Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Gigy Money Amchimba Mkwala Mzito Lynn "Naweza Kukuzaa Huku Navuta Sigara Nikikukamata Kipigo"

$
0
0
Gigy Money Amchimba Mkwala Mzito Lynn "Naweza Kumzaa Huku Navuta Sigara Nikikukamata Kipigo"
Video Vixen na Msanii wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amemtangazia vita kwa kumchimba mkwara mzito video queen mwenzake Irene Charles ‘Lynn’ ambaye alijipatia umaarufu baada ya kukwaa skendo ya kutoka kimapenzi na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’.

Gigy na Lynn wamekuwa wakirushiana maneno makali na kudaiwa kuwa walipigana klabu usiku wa weekend iliyopita.

Kupitia mitandao ya kijamii gigy money ameamua kumpa makavu Lynn kwa kuandika hivi "Siongei na mtoto mdogo ambaye naweza kumzaa huku navuta sigara nikikukamata kipigo, mimi sio mtoto mzuri yani nakuchapa ulizia CV zangu, mwanamke ujulikani mbele wap nyuma wap upo upo tu ntakufurahisha...... maraya mpya mjini"


Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Wasiliana na Dr Mabula Anatibu Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha na Matatizo ya Maumbile Madogo kwa Mwanaume

$
0
0

TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO
Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?

MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja 1hitakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uhimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio hasirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate amu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona? zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Mama Amuua Mwanae kwa Kumpiga na Mawe

$
0
0
Jeshi la Polisi katika eneo la Murang’a nchini Kenya, linamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma za kumpiga na mawe mtoto wake wa miaka mitatu na kusababisha kifo chake.

Gazeti la Daily Nation limesema tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia June 11 2018 katika Kijiji cha Tuthu, mwanamke huyo pia alimshambulia mama yake kwa mawe ambapo alijeruhiwa na kusadikika kuwa mwanamke huyo huenda ana matatizo ya akili.

Mashahidi katika eneo hilo wamedai kuwa mwanamke huyo alianza kurusha mawe kwa watu waliopo katika eneo hilo na kisha badae waliona mwili wa mtoto ukiwa umelala chini ndipo waliamua kuita viongozi wa eneo hilo.

Akithibitisha tukio hilo kamanda wa Polisi katika eneo hilo Ben Kipkoech amesema mtuhumiwa huyo atakabiliwa na kosa la mauji ingawa Polisi wamepata taarifa za kuwa mwanamke huyo ana matatizo ya akili lakini watahitaji ripoti ya daktari kuthibitisha.

Mwanamuziki Bushoke Amevunja Ukimya na Hii “Checho” Tazama Video

$
0
0
Huyu hapa staa mkongwe kwenye game ya Bongo Fleva Bushoke ambaye anakudondoshea video mpya ya “Checho” akiwa kamshirikisha Alicios kutokea Nairobi Kenya.

VIDEO:

Manara Kavujisha Siri ya Kocha Lechantre Kuondoka Simba

$
0
0
Tetesi zilianza tangu Simba ikiwa Kenya kwamba kocha mkuu Pierre Lichantre anaondoka na kuna mechi moja alikaa jukwaani huku benchi la ufundi likiongozwa na kocha msaidizi Masoud Djuma.

Kwenye usiku wa tuzo za Mo Simba Awards 2018, kocha huyo aliwatakia kila la heri wanasimba alipopata fursa ya kuzungumza baada ya benchi lote la ufundi kutangazwa limeshinda tuzo.

Lechantre alizungumza kwa lugha ya kifaransa ambayo ilitafsiriwa na kocha msaidizi Masoud Djuma: “amesema anawatakia kila la heri msimu ujao.”

Kauli hiyo ikaibua minongono, akaulizwa Haji Manara kuhusu hatma ya kocha mkuu ndipo Manara akasema: “sioni chance ya yeye kuendelea kuwa na Simba.

VIDEO:

Exclusive: Mzee Akilimali yuko tayari kugombea uenyekiti Yanga, haya yakifanyika

$
0
0
Baada ya wanachama wa klabu ya Yanga kukutana hapo jana na kuamua kwa sauti moja kukataa barua ya kujiuzulu ya mwenyekiti wao Yussuf Manji hatimaya Mzee Akilimali amefunguka kuhusu nia yake ya kugombea uenyekiti wa klabu hiyo.

Katika mahojiano maalum kati ya Dauda Tv na Mzee Akilimali amesema nia yake ya kuisaidi Yanga iko pale pale na hii ni kutokana na nia yake ya kuisaidia klabu ya Yanga hukua akisisitiza kwamba yuko tayari kama baadhi ya mambo yatafanyika.

Mzee Akilimali amesema kama waziri mwenye zamana ya michezo Harisson Mwakyembe ametoa siku 60 kwa klabu hiyo kufanya uchaguzi haoni sababu ya yeye kutogombea uwenyekiti huo, full video ya mzee akilimali hii hapa tumekuweka Dauda Tv.

VIDEO:

JE, Dada Unapenda Kuwa Mrembo? na Kaka Unapenda Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa? Soma Hapa

$
0
0

Baada ya kupata cheti cha bidhaa bora 2017-2018, tumeingiza bidhaa zaidi na zenye matokeo ya haraka zaidi bila madhara yoyote.

KWA WANAUME TUNATIBU
☆Kukosa hamu ya tendo.
☆Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
☆Maumbile madogo ya uume.
☆Kuchoka sana wakati wa tendo na uume kusinyaa nk.
@markson_beauty_pr tumeandaa tiba bora kabisa kama ifuatavyo:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @250,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @250,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=
PIA KWA WANAWAKE WANAOPENDA KUWA NA MUONEKANO MZURI ZIPO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe mwili mzima bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @130,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @250,000/=
6.Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378

UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
#RefushaUume
#OngezaNguvu
#HipsNaMakalio
#BotchoTz
#BidhaaTz

Waziri Ajiuzulu Akilalamikia Bunge Kubinywa

$
0
0
Waziri Ajiuzulu Akilalamikia Bunge Kubinywa
Waziri wa Sheria, Phillip Lee ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo akipinga “kusudio la serikali kudhibiti” jukumu la Bunge kushughulikia mpango wowote wa mwisho kuhusu Uingereza kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya (Brexit).

“Sababu hasa ya kuchukua uamuzi huu sasa ni mchakato wa Brexit na kusudio la serikali kutaka kuzuia jukumu la Bunge kuchangia katika matokeo ya mwisho ya kura inayofanyika leo,” alisema kupitia tovuti yake.

Alisema, 'Ikiwa siku zijazo, nitakaa kuwaangalia machoni watoto wangu na kusema ukweli mtupu nilifanya kitu gani bora kwa ajili yao siwezi, kwa dhamira safi kuunga mkono hicho kinachofanywa na nchi yetu kujitoa kutoka Umoja wa Ulaya kama inavyoshughulikiwa.”

Kujiondoa huko kulikotangazwa na Lee katika kikao cha watu mashuhuri jijini London ni pigo kubwa kwa Waziri Mkuu Theresa May wakati huu anapokabiliwa na mfululizo wa kura juu ya Muswada wa Uingereza Kujiondoa EU.

Lee, alisema anaamini sera ya Uingereza kujiondoa ina “madhara” kwa nchi.

Huku kukiwa na fununu ya mawaziri wengine kujiuzulu, aliwataka wabunge wa Chama cha Conservative kuweka shinikizo iandaliwe kura ya maana juu ya mpango wa Brexit na akapendekeza iandaliwe kura ya pili ya maoni kuhusu Brexit.

Wanachama wa Yanga Waandamana Hadi Nyumbani kwa Manji Kumuomba Arudi Kwenye Nafasi Yake

$
0
0
Wanachama wa Yanga Waandamana Hadi Nyumbani kwa Manji Kumuomba Arudi Kwenye Nafasi Yake
Katika hali isiyo ya kawaida inaelezwa baadhi ya mashabiki na wanachama wa Yanga wameendeleza kauli mbiu ya Mabadiliko na Yanga kwa kuamua kutimba nyumbani kwa tajiri Yusuf Manji kufikisha kilio cha kumtaka abadilishe maamuzi ya kutaka kujiuzulu nafasi yake.

Mapema tu baada ya Mkutano Mkuu wa Klabu ulifanyika Juni 10 kwenye Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oyster Bay, walikusanyika na daladala mbili kwenda moja kwa moja katika makazi ya Manji.

Mara baada ya kuwasili taarifa zinaeleza hawakufanikiwa kumkuta na badala yake walikutana na mlinzi aliyewaambia kuwa bosi wake hayupo akieleza amesafiri. Wanachama hao ilibidi wamwachie ujumbe mlinzi huyo wakiomuomba amwambie kuwa bado anahitajika katika kiti cha Uenyekiti ndani ya klabu.

Hatua hiyo imekuja mara baada ya Manji aliyetarajiwa kufika kwenye mkutano huo kushindwa kuwasili na kuleta sintofahamu kama anaweza akarejea kwenye nafasi yake.

Ikumbukwe Maji alijiuzulu nafasi ya Uenyekiti Mkuu Yanga kwa maelezo ya kuwa alikuwa anahitaji kupumzika na badala yake nafasi yake ikawa chini ya Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi ya TFF.

Katika Mkutano Mkuu uliofanyika Juni 10 jumla ya wanachama 1,400 waliohudhuria walipinga barua ya Manji iliyosema amejiuzulu na kuazimia moja kwa moja kuwa ataendelea kusalia kama Mwenyekiti wao.

Idadi ya Vifo Ajali ya Wanafunzi UDSM Yaongezeka ...... Majeruhi Aliyekuwa Akipatiwa Matibabu MOI Afariki

$
0
0
 Idadi ya Vifo Ajali ya Wanafunzi UDSM Yaongezeka ...... Majeruhi Aliyekuwa Akipatiwa Matibabu MOI Afariki
Majeruhi mmoja kati ya wawili wa ajali iliyotokea eneo la River Side jijini Dar es Salaam ikihusisha gari la wagonjwa la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam amefariki dunia leo Juni 12, 2018.


Majeruhi huyo alikuwa akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (Moi) baada ya ajali iliyotokea usiku wa jana Juni 11, 2018.

Ofisa uhusiano wa Moi, Patrick Mvungi amesema waliwapokea majeruhi hao saa 9:30 usiku wakitokea Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), amewataja majeruhi hao kuwa ni Abishai Nkiku (24), mwanafunzi wa UDSM na Jonathan Lugando (40), mhudumu wa chuo hicho.

"Madaktari wanaendelea kumhudumia Nkiku ingawa ameumia sana kichwani,” amesema Mvungi.

Kwa mujibu wa taarifa ya Daruso waliofariki awali katika ajali hiyo ni Maria Gordian ambaye alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza na Steven Sango wa wa mwaka wa pili.

Wahukumiwa Miaka 15 Jela kwa Kesi ya Uhujumu Uchumi

$
0
0
Wahukumiwa Miaka 15 Jela kwa Kesi ya Uhujumu Uchumi
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 15 jela Joephat Joseph Mushi(mfanyabiashara ya samaki) na Said Omary Sisige (Dereva wa roli) na kuwaachia huru washitakiwa saba katika kesi ya uhujumu uchumi namba 2/2017.


Upande wa Jamhuri uliwakilishwa na Mawakili wandamizi Saraji Iboru na Paul Kimweri ambapo mshitakiwa wa kwanza alikuwa akitetewa na jopo la Mawakili wanne Victor Mkumbe, Simon Mwakolo, Habib Kamru na Jackson Ngonyani ambapo mshitakiwa wa pili alikiwa akijitetea mwenyewe.

Walioachiwa huru na Hakimu Michael Mteite ni Agripa Benjamin, Pius Jacob Joseph, Said Swedi, Shaban Sankwa, Lugano Francis Mwakapala, Ibrahim Miller na Andrew Kachengo.

Akisoma hukumu  hiyo Hakimu Mteite amesema Mahakama inawatia hatiani mshitakiwa wa kwanza Josephat Mushi na Said Omary katika makosa saba kosa la kwanza ni kula njama, kosa la pili kughushi, kosa la tatu kutoa maelezo ya uongo, kosa la nne kuondoa lakiri, kosa la tano kumiliki mali isiyolipiwa ushuru, kosa la sita kughushi nyaraka na kosa la saba kuitia hasara wizara ya uvuvi.

Hakimu Mteite amesema adhabu zote zitakwenda kwa pamoja hivyo watatumikia kifungo cha miaka kumi na tano jela na kulipa fedha kama zilivyoainisha.

Aidha Mteite ameamuru kuteketezwa shehena yote ya samaki kutokana na kukaa muda mrefu na kuzingatia afya ya binadamu ambayo ni muhimu kuliko mali.

Makonda Akabidhi Kadi 220 za Bima ya Afya

$
0
0
Makonda Akabidhi Kadi 220 za Bima ya Afya
Leo Juni 12 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo amekabidhi kadi 220 za Bima ya Afya (Toto Afya Card) zenye thamani ya zaidi ya shilingi Million 11 kwa watoto yatima na waishio Kwenye mazingira magumu ili wapate uhakika wa matibabu mwaka mzima ikiwa ni sehemu ya Mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Akizungumza  katika hafla fupi ya kukabidhi Kadi  hizo Makonda amesema kuwa kadi hizo zimefadhiliwa na Hospital ya Regency na TMJ za jijini Dar es Salaam na zitakuwa na ndani ya mwaka mmoja kuanzia sasa walipokabidhiwa.



Aidha pamoja na hayo Makonda amesema watoto wengine 400, watapatiwa msaada wa mabegi yenye vifaa vyote  vya shule.

"Kupitia mwezi huu wa ramadhani nawashukuru ndugu zetu wa Regency na TMJ kwa kwa msaada mkubwa wanaoutoa angalau kugusa maisha ya watoto yatima, hivyo leo tumekutana ili kuonesha ishara ya amani upendo pamoja na undugu bila kujali itikadi za vyama na dini" amesema Makonda




Kwaupande wake Kaimu Mganga mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam  Dkt. Daisy Majamba amesema Jumla ya  Card 220 zimekabidhiwa, na kwamba kupatikana kwa watoto hao kulifanyika zoezi la kuwa tambua kutoka katika vituo mbalimbali vya kuelekea watoto jijini Dar es Salaam.

Mwakilishi wa Hospitali ya Regency Medical Center Dr Rajni Canabar amemshukuru mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe Makonda kwa  kuanzisha mchakato wa kumgawa Card hizo na wao kama wadau wamefurahi kushiriki katika kusaidia watoto hao na kuitaka jamii kuwa thamani na kuwa linda watoto hao na kuwa ona sawa na wengine.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi gharama matibabu ya Toto Afya Kadi  ambazo ni kila moja ni shilingi 50400, kwa mwaka ni nafuu ukilinganisha na gharama za matibabu bila kadi  hiyo.



Aidha ameitaka kutambua umuhimu wa Afya kwa Watoto wao kwa kuwa Katia Toto Afya Kard, na kuwataka wadau wengine kujitokeza kuzihuisha kadi hizo baada ya muda wake kwisha.

Mahakama yazizuia benki kutoa pesa za ruzuku CUF

$
0
0

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeweka zuio la muda kwa benki zote nchini kutotoa pesa zozote za ruzuku ya Serikali kwa Chama cha Wananchi (CUF), hadi kesi zinazohusu mgogoro wa uongozi unaofukuta ndani ya chama hicho zitakapoamuriwa


Uamuzi huo ulitolewa na Jaji Wilfred Dyansobera, Ijumaa iliyopita kufuatia maombi yaliyowasilishwa na Bodi ya Wadhamini wa chama hicho, kambi ya Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad.


Bodi hiyo kupitia kwa mawakili wake Juma Nassoro na Daimu Halfani waliwasilisha mahakamani hapo maombi hayo, baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa kuruhusu ruzuku ya zaidi ya Sh.600 milioni.


Msajili wa Vyama alitoa kiasi hicho cha ruzuku kwa chama hicho, kambi ya Mwenyekiti wake wa Taifa anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba, licha ya kuwepo kwa amri ya kumzuia kutoa ruzuku kwa chama hicho kambi yoyote.


Kufuatia maombi hayo, Jaji Dyansobera katika uamuzi wake wa Ijumaa ametoa amri ya kuzizuia benki zote nchini kutoa ruzuku ya Serikali kwa chama hicho kambi yoyote kulingana na uamuzi wake wa awali dhidi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.


Kwa uamuzi huu chama hicho hakitaweza kutoa pesa yoyote katika akaunti zake zinazohusiana na ruzuku ya Serikali, hadi kesi zilizoko mahakamani zinazotokana na mgogoro huo wa uongozi

Rais Magufuli Afurahishwa na Swali Aliloulizwa na Mwananchi...Kampa Laki 2 na Kuahidi Barabara Itayojengwa Ipewe Jina Lake

$
0
0

Rais John Magufuli ametaka barabara itakayokarabatiwa karibu na eneo la Msikiti Mkuu wa Bakwata Kinondoni ipewe jina la mkazi aliyejitambulisha kwa jina la Rashidi Masushi baada ya kusema swali lake lina  maslahi kwa wananchi wa eneo hilo.


Masushi alipewa fursa ya kuuliza swali wakati Rais Magufuli alipowasalimia kwa muda wakazi eneo hilo leo Juni 12, baada ya kumaliza ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Msikiti Mkuu wa Bakwata Kinondoni.


Mkazi huyo alimwomba Rais Magufuli asaidie kufanikisha ukarabati wa eneo lililopo karibu na msikiti huo akidai limekuwa likiwapa wakati mgumu wananchi wake kutokana na kujaa maji mara kwa mara.


“Mheshimiwa rais hapo karibu na msikiti kuna dimbwi la maji ambalo linatufanya wakati mwingine tuwe katika wakati mgumu tunapokwenda msikitini. Kwa vile wakati fulani wewe ulikuwa mkazi wa eneo hili la Kinondoni na mimi ni mjumbe wa nyumba kumi naomba tufanyie mipango ili angalau nasi tuondokane na adha hii,” alisema.


Baada ya maelezo hayo Rais Magufuli alianza kwa kusema: “Swali nzuri sana na nadhani ameuliza kwa niaba ya wananchi napenda wananchi wa namna hii ... hebu tumpigie makofi Rashid.  Mkuu wa mkoa ebu chukua namba yake ili barabara hii ianze kukarabatiwa mara moja na kazi hii ifanyike kwa fedha za mfuko wa barabara....naagiza kazi ifanyike mara moja,” aliagiza Rais Magufuli.


Wakati mkuu wa mkoa, Paul Makonda akibadilishana namba na Masushi, Rais Magufuli alimwita tena mkazi huyo na kumuuliza: “ Hivi bwana Rashid unafanya kazi gani?”


Masushi amejibu:  “Nina kibanda changu cha biashara,” alijibu na kumfanya Rais Magufuli atabasamu.


Magufuli akasema:  “ Njoo uchukue laki moja hapa ukaongezea biashara yako.” Alikwenda na kukabidhiwa Sh200,000.


“Haya uende ukaongezee kwenye biashara yako na kuanzia sasa barabara hii itakapotengenezwa itaitwa Rashid Masushi,” amesema Rais Magufuli.


Baada ya kupokea fedha hizo alirejea tena sehemu alikokuwa amesimama mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam na kisha akatoa noti ya Sh10,000  na kumpa tukio ambalo lilimfanya Makonda aungue kicheko huku akirejea sehemu alikosimama awa

Je kunadalili ya kuanza kufunga ndoa na ROBOT?

$
0
0

Ulimwenguni sayansi na technolojia imeendelea kukuwa kwa kasi sana kupelekea tishio sasa la watu kuanza kufunga ndoa na Marobot kama wake au waume na kuishi maisha ya kimapenzi. 

Wakati wasiwasi ukiendele kutanda kuwa Roboti anaweza kuchukua nafasi ya kimapenzi kwa mwenza wako na akafanya vizuri zaidi, Maumbile ya marobiti yameendelea kuboreshwa hatakufikia kuwa na mvuto kama binadamu wa kawaida. 

Wataalamu wa tekinolojia wameendela kueleza kuwa marobot wanaendelea kuboreshwa zaidi na kufanana zaidi na binadamu ilikuweza kuamsha hisia za kimapenzi. 

Dr Kevin Curran, mshirika mkogwe wa Institute of Electronic napia ni  ‘Electrical Engineer’ na ni ‘computer scientist’ wa chuo kikuu cha Ulster, amezidi sema ujio wa ‘cloud computing’ unaweza ongeza ubora zaidi wa robot hao kuwa natabia na mienendo itakayo fanana zaidi na binadamu wa kawaida.

Aina 10 ya Wanawake Wanaopendwa na Wanaume

$
0
0

WENYE MSIMAMO 
Wanawake daraja la kwanza wanaopendwa zaidi na wanaume ni wale wenye msimamo, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, wako makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio. 

WAPENDA USAWA 
Aina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi ni wanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu ya kifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamii kwa asilimia 50 kwa 50. 

WANAOJUA MAPENZI 
Wanawake wajuzi wa mambo ya faragha wanapendwa sana. Sifa yao kubwa ni uwezo wa kutosheleza katika tendo la ndoa. Tafiti zinaonyesha kuwa wanaume hupenda sana wanawake watundu katika mchezo wa sita kwa sita. Mara nyingi wanatajwa kuwa na uwezo wa kuteka akili za wanaume bila kujali sifa zao za nje au za ndani. 

MARAFIKI 
Wanawake wenye sifa sawa na rafiki ni aina ya nne inayowavutia wanaume. Wao hutegemea zaidi nguvu ya kushawishi inayotokana na namna wanavyojali na kujitolea kuhakikisha wanakuwa marafiki wa kweli kwenye shida na raha kwa wapenzi wao. Si wakorofi, waungwana na wapenda amani. 

WA WAZI 
Aina nyingine ya wanawake inayowavutia wanaume ni wenye msimamo na uwazi. Si wepesi wa kuburuzwa katika maamuzi ya msingi kwa kisingizio cha wao ni wanawake. Utafiti unaonesha wanawake wa aina hii wamekuwa muhimu hasa kwa wanaume wenye tabia za ubabe na udhaifu katika uelewa wa mambo. 

WANAOJITEGEMEA  
Wanawake wanaojitegemea wana soko kubwa kwa wanaume tofauti na akina naomba vocha kila siku. Uchunguzi unaonyesha kuwa wanaume wa leo hawapendi wanawake tegemezi, wasiokuwa na kazi na wanaoendekeza starehe za upande mmoja. 

WASIO NA PRESHA 
Nikisema wanawake wasiokuwa na presha namaanisha wasiolazimisha vitu vitokee haraka haraka. Wao siku zote huacha mambo yatokee yenyewe na kazi yao kuwa ni kutenda sehemu ya majukumu yao kama wapenzi. 

MARIDADI  
Kundi lingine la wanawake wanaopendwa na wanaume ni wanaozingatia usafi na kujiremba. Wanaokwenda na wakati katika mavazi na mvuto wa nje. Lakini pia ni welewa wa mazingira, si wasamba. Wanapendeza kwa muonekano. 

WANAORIDHIKA 
Wanawake ambao hulidhika na hali walizonazo ni kivutio kikubwa kwa wanaume, hili ni kundi linalohitajika sana katika ulimwengu wa mapenzi kwa upande wa wanaume ambao maisha ya sasa yamekuwa yakiwageuza kutoka juu kwenda chini au chini juu. Kukubali hali zote bila kubadili tabia ni sifa njema ya mwanamke. 

WA MMOJA 
Wanawake wanaochagua mara moja na kutosheka na kuwa tayari kukwepa kila aina ya vishawishi toka kwa wanaume ambao kimtazamo wana vitu vya ziada zaidi ya waliowachagua mwanzo wanahitajika sana. “Niliye naye ananitosheleza kwa kila kitu sitaki mtu mwingine.” Kundi la wanawake wa aina hii ni adimu na muhimu sana.

Ofa Kubwa ya EID, Pata Bidhaa za Urembo na Kukufanya Mwanaume Kuwa Rijali Kutoka Natural Beauty

$
0
0

OFA KUBWA YA EID

NATURAL BEAUTY PROD
Ni kampuni inayotoa bidhaa ORIGINAL na zilizothibitishwa kiafya.
Sasa inatoa ofa ya punguzo la bei la 10% kwa kila bidhaa wahi sasa upatne tiba za uhakika na uweze kufulahia matokeo mazuri kwa haraka.



1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @240,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @170,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @230,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @170,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-
Google
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya June 13

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya June 13

Nape Nhauye 'Naombeni Turudishe Visu Vyetu Kwenye Ala, Simjui na Siamini Kama Kuna Aliyefunga Bao la Mkono'

$
0
0
Mbunge Mtama, Nape Nnauye amejikutaka akijibu hoja mbali mbali mtandaoni kufuatia mtandao wa Jamii Forums kusitisha kutoa huduma.

Jamii Forums wamefikia hatua hiyo kutokana na kanuni za maudhui ya kimtandao za mwaka 2018.

Sasa Nape Nnaye alianza kueleza hisia zake kuhusu hilo kwa kuandika kwenye mtandao wa twitter; "Hili la JF linafikirisha! Ukizuia watu kusema wayawazayo unaweza Kutana nao….. kimya kimya!."

Baada ya tweet hiyo idadi kubwa ya wachangiaji  walionekana kumnyooshea kidole kutokana kipindi akiwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo alipitisha sheria ya huduma za vyombo vya habari kwa mwaka 2016

Hata hivyo Nape aliwataka wachangia kutofautisha vitu hivyo kwani ni sheria mbili tofauti.

Baada ya kubishana nao tangu jana hadi leo mchana, Nape aliamua kunyoosha mikono juu na leo saa 8 mchana akaandika katika akaunti yake ya twitter akisema:

“Nilaumuni kwa ‘bao la mkono’ lakini sio kwa hili la JF”

 Baadaye aliandika tena akisema:


Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images