Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104688 articles
Browse latest View live

Vimini Vyamzuia Dida Kufanya kazi Ikulu

$
0
0
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachorushwa kupitia Radio Times, Hadija Shaibu ‘ Dida’ amefunguka kuwa kamwe hawezi kufanya kazi Ikulu kutokana na vimini anavyovitinga . 

Akizungumza na Amani, Dida, alisema kuwa anafurahia sana kazi anayofanya kwa sababu inamruhusu kuvaa nguo yoyote anayojisikia vikiwemo vimini . “Kufanya kazi Ikulu ningeshindwa kwani kuvaa nguo ni kwa sheria , huwezi kujivalia tu , kazi yangu nipo huru naweza kuvaa kitu chochote kile nikajisikia nina amani , lakini Ikulu lazima utinge koti na kuchomekea , ” alisema Dida.

Zaidi ya miili ya watu 80 yatolewa katika jengo la wageni la TB Joshua lililoporomoka siku 8 zilizopita.

$
0
0
Synagogue Building: 84 South Africans dead, 17 unaccounted for, 265 survive, South African High Commissioner says 

The number of South Africans known to have died in the collapse of a multi-storey mega-church in Lagos last week has risen to 84, the country’s High Commissioner to Nigeria said yesterday.

“The number has risen from 67 to 84, with more bodies discovered on Thursday,” Lulu Mnguni told AFP, adding that the toll could rise.

“The number of South Africans who were in the church might be higher, as we believe that some people organised the trip themselves without using travel agents,” Mnguni
said.

A multi-storey hotel linked to controversial preacher and televangelist, T.B. Joshua, collapsed last Friday, but it was Tuesday before Zuma announced any South African
fatalities.

Initial death figures were put at 15; but subsequently started rising with South Africans being the major casual-ties. Lulu Mnguni said forensic tests were still to be con-ducted to verify the identities of the dead.

South Africa has sent a team of 10 disaster management personnel, including doctors, to help in the search.

It is believed that there were 349 South Africans visiting the popular church at the time of the crash. T.B. Joshua

Breaks silence The Nigerian preacher and prophet on Thursday broke his silence over the collapsed building, but denied lack of cooperation and stuck to his theory of possible aerial sabotage.

The popular televangelist also indi-cated that other overseas nationals were involved.

The death toll from the tragedy rose after 10 more bodies were pulled from among the twisted metals and shattered masonry of the building on the sprawl-ing Synagogue Church of All Nations (SCOAN) compound.

Joshua had not directly commented on the deaths and had only published Bible quotations on his Facebook site and Twitter account.

But in a statement, he extended his sympathies to victims’ families and described those who died as “martyrs of the Kingdom of God.”

“The pain of one is the pain of all. It is indeed a sad and painful moment for the families and friends of those who have lost loved ones,” he said.

“To all those who lost family mem-bers and loved ones, please accept our
heartfelt commiserations.” Joshua said, “Nigerians, South Africans and citizens of other nations were affected,” but did not specify which countries or say whether they were
among the dead, 131 injured or both. The South African High Commission-er said 17 of his compatriots were unaccounted for and the church had set up a hotline in Johannesburg for concerned relatives.

“It [the death toll] can’t all be South Africans,” he told AFP. “There were also Nigerians who were working. Two chil-dren were pulled alive from the col-lapsed building but both their mother and father were among the missing,” he added.

“They were under the rubble togeth-er with their father. Their father kept them talking to each other,” he said.

T.B. Joshua inspires an almost fanatical devotion from his thousands of fol-lowers around the world, who are drawn to his services by claims of miracle-working and prophecies. But rescue workers have complained of a lack of cooperation from Joshua and the church authorities, which included preventing the emergency services from accessing the site until Sunday.

Joshua rejected the lack of cooperation claims as “inaccurate”. “Contrary to this, we want to categorically state that the church has provided assistance when and where
required and continues to do so: good Christians are good citizens,” he said.

Engineers have suggested that the addition of extra floors on top of the existing building for foreign followers of the church overloaded the structure, causing the fatal collapse.
Source:Vanguardngr

Kupima Ukimwi si Mchezo, Jeuri na Ujanja Wote Mfukoni

$
0
0
Sikuwahi kupima HIV mpaka siku nilipoamua kwenda kupima tena baada ya hofu iliyotokana na maneno maneno ya watu waliolenga kuniondoa kwenye reli.

MAIN TOPIC.
Kwa kuwa tayari hofu ilijengeka ndani yangu.
Niliamua LIWALO NA LIWE. Taratibu nikapanda gari kwenda angaza, mbali kidogo na nikaapo.

Niliposhuka kwa gari nikachukua bodaboda. Nikamwambia jamaa"nipeleke angaza" jamaa akashituka na kuniuliza unaenda kupima UKIMWI?

Jibu langu"NDIO"

Jamaa "una moyo, mimi sipimi ng'o, kwa nini nijipe presha?"jamaa akanichukua huyo mpaka angaza.

Pale si mchezo, nikakuta watu wote kimya hadi wanatia huruma.

Tukasubiria huku tukiangalia filamu ya ukimwi,mara mhusika huyu.
Swali lake"nyie wote si mmekuja kupima UKIMWI?"
Jibu letu"NDIYO".
Yakapita maswali na maelezo mbalimbali kuhusu UKIMWI, mioyo ya wengi ilionekana kujaa hofu na yenye kukosa matumaini, watu tulikuwa watulivu mithili ya mtu anayesali kimoyomoyo, nyuso hazina matumaini, tukapima na majibu kwa kila mtu ni siri.

JAMANI KULE SI MCHEZO

Man Walter Aeleza Walipofikia Katika Kufanya Kazi na 20 Percent

$
0
0
Mtayarishaji wa muziki kutoka Combination Sound, Man Walter aliwahi kutangaza kumaliza tofauti kati yake na 20 Percent aliyewahi kufanya vizuri kupitia mikono yake na kwa pamoja wakaeleza mpango wa kufanya mradi mpya.

Man Water ameongea na tovuti ya Times Fm na kueleza walipofikia baada ya ukimya wa muda mrefu tangu walipotangaza hatua hiyo.

“Off Course kwa sasa siwezi kuongelea sana kwa sababu wazo lilienda vizuri lakini nadhani kuna vitu viwili vitatu vilikwama, sijapata tena mawasiliano mazuri na 20. Labda tuvute subira tu, kwa sababu kama watu wana lengo la kufanya jema litakuwa tu…nadhani tuvute subira kwake.” Man Walter ameiambia tovuti ya Times Fm

Kwanini Lawama kwa Promota Haziwezi Kumwepusha Diamond Kupoteza Mashabiki

$
0
0

Kutofanyika kwa show ya kimataifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa Diamond jijini Stuttgurt, Ujerumani na kusababisha uharibifu mkubwa, kulichukuliwa na watu wengi kama ajali kazini.

Sababu za Diamond kuchelewa kupanda stejini kulikotokana na kudai alipwe fedha yake iliyokuwa imesalia kwa promota, ilikuwa ya msingi kabisa. Na pia kampuni yenyewe iliyoandaa show hiyo ilieleza kwa urefu kilichosababisha na pia kuahidi show ya bure kwa mashabiki wa Diamond. 

Hilo lilipita na kila upande ukaganga yajayo. Ijumaa hii Diamond alikuwa afanye show nyingine jijini London, Uingereza. Bahati mbaya show hiyo ambayo yeye mwenyewe kama kawaida yake aliipigia promo sana, haikufanyika. Kama ilivyokuwa ya Ujerumani, mashabiki walimsubiri staa huyo kwa masaa kibao wasimuone akitokea. Baada ya kuonekana kunakucha bila dalili ya Diamond kupanda jukwaani, wengi walianza kudai warudishiwe fedha zao. Na kwa mujibu wa mtu aliyekuwepo kwenye show hiyo, polisi walisaidia kurejesha amani katika ukumbi huo, lasivyo yangetokea kama ya Ujerumani.

Pia anadai kuwa promota wa show hiyo alikamatwa.

“I was there brov it was maad trust me, even police got involved with that shit, they had to calm people down until seven in the morning, people wanted their money back he I’ll pay the price cause he got arrested,” ameandika.

Diamond amemtupia lawama promota huyo ambaye si mara ya kwanza kufanya naye kazi na kumuita tapeli.

“Tafadhari ndugu zangu wa UK!!!….kuweni makini sana na promoter huyu (Victor – Dj rule) mnaposikia kaandaa show, party au Hafla yoyote…ni vyema kuziepuka na kutohudhuria kabisa kwasababu ni tapeli…. si unajua aisifiae mvua imemnyeshea… basi mie nimeloa kabisa.”

Pamoja na kwamba Diamond hana makosa katika hili, hawezi kukweka lawama kutoka kwa mashabiki wake walio na kinyongo naye. Shabiki hatotaka kujua makubaliano kati ya msanii na promota. Anachojua yeye ni kuwa show ilitangazwa kuwa itafanyika na yeye akanunua tiketi kuja kushuhudia.

Si kazi yake kutaka kujua kama msanii amelipwa fedha yake ama lah! Kama Diamond alikuwa anamfahamu vyema DJ Rule kuwa si mwaminifu, kwanini alikubali kufanya naye show? Sijui makubaliano yao yalikuwa vipi, lakini kwanini alikubali kulipwa fedha nusu kabla ya kutumbuiza?
Ni yaleyale kama ya Ujerumani.

Wengi tunamchukulia Diamond kama mfano wa msanii wa Tanzania aliyefanikiwa na tunategemea kuwa makubaliano yake yanapaswa kuwa kwamba promota anatakiwa kumlipa ama fedha nusu, robo tatu au fedha yake yote (kama anamuamini) na kusaini mkataba unaowafunga wote. Mara nyingi mikataba husema fedha iliyosalia inatakiwa imfikie msanii wiki moja ama siku chache kabla ya show. Wengine hukubaliana fedha hiyo alipwe msanii pindi anapowasili katika mji huo ama anapofika hoteli.

Ninafamu kuwa Diamond na timu yake wako smart mara nyingi lakini nashindwa kupata jibu la kwanini makosa kama haya yanaendelea kutokea tena katika show za kimataifa. Kuna uwezekano mkubwa kama hajapoteza mashabiki wengi, basi heshima waliyokuwa nayo kwake imepungua.

Yeye na timu yake wanapaswa kuwa smart na kusaini mikataba ya show isiyokuwa na ahadi za kupeana fedha iliyobaki siku ya show. Promota wanapaswa kujipanga na wanapotafutwa na promota wenye longolongo wasiwe na aibu kuwakatalia moja kwa moja kutunza heshima yao.

Matukio kama haya yanaweza kuwa mabaya kwa biashara pia kwakuwa baadhi ya promota wa kimataifa hawapendi kufanya kazi na wasanii wenye CV mbaya katika show zao zilizopita.

Haya ni baadhi ya maoni ya watu mbalimbali yanayofanana kiasi na ya kwangu.

kiswigogodfrey

Play back concert 2 times inabuma hiyo ni kukosa management imara yenye kusimamia mikataba yako. Umetoka bongo hadi UK bila kujua mikataba yako. Hilo fans wako haliwahusu wao ni burudani ndio haki yao hayo mengine utajijua na promota wako. Na kama jamaa amekupiga kama ulivyo post ni vzr ukafuata taratibu za kisheria ndio zitoe hukumu na ukishinda ndio umwanike kwenye social network.Kama hujafanya hivyo tegemea kesi ya madai kutoka kwa mshikaji ingawa umeshapata hasara kwa kukosa umakini na management yako, it’s over.

jamal_huwel

Men mara ya pili hii hebu badilisha system ya mikataba yako. Pokea angalau 60% of the cash kabla ya shoo. Watakuharibia mtaalamu wetu tutakosa talent yako tena

Allykikasha

PLZ PLZ PLZ READ THIS….DIAMOND wewe ushakuwa msaani wa kimataifa na watu nao wanakufahamu,, jaribu kutafuta timu ya uhakika mtu anayejua ishu ya marketing professionally,, uwe na mwanasheri hata yule wa kumlipa tu pale unapoingia mkataba,, achana na waki BABU TALE wao umeneja wao ni wa show za mikoani tuu,, then hana creativity yoyote zaidi ya kuwanufaisha,, jaribu now to change,, uwe na watu wenye uwelewa na kitu unachokifanya,, Germany imetokea ,, then BAB TALE anasema eti imesaidia kukutangaza,, very stupid comment then ISSUE SIO PROMOTERS ITAFIKIA SIKU FANS NOW WATAONA KILA SHOWS ZAKO NI ZA KITAPELI ,, PEOPLE THEY CHANGE.

carryandy

Acha kuwatangazia mashabiki wako show kabla hujalipwa hela kamili, vinginevyo unajiharibia biashara 2nd time hii, hujajifunza tuu? Na sijui kama unakuwa na makubaliano ya maandishi kabla hujajiingiza kuwambia fans wako utkuwa somewhere. , jipange utaja pata matatizo makubwa nchi za watu hizo oh!

rayna_rayna_

Mmmhh um not sure kama anaweza kukufanyia ivyo maybe umeenda bila contract ndo mana imetkea yote..next tym jipange na team yko najua jamaa ni mtu mkubwa and also unaweza kwenda mshitaki ubalozini kwa kukupotezea mda na kukupotezea issue maybe it will help

callyrissanen

Pia kuwa makini chibu. Hao police wa nchi za wenzetu wakifanya mawasiliano unaweza hata huko germany ushindwe kufanya show. Tafuta mwanasheria wa hiyo mikataba yako. Na uwe unamaliziwa kulipwa pesa za show unapofika tuu kwenye nchi husika, msisubiri hadi muda wa onyesho ndio muanze kudaiana. Inakuwa rahisi kutoa tamko kwa mashabiki mapema kama hutohudhuria mapema iwezekanavyo ili wasisumbuke

irymamur_de_star

Inaonekana management yako haipo makini kabisa kwan inatokea nn?? hadi mtu anakutapeli cc mashabiki zako tunaumia xana kuckia ivyo na maswal mengi juu ya hilo kwan thamani yako ya show za nje inapungua xaxa kuwa makini na hao bakoharam sio watu wazuri kwako na huyu jamaa xaxa mi sioni kazi yake @babutale mi nakupa pole xana kwailo!!!! ila hujafafanua vzur juu ya hilo tujue ilikuaje yani tujue mwanzo mwisho kwa maelezo kwan tunahaki kama mashabiki zako pendwa!!!!

JACKLINE WOLPER : I Feel so Good to Chat With Him When Am Like This..

$
0
0
Udaku Specially imeakutana na Picha hii ya JACKLINE WOLPER kwenye account ya instagram kwa jina wolperstylish yenye Caption: I feel so good to chat with him when am like this..

Yanga SC yapokea kichapo cha 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, Jaja akosa Penalti

$
0
0
MBRAZIL Marcio Maximo amepoteza mechi yake ya kwanza akiiongoza Yanga baada ya kukubali kipigo ‘swaafi’ kabisa cha mabao 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro jioni hii.
Katika mechi hiyo ya kukata na shoka, Mbrazil mwingine, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ naye ameweka rekodi ya kukosa mkwaju wa kwanza wa penalti akiichezea Yanga katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu.

Style Zingine za Nguo Ni Shida Tupu, Embo Ona Alichovaa Jokate Hapa

$
0
0
Style Zingine za Nguo Ni Shida Tupu, Embo Ona Alichovaa Jokate Hapa, Kapendeza or Not ?

Lowassa: Utajiri Wangu Usitumike Kwa Lengo La Kuchafuana Katika Siasa, Ndugu Zangu Aliyepata

$
0
0
Mkubwa wa kazi ambaye amewahi kushika nafasi kubwa za uongozi katika taifa hili na mwenye kasi ya ajabu katika medani za siasa, uchumi katika chama chake, amekuwa akiwaonya wapinzani wake kutotumia kete ya mali zake kama njia ya kumchafua ki siasa.

Amesema hapendezwi na hilo, na jambo hilo halina tija kwa siasa zetu za Tanzania, kuna mijadala mingi ya ki taifa ya kujadili kwa maendeleo yetu na siyo mali zake kwani anazo mali za kawaida kuliko inavyozushwa.

Kakazia kwamba wapinzani wake wasijikite katika mali zake kwani "ALIYEPATA AMEPATA".

Haya wadau hizi ndiyo siasa za bongo watu wamewekeza kwenye kuchafuana tu. Chama cha CCM kazi ipo.

John Shibuda: CHADEMA ni Gunia Tupu, Kasulumbai Amjibu Asema Shibuda ni Chizi

$
0
0

Kada wa CHADEMA John Shibuda amesema chama chake ni gunia tupu wanapiga kelele tu, amesema hayo wakati wa hotuba yake bungeni ambapo mbunge huyo wa Maswa alipewa nafasi ya kutoa hotuba na kukishambulia chama na UKAWA. 

Pia amesema CHADEMA amekipa talaka kwa jimbo lake kwa hiyo watafute mtu wa kugombea mwaka kesho. Kasulumbai ajibu na kusema Shibuda ni chizi anasubila kuvua nguo.

Hatimaye Vanessa Mdee Afunguka Kuhusu Mahusiano ya Kimapenzi na Mwanamuziki Jux

$
0
0
Vanessa Mdee aka Vee Money amekanusha tetesi zilizopo kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na muimbaji wa ‘Nitasubiri’ Jux.

Siku za hivi karibuni, Vanessa na Jux wamekuwa karibu kiasi cha watu kuhisi kuwa ni wapenzi.

Unajua labda watu hawafahamu tu lakini mie na Jux tumefahamiana muda sana na ni mtu ambaye huwa tunashauriana hasa mambo ya kazi zetu,” amesema Vanessa aliyecheka baada ya kuulizwa swali hilo. 

Ni rafiki yangu wa muda sana sasa hivi. Unajua watu wakikuona upo na mtu karibu tu lazima watasema. Mwanzo walisema Ommy Dimpoz sababu ya ile nyimbo ya Me and You. Mara wakasema Gosby kipindi kile ilipotoka ile nyimbo ya Monefere.

Shule za Msingi zafungwa Jijini Dar Kuhofia Watoto Kutekwa, Magari Aina ya Noah Yahusishwa

$
0
0
Uvumi wa kuwapo kwa watu wanaoteka nyara watoto kwa kutumia magari aina ya Noah, umeleta mtafaruku katika shule saba za msingi Manispaa ya Temeke, na kusababisha wazazi kuvamia shule hizo na kufungwa kwa muda.

Hata hivyo, katika baadhi ya shule hizo kumeripotiwa kutokea vurugu kiasi cha jeshi la polisi kuingilia kati kutawanya watu waliotaka kuvunja mageti ya kuingilia kwenye shule hizo.

Taarifa za kuwapo kwa matukio ya watoto kutekwa na watu wasiojulikana zilianza kuenea wiki tatu zilizopita, ambapo shule zilizoathirika ni Chekeni Mwasonga, Mikwambe, Rangi Tatu, Mchikichini, Charambe, Kiburugwa, Jitihada na Mbagala Kuu.

Akizungumza na NIPASHE Jumamosi, Afisa Elimu ya Msingi Manispaa ya Temeke, Honorina Mumba, alisema uvumi huo siyo wa kweli na hawafahamu nani anahusika kuusambaza na kwa madhumuni gani.

Alikiri kwamba kazi ya utoaji huduma katika baadhi ya shule umekuwa mgumu baada ya wanafunzi kutofika shuleni kufuatia  wazazi wao kuwazuia wakihofia usalama wa watoto wao.

Mtangazaji Mkongwe Anselm Ngaiza aka Soggy Doggy Anyakuliwa na Redio Inayokuja Kwa Kasi Jijini Dar

$
0
0
Mtangazaji wa redio na rapper mkongwe, Anselm Ngaiza aka Soggy Doggy amehamia kwenye kituo cha redio cha EFM cha Dar es Salaam akitokea Ebony ya Iringa. 

Soggy amefanya kazi kwa miaka kadhaa akiwa kama mkurugenzi wa vipindi wa Ebony FM hiyo inayosikilizwa zaidi kwenye mikoa ya nyanda za juu za kusini. 

Rapper huyo ametweet: 

Thanks kwa kila aliyenipa ushirikiano nikiwa Ebony FM Iringa,maisha yanaenda kasi sana na kuna vitu havikwepeki nimeamua kuhamia 93.7 Efm

Soggy amewahi kufanya kazi kwenye vituo vingine vya redio vikiwemo Triple A ya Arusha na Radio Free Africa ya Mwanza

Msanii wa Bongo Movies Afunguka, Nipo tayari Kupungua Tumbo Langu Lakini sio Makalio

$
0
0
Msanii wa Bongo Movies Bupe Ameongea na Udaku Specially Kuhusu umbo lake la Utata Mwingi hasa upande wa Nyuma.

“Makalio yangu Siyo Mchina, nimayarithi kwa mama yangu mzazi, ni mnene kama nilivyo mimi.”

USUMBUFU ANAOKUTANA NAO
“Si unajua wanaume wengi wanavyodata wanapoona wanawake waliojazia, usumbufu wao kwangu ni mkubwa sana kwa kweli.”

ANAJIKUBALI
“Mimi natamani kupungua tumbo tu lakini siyo makalio kwa sababu haya ndiyo yanawavutia watu, nikipungua nitakosa mvuto.”

“Huwa napenda kuvaa nguo fupi kama sketi na gauni kwa sababu mguu wangu ni wa bia halafu ni mzuri na unavutia.”

SAIZI YA NGUO ZA NDANI
“Kwa kweli saizi ninayovaa sijui na ni mara chache sana navaa kutokana na umbile langu na hali ya joto la Dar.

Meneja wa Diamond Afunguka Kilicho Sababisha Diamond Asifanye show London Juzi Usiku

$
0
0
Kutokana na tukio hilo, Meneja wa mwanamuziki huyo, Hamis Taletale maarufu Babu Tale ambaye hakuambatana naye, aliliambia gazeti hili kuwa Diamond alipokea mwaliko kutoka kwa promota huyo, lakini hakulipwa fedha hata kidogo, jambo ambalo lilimfanya ashindwe kufanya uamuzi wowote.

“Diamond alipofika Uingereza yule promota alimdaka juu kwa juu kwa kuwa kule alikwenda kwa ajili ya shoo ya Ujerumani itakayofanyika usiku wa leo (jana) akimtaka afanye shoo jijini London, Uingereza, alikubali na baada ya hapo alisema kuwa angemlipa siku ya shoo, lakini kwa wakati wote hakufanikiwa kuonana naye tena, alikuwa akiwasiliana naye kwa simu tu,” anaeleza Taletale.
Alisema Diamond alimsubiri promota huyo kwa muda mrefu, licha ya kufanya matangazo aliamini kuwa kabla muda wa shoo haujafika angemlipa fedha ili aende ukumbini.
“Diamond alishangaa kuona ilipofika saa nne usiku wa kuamkia jana promota yule hapatikani, kwa kuwa hakulipwa hata dola moja (Sh1,600) aliamua kutulia hotelini kwani promota ndiye anatakiwa amfuate msanii, na yeye hakufanya hivyo wala hakumlipa hata kidogo. Msanii wangu hana makosa ndiyo sheria ya kazi ilivyo,” alisema Taletale.
Hata hivyo, Taletale alisema wamiliki wa ukumbi ndio walioamua kuita polisi baada ya kuona viashiria vya vurugu, na hapo ndipo ilipogundulika kuwa promota huyo hakulipia ukumbi pia.
“Licha ya kwamba hakumlipa msanii wangu, pia ukumbi hakuulipia. Alichokifanya mmiliki ni kurudisha fedha kwa watu waliohudhuria mbele ya polisi na promota yule akakamatwa.”
Akizungumzia usalama wa Diamond, Taletale alisema, “Msanii wangu yupo katika mikono salama na hivi tunavyoongea ameshapanda ndege kuelekea Ujerumani kwa ajili ya shoo jioni ya leo. Hana kosa lolote, hakuna mkataba baina yake na promota unaoonyesha kwamba alilipwa,hivyo hakuwa na kizuizi na polisi hawajashughulika naye,” alisema Taletale.
Hata hivyo, alipoulizwa kwa nini anamwacha msanii wake asafiri peke yake na kufanya makubaliano na mapromota kazi ambayo alitakiwa aifanye yeye (Taletale) alisema:
“Ilikuwa nisafiri naye, lakini kwa bahati mbaya kulikuwa na matatizo ya kifamilia ambayo ilinilazimu nibaki nchini. Yeye alikwenda kwa ajili ya shoo mbili zilizofanyika Jumamosi Afronation na hii ya leo itakayofanyika Sturtgart. Huyu promota alimdaka tu,” alisema Babu Tale.
Baada ya kutokea kwa vurugu hizo, mwanamuziki Diamond alisema promota huyo amemtapeli kwa kuwa hayakuwa makubaliano yao awali.
“Tafadhali ndugu zangu wa Uingereza haikuwa dhamira yangu, kuweni makini sana na promota huyu Victor Dj Rule, mnaposikia kaandaa shoo, pati au hafla yoyote ni vyema kuziepuka na kutohudhuria kabisa kwa sababu ni tapeli, si unajua aisifiaye mvua imemnyeshea, basi miye nimeloa kabisa,” aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Akizungumzia sakata hilo, Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Ado Novemba alisema tatizo alilopata Diamond limepokewa kwa masikitiko makubwa na wanamuziki wote nchini.
“Tunasikitika kwani hii ni mara ya pili inatokea tena kwa kipindi cha mwezi mmoja, lakini baada ya kufanya mawasiliano, tumegundua tatizo lilikuwa la promota, mwanamuziki wetu hana hatia na ameshaondoka Uingereza leo (jana) asubuhi na sasa yupo Ujerumani kwa ajili ya shoo nyingine ya usiku wa leo,” alisema Ado.


Waandishi wa Habari Waja Juu Baada ya Polisi Kutumia Nguvu zao Vibaya Kwa Waandishi Juzi

$
0
0


Thursday excessive use of force by police against journalists who were covering the summoning of the chairman of the main opposition at police headquarters for interrogation has been greeted with wave of condemnation from rights activists and journalist associations.

They said the police act which left journalists Josephat Isango, Shamimu Ausi and photojournalist Yusuf Badi injured was unacceptable in a country that claims to cherish principles of a free press.

The incident occurred just a day after the police snubbed a consultation meeting between law enforcement organs and media where Vice President, Dr Gharib Bilal was a key speaker.

The meeting, which sought ways of harmonising the working environment between media practitioners and security organs, brought together all other major law enforcers except the police.

Tanzania Editors Forum (TEF) chairman Absolom Kibanda said the police have reached an alarming stage in disrespect of rights of journalists and asked Inspector General of Police Ernest Mangu to overhaul the force.

He said the incident has invoked similar memories including the killing of TV journalist Daudi Mwangosi and asked the police to take immediate measures against those who were involved on the Thursday’s occurrence.

Mazito Yaikuta Man United, Team iliyopanda Daraja Mwaka Huu Yainyeshea Mvua ya Mawe

$
0
0
Ligi kuu ya Uingereza imeendelea tena jioni ya leo kwa mchezo kati ya Manchester United dhidi ya timu iliyopanda daraja ya Leicester City.
Man United ambao walishinda mechi iliyopita ya ligi dhidi ya QPR kwa ushindi wa magoli 4-0, leo hii wameonja kipigo kizito kutoka kwa Leicester, baada ya kukubali kufungwa 5-3.
Man United ndio waliokuwa wa kwanza kuliona lango la Leicester kupitia Robin van Persie, kabla ya dakika baadae Angel di Maria kuongeza la pili.
Dakika moja baada ya United kufunga goli la pili, Leicester wakafungw goli la
Kwanza kupitia Ulloa na mpaka mapumziko matokeo yalikuwa 2-1.
Kipindi cha pili Ander Hererra akaifungia Man United goli la 3, lakini dakika chache baadae Leicester wakapata penati na kufunga goli la pili, huku United wakiwa bado na hasira za kulalamikia maamuzi ya refa, Estaban Cambiasso akafunga goli la kusawazisha.
Mchezaji aliyeng’ara kwenye mchezo Jamie Vard akaifungia City goli la 4, kabla ya dakika baadae Nugent kufunga goli la tano kwa mkwaju wa penati.
Mpaka refa anapuliza kipenga cha mwisho Leicester City 5-3 Man United.

Neno la Davido kwa Wizkid na P Square kuhusu Albam Zao

$
0
0
Mwimbaji wa Nigeria Davido, ametumia akaunti yake ya Twitter kuufikisha ujumbe wake kwa wasanii wenzake Wizkid na P Square kuhusu albam zao.

Davido amewapongeza wasanii hao ambao albam zao zinafanya vizuri sana kwenye iTunes hivi sasa, Wizkid (AYO) na P Square (Double Trouble).


Makalio Fake ya Nick Minaj Yamwaibisha Tena Kwa Mara ya Pili Akiwa Stejini

$
0
0
There were reports a few weeks ago that Nicki Minaj ruptured her butt while performing on stage at the VMAs. Many didn't believe it but on Friday night, her butt seemed to lean to the left side as she performed at the iHeartRadio Music Festival at the MGM Grand Garden Arena in Las Vegas. The butt looks weird but maybe there's a better explanation, like camera angle..?

Lemutuz Aja na Mpya, Atoa Ofa ya Wabebezi Wakali Kumi Kwenda Nae Kula Bata Kwenye Boti ya Kukodi

$
0
0
Kwa Wale Mabebizi Wakaree wa Mjini Mnaotaka Kula bata kwenye Bot Kuelekea Kisiwa cha Mbudya Mzee Mzima Lemutuz anakupa chance ya Kusail naye ..Jisomee Alichoandika Kwenye Instagram yake hapo chini:

"Ok guys I mean wabebez wa ukweli next Jumamosi nitakodi boti ya kwenda kula bataz Mbudya Island natoa offer kwa wabebezi wakareezzz 10 tu my Insta babies twenzetuni kura bataaz if you wanna be in halla me at 0717 618 997 halafu send me your full pic at watsap 0717 618 997 nione kama ni kweli mbebez mkareezzz ni kwenda kura bataz sio kwenye gademu mapenzi unlesss ikitokea tu kitu natural U know hahahahhah unajua I love USA ilinifundisha kuwa mkweli na muwazi sio kuficha ficha mambo ambayo ni kawaida kwa watuwazima U know I loooooove wabebezz wakareeez U know I mean ukiwa nao unasahau gademu shiderrrr U know hahahahahahah!" - Le Mutuz
Viewing all 104688 articles
Browse latest View live




Latest Images