Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

Orodha yote ya washindi wa tuzo za Mo Simba Awards 2018

$
0
0

Jumatatu usiku  mdhamini mkuu wa Mabingwa wa Ligi Kuu Bara klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji aliandaa tuzo maalum ‘Mo Simba Awards 2018’ zilizofanyika Hyatt Regency jijini Dar es salaam kwaajili ya kuwapongeza wachezaji wa klabu hiyo waliofanya vizuri mwaka huu.



WASHINDI WA TUZO ZA MO SIMBA 2018


1.   GOLIKIPA BORA WA MWAKA

A.  Aishi Manula - WINNER

B.  Said  Mohamed 'Nduda'

C.   Emmanuel Elias Mseja


2.   BEKI BORA WA MWAKA

A.  Yusuph Mlipili

B.  Erasto Nyoni - WINNER

C.  Shomari Kapombe


3.   KIUNGO BORA WA MWAKA

A.  Jonas Mkude

B.  James Kotei

C.  Shiza Kichuya – WINNER


4.   MSHAMBULIAJI BORA WA MWAKA

A.  Emmanuel Okwi - WINNER

B.  John Bocco

C.  Shiza Kichuya


5.   MCHEZAJI BORA MWANAMKE WA MWAKA

A.  Rukhia Salum

B.  Zainabu Rashidi Pazzi - WINNER

C.  Dotto Makunja


6.   MCHEZAJI BORA MDOGO WA MWAKA

A.  Ally Salim (GK)

B.  Rashid Juma – WINNER

C.  Salumu Shabani


7.   GOLI BORA LA MWAKA

-      John Bocco (Simba VS Mwadui)


8.   TUZO YA BENCHI LA UFUNDI

A.  Pierre Lechantre – Kocha Mkuu

B.  Masoud Djuma – Kocha Msaidizi

C.  Mohamed Aymen – Kocha wa Viungo

D.  Muharam Mohamed – Kipa wa Makipa

E.  Richard Robert – Meneja wa Timu

F.   Yassin Gembe – Daktari wa Timu

G.  Abbas Selemani – Mratibu


9. SHABIKI BORA WA MWAKA

- Fihi Salehe Kambi


10. MHAMASISHAJI BORA WA MWAKA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII

A.  Hamis Mwinjuma (Mwana FA) - WINNER

B.  Salama Jabir – WINNER

C.  Zitto Kabwe

D.  Vyonne Cherrie (Monalisa)

E.  Omary Nyembo (Ommy Dimpoz)


11. MHAMASISHAJI BORA

- Haji Manara


12. TAWI BORA LA MWAKA

A.  Wazo Hill

B.  Ubungo Terminal - WINNER

C.  Vuvuzela


13. KIONGOZI BORA WA MWAKA

          - Kaimu Rais wa klabu ya Simba, Salim Abdallah Muhene


14. TUZO YA WASIMAMIZI WA MCHAKATO WA MABADILIKO


A.  Jaji Mstaafu Thomasi MihayoB.  Wakili Damasi NdumbaroC.  Abdulrazak Badru D.  Mussa Hassan ZunguE.  Yusuph NassoroF.  Brenda MremaG. Mzee Hamis BomaH.  Revocatus Cosmas SanguI.    Hashim NyendageJ.   Gervas Alpha HonestK.  Emmanuel Metusela UremboL.   Mulamu NghambiM. Selemani OmariN.  Aziz KifileO. Salim Abdallah MuheneP.  Arnold KashembeQ. Omari Bakari MtikaR.  Evodius Mtawala

15. TUZO YA HESHIMA (LIFETIME ACHIEVEMENT)

        - Selemani Matola – WINNER


16. MCHEZAJI BORA WA MWAKA

A.  Emmanuel Okwi

B.  John Bocco - WINNER

C.  Shiza Kichuya

Zari Akana Kurudiana Kimapenzi na Diamond

$
0
0

Kufuatia video ya wimbo wa msanii wa bongo fleva nchini Diamond kutoka akiwa amemshirikisha Rayvany na kibao chao cha Iyena kumekuwa na mvumo wa maneno mengi yakidai kuwa kuonekana kwa Zarinah Hassan katika video hiyo kumedhihirisha wazi kuwa wawili hao wamerudiana.


Zari kupitia ukurasa wake wa instagram ameamua kuzima uvumi huo kwa kuweka wazi kuwa uhusiano uliopo kati yake na baba watoto wake, Diamond Platinumz ni kama wazazi tu na si vinginevyo.


Amesema wameamua kufanya hivyo kwa ajili ya watoto wao hivyo mashabiki wao waelewa hivyo na kwamba wanawapenda sana.


”Just to clear the air, we are not back together but have agreed on co-parenting as per my break up post that will remain great parents to our lovely kids. Just a lil note to all our fans. We love you too.


Utakumbuka hivi karibuni meneja wa Diamond, Babu Tale alienda Afrika Kusinia ambapo anaishi Zari ili kusuluhisha tofauti za wawili hao. Hakuna yeyote kati yao aliyetoa jibu la uhakikika iwapo mahusiano hayo yamerudi zaidi ya hiki alichoeleza Zari .

Katika mahusiano yao Zari na Diamond walijaliwa kupata watoto wawili ambao ni Tiffah na Nillan. Zari ndiye aliyetangaza kuvunja mahusiano na Diamond kwa kile alichodai muimbaji huyo alikuwa akimvunjia utu wake kwenye mitandao.

Dully Sykes Atokwa Povu Mangwear Kufariki Bila Kuacha Mtoto Duniani

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes amefunguka na kudai amesikitishwa na swahiba wake marehemu Albert Mangwear kufariki bila ya kuacha mtoto hata mmoja ambaye angeweza kumsomea dua katika kumbukumbu ya siku ya kifo chake.


Dully ametoa kauli hiyo leo Juni 11, 2018 wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo 'PB' kinachorushwa na East Africa Radio na kuwataka wasanii wenzake waungane ili watengeze mazingira ya kumsomea dua Mangwear kila ifikapo Mei 28 kwa kuwa hana mtoto wa kumfanyia hivyo na yeye binafsi hana uwezo wa kufanya jambo hilo pekee yake.

"Mimi nasikitika kwamba Albert Mangwear amefariki hajaacha hata mtoto maana najua ingemsaidia japokuwa asingepata heshima hiyo lakini heshima ya mtoto kuenda kumuekea ubani kanisani au kumsomea baba yake dua ni heshima kubwa sana katika siku yake ya kufariki", amesema Dully.

Pamoja na hayo, Dully ameendelea kwa kusema "kwasababu Mangwear hakuacha mtoto kwanini sasa sisi wasanii tusishirikiane kumsomea dua siku ambayo kifo chake kilitokea. Kiukweli mimi natamani nifanye hivyo ila tatizo sina uwezo kiukweli kabisa wa kuandaa kiu kikubwa kila mwaka".

Kwa upande mwingine, Dully amesema anazikumbuka harakati za marehemu Mangwear walizokuwa wakifanya pamoja enzi alipokuwa hai.

Mwambaji Billnass Afunguka Kuhusu Ndoa, Ataja Siku Atakayo Vuta Jiko

$
0
0
Msanii wa muziki nchini Billnass, amedai kuwa anampango wa kufunga ndoa na mpenzi wake wa sasa itakapofika mwakani kwasababu anapenda maisha ya ndoa nakuwa na familia kwani ni kitu muhimu kwake.


Msanii huyo amesema hayo leo Juni 11, 2018 na kuongeza kuwa hatua ya kuingia katika ndoa inatokana na uamuzi wake mwenyewe na wala sio kusukumwa na watu au matukio aliyopitia katika maisha yake ikiwemo kufuta skendo ya video baina yake na msanii Nandy.

“Mimi nikiingia katika ndoa sio kwasababu ya kufuta skendo, naoa kwasababu naingia kwenye maisha ambayo nayapenda, familia kwangu ni kitu muhimu sana lakini pia naingia katika ndoa na mtu ambaye nampenda zaidi, ndoa ni mipango ya Mungu lakini kwa ratiba zangu nilikuwa natamani mwakani nioe” amesema Billnass.

Billnass aliongeza kuwa mpenzi wake wa sasa ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kumuunga mkono wakati wa kipindi kigumu alichopitia baada kusambaa kwa video yake na Nandy, amesema “Sijaachana na mpenzi wangu nipo nae mpaka sasa ni mtu mwenye akili na ndiyo mtu pekee niliyekuwa nawasiliana nae sana na kunifariji ni mtu anayejielewa”

Kwa upande mwingine msanii huyo amedai kwamba kusambaa kwa video yake na msanii wa kike Nandy lilikuwa ni jambo baya na alifanya makosa kwani lengo lake kama msanii, watu wamjue kupitia kazi zake na sio mambo ambayo yanaharibu taswira yake ya usanii.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya June 12

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya June 12

Masunzu Power Mix Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MASUNZU POWER MIX DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO

🌸MASUNZU POWER MIX ni dawa ya asilia yenye mchanganyiko wa mitishamba 7 yenye maajabu yafuatayo (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume Mara dufu na kuimalisha uume uliolegea wakati wa tendo la ndoa (2) kurefusha uume uliorudi ndani nchi 5-8 (3) kunenepesha uume sm4 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk (15-20) kwa tendo la kwanza na utakuwa nauwezo wa kurudia tendo la ndoa Mara (2-4) bila hamu kuisha nainatibu kabisa. Dawa hii haina madhara yoyote kwa mtumiaji huanza kufanya kazi baada ya dk 50 tu 🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾

MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA ngiri. au umejichua kwa muda mrefu. Punyeto kisukari. Presha. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma chini ya Kitovu. Kutopata choo vizuri. Msongo wa mawazo. Kaswende. Gono. Haya yote husababisha kuwa na maubile madogo na kukosa nguvu za kiume

🌸SOSOMA DX. ni dawa ya kumvuta mme au mke au mpenzi wako arudi haraka na kuanza mapenzi mapya kama mlivyo anza mwanzo baada ya masaa 2 atarudi na kutulia ndani ya nyumba na kutimiza ahadi yako

🌸GINDU EXTRA ni dawa ya kutibu kisukari siku 14 unapona kabisa hata kama imepanda itashuka haraka Sana. Tunatibu busha bila upasuaji nk. Dar es salaam tunapatikana buguruni chama au unaweza kuletewa popote ulipo

Wasiliana na tabibu ATHUMAN SIMU +255673552294 / +255784552299

Lifahamu Tatizo la Kukosa Usingizi na Jinsi la Kulitatua Haraka..!!!

$
0
0
Tafiti zinaonyesha kwamba asilimia 9 mpaka 15 ya binadamu duniani wanasumbuliwa na matatizo ya kukosa usingizi, tatizo hili ni moja ya matatizo mabaya sana ambayo huweza kumfanya mtu ashindwe kutambua anaishi ulimwengu wa aina gani kwani muda mwingi anakua ni mchovu na hawezi kufanya kitu chochote kwa umakini.

ugonjwa wa kukosa usingizi huwasumbua zaidi watu wazima kwanzia miaka 40 kwenda mbele hasa wanawake kuliko wanaume japokua unaweza pia kuwashambulia vijana wadogo kulingana na matatizo mbalimbali lakini watu wazima sana ndio waathirika wakuu wa shida hii.

kuna aina tatu za matatizo ya kukosa usingizi

kukosa usingizi kunaweza kuja kwa aina tatu yaani kukosa usingizi ghafla, kukosa usingizi mara moja moja au kukosa usingizi kwa muda mrefu sana.

hali hii ya kukosa usingizi husababisha matatizo mbalimbali kama kunenepa,kupoteza kumbukumbu, kushindwa kufaulu darasani, kushindwa kua makini na kazi, kuchoka sana,wasiwasi, mgandamizo wa mawazo, na hatari ya kupata magonjwa yasiyotibika kama ugonjwa wa presha na kisukari.

nini husababisha kukosa usingizi?

watu sababu mbalimbali huweza kukosa usingizi kama ifuatavyo

mabadiliko ya mfumo wa maisha; hii inaweza kusababishwa na kazi unayofanya kama kuanza kufanya kazi usiku...kazi za ulinzi, kazi za uuguzi, na kadhalika lakini pia kuishi sehemu yenye kelele sana,kusoma sana usiku, baridi sana au joto sana.

matatizo ya kisaikolojia; watu wenye msongo wa mawazo unaosababishwa na matatizo mbalimbali kama kukosa ajira, matatizo ya kiuchumi, kuvunjika kwa mahusiano, magonjwa ya akili, kua na wasiwasi sana wa mambo yanayokuja, wasiwasi wa kuibiwa mali zako ukiwa ndani umelala hasa wamiliki wa magari na mali zinazolala nje.

magonjwa mbalimbali; kuugua magonjwa fulani fulani huweza kumfanya muhusika kukosa usingizi kabisa wakati wa kulala mfano pumu au asthma, magonjwa ya moyo, maumivu makali ya sehumu ya mwili,kiharusi, madonda ya tumbo, maumivu ya jino, na kansa mbalimbali.

mabadiliko ya kiwango cha homoni; hii hutokea wakati wa kipindi cha hedhi ambapo kunakua na mabadiliko madogo ya homoni za uzazi, kipindi cha ujauzito na ugonjwa wowote unaobadilisha kiwango hicho.

teknolojia; kulala na simu na kuendelea kuchati, tv au komputa chumba cha kulala,michezo ya gemu na kadhalika..hii imeathiri sana watu wengi kwani siku hizi kabla ya kulala utamkuta kila mtu anachezea simu angalau saa moja.

dawa mbalimbali; kuna dawa nyingi sana ambazo zimetajwa kunyima watu usingizi kama ifuatavyo
dawa za presha mfano propanolol,metoprol,losartan,atenolol,metoprol, captopril,enapril na solatol,lisinopril

dawa za msongo wa mawazo mfano fluoxetine na paroxetine

dawa za kushusha kiwango cha lehemu mwilini mfano simvastatin,rosuvastatin,lovastatin.

dawa za kupunguza maumivu ya mifupa mfano chrondotin na glucosamine

dawa za kutibu aleji mfano cetrizine

sababu zingine mfano kulala sehemu yenye kelele nyingi, kulala na mtu anayekoroma usiku, kulala sehemu yenye wadudu kama mbu na chawa

watu gani hasa wanasumbuliwa na shida hii?


watu wanaosafiri sana
watu wanaofanya kazi za usiku
wazee sana
wanaotumia dawa mbalimbali
vijana wadogo ambao mahusiano na ajira ni tatizo kubwa kwao.
wanawake waliofika mwisho kuona siku zao za hatari
watu wenye magonjwa ya akili


dalili za kukosa usingizi ni kama ifuatavyo..


kushindwa kulala kabisa
kuamka usiku sana na kukosa usingizi
kuamka mapema sana kuliko kawaida
kusikia usingizi baada ya kuamka asubuhi
kuchoka sana mchana wakati wa kazi
mgandamizo wa mawazo na kua na wasiwasi sana
kukosa umakini wakati wa kazi
kupata ajari za wakati wa kutumia vyombo vya usafiri.
kuumwa kichwa sana
kuharisha, kichefuchefu na kukosa hamu ya chakula
kushindwa kuongeza na watu


vipimo vinavyofanyika

daktari humuuliza mgonjwa mbalimbali kuhusu tatizo lake la kukosa usingizi, vipimo mbalimbali pia huweza kuchukuliwa pia kutafuta magonjwa ambayo yanaweza kumkosesha mtu usingizi.
kwa mtu kugunduliwa na tatizo hili lazima awe amemaliza mwezi mmoja bila kupata usingizi unaoeleweka

vipimo vya kisasa zaidi kama polysmonography huweza kutumika kwa mgonjwa aliyelazwa kupima usingizi wake wakati wa usiku

matibabu;

mara nyingi matatizo ya kukosa usingizi hua yanaaisha pale chanzo cha tatizo kinapotibiwa kwa mgonjwa husika, hivyo mara nyingi matibabu yanalenga kuondoa chanzo cha tatizo hili.

matibbu yamegawanyika katika matibabu yasiyohusu dawa yaani non pharmacological treatment na matibabu yanayohusu dawa yaani pharmacological treatment kama ifuatavyo

matibabu yasiyohusu dawa[ non pharmacological treatment]

ongeza nidhamu ya usingizi; epuka kulala sana au kidogo sana, epuka kulala na njaa, epuka kunywa kahawa na kuvuta sigara wakati wa kulala, hakikisha ratiba yako ya kulala haibadiliki, hakikisha unalala kwenye mazingira rafiki ya usingizi yaani bila kelele au usumbufu wowote.

muone mtalaamu wa ushauri; unaweza kuonana na mshauri akakusaidia kutatua tatizo lako la kisaikolojia linalokusumbua, huduma hiyo tunatoa pia.

epuka vitu mambo ya teknolojia yanayozuia usingizi; tabia ya kua na tv chumba cha kulala, laptop kitandani au kutumia simu usiku kabla ya kulala huweza kukunyima usingizi.

epuka kulala mchana; tabia ya kulala mchana huweza kukunyima kabisa usingizi wakati wa usiku, hivyo kaa mbali kabisa na kitanda wakati wa mchana.

pata matibabu ya tatizo lolote la kiafya linalokusumbua; kama kuna ugonjwa wowote unakusumbua hakikisha unatibiwa, kama ni ugonjwa usiotibika basi hakikisha unafuata matibabu ya kupunguza makali yake.

pata suluhisho la tatizo la kisaikolojia;kama una msongo wa mawazo sababu ya kuachwa kwenye mahusiano huwezi kulala kabisa, kama una matatizo ya kiuchumi, umefiwa, au msongo wowote wa mawazo basi hakikisha unapata suluhisho lake.

matibabu ya dawa[pharmacological treatment]

wakati mwingine chanzo cha kukosa usingizi kinaweza kua nje ya uwezo wa muhusika yaani hawezi kutatua tatizo linalomsumbua hivyo anahitaji matibabu ya dawa ambazo angalau zitampa usingizi alale kama ifuatavyo :-

ant depressant; mfano fluoxetine na paroxetine ,anthistamine
ramelteon ,melatonin

Ujue Msitu wa Ajabu Japan Ambapo Maelfu ya Watu Wamekufa Kimiujiza

$
0
0
Aokigahara au msitu wa kujiua au bahari ya miti ni msitu ambao una ukubwa wa 35 square- kilomita ambao uko karibu na milima ya fuji huko japan

msitu huu ni msitu ambao mbali ya kuwa ni kivutio kikubwa cha watalii ni msitu ambao unasemekana kuwa una mambo ya ajabu, kutisha na kuogofya

ni kawaida kabisa ukiwa ndani ya msitu wa Aokigahara ukisikia unaitwa jina lako na mtu asiyeonekana iwapo ukiwa ndani ya msitu huo.

pia inasemekana kuwa unaweza kumuona mtu kwa mbali kwenye miti ya msitu huo ukifuatilia huoni mtu kwa maana watu hao wanapotelea kwenye miti

Msitu huo unasemekana una mapepo ya kujapan kwani tokea uwepo wake ni maelfu ya watu wamekuwa wakikutwa wamekufa maeneo hayo haya kwa kujiua

ambapo kwa mwaka 2010 pekee watu 54 wamekutwa wamekufa ndani ya msitu huo

tafiti zaidi zinasema kuwa tokea mwaka 1988 walipoanza kufanya hesabu za watu wanaojiua msituni hapo ni watu 30 kila mwaka huenda msituni hapo na kujiua

In 2003, miili 105 ilikutwa msituni watu wakiwa wamejiua, ambapo iliizidi recodi ya watu 78 mwaka 2002

mwaka 2010, it was estimated that watu 200 walijaribu kujiua na kati ya hao 54 walifanikiwa kujiua

cha kushangaza sasa matukio ya kujiua yanaongezeka sana mwezi March mwisho wa fiscal year kwa japan

mwaka 2011 watu wengi waliojiua hapo ni walitumia njia ya kujinyonga na wengine drug overdose

siku za hivi karibuni serikali ya Japan imeamua kuficha namba ya watu wanaojiua lakini inasemekana mpaka mwaka huu kwa maana ya mwezi huu tayari kuna waliokwisha jiua msituni

Ukiwa unaingia Msituni utakuta kuna vibao ambavyo vinaelezea kuhusu msitu na onyo utakaopewa wewe mtalii

msitu wa Aokigahara imewekwa kwenye media ambapo mwandishi maarufu wa vitabu wa japan Seichō Matsumoto mwaka 1960 aliandika kitabu kiitwacho Kuroi Jukai (Black Sea of Trees). Bahari nyeusi ya miti

Holywood na wao hawako nyuma kwani mwaka huu kuna movie inatoka inaitwa the forest iliyoongozwa na mwongozaji maarufu wa filamu jason zada na imetayarishwa na David Goyer ambaye ni mtayarishaji maarufu wa filamu ikumbukwe ndiye aliyatayarisha movie za Blade, Batman Begins na Man Of Steel (superman based movie) the forest imechezwa na Natalie Bormer na Taylor Kinney movie imetoka january 8 mwaka huu

Nape Afunguka Baada ya Mtandao wa Jamii Forum Kufungwa

$
0
0
Kitendo cha Mtandao wa Jamii Forum kufungwa na Mitandao mingine ya Kijamii nchini kutokana na kanuni za maudhui ya kimtandao za mwaka 2018, kimemuibua Mbunge Mtama Nape Nnauye ambapo amefunguka na kutoa maneno mazito.

TCRA inawataka wachapishaji wa maudhui katika blogu na majukwaa ya mtandaoni kujisajili  na kupata leseni kulingana na gharama zilizoanishwa.

Baadhi ya mitandao  ikiwemo Jamii Forum imesitisha huduma hizo kutokana na tangazo la TCRA linalosema ni kosa kisheria kutoa huduma ya maudhui ya mtandaoni bila kuwa na leseni, hivyo kuanzia Juni 11, 2018 watoa maudhui hawaruhusiwi kuweka taarifa mtandaoni.

Nape aliyewahi kuwa Waziri  wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter huku akiambatanisha picha ya mkurugenzi mtendaji wa Mtandao wa Jamii Forum, Maxence Melo amesema,
“Hili la JF (Jamii Forum) linafikirisha. Ukizuia watu kusema wayawazayo unaweza kutana nao..... kimya kimya!."

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Wasiliana nasi kwa sim no 0717702227 au 0754568767.DR . SAGUDA nyote mnakaribishwa

Lulu Diva Awapa Makavu Wakina Gigy Money " Mmekimbilia Muziki Ndomana Mmepotea"

$
0
0
Lulu Diva Awapa Makavu Wakina Gigy Money " Mmekimbilia Muziki Ndomana Mmepotea"
MWANA-DADA Lulu Abass ‘Lulu Diva’ ambaye kwa sasa ni miongoni mwa wanamuziki wa kike Bongo wanaotengeneza ‘hit song’ kali, ameibua bifu kwa video queens ‘wauza nyago’ kwamba walikimbilia muziki wa Bongo Fleva na ndiyo maana wamepotea.

Akibonga kiaina na Star Showbiz, Lulu Diva alisema kwamba, anaona kila dalili za wanadada ambao walikimbilia kwenye muziki wakitokea kwenye u-video queen wakipotea wote kwenye gemu jambo linalomfanya kujihisi kubaki bila mpinzani.

“Wote wamepotea, siwezi kuwataja kwa majina nisije kuzua ya kuzua lakini sasa hivi hakuna video queen anayethubutu kubaki kwenye gemu zaidi yangu,” alisema Lulu Diva.

Alipobanwa zaidi amtaje angalau mmojawapo, Lulu Diva alipatwa na kigugumizi. Hata hivyo, video queen wanaojulikana kukimbilia kwenye muziki ni Amber Lulu, Gigy Money, Haitham, Amber Rutty na Agnes Mmasi.
Chanzo: Global Publishers

Spika Ndugai Ametoa Agizo Kufanyika Uchunguzi Mwingine

$
0
0
Spika Ndugai Ametoa Agizo Jingine la Kufanyika Uchunguzi
Spika Job Ndugai ametoa agizo jingine la kufanyika uchunguzi; ni kuhusu mwanamke aliyejifungua akiwa mikononi mwa polisi mkoani Morogoro.

Huo ni mwendelezo wa maagizo ambayo amekuwa akitoa kiongozi huyo wa chombo hicho cha kutunga sheria tangu kuanza kwa mkutano wa Bunge la Bajeti, Aprili 3.

Jana, Ndugai aliiagiza Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kufuatilia tukio la Amina Rafael kujifungulia nje ya Kituo cha Polisi cha Mang’ula mkoani Morogoro, akisisitiza kuwa Bunge lingependa kujua kuhusu upelelezi wa jambo hilo.

Mwanamke huyo alikamatwa badala ya mumewe aliyekuwa akisakwa na polisi kwa tuhuma za kununua kitanda cha wizi. Aliwekwa mahabusu kwa saa 10 na alipoanza kusikia uchungu, aliwataarifu polisi, lakini hawakumsikiliza.

Kwa mujibu wa Amina, alipozidi kumsihi polisi aliyetambulika kwa jina moja la Sele, hakutaka kumsikiliza na badala yake akampeleka nje ambako alikaa kwenye majani akiwa na uchungu hadi alipojifungua.

Wizara imeshaahidi kuchunguza tukio hilo, lakini hilo halikumtuliza mbunge wa Kilombero (Chadema), Peter Lujualikali, ambaye jana aliomba mwongozo wa Spika kuhusu tukio hilo na Spika aliendeleza mwenendo wake ambao amekuwa akiuonyesha katika siku za karibuni.

Wiki iliyopita, Ndugai aliitaka Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuihoji menejimenti na bodi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuhusu madai ya mbunge wa Ulanga (CCM), Goodluck Mlinga kuwa BoT inatumia fedha nyingi kuliko taasisi nyingine za Serikali kugharamia matibabu ya watumishi wake nje ya nchi.

Mlinga alisema matumizi yao yamepanda kutoka Sh1 bilioni na sasa wanatumia Sh12 bilioni kwa kuwa hawataki kutumia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).

Ndugai pia aliitaka Wizara ya Fedha na Mipango kujitathmini na kutoa fedha za korosho ghafi za wakulima ambazo wanapaswa kuzipata kwa mujibu wa sheria na sio hadi ‘walambwelambwe’.

Alisema suala hilo analipeleka kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na kama hataona tija yoyote, atalirejesha bungeni.

Alikuwa ahitimisha hoja ya mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye aliyetaka Bunge kuahirisha shughuli zake kujadili jambo hilo aliloliita la dharura.

Ilivyokuwa jana

Katika kikao cha jana, Ndugai aliitaka kamati hiyo inayoongozwa na Mussa Azzan Zungu kufuatilia tukio la Amina na kulieleza Bunge watakachokibaini.

Katika maombi yake ya mwongozo, Lijualikali alisema kuna mikakati inafanyika kuficha ukweli wa tukio hilo.

Akiomba mwongozo huo, Lijualikali alisema maelezo yaliyotolewa bungeni Juni 8 na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni ambaye alionyesha kusikitishwa na suala hilo, na yale yaliyotolewa na ofisi ya kamanda huyo yanatia shaka kama kweli haki itatendeka.

“Juni 8, Naibu Waziri Masauni alilaani lile tukio na alikiri msichana yule kujifungua nje ya kituo, ila siku hiyohiyo ofisi ya RPC Morogoro ilitoa kauli kwamba Amina hakujifungulia polisi,” alisema Lijualikali.

“Kwa kuzingatia Waziri wa Mambo ya Ndani (Dk Mwigulu Nchemba) alisema inafanya uchunguzi na wamefungua jalada la uchunguzi na ofisi ya RPC imekana, nina shaka na hili.

“Ninaomba ikiwezekana Amina aitwe katika Kamati ya Ulinzi, Usalama na Mambo ya Nje aje ahojiwe ili tupate ukweli na tukiacha taarifa hizi za RPC zitaharibu uchunguzi.”

Baada ya Lijualikali kumaliza kuomba mwongozo, Spika Job Ndugai alisema: “Hili ni jambo ambalo (mbunge wa Arumeru Mashariki-Chadema, Joshua) Nassari aliliuliza na naibu waziri kulitolea maelezo. Sisi tushukuru tu Waziri wa Mambo ya Ndani yupo hapa. Tulipe muda.

“Itafika siku tutapenda kujua majibu ya upelelezi huo. Hakuna anayetaka kujenga misingi ya polisi wetu kufanya ukatili kwa kina mama wajawazito.

“Tuvute muda tu. Ni jambo la simanzi, wafanye kazi na askari wana taratibu zao na wanachunguza na wana namna yao ya kushughulika. Kamati ya Mambo ya Nje ya Zungu huko mbele, mkija mtupatie taarifa ‘what happened (nini kimetokea).”

Katika viwanja vya Bunge, Mwananchi lilizungumza na Mwigulu kuhusu kilichoelezwa na Lijualikali na akasisitiza kuwa anafuatilia suala hilo na “nikipata taarifa za kina nitawajulisha”.

Juni 8, Nassari aliliomba Bunge kujadili suala hilo kwa dharura akisema ni moja ya matukio yanayoendelea kujitokeza, ikiwamo Dar es Salaam na Mwanza na hatua hazionekani kuchukuliwa na mwenyekiti wa kikao hicho, Andrew Chenge kumtaka Waziri Masauni kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

“Kwa niaba ya Serikali tunasikitika kwa kweli kwa tukio lile na jambo hili limefunguliwa jalada la uchunguzi,” alisema Masauni.

Alisema kulikuwa na tukio la wizi lililomhusisha mume wa Amina aliyetuhumiwa kuwa alinunua vitu vya wizi vilivyokutwa nyumbani kwake.

“Polisi walimtaarifu mama, kwamba atakaporejea (mumewe)afike polisi. Lakini hakufika na polisi walimchukua yule mama kwenda kumhoji,” alisema Masauni.

“Busara ingeweza kutumika hasa kutokana na hali yake. Wangemhoji na kumuachia kwa kujidhamini. Hali ya uchungu ilipomfika polisi, wakataka kumpeleka hospitalini na ndipo akajifungulia njiani karibu na kituo cha polisi.”

Tayari tukio hilo limelaaniwa na wadau tofauti wa masuala ya haki za akinamama wakitaka uchunguzi ufanyike kukomesha vitendo hivyo.
Chanzo :Mwananchi

Amber Lulu Ateswa na Matusi Anayotukanwa Hamisa Mobetto ''Kaza Mwanaume Kama Anakupenda Atarudi"

$
0
0
Amber Lulu Ateswa na Matusi Anayotukanwa Hamisa Mobetto ''Kaza Mwanaume Kama Anakupenda Atarudi"
MSANII wa Bongo Fleva ambaye pia ni muuza nyago ‘video vixen’ Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amemfungukia mzazi mwenziye na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Hamisa Mobeto kuwa, anamsikitikia kipindi anachopitia kutokana na kuendelea kuandamwa kwenye mitandao ya kijamii.

Akizingumza na Star Showbiz, Amber alisema kwamba anaamini Mungu atampigania Mobeto kwa kuwa yanayo-mtokea ni mapito yapo kwa muda tu ikifika wakati kila kitu kitakuwa sawa na furaha yake itarudi kama zamani.

“Mimi namuamini sana Mobeto na ninajua kwamba ni mwanamke anayejiamini kwa kila kitu, kwa hivyo hili lililomtokea ni changamoto tu katika maisha niseme tu kwamba yeye aendelee na biashara zake kwa nguvu zote na kufanya kazi ili aweze kulea familia yake, achukulie hii ndio changamoto ya yeye kukaza buti na kutafuta mkwanja kwa juhudi zote, mwanaume kama anampenda atarudi tu,” alisema Amber.

Hamisa anadaiwa kukumbana na misukosuko kwenye mitandao ya kijamii, baada ya familia ya Diamond kuwa haikubaliani na yeye kuolewa naye licha ya kumzalia mtoto mmoja wa kiume aitwaye Daylan.
chanzo: Global Publishers

Donald Trump na Kim Jong Un Uso kwa Uso Singapore

$
0
0
Donald Trump na Kim Jong Un Uso kwa Uso Singapore
Mkutano wa kihistoria kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un umefanyika nchini Singapore.

Wawili hao walikutana kwanza kwa dakika 38 kwa mujibu wa ikulu ya White House, na walikuwa ni wawili hao pekee na wakalimani wao.

Mkutano huo ulianza kwa viongozi wawili kusalimiana kwa tabasamu na kisha kuelekea ukumbi wa maktaba ya Cappela Hotel kwa ajili ya sehemu ya kwanza ya mkutano wa ana kwa ana baina yao.

Bw Trump amesema wawili hao walipiga hatua kubwa na kwamba karibuni kutakuwa na sherehe ya kutia saini nyaraka ya makubaliano.

Wamekuwa wakijadiliana kuhusu njia za kupunguza uhasama rasi ya Korea na kati ya Korea Kaskazini na Marekani na pia jinsi ya kupunguza silaha za nyuklia.

Hata hivyo, haijabainika ni nini kitakuwepo kwenye waraka ambao watautia saini.

Trump na Kim Jong-un kukutana bila wasaidizi
Uwezo wa walinzi 12 wa Kim Jong-un
Trump na Kim Jong-un wawasili Singapore
Trump alisikika akisema kuwa anatarijia makubaliano mazuri katika mkutano huku Kim akisema kuwa haikuwa rahisi kufika hapo.

Mkutano uliokua ukisubiriwa kwa hamu na ghamu ulifanyika katika Hotel ya Capella katika kisiwa cha utalii cha Sentosa.

Viongozi hawa wakiingia katika mkutano walionekana wenye tabasabu, na kusalimiana kwa kushikana mikono, na baadae Kim Jong Un alimshika bega Trumpa kisha wakaanza kuzungumza kwa msaada wa wakalimani wao.

Baadaye washauri na maafisa mbalimbali walitarajiwa kuingia kuendelea na mkutano huku suala la nyuklia likitarijiwa kujadiliwa kwa kina na haijajulikana bado makubaliano yatakua yapi.

Akizungumza kabla ta mkutano , katibu mkuu wa umoja wa mataifa, Antonio Guterres amesema kuwa umoja wa mataifa utatoa msaada wowote wa kuhamasisha makubaliono katika mkutano huo.

''Viongozi wawili, wanajaribu kujadiliana jinsi ya kufikia makubaliano ambayo yalileta sana utata mwaka jana, amani na suala la kusitisha nyuklia ndio vinabaki kuwa lengo kuu, kama nilivyowaandikia mwezi uliopita kutahitajika ushirikiano wa hali ya juu na kutakua na changamoto za hapa na pale katika makubaliano, Marekani wanatakiwa kusimamia kwa vyovyote," alisema Guterres.

Mcheza kikapu wa zamani wa NBA, Dennis Rodman amefika Singapore asubuhi ya leo kwa ajili mkutano huo, Rodman ambaye ni rafiki wa kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kuwa anafurahia kufika na kushuhudia mkutano huo wa kihistoria.


Uhusiano wa viongozi hawa wawili umepitia kwenye milima na mbonde kwa kipindi cha miezi 18 iliyopita, wakirushiana matusi na kutishiana vita kabla ya uhusiano wao kuchukua mkondo mwingine na kuamua wawili hao kukutana.

Manara: Uwezekano wa Kocha Lechantre Kubaki Simba ni Asilimia 10

$
0
0
Manara:  Uwezekano wa Kocha Lechantre Kubaki Simba ni Asilimia 10
Usiku wa June 11 2018 katika ukumbu wa Hayyat Simba iliingia katika historia mpya kwa kuanzisha utaratibu wa kuwa inatambuwa mchango kwa watu mbalimbali wanaoisadia Simba kufanya vizuri, ikiwemo wachezaji, viongozi na mashabiki.

Wakati wa utoaji wa tuzo hizo kocha mkuu wa Simba SC mfaransa Pierre Lechantre alitoa shukrani na kusema anawatakia Simba SC kila la kheri kitu ambacho kimeashiria kuwa anaondoka ndani ya club ya Simba.

Baada ya hapo AyoTV ilimuuliza afisa habari wa Simba Haji Manara kuhusiana na ishu hiyo “Mimi nadhani Lechantre baada ya mkataba wake kumalizika tarehe 18 nadhani inawezekana ameshafikia maamuzi na kamati ya utendaji kuwa hatoendelea”

Nipo Bize na Maandalizi ya Kumpokea Wifi Yangu Zari- Esma

$
0
0
po Bize na Maandalizi ya Kumpokea Wifi Yangu Zari- Esma
DADA wa staa wa Afro- Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnamuz’, Esma Khan ‘Esma Platnumz’ amefunguka kuwa, mwezi huu wote yupo bize kumsubiri mzazi mwenza wa kaka yake huyo ambaye ni wifi yake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

Akizungumza na na Over Ze Weekend, Esma alisema kuwa, hawezi kuielezea furaha aliyonayo juu ya kurejea tena kwa Zari ambaye walikuwa hawajamuona kwa muda mrefu kutokana na matatizo ya hapa na pale na kaka yake huyo.

“Sijui nisemeje, yaani Madale (Tegeta, Dar, nyumbani kwa Diamond) anasubiriwa ndege tausi (Zari) aingie na hapa nipo bize na maandalizi ya kumpokea wifi yangu maana siyo kwa kummisi huku. Yaani natamani sana Sikukuu ya Idd tule pilau naye,” alisema.

Polisi Yakanusha Kuhusu Taarifa za Muuguzi Kuuliwa na Askari

$
0
0
Polisi Yakanusha Kuhusu Taarifa za Muuguzi Kuuliwa na Askari
Yakiwa yamepita masaa machache tokea zilipovuma tetesi za mauji ya muuguzi mmoja mkoani Mwanza dhidi ya askari Polisi mkoani humo, Jeshi la Polisi limefunguka na kukanusha taarifa hizo huku wakiwataka waandishi wa habari kuacha kuandika vitu kwa mihemuko bila ya kufuata utaratibu.


Hayo yameelezwa na Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza, Ahmed Msangi wakati alipokuwa anazungumzia juu ya tukio hilo na kusema kwamba mnamo Juni 09, 2018 majira ya saa 5:00 usiku katika mtaa wa Misungwi ambapo kikundi cha walinzi walimkamata mwananchi ambaye alifahamika jina la Christian Audock Joseph wakiwa wanamtuhumu kwa kosa la wizi katika maduka waliyokuwa wanayalinda.

Msikilize hapa chini Kamanda Ahmed Msangi akielezea tukio zima jinsi lilivyotokea mpaka muuguzi huyo kufariki dunia na kupelekea askari wa Jeshi la Polisi kutuhumiwa na mauaji hayo.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH mzee khamisi Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH mzee khamisi Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mzee khamisi Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU.

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Mzee khamisi Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..

Na mengi zaidi whatsapp +255 623448511 au 0783636592 au +255 622588038
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Daimond Kumbe Shabiki Mkubwa wa Timu ya Simba? "Siwezi Kujiita Simba Nikashabikia Chui"

$
0
0
Daimond Kumbe Shabiki Mkubwa wa Timu ya Simba? "Siwezi Kujiita Simba Nikashabikia Chui"
Baada ya kuficha kwa muda mrefu kuhusu timu anayoshabikia hapa Bongo, Dimond Platnumz ameamua kuweka wazi.

Akiongea na Wasafi TV usiku wa jana kwenye ugawaji wa tuzo za Mo Simba Award 2018, msanii huyo amesema yeye hawezi kujiita Simba akashabikia Chui.

“Sikuzote unajua siwaambiagi watu mimi ni timu gani, mimi ni Simba. Mimi siwezi kujiita Simba nikashabikia Chui. Mimi ni Simba na Timu yangu ni Simba ndio maana leo nipo hapa,” Diamond.

Hata hivyo hit maker huyo wa Iyena ameshindwa kutaja wachezaji wake wawili ambao anawakubali kwenye timu hiyo kutokana na madai ya kutotaka kuchonganishwa na wachezaji kwa kuwa wote anawakubali.

Wivu Wamtokea Puani Sarah wa Harmonize

$
0
0
Wivu Wamtokea Puani Sarah wa Harmonize
Msanii kutokea WCB, Harmonize amewekaza wazi kile kilichotokea kati yake na mpenzi wake, Sarah.

Utakumbuka mwishoni mwa wekeend iliyomalizika Harmonize aliweka wazi kwa sasa yupo single na maswali kuibuka iwapo amemwagana na bibie.

Sasa muimbaji huyo amesema kilichotokea alikuwa na show nchini Ghana na mpenzi wake alikuwa akimpigia simu na kumkosa ndipo akapeleka suala hilo katika mitandao kitu ambacho hakupendezwa nacho.

“Unapoamua kuwa na mtu unatakiwa ujue huyo mtu ni wa aina gani, anafanya kazi gani, ukishajua hivyo unakuwa ni rahisi zaidi ku-deal naye,” amesema.

“Nakutana na watangazaji, wasanii inatakiwa ni badilishane nao mawazo, sasa ukiwa unaendekeza kila saa masuala ya kimahusiano inakuwa unanirudisha nyuma kwa namna moja au nyingine,” Harmonize ameiambia Wasafi TV.

Harmonize ameongeza kuwa kwa namna moja au nyingine mpenzi wake, Sarah ameshindwa kuolewa yeye ni mtu wa namna gani kwani anapokutana na wasanii wengine au watangazaji wa nje na kupiga nao picha tayari ni ugomvi wakati yeye anatakiwa kufanya hivyo ili kuusogeza muziki wake mbele.
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images