Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live

Mwanamuziki XXXTentacion Afariki kwa Kupigwa Risasi

$
0
0
Mwanamuziki wa nyimbo za rap Marekani XXXTentacion, ambaye alipata umaarufu kwa haraka kupitia albamu zake mbili ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa na miaka 20.

Alikuwa anaondoka kwenye duka la kuuza pikipiki kusini mwa Florida Jumatatu pale mtu mwenye bunduki alipomfyatulia risasi.

Polisi katika tarafa ya Broward wanasema XXXTentacion, ambaye jina lake Jahseh Onfroy, alikimbizwa hospitalini lakini akathibitishwa kufariki.

Alikuwa mara nyingi akielezwa kama mmoja wa wanamuziki wa rap wenye kuzua utata zaidi.

Alikuwa pia amekabiliwa na mashtaka ya kumshambulia mpenzi wake.

Rapa huyo, ambaye alipata umaarufu kwa kupakia nyimbo zake katika mtandao wa SoundCloud, alikuwa anatazamwa na wengi kama kielelezo cha mtu kufanikiwa kupitia kipaji chake.

Beyonce na Jay-Z watoa albamu pamoja, wamtaja Trump
Wapenzi wa muziki wake na wanamuziki nyota wa hip-hop wamekuwa wakituma salamu za rambirambi kuomboleza kifo chake.

Liwali wa tarafa hiyo amesema Onfroy alikuwa anaondoka kwenye duka hilo muda mfupi kabla ya saa kumi alasiri pale washukiwa wawili waliokuwa na silaha walipofika kwake.

Albamu ya karibuni ya mwanamuziki huyo ilianza ikiwa kwenye orodha ya nyimbo 200 bora Marekani
Mmoja wao anadaiwa kumpiga risasi kabla ya wote wawili kukimbia eneo la tukio Deerfield Beach, takriban maili 43 (69km) kaskazini mwa Miami wakitumia gari aina ya SUV la rangi nyeusi.

Wachunguzi wanasema huenda kilikuwa kisa cha wizi wa mabavu.

Video iliyopakiwa kwenye mitandao ya kijamii ilimuonesha mwanamuziki huyo akiwa amelala ndani ya gari lake baada ya kupigwa risasi.

Wabunge Watakiwa Kuwasilisha Taarifa za Mali Wanazomiliki Ili Zikaguliwe

$
0
0
Wabunge Watakiwa Kuwasilisha Taarifa za Mali Wanazomiliki Ili Zikaguliwe
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imewataka wabunge wote kuwasilisha taarifa za mali wanazomiliki kwa Katibu wa Bunge kabla ya Juni 25, 2018.


Akitoa taarifa ya hiyo ya Sekretarieti leo Naibu Spika Dk Tulia Ackson amesema Sekretarieti ilitoa muda kwa wabunge kuwasilisha taarifa za umiliki wa mali zao na kwamba wabunge wengi hawakutekeleza agizo hilo.

“Sekretarieti iliwataka kuwasilisha nyaraka kabla ya Juni 25, 2018 zinazohusu fedha zilizoko benki au taasisi zingine za fedha, hisa, majengo, nyumba, madeni, mashine, viwanda, mitambo, magari na aina nyingine za usafiri, madeni na mikopo kwa mali zote zilizopo nje,” amesema.

Dk. Tulia amewafahamisha wabunge kwamba mwakilishi wa Kamishna atafika ofisini kwa Katibu wa Bunge kuchukua taarifa za wabunge.

Pamoja na taarifa hiyo Dk Tulia amesema kwa kuwa kuna kundi ambalo halikuwa na taarifa kuhusu kuwasilisha vielelezo vya mali zao wataangalia jinsi ya kuwasiliana nao ili kuona vitawasilishwa lini mara baada ya kurudi kwenye majimbo yao.

Naye Mbunge wa Ulanga Mashariki, Goodluck Mlinga (CCM) ameitaka serikali kuhakikisha uhakiki wa mali za wabunge unaenda sanjari na uhakiki wa kiwango cha elimu na taaluma zao.

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Wema Sepetu Aanza Kujitetea Mahakamani Kesi Yake ya Dawa za Kulevya

$
0
0
Wema Sepetu Aanza Kujitetea Mahakamani Kesi Yake ya Dawa za Kulevya
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeaza kusikiliza utetezi wa mshtakiwa ambaye ni muigizaji, Wema Sepetu na wafanyakazi wake wawili, Angelina Msigwa na Matrida Abass,  baada ya mahakama hiyo kuwaona wana kesi ya kujibu katika mashtaka yanayowakabili ya kutumia dawa za kulevya.



Katika kesi ya msingi, Wema anatuhumiwa kukutwa na msokoto mmoja wa bangi na vipande viwili vidogo vya bangi vyenye uzito wa gramu 1.08. ambapo wote kwa pamoja wanashtakiwa kwa kosa moja la kukutwa na kiasi hicho cha dawa za kulevya.



Watuhumiwa hao wameanza kujitetea mbele ya Hakimu mkazi mkuu, Thomas Simba na washtakiwa hao wanatetewa na wakili Alberto Msando ambaye alikuwa akiwaongoza katika kuwauliza maswali juu ya nini wanafahamu kuhusiana na tukio hilo kuanzia Februari 4, 2017 hadi walipofikishwa polisi.



Kwa nyakati tofauti watuhumiwa hao wameeleza kila kitu wanachokifahamu juu ya tukio hilo ambapo hakimu Simba alikuwa akiandika kile walichokuwa wakieleza.



Kwa upande wa mashtaka, umeongozwa na wakili wa Serikali, Constantine Kakula, ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi Julai 16 mwaka huu ambapo hakimu atatoa uamuzi.



Inadaiwa kuwa Wema na wenzake walitenda kosa hilo Februari 4 mwaka huu, nyumbani kwao Kunduchi Ununio , Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam.

Kauli ya Ridhiwani Baada ya Kutembelea Ofisi Yake Iliyoteketea kwa Moto

$
0
0
Kauli ya Ridhiwani Baada ya Kutembelea Ofisi Yake Iliyoteketea kwa Moto
KUFUATIA Jengo la Ofisi yake kuteketea kwa moto juzi Jumapili jioni, Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, leo Jumanne, Juni 19, 2018 amefika katika eneo hilo na kujionea hali halisi ilivyokuwa baadaya ajali hiyo mbaya kutokea.


Ridhiwani ameeleza masikitiko yake kutokana na kuunguliwa ofisi zake hizo huku akisema jambo hilo ni mipango ya Mungu hivyo ni lazima kukubariana na hali halisi.



Mbunge huyo amesema; “Nimefika kwenye eneo la Ofisi ya Mbunge iliyoungua. Nimeona jengo lilivyoharibika. Mungu ameumba mitihani na tujifunze kuikabiri.#ChalinzeNiKaziTu.”




Hata hivyo, Jeshi la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Marian Joakim (52) mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kuhusika kuchoma ofisi hizo ambapo moto huo uliteketeza vitu vingi na vichache ndivyo vilivyookolewa.
Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Jonathan Shana amesema tukio hilo ni la Juni 17 saa 12 jioni eneo la Bwiringu Chalinze wilaya ya Bagamoyo.

“Mtuhumiwa anadaiwa alikuwa akichoma majani jirani na ofisi hiyo ya mbunge na ukashika moto baada ya kumzidi,mtuhumiwa anashikiliwa kwa mahojiano zaidi. Thamani ya mali zilizoungua haijafahamika ambapo jengo hilo limeteketea kabisa kwa moto huo,” amesema Shana.

Diamond Platinumz Aahidi Kubadilisha Maisha ya Wasanii

$
0
0
Diamond Platinumz Aahidi Kubadilisha Maisha ya Wasanii
Msanii wa musiki wa bongo fleva nchini Naseeb Abdul maarufu  Diamond Platinumz amewahakikishia wasanii wakaopata fursa ya kutumbuiza kwenye Tamasha la Wasafi (Wasafi Festival), litakalofanyika kwa mara ya kwanza mwaka huu wanapata malipo mazuri ili kubadilisha maisha ya wasanii.

Diamond amesema hayo leo Juni 19 jijini Dar es salaam alipozungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa chaneli ya Wasafi katika king’amuzi cha StarTimes, Diamond ambaye ni kiongozi wa WCB amesema wanajipanga kuona tamasha hilo linabadilisha maisha ya wasanii nchini.

Amesema tamasha hilo halina lengo la kuua wala kushindana na lingine lolote zaidi ya kuongeza nafasi kwa wasanii kupata nafasi ya kufanya kazi.

“Tamasha hili litakuwa likifanyika kila mwaka ila nitahakikisha kila msimu unapokwisha wasanii wanakwenda mapumziko nje ya nchi au wanaanzisha miradi kutokana na malipo mazuri nitakayowapa,” amesema Diamond.

Aidha ili kufanikisha tamasha hilo, wanazungumza na wafadhili kuhakikisha wasanii wanapata fedha za kutosha zitakazobadilisha maisha.

“Tunaziomba kampuni zituunge mkono vijana kwa kufadhili tamasha hili ili iwe chachu kwa vijana wetu kupata malipo au kipato kitakachokimu maisha yao” amesema.



Kwa upande wake meneja wa WCB, Tale maarufu kama Babu Tale amesema wamedhamiria kukuza sanaa na kuweka heshima kwa wasanii maana ilizoweleke kuona wasanii wanafanya matamasha maisha yao yanabaki vilevile na wachache ndio wananufaika.

Nahreel Sasa Kufanya Kazi na Keri Hilson Pamoja na Akon

$
0
0
Nahreel Sasa Kufanya Kazi na Keri Hilson Pamoja na Akon
Ukitaja waandaaji wa muziki waliofanya ngoma kubwa nchini Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo huwezi kuuacha kumtaja Nahreel kutoka studio za The Industry.

Sasa ukweli ni kwamba licha ya kufanya ngoma nyingi za wasanii wakubwa barani Afrika akiwemo Mr. Eazi na Patoranking, tayari mkali huyo wa midundo ameshafanya kazi na Akon na Kery Hilson.
Akithibitisha taarifa hizo mzazi mwenzie wa kundi la Navy Kenzo, Aika amesema kuwa tayari Nahreel ameshamaliza kufanya kazi hizo na kinachosubiriwa ni muda tu.
“Kuna meneja wetu mmoja nchini Marekani ambaye amejaribu kumfanya Nahreel afanye kazi na Akon.. na Kery Hilson soo! Nahreel soon anafanya nao kazi,“amesema
Kama ulikuwa hujui basi nikujuze, kuwa Nahreel ana mtoto mmoja anaeitwa Gold ambae amezaa na mpenzi wake wa muda mrefu na mwanamuziki mwenzake ambae wameunda kundi linaloitwa NAVY KENZO

Mbwana Samatta Ampoteza Rafiki yake KRC Genk

$
0
0

Mbwana Samatta amempongeza mshkaji wake Omar Colley raia wa Gambia kwa kujiunga na club ya Sampdoria inayoshiriki ligi kuu nchini Italia.

Colley ameitumikia KRC Genk kwa miaka miwili huku akiwa rafiki wa karibu wa Samatta.

Baada ya Colley kutangazwa rasmi kajiunga na Sampdoria, Samatta kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika: "Hongera na kila la heri rafiki yangu Colley."

Senegal wameinyanyua Africa Waichapa Poland Kipigo Takatifu

$
0
0

Senegal wameinyanyua Africa baada ya mataifa mengine kushindwa kupata matokeo kwenye mechi zao zilizopita.

Leo Senegal wameitandika Poland Mabao mawili kwa bao moja

Matokeo mengi ya timu za Afrika zilizofungwa

Egypt 0-1 Uruguay
Morocco 0-1 Iran
Croatia 2-0 Nigeria
Tunisia 1-2 England
Poland 1-2 Senegal

Ngoma mpya ya Sugu yakutana na rungu la Basata

$
0
0

Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa #219 ulioimbwa na Mbunge Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai kwamba una maneno ya uchochezi na kuhatarisha amani na utengano miongono kwa jamii. 

Taarifa kutoka BASATA inasema kwamba wamekuwa wakipokea simu za malalamikp kadhaa kutoka kwa wadau ambao wamechukizwa na wimbo huo ambao si tu kutokana na umaneno ya kichochezi bali pia kutofuata taratibu za utoaji wa wimbo kwa umma hali inayopelekea kuhoji weledi na hadhi ya msanii. 

Katibu Mtendaji wa BASATA, Ngereza amesema kuwawasanii wengi wanafanya sanaa kuburudisha na kuelimisha lakini hawapo tayari kuvumilia wasanii wachache ambao wanataka kuigeuza sekta ya sanaa kama kichaka cha kusambaza sumu kwa lengo la kuigawa jamii na kuharibu amani na utulivu. 

Mbali na kuufungia wimbo huo, BASATA imemuonya Sugu kuacha mara moja kujihusisha kwa namna yoyote ya kuutangaza au kuusambaza wimbo huo.

Mmiliki mgahawa wa Bunge Apigwa Faini ya Laki 3 Baada ya Kunaswa na Samaki Haramu

$
0
0

Wizara  ya Mifugo na Uvuvi, imekamata samaki aina ya sato (wasiofikia kiwango cha kuvuliwa) kiasi cha kilo mbili kati ya 100 waliokuwa wakiuzwa kinyume cha sheria katika mgahawa wa ofisi ya Bunge jijini Dodoma leo JUmanne, Juni 19, 2018.


Kufuatia tukio hilo, mmiliki wa mgahawa huo, Daniel Lamba, amepigwa faini ya Sh. 300,000 baada ya kukiri kosa la kukutwa na samaki hao wachanga.


Kaimu Meneja wa Uhifadhi wa Bahari na Maeneo Tengefu wa wizara hiyo, John Komakoma amesema samaki hao ni ambao hawapaswi kuvuliwa kwa mujibu wa kisheria.


“Hawa samaki tumewakamata kwa kuvuliwa kinyume cha sheria, mmiliki wa mgahawa huu amekiri kosa mwenyewe hivyo tumemtoza TSh. 300,000 ambayo atakwenda kulipia benki,” alisema Komakoma.


John Mpepele ambaye ni Msemaji wa wizara hiyo amesema aliyewapa taarifa za kuwepo samaki hao ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina aliyekuja kwenye mgahawa huo jana asubuhi. “Waziri Mpina alipowaona samaki hawa, aliwatilia shaka na kutuagiza kuja kufuatilia,” alisema.


Aidha, mmiliki wa mgahawa huo, Bwana Daniel Labiaramba akikiri kosa kosa amesema; “Nakiri kosa ni weli, lakini katika kilo 100 nilizouziwa, ni ngumu sana kujua iwapo umewekewa samaki hawa, sikufanya hivi makusudi, kwani sikujua,” alisema.

Misri Yatandikwa Tena Bao 3-1 na Urusi, Kwa Matokeo Haya, Misri ndo Basi Tena!!

$
0
0

Misri Yatandikwa Tena Bao 3-1 na Urusi....Kwa Matokeo Haya, Misri ndo Basi Tena!!

Bigie · 39 minutes ago



Timu ya taifa ya Misri huenda ikawa timu ya kwanza kuaga Fainali za Kombe la Dunia, baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo pamoja na kuwa kimahesabu inaweza kuwa bado, lakini kiuhalisia ni ngumu.


Misri ambayo ilifungwa bao 1-0 na Uruguay kwenye mechi yake ya kwanza, leo tena imekubali kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa wenyeji Urusi hivyo kuwa na hali mbaya katika Kundi A.


Msimamo wa Kundi A lenye timu za Urusi, Saudi Arabia, Misri na Uruguay unaongozwa na wenyeji Urusi wenye alama 6 kwenye mechi mbili wakifuatiwa na Uruguay yenye alama 3 kwenye mechi 1.


Saudi Arabia zinavutana na Misri mkiani ambapo Saudi Arabia imepoteza mechi moja dhidi ya Urusi ilipofungwa mabao 5-0 kwenye mechi ya ufunguzi.


Misri ili isonge mbele inahitaji kushinda mechi yake ya mwisho dhidi ya Saudi Arabia kwa kuanzia mabao angalau 5 kwenda juu huku ikiomba Uruguay ipoteze dhidi ya Saudi Arabia kwa idadi ndogo ya mabao. Kiujumla Misri imeaga michuano.

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya June 20

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya June 20

Tamko la Brazil baada ya Neymar kutofanya mazoezi na Wenzake

$
0
0

Shirikisho la soka nchini Brazil CBF limeweka wazi kuwa nyota wa timu Neymar Jr hajafanya mazoezi ya Jumatatu na wenzake kutokana na kuwa na programu maalum na daktari wa timu hiyo.

Hatua hiyo imekuja baada ya nyota huyo pamoja na wenzake wawili Paulinho na Thiago Silva, kukosa mazoezi ya Jumatatu na badala yake kukaa na watalaam wa afya kwaajili ya uchunguzi iwapo wamepata amajeraha.

CFB imesema kwa mujibu wa daktari wa timu Rodrigo Lasmar, Neymar na wenzake hawana shida yoyote na ni kawaida kwa wachezaji kuangaliwa hali yao na watalaam wa maabara ili kuepusha kuwaweka kwenye hatari iwapo wana maumivu.

Neymar alifanyiwa faulo mara 10, katika mchezo dhidi ya Switzerland uliopigwa Jumapili na kumalizika kwa sare ya 1-1. Ikumbukwe kuwa Neymar Jr aliumia mguu wa kulia kwenye klabu yake ya PSG mwezi Februari hali iliyopelekea kukosa raundi ya pili.

Brazil itarejea uwanjani tena leo  Jumatano kucheza na Serbia kwenye mechi yake ya pili katika kundi E. Mpaka sasa Serbia wanaongoza kundi hilo wakiwa na alama 3 baada ya kuanza kwa ushindi dhidi ya Costa Rica.

Wema Sepetu Sasa Kupumua Tarehe 16 July Kujulikana Mbifu na Mbichi

$
0
0


Mahakama ya Hakimu Mkazi  Kisutu  inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya kutumia dawa za kulevya inayomkabili Msanii Wema Sepetu na wafanyakazi wake wawili July 16,2018.

Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya mawakili wa upande wa utetezi kufunga ushahidi wao wa mashahidi watatu akiwemo Wema.

Mbali ya Wema, katika kesi hiyo washtakiwa wengine ni Angelina Msigwa na Matrida Abas.

Hakimu Simba amesema mahakama hiyo inatarajia kutoa hukumu hiyo July 16,2018 baada ya kufungwa kwa ushahidi wa utetezi uliokuwa na mashahidi 3 akiwemo Wema.

Awali kabla ya kupangwa kwa tarehe ya hukumu Wema na wafanyakazi wake walijitetea, ambapo Wema amedai kuwa ni kweli nyumbani kwake kulikutwa msokoto unaodhaniwa kuwa ni bangi na vipisi.

Katika hoja zake, Wema amedai kuwa hajui vitu hivyo ni vya nani kwa sababu yeye ni msanii wa Filamu na nyumbani kwake wanaingia watu tofauti tofauti pia huwa anafanya Party na kualika watu katika nyama choma na chakula cha mchana.

Kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kukutwa na kiwango kidogo cha dawa za kulevya na kutumia dawa za kulevya.

Inadaiwa kuwa Februari4,2017 katika Makazi ya Wema huko Kunduchi Ununio washtakiwa hao walikutwa na msokoto mmoja na vipisi vya bangi vyenye uzito wa gramu 1.08.

Wabunge Waibua UFISADI Mradi wa Stempu za Kielekroniki

$
0
0


Bunge limeitaka serikali kujiridhisha kuhusu gharama za mfumo wa stempu za kodi za kielektroniki huenda ukamnufaisha zaidi mwekezaji wa kigeni, huku ukiongeza gharama kwa watumiaji wa vinywaji nchini.

Limesema limebaini udhaifu katika makubaliano ya utekelezaji wa mradi huo kwa kuwa linaona gharama zitabebwa na watumiaji wa bidhaa (soda, juisi, maji na bia).

Udhaifu katika makubaliano hayo uliibuliwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Hawa Ghasia, alipowasilisha bungeni jijini Dodoma jana taarifa ya kamati yake kuhusu mapendekezo ya bajeti ya serikali kwa mwaka ujao wa fedha na Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2017.

Vilevile, baadhi ya wabunge waliochangia bungeni jana kuhusu mapendekezo hayo ya serikali, walishauri kupitiwa upya kwa gharama za utekelezaji wa mradi huo, wakidai zimekuwa mara 10 ya nchi nyingine zinazoutumia.

Katika taarifa yake, Ghasia alisema katika mwaka ujao wa fedha, serikali imedhamiria kuanzisha mfumo wa stempu za kodi za kielektroniki ili kudhibiti udanganyifu wa wazalishaji wa bidhaa zinazotozwa ushuru wa bidhaa.

Alisema kampuni ya SCIPA kutoka Uswisi ndiyo iliyoshinda zabuni hiyo na ina mkataba wa miaka mitano na serikali kwa mfumo wa 'Self Financing'.

Alisema mfumo huo unamtaka mwekezaji kurudisha gharama zake za uwekezaji kwa kutoza stempu ya kielektroniki kwa kila bidhaa itakayozalishwa na kwamba kiasi cha fedha kinachotarajiwa kuwekezwa na SCIPA ni Dola za Marekeni 21,533,827 (Sh. bilioni 48.473).

"Kamati haina pingamizi na uanzishwaji wa mfumo huu, jambo la msingi ambalo linahitaji lifanyike kwa umakini ni kujiridhisha na gharama za mfumo huo, ambazo zitabebwa na watumiaji wa bidhaa pamoja na mapato atakayoyapata mwekezaji kutokana na stempu," Ghasia alisema.

"Kamati ina maoni kuwa hatua ya serikali kutoongeza ushuru wa bidhaa zisizo za petroli itakuwa haina maana kama gharama ya stempu itabaki kama ilivyopangwa na serikali. Hatua hii itasababisha kuongezeka kwa bei kwenye vinywaji kama maji, soda, bia na juisi ambazo sasa hazitozwi stempu.

"Tathmini ya kamati inaonyesha kuwa pale serikali itakapokuwa inaongeza ushuru wa bidhaa kwa asilimia ya mfumuko wa bei kama Sheria ya Ushuru wa Bidhaa inavyotaka, kiwango cha stempu kitakuwa kinaongezwa juu yake kulingana na mkataba kwa miaka

mitano," alisema.

Ghasia ambaye pia ni Mbunge wa Mtwara Vijijini (CCM), alisema kamati yake imefanya uchambuzi ili kubaini kiwango cha fedha ambacho kampuni ya SCIPA itakipata katika mkataba huo kwa mwaka mmoja.

Alisema uchambuzi wao ulihusisha takwimu za bidhaa tatu za maji, soda na sigara bila spiriti kwa kuangalia viwango vya uzalishaji wa bidhaa hizo kwa mwaka.

Alisema uzalishaji huo unaonyesha kiwango cha maji kinachozalishwa nchini kwa mwaka ni lita za ujazo 268,702,209, soda lita 732,315,008, bia lita 409,274,746 na sigara ni pakti 429,310,400.

"Mheshimiwa Spika, ukikadiria kwamba stempu itatozwa kwa idadi (unit) na si kwa ujazo (lita), hivyo chupa moja ya bia mls 500 itatozwa Sh. 22.73; soda 500 mls itatozwa Sh. 13.5, spiriti mils 1,000 itatozwa Sh. 29.57," alisema.

"Hivyo, ukijumlisha na ushuru wa bidhaa kwa kila bidhaa iliyoainishwa hapo juu, inaonekana kuwa gharama itakwenda kwa mlaji wa mwisho.

"Kwa mantiki hii, ukokotoaji unaonyesha kwa mwaka mmoja SCIPA atakusanya jumla ya Sh. bilioni 66.69 bila ya kuhusisha takwimu za bidhaa ya spiriti. Kiasi hiki ni kikubwa kuliko alichowekeza katika kipindi cha mwaka mmoja tu wa mkataba.

"Kamati imekuwa ikifuatilia hatua mbalimbali za serikali zenye lengo la kukusanya mapato yake yenyewe na sio kutumia mawakala kukusanya mapato.

"Mfano; kuhamisha fedha zake kutoka Benki Binafsi kupeleka Benki Kuu, mfumo wa manunuzi ya Luku kutoka Kampuni ya MaxMalipo na Mitandao ya simu kwenda GePGS (Government Electronic Payment Gateway System), ukusanyaji wa mapato katika mabasi ya mwendo kasi na matumizi ya mashine za EFD.

"Kamati inaona kuwa serikali kuamua kumpa SCIPA mkataba wa miaka mitano wa kuhakiki uzalishaji kupitia stempu za kielektroniki ilhali uhakiki huu ungeweza kufanywa na serikali yenyewe.

"Hata hivyo, kamati imeona kuwa kiwango cha mapato kinachotarajiwa kukusanywa katika kipindi cha mwaka mmoja (Sh. bilioni 66.69) kwa bidhaa nne zilizoainishwa hapo juu ni kikubwa kuliko kiwango cha uwekezaji cha Sh. bilioni 48.473 ambacho kimewekezwa na Kampuni ya SCIPA."

Ghasia alisema baada ya kamati kufanya uchambuzi huo, inaishauri serikali iwekeze yenyewe mfumo huo wenye mtaji wa kiasi cha Sh. bilioni 48.473, ili kiasi cha fedha kitakachopatikana kiwe ni sehemu ya mapato ya serikali badala ya mapato yatokanayo na stempu kuchukuliwa na kampuni binafsi kama ilivyofanya kwenye Mfumo wa TANCIS.

Vilevile, alisema wanaishauri serikali ianze kutumia mfumo huo kwenye vinywaji vikali ambavyo mara kwa mara mbele ya kamati hiyo serikali imekuwa ikithibitisha kuna udanganyifu mkubwa.

"Ni bora serikali kuongeza ushuru wa bidhaa kwa asilimia tano ya mfumuko wa bei kama ilivyokuwa ikifanya hapo awali kuliko inavyopendekeza sasa kutumia mfumo wa stempu kwa bidhaa hizo kwa kuwa gharama za stempu ni kubwa kuliko ushuru wa bidhaa wa asilimia tano," Ghasia alisema na kufafanua zaidi:

"Mathalani ukichukua bidhaa ya soda (Mils 250) inatozwa ushuru wa bidhaa kiasi cha Sh. 15 na wa stempu utatozwa kiasi cha Sh. 13.5. Hivyo, gharama ya jumla (gharama ya ushuru wa bidhaa na wa stempu) itakuwa kiasi cha 28.5 na hivyo itaongeza gharama kwa uzalishaji na kwa mlaji."

Akichangia mjadala huo jana, Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu (CCM), alidai kampuni iliyopewa tenda ya mfumo huo ina matatizo makubwa na imeziangusha serikali zingine kutokana na mfumo wake wa rushwa.

“Hili la stempu za kielektroniki ni jambo zuri, lakini tumechelewa," Zungu alisema, "nilitaka kujiridhisha serikali imejiridhisha na huyu aliyepewa kazi hii kwa sababu ukitazama taarifa mbalimbali ina matatizo makubwa, ina kesi Morocco wamefanya ‘price offering’ mara 10 zaidi ya nchi zingine walizofanya kazi hii.

“Kampuni hii inachunguzwa na Bunge la Kenya na imeziangusha serikali zingine kutokana na mfumo wake wa rushwa. Napenda waitwe hawa mabalozi waliopitisha hii kampuni kwamba taarifa zao walizipata wapi.

“Nakumbuka tulifanya semina na TRA (Mamlaka ya Mapato) na walishindwa kuzijibu hoja za wabunge kwa kuwa zilikuwa za msingi na za kizalendo.

“TTCL ni chombo cha umma kwa gharama za mradi huu wa Sh. bilioni 48, binafsi nashauri serikali ibadilishe mpango wake wa kuajiri watu wa nje kusimamia makusanyo ya kodi hapa nchini.

“'Unapo-surrender' kwa kampuni ambayo ina matatizo makubwa duniani, naiomba serikali hii shughuli ifanywe na TTCL ambacho kina uwezo na ni chombo cha umma.

“Mwaka 2008, tulishauri serikali kuhusu wizi wa mtandao wa simu, serikali ikang’oa mtambo, wakatuambia walinunua kumbe hawakununua, walimweka mwekezaji ambaye kaja na mtambo wake kwa gharama kubwa ya Sh. bilioni 50, wakaingia mkataba wa miaka 15, kitu ambacho si sahihi.

“Masuala ya mtandao wa fedha kama ni mali ya 'vendor' utapigwa tu na tumepigwa na tutaendelea kupigwa. Mimi hoja yangu, tulihoji hata gharama za mtambo wenyewe.

Kwenye semina tumeambiwa mkataba wake ni miaka mitano.“Kuna nchi nyingi wameweka hii 'system' (mfumo), kuna kitu kinaitwa 'new generation' hoja kubwa ni makusanyo. Naomba Waziri wa Fedha alitazame hili ili tupunguze gharama za uendeshaji. Chombo hiki kiendeshwe na mamlaka ya umma ya Tanzania."

Hoja hiyo ya Zungu iliungwa mkono na Mbunge wa Mvomero, Sadiq Murad, ambaye alisema makubaliano ya serikali na kampuni hiyo kutekeleza mradi huo yanakwenda kuongeza gharama za bidhaa husika.

FAHAMU: Kijiji cha Wauza Figo ‘Kidney Village’

$
0
0

Leo June 19, 2018 kuna hii ya kuifahamu kuhusu Kijiji cha Hokse nchini Nepal kimebatizwa jina jipya la ‘Kidney Village’ baada ya Watu karibia wote wanaoishi kwenye kijiji hicho kuwa wameuza Figo zao.

Inadaiwa kuwa Wakazi wa Kijiji hicho hali zao za kiuchumi ni duni sana kitu kinachowasukuma kuingia katika biashara ya kuuza Figo zao ili wapate fedha za kujikimu mahitaji yao.

Mkazi mmoja aliyetambulika kwa jina la Geeta mwenye miaka 37 alisema kuwa yeye na Mume wake walisafiri mpaka kwenye Hospitali moja huko nchini India ili kutolewa Figo zao na kulipwa  zaidi ya shilingi Milioni 3 za Kitanzania.

Aidha familia hiyo ilitumia fedha hizo kununua kiwanja na kujenga nyumba yao na isivyo bahati nyumba hiyo iliangushwa na tetemeko la ardhi lililotokea kijijini hapo.

Kwa upande mwingine madalali wanaofanya biashara hiyo ya figo wametajwa kuzunguka sana katika kijiji hicho na kuwashawishi Wanakijiji hao kuuza Figo zao.

Millard

Agizo la Dr Tulia kwa Serikali baada ya samaki kukamatwa bungeni

$
0
0

Naibu Spika Dr Tulia Ackson ametoa maagizo kwa Serikali hadi kufikia kesho kesho iwe imewasilisha Bungeni taarifa kamili kuhusiana na tukio la maofisa wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi wanaodaiwa kuingia katika canteen ya viwanja vya Bunge na kupima samaki waliodai kuwa hawajakizi vigezo vya kuvuliwa.

VIDEO:

Millard

Miujiza ya Maalim Khatibu Kutoka Bagamoyo Pwani

$
0
0

MAALIM KHATIBU anawashukuru wale wote wanaopiga simu za shukrani, na wale ambao bado wanamatatizo musikate tamaa kwa kuchelewa kupokelewa simu zenu,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

MAALIM KHATIBU Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN dawa za asili ya afrika na njiwa,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu MAALIM KHATIBU sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata maelekezo yake,

 ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO   HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, NA KUPONYA MAGONJWA SUGU, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

JE UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 710-332103
WhatsApp +255 766-705404
Instagram: Follow@maalim_khatibu

USHAURI: Ni vyema kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate msaada kwa wakati.

Viewing all 104775 articles
Browse latest View live




Latest Images