Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Tumia Bidhaa za Natural Beauty Uweze Kuwa Mrembo na Mtanashati wa Ukweli..Kuongeza Hips na Nguvu za Kiume

$
0
0

OFA KUBWA YA EID

NATURAL BEAUTY PROD
Ni kampuni inayotoa bidhaa ORIGINAL na zilizothibitishwa kiafya.
Sasa inatoa ofa ya punguzo la bei la 10% kwa kila bidhaa wahi sasa upate tiba za uhakika na uweze kufulahia matokeo mazuri kwa haraka.

🥑🍇🍋🍓 🍒🌱

1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @240,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @170,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @230,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @170,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-
Google
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod

Download Hapa Application Mpya ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

Usijidanganye: Huwezi Kumshika Mpenzi Wako Kwa 'Kumrusha Ukuta' Usithubutu Kabisa

$
0
0

USIJIDANGANYE: Huwezi kumshika mpenzi kwa “kumrusha ukuta”

Mwanaume gani usiyeridhika na mapenzi ninayokupa…? Nimefikia hatua ya kukupa hata mapenzi kinyume na maumbile ili usitoke nje lakini bado, hivi ni kipi ulichokikosa kwangu?” alisikika akipayuka mwanamke huyo.

Maneno aliyokuwa akiyatoa yule mwanamke yalinichoma sana. Nikabaini siri moja ambayo nahisi ipo kwa wanawake wengi walio kwenye ndoa na hata wale walio kwenye uhusiano wa kawaida kwamba, wanafikia hatua ya kutoa aina hiyo ya penzi eti ili wapenzi wao wasiwasaliti. Jamani hii inaingia akilini kweli?

Unafikia hatua ya kuhatarisha maisha yako kisa unataka kukamilisha ile sentesi ya kwamba unampa mumeo kila anachokitaka? Huo ni ulimbukeni na kama wapo wanaoendelea kufanya hivyo, wanajitafutia matatizo yatakayowafanya waje kujuta baadaye.

Ni kweli washauri wa masuala ya mapenzi wanaeleza kuwa, ili uweze kumshika vilivyo mpenzi wako unatakiwa kuhakikisha unampatiliza katika kila anachokitaka lakini hawakuzungumzia ishu ya wewe kukubali mapenzi kinyume na maumbile. Hawakurusu hilo kwa kuwa wanajua madhara ya kufanya hivyo. Sasa iweje leo ukubali kufanya dhambi hiyo eti kwa kuwa mpenzi wako kataka na unampenda?

Katika ulimwengu wa sasa wapo wanaume wa ajabu sana. Hawa ni wale ambao si wastaarabu. Wao hawaangalii madhara yanayoweza kuwapata wenzao bali wanaangalia kujifurahisha wao tu. Mbaya zaidi baadhi ya wanawake nao wamekuwa mbumbumbu.

Eti kwa kuogopa kuachwa au kusalitiwa wanasema bora wafanye hivyo. Jamani, ifike wakati tufikirie kila tunalolifanya katika maisha yetu ya kila siku. Zipo mbinu nyingi za kumridhisha mpenzi wako na wala asifikirie kukuacha wala kukusaliti bila hata kumkubalia afanye hivyo.

Pia unatakiwa kufahamu kwamba, unaweza kumpa mpenzi/mume wako mapenzi hayo lakini bado akakusaliti tu. Sasa kwa nini ujidhalilishe?

Ni kamchezo ka’ nyumba ndogo
Ukijaribu kuchunguza utabaini kuwa wanaoongoza kwa mchezo huo mchafu ni wale wezi wa mapenzi ambao hufahamika kwa jina la nyumba ndogo. Hawa eti wanatumia mbinu hiyo kuwashika waume za watu. Kimsingi hii ni aibu na wanaokubali kufanyiwa hivyo wanajidhalilisha na hawawezi kudumu na wanaume wao.

Usithubutu kabisa
Mapenzi kinyume na maumbile licha ya kwamba yamekatazwa hata na vitabu vitakatifu, madhara yake kiafya pia ni makubwa. Wapo wengi ambao sasa wanajuta kwa kufanya mchezo huo kutokana na kupata matatizo wakati wa kujifungua lakini pia wengi wao imekuwa ni rahisi kuambukizwa magonjwa mbalimbali ya zinaa ukiwemo Ukimwi.

Ni laana
Wanaofanya hivyo wamelaaniwa na wanaweza kushangaa uhusiano wao unakumbwa na matatizo kisha kusambaratika kwani Mungu hawezi kuubariki ule unaokwenda kinyume na maagizo yake.

Ni suala tu la kukaa na kujiuliza, wewe mwanamke unapata raha gani kufanya mapenzi kwa njia ambayo haijaruhusiwa? Wakati mwingine nashindwa hata kuwaelewa hawa wanaofikia hatua ya kujisifia kuwa eti wanawaachia waume zao ‘wajisevie’ wanachotaka kwa kuwa wanawapenda.

Hivi watakuwa na akili timamu? Kumpenda mtu ndiyo uwe tayari kuhatarisha maisha yako kiasi hicho? Tena kwa taarifa yako wale wanaowakubalia wapenzi wao mapenzi kunyume na maumbile wanaonekana wajinga na wanadharaulika. Hakuna mwanaume anayeweza kumheshimu mwanamke anayeweza kuuweka rehani mwili wake kwa njia hiyo

Shaffih Dauda kuhusu Mo Simba Awards 2018

$
0
0
Shaffih Dauda amepongeza tuzo maalum ambazo zimeanzishwa na mwekezaji wa Simba Mohammed Dewji zitakazojulikana kama Mo Simba Awards.

Tuzo hizo zitakuwa zikitolewa kwa wachezaji viongozi na mashabiki wa timu hiyo.

“Mo ni mfanya biashara anajihusisha na Simba kwa ajiki ya ku-push bidhaa zake kitu ambacho hakifanyiki kwa kificho wala sio dhambi, hiyo ni faida kwake kuwa mwekezaji wa klabu.”

“Anavyokuja watu hawatakiwi kuangalia kama Mohamed Dewji mpezi wa Simba, Mo ni brand na amewekeza kwenye tuzo. Ni jambo jema ambalo halijawahi kufanyika kabla na litaleta changamoto miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha Simba.”

“Washindi wa tuzo zitakazotolewa katika vipengele mbalimbali watakuwa na deni kuhakikisha msimu ujao wanaendelea kufanya vizuri abaki kwenye tuzo.”

“Kwa wengine watajiuliza kwa nini huyu ashinde tuzo kutoka idara ya kiungo wakati na mimi nipo? Ataongeza jitihada ili na yeye ashinde tuzo.”

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Mohammed Dewji inasema tuzo hizo zitafanyika kwa mara ya kwanza June 11, 2018  zikiwa na vipengele 16.

Mchezaji Kulipwa 150,000 Kila Mechi Ndondo Cup

$
0
0
Emanuel Memba (kulia) wa Kauzu FC akiwania mpira na beki wa Friends Rangers Mgaya Juma wa Friends Rangers wakati wa mchezo wa nusu fainali ya Ndondo Cup
Mabibo Market kupitia kwa kiongozi wake imeweka wazi kiasi ambacho atalipwa kila mchezaji kwa kila mechi atakayocheza kwenye mashindano ya Ndondo Cup msimu huu.

Naomi Kibago ambaye ni mweka hazina wa Mabibo Market amesema, msimu huu wa Ndondo Cup wamejipanga kulipa ‘kilo na nusu’ kila mchezaji kwa mechi moja.

“Mapato yanaendelea vizuri kama unavyojua hapa sokoni wafanyabiashara wapo wengi hawasumbui kwenye michango kwa hiyo hela ipo.”

“Kila mchezaji atakaechezea Mabibo Market msimu huu tutamlipa Tsh. 150,000 kwa kila mechi na inaweza kupanda zaidi ya hapo.”

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

CUF ya Lipumba Yaomba Msaada Serikalini

$
0
0
CUF ya Lipumba  Yaomba Msaada Serikalini
Uongozi wa chama cha wananchi CUF umeiomba ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kukinusuru chama hicho na hatari ya kufa na kukosa uwezo wa kujiendesha kutokana na kuzuia kwa ruzuku ya chama hicho tangu mwaka 2016 ulipoibuka mgogoro wa kiuongozi katika chama hicho.


Aidha chama hicho kimesema mgogoro uliodumu kwa miaka miwili katika chama hicho umesababishwa kwa kiasi kikubwa na pande mbili zinazotaka kusimamia maslahi yao binafsi badala ya chama huku wakipindisha katiba ya chama kwa makusudi.

Akizungumza na East Africa BreakFast kaimu katibu mkuu wa CUF upande wa Profesa Lipumba Magdallena Sakaya amesema kuwa mgogoro uliopo umetokana na ubinafsi baina ya watu wachache na kusema kuwa lengo la Maalim Seif ni kuua chama.

“Chama ni taasisi na si mtu binafsi ndio maana watendaji sio Maalim Seif wala Profesa Lipumba bali ni wanachama wenyewe, mtu mmoja ndio anaigawanya CUF kwa sababu ya ubinafsi alitaka kuigawanya na kuiua CUF ndio maana tulieleza wazi mbele ya wananchi sababu za kurejea kwa Profesa”, amesema Sakaya

Hivi karibuni wakichangia Bungeni mjini Dodoma baadhi ya wabunge wa CUF walimuomba msajili wa vyama vya siasa nchini na serikali kwa ujumla kuiingilia kati mgogoro wa uongozi uliopo ambao umetishia uimara wa chama hicho.

Polisi Imeanza Uchunguzi wa Tukio la Mwanamke Kujifungulia Nje ya Kituo cha Polisi

$
0
0
Polisi  Imeanza Uchunguzi wa Tukio la Mwanamke Kujifungulia Nje ya Kituo cha Polisi
Polisi mkoani Morogoro, wameanza upelelezi wa tukio la mwanamke mmoja, Amina Mbunda kujifungua nje ya kituo cha Polisi, Mang’ula Morogoro baada ya kuwekwa mahabusu kwa madai kuwa mume wake, Abdallah Mrisho amenunua kitanda cha wizi.

Akizungumza jana, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Asifiwe Ulime alisema wameanza uchunguzi wa tukio hilo.

Alisema wanazo taarifa hizo na watakapokamilisha upelelezi watatoa taarifa kamili.

Mwanamke huyo, mkazi wa Mang’ula alikamatwa na Polisi Juni Mosi na aliwekwa mahabusu akiambiwa hadi mume wake atakapojitokeza ndipo atakapoachiwa.

Akizungumza jana Amina alisema mgambo walifika kwake mchana wa siku hiyo wakamhoji kwa madai kuwa mumewe amenunua kitanda cha wizi lakini baada ya kuwaambia kuwa hayupo waliondoka.

“Lakini saa chache baada ya kuondoka, mwenyekiti wa kitongoji, mwanamume mmoja na polisi walifika nyumbani kwangu na wakanikamata,” alisema.

Amina alisema baada ya kukamatwa aliwekwa mahabusu na siku ya sita, alijisikia uchungu.

“Nilipojisikia kuumwa, nilimuomba polisi ambaye nilimtambua kwa jina moja la Sele anisaidie lakini hakusikia, baada ya uchungu kuzidi, ndipo aliponitoa nje,” alisema.

Alisema baada ya kutoka nje uchungu ulimzidi na akakaa chini kwenye majani na kujifungua.

“Niliomba msaada kwa mwanamke mmoja aliyekuwa hapo jirani hakutaka kunisaidia, lakini nikajifungua mwenyewe na baadaye Polisi mmoja alinipeleka hospitali,” alisema

Simba Kucheza na Gor Mahia Fainali Kombe la SportPesa

$
0
0
Simba Kucheza  na Gor Mahia Fainali Kombe la SportPesa
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya kuwacharaza Kakamega Homeboyz wa Kenya kwa mikwaju 5-4 ya penalti.

Watakutana na mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Kenya Gor Mahia ambao wameibuka washindi kwa kuwanyuka Singida FC wa Kenya 2-0.

Mshindi wa mashindano hayo atasafiri hadi England kutoana jasho na Everton katika uwanja wao wa Goodison Park mwezi wa saba.

Bingwa mtetezi Gor Mahia ndiyo iliyocheza na Everton mwaka jana jijini Dar es Salaam ikapoteza kwa mabao 2-1, wafungaji wa Everton wakiwa ni mchezaji nyota wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney na Kieran Dowell, naye Jacques Tuyisenge akaipa Gor Mahia bao lao moja.

Yanga Yaiomba TFF Kujitoa Mashindano ya Kagame CUP

$
0
0
Yanga Yaiomba TFF Kujitoa Mashindano ya Kagame CUP
Taarifa zinaeleza kuwa uongozi wa klabu ya Yanga umewaandikia barua TFF kuwaomba kujitoa katika mashindano ya Kagame CUP yanayotarajiwa kuanza June 28 mpaka Julai 13 2018 jijini Dar es Salaam.


Sababu za msinngi zilizofikia Yanga kuandika barua hiyo ni kufanya maandalizi ya michunao ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo watacheza na Gor Mahia FC ya Kenya, Julai 18 jijini Nairobi.

Kutokana na muingiliano wa ratiba ya KAGAME na CAF, Yanga wameona ni vema kuwapatia wachezaji wao mapumziko ili kuwapa fursa ya kujiandaa vizuri kuelekea mechi hiyo ambayo itakuwa ni ya tatu baada ya kucheza na USM Alger pia Rayon Sports ya Rwanda.

Taarifa hizo zinazoelezwa kutoka Yanga kupitia viongozi wa Kamati ya Utendaji wa klabu hiyo, wameazimia kufanya maamuzi hayo ili kuepuka kubanwa na muingiliano wa ratiba hiyo ambayo imekuwa si rafiki kwao.

Kufuatia kuandika barua hiyo ya kuomba kujiondoa, Yanga wanakuwa wameikwepa Simba kwenye mashindano ambapo walikuwa wamepangwa pamoja na mabingwa hao wa Ligi Kuu Vodacom.

Simba na Yanga zimepangwa pamoja kwenye kundi C ambapo kuna timu zingine ambazo ni Dakadaha ya Somalia pamoja na St. George kutoka Ethiopia.

Kenya Yawakamata Wavuvi Haaramu 109 wa Tanzania

$
0
0
Kenya Yawakamata Wavuvi Haaramu 109 wa Tanzania
Jeshi la wanamaji wa Kenya liliwakamata raia 109 wa Tanzania kwa kushiriki katika uvuvi haramu katika himaya ya maji ya Kenya katika bahari hindi.

Wavuvi hao walikamatwa katika eneo la Shimoni , linalomiliki bandari kusini mashariki mwa Kenya karibu na mpaka na taifa la Tanzania na kuwasilishwa mbele ya mahakama ya kaunti ya Kwale siku ya Jumatatu.

Wavuvi hao walizuiliwa baada ya kushindwa kulipa dhamana ya shilingi 20,000 za Kenya kila mmoja wao lilisema gazeti la Biashara nchini Kenya Business Daily , likimnukuu naibu wa kamishna wa Lungalunga Josphat Biwott.

Hatahivyo serikali ya Tanzania tayari imeanza harakati za kuhakikisha kuwa raia hao wanaachiliwa huru.

Naibu waziri wa uvuvi na ufugaji nchini Tanzania Abdalla Ulega ameliambia gazeti la The Citizen nchini humo kwamba juhudi zimeanza ili kuona kuwa tatizo hilo limetatuliwa.

''Tayari tumezungumza na wizara ya maswala ya kigeni na jeshi la polisi ili kuona vile tatizo hilo litakavyoangaziwa. Walikamatawa kulingana na sheria za Kenya'', alisema.

''Inapokuja katika uhalali wa vitendo vya uvuvi, kila taifa lina sheria zake ,Serikali inajua hilo'', alinukuliwa na gazeti hilo akisema

Trump atoa maneno makali kuelekea mkutano wa G7
Nkurunziza asema ataachia madaraka 2020 Burundi
Msanii wa Bongo Fleva Tanzania Sam wa Ukweli ameaga dunia
Kenya na Tanzania zimekuwa katika msururu wa mgogoro wa kibiashara ambao umekuwa ukizua uhasama katika ya mataifa hayo jirani.

Mapema mwaka huu mataifa hayo mawili yalianza zoezi la kuweka alama katika mpaka wake kupitia kuondoa vigingi vilivyooza na kuweka vipya.

Mpaka wa Kenya na Tanzania una urefu wa kilomita 769 na hutumiwa na jamii kutoka mataifa pande zote mbili za mpaka kufanya biashara, kilimo na ufugaji hususan miongoni mwa kabila la Wamasai.

Kulingana na Business Daily,Mbunge wa Lunga Lunga nchini Kenya Khatib Mwashetani ameomba kuwachiliwa kwa wavuvi hao akiongezea kuwa baadhi yao wanaishi nchini Kenya.

Katika siku za awali wavuvi wa Kenya wameyashutumu mataifa ya kigeni kwa kushiriki katika uvuvi haramu kwa kutumia vyombo vikubwa katika pwani ya taifa hilo.

Dkt. Shika Sasa Aja Kivingine....... Amtambulisha Msanii Wake

$
0
0
Dkt. Shika Sasa Aja Kivingine....... Amtambulisha Msanii Wake
Dk. Shika leo, Juni 8, 2018 katika Mkutano wake na Waandishi wa habari amemtambulisha Msanii wake mpya atakaye kuwa anamsimamia katika zake za muziki aitwaye Godson ambaye pia ametambulisha nyimbo yake mpya iitwayo ‘Relux’.

Dk. Shika katika Mkutano wake huo amesema kwa msanii yoyote atakayetaka kusimamiwa na yeye yupo tayari lakini anaanza na huyo aliyemtambulisha kwa siku ya leo.

“Nina uhakika kwamba atafunika wasanii wengi , kwahiyo jaribuni kumfuatilia,” amesema Dk. Shika.

Dk. Shika ni daktari wa magonjwa ya binadamu, aliyejipatia umaarufu miezi kadhaa iliyopita kupitia kufika dau wakati wa mnada wa Majumba ya Lugumi.

Serikali Yaikana Barua Ilioiandikia Kanisa la KKT Ikiiitaka Kufuta Waraka wa Pasaka

$
0
0
Serikali Yaikana Barua Ilioiandikia Kanisa la KKT Ikiiitaka Kufuta  Waraka wa Pasaka
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amesema Waraka wa barua unaodaiwa kuandikwa na Serikali dhidi ya Makanisa unaosambaa mitandaoni si wa kweli na kwamba ni uhalifu umefanywa na watu wasioitakia nchi mema.

Waziri Nchemba amesema Serikali haipingani na dhehebu lolote na pale ambapo kuna uhitaji wa kufanyia kazi jambo kuhusu taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo taratibu huwa zinatumika kuzungumza na sio kama ilivyofanywa taarifa hiyo inayosambaa.

Serikali inalinda uhuru wa kuabudu na waumini hivyo taarifa hiyo inayosambaa ni batili na tayari uchunguzi umeanza kufanyika.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Idara ya Sheria na Usajili wa Jumuiya za Kidini na Vyama vya Kijamii, Merlin Komba, kupisha uchunguzi wa barua iliyoandikwa kwa maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania.

Tunawaomba viongozi wa dini waendelee na kazi zao, nasema jamii iwe macho na taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya jamii na wasifanyie kazi taarifa hizo

Dk Nchemba amesema amefuatilia barua hizo na kuona zina mkanganyiko wa anuani.

Viongozi wa dini wasiwe na taharuki na taarifa hizo, hazina baraka za Serikali. Wasisite kuwasiliana na Serikali kujua uhalali wake.

Dk Nchemba amesema waraka wa viongozi wa dini uliotolewa miezi iliyopita ni jambo lililopita na hivyo akawataka viongozi wa dini waendelee na kazi zao.

Mamlaka za Bunge Zinaporwa Maksudi -Kubenea

$
0
0
Mamlaka za Bunge Zinaporwa Maksudi -Kubenea
Mbunge wa Ubungo Said Kubenea amelalamikia suala la Naibu spika Dkt. Tulia Akson kukataa swali la   mbunge wa Vunjo James Mbatia lisijibiwe na waziri mkuu akieleza kuwa Naibu spika amekiuka taratibu za Bunge kwa kupitisha maamuzi ambayo sio sahihi.


Akizungumza na East Africa BreakFast ya East Africa Radio Kubenea amesema Dkt. Akson ametaja sababu alizowahi kuzitoa Spika Ndugai jambo ambalo sio la kweli kwa sababu Spika huyo alisema yeye kwa kupenda kuuliza maswala ya dini kwa hivyo suala hilo halifanani na swali aliloulizwa waziri mkuu hapo jana.

“Huu ni mwendelezo wa mamlaka za bunge kuporwa kwa maksudi na uongozi wa bunge kwani kanuni zinasema mbunge yeyote anayo haki ya kuhoji kwa waziri yeyote kuhusu mambo ya umma”, amesema Kubenea

Jana katika kipindi cha maswali na majibu Naibu Spika Dk. Tulia akson alikataa swali la James Mbatia lililohoji sababu za serikali kuwatumia barua baraza la maaskofu Tanzania KKKT ikiwataka waufute waraka walioutoa katika kipindi cha kwaresma.

Breaking News: Mwigulu Amsimamisha Kazi Msajili Wizara ya Mambo ya Ndani

$
0
0
Breaking News: Mwigulu Amsimamisha Kazi Msajili Wizara ya Mambo ya Ndani
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amesema Waraka wa barua unaodaiwa kuandikwa na Serikali dhidi ya Makanisa unaosambaa mitandaoni si wa kweli na kwamba ni uhalifu umefanywa na watu wasioitakia nchi mema.



Waziri Nchemba amesema Serikali haipingani na dhehebu lolote na pale ambapo kuna uhitaji wa kufanyia kazi jambo kuhusu taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo taratibu huwa zinatumika kuzungumza na sio kama ilivyofanywa taarifa hiyo inayosambaa.



Serikali inalinda uhuru wa kuabudu na waumini hivyo taarifa hiyo inayosambaa ni batili na tayari uchunguzi umeanza kufanyika.



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Idara ya Sheria na Usajili wa Jumuiya za Kidini na Vyama vya Kijamii, Merlin Komba, kupisha uchunguzi wa barua iliyoandikwa kwa maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania.



Tunawaomba viongozi wa dini waendelee na kazi zao, nasema jamii iwe macho na taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya jamii na wasifanyie kazi taarifa hizo

Dk Nchemba amesema amefuatilia barua hizo na kuona zina mkanganyiko wa anuani.

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0

Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Wasiliana nasi kwa sim no 0717702227 au 0754568767.DR . SAGUDA nyote mnakaribishwa

Mwanamke Akikujibu SMS yako Hivi Acha Haraka Sana Kuchat Nae

$
0
0

Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.

KWA MFANO:
1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''

2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''

3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''

4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.

Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''

Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.

Hizi Hapa Sifa za Wife Material, Kwa Vijana Wanaotafuta Kuoa

$
0
0
Je wewe ni single boy? Au bachela kama wengi ambavyo hupenda kujiita? Kama jibu ni ndio basi naomba utambue ya kwamba suala la kupata mke si kazi bali kupata wife material ndio kazi. Hivi hujawahi kusikia wahenga wa zamani wakisema ya kwamba ni heri ukosea njia utauliza kwa pita njia kuliko ukosee kuoa? Hii ina maana gani? Hii ina maana ya kwamba wakati unafanya mchakato wa kutafuta mke wa kuoa ni lazima uzingatie misngi na mchakato mzima wa kupata  mke bora na si ke bora.

Miongoni mwa misingi hiyo ni lazima uchagua mwanamke ambaye atakuwa na sifa hizi:

1. Mwanamke ambaye hana tamaa ya pesa.

Katika maisha ya sasa mwanamke anayependa sana pesa ukikubali awe mkeo mtasumbuana sana. Kwa maana hiyo mwanamke ambaye utagundua hana tamaa ya pesa, kwamba ikiwepo, ikikosekana anabaki kuwa yuleyule wa siku zote, huyu ni ‘wife material’.

2. Mwanamke anayependa watoto

Utajuaje kama mwanamke uliyenaye ana mapenzi na watoto? Iko hivi; katika uhusiano wenu ukiona ni mtu wa kupendapenda sana watoto wa marafiki zake, kuwanunulia zawadi, kuwashauri wenzake namna nzuri ya kuwalea watoto, hata akija kupata wa kwake itakuwa ni hivyohivyo, huyo ni wife material unatakiwa kumoa haraka.

3. Mwanamke ambaye ana heshima ya kweli.

Msichana ambaye anaheshimu kila mtu, mdogo na mkubwa, anawapenda na kuwaheshimu ndugu, jamaa na marafiki zako, huyu ana sifa ya kuwa mkeo pia.

4. Mwenye uwezo wa kujishusha.

Ogopa sana mwanamke ambaye anataka usawa, yaani yeye hata akikosea anakuwa hayupo tayari kusema samahani msichana wa aina hii hafaai bali  Anayekufaa ni yule anayejua yeye ni mke, nawewe ni mume. Anayetambua kuwa, mwanaume ndiye kiongozi wa familia.

5. Mtu ambaye anakushauri kwenye mema.

Kama mpenzi wako ni wa kukutaka kila siku muende baa au mfanye madili hatari ili mpate pesa, huyu hana sifa ya kuwa mkeo. Mke ni yule ambaye atakuongoza kwenye kutenda mema na kuacha mabaya. Kwa mfano kama unakunywa pombe atakushauri uache, kama siyo mtu wa ibada, atakushawishi umjue Mungu wako na mambo mengine kama hayo.

Siwezi Kusubiri Hadi Nife- Haji Manara

$
0
0
Siwezi Kusubiri Hadi Nife- Haji Manara
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Mabingwa wa Ligi Kuu (VPL) Simba SC, Haji Manara amefunguka na kudai anajifahamu yeye binafsi kuwa ndiye msemaji pekee ndani ya wekundu wa Msimbazi na hawezi kusubiri mpaka afe ndio aweze kusifiwa kwa afanyacho.


Manara amesema maneno hayo yenye ukakasi kupitia ukurasa wake wa kijamii huku baadhi ya watu wakimuunga mkono juu ya maneno yake hayo lakini wengine wakionekana kutopendezewa nayo kwa namna moja ama nyingine.

"Sisubiri nife ili mnisifu, najijua 'my self' kuwa mimi ni msemaji wa klabu wa muda wote ndani ya nchi hii ya Tanzania kwa vigezo vyovyote vile hakuna hata wa kukaribia robo. Ukibisha lazima wewe ni mwanga", ameandika Manara.

Kutokana na kauli hiyo ya Manara, baadhi ya wafuasi wake katika mtandao wake wamemuomba kiongozi huyo kumshauri swahiba wake Jerry Muro aweze kurudi katika nafasi yake ya usemaji wa klabu ya Yanga SC ili wapate kujibizana vizuri kama walivyokuwa wanavyofanya hapo awali.

Utata Mzito Waibuka Msiba wa Sam wa Ukweli Ndugu zake na Meneja Wake Hapatoshi

$
0
0
Utata Mzito Waibuka Msiba wa Sam wa Ukweli Ndugu zake na Meneja Wake Hapatoshi
KUFUATIA kifo cha msanii wa Bongo Fleva, Sam wa Ukweli kilichotokea usiku wa kuamkia jana Alhamisi, utata mzito umeibuka katika Hospitali ya Mwananyamala ambapo mwili wa marehemu uliifadhiwa kwa kusubiri ratiba za maziko.



Ndugu wa marehemu waliamua kuingilia kati baada ya kutoona ushirikiano wa watu ambao walikuwa wamepata ahadi ya kufanikisha baadhi ya gharama za maziko hayo wakiwemo Mameneja wake wa zamani ambapo ni Papaa Misifa, Meneja Maneno, Meneja Kisaka na wasanii wenzake.



Hata hivyo ndugu hao walichukua uamuzi huo baada yakukata tamaa tena kwa kutoona ushirikiano wa asilimia hata 75 kwa wasanii wa muziki na kama ilivyokuwa kwenye misiba ya wasanii wengine.



Utata huo uliisha baada ya wahusika hao kufika eneo la tukio na kufanikisha kwa haraka malalamiko hayo.
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live


Latest Images