Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live

Binti wa Advanced Level Sec Ananikosesha Raha Ndani ya Ndoa Yangu

$
0
0

Wajumbe mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 Ni Mwajiriwa wa Serikali, nimeoa na nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 3.
Licha ya kwamba niko kwenye ndoa, lakini ilitokea siku moja asubuhi nikiwa barabarani na gari langu nikitokea nyumbani kwangu Mitaa ya Kihonda Magorofani nikielekea kazini Morogoro mjini.Nilikutana na Mwanafunzi kavaa sare za shule na alikuwa akielekea shuleni nae.Nilisimamisha gari na kumuuliza kama anaenda shuleni maana baada ya kuona sare alizovaa niliweza kutambua ni shule gani anasoma.Baada ya kumuuliza kama anaenda shule aliitikia kwamba anaenda shuleni, nilitoa Lock ya Milango ya gari nikamwambia apande nimsogeze kidogo.

Cha kushangaza niliona akifungua mlango wa mbele na kuingia maana nilikuwa peke yangu.Niliondoa gari tayari kuendelea na safari,tukiwa njiani niliweza kumuuliza jina lake, wazazi wake kadharika tulipeana hadi namba za simu.

Baada ya siku mbili alinitumia msg iliyosomeka hivi."Shikamoo, Habari ya kazi?Nimeona sio vizuri kukaa kimya wakati juzi ulinisaidia nikawahi shuleni.Jioni Njema na karibu nyumbani." Bahati mbaya hiyo msg sikuweza kuijibu maana nilikuwa niko na wife na zaidi niliifuta baada ya kuisoma.Baadae nilitafuta nafasi nikampigia kumjulisha msg yake nimeipata akadai amefurahi sana kusikia sauti yangu.Na mimi kama mwanaume nikamuomba atafute muda japo siku moja tukutane tena tuongee.Alikubali na kuniahidi nimtafute siku za Ijumaa jioni, Juma mosi na jumapili maana hizo siku anakuwa free.

Ilipofika Ijumaa nilimtafuta tukaenda Hotel moja nje kidogo ya Mji tukaongea sana na ikafikia hata mimi nikamwambia namtaka, alionekana mpole na akakubali ombi hilo pia akaomba tukutane siku inayofuatia ambayo ni Juma Mosi.Tuliingia kwenye gari nikamuacha jirani na nyumbani kwao na mimi nikarudi kwangu

Jumamosi mida ya saa 8 alinibeep nikampigia then nikamwambia ajiandae ndani ya nusu saa nitampitia. Time ilipofika nilimpitia sehemu tuliokubaliana tukaelekea sehemu husika, huko huko ndio tulipeana mapenzi(Nilimgegeda effectively). Baada ya siku hiyo kugegeda ikawa Continuously.

Ila shida imekuja sasa huyu binti anadai nimpeleke nyumbani kwangu ili nikamtambulishe kwa Mke wangu ili wafahamiane. Nimejaribu kumshauri kwamba yeye bado ni mwanafunzi hivo atulie kwanza amalize masomo yake lakini hanielewi

Anadai kila siku asubuhi niwe nampeleka shuleni na jioni kumrudisha kwa gari langu.Hilo nalo nikamshauri kwamba isiwe kila siku ila pale tukapoona inafaa bado haelewi.

Nimemkataza kunipigia simu au kutuma msg hasa mida ya usiku maana mke wangu atanielewa vibaya hilo nalo haelewi

Amechukua namba ya simu ya mke wangu kwenye simu yangu bila mimi kujua na kumpigia simu mke wangu nae akiwa kazini kwake akimtaarifu kuwa yeye ni mke mwenzie na baadae kurusha msg kibao akidai huo ni utambulisho tosha.Kwa ujumla siku hiyo hayo yote yalipotendeka mimi na mke wangu hatukulala kwa amani kabisa,Wife alilia karibu akataka kukesha.

Nilimfuata yule Binti nikamuonya vikali nusura kuchapa makofu na nikamwambia simuhitaji tena ila yeye kakomaa kwamba kama nataka kumpiga sababu ya mke wangu basi na nikimuacha anajiua na kuacha ujumbe.Ameenda mbali kuniambia kwamba nimemuharibia akili zake maana toka nifanye nae mapenzi hana hamu kabisa ya kusoma au kwenda shuleni.

Wakuu nifanye hapo, Kuna hatari mbili ambazo ni:
1. Ndoa kuvunjika (Wakati tayari tuna mtoto)
2. Kwenda Jera (ukizingatia huyu ni Mwanafunzi)

Naomba mchango wenu

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Amber Lulu Aamua Kutoa Mimba ya Prezzo

$
0
0
Amber Lulu  Aamua Kutoa Mimba ya Prezzo
KAMA mjuavyo siku zote kwamba ili ubuyu unoge ni vizuri tuumung’unye tukiwa wengi, peke yako haonogi bwana na ndio maana ‘nashea’ na nyinyi kila wiki kupitia safu hii ya Ubuyu.  Kwa leo nawaletea ubuyu wa aliyekuwa muuza nyago maarufu ambaye kwa hivi sasa amegeukia kwenye muziki, Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ anayetamba na wimbo wa Jini Kisirani.



Kwa nini ametupambia Ubuyu wa leo mrembo huyu? Anadaiwa kuchoropoa mimba ya mwanamuziki maarufu nchini Kenya Jackson Makini ‘Prezzo’ wakati ujauzito huo ukiwa umeshaanza kuwa mkubwa.



TUJIUNGE NA CHANZO

Mpashaji wetu ambaye ni rafiki wa karibu na Amber, alishusha ‘vesi’ kuwa, mrembo huyo kuna kipindi alikaa sana nchini Kenya kwa mpenzi wake huyo na hata aliporejea Bongo, alikuja mara mojamoja na kuondoka.

Mnyetishaji huyo aliendelea kumwaga mchele kwenye kuku wengi kwa kusema kuwa, kutokana na kuja huko kwa ‘wiziwizi’ ilikuwa ni vigumu hata kwa watu kujua kama amenasa ujauzito huo huku ikidaiwa, Prezzo alishaamua kuishi naye kabisa kama mtu wake na baadhi ya ndugu zake wa karibu walishaanza kumjua.



“Unajua kuna kipindi Amber Lulu alikuwa hayupo kabisa nchini aliporejea alikuwa tayari na ujauzito lakini hakuna mtu aliyeweza kumgundua kwa haraka kwa sababu alikuwa akikaa kidogo sana na kuondoka labda watu wake wa karibu tu ndio walikuwa wakijua maana mwenyewe alifanya siri kubwa hakupenda watu wajue akihofia pia angeweza kukosa shoo mbalimbali,” alisema sosi huyo mwaminifu.



 Chanzo hicho kilizidi kuweka wazi kuwa, si mashabiki tu aliowaficha, hata baba kijacho mwenyewe Prezzo hakumueleza kuhusu ujauzito wake huo kwa sababu kuna kipindi walikuwa hawako sawa hivyo aliona isije akamweka wazi halafu akamuacha kwenye mataa kitu ambacho asingekipenda kitokee na ukizingatia maisha yake anategemea muziki.



“Unajua Amber alipopata ujauzito huo nahisi alikuwa hana maelewano mazuri na Prezzo akaona amfiche kwanza kusikilizia kama wataelewana. Akimueleza kama amebeba ujauzito wa mwanamuziki huyo na kamtolea nje itakuwa ni shida sana huku yeye mwenyewe anategemea muziki kuendesha maisha yake,” kilisema chanzo.



HUYU HAPA AMBER LULU

Baada ya gazeti hili kupata ubuyu huo, lilimtafuta Amber Lulu ili aweze kufafanua madai hayo mazito ambapo alipobanwa maswali alifunguka kama ifuatavyo:

Wikienda: Vipi Amber, mbona nilisikia una ujauzito wa Prezzo?

Amber: Nani amekwambia maana ungeniona hapa na kitumbo.

Wikienda: Nasikia uliichoropoa hukutaka kero.

Amber: Kero ya nini sasa maana mimba ningebeba mimi lakini siyo yeye (Prezzo).

Wikienda: Kwa hiyo bado mko kwenye uhusiano na Prezzo?

Amber: Ndio niko naye bado na kuhusu kushika ujauzito siku si nyingi.

Wikienda: Sasa si ulipata ukatoa?

Amber: Mimi sitaki kuzungumzia hiyo habari bwana na wala sitaki uiandike.

Wikienda: Haya nashukuru sana Amber.

Amber: Asante.

Zawadi ya Iddy Yamlainisha Baba Daimond....... Aamua Kumsamehe Queen Darleen

$
0
0
Zawadi ya Iddy Yamlainisha Baba Daimond....... Aamua Kumsamehe Queen Darleen
BABA mzazi wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Juma amedaiwa kulainishwa na zawadi za Sikukuu ya Idd na kumsamehe binti yake, Mwajuma Abdul ‘Queen Darleen’ ambaye walikuwa hawaivi.



Juni 8, mwaka huu, Queen alitupia posti kwenye akaunti yake ya Instagram iliyoashiria kuwathamini wazazi kwa kuwanunulia zawadi za sikukuu ya Idd, huku akionesha hofu kwa yeye kupokelewa zawadi zake na mzee Abdul kutokana na ugomvi waliokuwa nao.



“Allah sijui kama mzee Abdul atakubali zawadi zangu, Ramadhan kareem,” ilisomeka posti hiyo. Mtoa ubuyu mmoja ambaye yupo jirani na mzee Abdul alieleza kuwa, mara baada ya mzee huyo kuoneshwa posti hiyo aliamua kumsamehe fasta.



Ijumaa Wikienda lilimtafuta mzee Abdul na kumuuliza kama kweli amemsamehe bintiye huyo, akafunguka: “Yule mimi ni binti yangu, japo hapo awali tulikorofishana mpaka vyombo vya habari vikajua, lakini kama ataamua kuja kuomba msamaha nitampokea na mtoto akishaomba msamaha huwezi ukamkatalia kama kweli ataniletea zawadi nitazipokea na nitazitumia,” alisema mzee Abdul.



Queen aliingia kwenye bifu kali na mzee Abdul baada ya mrembo huyo kuhojiwa na televisheni moja ya mtandaoni kisha kusema, anamtambua Diamond kama baba yake mzazi na si mzee Abdul. Baba Diamond aliposikia hayo, alimtaka mrembo huyo asisogelee kaburi lake endapo atatangulia yeye mbele za haki.
Chanzo Global Punlishers

Trump na Kim Jong-un Tayari Wawasili Singapore kwa Mkutano wa Kihistoria

$
0
0
Trump na Kim Jong-un Tayari Wawasili Singapore kwa Mkutano wa Kihistoria
Rais wa Marekani Donald Trump na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un wamewasili Singapore kwa ajili ya mkutano wao unaoelezwa kuwa wa kihistoria.

Trump aliwasili saa chache tu baada ya Kim kuwasili na ujumbe wake.

Mkutano wao ambao ni wa kwanza utafanyika siku ya Jumanne katika kisiwa cha Sentosa.

Marekani ina matumaini kuwa kukutana kwao utakuwa mwanzo wa mchakato ambao hatimaye itashuhudiwa Kim akiachana na mpango wake wa silaha za nuklia.



Uhusiano wa viongozi hawa wawili umepitia kwenye milima na mbonde kwa kipindi cha miezi 18 iliyopita, wakirushiana matusi na kutishiana vita kabla ya uhusiano wao kuchukua mkondo mwingine na kuamua wawili hao kukutana.


Mwaka wa kwanza wa Trump katika kiti cha urais ulianza kwa mvutano mkubwa na kurushiana maneno huku Kim naye akiendeleza majaribio ya silaha za nuklia na kukiuka ilani ya kimataifa.

Rais wa Marekani aliapa kupambana ikiwa Pyongyang itaendelea kuitishia Marekani, wote wakipeana majina ya kukebehi.

Korea Kaskazini iliendelea kukaidi na kufanya jaribio la nuklia la sita mwezi Septemba mwaka 2017.

Baadae Kim alitangaza kuwa nchi yake imefanikiwa mpango wake wa kua taifa la nuklia, likiwa na silaha zinazoweza kuifikia Marekani.

Lakini mwanzoni mwa mwaka 2018, Korea Kaskazini ilianza kuboresha mahusiano na Korea Kusini kwa kupeleka timu na ujumbe kwenye michuano ya Olimpiki mjini Pyeongchang.

Mwezi Machi, Donald Trump aliushangaza ulimwengu kwa kukubali mwaliko kutoka kwa Kim wa kukutana ana kwa ana.

Tangu wakati huo, njia ya kuelekea mkutano huu ikawa yenye changamoto, Trump akiahirisha kabisa.Lakini sasa viongozi hao watakaa pamoja.

Singapore ni nchi ya tatu ambayo Kim Jong-un ameitembelea tangu alipokuwa Kiongozi mwaka 2011.

safari yake ya kwanza ilikuwa nchini China mwezi Machi na mwezi Aprili akawa kiongozi wa kwanza wa Korea Kaskazini kutembelea Korea Kusini ambapo alikutana na Moon Jae-in.

Waraka wa Maaskofu Haukua na Nia Mbaya na Hatukurupuka Kuuandika- Dk Shoo

$
0
0
Waraka wa Maaskofu Haukua na Nia Mbaya na Hatukurupuka Kuuandika- Dk Shoo
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Onael Shoo amesema waraka uliotolewa na maaskofu wa kanisa hilo haukuwa na nia mbaya na wala hawakukurupuka kuuandika.

Askofu Dk. Shoo alitoa ufafanuzi huo jana wakati wa ibada uzinduzi wa Dayosisi ya Magharibi Kati ya kanisa hilo mjini Tabora ya kumsimika Askofu wa Dayosisi hiyo, Dk. Isaac Kissiri na msaidizi wake, Mchungaji Newton  Maganga, iliyohudhuriwa na maaskofu wote wa kanisa hilo.

Alisema kanisa linaunga mkono jitihada zote zinazofanywa na Rais Dk. John Magufuli katika kuwaletea maendeleo wananchi.

Alisema    kanisa hilo  halina ugomvi na kiongozi yeyote   wa Serikali  ya Rais Magufuli.

Kuhusu waraka uliotolewa wakati wa Sikukuu ya Pasaka   mwaka huu, alisema haukuwa wa kukurupuka na haukutolewa kwa lengo baya dhidi ya Serikali  kama    baadhi ya watu wanavyoupotosha.

“Naomba  kila mpenda amani na maendeleo ya nchi hii aelewe hivyo, waraka huu haukuwa na nia mbaya na Serikali,”alisema Dk. Shoo.

Alisema lengo la waraka huo lilikuwa ni   kufikisha ujumbe wa kanisa kwa Serikali  iweze kuutafakari na kuufanyia kazi na haukuwa na lengo jingine tofauti.

“Kama kuna sehemu tulieleweka vibaya tuko tayari kuomba radhi kwa nia njema  kudumisha ushirikiano mzuri na Serikali.

‘Namshukuru  Rais wetu Magufuli kwa kuelewa dhamira yetu, ila wapo baadhi ya watu ndani ya kanisa na nje ya kanisa wasio na nia njema wanaotaka kutuchonganisha na Serikali, watu wa namna hii wasifumbiwe macho, wana agenda binafsi’, alisema Dk. Shoo.

Alisema ndiyo maana maaskofu wote wa kanisa hilo na waumini wao wako kitu kimoja, hawana tofauti zozote.

Kiongozi huyo wa KKKT alionya  kuwa  mtu anayeendelea kushabikia mambo yanayovuruga amani ndani ya kanisa hilo anakiuka kiapo chake cha utumishi wa Mungu.

Alisema maaskofu wataendelea  kushirikiana na Serikali kudumisha amani na utulivu wa nchi na hawako tayari kuona mtu yeyote anatumia jina la kanisa hilo vibaya kwa matakwa yake binafsi   kuharibu taswira ya kanisa na Serikali.

“Hatuko tayari kuona mtu anaharibu ushirikiano wetu na Serikali kwa sababu umejengeka muda mrefu, kanisa litachukua hatua kali dhidi yake,”alisema Dk. Shoo.

Alimshukuru Rais Magufuli kukubali mwaliko wao na kumtuma Samia   kujumuika nao katika ibada na kuomba awafikishie shukrani za kanisa.

Daimond Kiboko Aamua Kumwaga Ukweli Wote...... Hivi Ndivyo Alivyothibitisha Kumnunulia Mjengo Hamisa Mobetto

$
0
0
Daimond Kiboko Aamua Kumwaga Ukweli Wote...... Hivi Ndivyo Alivyothibitisha Kumnunulia Mjengo Hamisa Mobetto
Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amethibitisha tetesi zilizokuwa zinasambaa mtandaoni kuwa amemnunulia mjengo mma watoto wake Hamisa.

Baada ya Diamond kuachana na Zari na Kurudisha majeshi kwa Hamisa imekuwa ikisemekana kuwa Hamisa amehama alipokuwa anaishi na kuhamia kwenye mjengo mpya kabisa na mtoto wake Dylan na Fantasy.


Taarifa zilisambaa kuwa mjengo wenyewe ni ghorofa  ambalo ni bonge wa mjumba ambao upo maeneo ya Mbezi Beach, Bahari Beach. Diamond amethibitisha taarifa baada ya kuandika Instagram na Hamisa kujibu kwa kumshukuru kwa nyumba hiyo:

Hii sio mara ya kwanza kwa Diamond kununua Nyumba kwa ajili ya wanafamilia wake kama utakumbuka ameshawahi kumnunulia nyumba mama yake mzazi Lakini pia ameshamnunulia nyumba mzazi mwenzake Zari nchini South Africa.


Kutana na Mtaalam Sharif Hamad Kalala Mchambuzi wa Nyota za Binadamu na Tiba Asili

$
0
0

KUTANA NA SHARIF HAMAD KALALA NI
SHARIFU MCHAMBUZI WA
NYOTA ZA BINAADAMU NA NI MWENYE UPEO MKUBWA KUTAFITI MATATIZO YAKO KABLA YA KUTOA USHAURI WAKE WA TIBA AlJALISHI MBALI ULIKO TIBA YAKE UMFIKIA YEYOTE MWENYE UITAJI POPOTE
DUNIANI.

 SHARIF HAMAD KALALA NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA QUR-AN, DAWA ZA ASILI ZA MITI SHAMBA PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU KWA KUTOA
MAELEKEZO NAMNA YA MATUMIZI YA DAWA UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 KUFANIKISHA NDOA KWA UNAYE MPENDA KWA HARAKA. KUMRUDISHA MPEZI NDANI YA MASAA 12 TU.
 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME) NDANI YA /IKI MMOJA TU
MIGUU KUWAKA MOTO KUTAFSIRI NDOTO MFARAKANO WA WANANDOA MFARAKANO KAZINIKUPANDISHWA CHEO NDANI YA SIKU SABA 7 TU.
KUTOA PETE YA BAHATI KUTOA MAJINI MACHAFU IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA.

KUPATA MAFANIKIO YA MALI BILA YA MASHARTI. KUPANDIKIZANYOTA YA KUBASHIRI KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA KWENYE BIASHARA. ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA KUMUOA AU KUWA NAYE.

ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA
KWA NJIA YAMSUKULE
NAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA MPYA NDANI SIKU 7 TU.

MENGINEYO MENGI ZAID YALIYO KUWA SUGU PIGA KWA WALE WALIYO ANGAIKA SEHEMU MBALI MBALI SHARIF HAMAD KALALA NI SULUISHO. ENDAPO UTAMSIKILIZA KWA YALE ATAKAYO KUSHAURI NA KUKUPA
ELEKEZI.
 TIBA NI KWA DINI ZOTE POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI.
MOBILE +255 -673 025 376
WhatsApp +255-757 069 066

Serikali Yaamua Kuongeza Likizo ya Uzazi kwa Akinamama

$
0
0
Serikali inaandaa utaratibu utakuowezesha kuongeza muda wa likizo ya uzazi kwa akinamama waajiriwa ambao watajifungua watoto kabla ya wakati, ili kusaidia kutenga muda wa kutosha kwa wazazi kuwa karibu zaidi na watoto hao.


Hayo yamesemwa leo Juni 11, 2018 Bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na walemavu, Mh. Jenista Mhagama, amesema kuwa Serikali imepokea maombi megi kuhusu jambo hilo na kuongeza kwamba likizo hiyo haitawanufaisha akinamama pekee bali bali hata wazazi wakiume wa watoto hao.

“Naomba nilihakikishie Bunge lako tukufu kuwa, hayo ni mambo ambayo yanaendelea kujadiliwa na kufanyiwa kazi ili kuweza kuwasaidia wanawake lakini hata wanaume ambao wake zao wamejifugua watoto ambao wamezaliwa kabla ya umri wao, ili waweze kupewa haki na kusaidia malezi ya watoto na malezi ya familia kwa ujumla” amesema Waziri Mhagama.

Waziri Mhagama ameongeza kuwa Serikali itaendelea kubadili baadhi ya sheria za afya ya uzazi hasa kwa akina mamna wanaopata changamoto mbalimbali wakati wa kujifungua ili kuweza kuwasaidia wafanyakazi nchini.

Sheria ya Ajira na Mahusiano ya kazi ya mwaka 2004, inampa mama mjamzito ambaye ni muajiriwa likizo ya miezi mitatu kabla ya kujifungua, na atatakiwa kurudi kazini wiki sita baada ya kujifungua, pia sheria hiyo inatoa likizo ya siku tatu kwa baba wa mtoto baada ya mama kujifungua.
Chanzo EATV

Julio Aukubali Uwezo wa Kisoka wa Alikiba Ataka Kumsajili "Mchezaji Mzuri Sana Anastahili Kucheza Ulaya"

$
0
0
Julio Aukubali Uwezo wa Kisoka wa Alikiba Ataka Kumsajili  "Mchezaji Mzuri Sana Anastahili Kucheza Ulaya"
Kocha wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameweka wazi kuwa msa­nii wa Bongo Fleva nchini, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’ ni mchezaji mwenye uwezo wa kucheza Ligi Kuu Bara, na kama aki­andaliwa vizuri anaweza kucheza hata Ulaya.

Kwa mjubu wa gazeti la Championi, Julio ameyasema hayo akiwa kocha wa Team Sa­matta mara baada ya kum­alizika kwa mchezo maalum wa kuchangia elimu ulio­andaliwa na msanii huyo akishirikiana na Mbwana Samatta anayecheza soka la kulipwa katika Klabu ya Genk nchini Ubelgiji.

Katika mchezo huo uliopigwa juzi Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar, Team Samatta iliibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Team Kiba.

Akizungumza na Champi­oni Jumatatu, Julio alisema msanii huyo ni mchezaji mzuri na amekuwa akim­wambia kuwa yupo tayari kumsajili achezee katika timu yake kutokana na uwezo mkubwa alionao na kama akiwekwa vizuri ana uwezo wa kucheza soka la kulipwa barani Ulaya.

“Alikiba ni mchezaji mzuri sana, mimi binafsi huwa namwambia ‘nataka nikusa­jili’, kama hawezi kuja kule mkoani lakini tukija hapa Dar aje acheze, ana uwezo mkubwa­ sana kuliko wachezaji wengi wa Simba na Yanga ambao wanalipwa mishahara ya bure.

“Isipokuwa tu nchi yetu haitaki kujua watu wenye uwezo, tunafua­ta majina na labda wana sababu zao, ndiyo hivyo lakini Kiba kama anatengenezwa hakuna ambaye anaweza kusema kuwa Kiba siyo mchezaji na kwa uwezo wake kama anacheza basi hapa ata­cheza ligi hii, mwaka wake mmoja tu anakwenda kucheza soka la kulipwa,” alisema Julio.
Chanzo: Salehjembe

Mzee Akilimani Amkataa Manji Kuiongoza Yanga...... Awashangaa Wanachama Waliompitisha

$
0
0
Mzee Akilimani Amkataa Manji Kuiongoza Yanga...... Awashangaa Wanachama Waliompitisha
Mjumbe wa Baraza la Wazee wa Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali, ameshangazwa na zaidi ya wanachama 1400 waliokutana kwenye Mkutano Mkuu wa klabu hiyo kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi, Dar es Salaam na kuazimia kwa pamoja kuwa Yusuph Manji anapaswa kuendelea kuwa Mwenyekiti.

Katika Ajenda namba 5 iliyokuwa imewekwa kwa ajili ya kujadili barua ya aliyekuwa Mwenyekiti wao, Manji aliyoituma akitaka kujizulu, imepingwa na wanachama wote wa ujumla huku wakisema kuwa anafaa kuendelea kuwa Mwenyekiti.

Kutokana na maamuzi ya wanachama hao, Mzee Akilimali amekuja kivingine na kupinga maamuzi hayo akisema si jambo la kawaida kwa Manji kuendelea kuiongoza Yanga kwakuwa hakuna na timu kwa takribani mwaka mzima.

Mzee huyo ameeleza haiwezekani Manji akaendelea kuwa Mwenyekiti Yanga ilihali hajaweza hata kuwasili kwenye mkutano mkuu kuja kutoa hata sababu za kwanini aliamua kutuma barua hiyo.

"Haiwezekani mtu amekaa pembeni kwa takribani mwaka mzima halafu leo mnatoa maamuzi ya kutaka aendelee kuiongoza Yanga!! Kwanini asingeweza kuja hata kwenye mkutano akatoa sababu au hata kuomba radhi? Mimi sikubali" alisema.

Jumla ya wanachama wote 1400 wlaohudhuria mkutano huo wamepinga barua hiyo na wameridhia kuwa Manji ataendelea kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo.

Ronado Apewa Majukumu ya Kuzindua Kombe la Dunia

$
0
0
Ronado  Apewa Majukumu ya Kuzindua Kombe la Dunia
NGULI wa soka wa zamani Ronaldo De Lima wa Brazil, amepewa majukumu ya kuzindua rasmi fainali za Kombe la Dunia 2018 kwenye mechi ya ufunguzi kati ya wenyeji Urusi dhidi ya Saudi Arabia Alhamisi ya Juni 14.



Kwa mujibu wa FIFA Ronaldo atakuwa na jukumu la kupeleka uwanjani Kombe la Ubingwa wa Dunia ambalo mataifa 32 yaliyofuzu yatakuwa yanaliwania. Ronaldo atatambulisha Kombe hilo tayari kwa kufungua mashindano hayo ambayo yatamalizika Julai 15.



Mbali na Ronaldo shughuli nzima ya burudani kwenye ufunguzi huo itasimamiwa na mwimbaji wa Pop kutoka nchini Uingereza Robbie Williams ambaye ataungana na msanii wa Urusi Aida Garifullina.



Seherehe za ufunguzi wa fainali hizo zitaanza majira ya saa 6:00 mchana kwenye uwanja wa  Luzhniki jijini Moscow. Urusi na Tanzania zinaendana kwa saa isipokuwa katika mij kadhaa.



Ronaldo De Lima amechukua Kombe la Dunia mara 2 akiwa na timu yake ya  taifa Brazil mwaka 1994 na 2002. Pia nguli huyo allibuka mfungaji bora wa fainali za mwaka 2002 kwa kufunga jumla ya mabao 8.

Meneja Chambusso Afunguka Ukweli Wote Kuhusu Mjengo wa Aslay na Kusaini Empire

$
0
0
Meneja Chambusso Afunguka Ukweli Wote Kuhusu Mjengo wa Aslay na Kusaini Empire
Meneja wa msanii Aslay, Chambusso amefunguka kuhusu muimbaji huyo kununua mjengo wa ghorofa na kusaini King Empire.

Chambusso amesema yeyote anayeona mafanikio ya msanii huyo ni kutokana na kazi za muziki hadi sasa, pia alikanusha kuwa mjengo ameupata baada ya kusaini label ya King Empire.

“Ukimuona Aslay ana kimjengo, ana gari nzuri anafanya show ana kazi zake zinazoendelea,” Chambuso ameaimbia EATV.

Kuhusu iwapo Aslay amesaini King Empire, Chambuso alisema bado ni mapema kuweka wazi hilo ila kuna mambo yanakuja.

“Kuna vitu vinakuja hatuwezi kuongea, King Empire inakuja inamiliki wasanii kama watano hivi. Inawekana kwa msanii yeyote kwa sababu mimi nipo King Empire, kwa hiyo lolote inaweza kutokea, Aslay awepo au asiwepo,” alisema.

Utakumbuka October 31, 2017 aliweka wazi kukabidhiwa gari aina ya BMW na menejimenti yake. Haikuwa gari ya kwanza kwa Aslay kuipata kutoka kwenye muziki, May 2015 alikabidhiwa gari na menejimenti ya Mkubwa Fella aliyokuwa akifanya nayo kazi kwa kipindi hicho.

Tuzo za Simba Mo Awards Kufanyika Leo

$
0
0
Tuzo za Simba Mo Awards Kufanyika Leo
Tuzo za Simba Mo Awards zinafanyika leo katika ukumbi wa Hotel ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.

Tuzo hizo zitakuwa maalum kwa watu wa klabu hiyo waliofanikisha Simba kufanya vizuri kwa msimu wa 2017/18.

Wanachama, viongozi, mashabiki na matawi ya klabu hiyo yatahusishwa katika ugawajwi wa tuzo hizo zitazofanyika leo kuanzia saa 12 kamili jioni.

Kwa mujibu wa mwanzilishi ambaye ni mwekezaji mpya wa klabu hiyo, Mohammed Dewji 'Mo', amesema lengo mahususi la kuanzisha tuzo hizo ni kutambua mchango wa waliofanikisha Simba kufikia hapo ilipo.

Baadhi ya vipengele ambavyo vitakuwepo katika ugawajwi wa tuzo hizo ni mchezaji bora wa mwaka, kiungo, mshambuliaji, shabiki na zinginezo.
chanzo: Salehjembe

Download Hapa Application Mpya ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

$
0
0
Usipitwe na Habari zetu za kila siku kwa kuzisoma kirahisi kupitia Application ya Udaku Special ambayo ipo Play Store kwa watumiaji wa Simu za Android

Bonyeza Hapa Chini Kuinstall/Kudownload :

==>>Unaweza Kuidownload << kwa Kubofya Hapa>>

Steve Nyerere Aonyesha Hisia Zake Juu ya Kamati Mpya Yanga "Tunataka Pesa Sio Maneno"

$
0
0
Steve Nyerere Aonyesha Hisia Zake Juu ya Kamati Mpya Yanga "

Msanii wa filamu ambaye pia ni mwanachama wa Yanga, Steve Nyerere Jumapili hii ameibuka na kueleza hisia zake juu ya kamati mpya za Yanga zilizochaguliwa katika Mkutano Mkuu uliofanyika siku ya jana. Wanachama wengi wa Yanga wanaoneka kumuitaji mbwana Yusuph Manji ambaye alijuzulu nafasi ya uenyekiti mapema mwaka baada ya klabu hiyo kukubwa na ukata mkubwa.

"Tumepokea vizuri kuhusu Manji kurudi yanga kwakuwa Timu yetu Imesheki kama wanachama tulikua tunajiskia vibaya timu inaingia inapigwa na tulikata tamaa kuishabikia timu yetu adi ikafika hatua tuliona huu mwaka si wetu ila tunafurahi manji aweze kurudi kutuokoa aweze kuweka usajili mzuri" alisema steve Nyerere.

Kijana Nchini Kenya Aishtaki Hospitali kwa Kutumia Nyeti Zake Kinyume na Matwakwa Yake

$
0
0
Kijana Nchini Kenya Aishtaki Hospitali kwa Kutumia Nyeti Zake Kinyume na Matwakwa Yake
Mwanaume mmoja nchini Kenya ameishtaki hospitali ya Agha Khan kwa kutumia nyeti zake kuwafundishia wanafunzi wa kike wanaosoma udaktari kinyume na matakwa yake.

Mwanaume huyo ambaye alipenda kutambulika kama DK kwa ajili ya kutunza faragha yake ,amesema kuwa alienda katika hospitali hiyo kama mgonjwa kumuona Dokta Samnakay na sio kutumika kama sampuli ya kufundishia.

Dk amesema kuwa alikuwa akisumbuliwa na maumivu kwenye sehemu zake za siri hivyo ikambidi aende katika hospitali hiyo ili kupatiwa matibabu.

“Wakati nimelala katika  chumba cha kufanyiwa vipimo huku nikiwa mtupu waliingia Wasichana wawili ambao waliniambia kuwa wao kiumri ni wadogo sana kwangu kitu kilichonifanya nishituke sana” amesema DK

Aidha Dk anasema kuwa wakati akichukuliwa vipimo, Daktari aliwauliza maswali Wanafunzi hao wawili kitu kilichomfanya agundue kuwa amegeuzwa sampuli ya kufundishia bila yeye kujua.

Kwa sasa Dk ameifungulia mashtaka hospitali hiyo akidai afidiwe baada ya kugeuzwa sampuli ya kufundishia bila ridhaa yake huku hospitali hiyo ikitakiwa na mahakama kuleta utetezi wake Julai 18.

Magdalena Sakaya Amshukia Maalim Seif 'Alizuia Fedha za Ruzuki ili Kukiua Chama cha CUF'

$
0
0
Kaimu katibu mkuu wa CUF upande wa Profesa Lipumba, Magdalena Sakaya amemshukia Maalim Seif na kudai alikuwa na lengo la kukiua chama hicho, ndio maana aliweza kuzuia chama kisipate ruzuku kwa nchi nzima baada ya mgogoro wa mwaka 2016.


Akizungumza kwenye kipindi cha East Afrika BreakFast kinachorushwa na East Afrika Radio, Sakaya amesema chama hicho kimepitia katika wakati mgumu  ambapo fedha zote zilizuiliwa na Maalim Seif kwa kuandika barua kwenda kwenye taasisi zote za kifedha pamoja na serikali kuzuia wasiendelee kutoa ruzuku kwa chama hicho.

Aidha Sakaya ameweka wazi, namna alivyolazimika kupigania hadhi ya chama hicho kwa kuomba upya ruzuku na kulazimika kuchukua mikopo ili kuendesha shughuli za chama,

"Chama cha Wananchi (CUF) shida ni  mtu mmoja, yaani huu mgogoro ni wa mtu mmoja, ambao 'actually' ni ubinafsi na hiki chama ni taasisi sio chama cha Maalim Seif wala Prof. Lipumba, ndio maana kimeweza kuendelea bila hata ya wao, japokuwa lengo la maalim seif lilikuwa ni kuua CUF, lakini bado taasisi yetu imeendelea kuwa imara, hivi tunvyoongea kuna viongozi katika kila kona ya nchi wanasimamia chama", amesema Sakaya.

Akimuongelea Profesa IbrahimLipumba kama Mwenyekiti wa upande wake amesema kwa sasa ameweza kurejesha imani kwa wananchama, katika maeneo mengi nchini, kutokana na ziara yake aliyoifanya, yakuzunguka nakuzungumza na watu, kuwaeleza sababu ya yeye kutangaza kujihudhuru uenyekiti wa chama mwaka 2015.

EATV

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Tangaza Biashara yako Hapa, Kuuza Kiwanja, Nyumba, Gari na Biashara Zingine

$
0
0
Blog yetu inakaribisha Matangazo Mbali mbali ya Biashara Kwa Malipo Kidogo tu, Iwe Kuuza Kiwanja, Nyumba, Gari na Biashara Zingine

Kwa Mawasiliano zaidi Piga simu Namba 0714604974
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live




Latest Images