Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live

Kiwanja Kikubwa kinauzwa Bunju Kwa Bei Nafuu Kabisa...

$
0
0

Plot kubwa (sqm 2600) inauzwa: Bunju
Plot iko kwa kipingu, km 2 kutoka Bunju Sokoni. Kiwanja kimepimwa na bei ni sh 40 mil, maongezi yapo.
Call 0758603077

Wasiliana na Dr Mabula Anatibu Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha na Matatizo ya Maumbile Madogo kwa Mwanaume

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO
Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?

MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja 1hitakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uhimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio hasirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate amu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona? zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Download Hapa Application Mpya ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

Alikiba, Samatta Kuonyeshana Ubabe Taifa Leo

$
0
0
Alikiba, Samatta Kuonyeshana Ubabe Taifa Leo
BAADA ya Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’ kutamba timu yake itaibuka na ushindi mbele ya timu ya Samatta, mwenyewe ameibuka na kumjibu mpinzani wake.



Mbwana Samatta ambaye anai­chezea KRC Genk ya Ubelgiji, ameunda timu yake ambayo leo Juma­mosi ina­tarajiwa kucheza mechi maalum na timu ya Alikiba katika Uwanja wa Taifa, Dar ikiwa na lengo la kuchangia elimu hapa

Tanzania.

Akizungumza na waandi­shi wa habari, Samatta al­isema anaamini wachezaji aliowachagua kuunda timu yake watampa matokeo mazuri katika mchezo huo.



“Tumejipanga kufanya vizuri kwani tumefanya maandalizi ya kutosha kwa upande wetu tayari kwa mchezo huo, nawaamini wachezaji niliowachagua tutafanya vizuri.



“Kama inavyofahamika ni kwamba lengo la mchezo huu ni kuchangia elimu na wazo hili lilikuwa ni langu, nikaona bora nimshirikishe mwenzangu Alikiba.



“Huu ni mwanzo tu, malengo yetu ni kuona hili jambo linakuwa endelevu kwa nchi nzima na si Dar pekee,” alisema Samatta.

TID Atupa Dongo Hili "Wanataka Kumshusha Daimond Sijui Wanataka Kumuweka Nani"

$
0
0
TID Atupa Dongo Hili "Wanataka Kumshusha Daimond  Sijui Wanataka Kumuweka Nani"
Msanii TID amesema kuwa utaratibu wa wadau/media kushusha wasanii pale wanapodai maslai yao na kuwapandisha wengine ndio kitu kinaathiri muziki wa Bongo Flava.

Muimbaji huyo ameeleza kuwa kitu hicho ndicho kilitokea kwenye muziki wake na kwa sasa kimemtokea Diamond.

“Na kweli anaweza because he has a media, yaani yeye ndio kama Mungu anajiona but mimi hapana. Nilifanya kosa hilo lakini kosa hilo ndilo limewasanua wasanii wengine, unaona msanii kama Diamond naye amekataa,” amesema.

“So Diamond was me lakini wakasema wewe siunajifanya mjanja sasa tunamleta Diamond tukushushe wewe. At the end Diamond naye wanataka kumuua, sijui wanataka kumuweka nani,” TID ameiambia Wasafi TV.

TID ameongeza kuwa hajaona kitu kama hicho nchini Kenya kwani bado anamuona Jaguar ni msanii mkubwa, Nonini ni msanii mkubwa anapewa heshima yake hakuna underground yeyote amewekwa pale kumshusha Nonini.

TFF Yapokea Barua ya Yanga....... Yaipaitaka Kujieleza kwa Kina Kabla ya Jumapili

$
0
0
TFF Yapokea Barua ya Yanga....... Yaipaitaka Kujieleza kwa Kina Kabla ya Jumapili
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia ameutaka uongozi wa klabu ya Yanga kutoa jibu linaloeleweka hadi kabla ya Jumapili juu ya kujitoa kwao kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, (CECAFA KAGAME CUP).


Kauli hiyo ya Karia imekuja kufuatia Yanga kuiandikia barua TFF kuwaarifu kutoshiriki michuano hiyo kutokana na kubanwa na ratiba ya mashindano mengine.

Karia amesema kwamba amelazimika kutoa agizo hilo kutokana na kutoridhishwa na sababu walizozitoa Yanga kwani hata timu nyingine zinazoshiriki michuano hiyo zina ratiba ngumu pia.

“Kabla hata hatujalipeleka suala hili CECAFA, nauomba uongozi wa Yanga hadi kufika jumapili uwe umetoa jibu la kueleweka juu ya mashindano hayo,”amesema Karia.

Aidha karia ameongeza kuwa kweney CECAFA KAGAME CUP kuna timu za Gor Mahia na Simba ambazo pia bado ziko kwenye michuano ya SportsPesa Super Cup hivyo kama kulalamikia ratiba zenyewe zingekuwa za kwanza kufanya hivyo.

Kocha Msaidizi wa Simba, Masoud Djuma Akabidhiwa Majukumu Lechantre

$
0
0
Kocha Msaidizi wa Simba, Masoud Djuma Akabidhiwa Majukumu Lechantre
Kocha Msaidizi wa Simba, Masoud Djuma, amekabidhiwa majukumu yote ya Mfaransa Pierre Lechantre kwa kipindi hiki baada ya kuondoka Kenya na kuiacha timu ikijiandaa na fainali ya mashindano ya Super CUP dhidi ya Gor Mahia FC.

Mrundi huyo ataingoza Simba kucheza fainali ya Super CUP dhidi ya Gor Mahia Jumapili ya wiki hii kwenye Uwanja wa Afraha akiwa Kocha pekee kwenye benchi la ufundi la timu hiyo.

Lechantre pamoja na Mwalimu wa viungo, Aimen Habib wameondoka leo asubuhi kurejea Tanzania kwa ajili ya kujua hatima ya mikataba yao ambayo inamalizika siku kadhaa zilizosalia. Kuondoka kwao Mfaransa huyo kunampa majukumu yote Djuma kuiandaa timu kuelekea mchezo wa fainali hiyo ambapo kikosi kitakuwa chini yake mpaka mwisho wa mashindano.

Kocha Djuma amekuwa akililiwa na mashabiki wengi wa Simba kwa muda mrefu wakiomba akabidhiwe timu huku wakiuomba uongozi umtimue Mfaransa Lechantre wakidai kutoridhishwa na kiwango cha timu ikiwa chini yake.

Haijajulikana baada ya mashindano ya Super Cup kama uongozi wa Simba utampa Djuma majukumu ya kuwa Kocha Mkuu ama utamsajili mwingine, pengine tusubiri kuona itakuwaje.

Zari Ashangazwa na Jamii Inayoponda Ishu ya Umri Katika Mapenzi ‘'Watu na Vibabu Vyenu’'

$
0
0
Zari Ashangazwa na Jamii Inayoponda Ishu ya Umri Katika Mapenzi  ‘'Watu na Vibabu Vyenu’'
Mzazi mwenza wa Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady ameelezwa kushangazwa na jinsi jamii inavyomchukulia mwanamke mwenye umri mkubwa kuwa na mahusiano na kijana mdogo wa kiume.

Zari amesema lakini jamii haishangai pindi mwanamke mdogo anapokuwa na mahusiano na mtu mzima zaidi. Kupitia mtandao wa Snapchart ameandika;

Sitting here and thinking. Society is so quick to judge an older woman dating a young guy, but not a 40+ guy dating a 19 yr old. so tyical! Watu na vibabu vyenu.

Utambuka Zari na Diamond wamewahi kuwa katika mahusiano na kujaliwa kupata watoto wawili na inafahamika Zari ni mkubwa kwa Diamond. Baada ya kuachana kwao hivi karibuni kumekuwa na taarifa zinadai kuwa wamerudiana ila hakuna kati yao aliyethibitisha hilo.

Mwanasiasa Maharufu Nchini Uganda Ibrahim Abiriga Auwawa kwa Kupigwa Risasi na Watu Wasiojulikana

$
0
0
Mwanasiasa Maharufu Nchini Uganda Ibrahim Abiriga Auwawa kwa Kupigwa Risasi na Watu Wasiojulikana
Mmoja wa wanasiasa maarufu nchini Uganda Ibrahim Abiriga ameuawa kwa kupigwa risasi jana usiku.


Polisi imesema mwanasiasa huyo wa Chama Tawala cha National Resistance Movement 'NRM' pamoja na mlinzi wake waliuawa karibu na makazi ya mwanasiasa huyo yaliyoko katika eneo linalojulikana Kawanda kaskazini mwa mji mkuu Kampala na watu wasiojulikana.

Abiriga mwenye umri wa miaka 62 ni Mbunge wa Arua na anajulikana kama mmoja wa wanasiasa waliokuwa mstari wa mbele kuunga mkono mswada wa kuondoa ukomo wa umri wa kugombea urais nchini Uganda.

Rais Yoweri Museveni amesema amesikitishwa na kifo cha mbunge huyo na kuagiza maafisa wa usalama kuwasaka waliomuua mbunge huyo.

Zamaradi Ajifungua Mtoto wa Kiume

$
0
0
Zamaradi Ajifungua Mtoto wa Kiume
Mtangazaji maarufu wa TV, Zamaradi Mketema ambaye pia ni mdau mkubwa katika tasnia ya Bongo movie ametangaza habari njema  usiku kuamkia leo baada ya kujifungua mtoto wake jioni ya jana.

Zamaradi amefanikiwa kujifungua mtoto wake wa tatu ambaye ni wa kiume lakini huyu atakuwa mtoto wake wa kwanza na mume wake Shabani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram haya ndo maneno aliyoyatupia ”

Asante MUNGU kwa zawadi hii

Its a BOY Alhamdulillah!!😊🙏🏿🙏🏿🙏🏿

Lynn Ashindwa Kuzungumza Baada ya Kusikia Daimond Amerudiana na Zari "Siwezi Naomba Nibaki Kimya"

$
0
0
Lynn Ashindwa Kuzungumza Baada ya Kusikia Daimond Amerudiana na Zari "Siwezi Naomba Nibaki Kimya"
VIDEO Queen Irene Charles ‘Lynn’ ambaye alijipatia umaarufu baada ya kukwaa skendo ya kutoka kimapenzi na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ amepata kigugumizi aliposikia mwanamuziki huyo amemfuata mzazi mwenziye, Zarina Hassan ‘Zari’ kwa nia ya kurudiana.

Hiyo imekuja baada ya siku za hivi karibuni ‘modo’ huyo kudai kuwa, anao uwezo wa kumng’oa Hamisa Mobeto kwa Diamond na zilipovuja taarifa kuwa Zari anarudisha majeshi na yeye kuulizwa ana lipi la kusema alipata kigugumizi na kusema:



“Kuhusu Diamond kwenda kwa Zari yaani siwezi kuzungumza chochote, nina sababu zangu please naomba nibaki kimya,” alisema Lynn.

Masunzu Power Mix Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0

MASUNZU POWER MIX DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO

🌸MASUNZU POWER MIX ni dawa ya asilia yenye mchanganyiko wa mitishamba 7 yenye maajabu yafuatayo (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume Mara dufu na kuimalisha uume uliolegea wakati wa tendo la ndoa (2) kurefusha uume uliorudi ndani nchi 5-8 (3) kunenepesha uume sm4 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk (15-20) kwa tendo la kwanza na utakuwa nauwezo wa kurudia tendo la ndoa Mara (2-4) bila hamu kuisha nainatibu kabisa. Dawa hii haina madhara yoyote kwa mtumiaji huanza kufanya kazi baada ya dk 50 tu 🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾

MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA ngiri. au umejichua kwa muda mrefu. Punyeto kisukari. Presha. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma chini ya Kitovu. Kutopata choo vizuri. Msongo wa mawazo. Kaswende. Gono. Haya yote husababisha kuwa na maubile madogo na kukosa nguvu za kiume

🌸SOSOMA DX. ni dawa ya kumvuta mme au mke au mpenzi wako arudi haraka na kuanza mapenzi mapya kama mlivyo anza mwanzo baada ya masaa 2 atarudi na kutulia ndani ya nyumba na kutimiza ahadi yako

🌸GINDU EXTRA ni dawa ya kutibu kisukari siku 14 unapona kabisa hata kama imepanda itashuka haraka Sana. Tunatibu busha bila upasuaji nk. Dar es salaam tunapatikana buguruni chama au unaweza kuletewa popote ulipo

Wasiliana na tabibu ATHUMAN SIMU +255673552294 / +255784552299

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Juma Nature Atangaza Bifu Zito

$
0
0
Juma Nature atangaza bifu nzito
Msanii mkongwe na miongoni mwa waasisi wa muziki wa BongoFleva, Juma Nature amefunguka na kuwaonya wasanii wa sasa kuacha tabia ya kuigana na kubweteka katika kufanya kazi zao kwa kuwa kitendo hicho kinapelekea kuua muziki.


Juma Nature ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha FRIDAY NIGHT LIVE 'FNL' kinachorushwa mubashara na EATV baada ya kuwepo minong'ono mingi kwa mashabiki na wadau wa muziki nchini kulalamikia vitendo vya baadhi ya wasanii kutokuwa wabunifu katika ufanyaji kazi zao

"Hii ni kazi lakini wengine wanachukulia ubishoo. wasanii wanabweteka sana na hilo ndio tatizo kubwa la vijana wa sasa hivi akitoa nyimbo moja anajiona ameshaweza kila kitu. Nawaambia kitu kimoja kwamba wakongwe tumesharudi na hatuwezi kukubali kuona wanakuja watu wengine kutoka sehemu zingine watupite tunawaona hivi hivi, mimi sikubali nasema hata kidogo", amesema Nature.

Pamoja na hayo, Nature ameendelea kwa kusema "sasa hivi wasanii ni wengi sana halafu wengi wao wanaigana ndio maana unakuta hakuna ushindani. Nadhani imefika wakati hawa wasanii wetu kujifunza na kuacha uvivu katika kazi zao za muziki waufanye kazi ambayo itawasaidia wao pamoja na vizazi vyao vitakavyokuja".

Kwa upande mwingine, Juma Nature amesema kilichosababisha wasanii wakongwe 'zamani' ikiwemo yenye mwenyewe ni nyimbo zao kudumu mpaka miaka hii ni kutokana na maudhui ya kazi kutofanana kwasababu kila mmoja wao alikuwa mbunifu.

Wasira Amtaka Zitto Kabwe Aipumzishe CCM

$
0
0
Wasira Amtaka Zitto Kabwe Aipumzishe CCM
Aliyekuwa Waziri na Mbunge wa Jimbo la Bunda, Stephen Wasira amemtaka Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) kuipumzisha Chama cha Mapinduzi (CCM) katika ukurasa wake wa ‘twitter’ kuhusiana na mjadala wa Maaskofu wa KKKT.


Wasira akizungumza na eatv.tv amefunguka kuwa Chama cha Mapinduzi ni wanachama na vikao na hakuna kikao chochote kilichokaa kujadili waraka huo wa maaskofu na kumtaka Zitto asiwatuhumu kwenye mitandao ya kijamii.

“Zitto anaihusisha CCM kwenye vitu ambavyo hatujajadili tukiwa kama chama kwani tuna vikao vyetu halali na huwa taarifa inatolewa lakini kwa hilo anakosea”, amesema Wasira.

Mwanzoni mwa wiki hii ilisambaa barua mitandaoni ikiwataka viongozi wa Kanisa la KKKT kuwataka kuufuta waraka uliotolewa Pasaka ndani ya siku kumi, ambao suala ambalo liliibua mijadala katika mitandao ya kijamii na miongoni mwa watu hao alikuwa ni Zitto Kabwe na Humphrey Polepole na jana Juni 8, Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. Mwigulu Nchemba katika mkutano wake na waandishi wa habari alikanusha barua hiyo.


Spika Ndugai Aosha Magari Katika Kuhamasisha Uchangiaji Wa Fedha Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Vyoo

$
0
0
Spika Ndugai Aosha Magari Katika Kuhamasisha Uchangiaji Wa Fedha Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Vyoo
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiosha magari tofauti tofauti wakati wa shughui ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia fedha za kujengea Vyoo vya mfano kwa ajili ya watoto wa Kike na wenye mahitaji maalum. Shughuli hiyo imefanyika katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE

Chadema Haijawahi Kushindwa Uchaguzi Ila Tunapokonywa Ushindi- Sosopi

$
0
0
Chadema Haijawahi Kushindwa Uchaguzi Ila Tunapokonywa Ushindi- Sosopi
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema, BAVICHA, Patrick Ole Sosopi amesema kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hakijawahi shindwa uchaguzi lakini ushindi wao unapokonywa.



Sosopi ameyasema hayo alipotembelea Makao Makuu ya Ofisi za Mwananchi Communications Limited, ambapo amesema kuwa ushahidi mzuri ni uchaguzi wa Kinondoni sanduku liliibiwa mbele ya Polisi.

“CHADEMA hatujawahi kushindwa uchaguzi lakini ushindi wetu tunapokwa, ushahidi ni Kinondoni sanduku la kura linaibiwa mbele ya polisi na linarudishwa hakuna anayekamatwa, imani ya wananchi kwa CHADEMA ni kubwa sana,” alisema Sosopi.

Wafuasi wa Zuma Wamzomea Mjumbe wa Ramaphosa

$
0
0
Wafuasi wa Zuma wamzomea mjumbe wa Ramaphosa
Mgawanyiko wa dhahiri umeanza kujitokeza wazi ndani ya chama cha ANC huku wafuasi wa rais aliyeondolewa madarakani Jacob Zuma wakipinga kuhutubiwa na mwenyekiti Gwede Mantashe aliyegemea upande wa Rais Cyril Ramaphosa.

Wafuasi wa Zuma Ijumaa usiku walizusha tafrani katika mkutano wa jimbo kwa kumzomea Mantashe alipopanda jukwaani kutaka kuzungumza.

Waliokuwa wakizomea ni wafuasi wenye hasira, ambao kwa wazi kabisa walionekana kuwa wafuasi wa Zuma walikuwa wakiimba “Wenzeni uZuma‚ wenzeni uZuma” yaani “Zuma amewakosea nini?”

Mantashe‚ aliyekwenda kwa ajili ya kutoa hotuba kwa niaba ya uongozi wa ngazi ya juu ya chama, alizuiwa kuzungumza licha ya mratibu wa jimbo hilo Shle Zikalala kujaribu kuwasihi waache kuimba.

Mwandishi wa mtandao wa SowetanLIVE alishuhudia wajumbe wengi wakiimba na kupiga meza kila Mantashe alipojaribu kuzungumza.

Hata hivyo, Mantashe alisema atazungumza vivyo hivyo licha ya kelele zilizokuwa zikitolewa na aliowaita “watu wachache”.

“Kwa bahati mbaya nitazungumza hapa usiku leo labda kama huu si kutano wa ANC. Ikiwa huu ni mkutano wa kikundi kilichoasi‚ basi sitazungumza,” alisema Mantashe. Kutokana na hali kuendelea kuwa tete waandishi wa habari waliamliwa baadaye kuondoka.

Taarifa zinasema Mantashe alizomewa yakiwa ni matokeo ya yeye kuwa upande wa rais wa ANC Cyril Ramaphosa katika kipindi cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Desemba mwaka jana.

Mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa jimbo hili ulitarajiwa kufanyika Ijumaa na kumalizika Jumamosi lakini ulivurugwa na wanachama wasioridhishwa na hali ilivyo.

Mahakama Kuu ya KwaZulu-Natal mjini Pietermaritzburg ilitoa amri ya kusitishwa uchaguzi. Kesi itasikilizwa Julai 7.

Maalim Seif Aanza Ziara Yake ya Siku Mbili Kisiwani Pemba

$
0
0
 Maalim Seif Aanza Ziara  Yake ya Siku Mbili Kisiwani Pemba
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad ameanza ziara ya siku mbili kisiwani Pemba leo.

Mkurugenzi wa habari wa chama hicho upande wa Maalim Seif, Salim Abdalla Bimani amesema   leo kuwa ziara hiyo ni ya kawaida kwa kiongozi huyo kila ifikapo mwezi wa Ramadhan.

Amesema ziara hiyo haihusiani na harakati za chama bali ni kuwajulia hali wagonjwa na kuwapa pole wafiwa kama ilivyo kawaida yake.

Katika ziara hiyo ya siku mbili anatarajiwa kutembelea mikoa yote miwili ya kisiwa hicho na kisha kurudi kisiwani Unguja kuendelea na ziara kama hiyo katika maeneo mbali mbali.

Bimani amewataka wananchi wa kisiwani hicho cha Pemba kutoa ushirikiano wao wa kina kwa kiongozi huyo wa chama chao .

Mkutano Mkuu wa Yanga Kufanyika Kesho...... Maji Akubali Kuhudhuria

$
0
0
Mkutano Mkuu wa Yanga Kufanyika Kesho...... Maji Akubali Kuhudhuria
Mkutano Mkuu wa klabu ya Yanga unafanyika kesho kwenye Ukumbi wa Police Officers Mess, Oyster Bay kuanzia saa 3 kamili asubuhi.

Kuelekea mkutano huo, taarifa zinasema aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga, Mfanyabiashara, Yusuph Manji, amekubali kuhudhuria mkutanoni ili kujumuika na wanachama wa klabu hiyo.

Mkutano huo unaenda kufanyika huku malengo makubwa yakiwa ni kubadilisha mfumo wa uendeshwaji wa klabu hiyo kutoka mfumo wa unaotegemea wanachama na badala yake kuwa wa uwekezaji.

Mbali na Manji kuhudhuria, Waziri aliye na dhamana ya michezo, Harrison Mwakyembe naye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kufuatia kualikwa na viongozi wa Yanga.

Uongozi wa Yanga umewaomba wanachama kufika mkutanoni wakiwa na kadi zao zikiwa hai ili kuweza kuingia ukumbini.
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live




Latest Images