Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104694 articles
Browse latest View live

Malalamiko ya TID ‘yamfikia’ Professor Jay, Alichojibu

$
0
0

Msanii wa muziki wa hip hop Bongo, Professor Jay amejibu kile alichodai TID kuwa wasanii wengi wa zamani wamezulumiwa fedha nyingi na sasa ambao ni wakati wao wa kula matunda wanawekwa pembeni kwa kuelezwa kuwa ni wakongwe.

Sasa Professor Jay amesema hilo linatokana na wasanii kutofanya kazi kwa uweledi wa kisheria na wasanii wengi wa mwanzo katika Bongo Flava walikuwa wakifanya kazi kirafiki zaidi.

“Kujiongeza, tuwe professional, ukiwa professional maana kuna wanasheria, kuna mameneja, unaweza ukawa na meneja hata mameneja wengi sasa hivi ni washikaji zetu. Tatizo kubwa tulilokuwa tunafanya tulikuwa tunafanya kazi sana kirafiki,” Professor Jay ameiambia Clouds TV.

Soma Pia; Diamond naye wanataka kumuua, sijui wanataka kumuweka nani – TID

Hivi karibuni TID alitoa lawama zake kwa media ambazo hakuzitaja kuwa zimekuwa na mtindo wa kuwashusha wasanii pindi wanapodai maslai yao na kuwaeleza wakati wao umepita na kuwapandisha wengine.

“Ni kukutoa kwenye line ili kuwaweka watu wao, kwa vile sisi tunawadai wametuzulumu sana. Na kweli anaweza because he has a media,” alisema TID.

Dully ni 'Mshenzi' - Master J

$
0
0

NA FATUMA MUNA
Mtayarishaji mkongwe wa muziki wa Bongo fleva, Joachim Kimario ‘Master J’ amefunguka na kumshukuru Msanii Dully Sykes kwa kuufanya wimbo wa Dhahabu kuwa mkubwa ingawa ni 'mshenzi'.


Master Jay ameyasema hayo akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa, wakati akisimulia namna ambavyo wimbo wa 'dhahabu' uliofanywa na Dully akiwa amemshirikisha Joseline na Mr. Blue ulivyorekodiwa.

"Wakati wa natengeneza wimbo wa 'Dhahabu' Dully  alinitesa sana siku hiyo. Kwanza alikuja studio na totoz mbili alafu ananukia mno nikampa beat aifanyie kazi,  Duly wewe ni mshenzi sana. Alirekodi wimbo mzima mic ikiwa imegeuka nyuma, alipomaliza akanambia Master hiyo itakutosha halafu akaondoka zake na totoz zake," Master J

Ameongeza kwamba "Nilihangaika sana mpaka hizo sauti mnazisikia hivo. Namshukuru Mungu, Mungu mkubwa wimbo ulikuja kuwa mkubwa. Huyo ndiyo misifa, Namshukuru alinipatia 'hit song"

Mbali na hayo Master Jay amesema kwa sasahivi wasanii wanashindwa kutengeneza nyimbo kali kutokana na watu wengi hawaangalii vipaji.

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Wapotezaji paspoti waanza kuchunguzwa

$
0
0

NA FATUMA MUNA
Idara ya Uhamiaji nchini imeanza kufanya uchunguzi ili kuwabaini watu wanaoonekana kupoteza hati za kusafiria mara kwa mara na kuonya kwamba, watakaobainika hawatapewa tena hati hizo.


Kauli hiyo imetolewa na Msemaji Mkuu wa Idara hiyo, Mrakibu Ali Mtanda, ambaye amesema katika siku za hivi karibuni, kumekua na wimbi la baadhi ya watu kudai wamepoteza hati hizo ambazo baadhi yake zimeonekana zikitumiwa na watu wa mataifa mengine hali ambayo ni hatari kwa usalama wa nchi.

 Amefafanua kwamba, hati za kusafiria zinatolewa kwa mujibu wa sheria ya pasipoti sura 42 ya mwaka 2002 na kanuni zake za mwaka 2004 na kufanyiwa marejeo mwaka 2018 ambapo pasipoti imetajwa kama nyaraka muhimu ambayo inatolewa kwa raia wa Tanzania.

Ameongeza kwamba wameweka gharama la shilingi laki tano kama faini ya kupata hati nyingine kulingana na unyeti wa hati hiyo.

MMILIKI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana, John The Baptist Ajiua Kwa Kujipiga Risasi

$
0
0

MMILIKI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana, John The Baptist, iliyoko Boko, Ndibalema Mayanja (64), mkazi wa Mbezi Afrikana jijini Dar es Salaam, imedaiwa amejiua kwa kujipiga risasi kifuani.

Tukio hilo lilitokea juzi asubuhi nyumbani kwake.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Jumanne Murilo, aliliambia Nipashe jana kuwa Mayanja ambaye ni Kapteni mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), alijiua kwa bastola aina ya Shotgun aliyokuwa anaimiliki.

“Mayanja alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa saratani kwa muda wa miaka 15 na mara kwa mara kwa mujibu wa familia yake, alikuwa akitamka kwamba anataka kujiua, jana (juzi) majira ya saa tatu asubuhi akiwa nyumbani aliomba apelekewe silaha aisafishe,” alisema na kuongeza.

“Wakati akisafisha silaha yake hiyo alikuwa akitania kuwa atazisalimisha polisi silaha zake mbili anazomiliki kwa sababu muda wa kuzimiliki umeisha, alipomaliza katika hali ambayo haikutarajiwa alijielekezea kifuani na kujipiga risasi,” alisema Kamanda Murilo.

Wakati polisi ikitoa maelezo hayo, msemaji wa familia hiyo Steve Gumbo, alisema kuwa Mayanda alijipiga risasi kwa bahati mbaya wakati anasafisha silaha zake.

Alisema aliomba apatiwe silaha zake azisafishe kwa maelezo kuwa anataka kuzisalimisha polisi kwa kuwa hakuwa anazihitaji tena.

“Wakati mzee anasafisha moja ya silaha zake kulikuwa na risasi chemba na kwa bahati mbaya ilijifyatua na kumpiga kifuani na wakati akikimbizwa hospitali alifariki dunia,” alisema Gumbo.

Marehemu Mayanga alizaliwa Julai 7, mwaka 1954 na ameacha mke na watoto sita. Kwa mujibu wa familia, marehemu anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumanne kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Haji Manara wa Simba Amwagia Sifa Kedekede Ronaldo..Soma Alichoandika

$
0
0

Kuna Mamilioni ya watu wanaocheza soka kote duniani bt Mchezaji bora ni mmoja tu..huyu ndio nwanadamu maarufu kupita wote Ulimwenguni..ndio mtu aliopigwa picha nyingi kupita wote toka alipoumbwa Adam na Hawa..hata mitandaoni yy ndio anaongoza kwa followers kuliko kiumbe chochote kilicho hai chini ya Jua....mchukie utakavyo ila huyo ndio Cristiano Ronaldo..ama De le boss wa Portugal 😁😁 ***Ameandika hayo Haji Manara katika ukurasa wake wa Instagram.
Je Unakubalina na hili au Unapingamizi?

Drop comment yako hapa

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH mzee khamisi Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH mzee khamisi Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mzee khamisi Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU.

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Mzee khamisi Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..

Na mengi zaidi whatsapp +255 623448511 au 0783636592 au +255 622588038
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

TCRA Yawaongezea Muda Wamiliki wa Blogu

$
0
0
 TCRA Yawaongezea Muda Wamiliki wa Blogu
Wamiliki wengi wa blogu katika mitandao ya kijamii nchini wamesema “kwaheri ya kuonana”.

Wamewaaga watumiaji wa blogu hizo ambao walizoea kupata taarifa muhimu za Serikali na matukio mengine ya kijamii kwenye kurasa zao za mitandao ya intaneti.

Sasa hawawezi tena kutuma taarifa hizo kwa kuwa kwanza watatakiwa kulipa Sh100,000, halafu ada ya Sh1 milioni kwa ajili ya kupata leseni na pia uwezekano wa kudhibitiwa baada ya kusajiliwa.“Gharama kubwa za usajili wa leseni zimetushinda. Tunasitisha huduma kwa muda usiojulikana,” alisema mmiliki wa blogu ya Innowisetz, Innocent Shayo kupitia mtandao.

Baadaye akizungumza na Mwananchi kwa simu, Shayo alisema gharama za kupata leseni ambayo ni Sh1 milioni ni kubwa hasa kwa blogu ambazo zimeanzishwa hivi karibuni.

“Serikali ipunguze ili ziweze kulipika kwa urahisi,” alisema.

Shayo alitumia ukurasa wake kuwaaga wasomaji wake akisema hakupenda kusitisha huduma, lakini ameamua kutii agizo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Shayo ni mmoja wa wamiliki kadhaa wa blogu waliotuma taarifa kwenye mitandao ya kijamii wakisema wanasitisha huduma kwa sababu wameshindwa kulipa gharama za usajili wa leseni. TCRA iliagiza kuwa ifikapo Juni 15 (yaani jana) vyombo vya habari vya maudhui ya mtandao ambavyo havijapata leseni havitaruhusiwa kuweka taarifa au habari zozote kwenye akaunti au kurasa zao. Sharti la usajili wa majukwaa hayo ya mitandaoni ni kwa mujibu wa Kanuni za Maudhui ya Kimtandao zinazolenga kuratibu na kudhibiti matumizi sahihi ya mitandao. Kwa mujibu wa kanuni ya 4 na 14, watu wanaotoa huduma za blogu, majukwaa ya mtandaoni wanatakiwa kujisajiliwa na chombo hicho.

Katika awamu ya kwanza Mei 25, mamlaka hiyo ilitoa leseni 45 kati ya 262 kwa watoa huduma hizo.

Umoja wa Wamiliki wa Blogu Tanzania (TBN) una wanachama 130, lakini waliosajiliwa ni watano.

Mtandao maarufu wa Jamii Forums ulikuwa wa kwanza kuwaaga wasomaji wao kwa kuwaomba radhi kwa usumbufu. “Kutokana na notisi iliyotolewa na TCRA Juni 2018 inayotutaka kusitisha utoaji wa huduma mara moja tunalazimika kutii agizo na tunasitisha,” ilisema taarifa ya mtandao huo.

Mmiliki wa blogu ya Darmpya.com, John Marwa aliungana na wenzake kuwaaga wasomaji, akisema kilichowashinda ni gharama za leseni.

“Tunasitisha huduma ili kuepuka kukwaruzana na TCRA. Masharti yaliyopo kwa sasa hatuwezi kuyatimiza,” alisema. Marwa alisema wataendelea kuiomba Serikali kufikiria upya gharama za kupata leseni ambazo alidai kuwa wengi hawawezi kuzimudu.

Mitandao mingine iliyowaaga wasomaji wake jana kupitia kurasa zao ni pamoja na Blogu ya Habari, mtandao wa Makonda Media na Bongo News.

Hata hivyo muda mfupi baada ya TCRA kuanza utekelezaji wa kanuni za maudhui, wamiliki wa blogu na mitandao ya habari wamenza kutofautiana.

Tofauti hiyo imekuja baada ya baadhi kujisajili na wengine kupinga kwa madai kuwa kanuni zilizopo zinaminya uhuru wa habari.

Mkurugenzi wa Jamii Media inayomiliki mtandao wa Jamii Forums, Maxence Melo alidai kanuni zinalenga kukandamiza uhuru wa utoaji na upataji wa taarifa.

“Watu wanaweza kuona hili jambo ni la mchezo. Kwa kanuni hizi, kwenda kusajili ni kujitia kwenye kitanzi. Tatizo jingine ni kwamba Watanzania hatuna uelewa wa sheria,” alisema.

Melo alisema yapo mambo mengi kwenye kanuni hizo ambayo yanatishia haki ya kupata habari, akitoa mfano wa maelekezo ya kuweka wazi chanzo cha taarifa iliyotolewa.

“Hii ni zaidi ya kusajili na kupata leseni na wapo wanaofikiri inamhusu mtu au blogu fulani, hapana. Hili ni la kila mtu anayetumia simu au kompyuta,” alisema. Wakati huohuo, TCRA imeongeza muda wa usajili wa watoa huduma za maudhui mitandaoni hadi Juni 30, mwaka huu.

Awali, siku ya mwisho ya kujisajili ilikuwa Juni 15. Taarifa iliyotolewa jana jioni na mkurugenzi mkuu wa TCRA, James Kilaba ilisema wale ambao hawajajisajili wanatakiwa kufanya hivyo kabla ya Juni 30.

Maiti Mbili Zilizookotwa Ubungo Viongozi Watofautiana Maelezo

$
0
0
Maiti Mbili Zilizookotwa Ubungo Viongozi Watofautiana Maelezo
Maiti mbili zilizokutwa katika Manispaa ya Ubungo zimezua utata, baada ya viongozi wa manispaa hiyo kukinzana kuhusu mahali sahihi zilipokutwa.

Miili hiyo ambayo yote ni ya wanaume iliokotwa kwa nyakati tofauti, mmoja asubuhi ya Juni 7 na mwingine jioni ya Juni 12. Kupitia ukurasa wake wa Twitter juzi, meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob aliandika, “Tarehe 7 Juni alfajiri 2018 na tarehe 12 Juni jioni, siku mbili tofauti zimeokotwa maiti mbili za kiume pembezoni mwa lango la ofisi za Manispaa ya Ubungo. Zikionekana kufungwa kamba na kuteswa kisha kutupwa na kutelekezwa nje ya ofisi zetu.”

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Makori Kisare alikiri kutokea kwa matukio hayo, lakini akakanusha kuwa miili haikuokotwa mbele ya lango la ofisi za manispaa.

“Ni kweli tumepata shida hiyo, ila sio kama meya anavyoeleza kwamba ni kwenye lango la ofisi za manispaa. Miili hii imeokotwa pembezoni mwa Barabara ya Morogoro unapokata kona ya kuja kwenye ofisi zetu. Hilo lilikuwa eneo la watu wanafyatua matofali, sasa wameondoka na kuacha shimo ambalo lilijaa maji,” alisema.

Kisare alisema walitoa taarifa kwa vyombo husika na polisi walifika kuitoa miili hiyo na mmoja kati yao umetambulika kuwa ni mkazi wa Kibaha na alikuwa ni dereva wa bodaboda.

“Mtu wa kwanza alipelekwa Hospitali ya Mwananyamala, mwingine akapelekwa Tumbi na huyu ndiye alitambulika kuwa ni mkazi wa Kibaha anaendesha bodaboda na alikodiwa, sasa mazingira ya kifo chake hayajafahamika polisi wanaendelea na uchunguzi,” alisema.

Kisare alisema walishauriana na kufikia uamuzi wa kuliziba shimo hilo na tayari maji yameshaondolewa ili kiwekwe kifusi.

“Nilimwambia meya sisi tukiwa kama viongozi tunatakiwa kuwa waangalifu na kauli tunazozitoa kwenye umma zinaweza kuzua taharuki,” alisema Kisare.
Chanzo Mwananchi

Akizungumza na Mwananchi, Jacob alisema kwa sasa wafanyakazi wa manispaa na wakazi wanaoishi jirani na zilipo ofisi hizo wameingiwa hofu juu ya matukio hayo.

Alisema licha ya kuwa miili hiyo iliokotwa kwa nyakati tofauti, yote ilikutwa katika eneo moja ikiwa na muonekano unaofanana.

“Suala hili limeleta taharuki maana watu hawaelewi ile miili ni ya akina nani, wametokea wapi na ilikuwaje hadi wamekutwa na masahibu hayo na hata sisi watumishi inatupa wakati mgumu maana haiwezekani miili inatupwa nje ya ofisi, tunaomba polisi ichunguze na itoe taarifa,” alisema Jacob.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Jumanne Murilo hakupatikana kuzungumzia kuokotwa kwa maiti hao na hatua za kiuchunguzi zinazoendelea.

Mkenya Aliyezaa na Daimond Kumpeleka Mahakamani Kudai Malezi ya Mtoto

$
0
0
Mkenya Anayedaiwa Kuzaa na Daimond Kumpeleka Mahakamani Kudai Malezi ya Mtoto
WAKATI sakata la matunzo ya mtoto kwa mzazi mwenza, Hamisa Mobeto likiwa limefifia, jingine limeibuka kwa staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufikishwa mahakamani Juni 20, mwaka huu baada ya mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Gladys Butoto, ambaye ni raia kutoka Kenya kuibuka na kudai kutopata msaada wowote wa malezi ya mtoto anayedai kuzaa na msanii huyo.



Akizungumza kwa uchungu nje ya Kituo cha Polisi, Oysterbay, Gladys ambaye ana mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu aliyempa jina la Patiance, alisema kuwa amejitahidi kwa kadiri awezavyo akutane na Diamond ili wayamalize na ijulikane ni jinsi gani wataweza kumhudumia mtoto wao lakini imeshindikana.



“Mimi nisingefikia hatua hii kabisa, lakini nimeona Diamond ni mtu ambaye ananidharau na wakati ukweli anaujua, maana tungezungumza na tukakubaliana kuhusu matunzo ya huyu mtoto wala nisingekuwa na matatizo yoyote yale,” alisema Galdys

Msichana huyo ambaye kwa sasa analala nje ya kituo hicho cha polisi alisema kuwa, mara ya kwanza alipokuja nchini alikuwa tayari kupima vinasaba ‘DNA’ yeye, mtoto na Diamond lakini siku ya kupima msanii huyo hakutokea hivyo ilimbidi arudi Kenya.



“Nilikaa kidogo Kenya na kuona kwa nini niteseke na mtoto wakati baba yake yupo hai ndiyo maana nimeamua kuja tena kwa mara nyingine, hapa nilipo nimeuza simu yangu na kuja ili nijue hatma ya hili jambo.

“Mwanangu anaumwa lakini nimekuja naye hivyohivyo ili nijue hatma yangu na pia twende mbele ya sheria maana hata mama yake alishawahi kusema mimi ni chizi lakini siwezi kumsingizia mwanaye hata kidogo kuhusu hilo,” alisema mwanamke huyo akionesha barua za kumburuza Diamond mahakamani.

Kim Nana Awatolea Uvivu Gigy Money na Lynn

$
0
0
Kim Nana Awatolea Uvivu Gigy Money na Lynn
VIDEO Queen Lilian Paul Kessy ‘Kim Nana’ amewafunda wauza nyago wenzake, Gift Stanford ‘Gigy Money’ na Irene Hillary ‘Lynn’ kuwa na staha mbele za watu kutokana na maneno machafu waliyokuwa wakitoleana mitandaoni kutokana na ugomvi wao uliotokea hivi karibuni.



kwamba watu wanawaangalia, maneno waliyokuwa wakirushiana yanafanya watu waidharau fani yetu na kuona kuwa ni ya kihuni kutokana na kuropoka ovyo mbele za watu,”

Akipiga stori na Udaku wa Mjini, Kim Nana alisema hakufurahishwa na wauza nyago hao kusemeana mbovu hadharani kwani ingekuwa vema wakaitana pembeni na kugombana pasipo kuwapa watu faida hasa ikichukuliwa kuwa, wao ni kioo cha jamii.



“Unajua wameshindwa kutambua kuwa wao ni kioo cha jamii na alisema Kim Nana.Gigy na Lynn juzikati walirushiana maneno ya shombo mtandaoni kisa kikiwa hakijulikani na hata mwandishi wetu alipojaribu kuwatafuta, hakuna aliyetoa ushirikiano

Watu Wanaonichamba na Kunisema Kuhusu Dogo Janja Wivu tu Unawasumbua- Irene Uwoya

$
0
0
Watu Wanaonichamba na Kunisema Kuhusu Dogo Janja Wivu tu Unawasumbua-Irene Uwoya
STAA wa Filamu za Kibongo, Irene Uwoya amedai kuwa watu wanaomchamba ‘kumsema vibaya’kuwa hakustahili kuolewa na mwanamuziki wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ ni wivu ndio unawasumbua kwani wapo ambao waliitamani nafasi hiyo.



Akipiga stori na Udaku wa Mjini Uwoya alisema kuwa kuna wengine wanashangaa kwa nini ameolewa na mwanamuziki huyo lakini yeye haimshitui kwani alishaziba masikio yake siku nyingi tangu alipoamua kumpenda Dogo Janja.



“Unajua kuolewa ni heshima ambayo wanawake wengi wanaihitaji, kuna ambao wananisema vibaya kwa wivu, walitamani wao ndiyo waolewe lakini imeshindikana ndiyo wananisema vibaya, wala sijali, nafurahia maisha yangu ya ndoa na wala sina habari yoyote,” alisema Uwoya.

Zari Atoboa Siri Alipokutana na Daimond kwa Mara ya Kwanza

$
0
0
Zari Atoboa Siri Alipokutana na Daimond kwa Mara ya Kwanza
HAKUNA ufalme unaodumu milele hapa duniani kwa sababu unaambiwa hata ile iliyokuwa ‘kapo’ matata Afrika Mashariki ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ bado hali ni tete.

Karibu mpenzi msomaji wa Gazeti la Ijumaa katika safu yetu hii mpya ya The First We Met (Tulivyokutana Siku Siku ya Kwanza) ambapo utawasikia wanandoa mbalimbali wakiwemo mastaa na wasiokuwa mastaa wakielezea namna walivyokutana na kuunda muungano wa kimapenzi. Hii itakupa uzoefu wewe msomaji juu ya namna watu wanavyokutana na kuyajenga maisha.

“Bado nakumbuka siku ya kwanza tulipokutana, kila mmoja alikuwa na aibu kumsemesha mwenzake,” hivyo ndivyo alivyoanza kusimulia Zari juu ya namna alivyokutana na Diamond kisha kufurahia maisha kabla ya hivi karibuni jahazi kwenda mrama.

Katika mahojiano na kituo kimoja cha redio nchini mwake, Uganda alikozaliwa mwanamama huyo yapata miaka 38 iliyopita, Zari alieleza kuhusu jinsi alivyokutana na baba huyo wa watoto wake wawili, Tiffah na Nillan.

Zari alifunguka kwamba, yeye ndiye aliyekuwa wa kwanza kuzungumza na Diamond kupitia ukurasa wake na kumtumia ujumbe DM (Direct Messaging) kwenye Mtandao wa Instagram.

Zari alikiri jinsi ambavyo mapenzi kati yake na Diamond yalivyoanza baada ya kukutana ‘live’ kwenye ndege ambapo tulikuwa tunasafiri pamoja. “Nilizungumza naye kupitia DM, nilimwalika kuhudhuria kwenye sherehe yangu ya White Party nchini Uganda, lakini aliniambia kwamba nizungumze na meneja wake,” alisema Zari na kuongeza:

“Diamond alianza kunichunguza, baadaye tulibadilishana namba za simu na hapo ndipo uhusiano ulipoanza. “Tulikuwa tukipigiana simu kila wakati na kujikuta tayari ni wapenzi kabla ya kuwa mtu na mzazi mwenziye.”




Kuhusu kukutana kwao, naye Diamond alishakaririwa mara kadhaa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers akielezea namna ‘alivyomtokea’ Zari na kujiokotea dodo chini ya mpera ambapo walijikuta wakipendana kupita maelezo huku wakioneshana mahaba niue hadharani.

Kwa mujibu wa Diamond, baada ya kuwasiliana na mwanamama huyo kupitia DM, alikiri kukutana na Zari kwenye ndege wakati wanatokea Afrika Kusini kuelekea Bongo. Diamond alisema kuwa, baada ya kukutana na Zari ndipo akarusha ndoano live na kukubaliwa kiulaini kwa kuwa mwanamama huyo alishaonesha dalili za kuzimika.

Hata hvyo, hilo la kukubaliwa haraka lilipingwa na Zari ambaye alidai kwamba, ilichukua muda kukubali kuwa mpenzi wa msanii huyo. Zari alimalizia kwamba, pamoja na kumkazia, lakini hatimaye alijikuta akisema YES.

Baada ya kukubaliana wapenzi, Zari na Diamond waliingia kwenye uhusiano wa kupika na kupakua ambapo matokeo yake, walijaliwa watoto wawili kabla ya kuingia kwenye gogoro zito. Katika mgogoro wao wa kimapenzi, Zari alimtuhumu Diamond kumkosea heshima akimtuhumu kumsaliti waziwazi hadi kufikia hatua ya kuzaa na mwana-mitindo Hamisa Mobeto.
Chanzo: Global Publishers

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Mshtakiwa wa Dawa za Kulevya Ajifungua Mapacha Gerezani....... Hakimu Ampongeza

$
0
0
Mshtakiwa wa Dawa za Kulevya Ajifungua Mapacha Gerezani....... Hakimu Ampongeza
Hakimu  Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Moshi, Pamela Meena, amempongeza mshtakiwa wa usafirishaji wa dawa za kulevya, Mary Peter kwa kujifungua mapacha akiwa mahabusu katika Gereza la Karanga.

Mtuhumiwa huyo ambaye ni mkazi wa Babati mkoani Manyara, alikamatwa Oktoba 15, mwaka 2017 katika mji mdogo wa Himo nje kidogo ya Manispaa ya Moshi akiwa na kilogramu 10 za dawa za kulevya aina ya mirungi.

Mary ambaye anaendelea kusota mahabusu, alijifungua mapacha hao ambao ni Norin na Nora, Aprili 8, mwaka huu katika Hospitali ya Rufani ya mkoa wa Kilimanjaro Mawenzi.

Hakimu Meena, alijikuta akitoa pongezi hizo, muda mfupi baada ya mshtakiwa huyo kupanda kizimbani kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa kesi inayomkabili ya kusafirisha dawa za kulevya.

Awali, wakati mahakama hiyo inaanza usikilizaji wa kesi hiyo, mwendesha mashtaka wa serikali, Lilian Kowero alidai kwamba kesi hiyo namba 182 ya mwaka 2017, ilikuja kwa ajili ya kutajwa.

“Mheshimiwa, kesi hii imekuja kwa ajili ya kutajwa kwa sababu upelelezi wake bado haujakamilika, kwa hiyo tunaomba tarehe nyingine ya kutajwa,”alidai Kowero.

Baada ya maelezo hayo ya mwendesha mashtaka huyo, Hakimu Meena alikubaliana na ombi hilo ambapo kesi hiyo itatajwa tena mahakamani hapo Juni 27, mwaka huu.

Aidha, mahakama hiyo imeeleza kwamba dhamana ya mshtakiwa huyo ipo wazi na anachotakiwa kukifanya ni kuwa na wadhamini wawili ambao ni wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro, ambao watalazimika kusaini bondi ya Sh. 500,000 kila mmoja kama dhamana.

Mshtakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza, Oktoba 24 mwaka jana akikabiliwa na kesi ya usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya mirungi.

Baada ya Mfungo Kuisha Waislam Watakiwa Kufanya Jambo Hili

$
0
0
Baada ya Mfungo Kuisha Waislam Watakiwa Kufanya Jambo Hili
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewaasa Waislamu na Watanzania wote kwa ujumla kuendelea kutenda mema baada ya kuwa wamejisahihisha na kutubu makosa yao ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Hayo yamesemwa Ijumaa hii na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye amemuwakilisha Rais Dkt. Magufuli kwenye Baraza la Eid El Fitr lililofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu amesema Viongozi waendelea kuwasihi Waislam wote na Watanzania kwa ujumla kuendelea kuonyesha upendo, umoja na kuvumiliana hasa baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Amesema huruma, ukarimu na ucha Mungu ulioonyeshwa katika kipindi cha mfungo wa Ramadhani, uendelee na uwe sehemu ya maisha ya kila siku na kamwe usiwe umeisha baada ya mwandamo wa mwezi wa mfungo mosi.

Waziri Mkuu ameongeza kuwa upendo, umoja, utulivu, mshikamano na subra uliooneshwa kipindi chote cha mfungo wa ramadhani ni vema ukaendelezwa kwa sababu ucha Mungu si katika mwezi huo pekee.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli ameniagiza kwa kusema ‘’Waislam ni kielelezo cha taasisi za dini zinazozingatia maadili mema, hivyo wachache wasijipenyeze na kuharibu taswira yao. Ninawahakikishia kuwa Serikali iko tayari kushirikiana taasisi yeyote ya dini ambayo itakuwa tayari kuzingatia matakwa ya Katiba, Sheria na taratibu tulizojiwekea nchini’’

Amesema wakati huu wa kusherehekea kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni vema wakakumbuka maneno ya Mtume Muhammad (S.A.W) kwamba ‘’Mwenye kufanya maasi siku ya Eid ni sawa na kumuasi Allah Sub-hanahu Wata’ala siku ya kiyama,’’.

Awali, Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally alitoa wito kwa Masheikh wa Mikoa na Wilaya zote nchini wahakikishe kila wanapofanya mikutano yao mada ya amani na kudumisha uzalendo zisikose kwa kuwa ni vitu muhimu.

Kauli ya Mourinyo Baada ya Ronaldo Kutupia ‘Hat-trick’

$
0
0
Kauli ya Mourinyo Baada ya Ronaldo Kutupia ‘Hat-trick’
Baada ya Cristiano Ronaldo kutupia ‘hat-trick’ na kuisaidia timu yake ya taifa ya Ureno kutoka sare ya mabao 3 – 3 dhidi ya Hispania hapo jana usiku kwenye michuano ya kombe la Dunia meneja wa klabu ya Manchester United, Jose Mourinho amesema kuwa mshambuliaji huyo ni mchezaji ambaye yupo kwa mechi maalum.


Mchezaji huyo bora duniani, Ronaldo amefanikiwa kufunga ‘hat-trick’ za kwanza kwenye michuano hiyo ikiwemo bao lake la ‘free-kick’ na kuisaidia Ureno kupata alama moja kwenye mchezo huo wa ufunguzi wa kundi B.

Mourinho ambaye pia ni raia wa Ureno alishawahi kumfundisha Ronaldo wakati akiwa kocha ndani ya klabu ya Real Madrid hivyo anamfahamu vilivyo uwezo wake ndani ya uwanja.

Akiwa huko nchini Urusi Mourinho amesema kuwa “Anafahamu hilo na kwakuwa anafahamu ndiyo sababu ninavutiwa na baadhi ya wachezaji mfano wake,” amesema Mourinho kupitia Russia Today.

“Kuna wachezaji wapo kwaajili ya baadhi ya mechi, wengine wapo kwaajili ya kila mechi na kuna wachezaji wao wapo kwaajili ya mechi maalum. Wachezaji ambao wapo kwaajili ya mechi maalum yupo mmoja tu.”

“Bao lake la ‘free-kick’ si bora sana ukilinginisha na alicho kifanya Manchester United na alipo jiunga Real Madrid kwa mwaka wake wa kwanza.

Kessy Aitega Yanga Aomba Kulipwa Milioni 60 Ili Kubaki Kwenye Timu Hiyo

$
0
0
Kessy Aitega Yanga Aomba Kulipwa Milioni 60 Ili Kubaki Kwenye Timu Hiyo
Hassan Kessy ambaye anacheza nafasi ya beki ya pembeni kwenye kikosi cha Yanga, amesema yupo tayari kuendelea kuvaa jezi msimu ujao ikiwa tu atapewa dau la Sh mil 60.

Beki huyo ni kati ya wachezaji 11 muhimu katika timu ambao mikataba yao imemalizika mwishoni mwa msimu uliomalizika wa Ligi Kuu Bara.

Wachezaji wengine ni Obrey Chirwa, Kelvin Yondani, Beno Kakolanya, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Said Makapu na Andrew Vicent ‘Dante’.

Kessy ambaye alijiunga na Yanga misimu mawili iliyopita akitokea Simba SC, ameliambia Championi Jumamosi kuwa, maslahi pekee ndiyo yatakayombakiza Yanga ambayo dau la usajili na mshahara wa kila mwezi kwa kipindi ambacho atakachokuwepo Jangwani.

“Kila mtu aliona mchango wangu nilioutoa katika timu kwenye msimu uliopita wa ligi kwa kufanikiwa kuipambania timu na kuifikisha katika nafasi nzuri ya tatu tukiwa katika hali mbaya ya kiuchumi.

“Hivyo, nitakubali kubaki Yanga kwa dau hilo la usajili ambalo nimewapa mabosi wangu na pia kuangalia maboresho ya mshahara wangu mpya.

“Tofauti na Yanga, pia nipo kwenye mazungumzo na baadhi ya klabu za hapa nchini na nje ya nchi ambayo ni Motema Pembe (ya DR Congo) iliyoonyesha nia kubwa ya kunihitaji,” alisema Kessy ambaye aliwahi kuichezea Simba tena akaachana nao kwa mbinde.

Mmoja wa viongozi wa kamati ya muda ya Yanga alipodokezwa jana kuhusiana na ishu hiyo ya Kessy alidai kwamba hayo ni maneno wakikutana watayajenga.

CHANZO: CHAMPIONI

Korea Kaskazini Yaanza Kuachia Mateka wa Marekani

$
0
0
Korea Kaskazini Yaanza Kuachia Mateka wa Marekani
Rais wa Marekani Dold Trump akizungumza na shirika la habari la Fox News, amesema siku ya Ijumaa  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (DPRK) imeanza kurejesha mabaki ya wanajeshi wa Marekani waliopotea katika vita ya Korea (1950-53).

Trump alikutana na kiongozi wa juu wa DPRK Kim Jong Un nchini Singapore siku ya Jumanne, tukio la kihistoria ambalo lilifuatwa na taarifa ya pamoja.
Viewing all 104694 articles
Browse latest View live




Latest Images