwanza na Biashara United ya Mara.

Mwenyekiti mstaafu Bavicha awatuhumu vyama vya Upinzani kwa Ufisadi

$
0
0

MWENYEKITI mstaafu wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Patrobas Katambi amevituhumu vyama vya siasa vya upinzani kuwa huko nako kuna wanasiasa mafisadi na wabadhirifu wa fedha za umma. 

Amesisitiza ni jambo la kushangaza pamoja na wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani kuwa mafisadi bado wameendelea kunyoosha vidole kwa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wakati kwenye upinzani kuna ufisadi mkubwa unafanyika. 

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam Katambi ambaye kwa sasa ni kada wa CCM amesema kuna utafiti ambao umefanyika na kubaini kuna ufisadi mkubwa ambao unafanywa na baadhi ya wanasiasa wa upinzani na anayo orodha ya wanasiasa 11 wanaongoza kwa ufisadi huo. 

Katambi ambaye pia kitaaluma ni mwanasheria amesema inasikitisha kuona jamii inakaa kimya wakati kuna wanasiasa wa upinzani wakiendelea kufanya ufisadi.“Tena baadhi yao wamekuwa wakijipambanua kuwa ni wazalendo na waadilifu lakini ukweli ndio wanaoongoza kwa ubadhirifu wa fedha za Watanzania.Ninayo majina 11 ya wanasiasa ambao wapo upinzani na wanaongoza kwa ufisadi.Kwa sasa sitataja majina yao ili wasivuruge ushahidi,”amesema Katambi. 

Wakati anazungumzia wanasiasa hao wanaoongoza kwa ufisadi ameanza kwa kumtaja mwanasiasa namba moja kwa ufisadi nchini(akataja) huku akimtuhumu kwa kuonesha nyaraka mbalimbali.Amesema wanasiasa wa upinzani wamekuwa mstari wa mbele kunyoosha vidole pindi wanaposikia kuna masuala ya ufisadi au ubadhirifu wa fedha upande wa CCM na inapotokea upande wao wanakaa kimya. 

Amesema uzuri wa CCM inapoona kuna mambo hayaendi sawa na kuna ubadhirifu au ufisadi eneo fulani wanachukua hatua kwa vitendo tofauti na upinzani ambao kuna wanasiasa wengi mafisadi lakini wanajifanya wasafi. 
Hivyo ameomba haki itendeke pande zote na yupo tayari kwenda mahakamani iwapo anaowatuhumu watashindwa kuthibitisha tuhuma hizo huku akitaka hatua kali zichukuliwe dhidi ya mafisadi waliopo upinzani. 

“Nchi yetu tumepewa na Mungu ,utajiri wa rasilimali za kila aina , ila watu wake ni masikini na nchi ni masikini kiuchumi.Sababu kubwa ni makosa ya aina ya siasa, mfumo na uongozi katika uamuzi , mipango , utekelezaji ,rushwa na mgongano kati ya maslahi binafsi na uzalendo (ufisadi),”amesema Katambi. 

Ameongeza ugonjwa wa kukosa uzalendo na uaminifu ndio chanzo cha Serikali ya CCM ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dk.John Magufuli kuamua kufanya uchunguzi na mabadiliko katika sheria , mifumo miundo na utendaji ili kuinusuru nchi yetu na taasisi washirika kiuchumi. 

“Bila upendeleo wa utoaji taarifa ,vyombo vya habari kwa niaba na faida ya Watanzania leo wajue wapo mafisadi wakubwa kutoka vyama vya upinzani , walipata wapi uhalali na uhodari wa kuchambua na kutuhumu wenzao kwa ufisadi .“Sio vibaya nao Watanzania wakawajua na kutoa hukumu bila upendeleo ili kuisaidia nchi kupata viongozi wazalendo wa kweli,”amesema.

Sugu kuachia kazi yake mpya itakayotambulika kwa namba yake ya jela

$
0
0

Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) ambaye pia ni msanii nguli na mkongwe kwenye game ya hip hop ya bongo, anatarajia kuachia kazi yake mpya hivi karibuni aliyoipa jina la namba yake ya jela, 219. 

Sugu anaachia wimbo huo ikiwa zimepita siku 25 tangu alipotoka gerezani kwa msamaha wa Rais John Magufuli, Mei 10, 2018, na kusema kwamba wimbo huo utabeba mambo mbali mbali aliyokutana nayo akiwa jela kama mfungwa. 

“maandalizi na kila kitu kipo poa na soon nitautoa wimbo wangu nilioupa jina la 219, nimeimba mimi mwenyewe na nimezungumzia hali ya nchi, experience yangu niliyoipata gerezani na mambo mengine, ni ngoma nzuri kabisa”, amesema Sugu. 

Sugu amesema ameamua kuita jina hilo la namba yake ya ufungwa kwa sababu ni namba inayojulikana nchi nzima.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya June 4

$
0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya June 4

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Wasiliana nasi kwa sim no 0717702227 au 0754568767.DR . SAGUDA nyote mnakaribishwa

Mama Kanumba Acharuka Baada ya Kusikia Lulu Michael Anaolewa

$
0
0
WAKATI maandalizi ya harusi ya mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ yakiwa yamepamba moto chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, mama mzazi wa aliyekuwa mwigizaji maarufu wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amecharukia tukio hilo.

 Mama Kanumba amefunguka kuwa, endapo atapelekewa kadi ya mwualiko wa harusi hiyo hawezi kwenda kwa sababu tangu atoke gerezani hawajawahi kuonana wala kusalimiana naye.

Mama Kanumba aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, hata hiyo habari yenyewe ya Lulu kuolewa na Francis Shiza ‘Majizo’ anaisikia kwenye vyombo vya habari na kwamba hajui lolote.

Alisema kuwa, anajua wazi kwamba si rahisi kwa wahusika kumpelekea mualiko huo nyumbani kwake.

“Kwanza hiyo habari yenyewe nimeisikia kwenye vyombo vya habari, lakini mimi sijui kabisa kama wanaweza kuniletea hiyo kadi ya mwaliko na hata wakiniletea siendi.

“Najua itakuwa ngumu tu katika mazingira tuliyopitia sisi, kwanza mimi sasa hivi muda mwingi ninajikalia nyumbani tu kutoka na maradhi yangu haya presha,” alisema Mama Kanumba.



Hivi karibuni, Makonda alitangaza kuwa mwenyekiti wa shughuli hiyo ya harusi ya Lulu inayotajwa kuwa itakuwa ya kihistoria mara tu baada ya staa huyo kumaliza kifungo chake cha nje anachokitumikia kwa sasa baada kukutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia Kanumba ambaye alikuwa mwandani wake.

Stori: Imelda Mtema, Dar

Yanga waidhalilisha Tanzania nchini Kenya...Yanga yaamrishwa kurudi nyumbani Baada ya

$
0
0

Kichapo cha mabao 3-1 ilichopata Yanga jioni huu kutoka kwa Kakamega Homeboys ya Kenya, kimeilazimisha timu hiyo kurejea nchini baada ya kuondolewa kwenye michuano ya SportsPesa Super Cup inayoendelea nchini Kenya.

Yanga imefungwa mabao hayo katika mchezo wa kwanza wa mashindano hayo ambayo yameanzia hatua ya robo fainali hivyo timu inayofungwa ni lazima iage mashindano na kurudi nyumbani kama ambavyo imekuwa kwa Yanga.

Mabingwa hao wa zamani wa Tanzania, waliruhusu mabao 2 - 1 katika kipindi cha kwanza, kabla ya kukubali bao la tatu kipindi cha pili na kuwanyima nafasi ya kwenda kucheza na Everton huko England ambapo nafasi hiyo anaipata bingwa wa michuano hiyo.

Yanga sasa imeshindwa kupata ushindi kwenye mechi 11 kati ya 12 ilizocheza hivi karibuni katika mashindano yote ikiwemo Ligi kuu iliyomalizika Mei 28, Kombe la Shirikisho Afrika pamoja na michuano hii.

Kakamega Homeboys ni timu inayoshiriki ligi kuu ya soka ya Kenya na inashika nafasi ya 9 kwenye msimamo ikiwa imecheza mechi 17, ikishinda 7, sare 3 na kupoteza 7 na ina alama 24.

Muna Afunguka Ndoa na Mwimbaji wa Injili Joel Mwanga

$
0
0
MWIGIZAJI wa Bongo Movu ambaye kwa sasa amezipa kisogo baada ya kuokoka, Rose Alphonce ‘Muna’ amefungukia madai ya kuwa anatoka kimapenzi na staa wa nyimbo za Injili Bongo, Joel Mwanga na kwamba anataka kufunga naye ndoa.

 Akizungumza na Over Ze Weekend, Muna alisema kuwa, ishu hiyo imemchafua yeye na Joel kanisani wanakosali, kwani Joel ni mmoja wa watu waliomfanya hadi sasa kusimama kwenye wokovu na si vingine kama watu wanavyosema.

 “Jamani huyo Joel wanayesema kuwa mimi ndiye mtu wangu wanakosea. Joel ndiye aliyenifundisha wokovu. Kwa kweli maneno hayo ya uwongo yananiuma sana, yanamchafua kaka wa watu bila sababu na kunifanya nionekane wa ajabu bila ukweli wowote,” alisema Muna.

IMELDA MTEMA


Bodi ya Mikopo yasitisha mikopo kwa wanafunzi wa diploma

$
0
0
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuutaarifu umma kuwa imesitisha mpango wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wanaosoma stashahada (Diploma) kuanzia mwaka wa masomo 2018/2019 kama ilivyotangaza awali.

Itakumbukwa kuwa tarehe 10 Mei mwaka huu, HESLB ilitoa mwongozo unaosimamia utoaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019. Mwongozo huo, pamoja na mambo mengine, unaeleza kuwa HESLB itaanza kutoa mikopo kwa wanafunzi wa stashahada na kuwa mwongozo kuhusu utaratibu wa kuomba mikopo hiyo ya wanafunzi wa stashahada ungetolewa baadae.

Hatua hii imechukuliwa ili kuhakikisha kuwa kiasi chote cha TZS 427.5 bilioni zilizotengwa kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi kwa mwaka 2018/2019 zinaelekezwa kwa wanafunzi wenye mikopo hivi sasa na waombaji wapya wahitaji ambao wana sifa za kujiunga na kozi za shahada tu ambao ndiyo walengwa wakuu.

Hivyo basi, tunatoa wito kwa wanafuzi wote wenye sifa za kujiunga na masomo ya shahada katika taasisi za elimu ya juu na ambao ni wahitaji wa mikopo kuhakikisha wanasoma kwa makini mwongozo wa utoaji mikopo na kuuzingatia.

Kwa takwimu za mwaka 2017/2018, takribani maombi 10,027 ya mikopo yaliyowasilishwa Bodi ya Mikopo yalikuwa na upungufu kama vile kutosainiwa, kutokuwa na viambatanisho sahihi n.k.

HESLB ilianzishwa kwa mujibu wa sheria mwaka 2004 na kuanza kazi rasmi mwezi Julai, 2005 ili kutoa mikopo kwa wanafunzi wahitaji na pia kukusanya mikopo iliyoiva kutoka kwa wanufaika.

Imetolewa na:

Abdul-Razaq Badru
Mkurugenzi Mtendaji
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
DAR ES SALAAM

Rais wa Syria Bashar al- Assad kutembelea Korea Kaskazini

$
0
0
Rais wa Syria, Bashar al-Assad anapanga kutembelea nchini Korea Kaskazini,Shirika la Habari la Korea Kaskazini limeeleza.

Itakuwa ni mara ya kwanza kwa Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un kuhodhi ziara ya Kiongozi wa nchi tangu alipoingia marakani mwaka 2011

Hivi karibuni amekuwa na shughuli nyingi za kidiplomasia, kukutana na Rais wa China mwezi Mei na anatarajiwa kuhudhuria mkutano na Donald Trump mwezi huu

Syria, mshirika wa Korea Kaskazini, haijasema lolote kuhusu mpango huo unaoripotiwa.

Nchi hizi mbili zimekuwa zikishutumiwa kushirikiana katika mapngo wa kutumia silaha za kemikali.Lakini nchi hizi zimekana shutuma hizo

Tarehe ya ziara hiyo haijawekwa wazina vyombo vya Korea Kaskazini.

Vilimnukuu bwana Assad siku ya Jumatano akisema ''ninakwenda kutembelea Korea Kaskazini na kukutana na Kim Jong-un."

Uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizi mbili ulianza mwaka 1966 na kutuma vikosi na silaha wakati wa vita vya Arab na Israeli mwezi Oktoba mwaka 1973

Ripoti ya Umoja wa mataifa ilivuja mwezi Februari ikishutumu Korea Kaskazini kwa kufanya safari za meli takriban 40 kuelekea Syria kati ya mwaka 2012 na 2017, meli zinazodaiwa kubeba acid, mipira na bidhaa nyingine zinazodaiwa kuw zinaweza kutengeneza silaha za kemikali.

Assad ameshutumiwa kutumia silaha za kemikali wakati wa vita vya miaka saba nchini humo lakini amekana kuwa na kemikali hizo.

Credit: BBC

Wanaume Kwa Hili Mnatutesa Mnatuvurugia Wadada Wengi

$
0
0
Jamani wanaume wa kizazi hiki cha nyoka sjui mpoje, mkianza mahusiano na mtu mkapeana namba utasikia "Bby una Whatsup" Imo n.k ili uanze kudai picha za uchi na kufanya video calls. Kiukweli wadada wengi tumestukia hilo, na tunapinga vikali no video calls, no se.x pictures at all.

Kama hutaki sauti pita hivii!Kingine msitupangie matumizi ya simu zetu, hujainunua wewe sa kiherehere cha nini, kila saa umenuna"bby simu ipo busy kila saa" haikuhusu!Nunua yako nipe kisha nipangie wakuchati nao.

Picha za uchi BIG NO, USINITUMIE WALA SIKU TUMII. TUKIPANGA MIADI YA KUKUTANA NITAANDAA SEHEMU MIMI NA SIO WEWE, POTELEA MBALI KULIKO UKAFUNGE MI KAMERA ILI UNIREKODI.

KINYWAJI NI JUICE TU, POMBE SITAKII

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Shamsa Ford Awapa Makavu Wakina Aunt Ezekiel

$
0
0
Shamsa Ford Awapa Makavu Wakina Aunt Ezekiel
MWANAMAMA wa Bongo Muvi, Shamsa Ford amewavaa na kuwaponda wakongwe wenzake wa tasnia hiyo kwa maelezo kwamba hawana jipya hivyo kutaka sura mpya kujitokeza kwenye fani hiyo.



Shamsa alifunguka ishu hiyo wiki iliyopita alipokuwa akifanya usahili wa wasanii chipukizi watakaouza nyago kwenye sinema mpya iitwayo Saa Imetimia inayoratibiwa na mdau wa Bongo Muvi na mwanaharakati, Lilian Wassira.



Shamsa aliwataja mastaa wakubwa kama Aunt Ezekiel, Irene Uwoya, Jacqueline Wolper na wengineo kuwa wanashindwa kuonesha jipya kwenye tasnia hiyo na kuwafanya mashabiki kuhamia kwenye sinema za nje.
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images