Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Miili ya Wanachuo UDSM Waliokufa Kwa Ajali Waagwa Leo

$
0
0
Miili ya Wanachuo UDSM Waliokufa Kwa Ajali Waagwa Leo
Familia, ndugu na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wametoa heshima zao za mwisho kwa miili ya watu wanne wakiwamo wanafunzi wawili wa chuo hicho, waliofariki katika ajali ya gari Juni 11.

Hata hivyo, Rais mstaafu wa awamu ya nne na Mkuu wa Chuo hicho Jakaya Kikwete alituma salamu za pole na rambirambi kwa njia ya barua baada ya kushindwa kuhudhuria katika hafla ya kuaga miili hiyo kutokana na kuwa nje ya nchi kikazi.

Katika ajali hiyo wanafunzi wawili, Mary Soko na Erasto Stephen, Dereva wa gari hiyo James Rutayuge pamoja na muuguzi msaidizi Jonathan Lung’ando walipoteza maisha papo hapo baada ya gari la wagonjwa walimopanda, kuligonga lori, eneo la Riverside, Ubungo.

 Naibu Makamu Mkuu wa Chuo na Utawala (UDSM) Profesa David Mfinanga  alisoma salamu za Kikwete mbele ya waombolezaji hao.

 “Nimepokea kwa mshtuko, masikitiko na huzuniko taarifa ya vifo vya wenzetu wanne ni msiba mkubwa sana kwa chuo chetu na kwangu na kwa familia za marehemu,”imesema barua ya Kikwete

“Nilitamani sana kuwepo pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu bahati mbaya sitaweza kuwa nanyi kwa sababu niko safarini Havard University kwa shughuli ambazo pia zina maslahi kwa chuo chetu.”

“Naomba unifikishie salamu za rambirambi kwa jumuiya ya chuo kikuu chetu mashughuli na familia za marehemu bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe,” amesema Dk Kikwete.

Mbali na Rais Mstaafu Kikwete kutuma salamu hizo Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi,  Joyce Ndalichako pia ametuma salamu zake ambazo pia zilisomwa na Makamu mkuu wa chuo kutokana na kushindwa kuhudhuria katika hafla hiyo

“Nilitamani sana kujumuika nanyi leo lakini imenibidi kuhudhuria kikao cha bajeti bungeni kinachofanyika mjini Dodoma, naomba sana mpokee salamu zangu za pole,” taarifa ya Ndalichako inaeleza.

Mfinanga amesema kama chuo kimepoteza watu muhimu ambao walikuwa na ndoto za kufanya jambo kubwa katika familia ya chuo cha UDSM.

“Naamini kuwa hata wao huko waliko wanatamani  tufikie kule walikokutaka  japo kama binadamu hawako hapa kucheka nasi wala kutujali bali tunafarijika kwa sababu tunajua huko waliko kuna amani,” amesema Profesa Mfinanga.

Amesema ni ngumu kuelewa kilichotokea na ni ngumu kutambua kilichotokea ila hakuna ajuaye mipango ya Mwenyezi Mungu.

Mwili wa mwanafunzi Erasto Stephen unazikwa leo katika makaburi ya Yombo Vituka na Dereva James Kagwebe unatarajiwa kuzikwa leo maeneo ya Bunju B.

Huku Mwili wa Muuguzi Jonathan Lung’ano ukisafirishwa kuelekea Kaliua, Tabora kwa ajili ya mazishi, kesho na mwili wa Mary Soko unatarajia kuzikwa Ununio, jijini hapa.

Mtoto wa Mugabe Kutolewa Nje ya Nyumba Baada ya Kushindwa Kulipa Kodi

$
0
0
Mtoto wa Mugabe Kutolewa Nje ya Nyumba Baada ya Kushindwa Kulipa Kodi
Mtoto wa Rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe Russel Goreraza, yuko kwenye wakati mgumu baada ya  kutakiwa kutoka nje ya nyumba aliyopanga kwa kushindwa kulipa kodi.

Mtoto huyo anadaiwa kiasi cha Dola 65, 801 kwa muda aliokaa kwenye nyumba hiyo.

Goreraza, ambaye ni mtoto wa  Mke wa Mugabe hajalipa kodi hiyo kwa miaka mitatu.

Wanawake wa Urusi Wapigwa Marufuku Kutofanya Mapenzi na Raia wa Kigeni

$
0
0
Wanawake wa Urusi watakiwa kutofanya mapenzi na raia wa Kigeni
Mbunge mmoja nchini Urusi anasema kuwa wanawake hawafai kufanya mapenzi na wageni wakati wa kombe la dunia huku akionya kuhusu watoto wanaozaliwa kutoka rangi tofauti.

Tamara Plentyova mkuu wa familia , wanawake na kamati ya maswala ya watoto , alisema kuwa hata iwapo uhusiano huo utasababisha kufanyika kwa harusi , wanawake au watoto wao watachukuliwa na nwanamume huyo ambaye atakuwa raia wa kigeni.

''Hata wakiolewa, watawachukua, halafu atashindwa namna ya kurudi'' , bi Pletnyova alisema katika kituo cha Govorit Moskva.

"Baadaye watakuja kwangu , wasichana wakilia kwamba watoto wao wamechukuliwa''.

Alisema kuwa wanawake waliopata watoto na raia wa kigeni wakati wa michezo ya Olimpiki ya 1980 mjini Moscow walisalia kuwa wanawake wasio na wanaume.

''Ni vyema iwapo ni mtu wa rangi inayofanana na yako lakini iwapo ni mtu wa rangi tofauti basi kunakuwa na shinda''.

''Ni muhimu kuwa na watoto wetu'', alisema bi Pletnyova.

Warusi wenye rangi tofauti walikuwa wakiitwa 'watoto wa Olimpiki' ama 'watoto wa sherehe' baada ya Muungano wa Sovieti kuwaalika Waafrika, watu wa mashariki ya kati na raia wa Marekani kusini.

Warusi wenye ngozi nyeusi hadi leo hukabiliwa na maswali mengi ya ubaguzi wa rangi katika taifa ambapo chini ya asilimia moja ya idadi ya watu ni watu weusi.

Zaidi ya watalii milioni moja wa kigeni wanatarajiwa kuhudhuria kombe la dunia, swala linalozua wasiwasi kuhusu ubaguzi wa rangi na wapenzi wa jinsia moja hususan wakati ambapo wanachama wenye msimamo mkali wa Cossack watazuru mataifa yanayoandaa dimba hilo.

Kweli Michepuko sio Deal Ona Kilichomtokea Huyu Dada

$
0
0
Kweli Michepuko sio deal Kabisa, Bonyeza HAPA Kuona Kilichomtokea Huyu Dada Mpaka kuruka Ukuta

Bonyeza HAPA

Natamani Ngasa Arudi Yanga - Cannavaro

$
0
0

Aliyekuwa Nahodha wa timu yaTaifa Nadir Haroub 'Cannavaro' ambaye kwa sasa ndio Nahodha wa klabu ya Yanga amefunguka kuwa anatamani kumuona Mrisho Ngasa anarudi kuichezea Yanga.


Akizungmza  kwenye kipindi cha KIKANGONI,kinachorushwa kupitia ukurasa wa facebook wa EATV, Cannavaro amesema ngasa ni mchezaji mzuri na amefanya mambo mengi ndani ya klabu ya yanga.

Cannavaro amesema ngasa ameisaidia yanga kwa namna moja au nyingine kwahiyo kama akirudi matumaini ni kufanya vizuri zaidi katika klabu.

“Ngasa ni mchezaji mzuri sanaa na amefanya vitu vingi ndani ya timu ya Yanga kwa hiyo natamani arudi hata leo kwa kuwa ni mkali katika mchezo, akirudi ataendelea kufanya vizuri zaidi ndani ya klabu”, amesema Cannavaro.

Ameongeza kwa kutoa ufafanuzi kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo, “mtu kama Cristiano Ronaldo timu yake inamtegemea sanaa ndani ya timu yeye ndio kila kitu lakini mtu kama Lionel Messi ndani ya timu hategemewi sanaa kwa kuwa ndani ya timu yake kuna wachezaji wengi wenye uwezo mkubwa kama yeye".

Alichotabiri Nguruwe kuhusu Nigeria Kombe la Dunia

$
0
0
Leo June 14, 2018 Nguruwe anayejulikana kama Mystic Marcus kutoka nchini Uingereza ametabiri kuwa timu ya taifa ya Nigeria itafika nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Dunia nchini Urusi.

Nguruwe huyo mwenye miaka 8 amewahi kutabiri mshindi wa Kombe la Dunia mwaka 2014 na mshindi wa Wimbledon katika mchezo wa Tenisi.

Tofauti na utabiri huo Nguruwe huyo aliwahi pia kutabiri ushindi wa Urais wa Donald Trump pamoja na kujitenga kwa nchi ya Uingereza katika Umoja wa Ulaya.

Kwa upande mwingine Marcus ametabiri kuwa timu ya taifa ya Uingereza itafanya vibaya katika michuano hiyo huku akitabiri timu za taifa ya Ubelgiji na Uruguay kuvuka hatua ya makundi.

Salah Ufufua Matumaini Ya Waafrikakombe La Dunia

$
0
0
Na magdalena kashindye.
Nyota wa Liverpool na timu ya taifa ya Misiri, Mohamed Salah amepona majeraha yake.

Mchezaji huyo anapewa nafasi kubwa ya kukiongoza kikosi cha Misri Ijumaa ya wiki ijayo dhidi ya Uruguay ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa taifa hilo katika michuano ya Kombe la Dunia inayoanza leo.

Salah aliumia katika mchezo wa fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya kwa kuchezewa faulo mbaya na nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos na kuondolewa nje wa uwanja hali iliyozua hofu kwa mashabiki wa misiri kuwa angekosa mchezo ya fainali la kombe la dunia inayofanyika nchini Urusi.

Kupona kwa Salah kumefufua  matumaini ya Waafrika  kwenye safu ya ushambuliaji wa timu hiyo kutokana na uwezo  mkubwa aliouonesha uwanjani mwaka huu.

Sheria inasemaje Endapo Ukikamatwa na Polisi kwa Kosa Lisilo lako (+Video)

$
0
0
Leo June 14,2018 tunayo story kutokea wakili Leornad Manyama ambapo anazungumzia mamlaka ya Jeshi la Polisi katika kukamata watu wengine pindi wahalifu wanapokimbia.

Inafahamika kwamba kumekuwa na sintofahamu juu ya Polisi kumkamata Mtu mwingine kama aliyetenda kosa akiwa hayupo ama amekimbia. VIDEO:

World Cup: Matokeo ya Mchezo wa Kwanza Russia Vs Saudi Arabia Haya Hapa

$
0
0
Timu ya Saudi Arabia Imepigwa Bao Tano bila na Wenyeji wa Kombe la Dunia Russia Katika Mchezo wao wa Ufunguzi wa Kombe hili jioni ya Leo..

Habari Njema Kwa Waislam Tanzania, Taarifa ya Kuandama Kwa Mwezi Hii Hapa

$
0
0
#HABARI: Baraza kuu la waislamu limetangaza kuandama kwa mwezi, ambapo limesema mwezi umeonekana katika maeneo mbalimbali ikiwemo Dar es Salaam na Tanga.

Mufti wa Tanzania Sheikh Aboubakar Bin Zubery amesema kutokana na kuandama kwa mwezi kesho ni Sikukuu ya Eid El Fitri.

Kumekucha..Deni la Taifa laongezeka kufikia trilioni 49

$
0
0

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, amesema mpaka kufikia April 2018 deni la Taifa limeongezeka na kufika trilioni 49.6 ambapo ni sawa na ongezeko la asilimia 13.4 ukilinganisha na deni la mwaka 2017 trilioni 43.7.


Waziri Mpango amesema hayo leo Juni 14, 2018 wakati wa kuwasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 Bungeni Jijini Dodoma na kusema kuwa deni la ndani ni trilioni 14.05 na deni la nje ni trilioni 35.6 ambapo ni sawa na asilimia 71.7 ya deni lote na kuongeza kuwa deni la serikali linaongezeka kutokana na mikopo ya zamani na malimbikizo ya riba ya deni la nje na kusema kuwa deni hilo ni stahimilivu.

“Mikopo nafuu kutoka mashirika ya fedha za kimataifa imeeendelea kuwa chanzo kikuu cha mikopo kutoka nje ambayo imechangia asilimia 59.6 ya deni lote la nje, mikopo yenye masharti ya kibiashara limechangia asilimia 25.5 na mikopo kutoka nchi wahisani imechangia asilimia 11.9, mikopo hii imetumika kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo, deni la serikali limekua likiongezeka, lakini deni hili limeendelea kuwa himilivu”, amesema Waziri Mpango.

Waziri Mpango ameongeza kuwa katika tathimini ya uhimilivu wa deni uliofanyika Novemba 2017 imeonesha uwiano wa deni kwa thamani ya sasa ya pato la taifa ni asilimia 34.4 ambapo ukomo wa deni la Taifa ni asilimia 56.

Katika kupunguza mzigo wa madeni Serikali itatoa kipaumbele kulipa madeni ambayo yanaongezeka kutokana na riba pamoja na madeni yanayogusa watoa huduma wengi wa wakiwemo watumishi, wazabuni na madai ya wakandarasi.

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Mtoto wa Miaka 11 Afanyiwa Ukatili wa Kutisha Achomwa Moto Makalio na Kufungiwa Ndani

$
0
0
Na magdalena kashindye kahama
Mtoto mwenye umri wa miaka {11}amechomwa moto makalioni na kufungiwa ndani kwa muda wa siku mbili kwa kosa la kuiba pesa kiasi cha shilingi elf tano kitendo ambacho ni cha kikatili katika maisha yake .

Mtoto huyo   anayesoma darasa la tatu  katika shule ya msingi Mwinyi iliyopo mkoani Tabora jina limehifadhiwa  amefanyiwa ukatili huo siku ya jumatatu ya tarehe 11  /06 /2018 akiwa kwa baba yake mdogo wilayani kahama.

 Akizungumza na kituo hiki Mtendaji wa mtaa wa nyihogo Bwn.Antony Costa  amesema kuwa amepata taarifa kutoka kwa mwenyekiti pamoja na majirani wa familia hiyo na kuwa mtuhumiwa wa kosa hilo bado hajakamatwa

'Nilipata taarifa za tukio hilo kutoka kwa mwenyekiti wa mtaa na majirani na ndiponilipofika eneo la tukio na mtuhumiwa hajakamatwa "alisema Costa. .….

Pia msemaji wa Dawati La Jinsia wilayani Kahama mkoani shinyanga Bi . Jenny Joakim Eras  amekili kupokea  tukio la mtoto huyo ofisi kwake na kuwa mtoto anaendelea na matibabu katika hospitali ya halmashauri ya mji wa kahama .

Eras  ametoa ushauri kwa wanajamii  kuwa na malezi bora kwa watoto woa kwa kuzingatia sheria ya mtoto ya mwaka 2009. .

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya June 15

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya June 15

Urusi yaingia kwenye rekodi nyingine

$
0
0

Mchezaji wa timu ya Urusi Yury Gazinsky aibuka kuwa mfungaji wa bao la kwanza kwenye fainali za Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 ambapo bao lake amelipashika mnamo dakika ya 12 za kipindi cha kwanza.


Yury Gazinsky ameungana na wachezaji Neymar Jr wa Brazil na Siphiwe Tshabalala wa Afrika Kusini ambao wote walifunga mabao ya ufunguzi kwenye fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010 na 2014.

Pia mchezaji Denis Cheryshev wa Urusi ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kutokea benchi na kufunga mabao mawili kwenye mechi hiyo ya ufunguzi huku mabao mengine yakiwa yamepachikwa na Aleksandr Golovin pamoja na Artem Dzyuba.

Kwa upande mwingine, wenyeji Urusi wamendeleza rekodi ya timu mwenyeji kutofungwa kwenye mechi ya ufunguzi tangu fainali hizo zianzishwe mwaka 1930 nchini Uruguay.

Jack Wolper Ataja Mwanaume Star Aliyempa Raha Kuliko Wote Katika Aliowahi Kutembea Nao Kimapenzi

$
0
0
ali kiba

Katika Mapenzi au mahusiano ya kimapenzi kuna yule mmoja ambae kamwe huta kaa umsahau kwa raha alizokuwa anakupa hata kama mmeachana muda mrefu, Kwa Jack Woler hali  ipo hivi:

"Katika mahusiano yangu yote niliyowahi kuwa nayo , ya Alikiba ndio yalikuwa the best kuliko yote"- Wolper

Nini maoni yako

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Khadija Kopa Atoa Mpya ' Fahari ya Mwanamke Kiuno, Wewe Zidisha Mavitu Mwanaume Apagawe'

$
0
0
Nguli wa Muziki wa Taarabu Tanzania ameamua Kutoa somo kidogo kwa Wadada wanaolalamika kila siku kutokuwa na Maelewano na Wapenzi wao na kuishia kuachana ana kugombana kila siku

Soma hapa alichosema:

"Hakuna haja ya kugombana gombana kila siku, wewe zidisha mavitu ili mwanaume achenguke, fahari ya mwanamke nyonga vitu vingine majaliwa"- Khadija Kopa

Nini maoni yako juu ya hilo


Haji Manara Atoa Mpya 'Mimi ni Maarufu Kuliko Msemaji wa CCM Hamphrey Polepole'

$
0
0
Msimaji wa Simba Haji Manara siku za hivi amekuwa Msemaji maarufu kuliko wote kwa upande wa Michezo kutokana na staili yake ya usemaji huku akiweka na kuchombeza vijiutani kidogo kitu ambacho kimekuwa kikiwavutia wengi

Sasa leo amekuja na mpya na kumgeukia Msemaji wa CCM Bwana Polepole


"Sasa hivi mimi ni maarufu kuliko nilivyokuwa CCM hapo awali, sidhihaki ila mimi ni 'popular' kuliko Polepole"- Haji Manara

Nini maoni yako

Chukua Tahadhari Uwapo Mapenzini na Mtu Asije Kukushusha Thamani na Kukuona wa Kawaida..Soma Hapa

$
0
0
Kama umeshushwa thamani unakuwa kwenye hatari ya kuachwa. Hata kama mwenzako alikuwa ameshafikiria suala la kuingia kwenye ndoa na wewe lakini kwa sababu ameshakushusha thamani ndoa inaweza kuyeyuka.

Ukiwa kwenye ndoa ni hatari zaidi maana mwenzako hukuchukulia wa kawaida – mazoea huzidi na hapo ndipo uhitaji wa kuwa na mwingine wa pembeni unapoanzia. Haoni cha muhimu tena kwako, ndiyo maana wazo hilo huvamia ubongo wake kwa kasi sana.

Itafikia hatua, kama upo ndani ya ndoa, mwenzako atagoma kuongozana na wewe na kama ikitokea hivyo mkikutana na rafiki zake njiani hatakutambulisha. Hisia kwamba hamuendani humwingia.

UNAFANYAJE SASA?
Kubwa unalotakiwa kufahamu rafiki yangu mpendwa, suala la kupanda au kushuka thamani lipo mikononi mwako. Yapo mambo ambayo ukiyazingatia, mwenzako hawezi kukuchoka na kufikia hatua ya kukushusha thamani.

Tayari tumeshaona athari zake lakini hapa sasa nataka kukupa mbinu ambazo ukiwa nazo makini basi itakuwa rahisi kwako kubaki namba moja na mtu muhimu zaidi (ndiyo inavyotakiwa kuwa) kwa mpenzi wako maana ni haki yako.

ANZIA MWANZO
Ni rahisi zaidi kulinda thamani yako kuanzia mwanzo wa uhusiano wenu. Ikiwa tayari mmeshakomaa halafu tatizo hilo likajitokeza, hutumika nguvu nyingi zaidi kulirekebisha kuliko kujizatiti kuanzia mwanzo wa uhusiano. Ni mambo gani hayo? Twende hapo chini.

CHUNGA KAULI ZAKO
Naomba ieleweke wazi kuwa mada hii ni maalum zaidi kwa wanawake. Kitu muhimu cha kwanza kabisa kwa mwanamke ambaye anataka kuilinda thamani yake kwa mpenziwe ni kupima sana kauli zake.

Acha kuropoka hovyo, pima maneno yako na ikiwezekana kama unadhani kuna jambo huna uhakika nalo usizungumze kabisa. Katika eneo hili, uwe makini zaidi mnapokuwa na watu wengine. Kama mwanamke usiwe mchangiaji hoja sana.

Utulivu wako unaweza kuwa silaha kubwa ya kukufanya ubaki na thamani yako kama mwanamke anayejitambua.

USIRUHUSU MAPENZI
Msichana mwenye kujitambua na kufahamu thamani yake sawasawa hawezi kuruhusu mwili wake ujulikane na mwanaume harakaharaka. Onesha unajitambua na usikubali kirahisi kuuacha mwili wako uchezewe.

Mpe hoja; kwanza mapema, hajakuoa wala kukuchumbia, haraka ya nini? Wakati unawaza kuhusu kutoa penzi lako, lazima ufikirie kuhusu athari zinazoweza kukupata kwa kukurupukia mapenzi. Mwanaume ambaye bado hamjachunguzana na huna uhakika naye wa kutengeneza maisha, kichwani mwake hakuweki kwa asilimia kubwa.

Ukumbuke kwamba, ukipata matatizo yoyote – binafsi au yanayosababishwa na uhusiano wenu, anakuwa hana uwajibikaji wa asilimia kubwa kwa tatizo hilo. Utabaki wewe na matatizo yako!
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images