Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104690 articles
Browse latest View live

China Yaiomba Tanzania Kuwa Mwenyeji Wa Mkutano Wa Kidunia Wa Viongozi Wa Vyama Vya Siasa

$
0
0


Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeombwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa kidunia wa viongozi wa vyama vya kisiasa, maombi haya yamewasilishwa na Balozi wa China nchini Tanzania Bi. Wang Ke alipotembelea Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba kuonana na Ndg. Bashiru Ally Kakurwa, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Katika salamu zake Balozi Wang Ke ameeleza China na Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) kinampongeza Ndg. Bashiru na kwamba wako tayari kushirikiana naye katika masuala mbalimbali kama sehemu ya mahusiano ya muda mrefu kati ya Tanzania na China na vyama vya CCM na CPC.

Aidha, Balozi Wang ametumia mkutano huo kuwasilisha ombi la China kwa Chama Cha Mapinduzi kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kidunia wa Viongozi wa Vyama vya Siasa ambao kwa mara ya kwanza unafanyika barani Afrika na unaotarajiwa kufanyika mwezi wa Julai 2018.

Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) kimeichagua Tanzania na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mwenyeji wa mkutano huu mkubwa na wa kihistoria "CPC Dialogue with World Political Leaders in Africa".

Mkutano huu wa kidunia unabeba kauli mbiu isemayo nadharia na vitendo katika kutambua njia sahihi za maendeleo ambazo ni endelevu na halisia kwa nchi zetu.

Tunayo furaha na heshima kubwa kuwa na mkutano huu mkubwa Afrika na Tanzania kama sehemu ya Mpango wa kuiunganisha dunia kwa barabara na usafiri wa maji ulioasisiwa na Ndg. Xi Jinping Katibu Mkuu wa CPC na Rais wa China amesema Bi. Wang Ke.

Tunataka kujifunza zaidi kutoka China na hasa namna ya kujipanga kimkakati katika kushughulika na kuendeleza mapambano dhidi ya dhuluma na unyonyaji ili nchi yetu iinuke na kuleta manufaa makubwa kwa watu wetu wa Tanzania.

Ndg. John Pombe Joseph Magufuli, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo kazi ya kujenga uchumi utakaowezesha kujitegemea, uchumi wa kitaifa, uchumi utakaowaondoa watanzania kutoka katika maisha ya umasikini kama China na kwa msingi huu kama Chama na Ilani tumejitambulisha kuhudumia wanyonge na kushughulika na shida za watu amesema Ndg. Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa CCM

Huu ni mwendelezo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuimarisha mahusiano ya ndani na ya nje katika eneo la siasa, diplomasia na uchumi.

Imetolewa na:
IDARA YA ITIKADI NA UENEZI
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
OND LUMUMBA

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0

Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Wasiliana nasi kwa sim no 0717702227 au 0754568767.DR . SAGUDA nyote mnakaribishwa

Rais Magufuli Amwandikia Ujumbe Mchungaji TB Joshua Kupitia Twitter

$
0
0
Jana June 12, 2018 Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. John Magufuli amemtumia salamu za heri ya siku ya kuzaliwa, mchungaji maarufu wa Nigeria, TB Joshua, aliyefikisha miaka 55.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Rais Magufuli amesema

“Kwa niaba ya familia yangu, ninatuma salamu zangu za dhati katika siku yako ya kuzaliwa unapotimiza miaka 55. Mungu aendeelee kukupa uongozi mkubwa ili uweze kuleta ukombozi kwa watu wengi na kueneza harufu yake katika mataifa yote.” Heri ya siku ya kuzaliwa.”


Viongozi wa Dini Msiwe na Wasemaji Ambao si viongozi wa Dini” -Rais Magufuli

$
0
0
Rais Magufuli amekagua maendeleo ya ujenzi wa Msikiti Mkuu wa BAKWATA Kinondoni Jijini DSM, unaojengwa kwa ufadhili wa Mfalme wa Morocco ambapo amewaahidi Viongozi wa dini zote kwamba serikali yanke itaendelea kushirikiana na dini zote.

“Napenda kuwaahidi Viongozi wa dini zote kwamba serikali yangu itaendelea kushirikiana na dini zote, Viongozi wa Dini msiwe na wasemaji ambao si viongozi wa Dini” -Rais Magufuli

Imebainika Rais Kim alisafiri na choo chake mpaka Singapore

$
0
0
Jana June 12, 2018 Imebainika kuwa Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un alisafiri na choo chake maalumu wakati wa mkutano wake na Rais Trump nchini Singapore.

Sababu ya Kiongozi huyo kusafiri na choo chake imetajwa kuwa ni kuzuia kinyesi cha Kiongozi huyo kufanyiwa upembuzi na watu wa usalama wa mataifa mengine.

Aidha imeelezwa kuwa Kiongozi huyo amekuwa na tabia ya kutembea na choo chake kila mahala anapokwenda kwani huwa hapendi kutumia vyoo vya umma.

Kwa upande mwingine Kiongozi huyo alibeba gari lake aina ya Limousine ambalo halipitishi risasi pamoja na chakula chake mpaka nchini Singapore

Millard Ayo

Zari Afunguka Tetesi za Kurudiana na Diamond...Agoma Kurudiana Naye

$
0
0
MPENZI wa zamani wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’  kupitia akaunti yake ya Snapchat amethibitisha taarifa kuwa yeye na Diamond hawajarudiana bali wameelewana kwa ajili ya kulea watoto wao.

 Tangu wiki iliyopita kulikuwa na tetesi zilizodai kuwa Diamond na Zari wamerudiana baada ya wawili hao kuonekana pamoja nchini South Africa na watoto wao.

Diamond Platnumz akifanya yake kwenye ngoma ya Iyena na Zari The Bosslady.

Zari amefungukia tetesi hizo na kusema yeye na Diamond hawajarudiana kuwa wapenzi bali wameamua kuelewana kwa ajili ya kulea watoto wao.

 Zari amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Snapchat ambapo aliandika:
Tetesi za Diamond na Zari kurudiana zilianza baada ya wawili hao kukutana nchini South Africa baada ya kutoanana kwa miezi minne baada ya kuachana.

Vijue vyakula ambavyo wanaume hawapaswi kula mara kwa mara

$
0
0
Watalamu mbalimbali wa masula ya afya wameeleza ya kwamba ipo haja kubwa sana kwa wanaume kuacha kula baadhi ya vyakula ili kuweza kuyazuia madhara ambayo nimeyaeleza katika Makala haya, kwani endapo utaendekeza kula vyakula vya aina hii, kuna uwezekano mkubwa afya yako kuwa matatani.

1. Chumvi ya mezani
Chumvi ya mezani ile ya unga nyeupe haifai kwa mwanaume. Kila mmoja amesikia chumvi hii husababisha shinikizo la juu la damu na pamoja na hayo bado sehemu kubwa ya watu wanatumia chumvi hii.

Chumvi ya mezani husafishwa kwa kuondoa madini madini na hupitishwa katika joto la nyuzi joto 1093. Kwa hiyo uliyonayo sasa ni asilimia 40 ya sodiamu na asilimia 60 ya kloridi, na kisha kemikali kama vile [aluminium silicatea]huongezwa ili kuifanya isishikane na hivyo kubaki katika hali ya unga. Aluminium silicate ni sumu kali inayoharibu mfumo wetu wa fahamu. Inatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazosababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (Alzheimer).

Chumvi ya mawe ya baharini ile ambayo haijapita kiwandani (unrefined sea salt) ndiyo nzuri zaidi kwa afya ya mwanaume.

2. Popcorn
Popcorn au bisi ni chakula kingine mwanaume hatakiwi kula, hupikwa kwa kutumia mafuta yasiyo na afya, sodiamu nyingi na ni chanzo cha baadhi ya kansa. Kuna kitu kinaitwa ‘Diacetyl’ kinachopatikana kwenye popcorn ambacho kinahusika na kusababisha kansa na kuna kingine kiitwacho ‘Perfluorochemicals’ ambacho huathiri tezi ya thyroid na ugonjwa wakati huo huo husababisha ugonjwa wa kupungukiwa umakini ujulikanao kwa kiingereza kama ‘Attention-deficit/hyperactivity disorder (ADHD)‘. Hivyo ni vizuri kuacha kula popcorn

5. Mkate mweupe
Mkate mweupe una wanga mwingi zaidi usio na faida. Kwenye hatua za kutengeneza mkate mweupe vitamini zote za kundi B hupotea, hupotea pia nyuzinyuzi (fiber). Siyo hivyo tu mkate mweupe umesemekana kuwa ni sababu ya ugonjwa wa kisukari na kuongeza uzito zaidi mwilini wakati huo huo ukisababisha tatizo la kufunga choo au kupata choo kigumu sana.

Vingine vinavyofanana na na hilo ni ugali wa sembe, tambi nyeupe, chai ya rangi na kahawa.

Kula mkate ambao ngano yake haikukobolewa (brown bread), kula ugali wa dona na chai unaweza kutumia tangawizi au mdalasini badala ya majani ya chai.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH mzee khamisi Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH mzee khamisi Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mzee khamisi Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU.

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Mzee khamisi Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..

Na mengi zaidi whatsapp +255 623448511 au 0783636592 au +255 622588038
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Yanga Yang'ang'ania Msimamo Wake wa Kutoshiriki Kombe la Kagame

$
0
0
Yanga Yang'ang'ania Msimamo Wake wa Kutoshiriki Kombe la Kagame
Uongozi wa Klabu ya Yanga umeendelea na msimamo wake wa kutoshiriki mashindano ya vilabu Afrika Mashariki, maarufu kama kombe la Kagame, kwa lengo la kujiandaa na michuano ya vilabu Barani Afrika.


Akiongea na www.eatv.tv leo Juni 12, 2018 katibu mkuu wa Yanga, Bwana Charles Boniface Mkwasa, amesema kwamba klabu hiyo iliandika barua kwenda kwa TFF kueleza lengo la kujitoa katika mashindano hayo na haitaweza kubadili msimamo na kuongeza kuwa barua yao haijajibiwa.

“Sisi tulishapeleka barua na hatujapata barua yoyote kutoka kwa TFF kutaka kitu chochote, hatuwezi kuambiwa kupitia televisheni au vyombo vya habari, tunaambiwa kupitia barua rasmi kama sisi tulivyopeleka barua, hata hivyo hakuna mabadiriko yoyote” amesema Mkwasa.

kwa upande wa msemaji wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Bwana Clifford Ndimbo amesema Shirikisho hilo litatoa taarifa rasmi kuijibu barua ya Yanga pasipo kutaja ni baada ya muda gani.

“Yanga waliandika barua ya kujitoa, ambayo tuiliipokea na tukasema tutakuja kutolea ufafanuzi, hatujajua lini tutakuja kutolea ufafanuzi, huwezi kulazimsha shirikisho likuambie leo, kila taasisi ina utaratibu wake” amesema Ndimbo.

Juni 8, 2018 uongozi klabu ya Yanga uliandika barua kwa TFF ya kujitoa katika mashindano ya Kagame Cup yatakayoanza Juni 29 mpaka Julai 13, 2018 Jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujiandaa na michuano ya Kombe la Shirikisho la vilabu Barani Afrika.

Makachero Kutoka Korea Kaskazini Walinda Kinyesi, Mkojo wa Kim Jong-un

$
0
0
Makachero kutoka Korea Kaskazini walinda kinyesi, mkojo wa Kim Jong-un
Hafahamiki umri wake sahihi na alipokuwa akisoma lugha ya Kiingereza huko nchini Uswisi alikuwa akitumia jina la Pak Un tofauti na analolitumia sasa. Huyo ni Kim Jong-un, kiongozi machachari wa Korea Kaskazini ambaye safari yake ya kutoka Pyongyang kwenda Singapore umbali wa kilomita 4,743 ilijaa mbinu kadhaa za kikachero ikiwamo kubeba vyombo vya kuhifadhi kinyesi na mkojo wake.

Maisha yake ya shule pia yalijaa ukachero hasa kuhusu umri wake, kuna taarifa zinadai alizaliwa Januari 8, 1982, lakini wengine wanaamini alizaliwa Januari 8, 1983. Makechero wa Marekani wao wanaamini alizaliwa Januari 8, 1984. Makachero wa Korea Kusini wao wanaamini alizaliwa Januari 8, 1983. Lakini, rafiki yake mchezaji wa mpira wa kikapu wa Chicago, Dennis Rodman anasema kiongozi huyo alizaliwa Januari 8, 1983.

Choo maalumu

Usalama wa Kim Jong-un ndiyo suala la pekee kwa makachero wa Korea Kaskazini, mbali na kutanguliza ndege mbili za chambo huko Singapore, moja ikiwa na gari lake aina ya limoisine lisilopenya risasi na lenye vioo vya giza, pia wamebeba choo maalumu kwa ajili ya kuhifadhi kinyesi na mkojo wa kiongozi huyo ili visiangukie mikononi mwa makachero wa Marekani.


Kwa mujibu wa chombo cha habari za Korea Kaskazini, siteChosun Ilbo ni kwamba makechero wa Marekani hasa CIA wanafahamika kwa kukusanya vinyesi na mkojo wa viongozi wanaowafuatilia kwa lengo la kufahamu afya zao, dawa wanazotumia na kujua udhaifu wao kimwili.

Wakati Rais wa Urusi, Mikhail Gorbachev alipotembelea Washington D.C mwaka 1987 aliamua kuweka makazi kwenye ubalozi wa nchi yake badala ya kufikia kwenye makazi rasmi ya viongozi wageni ya ‘Blair House’ yaliyo jirani na Ikulu ya White House.

Mpango huo ulivuruga njama za CIA za kujaribu kukusanya kinyesi cha kiongozi huyo. Njama hizo pia zilishindikana kwa makachero wa MI6 wa nchini Uingereza pale waliposhindwa kukusanya kinyesi na mkojo wake alipotembelea London.

Mwandishi mmoja Jack Anderson aliwahi kuandika kuwa makazi ya ‘Blair House’ pia yana vyoo maalumu vya kukusanya kinyesi na mkojo kwa wanaofikia makazi hayo. Pia, kuna wakati Mfalme wa Misri aliwahi kukumbwa na kadhia hiyo alipotembelea Monte Carlo.

Kachero mstaafu wa Ufaransa, Alexandre de Marenches aliwahi kuliambia jarida la Time mwaka 2001 kwamba maofisa wake walifanikiwa kuingia kwenye chumba cha hoteli aliyofikia kiongozi wa Sovieti Leonid Brezhnev na kufyatua bomba la choo ambapo walifanikiwa kupata mkojo wa kiongozi huyo.

Makachero wa Marekani waliwahi kusafiri na choo maalumu kwa ajili ya Rais George W. Bush alipotembelea Austria mwaka 2006.

Wataalamu wanasema kinyesi kinaweza kutoa taarifa za afya ya muhusika. Daktari naweza kukichunguza kinyesi na kujua afya ya utumbo mpana, afya ya mfumo wa chakula kuanzia tumboni hadi kwenye utumbo mwembamba, vipimo vya magonjwa na pia kujua kama mhusika anatumia dawa.

Matokeo kamili baadaye

Kitu kingine ambacho bado hakijulikani ni muundo wa makubaliano ya kutimiza azma hiyo ya kuondoa silaha za nyuklia kwenye rasi ya Korea, ikiwapo hofu iwapo Korea Kaskazini itaridhia kuachana na mpango wake wa silaha hizo kwa kiwango ambacho kinatakiwa na Marekani.

Trump na Kim waliwasili mjini Singapore Jumamosi, na wote kwa nyakati tofauti wamekutana na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, mwenyeji Lee Hsien Loong. Vilevile maofisa waandamizi wa Marekani na wenzao wa Korea Kaskazini wamefanya mazungumzo ya faragha kabla ya mkutano wa kilele uliofanyika jana.

Mkutano wa ana kwa ana baina ya Donald Trump na Kim Jong-un haukuwa kitu kinachofikirika miezi michache iliyopita, wakati viongozi hao walipokuwa wakitoleana maneno makali kuhusiana na silaha za nyuklia.

Ingawa vita vya Korea vilimalizika mwaka 1953, vita kati ya Korea Kaskazini na Korea Kusini inayoungwa mkono na Marekani bado havijamalizika rasmi, kwa sababu ingawa makubaliano yalifikiwa kusitisha mapigano, pande hizo bado hazijasaini mkataba wa amani.

Real Madrid Yamtangaza Kocha Atakayerithi Mikoba Zinedine Zidane

$
0
0
Real Madrid Yamtangaza Kocha Atakayerithi Mikoba Zinedine Zidane
Baada ya Zinedine Zidane kutangaza rasmi kujiuzulu kukinoa kikosi cha Real Madrid mapema mwezi uliopita, hatimaye klabu hiyo imemtangaza kocha atakayerithi mikoba yake.

Madrid wamemtangaza kocha wa Timu ya Taifa ya Uhispania, Julen Lopetegui kuwa ndiye atakayerithi mikoba ya Zidane baada ya michuano ya Kombe la Dunia kumalizika mwezi ujao. hii ni kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na klabu ya Real Madrid.

Julen Lopetegui alishawahi kuzinoa klabu nyingi barani Ulaya ikiwemo FC Porto ya Ureno hii ni kabla ya kuingia kandarasi kuifundisha Hipania.

UDSM Waomboleza Vifo vya Wanafunzi Wake Waliofariki Katika Ajali

Kim Jong-un Akubali Mwaliko wa Trump wa Kwenda Marekani

$
0
0
Kim Jong-un akubali mwaliko wa Trump wa kwenda Marekani
Shirika la habari la serikali nchini Korea Kaskazini limesema kuwa kiongozi wa taifa hilo Kim Jong Un amekubali mwaliko wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kufika Washington.

Kiongozi huyo alipewa mwaliko wakati wa mkutano wa historia baina ya wawili hao nchini Singapore Jumanne.

Kim pia alimwalika pia Trump kutembelea Pyongyang.

"Viongozi ao wawili wakuu walikubali mwaliko wa kila mmoja," shirika la KCNA limeripoti.

Kenye tamko lake la kwanza kabisa tangu kutokea kwa mkutano huo, Bw Kim amenukuliwa akisema kwamba kuna haja ya "dharura" ya kusitisha "hatua za kijeshi za uchokozi zinazokera kati ya mataifa" hayo mawili.

Alisema nchi zote mbili zinafaa "kujitolea kujizuia kufanya uchokozi" na "kuchukua hatua za kisheria na kitaasisi kuhakikisha hilo linafanyika", KCNA wameripoti.

Wachanganuzi wanasema kuwa ni nafasi nzuri ya kuendeleza uhusiano baina ya nchi mbili, lakini wakosoaji wanasema kuwa hii huenda ikasababisha majaribio ya mapinduzi ya serikali Korea kaskazini.

Hakuna tarehe iliyotolewa kwa ziara hiyo lakini katika mahojiano na shirika la habari la Fox News, Trump alikuwa amesema baadaye kwamba Kim anakaribishwa kuzuru White House wakati wowote ule utakaofaa.

Hayo yakijiri, Marekani imewahakikishia washirika wake katika eneo la Asia Mashariki kwamba itatekeleza majukumu yake ya kuwalinda.

Hii ni baada ya Rais Trump kukubali kufutilia mbali mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya Marekani na Korea Kusini baada ya kukutana na Bw Kim.

Korea Kaskazini imekuwa ikiitaka Marekani kusitisha mazoezi hayo yanayofanyika kila mwaka kwa muda mrefu.

Uhasama kati ya Marekani na Korea Kaskazini ulikuwa ukizidi kila mazoezi hayo yanapoanza.

Hatua ya Trump kukubali kusitisha mazoezi hayo ilionekana kama 'kubadilisha msimamo pakubwa' kwa Marekani na iliwashangaza washirika wa Marekani katika kanda hiyo.

Mambosasa Awatangazia Kiama Matapeli kwa Njia ya Mitandao

$
0
0
Mambosasa Awatangazia Kiama Matapeli kwa Njia ya Mitandao
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, amesema kuwa Jeshi la Polisi kushirikiana na TCRA kuna watu wanaotapeli kwa njia ya mtandao wameshawakamata na jambo hilo bado linafanyiwa kazi.



Akizungumza na Redio Times Fm, leo Juni 13, 2018 amesema kuwa jeshi lake litahakikisha linafanya juhudi wananchi hawatapeliwi.

“Utapeli ambao umekithiri ni wa kimtandao, mtu unatumiwa meseji kwamba umeshinda kiasi fulani kwa hivyo unatakiwa kutuma kiasi fulani ili upatiwe kiasi hicho, Wananchi wengi wamelizwa na utapeli huo lakini Polisi sasa hivi tunafanyia kazi,” amesema Kamanda Mambosasa.

“Sisi tuna ushirikiano wa karibu sana na TCRA na mpaka sasa kuna baadhi ya watu wanaotapeli wananchi kwa njia ya mtandao tumeshawakamata na bado tunaendelea na juhudi za kuhakikisha wananchi hawatapeliwi,” ameongeza Mambosasa.

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi


Mavugo Atoboa Siri ya Yanga Asema Inamuwinda kwaajili ya Kikosi Chake

$
0
0
Mavugo Atoboa Siri ya Yanga Asema Inamuwinda kwaajili ya Kikosi Chake
Mchezaji wa kimataifa wa Simba, Mrundi, Laudit Mavugo, amefunguka na kueleza kuwa mkataba wake na klabu yake unamalizika Julai 7 2018.

Wakati mkataba wake ukielekea kumalizika, Mavugo amesema Yanga ni moja ya timu zinazomuwinda hivi sasa kwa ajili ya kukiboresha kikosi chake.

Mbali na kuhusishwa na Ssimba, Mavugo pia amesema ataendelea kuitumikia klabu hiyo kutokana na namna ilivyomlea tangu ajiunge na wekundu hao wa Msimbazi endapo watamuongezea mkataba mwingine.

Aidha, timu za Singida United na Gor Mahia FC ya Kenya nazo zipo kwenye rada ya kutaka kumsajili mchezji huyo kwa ajili ya huduma ya msimu ujao.

Mavugo ameeleza kwa sasa yupo nchini kwao kwa ajili ya kukitumikia kikosi cha timu yake ya taifa katika mashindano ya kufuzu kuelekea AFCON.

Mama Mobetto Atoboa Siri Nzito ya Mjengo wa Mwanaye Alionunulia na Daimond "Daimond Anazo Fungua za Milango ya Mjengo Anakuja Muda Wowote"

$
0
0
Mama Mobetto  Atoboa Siri Nzito ya Mjengo wa Mwanaye  Alionunulia na Daimond "Daimond Anazo Fungua za Milango ya Mjengo Anakuja Muda Wowote"
Kwenye mitandao ya kijamii kuna trend nyumba ya kifahari ambayo inasemekana msanii Diamond Platnumz amemnunulia mzazi mwenzake Hamisa Mobetto.

Mama mzazi wa Hamissa mobetto ambaye anaishi katika mjengo huo  amethibitisha Daimondi kununua mjengo huo na kusema kuwa mwanaye ajanunulia hiyo nyumba bali aliyenunuliwa mjengo huo ni mjukuu wake Dylani ambaye ni mtoto wa Daimond na Hamissa.

"Hamissa Hajanunuliwa nyumba kanunuliwa Dylan ndo mwenyenyumba mimi nashukuru mungu na namshukuru mjukuu wangu kwa kuja kwenye maisha yetu kwani bila Dylan Tusingekuwa hapa kwakuwa yeye ndo chachu ya kila kitu" alisema mama mobetto.

Alipoulizwa kuhusu Daimond kufika katika mjengo huo alisema alishawahi kufika na muda wowote atakapotaka kufika atafika kwani hata baadhi ya funguo za mageti ya nyumba anazo

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Breaking News: Moto Mkubwa Waibuka na Kuteketeza Maduka Kariakoo

$
0
0
Breaking News: Moto Mkubwa Waibuka na Kuteketeza Maduka Kariakoo
Moto mkubwa umeibuka Kariakoo katika Mtaa wa Livingstone na Aggrey na unaendelea kuteketeza maduka. Tayari vikosi vya zimamoto vipo eneo la tukio kupambana na moto huo unaoendelea kuteketeza jengo la ghorofa ambalo lina maduka katika ghorofa ya chini.

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Viewing all 104690 articles
Browse latest View live




Latest Images