Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Je Unakosa hamu au Kushindwa Kurudia tendo la Ndoa au Una Maumbile Madogo?

$
0
0


JE, UNAKOSA HAMU AU KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA? AU UNA MAUMBILE MADOGO? SOMA HAPA👇👇👇
Ukosefu wa HAMU ya tendo la ndoa au kumaliza tendo haraka na kushindwa kurudia ni kiashiria kuwa na tatizo la nguvu za kiume. Tatizo hili linazidi kwa kasi dunia na baadhi ya vyanzo vyake ni KISUKARI, BLOOD PRESSURE, UNENE ULIOPITILIZA, KUJICHUA (MASTER BLASHEN), MAGONJWA YA NJIA ZA UZAZI N.K.
Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.
Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
N.B Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri wa MARKSON CO ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
F/BOOK: markson beauty
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
CALL/WHATSAPP👆
UTAPATA HUDUMA

#OngezaUume
#NguvuZaKiume
#HandsomeUpOg
#BidhaaTz

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya June 23

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya June 23

Majibu ya Naibu Waziri Kilimo Dr. Mwanjelwa Kuhusu Kauli ya Mzigo Mzito Mpe Mnyamwezi

$
0
0
Mbunge wa Tabora Kaskazini (CCM) Almas Maige amesema umefika wakati sasa ambapo ule usemi wa mzigo mzito kumpa Mnyamwezi uachwe.

Akizungumza kabla ya kuuliza swali la nyongeza, Mbunge huyo alisema kuwa kituo cha wanyama kazi cha Puge kina mfanyakazi mmoja tu ambapo hawezi kufanya kazi zote peke yake.

“Suala la mzigo mzito tumpe Mnyamwez tuache, wapunguze wabebe wenye mzigo,” amesema Maige akiitaka serikali kukisaidia kituo hicho.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa Kilimo, Dr. Mary Mwanjelwa alikiri kuwa ni kweli kituo hicho kina mtumishi mmoja lakini akaongeza kuwa wizara hiyo haihusiki.

Alisema kuwa tayari wizara ya kilimo ilihamishia vituo vyote vya aina hiyo nchini kwenye halmashauri za wilaya.

Alizitaka halmashauri hizo kuvipa kipaumbele vituo hivyo kwa lengo la kusaidia wananchi wa maeneo husika.

Kwa upande wake Mbunge wa Lupa Victor Mwambalaswa (CCM) alitaka serikali kugawa eneo la kituo cha utafiti cha Nkena kwa wananchi.

Alisema kuwa kituo hicho kina eneo la hekari 500 ambazo zinaweza kugawiwa kwa wanakijiji kwa ajili ya kilimo.

Aidha Mbunge huyo alimtaka Naibu Waziri kutembelea jimbo la Lupa na kuwaeleza wapiga kura umuhimu wa tafiti.

Akijibu swali hilo Naibu waziri Mwanjelwa alisema kuwa kituo hicho kinatumia eneo hilo kwa ajili ya utafiti wa zao la tumbaku.

Alisema kuwa hata hivyo bado eneo hilo halitoshi na itakuwa vigumu kwa serikali kuligawa.Mbali ya Lupa alisema kuwa  eneo hilo pia linatumiwa na watalaam wa chuo cha utafiti wa kilimo cha Uyole kilichopo jijini Mbeya.

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Yohana Luhunga Budeba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Research Institute – TARI).

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Dkt. Budeba umeanza June 20, 2018.

Fahamu mambo ambayo wanawake wa Saudi Arabia hawawezi kuyafanya

$
0
0
Wanawake hatimaye wataweza kuendesha magari nchini Saudi Arabia baada ya marufuku kuondolewa tarehe 24 mwezi Juni, lakini mapambano bado hayajaisha.

Sheria na taratibu zinazoongozwa na wanaume zinaendelea kuathiri maisha yao ya kila siku.Yafuatayo ni mambo matano ambayo wanawake hawawezi kuyafanya wenyewe nchini mwao.

Katika miezi ya karibuni, Saudi Arabia ilishika vichwa vya habari kutokana na mabadiliko kadhaa yaliyofanywa nchini humo ambayo yanawapa uhuru wanawake.

Wanawake waliweza kuhudhuria mchezo wa mpira wa miguu kwa mara ya kwanza, Wanawake waliruhusiwa kufanya kazi za jeshi na intelijensia, Na hivi karibuni wataweza kuendesha magari baada ya marufuku kuondolewa.

Ingawa nchi hiyo imetoa leseni ya kuendesha magari kwa wanawake- Kundi la wanaharakati wanawake ambao walifanya kampeni kutaka usawa wa kijinsia walikamatwa mwezi uliopita kwa shutuma za kuvuruga hali ya usalama.

Hapa, ni mambo matano ambayo wanawake bado hawaruhusiwi kufanya.

1. Kufungua akaunti benki bila mwanamume
Wanawake nchini Saudi Arabia hawawezi kufungua akaunti benki bila ruhusa ya walezi au waangalizi wa kiume.

Mfumo huo umekuwa ukikosolewa vikali na watetezi wa haki za binaadamu ambao wamesema wanawake wanashindwa kufanya maamuzi wenyewe.

2. Kupata Pasi ya kusafiria, au hata kusafiri nje ya nchi
Huu ni mfano mwingine wa mfumodume, Wanawake wa Saudia wanalazimika kuwa na ridhaa ya kiongozi wa kiume mfano katika familia ili kupata pasi ya kusafiria au kuondoka nchini.

Mfumo huu pia umekuwa ukipewa nafasi kwenye maeneo mengine ya maisha ya wanawake mfano masomo, kazi na hata kwenye kupata baadhi ya huduma za kiafya.

Kiongozi anaweza kuwa baba wa mwanamke, kaka au ndugu wa kiume-kwa mwanamke mjane wakati mwingine mtoto wa kiume anaweza kuombwa ridhaa.

3. Kuolewa au kutalikiana
Ruhusa kutoka kwa kiongozi wa kiume inahitajika kwa ajili ya kuolewa au kutalikiana.

Ni vigumu kwa wanawake kuwapata watoto aliowazaa akiwa kwenye ndoa, kama watoto hao wanaumri wa zaidi ya miaka saba kwa watoto wa kiume na miaka tisa kwa watoto wa kike.

Walezi hao pia wako huru kukataa kutoa ridhaa kwa wanawake.

Wanawake wamelalamika kwa haki zao kukiukwa, wakilazimishwa kutoa mishahara yao kwa wanaume, wakizuiwa kuolewa au kulazimishwa kuolewa.

4. Kunywa kahawa na wanaume mgahawani
Migahawa yote inayowahudumia wanawake na wanaume hugawanyika katika sehemu mbili, Hivyo, sehemu ya familia na watu wasio na familia (ambao uchukuliwa kuwa wanaume)

5. Kuvaa unachotaka
Hadharani hauna haja ya kufunika uso, lakini unapaswa kuvaa kufunika kichwa mpaka vidole vya miguu.

Ni kwenye maeneo machache sana ya maduka makubwa ambayo wanawake wanaweza kuvua abaya.

Mwanzoni mwa mwaka huu, kiongozi wa kidini alisema ''wanawake hawana haja ya kuvaa abaya''-kauli ambayo inaweza kuwa msingi wa sheria za Saudi siku za usoni.

Wanawake wasio wa Saudi wanaweza kuwa huru, Kisheria wanaruhusiwa kuvaa mavazi ya kiliberali , na kama si waislamu, wanaruhusiwa kutofunika nywele zao.

Huddah Monroe Akata Shauri Aamua Kuasili Mtoto Badala ya Kuzaa

$
0
0
Huddah Monroe ‘The Boss Chick’ BAADA ya kukaa muda mrefu bila kupata mtoto, muuza nyago kwenye mitandao na mjasiriamali, Huddah Monroe ‘The Boss Chick’ ametimiza ndoto zake za kuasili mtoto wa kike.

Huddah ambaye alikuwa Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita katika Sikukuu ya Idd Pili alisema kuwa, kwa muda mrefu amekuwa akipenda watoto wadogo kutokana na maisha aliyopitia na alikuwa akitaka kutimiza ndoto zake kwa kuasili.

“Nimeasili mtoto kwa sababu mara nyingi najihisi kama wao. Wazazi wake hawakuwa na uwezo wa kumlipia ada. Nilimuuliza unataka kwenda shule? Niliona ana ndoto, ni kweli alikuwa akihitaji kwenda shule. Nikamchukua, bado yupo na mama yake lakini namlipia kila kitu, napenda watoto,” alisema Huddah.

 NAIROBI, Kenya

GPL

Dudu Baya Amcharukia Dully Sykes....'Fikisha Mtoto Miaka ya Foolish Age Alafu Ndio Ujisifie Wewe ni Baba Bora'

$
0
0
Kufuatia msanii Dully Sykes kutoa kauli kwamba Dudu Baya siyo baba bora kwani amemuacha mwanaye bila usimamizi ndiyo maana mtoto huyo, Wille anauza mihogo Coco Beach na kuvuta bangi.

 Kufuatia kauli hiyo, Dudu Baya amemjia juu Dully na kusema kwamba Dully amekurupuka, wala hapaswi kujifananisha na Dudu Baya kwa sababu yeye ameshindwa kuwalea wanaye aliozaa na wanawake mbalimbali na kuwaacha kwa mama zao au kuwaacha kwa bibi yao. VIDEO

Miche ya Bangi yakutwa katika Bustani ya Bunge

$
0
0

NA FATUMA MUNA
Katika hali ya mshangao mkubwa na isiyokuwa ya kawaida miche ya bangi imebainika ikiwa imeoteshwa katika viwanja vya  bunge nchini Japan jijini Tokyo.


Miche hiyo ya bangi iling'olewa baada ya kugundulika na watu waliotembelea jengo hilo, ingawa haijafahamika mara moja miche hiyo ilioteshwa lini na nani.

Afisa mmoja wa bunge la nchi hiyo amesema kuna uwezekano mbegu za bangi zilipeperushwa na upepo au kinyesi cha ndege wa angani na kuota katika bustani ya bunge .

Japan ni nchi yenye sera ya kutovumilia matumizi ya dawa za kulevya na mtu anayekamatwa na dawa hizo hata kwa kiwango kidogo hukumu yake ni kifungo jela miaka mitano.

BBC

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Mzee Majuto Arejea Nchini Akitokea Katika Matibabu India

$
0
0
Mzee Majuto Arejea Nchini Akitokea Katika Matibabu India
Msanii wa filamu Bongo, Mzee Majuto amerejea nchini akitokea katika matibabu nchini India.

Mara baada ya kutoa nchini Mzee Majuto amesema hali yake ya kiafya imetengamaa ukilinganisha na hapo awali. Hii ni kutokana na huduma alizopatiwa ambazo ameeleza ni za kisasa zaidi ukilinganisha na za hapa nchini.

Hata hivyo ameeleza kuwa kwa sasa anahitaji kupumzika zaidi na hana mpango wa kurejea katika sanaa ya maigizo.

Mzee Majuto aliondoka nchini May 4, 2018c kuelekea India. April 28, 2018 alirudishwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ambapo awali alikuwa akipatiwa matibabu kabla ya kuhamishiwa hopitali ya binafsi, Tumaini, ndipo akapelekwa India.

Ahmed Musa Aing'arisha Nigeria.... Afunga Bao Mbili

$
0
0
Ahmed Musa Aiokoa Nigeria.... Afunga Bao Mbili
Baada ya kufunga mabao mawili yaliyoisaidia Nigeria kushinda 2-0 dhidi ya Iceland, mshambuliaji wa timu hiyo na klabu ya Leicester City Ahmed Musa, amejiwekea rekodi ya kuwa mfungaji wa mabao mengi (4) kwenye Fainali za Kombe la Dunia katika historia ya Nigeria.

Musa amefunga mabao hayo katika mchezo wa kundi D uliomalizika jioni hii dhidi ya Iceland, ambapo sasa timu yake imefikisha alama 3 na kujiweka kwenye nafasi ya kufuzu 16 bora endapo itaifunga Argentina kwenye mechi ya mwisho katika kundi hilo.

Mbali na kuwa mfungaji wa mabao mengi kwenye Kombe la Dunia katika timu ya Nigeria, lakini Musa pia amekuwa mchezaji wa tatu kutoka Afrika kufunga mabao mengi kwenye Kombe hilo akitanguliwa na Roger Milla wa Cameroon mwenye mabao 5 na Asamoah Gyan wa Ghana mwenye mabao 6.

Nigeria sasa inashika nafasi ya 3 katika Kundi D ikiwa na alama 3 nyuma ya Croatia ambao wana alama 6. Argentina na Iceland zinafuatana zikiwa na alama 1 kila timu. Tayari Croatia imeshafuzu hivyo kinachosubiriwa ni kujua kati ya timu hizo tatu nani ataungana na Croatia.

Hiki Ndicho Alichokiona Mr Blue Kutoka kwa Daimond na Alikiba

$
0
0
Hiki Ndicho Alichokiona Mr Blue Kutoka kwa Daimond na Alikiba
Staa wa muziki wa Hip Hop Bongo, Kherry Sameer ‘Mr Blue’, ambaye yupo kwenye gemu tangu mwaka 1999, akiwa amefanikiwa kufanya albamu mbili, Mr Blue na Yote Kheri, amefunguka kuwa wanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Ali Salehe Kiba ‘Alikiba’, wana vitu vya ziada vinavyowafanya wazidi kufanikiwa.



Akichonga na Mikito Nusunusu, Mr Blue alisema kwamba wanamuziki wengi chipukizi hutamani kuwa kama wawili hao bila kufahamu mbali na kufanya muziki wanajituma, wana nidhamu na wana malengo ya kufika mbali.



“Unajua wengi hutamani kuwa kama fulani kwenye muziki hasa watu wanaofanya vizuri zaidi kwa sasa kama Diamond na Kiba, lakini bila kufahamu kwamba ili ufanikiwe ni lazima uwe na vitu vya ziada mbali na kuimba kawaida.



“Kwa ushauri wangu, wanamuziki chipukizi waangalie ni vitu gani vya ziada wanavyo wanamuziki wanaotamani kuwa kama wao wavifuate na wataweza kufika kule wanako kuhitaji,” alisema Mr Blue.

Tuvumiliane Tu Mmepaniki Kama Mmefumaniwa- Haji Manara

$
0
0
Tuvumiliane Tu Mmepaniki Kama Mmefumaniwa- Haji Manara
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Klabu ya Simba SC, Haji Manara amewataka wafuasi wake wanamfuatilia kwenye mitandao yake ya kijamii kumvumilia katika kipindi hichi cha kombe la dunia kwa kuonyesha mapenzi yake kwa mchezaji Cristiano Ronaldo kutoka timu ya Ureno.

Manara ameamua kumwaga povu hilo baada ya kuonyesha mapenzi yake kwa Ronaldo ambaye ameonyesha kung'aa sana katika kombe hili la dunia huku mpinzani Lionel Messi akionekana kujikongoja kutokana na Timu yake kuendelea kufanya vibaya tangu kuanza kwa mashindano hayo.

"Guys kuna kitu naomba mkielewa hususani wale wasioelewa maana ya ushabiki, duniani kote kuna aina mbili ya mashabiki kwa hawa watu wawili na mimi ni team Ronaldo..na raha ya ushabiki ni kuzodoana..sasa Team Messi mmepanic kama mmefumaniwa jamani!" Manara

"Najua Messi ni mchezaji bora kama Ronaldo..but msilazimishe sote tupende mtakacho hii ndio raha ya ushabiki kama ilivyo Simba na Yanga".

Kwa  kusisitiza Manara amesema "Tuvumiliane na msijaribu kunipangia cha kushabikia na kupost..hii si acc ya Simba wala ya mtu yoyote ni yangu binafsi..sichangiwi na mtu bando".

Kashfa ya Ukabila Katika Kanisa Katoliki Latua Bungeni

$
0
0
Kashfa ya Ukabila Katika Kanisa Katoliki Latua Bungeni
SAKATA la Kanisa Katoliki juu ya kuwapo madai ya ukabila limetinga bungeni, huku chombo hicho cha kutunga sharia kikiweka msimamo kuwa hakiwezi kutumika kama uwanja wa kuzungumzia masuala ya kidini.


Hata hivyo, bunge limesema linaweza kuzungumzia masuala ya dini iwapo yatawasilishwa kwa hoja mahsusi itakayowasilishwa kwa utaratibu unaokubalika katika kanuni zake.

Kauli hiyo ilitolewa bungeni jijini Dodoma jana na Mwenyekirti wa Bunge, Andrew Chenge, alipomjibu Mbunge wa Ndanda, Cesil Mwambe (Chadema).

Mara tu baada ya kumalizika kwa kipindi cha 'Mswali' bungeni jijini hapa jana asubuhi, mbunge huyo alisimama na kuitaka serikali itoe kauli kwa kile alichodai moja ya magazeti nchini lilichapisha jana habari zinazochonganisha waumini wa Kanisa Katoliki.

Alidai habari zilizochapishwa na gazeti hilo zinazodai kanisa hilo kuingia kwenye mgogoro, zinawachonganisha maaskofu na waumini kuamini uwapo wa ukabila ndani yake, hivyo kuitaka serikali kulitolea kauli suala hilo.

"Serikali ina 'regulate' (inasimamia) mambo mbalimbali yakiwamo ya kidini.  Pia mambo yote yanayowahusu wananchi. Lakini kumeibuka mambo na mivutano ambayo tumemwona Mheshimiwa Jenista (Mhagama - Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu) akiyakemea hasa zaidi yanayogusa imani za watu," Mwambe alisema.

"Kwa muda wa wiki moja mfululizo, gazeti limekuwa likiandika habari za kidini zinazojielekeza kwenye uchochezi kutaka kugombanisha watu na makabila yao. Kutaka kugombanisha watu wenye imani ya kikristo hasa kikatoliki.

"Huu ni uchochezi ambao unaweza kufarakanisha watu hasa ndani ya Kanisa Katoliki. Sasa tunaomba kauli ya serikali na mwongozo wako kuhusu uchochezi huu," alisema Mwambe.

Mwambe alisema anasikitika kuona Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, hachukui hatua zozote dhidi ya gazeti hilo.

Katika majibu yake kwa mbunge huyo, Chenge alisema kuwa licha ya mwongozo huo kutokidhi matakwa ya kikanuni, kuna haja serikali kulifanyia kazi suala hilo.

Katika majibu yake kwa mbunge huyo, Chenge alisema kuwa licha ya mwongozo huo kutokidhi matakwa ya kikanuni, kuna haja serikali kulifanyia kazi suala hilo.

"Waheshimiwa wabunge, nimeombwa mwongozo kwa mujibu wa Kanuni ya 68(7). Kwa hilo alilolieleza halikutokea bungeni," Chenge alisema na kufafanua zaidi:

"Mwongozo wangu, kwa kuwa halikutokea humu bungeni, siwezi kusema kama linaruhusiwa kwenye kanuni zetu au la.

"Lakini serikali ipo humu na ina mikono mirefu na macho yanayoona mbali sana. Na sisi tumeweka msimamo kabisa isipokuwa kwenye hoja mahsusi itakayoletwa bungeni kwa utaratibu unaokubalika na Kanuni za Bunge.

"Bunge haliwezi kutumika kama uwanja wa kuongelea masuala ya dini. Kwa hiyo, naiachia serikali kama ikiona kuna haja ya kuyasemea, lakini naamini umesema kitu watakachokichukua kukifanyia kazi kwa taratibu."

Mwanasoka Bora Kati ya Okwi, Bocco, Nyoni Kujulikana Leo

$
0
0
Mwanasoka Bora Kati ya Okwi, Bocco, Nyoni Kujulikana Leo
KITENDAWILI cha nani anaibuka mshindi wa tuzo ya Mwanasoka Bora wa msimu uliomalizika kwa 2017/18 kinatarajiwa kuteguliwa katika sherehe maalumu itakayofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.


Tofauti na misimu iliyopita, mwaka huu tuzo hiyo inawaniwa na wachezaji wote kutoka kwa kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba ambao ni Mganda, Emmanuel Okwi, Erasto Nyoni na nahodha, John Bocco.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Clifford Ndimbo, alisema jana kuwa mshindi wa tuzo hiyo atapatikana kutokana na idadi ya kura nyingi zilizopigwa na kwa kuwashirikisha Wahariri wa Habari za Michezo, manahodha na makocha wa timu zilizoshiriki ligi hiyo.

Ndimbo alisema pia kamati ya tuzo hizo imekamilisha uteuzi wa wachezaji watakaowania tuzo katika 'kategori' nyingine mbalimbali ambao nao washindi watajulikana leo usiku.

"Tuzo 16 zinatarajiwa kutolewa kesho (leo) usiku, ila baadhi ni za kikanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara, ambazo tayari washindi wake wamefahamika, ambazo ni bingwa, mshindi wa pili, mshindi wa tatu, mshindi wa nne na mfungaji bora.Ukiacha hizo tano za kikanuni, zipo tuzo 10 ambazo zimefanyiwa kazi na Kamati ya Tuzo kulingana na takwimu mbalimbali za ligi hiyo, ambapo tuzo moja nyingine ya Mchezaji Bora chini ya umri wa miaka 20 (Tuzo ya Ismail Khalfan)," alisema Ndimbo.

Alizitaja tuzo nyingine zitakazotolewa siku hiyo ni ya timu yenye Nidhamu inayowaniwa na Kagera Sugar, Simba na Mtibwa Sugar, wakati Mchezaji Bora Chipukizi inawaniwa na Shaaban Idd Chilunda, Yahya Zayd (Azam) na Habibu Kiyombo (Mbao).

Mwamuzi Msaidizi Bora inawaniwa na Helen Mduma, Mohammed Mkono na Ferdinand Chacha, wakati Mwamuzi Bora wateule ni Elly Sasii, Jonesia Rukyaa na Hans Mabena wakati ile ya Kipa Bora inawaniwa ni Aron Kalambo (Prisons), Aishi Manula (Simba) na Razack Abalora (Azam).

Katika upande wa Kocha Bora, wanaochuana ni Abdallah Mohamed wa Prisons, Zuberi Katwila (Mtibwa) na Pierre Lechantre wa Simba huku Goli Bora ni Seif Karihe (Lipuli) na Shaaban Idd Chilunda wa Azam

Mobetto Atia Baraka Ndoa ya Lulu "Sina Kinyongo Nikipewa Mwaliko Ntaenda"

$
0
0
MWANAMITINDO maarufu Bongo, Hamisa Mobeto amebariki ndoa ya staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anayetarajiwa kuolewa hivi karibuni na kusema kuwa, hana kinyongo na hata siku ya tukio akipewa mualiko atakwenda.



Akizungumza na Risasi Jumamosi, Mobeto alisema kuwa hana kinyongo na Lulu kama ambavyo watu wanasema kwa kuwa mapenzi yake na mchumba wa Lulu, (bosi wa redio moja maarufu Bongo) yalishakwisha.



“Mimi na huyo anayetaka kumuoa tulishamalizana, hivyo hakuna tena hata chembe ya mapenzi zaidi ya uhusiano wetu wa kulea mtoto.





“Kwa maana hiyo sina shida kusikia Lulu anaolewa na siku ya sherehe nikipewa kadi nitakwenda,” alisema Mobeto. Mobeto na mwanaume anayetarajia kumuoa Lulu waliwahi kuwa wapenzi na kufanikiwa kupata mtoto wa kike aitwaye Fantasy.

Mwanamume Amnunulia Mdoli wake gari la Sh Milion 45

$
0
0
Mwanamuziki chipukizi kutoka Nigerian, Shaa Shuga alivunja intaneti kwa kuchukua hatua isiyo ya kawaida
Shaa ambaye amekuwa katika uhusiano na doli alimnunulia doli huyo gari hivi majuzi
Shuga alimnunulia Samantha gari aina ya Camry 2013 ambayo inasemekana kuwa TZS 45 milioni Mwanamuziki chipukizi kutoka Nigerian Shaa Shuga ameonekana kuwa mwehu baada ya kununua doli la kimapenzi ‘Samantha’

Shuga amekuwa katika uhusiano na doli huyo na amepata ufuasi mkubwa mitandaoni kutokana na hatua hiyo.

Hili kuelezea mapenzi yake, hivi majuzi alimnunulia doli huyo gari la TZS 45 milioni.
Picha za doli huyo zilisambaa mitandaoni haraka huku wengi wakiwapongeza ‘wachumba’ hao na kuonekana kuvutiwa na uhusiano kati yao

Shuga aliamua kutumia gari hiyo kuonyesha alivyokuwa amejitolea katika uhusiano huo. Cha kushangaza ni kuwa doli huyo ana ukurasa wa mtandao wa kijamii ulio na wafuasi zaidi ya 1000. 

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Saratani Yamtesa Baba Mzazi wa Michael Jackson Alazwa Hospitali

$
0
0
Saratani Yamtesa Baba Mzazi  wa Michael Jackson Alazwa Hospitali
MZEE Joe Jackson, baba wa wanamuziki, hayati  Michael Jackson na  Janet Jackson,  amelazwa hospitalini akiwa anaugua saratani ambayo madaktari wamesema hatapona.

Wanafamilia wa mzee huyo wamekuwa wakimtembelea hospitalini hapo akiwa kitandani akisubiri ugonjwa huo ambao hivi sasa uko katika hatua za mwisho.

Miche ya Bangi Yakutwa Ikioteshwa Katika Bustani ya Bunge

$
0
0
Miche ya Bangi Yakutwa Ikioteshwa Katika Bustani ya Bunge
Katika hali ya mshangao mkubwa na isiyokuwa ya kawaida miche ya bangi imebainika ikiwa imeoteshwa katika viwanja vya  bunge nchini Japan jijini Tokyo.


Miche hiyo ya bangi iling'olewa baada ya kugundulika na watu waliotembelea jengo hilo, ingawa haijafahamika mara moja miche hiyo ilioteshwa lini na nani.

Afisa mmoja wa bunge la nchi hiyo amesema kuna uwezekano mbegu za bangi zilipeperushwa na upepo au kinyesi cha ndege wa angani na kuota katika bustani ya bunge .

Japan ni nchi yenye sera ya kutovumilia matumizi ya dawa za kulevya na mtu anayekamatwa na dawa hizo hata kwa kiwango kidogo hukumu yake ni kifungo jela miaka mitano.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live


Latest Images