Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live

Mbunge Aiomba Serikali Kutoa Elimu Bure Kidato cha Tano Hadi cha Sita

$
0
0
Mbunge Aiomba Serikali Kutoa Elimu Bure Kidato cha Tano Hadi cha Sita
Serikali kupiti Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi Teknolojia, William Ole Nasha amesema lengo la serikali huko mbeleni kadiri uwezo utakavyo ruhusu itatoa elimu bure hadi chuo kikuu.

Nasha ameyabainisha hayo, leo Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge George Lubeleje aliyehoji “Kwa kuwa elimu bure ni kuanzia la kwanza mpaka la kumi 12 lakini kidato cha tano na cha sita hawamo, hawa wote ni watoto wa mtu mmoja kuna sababu gani za msingi form five na Six wakaacha kusamehewa karo kwahiyo? ninaomba Waziri atoe maelezo wote watoto ni wa kwake kwanini hao waachwe?

“Ni kweli kama alivyosema kwamba watoto wote ni watoto wa Taifa hili kwahiyo haitakiwi kuwa na ubaguzi, naomba nimuhakikishie Mh. Mbunge ni kwamba lengo la serikali huko mbele kadiri uwezo utakavyo ruhusu tutatoa elimu ikiwezekana hadi chuo kikuu bure,” amesema Nasha.

“Lakini kwasasa kutokana na hali halisi ya kifedha tutaendelea kwanza kuimarisha miundo mbinu na mazingira katika shule za ngazi ya elimu msingi kwa maana kwamba kuanzia shule za awali mpaka kidacho cha nne na kuendelea kutoa elimu bure na uwezo ukiongezeka hatuna shida ya kuongeza kidato cha tano na cha sita, lakini vilevile kama mnavyofahamu serikali inatoa mikopo kwaajili ya wanafunzi wa elimu ya juu kwahiyo anachosema ni kitu cha kweli kwahiyo uwezo ukiongezeka kidato cha tano na sita elimu bure.”


Prof Jay Kuandika Historia Kwenye Shoo Yake ya Kwanza Tangu Kuwa Mbunge

$
0
0
Prof Jay Kuandika Historia Kwenye Shoo Yake ya Kwanza Tangu Kuwa Mbunge
MBUNGE wa Mikumi (Chadema) na rapa maarufu Afrika Mashariki na Kati, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ amefunguka na kusema kuwa ataandika Historia mpya na ya ki[pkee kwenye game ya muziki wakati wa shoo yake ya kwanza tangu awe Mbunge.

Profesa Jay ambaye anatarajiwa kufanya shoo yake hiyo hivi karibuni jijini Mwanza, amesema alimisi jukwaa, aliwamisi mashabiki zake, hivyo watu wote wa Kanda ya Ziwa wategemee mambo makubwa na sapraizi ya aina yake kwenye shoo hiyo.

Katika Shoo hiyo iliyoandaliwa na Sports Music and Festival, inatarajiwa kufanyika siku ya Iddi Mosi huku mashabiki zake wakiwa na hamu ya kumuona aki-perform jukwaani kwani ni kitambo amekuwa kimya kutokana na majukumu ya ubunge anayowawakilisha wananchi wake.

Mahakama Yatengua Kifungo cha Miaka 15 cha Askari Aliyemuua Mwangosi na Kuamuru Ashtakiwe Upya

$
0
0
Mahakama Yatengua Kifungo cha Miaka 15 cha Askari Aliyemuua Mwangosi na Kuamuru Ashtakiwe Upya
 Mahakama ya Rufaa imetengua kutiwa hatiani kifungo cha miaka 15 jela alichopewa askari polisi, Pacificus Simon aliyeshtakiwa kwa kumuua mwandishi wa habari wa Kituo cha Channel Ten, Daudi Mwangosi na kuamuru ashtakiwe upya.

Jopo la majaji wa Mahakama ya Rufaa, Bernard Luanda, Shaaban Lila na Rehema Mkuye katika kikao kilichofanyika mkoani Iringa Juni 4, limesema utaratibu wa usikilizwaji wa kesi ulikiukwa kwa jaji aliyetoa hukumu kutorekodi na kuwasomea wazee wa baraza majumuisho ya kesi hiyo ili watoe maoni kama sheria inavyotaka.

“Kwa kutumia mamlaka ya Mahakama hii kama ilivyowekwa chini ya kifungu cha 4(2) cha Sheria ya Mamlaka ya Mahakama ya Rufaa (Aja), tunatamka kuwa mwenendo wote wa kesi na hukumu ni batili. Tunafuta hatia na kuamuru mrufani ashtakiwe upya mbele ya jaji mwingine na wazee wapya wa baraza,” inasema hukumu ya majaji hao.

Majaji hao walisema kabla ya kuanza kusikiliza rufaa, walibaini upungufu wa kisheria kuhusu mwenendo wa usikilizaji wa kesi.

Kifungu cha 298 (1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA) kinatamka wazi pindi pande mbili zinapofunga kesi, jaji atatakiwa kutoa majumuisho ya ushahidi wa upande wa mashtaka na utetezi, na kuwataka wazee watoe maoni yao kuhusu kesi na kurekodi mwenendo huo kwa maandishi.

Majaji hao wamesema katika kesi hiyo inaonekana majumuisho yalifanywa kwa mdomo.

“Kama yalifanywa kwa mdomo tutajuaje kama jaji alifanya majumuisho ya kesi hiyo sawasawa na kama inavyotakiwa na sheria?” wanahoji katika hukumu hiyo.

Hukumu inasema, “Ni pale tu majumuisho ya kesi yanapokuwa katika maandishi tunaweza kuona kwa mfano, wazee wa baraza walijulishwa mambo yanayounda kosa la kuua, nani ana jukumu la kuthibitisha na kwa kiwango gani.”

Majaji wanasema kushindwa kuonyesha majumuisho ya kesi kwa wazee wa baraza kwa maandishi kumebatilisha mwenendo mzima wa kesi.

Julai 2016, Mahakama Kuu ilimhukumu kwenda jela miaka 15 askari Simon baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Mwangosi bila kukusudia.

Mwandishi huyo aliuawa Septemba 2, 2012 eneo la Nyololo wilayani Mufindi mkoani Iringa baada ya kutokea kutoelewana kati ya wafuasi wa Chadema na polisi waliotaka kuzuia mkutano wao.

Jaji aliyesikiliza kesi hiyo, Paul Kihwelo alisema aliridhika na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka na kwamba kifungo cha miaka 15 kingemtosha mshtakiwa.
Chanzo: Mwananchi

Neema Ndepanya Awatolea Povu Wanaopenda Kumchamba Wema

$
0
0
Neema Ndepanya  Awatolea Povu Wanaopenda Kumchamba Wema
MWANADADA Neema Ndepanya ambaye ni meneja wa msanii wa filamu mwenye jina kubwa Bongo, Wema Sepetu, amevunja ukimya juu ya tabia ya baadhi ya watu ambao wamekuwa wakipenda ‘kumchamba’ Wema bila sababu za msingi.

Akapiga stori na Risasi Jumatano, Neema alisema kwanza anawashangaa wanaopoteza muda wao kumsema vibaya Wema ikiwa ni pamoja na kumtukana kwani matusi yao hayamfikii.

“Nakereka sana kuona watu wanamchamba Wema bila sababu za msingi, wanapoteza muda wao bure. Kuna wakati huwa nalazimika kuingilia kati pale ambapo wananiingiza na mimi,” alisema Neema.

Mara kadhaa kumekuwa kukiibuka kundi la watu kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram likimshambulia Wema kwa matusi, jambo ambalo limekuwa likiwachefua Team Wema na hata watu wengine waliostaarabika.

Tunatibu na Kuponesha Kabisa Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha Bila Kupasua na Vidonda vya Tumbo

$
0
0

TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME BUSHA BILA BILA KUPASUA NA VIDONDA VYA TUMBO: kwa nini uhendelee kuteseka NA kujiona mpweke pale ukutanapo NA mke au mpenzi wako kwa sababu tu hunaupunguvu wa nguvu za kiume na uume mdogo MAPRO POWER NO 2 ndio tiba sahii ya kukurudishia heshima ya ndoa yako 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-20 kwa tendo LA kwanza 2 itaufanya uume wako uhonekane mkubwa hasa kwa wale wanaume ambao wamefanyiwa tohara wakiwa wadogo sana au wakiwa watu wazima kwani ipo dawa ya kuimalisha misuli ya uume 3 itakupa uwezo wa kurudia tendo LA ndoa zaidi ya Mara tatu 4 uhuimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa ? WAI SASA UPATE TIBA YA UKWELI NA UHAKIKA NA NI TOFAUTI NA ULIZOWAI KUTUMIA ata wazee wa miaka 80 wanatumia na kupona kabisa ? Tunatoa dawa za uzazi maumivu ya mgongo na kiuno ,kupunguza kitambi ,matiti makubwa,dawa za kisukari,presha,dawa za mvuto wa mpenzi ambaye akutaki au hakuhudumii ipasavyo kutengeneza shepu kwa kina Dada, fika ofisini kwetu MBAGALA ZAKHEMU BARABARA YA JESHINI HIENDA KIBONDEMAJI utaona ifisi himeandikwa MABULA CLINIC AU PIGA SIMU NO 0743362017 DR AGU KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUFIKA OFISINI UDUMA HII UTALETEWA

Jay-Z ashtakiwa kwa kutomlipa Prodyuza

$
0
0

PRODYUZA wa muziki, Raynard Herbert, wa Marekani amefungua mashitaka dhidi ya  mwanamuziki Jay-Z wa Marekani kwa kutomlipa asilimia moja ya mauzo ya albam yake ya “Reasonable Doubt” kama walivyoahidiana. 

Herbet amesema alitumia juhudi zake kuiuza albamu hiyo mwaka 1995 lakini miaka 10 sasa imepita tangu Jay-Z asimamishe malipo ya fedha hiyo. 

Kwa mujibu wa nyaraka zilizopo, kila kitu kilikuwa kinakwenda vizuri hadi Novemba 2008, mfanyabiashara huyo alipoacha kulipwa. 

Amesema mnamo Mei 2010 alijaribu kufuatilia malipo yake hayo lakini hakufanikiwa chochote, hivyo hivi sasa anafuatilia ili apate chake pamoja na riba zinazotokana na mchakato huo. 

Bibi wa Miaka 65 na Mjukuu Wake Wateketea kwa Moto

$
0
0
Bibi wa Miaka 65 na Mjukuu Wake Wateketea kwa Moto
Bibi wa miaka 65 na mjukuu wake wa miaka mitano mkazi wa kitongoji cha Nga'ang'ati kijiji cha Upper Kitete wilaya ya Karatu mkoani Arusha  wamefariki dunia baada ya nyumba yao  kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.

Akizungumza kwa njia ya simu  na MUUNGWANA BLOG Mwenyekiti wa kijiji ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama ya kijiji hicho  Paskal Paulo amemtaja Kikongwe huyo aliepoteza maisha kuwa ni Scolastica Bura na mjukuu wake aliemtaja jina moja la Chaguzi pamoja na Mbuzi wawili na kondoo mmoja.

Hata hivyo viongozi wa kijiji hicho kwa kushirikiana na wananchi walifanikiwa kuuzima moto huo ulieteketeza kabisa nyumba hiyo iliyokuwa imeezekwa kwa nyasi.
Mpaka sasa jeshi la polisi wapo njiani kuelekea katika eneo la tukio takribani kilomita 30 kutoka karatu mjini.

Breaking News: Ajali Yaua Wanajeshi wa JWTZ Mbeya

$
0
0
Breaking News: Ajali Yaua Wanajeshi wa JWTZ Mbeya
Basi lenye namba za usajili T 755 BAB lililokuwa likitokea mkoani Tabora limepata ajali eneo la Igodima jijini Mbeya na kusababisha vifo vya kadhaa vya askari wa Jeshi la Wananchi. Taarifa kamili tunakuletea.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Wakati Mwingine Unaweza Usielewe Azam Wanataka nini

$
0
0
Uongozi wa Azam FC umemrufisha Mudathir Yahya kutoka Singida United na kumuongeza mkata wa miaka miwili.

Jafar Idd amesema usajili wa wachezaji wote wa sasa pamoja na kocha Juma Mwambusi kuwa ni mapendekezo ya kocha mpya Hans van Pluijm.

Wakati mwingine Azam wanaweza kukuchanganya kwa namna wanavyoendesha mambo yao ya mpira kwa sababu msimu uliopita tulishuhudia waliamua kuachana na kundi kubwa la wachezaji wao wa kikosi cha kwanza.

Wachezaji takribani watano (Manula, Gadiel, Kapombe, Nyoni, Bocco) ambao walijiunga  Simba na Yanga. Lengo la kuwaruhusu wachezaji hao kuondoka lilikuwa ni kuwapa nafasi vijana na tukawaona Shabani Idd (japo alikaa nje kwa muda mrefu kutokana na majeraha) na Yahya Zayd.

Azam ilisajili wachezaji wengi lakini haikueatumia ipasavyo wachezaji hao, Wazir Junior hakucheza karibu msimu mzima wa ligi, Mabaraka Yusuph alikumbwa na majeraha. Msimu huu ndio ingekuwa wakati wa kuwatumia wachezaji  ambao waliwasajili lakini hawakutumika msimu uliopita.

Yahya Zayd na Shabani Idd wamethibitisha kwamba wana uwezo pamoja na Paul Peter ambaye anaibukia halafu wana washambuliaji wawiliabao ukianalia takwimu zao nje ya Azam ni nzuri. Wazir Junior kama aliweza kufunga magoli sita kwenye timu inayoshuka daraja uwezekano wa yeye kufunga mara mbili au mara tatu ya magoli aliyofunga akiwa Toto Africans ni mkubwa akiwa Azam.

Msimu huu plan yao ni ipi baada ya kuwasajili Tafadzwa Kutinyu, Donald Ngoma na Ditram Nchimbi ambao wote ni watu wazima babda kwa kuwa usajili wao ni wa kocha mpya Hans van Pluijm akisaidiwa na Mwambusi kwa hiyo kuna uwezekano wachezaji wanaosajiliwa sasa ndio watakaotumika sana msimu ujao.

Nafasi ya kina Shabani Idd na Yahya Zayd kupambana na kina Donald Ngoma na Kutinyu ipo wapi pamoja na hawa wengine akina Mbaraka Yusuph na Wazir Junior kwa sababu Azam kwa sasa ina rundo la washambuliaji.

Kwa kuwashauri Azam au wachezaji binafsi ni kwamba Wazir Junior, Mbaraka Yusuph, Paul Peter na Salmin Hoza watafutiwe timu wakacheze kwa mkopo kwa sababu huenda nafasi yao ikawa finyu msimu ujao.

Kukaa benchi hakuwezi kumsaidia mchezaji kuwa bora ndio maana Azam wameshawishika  kumrudisha Mudathir kwa sababu alikwenda Singida akacheza na kuonesha uwezo.

Barua ya Wanaume ya Kuchelewa Kurudi Nyumbani Msimu wa Kombe la Dunia Yajibiwa

$
0
0

Jibu Hili Hapa:

Rejea Barua yako ya trh 13/6/2018 inayohusu kuchelewa kurudi nyumbani kipindi cha kombe la dunia (FIFA CUO 2018) Nashukuru barua yako nimeipata na kuielewa, lkn kutokana na umuhimu wa kuilinda na kuithamini ndoa yangu, kwa moyo Wa upendo nimeamua kuvunja kibubu changu cha akiba ili niweze kununua DSTV king'amuzi kukupunguzia usumbufu Wa kwenda kumbi za video kuangalia mechi zinazoendelea. Hivyo basi kwa barua hii napenda kukufahimisha kuwa tutaangalia wote kombe la dunia tukiwa na familia, tena kutokana na unyeti Wa mechi zitakazokuwa zinaendelea nami nakubaliana na we we kuzima cm zetu kuepusha usumbufu. Naimani utafurahia ujio Wa DSTV kwako. Ahsante.

🤣🤣🤣🤣 wanawake mna roho mbaya sana hampendi maendeleo ya waume zenu

Mkwanja watakaoingiza FIFA kombe la dunia kufanyikia USA, Canada na Mexico

$
0
0
Story zinazohusu kombe la dunia ambazo zili-make headline jana ni Rais wa chama cha soka cha Hispania kumtimua kocha wao wa timu ya Julen Lopetegui baada ya kupata taarifa muda mfupi kabla ya Real Madrid kumtangaza kocha huyo kuwa kocha wao mpya kuanzia msimu ujao.

Ishu nyingine ni kuhusu umoja wa mataifa ya Marekani, Canada na Mexico kupewa uenyeji wa fainali za kombe la dunia za mwaka 2026.

Mataifa mengi ya Afrika yalikuwa na imani Morocco itapewa nafasi ya kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka 2026 lakini katika mkutano mkuu ambao umefanyika Moscow wakati mataifa yanayowania nafasi hiyo yakifanya presentation ya namna watakavyo andaa mashindano, wadau wengi walibadilika kutokana na presentation ya mataifa ya Marekani, Canada na Mexico.

Mataifa hayo matatu ambayo yalikuwa yanaonesha kwamba, pamoja na fainali kufanyika 2026 lakini viwanja ambavyo vitachezewa mashindanovyote vimekamilika sio hadi ifike 2026 ndio waanze kukarabati na kujenga lakini hata wakipewa fursa ya ku-host mashindano haya ya Urusi wako tayari kwenye upande wa viwanja.

Kingine ambacho kimewapa faida ya kuchaguliwa kuwa wenyeji wa mashindano ni kwamba, wakati wanaonesha faida ambazo FIFA na wanachama wake watazipata kutokana na tiketi zitakazouzwa, tayari dola za Marekani 2 Billion ni faida ambayo FIFA itatengeneza wakati kwa morocco ilikuwa inaonekana wangeuza dola 1 Billion.

Kiasi ambacho FIFA watatengeneza kama kodi ni dola 14 Billion iwapo Marekani, Canada na Mexico watapewa nafasi ya uenyeji wa fainali za kombe la dunia kwa hiyo dola 14 Billion ni faida kwa FIFA tofauti na Morocco ambao kwenye presentation yao wameonesha kwamba ili waweze ku-host fainali za kombe la dunia za 2026 viwanja 16 ambavyo walivianisha kwamba vitatumika wakati wa mashindano vyote havijakamilika baadhi vinahitaji kujengwa na vingine vikihitaji kufanyiwa ukarabati mkubwa.

Kingine kilichowaangusha Morocco ni kwamba, wanahitaji kuwekeza dola 16 Billion kwenye kutengeneza miundombinu na kufanya matayarisho mengine. Kwa hiyo presentation yao dhidi ya Marekani, Canada na Mexico moja kwa moja iliwafanya wajumbe wa mkutano mkuu waone wakifanya kosa kuipigia kura Morocco wanaweza kuumia mbele ya safari ndiyo maana Marekani ikapata kura nyingi na kuibuka mshindi.

Katika mechi 80 ambazo zitachezwa kwenye fainali za kombe la dunia mwaka 2026 kutokana na ongezeko la timu hadi kufikia 48, mechi 60 zitafanyika Marekani, mechi 10 Canada na mechi 10 nyingine zitachezwa Mexico.

By Dick Dauda

Tukio Zima la Ufunguzi wa World Cup Hili Hapa

$
0
0
Hayawayi hayawi sasa yamekuwa. Ndio. Ni zile Sherehe za ufunguzi wa Kombe la dunia Kule nchini Urusi. Ni muda wa kusahau makeke yaliyofanyika zile fukwe za Copa capabana kwenye fainali za kombe la dunia kulee brazili mwaka 2014. Mashindano haya yatasafiri umbali wa kilometa 11, 545 yaani kutoka jiji la Rio de Janeiro mpaka jini la Moscow ambapo ni sawa na maili 7174.

Katika Sherehe hizi wanasarakasi wasiopungua mia tano watatoa burudani mubashara.

Bila shaka Waswahili hawakukosea kunena ya kwamba kazi na dawa, Ikumbukwe vyema 2014 Wanamuziki Pitbull na Jenifer Lopez walituimbuiza kule Brazil.

Mwaka huu ni zamu ya Robbie Williams pamoja na mwanamuzi chipukizi kutoka Urusi Aida Garrifulina watatoa burudani la kipekee. Sherehe hizi zitafanyika katika uwanja wa Moscow’s Luzhniki Stadium unaobeba zaiddi ya watazamaji 80,000.

wasanii wakubwa wengine watakotoa burudani ni kama vile, Pianist Denis Matsuev, nyota wa global opera stars Anna Netrebko, Yusif Eivazov, Ildar Abdrazakov, na Albina Shagimuratova hao ni moja ya wanamuziki mashughuri watakaotoa burudani kali.

Tunafahamu kwamba wimbo wa Live It Up ulioimbwa na Will Smith, Nicky Jam pamoja na Kosovar, na msanii kutoa Albania Era Istrefi.

Kwa kawaida wasanii waliopewa jukumu la kuimba wimbo rasmi wa kombe la dunia huwa wanatumbuiza.

Wimbo wa Colors uliteuliwa kuwa wimbo rasmi wa Cocacola kwenye matangazo yao yanayohusiana na kombe la dunia.

Tuitazamie mchezo wa ufunguzi. Katika mchezo wa ufunguzi Urusi watakutana na Saudia. Naam tufahamu kidogo kuhusu kikosi cha Urusi na historia yao.

Mchezo huo utachezwa saa 11 kamili nusu Saa mbele baada ya sherehe za ufunguzi kutia Nanga.
Warusi wamejipanga kwelikweli. Hawana utani. Walipopoleka ombi la kuandaa fainali hizi kwa mara ya kwanza ilikuwa mwaka 2008. Wakati ule walifika fainali la kombe la mataifa ya ulaya.

Maisha yamebadilika sana. Kwa sasa wapo nafasi ya 70 kwenye viwango vya FIFA. Na hii ni fainali zao za 11 tokea mwaka 1958. Kwenye kikosi chao mchezaji hatari ni fyodor Smolov mwenye mabao 12 katika michezo 32. Hata hivyo katika kikosi chao hakuna mchezaji mwenye magoli zaid ya 12. Mpaka Sada Urusi imefunga magoli 66 na kuruhusu magoli 47. Wameshinda michezo 17 na kupoteza 15 katika michezo 40 ya kombe la dunia.

Mwaka 1966 walimaliza nafasi ya 4 katika kombe la dunia. Kuanzia mwaka 1930 mpaka mwaka 1990 Urusi walishiriki kombe la dunia kupitia umoja wa nchi za kisoshalist kabla ya muungano huo wa soviet kuanguka.

Katika zile timu bora duniani Hatuwezi kuitaja Urusi. Haijawahi kufuzu hatua yoyote ya makundi tokea 2008. Katika michezo yake 7 ya mwisho hawajapata ushindi wowote. Mara yao ya mwisho kushinda ni mwaka 2017 mwezi wa 10. Kwa sasa

Tuitazamie timi ya taifa ya Saudia
Katika michezo 10 ya mwisho ya Saudia 10 wamefungwa michezo 6 na kushinda miwili na suluhu. Kwa sasa kwenye viwango vya FIFA wapo nafasi ya 67 mwaka 2004 walizalisha kizazi cha dhahabu ambacho kiliipandisha Haifa hill hali nafasi ya 20.

Katika Kombe la Dunia wameshiriki Mara tano pekee. Rekodi yao kubwa walifanikiwa kuvuka hatua ya makundi Mara moja tu nayo ni mwaka 1994. Katika historia ya kombe la dunia imeshinda magoli 9 nankuruhusu magoli 32 katika michezo yote 13 iliyowahi kucheza katika fainali za kombe la dunia. Mchezaji wao tegemezi ni Mohamed Al Sahlawi anayechezea klabu Al Nassr. Pia wanamtegemea sana winga wao Fahad Al Muwallad ambaye kwa sasa anachezea klabu ya Levante kwa mkopo.



Imeandaliwa na Privaldinho (Instagram)

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Masunzu Power Mix Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MASUNZU POWER MIX DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO

🌸MASUNZU POWER MIX ni dawa ya asilia yenye mchanganyiko wa mitishamba 7 yenye maajabu yafuatayo (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume Mara dufu na kuimalisha uume uliolegea wakati wa tendo la ndoa (2) kurefusha uume uliorudi ndani nchi 5-8 (3) kunenepesha uume sm4 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk (15-20) kwa tendo la kwanza na utakuwa nauwezo wa kurudia tendo la ndoa Mara (2-4) bila hamu kuisha nainatibu kabisa. Dawa hii haina madhara yoyote kwa mtumiaji huanza kufanya kazi baada ya dk 50 tu 🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾

MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA ngiri. au umejichua kwa muda mrefu. Punyeto kisukari. Presha. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma chini ya Kitovu. Kutopata choo vizuri. Msongo wa mawazo. Kaswende. Gono. Haya yote husababisha kuwa na maubile madogo na kukosa nguvu za kiume

🌸SOSOMA DX. ni dawa ya kumvuta mme au mke au mpenzi wako arudi haraka na kuanza mapenzi mapya kama mlivyo anza mwanzo baada ya masaa 2 atarudi na kutulia ndani ya nyumba na kutimiza ahadi yako

🌸GINDU EXTRA ni dawa ya kutibu kisukari siku 14 unapona kabisa hata kama imepanda itashuka haraka Sana. Tunatibu busha bila upasuaji nk. Dar es salaam tunapatikana buguruni chama au unaweza kuletewa popote ulipo

Wasiliana na tabibu ATHUMAN SIMU +255673552294 / +255784552299

Mwanamke Akinivulia tu Mgegedo Wangu Hausimamishi!!! Kuna Mwanamke Kanifunga Kichawi?

$
0
0
Mie Nikipata Mwanamke yeyote hata awe mzuri kivipi akinivulia tu mgegedo hulala palepale na haisimami tena! Tatizo hili limekuwa likitokea mara kwa mara kiasi kwamba nahisi nimechezewa! au ni tatizo la kisaikolojia?

Na nifanyeje ili liishe?

Maana napata Aibu sana na kuonekana si Mwanaume Rijali nimeanza kusikia Maneno mtaani kuwa mimi ni Bwabwa...

Naomba Ushauri

Nikilala na Msichana tu Namkinai, Hivi Nina Pepo au ni Tamaa tu?

$
0
0

Kuna rafiki yangu yupo kwenye mahusiano na msichana wake kwa miaka saba tangu wakiwa sekondari mpaka leo wamemaliza chuo kikuu wanaendelea poa.

Mimi maishani mwangu sijawahi kuwa kwenye ahusiano kwa zaidi ya miezi sita
nikilala na mwanamke mara mbili au tatu hata kama angekuwa mzuri vipi namkinai na nitamfanya visa mpaka aniache natafuta mwingine nae hivyohivyo
kuna mmoja aliniweza akanikaba mpaka kivuli huyu nilikaa nae muda kidogo lakini miezi sita haikuchukua.

Wakati mwingine nikishawakinai nafuta nambazao utakuta ananipigia nikiuuuliza wewe nani anakasirika wakati angejua nimeshawafanyia wenzake kama ishirini sasa hilo ni pepo au ni kujiendekeza wengine wamediriki kutishia kujiua baada ya kuwa nao kwa muda mfupi wakitarajia ndoa lakini wakaambulia visa na kuachwa....

Wenye uzoefu nishaurini sipendi ila najikuta tuu....

Ratiba Ya Mechi Zote Kombe La Dunia Inayoanza Leo Hadi Fainali

$
0
0
Leo ndiyo ufunguzi rasmi wa Fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazopigwa nchini Urusi.

Tazama  hapa  ratiba ya mechi zote za michuanpo hiyo kuanzia ile ya ufunguzi kati ya wenyeji Urusi na Saudi Arabia itakayopigwa majira ya saa 12:00 jioni hadi fainali yenyewe.


Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Wanawake Tuna Roho Mbaya - Linah Sanga

$
0
0
Wanawake tuna roho mbaya - Linah Sanga
Msanii wa bongo flava Linah Sanga, amesema wanamuziki wa kike wana wivu sana ndio maana hawapeani ushirikiano wa kutosha katika kazi kitu kinachopelekea wao kutoendelea.


Akizungumza na www.eatv.tv, Linah ameeleza kuwa wanamuziki wa kike wanashindwa kusaidiana kwasababu wanaogopa kuzidiana, na pia wanaona kwamba mmoja akimsaidia mwingine ataonekana anamkubali sana hivyo inapelekea kila moja kutaka kufanya kazi kivyake.

Linah ameendelea kusema tatizo hili ndio linapelekea kuwa na wasanii wakike wachache sana katika soko la muziki, kwasababu hata wale waliotangulia kuingia kwenye tasnia hiyo wanakuwa wagumu kusaidia wengine wakihisi kwamba ndio itakuwa chanzo cha kushuka kwao kimuziki.

“Wanawake tumeumbiwa wivu na roho mbaya ndio maana mtu anaona akimsaidia mwenzei atakuwa bora zaidi yake, na pale mtu anapoamua kukusaidia basi inakuwa ni kinafiki kwasababu nayeye atahitaji msaada wako”, amesema Linah.

Linah amewashauri wanawake wenzie kuungana na kuwa kitu kimoja ili waweze kupeleka muziki wao mbali,aliongeza kuwa upendo ni bora sana katika kazi na wasiishi kwa kuogopana.
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live




Latest Images