Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live

Serikali yajibu tukio la mwanamke kujifungulia Polisi

$
0
0

Kufuatia tukio la mwanamke mjamzito kujifungua kwenye Kituo cha Polisi Mang’ula mkoani Morogoro, serikali imebanwa bungeni na kutakiwa kutoa ufafanuzi. 

Hoja hiyo iliibuliwa na Mbunge wa Meru, Joshua Nassari ambapo alitaka kujua kwa nini mwanamke huyo mjamzito aliyekuwa akikaribia kujifungua alikamatwa na kuwekwa mahabusu na baadaye uchungu kumbana akiwa nyuma ya nondo kabla ya baadaye kutolewa na kujifungua nje ya kituo hicho. 

Akitoa ufafanuzi, Naibu Waziri wa Ndani, Hamad Masauni, amekiri kwamba busara haikutumika katika sakata hilo kwani chanzo cha kukamatwa kwake ni mali za wizi zilizonunuliwa na mumewe kukutwa ndani ya nyumba yake. Waziri Masauni ameeleza kwamba serikali inafuatilia kwa kina na wote waliohusika watachukuliwa hatua zinazostahili.

Yanga Yaiomba TFF Kujitoa Mashindano ya Kagame CUP

$
0
0
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limethibitisha kupokea barua ya Yanga yenye ombi la kujiondoa kwenye mashindano ya Kagame Cup yanayotarajia kuanza Juni 29 mpaka Julai 13 2018.

Kwa mujibu wa Ofisa wa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo, amesema wamepokea barua hiyo inayoeleza kuwa Yanga ina nia ya kuwapa mapumziko wachezaji wake.

Barua hiyo iliyowasili katika makao makuu ya TFF, imesema Yanga inahitaji kuwapa muda wa kupumzika wachezaji wake kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Yanga itakuwa ina kibarua kizito kitakachopigwa nchini Kenya dhidi ya mabingwa wa ligi nchini humo kwa msimu wa 2017/18, Gor Mahia FC Julai 18.

Kutokana na muingiliano wa ratiba hiyo ya Kagame na CAF, Yanga wameona ni vema zaidi kuwapa wachezaji wake mapumziko ili kujiandaa kuelekea mechi hiyo ya kimataifa.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya June 9

$
0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya June 9

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Waziri Mkuu Ataka Wanaotoa Taarifa Za Uongo Wadhibitiwe

$
0
0


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameliagiza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wawachukulie hatua kali wananchi wote wanaotumia vibaya namba za mawasiliano za jeshi hilo kwa kutoa taarifa za uongo kuhusu matukio ya majanga ya moto.

Hata hivyo, Waziri Mkuu ameliagiza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini kuendelea kutoa mafunzo kwa wananchi juu ya namna ya kujikinga na kupambana na majanga ya moto pindi yanapotokea katika maeneo yao.

Pia ameziagiza Halmashauri zote nchini kuwa na magari ya zimamoto pamoja na magari ya kubeba wagonjwa kwenye vituo vyote vya Zimamoto na Uokoaji katika maeneo yao.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana (Ijumaa, Juni 8, 2018) wakati alipofanya ziara katika Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura ya Maafa pamoja na Kituo cha Zimamoto na Uokoaji cha mkoa wa Ilala.

Amesema ili kudhibiti wananchi wanaopiga simu za kuomba msaada wa kutaka kuokolewa, huku kukiwa hakuna tukio lolote la janga la moto lililotokea kwenye maeneo yao, ni vema watu hao wachukuliwe hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hiyo.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo baada ya Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,  Thobias Andengenye kumweleza baadhi ya changamoto zinazolikabili jeshi hilo kuwa ni pamoja na wananchi kupiga simu wakidai kuna ajali ya moto imetokea katika maeneo yao na baada watu wa uokoaji kufika wanabaini ni uongo.

Hata hivyo, Waziri Mkuu aziagiza Halmashauri zote nchini kuwa na magari ya zimamoto pamoja na ya kubebea wagonjwa kwa ajili ya kutoa huduma pindi majanga yanapotokea kwenye maeneo yao ili kuharakisha utoaji wa huduma za dharura.

Pia amelitaka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuendelea kutoa elimu kwa wananchi ili kila Mtanzania aweze kuwa na uelewa wa kutoa huduma za awali pindi majanga ya moto yanapotokea katika maeneo yao ikiwa ni pamoja na kutumia vifaa vya kuzima moto.

Waziri Mkuu ambaye alitembelea kituo cha Jeshi la Zimamoto cha Ilala amejionea magari ya kuzimia moto likiwemo la aina ya Bronto Sky Lift lenye uwezo wa kufika futi 54 na kuzunguka nyuzi 360.

Alielezwa kuwa katika Bara la Afrika, magari ya aina hiyo yapo matatu tu, ambayo yapo nchini Tanzania, Misri na Afrika Kusini. Kwa upande wa Tanzania, gari hilo lilinunuliwa miaka 10 iliyopita kwa sh. bilioni 1.5.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu alitembelea Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura ya Maafa, ambapo aliwasisitiza viongozi wa kituo hicho kutoa elimu kwa wananchi juu ya madhara yatokanayo na kuishi kwenye maeneo hatarishi hususan mabondeni.

Waziri Mkuu alisema licha ya kuwapa elimu, pia wanatakiwa kuwashawishi wakazi wa maeneo hayo kuondoka kabla ya kutokea kwa maafa badala ya kusubiri majanga yatokee. Pia aliwataka wawe na mpango wa kuonesha eneo lenye maafa na kuujulisha umma.

Pia aliwataka watendaji wanaohusika na kamati za maafa waimarishe mawasiliano katika ngazi zote kuanzia ya kijiji hadi Taifa na wafanye kazi kwa ushirikiano ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi pindi maafa yanapotokea.

Awali, Waziri Mkuualitembelea Ofisi za Mpiga Chapa wa Serikali jijini Dar es salaam ambapo mbali na mambo mengine alijionea moja kati ya mitambo ya kwanza ya Mpiga  Chapa wa Serikali uitwao  Original Heidelberg wenye zaidi ya miaka 100 ambao bado unafanya kazi vizuri.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Mfanyakazi wa ndani amuua Mwajiri wake pamoja na Kichanga

$
0
0

Leo June 8, 2018 Mfanyakazi mmoja wa ndani amemuua mwajiri wake Elizabeth Achieng pamoja na kichanga chake chenye miezi mitatu huko Kisumu nchini Kenya.

Imedaiwa kuwa mfanyakazi huyo alianza kwa kumpiga mtoto mpaka akamuua kisha akamfata mama yake na kumchoma kisu mara kadhaa na kisha kumchoma na kitu kinachodhaniwa kuwa ni pasi ya umeme au tindikali.

Kwa sasa jeshi la Polisi Kisumu linamtafuta mfanyakazi huyo ambaye ametokomea sehemu  isiyojulikana.

Taarifa zinasema kuwa katika tukio hilo  mfanyakazi huyo hakumgusa binamu wa marehemu aliyekuwepo eneo la tukio.

Aidha inasemekana kuwa mfanyakazi huyo alikuwa anaendana kiumri na mwajiri wake  kitu kilichokuwa rahisi kwa yeye kutekeleza tukio hilo.

‘Tanzania Ma-Role Model ni Diamond na Alikiba, Hatuwezi kuwa Taifa lenye uchumi imara’ Eng. Barozi

$
0
0
 2018 Mwenyekiti wa Bodi ya Wasajili Mkoa wa Mbeya Eng.Patrick Barozi amewataka wahandisi kufanya kazi kwa Weledi na Uadilifu pamoja na kujitolea katika Jamii ili kutatua changamoto mbalimbali  zinazoikumba Jamii.

Eng. Barozi amesema hayo katika kuadhimisha Miaka 50 ya Bodi Ya Wahandisi “bado kuna kazi kubwa kwa Wahandisi kujitolea hasa kuendeleza wanafunzi pamoja na wahandisi waliopo vyuoni na shuleni ili wapatikane Wahandisi wazuri kwa Miaka ijayo”

“Tumepita kwenye mashule na ukiwauliza watoto role model wako nani wanasema Alikiba au Diamond, hatuwezi kuwa na Taifa lenye uchumi uliokomaa tusipokuwa na Wahandisi bora” amesema Eng. Barozi

VIDEO:

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Wasiliana nasi kwa sim no 0717702227 au 0754568767.DR . SAGUDA nyote mnakaribishwa

Kimenuka! Kocha wa Simba Atimuliwa Rasmi Msimbazi

$
0
0
Kocha Mfaransa Atimuliwa Rasmi Simba
RASMI sasa Kocha wa Simba, Mfaransa, Pierre Lechantre, ametimuliwa Msimbazi. Hii ni baada ya Championi kunasa taarifa hizo takriban wiki mbili kabla.



Lechantre, ambaye alitua Simba Januari, mwaka huu na kuanza mechi yake ya kwanza Januari 28, ametimuliwa baada ya kuiongoza Simba kwa mechi 15 tu za Ligi Kuu Tanzania Bara.



Kisa kikubwa cha kutimuliwa kama ilivyoandikwa katika gazeti bora la michezo Tanzania, Championi, ni madai yake ya mshahara wa Sh milioni 90 kila mwezi ili asaini mkataba mpya.



Pamoja na sababu hiyo, Lechantre ambaye alikwenda Kenya kuiongoza Simba katika michuano ya SportPesa Super Cup, jana kabla ya mchezo wa nusu fainali dhidi ya Kakamega Home Boys, kocha huyo aligoma kuiongoza timu akidai mkataba mpya.



Taarifa ambazo Championi lilikuwa nazo ni kwamba, Lechantre aliondoka Bongo akiwa amekubaliana na mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ kuwa atapewa mkataba baada ya kumalizika kwa michuano ya SportPesa Super Cup.



Lakini jana, alipomuona Kaimu Rais wa Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’, alimlalamikia kuwa hana mkataba na akadai hawezi kuendelea kuiongoza timu hiyo akiwa hana mkataba.



Baada ya mabishano ya muda mrefu, Try Again alikubali kwamba asiiongoze Simba jana dhidi ya Kakamega, na badala yake Mfaransa huyo akaenda kukaa jukwaani na mashabiki akiwa amenuna, huku msaidizi wake Masoud Djuma akiiongoza Simba kutinga fainali kwa mikwaju ya penalty 5-4.



Baada ya kugoma kuiongoza timu hiyo jana, ndipo ikaelezwa kuwa Try Again akachukua uamuzi wa kumng’oa rasmi Mfaransa huyo ambaye ameiongoza Simba kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2017/18, akichukua mikoba ya Mcameroon, Joseph Omog ambaye alimaliza mzunguko wa kwanza akiwa hajapoteza mechi yoyote.



Championi linafahamu kuwa Mfaransa huyo asingeweza kuendelea kuwa kocha wa Simba kutokana na Wekundu hao kukerwa na tabia yake ya kupenda fedha kupita kiasi, huku pia wakiwa hawafurahishwi na aina ya soka lake.



Simba pia ilikerwa na namna kocha huyo alivyowatumia wachezaji wake, wengine akiwachezesha katika nafasi zisizo zao, mfano straika Nicholaus Gyan ambaye alikuwa anachezeshwa kama beki wa pembeni chini ya Lechantre.



Hata hivyo, Championi linafahamu kuwa Simba pia haikuwa ikipendezwa na misimamo ya kocha huyo ambaye alikuwa hataki kuingiliwa katika mipango yake ya kikosi.



Championi lilimpata Kaimu Rais wa Simba, Try Again, jana mchana akathibitisha kuwa kocha huyo anaondoka lakini akakataa kufafanua zaidi akidai atazungumza mengi kuhusu ufafanuzi huo baadaye.



“Akitoka hapa, kocha atakwenda kwao, kuna matatizo yametokea. Kwa sasa siwezi kuyaeleza kwa kirefu, nitayatolea ufafanuzi baada ya harakati hizi,” alisema Try Again.



Wachezaji wa Simba, jana walishtushwa kutokana na kutokumuona kocha wao katika benchi la ufundi muda mfupi kabla ya kuanza kwa mechi dhidi ya Kakamega Home Boys.



Kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima, alisema baada ya kushinda mechi ya jana na kutinga fainali, wachezaji wa timu hiyo walikwenda jukwaani kushangilia na Lechantre ili kumpa heshima yake kutokana na mchango wake katika Klabu ya Simba.



“Tulikwenda kushangilia kwa kocha kama kumuonyesha heshima, matatizo yao na uongozi hayatuhusu, maana tuliuliza kwa nini hayupo, tukaambiwa mwenye macho haambiwi tazama,” alisema Niyonzima.



Lechantre anaondoka Simba akiwa ameshinda mechi 10, ikiwemo dhidi ya mahasimu wao, Yanga huku akiwa ametoa sare nne na kufungwa mechi moja katika Ligi Kuu Bara.



Msaidizi wake, Mtunisia, Aimen Mohammed Habib, atafuatana naye kuondoka Simba, kwani naye jana aligoma kuiongoza Simba dhidi ya Kakamega.

Simba itaendelea kuwa na Djuma kama kocha mkuu huku ikiendelea kusaka kocha wa kuvaa viatu vya Lechantre.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Aongoza Mamia ya Watu Kumzika Sam wa Ukweli

$
0
0
RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameungana na familia, ndugu, wasanii na waombolezaji wengine kuuzika mwili wa aliyekuwa msanii wa Bongo Fleva, Sam wa Ukweli aliyezikwa jana nyumbani kwao, Kiwangwa Bagamoyo, mkoani Pwani.


Mbali na Rais Kikwete, wengine waliofika ni Mwanaye ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, wasanii wakiwemo Rapa Fid Q, Roma, Snura Mushi, Ben Pol, G Nako na wengine.


Sam wa Ukweli alifariki dunia Jumatano usiku, Juni 6, 2018 katika Hospitali ya Palestina iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu, na kuzikwa jana Ijumaa katika nyumbani kwao Kiwangwa, Bagamoyo.

Mama Mobeto Aoga Mvua ya Matusi Mitandaoni Ageuka Mbogo

$
0
0
Mama Mobeto Aoga Mvua ya Matusi Mitandaoni Ageuka Mbogo
DAR ES SALAAM: Pale mtu mzima anapoingilia mambo ya watoto kisha akatolewa nishai, ni heri akajifunza kujipanga kuliko kuzidi kupoteza netiweki.

Hicho ndicho kilichompata mama mzazi wa mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto ‘Tununu’, Shufaa Rutiginga ‘Mama Mobeto’ baada ya kuingilia mambo ya watoto mitandaoni kisha kuoga matusi na kujikuta akigeuka mbogo kwa wanahabari.

Baada ya Mobeto kuingia kwenye mgogoro mzito na familia ya baba mtoto wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alidaiwa kumwagwa na jamaa huyo kisha kuandikwa vibaya kwenye mitandao ya kijamii.



Katika hali kama hiyo, kama mzazi bila kujua kitakachompata, mama Mobeto aliandika ujumbe mrefu kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwaomba watu, mashabiki na wazazi kuacha kumtukana mwanaye akiomba wamsamehe kwani yeye kama mama, anaumizwa mno na kitendo hicho.

Mara baada ya kuweka tu ujumbe huo, ulianza kusambazwa kwenye kurasa mbalimbali za mtandao huo mithili ya moto wa kifuu ambapo watu walianza kumshushia matusi ya nguoni ambayo hayaandikiki gazetini huku wakimtaka anyamaze maana yeye kama mama siyo busara kujihusisha na mitandao ya kijamii na kuingilia mambo ya watoto.


Kutokana na watu kumshambulia kwa matusi mazito, Ijumaa lilimtafuta mama Mobeto ili kujua anachukua hatua gani dhidi ya watu hao au anajisikiaje ambapo aligeuka mbogo na kusema hataki kusikia wala kuzungumza chochote.

“Kwa kweli sitaki kuzungumza tena chochote kwa sasa, yale niliyoandika Instagram yanatosha pia sitaki kuongea kabisa na waandishi wa habari,” alisema mama Mobeto kisha akakata simu na kila alipopigiwa na kuambiwa kuwa anazungumza na mwandishi wa habari alikata simu fasta.



Hivi karibuni kumekuwa na vuguvugu kubwa kwenye mitandao ya kijamii kutokana na habari kwamba Diamond amerudiana na mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ huku akimwacha hewani Mobeto ikiwa ni siku chache tangu mwanadada huyo alipojihakikishia kuwa na jamaa huyo.

Jambo hilo lilizua mjadala endelevu, ikionekana kwamba, Mobeto siyo levo ya Zari na kwamba pumzi yake ni ndogo kushindana na mwanamama huyo raia wa Uganda mwenye maskani yake nchini Afrika Kusini.

Steve Nyerere Awatolea Povu Wasanii wa Bongo Fleva Walioshindwa kuhudhuria Msiba wa Sam wa Ukweli

$
0
0
Steve Nyerere Awatolea Povu Wasanii wa Bongo Fleva Walioshindwa kuhudhuria Msiba wa Sam wa Ukweli
Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Steve Nyerere amesema kuwa wasanii wengi hususani wa Bongo Fleva hawana hofu na Mungu hao wanachoogopa ni kuporomoka kwa vipaji vyao.


Steve amesema hayo kwenye mahojiano yake na Bongo5 wakati akizungumzia sakata la wasanii wengi wa muziki kushindwa kuhudhuria kwenye msiba wa Sam wa Ukweli kitu ambacho amekieleza kama ni ukosefu wa umoja baina ya wasanii hao.

Mahakama ya ICC Imemuachia Huru Aliyekuwa Makamu wa Rais wa DRC

$
0
0

Mahakama ya ICC imemuachia huru aliyekuwa Makamu wa Rais wa DRC
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) nchini Uholanzi imemuondolea makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu yaliyokuwa yanamkabili aliyekuwa Makamu wa Rais wa zamani wa DRC Jean Pierre Bemba.

Bemba alipatikana na hatia March, 2016 kwa makosa ya uhalifu uliotokea  Jamhuri ya Afrika ya Kati, kati ya mwaka 2002 na 2003 na kuhukumiwa June 21.

Bemba aliyekuwa anatumikia kifungo cha miaka 18 jela kutokana na makosa hayo ameachiliwa kufuatia rufaa iliyowasilishwa kupinga hukumu hiyo.

Donald Ngoma Kurejea Leo Akitokea Afrika Kusini kwa Matibabu

$
0
0
Donald Ngoma Kurejea Leo Akitokea Afrika Kusini kwa Matibabu
Mshambuliaji mpya wa Azam FC, Donald Ngoma, anawasili leo nchini akitokea Afrika Kusini alipokuwa amepelekwa kufanyiwa vipimo vya afya.

Ngoma alikuwa katika jiji la Cape Town kwa ajili ya vipimo hivyo ambavyo tayari vimekamilika na leo mchana Daktari wake atatoa ripoti ya matokeo ya vipimo hivyo.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa klabu ya Azam, Jaffer Idd, amesema Ngoma atawasili majira ya leo mchana akiwa sambamba na daktrari wake aliyeenda naye Afrika Kusini.

Ikimbukwe Ngoma alishindwa kucheza talribani mechi zote za msimu uliopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha wakati akiwa Yanga.

Mapema baada ya kuingia naye mkataba, Azam waliazimia kumsafirisha mpaka Cape Town kwa ajili ya kufanyiwa vipimo kiafya.

Lulu Diva Afunguka Kuhusu Penzi Lake na Rich Mavoko " Awezi Kunivunjia Swaumu Yangu

$
0
0
Lulu Diva Afunguka Kuhusu Penzi Lake na Rch Mavoko " Awezi Kunivunjia Swaumu Yangu
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa penzi lake na msanii Richard Martin ‘Mavoko’ haliwezi kutengua swaumu yake kwani anayajua maadili ya Mwezi Mtukufu.



Akizungumza na Risasi Jumamosi Lulu Diva alisema kuwa, japo Mavoko ni Mkristo, lakini hajaingilia funga yake kwani mara nyingi wanaonana baada ya futari tu na huwa ni kwa ajili ya maongezi ya kawaida na si vinginevyo.



“Unajua sasa hivi niko kwenye mfungo lakini siwezi nikasema nitaacha kumuona Mavoko mpaka mwezi huu uishe, itakuwa ngumu. Ninachokifanya kila ninapomaliza kufuturu namuona na uzuri anaheshimu swaumu yangu sana tu,” alisema Lulu.

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

TID: Wanatuita ma LEGENDS ili Kutupoteza, Wawapandishe Wasanii wao..Aiponda Clouds FM Kiana

$
0
0
TID amekataa Kabisa kuitwa mkongwe kwenye Game ya mziki Bongo akidai kuwa wanafanya hivyo ili kuwashusha wao na kuwapandisha wasanii wao wasiojua.!

Mtazame hapa:

DULLY SYKES Aiponda Kauli ya TID Kuhusu LEGENDS au Wakongwe Katika Muziki wa Bongo Flava

$
0
0
Mkongwe wa muziki nchini amesema hawez kukataa u Legend kwani unapopita miaka 15 tayari wewe ni Legend.

VIDEO:

MADAM RITHA: Wanaobana Kupiga Nyimbo za Wasanii wa BSS Wana Laana

$
0
0
Madam ritha kutoka Bongo star search (BSS) amezungumza na Refresh ya Wasafi TV kuhusiana na wasanii wa BSS kutopewa support ya kutosha ya nyimbo zao kwenye Mediahouses.

VIDEO:

Viewing all 104775 articles
Browse latest View live




Latest Images