Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live

SURVEYED PLOTS FOR SALE: Bunju, Mbweni na Mapinga.

$
0
0

SURVEYED PLOTS FOR SALE: Bunju, Mbweni na Mapinga.
Bado viwanja 6 kumaliza mradi wa viwanja vikubwa kwa bei nafuu. anayehitaji piga cm: 0757489709
Bei ni nafuu na unaeza kupunguziwa tena zaidi.
BUNJU: ni sh 22,000 per sqm,
MBWENI (Kiembeni beach) ni sh 22,000 per sqm
MAPINGA ni sh 13,000 per sqm.
Vipo viwanja ukubwa wa sqm 600, 800, 1000, 1200, 1400 na 2400. wahi ukague na kulipia asset.

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Wasiliana nasi kwa sim no 0717702227 au 0754568767.DR . SAGUDA nyote mnakaribishwa

Maria na Consolata Kuzikwa Leo Iringa.

$
0
0
Watu wengi wamejitokeza asubuhi ya leo katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Ruaha-RUCU katika ibada maalumu ya kuwaaga pacha waliokuwa wameungana Maria na Consolata waliofariki mwishoni mwa juma.

Miongoni mwa waliofika ni viongozi mbali mbali wa dini na kiserikali.Baada ya ibada kutakuwa na maandamano ya kuelekea katika makaburi ya Tosamaganga ambapo ndipo miili yao itakapo pumzishwa.Vifo vya Maria na Consolata ambao walikuwa ni wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Ruaha vimegusa wengi hasa kutokana na ujasiri walioonyesha wakati wa uhai wao. Vile vile watakumbukwa kwa ucheshi wao.
i.

Kifo chao kiliwagusa wengi Tanzania, wengi wakituma salamu zao za rambirambi kupitia mitandao ya kijamii.

Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli, ambaye mapema mwaka huu alikutana na pacha hao, alieleza kusikitishwa kwake na vifo vyao.

"Nimesikitishwa na kifo cha Maria na Consolata. Nilipokwenda hospitali waliliombea taifa. Walikuwa na ndoto ya kulitumikia taifa," aliandika Rais Magufuli kwenye Twitter.

Simba Kukutana na Wababe wa Yanga Kesho

$
0
0
Simba Kukutana na Wababe wa Yanga Kesho
Baada ya kuiondosha Kariobangi Sharks FC katika michuano ya SportPesa Super Cup, klabu ya Simba itakutana na wababe wa Yanga, Kakamega HomeBoyz, kesho Alhamis kwenye Uwanja wa Afraha.

Michuano hiyo inayoendelea mjini Nakuru itakuwa inazikutanisha Simba na Kakamega kwenye mchezo huo wa hatua ya nusu fainali itakayoanza majira ya saa 9 kamili mchana.

Kakamega walifuzu kufika fainali baada ya kuifunga Yanga katika ufunguzi wa pazia la mashindano hayo kwa jumla ya mabao 3-1.

Wakati huo Simba nayo ilitinga nusu fainali kwa changamoto ya mikwaju ya penati na kushinda 3-2 dhidi ya Kariobangi Sharks FC.

Jumla ya timu 4 zimetinga nusu fainali ambazo ni Simba SC (Tanzania), Gor Mahia FC (Kenya), Singida United (Tanzania) na Kakamega HomeBoyz (Kenya).

Makonda Awachongea Wakazi wa Dar kwa Makamu wa Rais " Wakazi wa Dar ni Wachafu na Wanatia Aibu"

$
0
0
Makonda Awachongea Wakazi wa Dar kwa Makamu wa Rais " Wakazi wa Dar ni Wachafu na Wanatia Aibu"
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemwambia Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu kuwa wakazi wa Mkoa huo ni wachafu na wanatia aibu.



Makonda ameyasema hayo katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo kitaifa yamefanyika jijini Dar es Salaam kwenye Viwanja vya Mnazi mmoja, ambapo amesema kuwa usafi ni tatizo kubwa katika mkoa huo.

“Usafi ni moja ya tatizo kubwa katika Mkoa wa Dar es Salaam, na kwa kweli tunavyoonekana ni wastarabu na baadhi ya Mikoa mingi wanatamani kuwaona wajanja wa Dar es Salaam, lakini ukweli usiofichika Mh. Makamu wa Rais Dar es Salaam ni wachafu na wanatia aibu,” alisema RC Makonda.

Ndalichako “Maria na Consolata ni Mashujaa wa Taifa”

$
0
0
Ndalichako “Maria na Consolata ni Mashujaa wa Taifa”
"Ni mashujaa wa taifa letu" hiki ndicho alichosema Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako baada ya kutoa heshima za mwisho kwa miili ya pacha walioungana, Maria na Consolata Mwakikuti.

Akizungumza leo Juni 5 mara baada ya kutoa heshima za mwisho kwa miili ya pacha hao, Profesa Ndalichako amesema mashujaa hao wameliacha taifa katika simanzi nzito.

"Mara ya mwisho niliwaona pale Mwaisela wakiwa wodi ya wagonjwa mahututi, inaniumiza mno lakini mapenzi ya Mungu yatimizwe," amesema.

Amesema wizara hiyo imepoteza watu muhimu waliokuwa wakipigania elimu bila kujali ulemavu na namna walivyo.

“Lakini kubwa wametufundisha umoja na upendo. Wamekuwa pamoja kwa miaka 21," amesema.

Bad News: Kichanga cha Miezi Sita Chateketea kwa Moto Kilimanjaro

$
0
0
Bad News: Kichanga cha Miezi Sita  Chateketea kwa Moto Kilimanjaro
Mtoto wa miezi sita, amefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi, kuteketea kwa moto asubuhi ya leo katika eneo la Njia Panda ya Himo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Hamisi Issah, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo Juni 6.

Kamanda Issah amesema, tukio hilo limetokea leo saa 3 asubuhi, wakati mama wa mtoto huyo, akipika vitumbua nje.

“Ni kweli kuna moto umetokea Njiapanda ya Himo na kusababisha kifo cha mtoto wa miezi sita, polisi tunaendelea na uchunguzi ili kubaini chanzo cha moto huo,”amesema Kamanda Issah.

Kisa Chirwa Yanga Yawaita Simba

$
0
0
Kisa Chirwa Yanga Yawaita Simba
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeibuka na kuweka wazi kwamba umewapiga pini wachezaji wake wote kwa kutosajiliwa na timu nyingine za hapa nchini na ikitokea timu ambayo itamsajili nyota wao basi wao watakuwa wamemruhusu mchezaji huyo kufanya hivyo.

Viongozi wa klabu hiyo wapo kwenye mpango wa kuhakikisha wanawazuia wachezaji wao wengi ambao mikataba yao imefika ukingoni wakiwemo Obrey Chirwa, Hassan Kessy na Andrew Vicent ‘Dante’.

Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Hussein Nyika, amesema kwamba licha ya wachezaji wao kumaliza mikataba lakini wanafanya kila hali kuhakikisha kwamba hawasajiliwi na wapinzani wao kutokana na kuwepo kwenye mipango ya kuwatumia katika msimu ujao wa ligi kama ambavyo walivyoambiwa na kocha wa timu hiyo Zahera Mwinyi.

“Licha ya kwamba kuna wachezaji wengi ambao wamemaliza mikataba hapa kwetu lakini tuseme tu tumejiandaa kikamilifu kuona kwamba wanasalia hapa na kucheza kwa msimu ujao kwa sababu kocha anawataka waendelee kubaki kwa ajili ya msimu ujao na michezo ya kimataifa.

“Tunaendelea na mazungumzo na kila mchezaji ambaye amemaliza mkataba ili awepo na sisi lakini ukiona kwamba mchezaji wetu amesajiliwa na timu nyingine yoyote ile basi tambua kwamba tumempa ruhusa ya kufanya hivyo, ila kama siyo basi sura zote zitaendelea kuonekana katika jezi zetu kwa msimu ujao,” alisema Nyika.

Simba walikuwa wanaelezwa kuwa wanamtaka mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa na Papy Tshishimbi kwenye dirisha hili la usajili na hivyo sasa wakiwahitaji lazima waongee na Yanga.

KKKT Yatakiwa Kufuta Waraka Ilioutoa Wakayi wa Pasaka

$
0
0

KKKT Yatakiwa Kufuta Waraka Ilioutoa Wakayi wa Pasaka
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limeelekezwa kufuta waraka lililoutoa wakati wa Pasaka Machi 24 ambao mbali ya masuala ya kiroho, ulitaja changamoto tatu na kuzifikisha kwa waumini.

Changamoto zilizotajwa katika waraka huo uliopewa jina la ‘Taifa Letu Amani Yetu’ na kusainiwa na maaskofu 27 wa kanisa hilo nchini ni hali ya kijamii na kiuchumi, maisha ya siasa, na masuala mtambuka likiwamo suala la Katiba Mpya.

Katika mitandao ya kijamii leo Juni 6, 2018 imesambazwa barua inayoonyesha imeandikwa na Wizara ya Mambo ya Ndani kwenda kwa mwenyekiti /askofu mkuu wa KKKT iliyoandikwa

Mei 30, 2018 ikitoa maelekezo ya kufutwa waraka huo ndani ya siku 10 tangu ilipoandikwa barua hiyo.

Ikiwa na kichwa cha habari ‘Ujumbe wa Baraza la Maaskofu wa KKKT’ barua hiyo inaeleza baraza hilo halitambuliki kisheria katika ofisi ya msajili.

“Unaelekezwa kuufuta waraka husika kwa maandishi na kuujulisha umma kuwa taasisi yako haikuwa na haina uwezo kisheria kufanya kile mlichokifanya. Maandishi hayo yaufikie umma wa Watanzania kwa kupitia vyombo vya habari na njia zingine zilezile zilizotumika kuufikisha waraka ule mliouita ‘Ujumbe wa Baraza la Maaskofu KKKT’. Maelekezo haya yatekelezwe ndani ya siku kumi tangu kupokea kwa barua hii vinginevyo hatua kali zaidi za kisheria zitachukuliwa dhidi ya taasisi hii,” inasema barua hiyo.

Mwananchi inaendelea kufuatilia kwa wahusika kuhusu barua hiyo na tutaendelea kutoa habari.

Mama Mobetto Aiomba Msamaha Familia ya Daimond " Mmenitukania Mwanangu Hadi Tumbo la Uzazi Linaniuma"

$
0
0
Mama Hamisa Mobetto Ashindwa Kuvumilia Matusi Anayotukanwa Mwanaye  Aiomba Radhi Familia ya Daimond " Mmenitukania Mwanangu Hadi Naumwa Tumbo la Uzazi"
Baada ya Matusi yanayoendelea mitandaoni kwa Hamisa Mobeto Kutoka katika familia ya Daimond na team Zari baada ya Daimond kurudiana na mzazi mwenzake Zari, Mama Mzazi wa mwanamitindo Hamisa Mobeto ameingilia kati ugomvi huo wa chini kwa chini unaoendelea mitandani kwa kumuombea mwanaye Msamaa.

Mama Mzazi wa Hamissa ameonekana kuumizwa na matusi na maneno anayotumiwa mwanaye na kuamua kuonyesha hisia zake kupitia ukurasa wake wa istargram kwa kuandika hivi;-
" Mmenitukania mwanangu hadi tumbo la uzazi limeniuma natamani ningewazaa wawili ili afarijiwe na mwenzie, pia ningeomba familia ya zote zilizo instagram mpunguzeni matusi na kumdhalilisha mwanangu kama kawakosea ninamwombea msamaha  mwezi huu mtukufu.... mpeni amani ili na mimi nifurahie furaha ya uzazi wangu. Ni mwenyezi mungu pekee huchagua barabara atakayopitia mwanangu"

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGESA

Nakua Chizi Kwa Wivu Uliopitiliza wa Mke Wangu...

$
0
0


Nina mke mmoja ambae tunapendana sana,tatizo ana WIVU kupindukia.
1.Ninapoingia tu home ananidaka na kuninusa nguo,akisikia pafyum kwa mbali MATATIZO,mim situmii pafyum ila usafir wa kwetu ni shida,mnabana had kupumua shida.Matokeo yake sipend watu waniguse kitu ambacho ni kigumu kwenye usafir wa jumuiya!

2.Kila ninapoenda anataka nitume picha kwa whatsap,hata kama kwenye daladala nimesimama,anataka nipenye dirishan nipige hilo eneo,au nijipige kitu ambacho watu hawakubali maana wanaona unawapiga wao!Hata wakat mwingine ananiambia chukua jiwe,weka sehem flan then piga picha.
Hii inanifanya ntaokota makopo il nipige picha ili aamini,JE NIFANYEJE MAANA TUNAPENDANA SANA.

Download Hapa Application Mpya ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

Wasichana wa siku hizi mnafanya kazi ya mtongozo iwe kazi rahisi sana

$
0
0
Kusema kweli wadada wengi wa siku hizi mnatufanya sisi wanaume tupoteze uwezo wetu ule makini wa kutongoza .

Haiwezekani we mtoto wa kike unasimamishwa ile kusimama ukiombwa namba unatoa kirahisi rahisi bila ata kubembelezwa na ata ikifikia wakati wa kutongozwa neno moja tu basi jibu linalokuja ni ndio lakini utaweza kunihudumia?.

Sasa nyie mnafikiri sisi wanaume vichaa eeeh au hatuna Akili lazima tuseme ndio na hapo mtatiki then ukishachanua paja tuna move on.

Badilisheni mbinu muwe wagumu kidogo mnatupa tabu sana sisi wanaume wa huku mjini tukipata ile shift ya kwenda kusalimia vijijini tukifika kule mtongozo wake ili kupata mtoto inabidi ujipange tena aswaa maana mtongozo wake kule ni wa ana kwa ana.,

Mnatufanya tuonekane timbulo(domo zege) kwa sababu ya mazoea mnayotuzoesha ,

Siku hizi mwanaume ukitongoza demu una Asilimia 99 ya kumpata yaani unaanza kufikiri jinsi ya kumkunja ata kabla hujamtongoza kwa kuwa unajua ukimtongoza hawezi chomoa.


Mko so easly kwa kweli Raha ya demu umtongoze kwa ugumu ili ata ukimpata unasema kimoyo moyo kwa zile mbinu nilizotumia naweza kufanya ata maajabu ya kutengeneza bomu la nyuklia.

Mama Mobetto amuombea msamaha mwanaye kwa wote wanaomtukana

$
0
0

Baada ya Uzalendo kumshinda Mama ake Hamisa, amevunja ukimya nakumuombea Msamaha mtoto wake Huyo Wa pekee .Kama kuna popote mwanae kakosea yeye Kama mzazi hafurahishwi kinachoendelea Kwa mwanae anaomba asamehewe.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0


KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Chura Kufungishwa Ndoa India Kisa Hiki Hapa

$
0
0
Hii Hapa Sababu ya Chura Kufungishwa Ndoa India
Dunia ina vituko sana leo June 6, 2018  nakusogezea stori kutoka mji wa Lagaan nchini India ambapo wakazi wa eneo hilo huwafungisha ndoa CHURA kama ishara ya kumuomba Mungu wao wa mvua awaletee Baraka za mvua katika eneo hilo.

Unaambiwa kuwa katika mji wa Lagaan mvua ndio kila kitu na wakazi wa eneo hilo wako tayari kufanya lolote lile ili tu kumfurahisha Mungu wao mvua.

Aidha inaelezwa kuwa katika zoezi la kuwafungisha ndoa CHURA wakazi wa eneo hilo hufanya sherehe kubwa sana ambapo chura mwanaume na mwanamke huandaliwa na kupambwa vizuri kabla ya kufungishwa ndoa na kuhani.

Trump Anatarajiwa Kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kisiwani Sentosa Singapore

$
0
0
Trump Anatarajiwa Kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kisiwani Sentosa Singapore
Mkutano unaosubiriwa kwa hamu kati ya rais wa Marekani Donald Trump na kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong-un utafanyika katika hoteli moja kwenye kisiwa cha Sentosa, Singapore, ikulu ya Marekani imethibitisha.

Mkutano huo wa kihistoria utafanyika Juni 12, lakini taarifa nyingi bado haizjathibitishwa.

Itakuwa mkutano wa kwanza kati ya kiongozi wa Korea kaskazini na rais aliyepo madarakani wa Marekani.

Marekani: Korea Kaskazini haitutishi
"Uhusiano mwingi unaundwa, majadiliano makubwa yanaendelea kabla ya safari," amewaambia waandishi.

Lakini inavyoonekana ni kwamba watakaa katika hoteli tofauti Singapore, kwa mujiu wa ripoti katika gazeti la Straits Times . Hoteli hizo mbili zipo katika kisiwa kikuu .


Viongozi kutoka China, Urusi, Syria Korea kusini na Marekani wote wamekutana au awanatarajiwa kukutana na Bwana Kim mwaka huu.

Mbunge Prof Majimarefu Apata Pigo Afiwa na Mkewe

$
0
0
Mbunge Prof Majimarefu Apata Pigo Afiwa na Mkewe
Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani maarufu 'Profesa Majimarefu’ leo Jumatano Juni 6, 2018 amefiwa na mkewe, Mariam aliyekuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Akizungumza na MCL Digital leo Mkurugenzi wa mawasiliano wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kifo cha mke wa mbunge huyo, kubainisha kuwa aliaga dunia saa 3 asubuhi.

Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza na MCL Digital, amempa pole Ngonyani pamoja na familia yake.

“Ni kweli amefariki, tumepata taarifa hizo si muda mrefu leo na alikuwa amelazwa kwa muda mrefu katika pale Muhimbili ICU (chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum).

Maofisa wa Bunge wakiwa na Ngonyani wako pale wanaendelea kutoa msaada wa karibu kabla ya kuendelea na taratibu nyingine,” amesema Ndugai.

“Na kwa sababu huyu mama pia alikuwa ni diwani kule Korogwe, Bunge na halmashauri ya Korogwe vijijini tutashirikiana kwa pamoja lakini kwa sasa tunaendelea kuwasiliana na familia ya Majimarefu.”

Meya wa Jiji Aliyemtusi Rais Ramaphosa Kuadhibiwa

$
0
0
Meya wa Jiji Aliyemtusi Rais Ramaphosa Kuadhibiwa
Wafuasi wa chama tawala cha ANC wametoa wito kwa meya wa jiji la Johannesburg aliyemkashfu Rais Cyril Ramaphosa kwenye Facebook kwa kumwita “msaliti anayenuka” achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kuchochea mgawanyiko.

"ANC inalaani kwa nguvu zake zote matusi yanayomlenga mtu wa aina ya rais, komredi Cyril Ramaphosa, ambayo yanatolewa na viongozi wa ANC na wanachama wengine katika mitandao ya kijamii," msemaji wa chama, Pule Mabe alisema katika taarifa yake.

Kauli hiyo ya chama imekuja baada ya ripoti kuandikwa katika gazeti la The Citizen kwamba meya wa Manispaa ya Dihlabeng katika jimbo la Free State, Lindiwe Kambule Makhalema alimwita Ramaphosa kuwa ni "msaliti" katika kundi maalum la Facebook.

Makhalema alikuwa akijibu swali lililoulizwa na mwanachama mwingine katika kundi hilo.

Ni watumiaji wa Facebook tu tena waliohakikiwa na wanachama watiifu kwa ANC ndio pekee wanakubaliwa kwenye kundi hilo.

Gazeti liliripoti kwamba mwanachama mmoja kwenye kundi hilo aliwauliza swali wenzake wamtajie "msaliti mkubwa anayenuka" ambaye wao walikuwa wanamjua na Makhamela alijibu "Ramaphosa". Mwanamama Lindiwe hakuwa tayari kuomba msamaha alipoulizwa juu ya majibu hayo.

Mabe alisema wameziagiza kamati tendaji za majimbo ya Free State na Gauteng kukutana na kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya meya kwa “kumkashfu hadharani" Ramaphosa.

Mchakato wa kinidhamu utakuwa wa kwanza chini ya sera yake ya mtandao wa kijamii.
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live




Latest Images