Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Davido Noma, Awakutanisha Diamond na Clouds FM

$
0
0

Na Amini Nyaungo-Fullshangwe
Muimbaji kutokea Nigeria Davido alifanya show katika Ukumbiwa Next Door Arena ulipo Dar es Salaam ambapo aliambata na wasanii wanao fanya muziki wa bongofleva ambao ni Ruby, Nandy, The Mafik, Aslay na wegine.

Lakini Moja ya Jambo ambalo halikutegemewa na mashabiki ni kumuona msanii Diamond Platnumz akipanda kwenye stage moja na Davido tena waki-perform wimbo wa Number one Remix, wimbo ambao Diamond aliwai kumshiirikisha Davido kipindi cha Nyuma.

Ikumbukwe kuwa Kumekuwa na mgogoro wa chini kwa chini baina ya Diamond na uongozi wa Clouds Media, huku mashabiki wa muziki nchini wakiachwa na sintofahamu. Ngoma za msanii huyo maarufu barani Afrika ni kama zimepigwa marufuku kusikika ndani ya redio ama kuonekana katika televisheni inayomilikiwa na Clouds Media.

Mara kadhaa, msanii huyo amekuwa akisikika akitoa vijembe dhidi ya redio na televisheni hiyo maarufu nchini.

Ukiuliza urafiki wao umeisha vipi hakuna anayejibu sawa sawa, ndio maana Edwini Senzaba amesema mambo ya ‘Ngoswe muachie Ngoswe’.

Mchongo uko hivi, Davido alikuwa na show hapo ambapo imeandaliwa na Uongozi wa Clouds.

Diamond alifanya show huko Dar Live na baada ya kumaliza aliondoka haraka na kwenda Next Door na kuruka na Davido kwenye ‘My Number One Remix’ huku shangwe likiwa kubwa kwa mashabiki waliojazana hapo.

Baada ya kumaliza show hiyo ya kama dakika 8 hivi, Diamond alisikika akisema kuwa “Nimekuja kumpasupport rafiki yangu tukutane Wasafi Festival,” amesema.

Baada ya maneno hayo alitoka jukwaani na kuondoka akiwaacha watu wakipiga shangwe kubwa sana.

Mexico Yaanza Vizuri Kombe La Dunia,yawatuliza Mabingwa Watetezi Ujerumani 1-0

$
0
0

Bingwa mtetezi wa kombe la dunia timu ya Ujerumani imeanza vibaya kutetea kombe lake kwa kukubali kipigo cha goli 1_0 kutoka kwa Mexico.

Ujerumani ilifungwa goli 1_0 na Mexico dakika ya 35 ya mchezo kwa mpira uliopigwa na mchezaji Hirving  Lozano na kuingia wavuni moja kwa moja.

Mexico inavunja rekodi aliyokuwa ikishikiliwa na Algeria kwa kumfunga mjerumani kwenye mchezo wa kwanza mwaka 1982 rekodi iliyodumu miaka 36

Kombe la Dunia: Serbia Yang'aa Kwa Costa Rica

$
0
0


Goli pekee la nahodha wa Serbia, Aleksandar Kalarov limetosha kuipa timu yake pointi tatu muhimu  dhidi ya Costa Rica.

Kalavor aliiandikia timu yake goli la kwanza na la ushindi dakika ya 35 kwa mpira wa adhabu nje kidogo na eneo la kumi na nane na mpira kuzama moja kwa moja vyavuni.

Mchezo huu wa kundi E ulichezwa jana saa tisa mchana katika uwanja wa Samora Arena

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Ofisi ya Mbunge Ridhiwani Kikwete ilivyoungua Moto Jana, Mwanamke Kichaa Atajwa Kusababisha Moto

$
0
0
Ofisi ya Mbunge jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete iliyopo eneo la Msolwa, Chalinze imeungua kwa moto jioni hii ya leo Jumapili, Juni 17, 2018 huku mali, samani na nyaraka zilizokuwemo ndani ya jengo hilo zikitejetea vibaya.

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi Jonathan Shana amethibitisha na kusema chanzo cha moto huo ni mwanamke anayedaiwa kuwa ana matatizo ya akili ‘kichaa’ alikuwa na moto nje ya ofisi, upepo ulipopiga ulisukuma moto ukashika jengo.

 Global Publishers imefika eneo la tukio na kushuhudia moto huo ukiteketeza jengo hilo na vitu vilivyokuwemo huku ukitambaa na kuelekea kwenye nyasi zilizo jilani na jengo,

 Aidha, Kikosi cha zimamoto kilifika eneo la tukio lakini tayari moto ulikuwa umeshashika jengio zima hivyo hakuna dalili za kuokoa chochote.

GPL

Diamond Akalia Kuti Kavu Kwa Zari, Mtangazaji Maulid Kitenge Ajipanga Kupeleka Posa Kwa Zari

$
0
0
Wakati mwanamuziki Diamond Platnumz, akiendelea na harakati za kumrudisha mzazi mwenziye, Zari The Boss Lady, kundini ili waweze kurudiana na kuishi kama zamani, Mtangazaji wa kituo cha redio Maulid Kitenge amemtembelea Zari nyumbani kwake Uganda na kuwauliza mashabiki je apeleke barua ya posa?

 Kitenge amewaomba ushauri huo mashabiki zake na Watanzania kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kuposti video yake na Zari wakiwa pamoja huku akimsifia kuwa ni fundi sana wa kupika na kisha kuelezea azma yake hiyo.

Mke wa Rafiki Yangu Anadai Nimuongezee Njia ili Wakati wa Kujifungua Asipate Shida..Ushauri

$
0
0
Jamani Admin Mwenzenu naingia katika vishawishi kutoka kwa mke wa rafiki yangu kabisa, ni hivi rafiki yangu kasafiri kikazi nje ya nchi kwa muda sasa, huku nyuma amemuacha mke wake ambae ana ujauzito wa miezi nane sasa bado mmoja ajifungue , sasa juzi nimekutana nae tukapata lunch pamoja sehemu, basi katika kuongea ongea akaniambia dokta wake amemwambia kipindi hichi inafaa ampe sana yale mambo mumewe ili njia ifunguke asipate shida wakati wa kujifungua , sasa mume wake ndo hayupo katika kutaniana taniana akaniambia kama sita jali na nitakuwa msiri niwe nampa kitu mpaka atakapojifungua ili kuongeza njia...Bado sijamjibu na leo nimekuta message akikumbushia Jambo Hilo ..Wadau Nifanyaje?

By Oscar

Serikali Yafunguka Kuhusu Mtanzania Anayeng'ara Kombe la Dunia Huko Urusi

$
0
0

Dar es Salaam. Serikali imevunja ukimya kuhusu Mtanzania Yussuf Poulsen anayeng’ara katika Fainali za Kombe la Dunia, akitamba kwenye kikosi cha Denmark.

Mtanzania huyo mwenye uraia wa Denmark, ameweka historia katika fainali hizo nchini Russia, baada ya kufunga bao pekee dhidi ya Peru.

Kiwango bora cha Poulsen mwenye miaka 24, kimeiibua Serikali ambayo jana ilitoa tamko kuhusu wachezaji wenye asili ya Tanzania wanaocheza soka Ulaya.

Akizungumza jana, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Nchini Yusuph Singo, amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuweka utaratibu maalumu wa kutambua wachezaji wote wenye asili ya Tanzania wanaocheza nje ya nchi.

Singo alisema shirikisho hilo ndilo lenye dhamana ya kujua idadi ya wachezaji wenye asili ya Tanzania wanaocheza Ulaya ambao watawekewa utaratibu na Serikali ili kuitumikia timu ya Taifa.

“Serikali hatuwezi kujua kila mchezaji anayecheza Ulaya ndio maana kuna taasisi (TFF) ambayo pamoja na mambo mengine ya kiutendaji, inatakiwa kuweka mfumo mzuri wa kutambua wachezaji wetu wanaocheza nje ya nchi.

“Kwa mfano huyu Mtanzania anayecheza Denamrk hatukuwa tukimfahamu, kama vyama vyetu vya michezo vingekuwa na utaratibu mzuri wa kujua wachezaji gani wanacheza nje ingekuwa rahisi,” alisema Singo.

Mchezaji huyo juzi aliweka rekodi kwa kuifungia bao Denmark lililowafanya kuibuka na pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya Peru katika hatua ya makundi.

Bao hilo ni la pili kwa nyota huyo kufunga mfululizo katika ngazi ya Taifa, siku chache zilizopita aliifungia Denmark bao moja kati ya mawili dhidi ya Mexico.

Poulsen alianza kikosi cha kwanza cha Denmark kilichokuwa kikiongozwa na Christian Eriksen wa Tottenham Hotspurs.

Mchezaji huyo katika jezi amekuwa akitumia jina la Poulsen, lakini amebadili na kuweka jina la baba yake, Yurary anayetoka mkoani Tanga. Awali, Poulsen alinukuliwa akidai ameshindwa kuitumikia Taifa Stars kwa kuwa hakuwahi kuitwa licha ya mara kwa mara kurejea nchini kuitembelea familia yake mkoani Tanga.

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Harmonize Amwaga Chozi Dar Live Kisa Hiki Hapa

$
0
0
Harmonize Amwaga Chozi Dar Live Kisa Hiki Hapa
STAA wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya WCB, Harmonize ‘Konde Boy’ amejikuta akimwaga machozi mbele ya jukwaa la Dar Live, Mbagala Zakhiem usiku wa kuamkia jana kwenye shoo ya Usiku wa Kusini ‘KusiNight’.



Hiyo ilikuwa ni baada ya sapraizi ya Staa Nasbu Abdul ‘ Diamond Platinumz’ kutoka kusikojulikana usiku wa manane na kuvamia jukwaa la wakati shoo hiyo ikiendelea.  Shuhudia mwenyewe.

Zitto alia bajeti kuwaumiza wakulima, wafanyakazi

$
0
0
Zitto alia bajeti kuwaumiza wakulima, wafanyakazi
Chama cha ACT Wazalendo, kimesema, Bajeti ya Serikali kwa mwaka ujao wa fedha 2018/19, inawaumiza wafanyakazi na wakulima nchini.


Leo wakati akifanya uchambuzi wa Bajeti hiyo, mbele ya waandishi wa habari, na wadau wengine wa uchumi na biashara, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema, utekelezaji wa Bajeti hiyo utapungua kwa 23% huku wakulima na wafanyakazi wakiendelea kuumia.

Kiongozi huyo amesema ili kuwapa unafuu amependekeza Kodi ya Mshahara yaani Paye, ipunguzwe na michango kwenye mifuko ya jamii ifanyiwe marekebisho ikiwemo kushushwa kwa michango ya pensheni kutoka 20% mpaka 12% ili kuwapa unafuu wafanyakazi na waajiri.

 Kuhusu kilimo, amesema, Bajeti yake imepunguzwa kwa 23% licha ya kukabiliwa na changamoto nyingi, huku kikiajiri 66% ya Watanzania wote.

Mwanamke Ashikilikiana na Ndudu Zake Kumuua Mume Wake

$
0
0
Mwanamke Ashikilikiana na Ndudu Zake Kumuua Mume Wake
Mwanamke mmoja nchini Uganda ambapo amekamatwa na Polisi wa nchini humo kwa kosa la kushirikina na ndugu zake kumuua mume wake na kumzika kwa siri.

Dina Ainomugisha anadaiwa kumuua mume wake ambaye alikuwa ni mfanya biashara wa ndizi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni ugomvi juu ya mali za familia yao.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Ibanda Rogers Chebene amesema kuwa mmoja wa watuhumiwa ambaye alishiriki katika zoezi hilo ambaye hakupata mgao wake wa fedha kama walivyokubaliana ndiye aliyewapa taarifa jeshi la Polisi kuhusiana na tukio hilo.

Watuhumiwa wengine walioshiriki katika tukio hilo wametajwa kuwa ni Keresensio Mwesigye Alias Kamwesi, Experito Kacunguza, Stephen Mukama pamoja na Medrine Kabasiita ambao wote kwa sasa wametiwa nguvuni na jeshi la Polisi.

Aidha mwili wa Marehemu umechukuliwa na kupelekwa katika kituo cha Afya cha Ruhoko kwa uchunguzi zaidi.

Wanaume Waeleza Sababu Siku ya Baba Kutokuwa na Mvuto

$
0
0
Wanaume waeleza sababu Siku ya Baba kutokuwa na mvuto
Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Baba jana, kumekuwa na mwamko mdogo wa watu kusherehekea sikukuu hiyo tofauti na ya Mama.

Jana, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (Unicef), lilitoa taarifa yake na kuwakumbusha wazazi wa kiume namna wanavyopaswa kuzingatia malezi ya watoto wao hasa wakati wakiwa katika umri mdogo.

Siku ya Baba Duniani huadhimishwa kila ifikapo Juni 17.

Unicef ilisema mzazi wa kiume anayejitahidi kuwa karibu na mtoto tangu akiwa katika umri mdogo, ana nafasi kubwa ya kuwa kichocheo cha maendeleo ya watoto.

Unicef imesema tafiti zinaonyesha pia watoto wanapokuwa na ukaribu wa kipekee na wazazi wao wa kiume wapo kwenye mwelekeo mzuri wa kuwa na afya njema kisaikolojia, kujiamini na kutosheka katika mfumo wa maisha.

Hata hivyo, wanaume wengi waliohojiwa na Mwananchi wamesema tamaduni na mila za Kiafrika ndizo zimesababisha siku hii isipewe kipaumbele hasa kwa nchi za Afrika.

“Huku kwetu haya mambo hatuyapi kipaumbele sana kwa sababu nyingi ikiwamo zile zilizosababishwa na historia ya makuzi yetu. Haya mambo hatujawahi kuwa nayo hapo kabla....yameingia katika siku za hivi karibuni hivyo ni vigumu kuwakuta kina baba wakiyachangamkia,” alisema Walter Tosha baba wa watoto wa wawili na mmoja wa wanaume waliohojiwa.

Mzazi huyo anaelezea uzoefu wake akisema makuzi ya familia za Kiafrika ni tofauti na ilivyo kwa familia za nchi za Magharibi ambazo mara nyingi hukulia katika utamaduni wa namna hiyo.

Uhispania Yawapokea Wahamiaji Waliokataliwa na Nchi Nyingine Ulaya

$
0
0
Uhispania Yawapokea Wahamiaji Waliokataliwa na Nchi Nyingine Ulaya
Meli tatu zimeegeshwa nchini Hispania, zikiwa na mamia ya wahamiaji waliookolewa majini wiki iliyopita wakitokea nchini Libya.

Serikali ya Uhispania imekubali kuwachukua, baada ya Italia na Malta kukataa meli hizo zilizowaokoa wahamiaji hao kuegesha katika bandari.

Shirika la msalaba mwekundu limezitaka nchi za jumuiya ya Ulaya, kuiga mfano wa Uhispania kuonyesha mshikamano katika suala la wahamiaji.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Valencia, Mratibu wa shirika la madaktari wasio na mipaka MSF Aloys Vimard, watu waliopo ndani ya meli hizo wamelazimika kusubiria zaidi ya wiki moja,wakati wanasiasa wakijadiliana hatima yao.

"Jambo ambalo hatuhitaji kulisahahu ni maisha ya watu,ambayo serikali za Ulaya zinayapuuza. Watu hawapaswi kuchukuliwa kama mizigo inayotarajiwa kushushwa mahala. Kila mmoja,yeyote ambaye amekumbwa na hali isiyo ya kawaida baharini ni lazima apewe haki sawa," amesema.

"Hatujui ni nini cha tofauti kibinadamu kilichopo kwa binadamu waliomo ndani ya Aquarius, kwa nini wasiruhusiwe kufika kwenye bandari salama kwa wakati. Wakati ni jambo la usalama kwa watu hawa kuletwa sehemu salama,lakini mjadala wa wanaiasa kujadili maisha yao umechukua juma zima hadi sasa."

Naye Naibu mkurugenzi wa kitengo cha dharura cha Jorge Suarez amesema kuwa wahamiaji wengi waliomo ndani ya meli hawana matatizo makubwa kiafya.

Simba Kumuweka Kando Jonas Mkude Michuano ya Kagame

$
0
0
Simba Kumuweka Kando Jonas Mkude Michuano ya Kagame
Kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude atapumzishwa katika michuano ya Kombe la Kagame, mwishoni mwa mwezi huu.

Taarifa kutoka Simba zimeeleza, Mkude atapumzishwa kutokana na kutumika sana.

"Katumika sana, anastahili kupumzika kwa kuwa baada ya hapo Simba itakuwa na michuano mingi sana.

"Kumbuka kuna suaka la kambi pia, hivyo ni lazima apate muda wa kupumzika pia," alisema mtoa taarifa.

Amesema pamoja na Mkude wachezaji wengine kadhaa pia watapumzishwa.

"Sijajua ni kina nani, lakini wako wengine ambao watapumzishwa. Ni suala ambalo nakuhakikishia litakuwepo."

Wakati wa michuano ya SportPesa Super Cup, Simba iliwapumzisha baadhi ya wachezaji wake akiwemo John Bocco aliyekuwa majeruhi, Emmanuel Okwi, Asante Kwasi na Waghana wengine wawili, Nicholas Gyan na James Kotei.

Manji Awatia Moyo Yanga kwa Hili

$
0
0
Manji Awatia Moyo Yanga kwa Hili
Licha ya kwamba amekuwa mkimya sana lakini viongozi wa Yanga waliompelekea Yusuf Manji, kilio cha wanachama amewpa jibu la kutia moyo.

Manji alijiuzulu Uenyekiti Yanga mwaka mmoja uliopita ambapo kwenye mkutano wa hivi karibuni wa wanachama waligomea uamuzi wake na kuomba viongozi wengine wamfikishie ujumbe huo.

Wanachama hao walienda mbali zaidi kwa kusisitiza kwamba wako tayari kubadili mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo na Manji aingie kama muwekezaji.

Mmoja wa viongozi wa Yanga aliiambia Spoti Xtra jana kwamba barua hiyo ilimfikia Manji na akawapokea vizuri na baada ya kuwasikiliza akawaambia amewaelewa atawajibu baada ya mfungo na sherehe za Eid el Fitr zilizomalizika jana Jumamosi.

Habari zinasema kwamba siku yoyote kuanzia kesho, Manji atatoa tamko rasmi la mustakabali wake ndani ya Yanga ingawa viongozi wanaamini kwamba atarudi kutokana na jinsi wanavyomshawishi.

Habari kutoka ndani ya Yanga zinasema kwamba vigogo wa klabu hiyo wamekuwa wakimsihi Manji arudi kwa kutumia watu mbalimbali wenye nyadhifa serikalini na tayari wameanza kuona mwanga kwani amekuwa akiwajibu kwamba watulie kwanza aweke mambo yake sawa.

Yanga kwa sasa imekuwa chini ya kamati maalum iliyoko chini ya Mwenyekiti Abbas Tarimba ambaye ameanza mchakato wa usajili.

CHANZO: SPOTI XTRA

Breaking News: Bajeti ya Upinzani Yazuiwa Bungeni, Wenyewe Wasusiwa Bunge

$
0
0
Breaking News: Bajeti ya Upinzani Yazuiwa Bungeni, Wenyewe Wasusiwa Bunge
Hotuba ya Bajeti mbadala ya Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni imekataliwa bungeni kutokana na kuwasilishwa nje ya utaratibu. Wabunge wa upinzani (isipokuwa wanaomuunga mkono Prof Lipumba ) wameondoka kwenye ukumbi wa Bunge.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0


KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Hakuna Mwanamke Yeyote Anayeweza Kunichukulia Mume Wangu Dogo Janja- Irene Uwoya

$
0
0
 Hakuna Mwanamke Yeyote Anayeweza Kunichukulia Mume Wangu Dogo Janja- Irene Uwoya
STAA mkali wa filamu Bongo, Irene Uwoya amefunguka kuwa yeye ni mwa­namke anayejiamini kuliko watu wanavyo­dhani na wala hana wasiwasi na mwan­amke yeyote kum­chukulia mumewe, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’.

Akizungumza na Over Ze Weekend, Uwoya alisema alipoamua kuingia kwenye ndoa na mwanamuz­iki huyo alijua wazi ‘nyakun­yaku’ wapo, la­kini kikubwa anajiamini.

Akasema hata mumewe huyo aende wapi anajua hawezi kuhangaika na wanawake wen­gine kwa sababu yeye ni mwanamke aliyekamilika.

“Mimi sio mwan­amke wa kufuatana na mume nyuma kwa sababu najiamiani kuliko na ninajua wazi hakuna ambaye anaweza kunin­yakulia mume wan­gu. Najiamini kila idara mimi sina wasiwasi wowote,” alisema Uwoya.

Kichaa Ateketeza Ofisi ya Ridhiwani

$
0
0
Kichaa Ateketeza Ofisi ya Ridhiwani
Ofisi ya Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete jana jioni imeteketea kwa moto na kusababisha uharibifu mkubwa ambao bado thamani yake haijafahamika lakini jengo lote limeteketea.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jonathan Shanna amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa kuna mwanamke aliyedhaniwa kuwa na matatizo ya akili ambaye alikusanya taka na kuzichoma nje ya ofisi, ambapo upepo ulipelekea moto kushika jengo la ofisi hizo.

“Kuna Mwanamke kichaa alikuwa na moto nje ya ofisi, upepo ulipokuja ulisukuma moto ukashika jengo, ambapo kikosi cha zimamoto na uokoaji kwa kushirikiana na wananchi, walifanya kazi ya kuuzima lakini tayari ulikuwa umeteketeza jengo zima na mali chache ziliokolewa ”, amesema Kamanda Shanna.

Aidha Kamanda Shanna amesema kuwa hasara iliyotokana na moto huo bado Mh. Ridhiwani anapiga hesabu na atakapokamilisha atatoa taarifa rasmi. Msikilize Kamanda Shanna hapo chini
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live




Latest Images