Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live

Miujiza ya Maalim Khatibu Kutoka Bagamoyo Pwani

$
0
0
MAALIM KHATIBU anawashukuru wale wote wanaopiga simu za shukrani, na wale ambao bado wanamatatizo musikate tamaa kwa kuchelewa kupokelewa simu zenu,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

MAALIM KHATIBU Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN dawa za asili ya afrika na njiwa,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu MAALIM KHATIBU sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata maelekezo yake,

 ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO   HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, NA KUPONYA MAGONJWA SUGU, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

JE UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 710-332103
WhatsApp +255 766-705404
Instagram: Follow@maalim_khatibu

USHAURI: Ni vyema kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate msaada kwa wakati.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Chazi Baba Amwagana na Mkewe Kisa Hiki Hapa

$
0
0
Chazi Baba Amwagana na Mkewe Kisa Hiki Hapa
UBUYU siku zote hauhitaji kijiwe maalumu cha kuumung’unya popote unaumung’unya tu iwe barabarani, kiwanjani hata kwenye gari twende tu! Mwanamuziki ambaye alikuwa memba wa bendi maarufu ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’, amedaiwa kumwagana na mke wake wa ndoa Rehema Sospeter kutokana na ugomvi wa mara kwa mara.

Msambaza ubuyu huu mtamu kutoka Zenji, alisema kuwa mara nyingi kumekuwa kukitokea ugomvi kati ya mwanamuziki huyo na mkewe kiasi ambacho kwa hivi sasa imebidi kila mtu kuangalia ustaarabu wake na kwamba kuna tetesi za ukweli kuwa mwanamuziki huyo karudisha mapenzi kwa mzazi mwenzake Husna Idd ‘Sajenti’.

“Unajua Chaz na mkewe huyo mara nyingi wamekuwa wakigombana mara kwa mara kisha wanawekwa sawa wanarudiana tena. Lakini safari hii inaonekana wazi kuwa ndoa yao haipo tena, kwani mwanamke huyo kabeba kila kitu ndani kaondoka na ni muda mrefu sasa hawaishi pamoja na mwanamuziki huyo amerudisha mapenzi kwa Sajenti,” kilisema chanzo hicho.

TUMCHEKI KWANZA SAJENTI

Ijumaa Wikienda: Mambo vipi Sajenti? Nasikia sasa hivi wewe na mzazi mwenzio mmerudiana?

Sajenti: Mzazi mwenzangu nani kwanza unamzungumzia?

Ijumaa Wikienda: Kwani humjui baba wa mtoto wako wa kwanza si Chaz Baba?

Sajenti: Sasa hapo unataka mimi nijibuje au ulienda nyumbani kwake ukatukuta tupo wote?

Ijumaa Wikienda: Ndio maana nimekupigia nikijua wazi utanipa ukweli wa jambo hilo?

Sajenti: Sina ukweli (akakata simu).


CHAZ BABA AFUNGUKA

Baada ya kuzungumza na Sajenti gazeti hili lilimtafuta Chaz Baba, ambaye alisema kuwa kwa sasa yupo mkoani Tabora kuna bendi mpya iitwayo Smart anapiga mzigo na alipoulizwa madai hayo ya kumwagana na mkewe na kurudisha mapenzi kwa Sajenti alifunguka kama ifuatavyo:

Ijumaa Wikienda: Chaz habari za siku nyingi? Vipi mkeo hajambo?

Chaz Baba: Atakuwa hajambo.

Ijumaa Wikienda: Kwa nini atakuwa hajambo kwani hamuishi naye nyumba moja?

Chaz Baba: Kwa sasa tuna matatizo kidogo hivyo karudi kwao.

Ijumaa Wikienda: Kwa hiyo sasa hivi ndio unaishi na Sajenti?

Chaz Baba: Hapana naishije naye sasa wala siwezi kurudiana naye, yule ni mzazi mwezangu na itabaki kuwa hivyo na si vinginevyo na kama watu walituona mahali itakuwa ni kwa ajili ya mtoto wetu tu.

Ijumaa Wikienda: Vipi sasa kuhusu wewe na mkeo ndio moja kwa moja? Hatorudi kwako tena?

Chaz Baba: Unajua mimi nilioa mke mmoja na siwezi kuoa tena hivyo nina imani hayo tutayamaliza kifamilia na atarudi nyumbani na tutaendelea na maisha kama kawaida.

Ijumaa Wikienda: Mbona kuna tetesi kabeba kila kitu chake?

Chaz Baba: Kwani kubeba kila kitu kutamfanya asirudi kwake? Si atarudi tena na hivyo vitu.
Chanzo: Global Publishers

Spiderman Aliyemuokoa Mtoto Ufaransa Arejea Kwao Mali

$
0
0
Spiderman Aliyemuokoa Mtoto Ufaransa Arejea Kwao Mali
Mhamiaji raia wa Mali Mamoudou Gassama, ambaye alipata umaarufu kote duniani mwezi uliopita wakati alikwea jengo mjini Paris, Ufaransa kumukoa mtoto, amesema amefurahishwa sana kurudi kwao Mali kutembea.

"Nina furaha sana. Nina furaha sana sana kwa sababu kila mtu alikuja uwanja wa ndege na kisha nikamuona baba yangu na watu wote wa familia yangu. Sikuwa nimemuona baba yangu kwa miaka tisa," aliiambia BBC.

Video ya Mamoudou Gassam akimuokoa mtoto ilisambaa sana kwenye mitandao ya kijamii.

Alivuka kutoka kwenye ubaraza mmoja hadi mwingine kwa muda wa chini ya dakika moja akamvuta mtoto huyo aliyekuwa amekwama na kumsalimisha.

Bw Gassama, 22, alivuka bahari ya Mediterranean kwa mashua ya wahamiaji mwezi Septemba mwaka 2014.

Alijiunga na ndugu yake nchini Ufaransa na kufanya kazi sehemu ya ujenzi kama kibarua.

Tarehe 26 mwezi Mei, alimuona mtoto mdogo akining'inia kutoka ghorofa ya nne kwenye jengo moja mjini Paris.

Alichukua hatua na kukwea jengo hilo na kumuokoa mtoto huyo kwa miaka mine. Alinaswa kwenye video na watu waliokuwa chini na kupewa jina "Spiderman".

'Spiderman' aliyemuokoa mtoto apewa uraia Ufaransa
Muhamiaji wa Mali atangazwa shujaa Ufaransa kwa kumuokoa mtoto ghorofani
"Sikuogopa. mimi ni kama mtu yeyote yule. Nililipata ujasiri. Ulitoka kwa Mungu. Mungu aliniokoa," alisema.

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron binafsi alimshukuru Bw Gassam na kumuahidi kuwa atapa uraia wa Ufaransa.

Wiki ijayo anatarajiwa kuanza mafunzo kwenye idara ya zima moto mjini Paris.

"Nimefanya uchunguzi wa kiafya. Nitasaini mkataba wangu tarehe 28. Kisha nitaanza mafunzo ya miezi 10," Bw Gassama aliiambia BBC.

Bw Gassama anayetoka kijiji karibu na Kayes magharibi mwa Mali, atakaa nchini Mali kwa muda wa siku tatu na atakutana na Rais Ibrahim Boubakar Keita.

Aishi Manula Naye Awekwa Kando Michuano ya Kagame

$
0
0
Aishi Manula Naye Awekwa Kando Michuano ya Kagame
Kipa Aishi Manula hataichezea Simba katika michuano ya Kombe la Kagame.

Simba imeamua kumuweka Manula katika listi ya wachezaji wanaopumzishwa wakati wa michuano hiyo itakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Dar es Salaam.

Manula ndiye kipa aliyedaka mechi nyingi zaidi kwa msimu uliopita kwa kuwa alishiriki michuano mingi akiwa na Simba.

Nafasi ya Manula itachukuliwa na Said Mohammed 'Nduda' ambaye alidaka mechi mbili tu za ligi kuu kutokana na kuandamwa na majeraha.

Pamoja na Manula, Simba imewapumzisha wachezaji wake zaidi akiwemo Haruna Niyonzima ambaye ni majeruhi.

Mwanamke Auawa na Kumezwa na Chatu

$
0
0
Mwanamke Auawa na Kumezwa na Chatu
Mwanamke mmoja nchini Indonesia ameuawa na kumezwa mzima mzima na chatu mwenye urefu wa mita 7.

Licha ya visa kama hivyo kuwa vichache hiki ndicho kisa cha hivi karibuni cha mtu kuliwa na chatu nchini Indonesia kwa takriban mwaka mmoja.

Ni kipi kilimpata mwanamke huyo?
Wa Tiba, 54, alitoweka Alhamisi iliyopita wakati akiwa kwenye shamba lake la mboga katika kisiwa cha Muna mkoa wa Sulawesi. Shughuli kubwa ya kumtafuta ilifanywa na wakaazi wa eneo hilo.

Viatu vyake na upanga vilipatikana siku moja baadaye huku chatu aliyekuwa na tumbo lililofura akipatikana mita 30 kutoka eneo hilo.

Mwanamume aliyetoweka apatikana ndani ya chatu Indonesia
Wenyeji walishuku kuwa nyoka huyo alimuua, kwa hivyo wakamuua na kumtoa shambani.

Tumbo la nyoka huyo lilipasuliwa na mwili wa mwanamke huyo ukapatikana ndani.

Picha za kutisha zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii nchini Indonesia zikionyesha mwili wa mwanamke huyo ukitolewa tumboni mwa chatu huyo mbele ya umati mkubwa.

Chatu wanashambuaje?
Chatu wa sulawesi wanaweza kukua hadi urefu wa miaa 10 na wana nguvu sana, Wanashambulia kwa kuvizia, wakijifungia kwa windo lao na kulivunja kwa kufinya hadi kuua.

Ngoma Bado Hali Tete Azamu Wamuweka Pembeni Michuano ya Kagame

$
0
0
Ngoma Bado Hali Tete Azamu Wamuweka Pembeni Michuano ya  Kagame
Kuelekea michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati (KAGAME), mshambuliaji mpya wa Azam FC Donald Ngoma, imethibitika kuwa hataweza kushiriki michuano hiyo kutokana na kutokuwa vizuri kwa sasa.


Taarifa kutoka Azam zinaeleza kuwa Ngoma atakuwa nje ya uwanja katika mechi za ushindani mpaka mwezi August mwaka huu ndipo atakaporejea dimbani rasmi tayari kwa mapambano.

Mshambuliaji huyo aliyetoka Yanga na kujiunga na matajiri hao, alipelekwa Afrika ya Kusini kuangaliwa vizuri afya yake kutokana n kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu alipokuwa akikitumikia kikosi cha Yanga.

Aidha kwa upande mwingine Azam wamethibitisha kuwa, kuelekea michuano hiyo Tafadhwa Kutinyu, Mudathit Yahaya na wengine wote waliosajiliwa watakuwa tayari kushiriki ili kuhakikisha wanatetea ubingwa wao.

Azam FC ndio mabingwa watetezi wa michuani hiyo ambayo waliutwaa ubingwa huo miaka mitatu iliyopita huku Tanzania ikiwakilishwa na Azam FC pamoja na Simba huku Yanga wakijitoa katika mashindano hayo

Mwanasayansi wa Maabara Ashtakiwa kwa Kuiba Viungo vya Marehemu

$
0
0
Mwanasayansi wa Maabara ambaye ni mstaafu katika Serikali ya Kenya Dokta Moses Njue anashtakiwa katika mahakama ya Meru nchini Kenya kwa kosa la kuiba viungo vya maiti za Binadamu.

Mwendesha mashtaka wa kesi hiyo Claire Murithi amemshutumu Dokta Njue kwa kuiba moyo wa Polisi wa zamani wa nchi hiyo Benedict Karau huku akimshutumu pia kuharibu ushahidi wa kesi hiyo.

Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa Mahakamani March 12, 2015 yalieleza kuwa Dokta Njue ambaye ndiye aliekuwa kiongozi mkuu wa uchunguzi wa maiti katika hospitali ya Consolatha aliiba moyo wa Polisi huyo kabla haujapelekwa katika shule kwa ajili ya Wanafunzi kufundishiwa.

Katika kesi hiyo ambayo imeendelea kusikilizwa , Dokta Njue amekana mashtaka hayo huku mahakama ikimtaka kuweka dhamana ya zaidi ya shilingi Milioni 45 za Kitanzania.

Hata hivyo wakili wa Dokta Njue aliiomba mahakama kupunguza dhamana hiyo kwa kile alichokidai kuwa mteja wake ni mtumishi wa umma ambapo baadae mahakama ilimtaka Dokta Njue kutoa zaidi ya Milioni 11 za Kitanzania kama dhamana.

Segue Knight Akataliwa Kwenda Kumzika Mama Yake

$
0
0
UWEZEKANO wa prodyuza na mfanyabiashara wa masuala ya muziki wa Marekani, Suge Knight, kwenda kwenye maziko ya mama yake ambaye amefariki juzi (Jumapili) hospitalini, unazidi kuwa finyu kwa vile mamlaka ya magereza imesema haiwezi kumruhusu prodyuza huyo kwenda nje kwa vile anakabiliwa na kesi ya mauaji.
Mama yake Suge aliyekuwa anaitwa Maxine Chatman, alifariki kutokana na matatizo ya kiharusi.

Pamoja na habari kwamba huenda mtuhumiwa huyo akakata rufaa dhidi ya uamuzi wowote wa kumgomea asiende kwenye maziko hayo, bado inaaminika kwamba mahakama haitabadili uamuzi huo.

Meya Ahukumiwa Miaka Tisa kwa Kufanya Ngono na Mtoto

$
0
0
Former town mayor Simon Thornton arriving at Guildford Crown Court with his new partner before being jailed for nine years for child abuse 
MEYA wa zamani wa Godalming, Surrey, Uingereza, amehukumiwa kifungo cha miaka tisa jela kwa kufanya ngono na mtoto mdogo.

Thornton aliyekuwa meya kati ya mwaka 2006 na 2009 alikubali makosa 22 yakiwemo ya kufanya mapenzi na msichana alipokuwa na umri wa miaka 13 hadi 15.

Kesi hiyo ilifunguliwa mwaka huu na mwanamke huyo ambaye sasa ni mtu mzima.  Alifanya hivyo kutokana na ushauri wa wazazi wake na hasa baada ya kukutana na Thornton na kumwonyesha picha na filamu kadhaa alizozipiga wakati wakifanya naye ngono alipokuwa bado mdogo.

Kesi hiyo imewafanya polisi kutoa wito kwa waathirika wote wa ngono kuripoti polisi hata kama matukio hayo yalitokea miaka ya nyuma.
Thornton akiwa na ‘mshikaji’ wake kabla ya kuhukumiwa kifungo cha miaka tisa kwa kumdhalilisha mtoto wa kike kingono.

Msongo wa Mawazo Wamtemsa Freeman Mbowe, Azungumzia Hali yake

$
0
0

NA FATUMA MUNA
Afya ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alikuwa amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili imeimarika na ameruhusiwa kutoka hospitali huku akieleza kuwa kilichokuwa kikimsumbua ni msongo wa mawazo na uchovu kupita kiasi.


Mbowe ambaye ni Munge wa Hai na Kiongozi Mkuu wa CHADEMA ameweka hayo wazi wakati akizungumza na baadhi ya wanahabari waliofika katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo Jijini Dar es salaam.

Mbowe amesema afya yake ni nzima hadi sasa, baada ya kumaliza msiba ataendelea kufanya vipimo  maalumu vya kiafya kwa kadiri ambavyo atatakiwa na madaktari wake kama itakuwa ndani au nje ya nchi.

Mbowe pia amewashukuru viongozi wa vyama mbalimbali pamoja na watanzania ambao walimtembelea na hata waliokuwa wakimuombea kwa njia mbalimbali katika kipindi hiki yeye na familia yake ikiwa na wale ambao walizuiwa kumuona kutokana na sheria za kitabibu

EATV

Mwenyekiti wa CHADEMA ashambuliwa

$
0
0


Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwikatsi wilayani Babati mkoani Manyara, Simon Lala (CHADEMA) ameshambuliwa na watu wasiojulikana waliomjeruhi kwa mishale na mapanga kwa kile kilichodaiwa kuwa ni mgogoro wa ardhi.


Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Agustino Senga ameiambia eatv.tv kuwa shambulio hilo limetokea Juni 18, 2018 katika kitongoji cha Waloa wakati mwenyekiti huyo kwa tiketi ya CHADEMA akiwa kazini pamoja na wajumbe wa serikali ya kijiji.

Kamanda Senga amesema kuwa mwenyekiti huyo ameshambuliwa akitekeleza majukumu yake ambapo alikuwa akisimamia kesi ya ndugu wakigombea ardhi na ndipo upande wa walioshindwa hawakuridhishwa na matokeo ya baraza la kata.

“Tukio lilitokea mida ya saa 5:00 asubuhi wakati mwenyekiti akiwa shambani akimuonesha mipaka ndugu wa watuhumiwa hao waliokimbia baada ya kutekeleza shambulio hilo, ambao walishindwa katika kesi ya kugombea ardhi lakini hawakuridhishwa na matokeo na kudai mwenyekiti kafanya upendeleo”, amesema Kamanda.

Kwa upande wake Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema amesema mwenyekiti huyo atahamishiwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa matibabu zaidi baada ya kupewa rufaa katika Hospital ya Mkoa wa Manyara.

EATV

Maskini..Kaka wa Eric Omondi afariki dunia Kwa Madawa ya Kulevya..Asimulia Walivyohangaika Nae

$
0
0
Taarifa zilizotufikia leo June 19,2018 ni kuhusu kifo cha kaka mkubwa wa mchekeshaji maarufu nchini Kenya Eric Omondi ambaye amefariki asubuhi ya kuamkia leo na kifo chake kimesababishwa na matumizi ya dawa za kulevya.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Eric Omondi ameelezea kuhusiana na kifo cha kaka yake Joseph Onyango Omondi ikiwa ni saa 12 baada ya kupatikana mtaa wa Downton River Nairobi na kukubali kumsaidia kurudi katika hali yake ya kawaida na kuachana na dawa za kulevya.



“Hii sio picha ya mwisho ya kaka yangu niliotaka kuipost, lakini ni picha ambayo nataka kila kijana kwenye hii nchi kuiona. Joseph Onyango Omondi amefariki leo asubuhi saa tisa, ikiwa ni saa 12  baada ya kumkuta Downton River Road “

“Alikuwa akitumia dawa za kulevya aina ya Cocaine na vitu vingine na alikuwa akienda Rehab na kutoka kwa Milka 19, Mungu mwenyewe ndio atatoa malipo. Namshukuru kila mmoja ambaye alikuja jana kutusaidia”

Source: Millard Ayo

Tunatibu na Kuponesha Kabisa Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha Bila Kupasua na Vidonda vya Tumbo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME BUSHA BILA BILA KUPASUA NA VIDONDA VYA TUMBO: kwa nini uhendelee kuteseka NA kujiona mpweke pale ukutanapo NA mke au mpenzi wako kwa sababu tu hunaupunguvu wa nguvu za kiume na uume mdogo

MAPRO POWER NO 2 ndio tiba sahii ya kukurudishia heshima ya ndoa yako 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-20 kwa tendo LA kwanza 2 itaufanya uume wako uhonekane mkubwa hasa kwa wale wanaume ambao wamefanyiwa tohara wakiwa wadogo sana au wakiwa watu wazima kwani ipo dawa ya kuimalisha misuli ya uume 3 itakupa uwezo wa kurudia tendo LA ndoa zaidi ya Mara tatu 4 uhuimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa ?

WAI SASA UPATE TIBA YA UKWELI NA UHAKIKA NA NI TOFAUTI NA ULIZOWAI KUTUMIA ata wazee wa miaka 80 wanatumia na kupona kabisa ? Tunatoa dawa za uzazi maumivu ya mgongo na kiuno ,kupunguza kitambi ,matiti makubwa,dawa za kisukari,presha,dawa za mvuto wa mpenzi ambaye akutaki au hakuhudumii ipasavyo kutengeneza shepu kwa kina Dada, fika ofisini kwetu MBAGALA ZAKHEMU BARABARA YA JESHINI HIENDA KIBONDEMAJI utaona ifisi himeandikwa MABULA CLINIC

AU PIGA SIMU NO 0743362017 DR AGU

KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUFIKA OFISINI UDUMA HII UTALETEWA

Mbowe Atolewa Muhimbili Asimulia A-Z Yaliyomkuta

$
0
0
Mbowe Atolewa Muhimbili Asimulia A-Z Yaliyomkuta
Afya ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alikuwa amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili imeimarika na ameruhusiwa kutoka hospitali huku akieleza kuwa kilichokuwa kikimsumbua ni msongo wa mawazo na uchovu kupita kiasi.


Mbowe ambaye ni Munge wa Hai na Kiongozi Mkuu wa CHADEMA ameweka hayo wazi wakati akizungumza na baadhi ya wanahabari waliofika katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo Jijini Dar es salaam.

Mbowe amesema afya yake ni nzima hadi sasa, baada ya kumaliza msiba ataendelea kufanya vipimo  maalumu vya kiafya kwa kadiri ambavyo atatakiwa na madaktari wake kama itakuwa ndani au nje ya nchi.

Mbowe pia amewashukuru viongozi wa vyama mbalimbali pamoja na watanzania ambao walimtembelea na hata waliokuwa wakimuombea kwa njia mbalimbali katika kipindi hiki yeye na familia yake ikiwa na wale ambao walizuiwa kumuona kutokana na sheria za kitabibu.

Mali za Mpinzani wa Rais Kagame Zapigwa Mnada

$
0
0
Mpinzani wa Rais Kagame Mali Zake Zapigwa Mnada
Leo June 19, 2018 kutoka nchini Rwanda taarifa zinasema mali za mpinzani wa rais wa Rwanda, Paul Kagame zimepigwa mnada mara baada ya mamlaka ya ukusanyaji wa kodi nchini humo kuzizuia ikidai kuwa zinadaiwa kodi ya kiasi cha dola milioni 7.

 ambaye yuko kizuizini alizuiwa kuwania urais mwaka uliopita na baadaye kukamatwa kwa madai ya uchochezi na kutaka kufanya mapinduzi ya serikali.

Halmashauri ya ukusanyaji mapato nchini Rwanda imeuza mashine za kuchakata tumbaku kwa takriban dola milioni 2 katika hatua ya kulipia kodi inayodaiwa familia hiyo ambayo inaripotiwa kudaiwa dola milioni 7.

Bushoke Amtetea Q-chief "Hajawahi Kulala Kwangu"

$
0
0
Bushoke Amtetea Q-chief "Hajawahi Kulala Kwangu
Msanii Bushoke ambaye aliwahi kufanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Bongofleva katika kipindi cha nyuma amefunguka na kukana taarifa za yeye kumuhifadhi Q-chief na kudai wapo watu wanaoweza kukosa sehemu ya kulala lakini sio swahiba wake huyo.


Bushoke ameeleza hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kuwepo fununu kuwa Q-chief tokea alipoachana na mpenzi wake hakuwa na sehemu maalum ya kulala hivyo maisha yake yakawa ya kutanga tanga na ndipo swahiba wake huyo alipomchukua na kumpa hifadhi katika nyumba yake.

"Q-chief hajawahi kukaa kwangu yaani hana shida, na ikitokea kaja kwangu basi anakuja kupiga stori tu na sio kwamba ana shida ya kulala. Kuna watu wa kawaida duniani hawawezi kukosa sehemu ya kulala kwa hiyo Chillah hawezi kukosa ni maamuzi yake tu kulala anapopataka maana anaweza hata kwenda kulala Nairobi nchini Kenya kwenye hoteli kubwa", amesema Bushoke

Babu Tale Atoboa Siri ya Daimond Kukonda Zari Atajwa

$
0
0
Babu Tale Atoboa Siri ya Daimond Kukonda Zari Atajwa
Miezi ya hivi karibuni kumekuwa na maneno mengi mitandaoni wengi wakilaumu uongozi wa WCB kuwa wanamfanyisha show nyingi Diamond Platnumz kiasi kwamba mwili wake unaporomoka kila siku huku wengine wakienda mbali zaidi kuwa kukonda kwake ni kutokana na kuvurugiga kwa mahusiano yake na mzazi mwenzie Zari.

Sasa Uongozi wake kupitia kwa meneja Babu Tale ameeleza sababu za Diamond kupungua mwili kwa muda mfupi kuwa ni kukosa muda wa kulala kutokana na jukumu zito la ujio wa Wasafi TV.

Babu Tale amesema kuwa Diamond kila siku anapambana kwa ajili ya kukamilisha malengo yake ya baadae ikiwemo kuiimarisha Wasafi TV.

“Kuna baadhi ya watu wanasema msanii wangu anapungua mimi na nenepa navimba, Kama hamjui Media sio kitu kidogo, wakati tunaanza tulijua ni kazi ndogo, kwa miezi sita non stop msanii wangu analala masaa mawili tu, kwa sababu ya kuandaa hiki mnachokiona machoni mwenu.. Wiki mbili za mwanzo tukawa tunakasirika kwa nini anafanya kazi ngumu, ilipofika mwezi tukawa tunaona  ana-loose weight (kupungua uzito) na bado kazi zinaendelea tukawa tunashangaa ana nia gani huyu?,“amesema Babu Tale kwenye mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika leo Juni 19, 2018 katika ukumbi wa Slipway.

Awali dada wa Diamond Platnumz, Esma alinukuriwa kwenye mitandao ya kijamii akidai kuwa Diamond anapungua kwa stress za kuachana na mzazi mwenzie, Zari.

Diamond Platnumz ambaye ndiye Mkurugenzi wa WASAFI TV leo ameongeza rasmi Channel yake kwenye king’amuzi cha StarTimes.


Mmiliki wa Mgahawa wa Bunge Akamatwa na Samaki Haramu...... Apigwa Faini Baada ya Kukiri Kosa

$
0
0
Mmiliki wa Mgahawa wa Bunge Akamatwa na Samaki Haramu...... Apigwa Faini Baada ya Kukiri Kosa
WIZARA ya Mifugo na Uvuvi, imekamata samaki aina ya sato (wasiofikia kiwango cha kuvuliwa) kiasi cha kilo mbili kati ya 100 waliokuwa wakiuzwa kinyume cha sheria katika mgahawa wa ofisi ya Bunge jijini Dodoma leo JUmanne, Juni 19, 2018.



Kufuatia tukio hilo, mmiliki wa mgahawa huo, Daniel Lamba, amepigwa faini ya Sh. 300,000 baada ya kukiri kosa la kukutwa na samaki hao wachanga.

Kaimu Meneja wa Uhifadhi wa Bahari na Maeneo Tengefu wa wizara hiyo, John Komakoma amesema samaki hao ni ambao hawapaswi kuvuliwa kwa mujibu wa kisheria.

“Hawa samaki tumewakamata kwa kuvuliwa kinyume cha sheria, mmiliki wa mgahawa huu amekiri kosa mwenyewe hivyo tumemtoza TSh. 300,000 ambayo atakwenda kulipia benki,” alisema Komakoma.



John Mpepele ambaye ni Msemaji wa wizara hiyo amesema aliyewapa taarifa za kuwepo samaki hao ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina aliyekuja kwenye mgahawa huo jana asubuhi. “Waziri Mpina alipowaona samaki hawa, aliwatilia shaka na kutuagiza kuja kufuatilia,” alisema.



Aidha, mmiliki wa mgahawa huo, Bwana Daniel Labiaramba akikiri kosa kosa amesema; “Nakiri kosa ni weli, lakini katika kilo 100 nilizouziwa, ni ngumu sana kujua iwapo umewekewa samaki hawa, sikufanya hivi makusudi, kwani sikujua,” alisema.

TFF Yasaini Makubalinao ya Ushirikiano na La Liga

$
0
0
TFF  Yasaini Makubalinao ya Ushirikiano na La Liga
Katika jitihada za uongozi wa TFF ulioingia madarakani Agosti, 2017 kuhakikisha unaboresha soka nchini, umepiga hatua nyingine baada ya Rais Karia kutua nchini Hispania na kusaini makubalinao ya ushirikiano na Ligi Kuu ya huko maarufu La Liga.


Kwa mujibu wa taarifa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), pande hizo mbili yaani TFF na La Liga zimesaini makubaliano ya miaka mitatu kushirikiana kwa pamoja kuendeleza soka la Tanzania.

Pande hizo mbili zimesaini makubaliano hayo, jana Juni 18,2018 kwenye makao makuu ya La Liga yaliyopo jijini Madrid nchini Hispania. Hata hivyo haijawekwa wazi pande hizo zitashirikiana kwenye maeneo gani zaidi.



Rais Wallace Karia wa TFF amekutana na Rais Javier Tebas wa La Liga baada ya kutoka nchini Urusi ambapo alihudhuria ufunguzi wa fainali za Kombe la Dunia zilizoanza Alhamisi iliyopita Juni 14.
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live




Latest Images