Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104766 articles
Browse latest View live

TFF Yafungua Dirisha la Usajili Kivingine

$
0
0
TFF Yafungua Dirisha la Usajili Kivingine
WAKATI klabu mbalimbali zinazoshiriki Ligi Kuu Bara zikiwa zimeshaanza usajili wa wachezaji kwa ajili ya msimu ujao wa mwaka 2018/19, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefungua rasmi dirisha la usajili huku awamu hii likija na mfumo tofauti ukilinganisha na ilivyokuwa mwanzo.

Usajili wa sasa utakuwa tofauti na ullivyozoeleka miaka ya nyuma ambapo msimu ujao watatumia mfumo mpya ujulikanao kwa jina la TFF FIFA CONNECT.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa TFF, Clifford Ndimbo, alisema mfumo huu utafafanuliwa zaidi katika semina ambazo zitaendeshwa kwa kuwahusisha viongozi wa klabu zote za Ligi Kuu, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili.
Ndimbo alisema kuwa semina hizo zitaanza mapema kabla ya kuanza kutumika ili kutoa uelewa sahihi wa namna unavyopaswa kutumika kwa timu zote husika.
"Semina ya kwanza itaanza kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara ambayo itafanyika Jumatatu ya Juni 25 mwaka huu, halafu  itaendelea tena kesho yake itakayokuwa Jumanne kwa zile timu za Ligi Daraja la Kwanza na Jumatano utahusisha klabu za ligi Daraja la Pili," alisema Ndimbo.
Aliongeza kuwa, kutokana na mabadiliko ya mfumo huo wa usajili, TFF imeweka muda wa wiki moja kwa ajili ya kuweka mapingamizi endapo yatakuwepo ambapo klabu zinatawasilisha kupitia kamati maalum itakayosimamia suala la usajili huo.
"Tunawaomba viongozi wa klabu zote kuzingatia muda wa mafunzo ya juu ya mfumo huo mpya ili kuepusha matatizo ambayo yanaweza yakajitokeza baadaye," alisisitiza Ndimbo.
Aliweka wazi kuwa dirisha la usajili tayari lilishafunguliwa tangu Juni 15 na litafungwa ifikapo Julai 26 mwaka huu.

Lema Awalilia Seth na Rugemalila.... Aitaka Serikali Kuwahisha Upelelezi

$
0
0
Lema Awalilia Seth na Rugemalila.... Aitaka Serikali Kuwahisha Upelelezi
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amekiri kuwaone huruma watuhumiwa wa makosa ya uhujumu uchumi, wafanyabiashara Harbinder Seth  pamoja na James Rugemalila kwa kuitaka serikali ikamilishe upelelezi kwani watu hao wanapitia mateso kwa kukaa mahabusu.

Lema ameonyesha kuguswa na watu hao baada ya picha zao kusambaa siku ya Jumatano hii walipokuwa wamekwenda kusikiliza kesi yao huku upande wa mashtaka wakidai kuwa bado upelelezi haujakamilika.

"Ninaona huruma juu yenu. Serikali kamilisheni upelelezi juu ya watu hawa kama wanastahili adhabu walipe walichopanda, kuwa mahabusu bila kesi yako kusikilizwa ni mateso kuliko mnavyoweza kufikiri".

Ameongeza Pengine wanastahili adhabu lakini ni vyema Mahakama ifanye maamuzi.

Seth na Rugemarila wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi kwa kula njama, kujihusisha mtandao wa uhalifu, kughushi na kutoa nyaraka za kughushi.

Pia, wanadaiwa kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu, kutakatisha fedha na kusababisha hasara ya Dola 22 milioni za Marekani na Sh309.46 bilioni

Petit Man Afunguka Skendo Yake ya Utapeli

$
0
0
Mume wa Esma Hamad Manungwa maarufu kwa jina la ‘Petit Man’ amefungukia ishu ya kudaiwa kuwa na madeni ikiwemo tuhuma za utapeli kwa baadhi ya watu.

Petit Man ambaye pia ni meneja wa wanamuziki mbalimbali Bongo, amefungukia ishu hiyo baada ya hivi karibuni katika mtandao wa Instagram kusambaa habari ya kuwa ana madeni mengi kwa watu na anaishi kwa utapeli.

Mwananchi lilizungumza na Petit na kusema kuwa, ukweli wa habari hiyo anaujua yeye hivyo hawezi kubishana na watu katika mitandao ya kijamii, kwani hata kama anadaiwa yeye si wa kwanza kudaiwa.

“Unajua mimi sibishani hata siku moja na watu wa mitandaoni kwa sababu najua wazi kuwa sio tapeli na wala sina madeni kama wanavyosema huko mitandaoni, na pia hata kama nadaiwa mimi sitakuwa wa kwanza kudaiwa hivyo sioni haja ya kuzungumzwa zungumzwa.

“Halafu mimi sijashtuka wala nini kuambiwa nina madeni kwani suala hili sijaanza kuambiwa leo, toka nimemuoa Esmah hilo ndilo neno lao, hivyo siwashangai kwani najua wanataka kunivunjia ndoa yangu tu,” anasema Petit Man.

Hata hivyo, Petit alikiri habari za kudaiwa analelewa na Esma na kusema kuwa asipolelewa na mke wake huyo atamlea nani?

“Hao watu wanaosema mimi nalelewa na Esmah wala hawasemi uongo ni kweli nalelewa, sasa nisipolelewa na mke wangu atanilea nani, tena mke wangu nampenda sana ananisababisha nionekane smati kila mara, kwa hilo namshukuru sana,” alisema Petit.

“Rushwa ni Kero Zoezi la Utoaji Vitambulisho” NIDA

$
0
0
“Rushwa ni kero zoezi la utoaji vitambulisho” NIDA
Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesema kuwa kumekuwa na tabia ya baadhi ya wananchi kutokuwa wavumilivu kitendo kinachopelekea kushawishi watendaji wa mamlaka hiyo ili apatiwe huduma kwa haraka.

Akizungumza na www.eatv.tv, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NIDA, Rose Mdami amesema kuwa wananchi wachache ndio wamekuwa wakivuruga zoezi hilo kwa kushawishi watendaji na waendeshaji wa zoezi hilo ambao nao pia huwa sio waaminifu.

“Kwenye vituo vyetu vyote tumeandika rushwa ni adui wa haki, lakini cha kushangaza changamoto imekuwa kubwa kwa wananchi wanaodai kuwa wana haraka wamekuwa wakishawishi watendaji wetu”, amesema Mdami

Aidha Rose ameongeza kuwa zoezi linaloendelea sasa ni uhakiki na uchakataji wa taarifa za wananchi na hatua ya mwisho itakuwa ni uzalishaji na utoaji wa vitambulisho hivyo.

Dj Khaled Kuanza na Davido Kuiteka Afrika

$
0
0
Dj khaled kutokea nchini Marekani ana mipango ya kuutangaza zaidi muziki barani Afrika.

Dj huyo ambaye ameshafanya kazi na wasanii wakubwa Marekani amesema moja ya mipango yake ni kufanya kazi na wasanii wakubwa wa Afrika.

Hii ni baada ya kukutana na msanii wa Nigeria, Davido na kueleza hayo. Huenda Davido tayari yupo katika mipango ya Dj Khaled.


Dj Khaled ameweza kufanya kazi na wasanii wakubwa Marekani kama Rihanna, Bryson Tiller, Justin Bieber, Lil Wayne, Demi Lovat, Jay Z na Future.

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake. 

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi. 

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache. 

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja. 

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578 

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Mbosso Adai Nyimbo zake hazikupigwa kwenye Radio Station

$
0
0

Msanii wa Bongo Flava, Mbosso amesema yeye ni miongoni mwa wasanii ambao hawakubata bahati kwa nyimbo zao kusikika katika radio station kwa kiasi kikubwa 


Muimbaji huyo ameendelea kwa kusema hata hivyo bado muziki wake umeweza kusikika kitu ambacho anashukuru.

“Ukizungumzia moja ya wasanii ambao hawakupata bahati ya kupata nafasi kubwa kwenye radio station, mimi pia naweza kusema nipo,” amesema.

“Sikupata bahati kabisa nyimbo kupigwa kwenye radio station lakini wananchi wamenipokea, wamesema Mbosso tunakusapoti, wamenisapoti nashuru leo nimefika nilipofika,” Mbosso amesema.

Utakumbuka Mbosso mwaka ndipo amejiunga na label ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz. Kuna media nne ambazo hazichezi kazi za wasanii wote waliochini ya label hiyo.

Dereva kujaza mafuta na abiria, Jela mwaka mmoja

$
0
0

Imeelezwa kuwa kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani ambapo inaelezwa kuwa ni makosa kwa gari la abiria kujaza mafuta sheli huku abiria wakiwa ndani, endapo akishtakiwa adhabu yake ni jela mwaka mmoja na faini isiyozidi laki tano.


Hayo yamebainishwa na Wakili Yohanes Konda katika mahojiano na eatv.tv ambapo amesema kuwa endapo dereva akibainika kufanya kosa hilo anaweza kutozwa faini isiyopungua Shilingi laki tatu ama kwenda jela mwaka mmoja.

“Sheria haijasema moja kwa moja ni kiasi gani lakini haitakiwi kuzidi laki tano, na endapo mtuhumiwa ni kosa lake la kwanza anaweza kupewa adhabu moja kati ya hizo lakini kama ni kosa la mara kwa mara hupewa vyote kwa pamoja”, amesema Konda.

Kumekuwa na mazoea ya madereva wengi wa daladala kujaza mafuta huku wakiwa na abiria, jambo ambalo mamlaka husika zimelipigia kelele lakini bila mafanikio.

Ukiamua Kuwa na Mahusiano na Mume wa Mtu Lazima Ukubali Kuwa Mtumwa wa Mambo Yafuatayo

$
0
0
Ukiamua Kuwa na Mahusiano na Mume wa Mtu Lazima Ukubali Kuwa Mtumwa wa Mambo Yafuatayo:

1. Baby samahani dakika moja,wife anapiga simu

2. Baby muda umeenda Sana mke wangu atanipigia, wacha niwahi kurudi nyumbani, Kesho saa 12 nitakuwa hapa

3. Bby nataka kuja kulala kwako mke Wangu amefiwa kaenda kwao

4. Baby sintaweza kuja Leo, wife kanibana... Pole kwa kuugua

5. Baby tangulia mbele, nitakukuta... Pale wanakaa shemeji zangu, wakituona pamoja watamuambia wife

6. Unaweza kimbiwa katikati ya sherehe usipewe hata nauli ya bodaboda, kesho unaambiwa sorry darling, si uliona wife alitokea ghafa

7. Mkiwa mnaongea kwa simu kwa mahaba mara unashtukia unaitwa Hamadi na kuagwa fasta.,baadae unaambiwa mke wangu alitokea ghafla nikawa sina jinsi

8. Unaweza pitwa barabarani na mvua inanyesha,kesho ukaambiwa nilikuona my love, Ila ningefanya nini.. ,nilikua na mke wangu

Ili mwisho wa siku ukija kupewa mimba na kuterekezwa usije na kauli zako za kusema wanaume wote ni mbwa na kama utafikia hatua ya kuwaita wanaume wote hivyo basi anza na kumtaja baba yako ili twende sawa maana sometimes huwa mnakuwaga na ukulunjuma mwingi sana dade

Pata Mafunzo ya Mapenzi na Visa vyake Kupitia App ya Udaku Special

$
0
0
Usipitwe na Mafunzo ya Mapenzi na Visa Katika Mapenzi Tunavyoweka kila siku Kwenye Application ya Udaku Special ambayo ipo Play Store kwa watumiaji wa Simu za Android

Bonyeza Hapa Chini Kuinstall/Kudownload :

==>>Unaweza Kuidownload << kwa Kubofya Hapa>>
  
  
 

Kukosa Msisimko wa Tendo la Ndoa kwa Wanawake

$
0
0

WANAWAKE wengi wanasumbuliwa na tatizo la kukosa msisimko lakini kwa bahati mbaya, ni wachache wanaofahamu tatizo linalowasumbua ni nini. Kwa kifupi, hii ni hali ambayo mwanamke anakosa kabisa msisimko na raha ya tendo la ndoa.

Dalili za awali za tatizo hili, ni kama ifuatavyo:

-Kulifikiria tendo la ndoa mara chache zaidi (mwanamke hafikirii mara kwa mara kuhusu tendo la ndoa).

-Kutosikia raha yoyote, kabla, wakati wa tendo au baada ya tendo. Yawezekana mwanamke akawa hasikii maumivu yoyote lakini pia anakuwa hahisi tofauti yoyote.

-Mwanamke kuanza kukataa kushiriki tendo, yawezekana awali alikuwa akikutana na mwenzi wake mara kwa mara lakini ghafla ratiba zinabadilika na hahisi tofauti yoyote.

-Kupoteza kabisa msisimko wa mapenzi. Inapofikia hatua hii, hata kama mwanamke atawekwa kwenye hali ambayo ni rahisi kupata hisia, hushindwa kufanya hivyo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, na sababu hizo zinawekwa katika makundi mawili, za kimaumbile na za kisaikolojia.

Tafiti za kitaalamu, zinaonesha kwamba matatizo ya kisaikolojia huanza hasa baada ya mwanamke kuvunja ungo ambapo mwili huanza kuzalisha homoni ambazo huubadilisha mwili kimuonekano na kihisia.

Homoni hizi zinapozalishwa kwa kiwango kinachostahili, humfanya mwanamke awe na hisia za kawaida kama watu wengine lakini kunapotokea athari yoyote katika uzalishwaji wa homoni hizi, hapo ndipo tatizo huanzia.

Wanawake waliopitia unyanyasaji wa kijinsia wakiwa wadogo, pengine kwa kubakwa, kuteswa kingono, kuteswa kihisia au kunyanyaswa, nao wapo kwenye hatari kubwa ya kupatwa na tatizo hili ukubwani.

Matatizo ya msongo wa mawazo, kusalitiwa kwenye uhusiano wa kimapenzi, kunyanyaswa na mume na uchovu wa kupitiliza (fatigue), husababisha tatizo hili. Kutazama picha za ngono kwa kiwango cha kupitiliza ni tatizo lingine.

Mtu Wangu Jua Ishara 11 za Mwanamke Anayekupenda, Lakini Anashindwa Kukueleza.

$
0
0

Kwa muda mrefu kumekuwa na wimbi la imani potofu kwa wanawake na wanaume kwamba mwanamke hawezi kumwambia mwanaume ukweli kama anampenda, wengi wao husubiri kwanza mpaka mwanaume aanze kuweka wazi hisia zake, lakini ni ukweli usiopingika kwamba wanawake nao pia hupenda na wengi wao wanakuwa hawapo tayari kuwa wawazi na mara nyingi wao wakianza kupenda huwa wanapenda kweli kufikia hata hatua ya kuhisi kutokuwa sawa katika mambo yao wanayoyafanya.

Nimekuorodhoshea baadhi ya ishara za mwanamke anaekupenda ila anaogopa kukuambia kwa kuhofia namna atakavyoonekana mbele ya macho ya jamii au kuwa na hofu na jambo analotaka kukueleza kwa kufikiria kuwa itakuwaje endapo hautakuwa tayari kuwa nae na hapo ndio hukumbwa na hofu ya kuelezea hisia zake.

1. Kukupa majaribu madogomadogo ili kujua thamani yake kwako.
Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda na kumthamini au lah, mfano wa mambo hayo ni kama kujifanya anaumwa na kauangalia muitikio wako kwake, ili kutambua ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake.

2. Kugusa sehemu ya mwili wako.
Mwanamke anaekuwa na hisia za mapenzi huwa haoni aibu kugusa sehemu ya mwili wako. Anaweza kukushika mkono ama kukutomasa au hata kukumbatia kwa hisia za kimapenzi. Kwa kufanya hivyo huweza kujiwekea asilimia kadhaa za kujua kawa ni kwa asilimia kiasi gani anaweza kuwa na wewe kwenye mahusiano endapo ataweka wazi hisia zake kwako, na kwa mwitikio wako kwake, kutamrahisishia kazi ya kuwa na wewe kwa namna yoyote.

3. Kuweka ukaribu na wewe.
Huweza kukubaliana na wewe kwa jambo lolote hata kama halina maana endapo wewe tu utazungumza ili tu kuonesha kuwa yupo pamoja na wewe na pengine kurahisisha kazi yake ya kukueleza hisia zake za mapenzi juu yako. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli na hupenda kuwa karibu nawe hata kwa mawasiliano, kukutembelea kazini kwako au nyumbani pia na huwa yupo tayari kutumia gharama ya aina yoyote ili kuwa karibu na wewe.

4. Wivu.
Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Wanaweza kuwa wafanyakazi wenzako au umeongozana na ndugu zako lakini yeye pasipo kutambua hilo, huwa na kiasi kikubwa cha wivu mara tu anapokuona katika mazingira ya kuzungukwa na wasichana wengine, na huwa anaumia kama akisikia mnaitana majina ya kimapenzi haijalishi kama mnataniana yeye huwa na wivu na hapendi. Hupenda mambo hayo afanyiwe yeye tu hata kama sio mpenzi wako.

5. Hukumbuka matukio yote ya muhimu kuhusu wewe.
Hukumbuka matukio yote ya muhimu kuhusu wewe kama vile siku zako muhimu na hata mwenendo wa maisha yako kama wewe ni mwanafunzi atajua siku yako ya mahafari, mfanyakazi, na endapo utakuwa mchezaji wa mpira anaweza kujua ratiba yako ya mashindano, timu unazozipenda na kadharika. Hukumbuka siku yako ya kuzaliwa hatoweza kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifauli mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mstari wa mbele kukupongeza.

6. Hupenda kukutazama kwa shauku.
Hupendelea sana kukutazama machoni muda wote ambao mtakuwa mkizungumza pamoja akidhani kuwa utaweza kuzisoma hisia zake. Ila wengine huona aibu kuwatazama wavulana wanaowapenda hivyo huwaagalia mara chache sana ila ni kwa hisia za kimapenzi ambazo zinaweza kupelekea mwanaume kuhisi kuna kitu kinaendelea kwa mwanamke huyo.

7. Hupenda kuwa na wewe kutaka kukujua zaidi.
Hupenda kukaa muda mwingi na wewe. Hawezi kupoteza hata dakika ukimuhitaji kwa mazungumzo. Anajisikia furaha kukaa na wewe muda mrefu na hukaa bila kuchoka. Anaweza akaacha kila kitu anachokifanya hata kama ilikua ni kazi ya muhimu ili ajumuike pamoja na wewe na akikaa na wewe hupendelea sana mwanzoni kukujua wewe zaidi na hukujengea mazingira ya wewe kuwa muwazi ili umwambie mengi kuhusu wewe. na pia akiwa na wewe atakuwa muwazi zaidi kuhusu yeye hupenda sana kujua mambo yako na kukuambia mambo yake na hupenda kujua ni mavazi gani yeye akivaa anakuvutia zaidi na atajitahidi kukufurahisha kwa kadri awezavyo.

8. Hujitoa.
Kama msichana anakupenda yupo tayari kujitolea kwa hali yoyote. Ni jambo ambacho hufanywa kwa nadra na watu wa kawaida kwako. Yaani yupo tayari akose mahitaji yake muhimu lakini wewe upate. Na huweza kumwambia mtu mwingine kuwa hana kitu, lakini akajitahidi akakupa wewe unachohitaji kama vile pesa na vitu vingine.

9. Hupenda kutatua migogoro yenu kwa amani.
Migogoro ikitokea katika urafiki wenu hayupo tayari kukupoteza kabla hajakwambia nakupenda, inawezekana wewe ndie uliekosea na kuwa chanzo cha mgogoro lakini yeye hujishusha kwa kuwa anakupenda na endapo ikitokea kutokuelewana basi atafanya juu chini kuyaweka mambo sawa ili asikukose na kuhakikisha urafiki wenu unakuwa kama zamani.

10. Hupenda kukununulia zawadi.
Mwanamke anaekupenda hupenda kujua mengi sana kuhusu wewe na hapo hutumia njia nyingi kuwasilisha hisia zake kwa mfano kukununulia zawadi kama nguo za ndani, au kukununulia perfume, sabuni ya kuogea ya manukato, soksi, bukta, saa, raba, t-shirt. Na kama mkitoka pamoja mkaenda sehemu mbalimbali za manunuzi atapenda kukuonyesha vitu na wewe ukionekana umependa kitu hatonunua siku hiyo ila atanunua siku nyingine na kukuletea kama suprise.

11. Hupenda mshiriki matukio ya muhimu pamoja.
Mwanamke anaekupenda ili akujue zaidi hupendelea kuwa na wewe katika nyakati tofautitofauti kama kupata chakula pamoja, na wakati mwingine atapendelea kuja kupika kwako na ili apate nafasi ya kushiriki chakula pamoja na wewe, kwenda uwanjani kutazama mashindano au hata kumbi za starehe mkiwa pamoja.

Penzi la Prezo na Ambaer Lulu Laingia Mdudu, Prezo Aopoa Kifaa Kipya Kikali

$
0
0
Mwanadada Amber Lulu hapo siku za nyuma alikuwa akijitapa baada ya kuonekana akiwa katika mahusiano ya kimapezni na msanii kutoka Kenya Prezzo na kusema kuwa wawili hao hawawezi kuachana  kwa sababu wana mpnago wa kufunga ndoa lakini mambo yamekuwa sio baada ya kusambaa picha za mwanaume huyo akiwa na mwanamke mwingine.

Picha hizo zilizonyakwa huko mitandaoni zinamuonyesha prezzo akiwa na mwanamke mwingine huku katika ukurasa wa mwanamke huyo akiwa ameweka caption inayoashiria kuwa waili hao ni wapenzi .
Prezoo Akiwa na Kifaa Kipya , Anaitwa NotFlow

Hata hivyo hapo awali kuna picha pia zilikuwa zikisambaaa katika mtandao zikimuonyesha aslay akiwa na amber lulu nahata ambaer lulu alipoulizwa alisema kuwa yeye na Prezo mambo yao hayajakaa vizuri lakini aliwahakikishai waandishi kuwa kila kitu kitakuwa solved.

BASATA Waongelea Swala la Kufungiwa kwa Wimbo wa Sugu.

$
0
0

BASATA Waongelea Swala la Kufungiwa kwa Wimbo wa  Sugu.
 
Baada ya kufungiwa kwa muziki wake uliojulikana kama 219, sugu aliitishia baraza kuwa atawaburuza mahakamani kwa sababu wamemuonea na kwamba hata wimbo wenyewe haukuwa umetoka ila kuna mtu aliuvujisha tu .

Wimbo huo ambao unasemekana kuwa hauna maadili na umekuwa kama wa kupotosha fikra za jamii ulifungiwa kutosambazwa wala kupigwa eneo lolote lile mpaka utakapo badilishwa lakini msanii mwenyewe anasema kuwa baraza wamezoea kuwaburuza na kuwaonea wasanii hivyo yeye hatokubali kuonewa.

Akijibu na kuelezea kwanini wimbo huo umefungiwa , katibu wa BASATA Godfrey Mngerza amefunguka na kusema kuwa kama Baraza hawa angalii wimbo umetolewa na  nani bali wanaangalia kama msanii huyo amefuata taratibu za utoaji nyimbo.

Sisi hatuamngalii huyo ni nani au anafanya nini , sisi tunaangalia tu kama anafanya kazi yak ya sana vizuri,ni kazi ya sanaa na imetolewa na mwanamuziki bila kujali hizo nanii zingine..kwaio baraza la sanaa la taifa linaangalia kazi ya sanaa linaangalia kazi za msanii, lakini pia hatuangalii kazi hii imetolewa official au vipi  sisi hilo hatuangalii. sisi kama baraza tunajua kuwa kama kazi haukufuata utaratibu na sio lazima tukukufungia na wala hatuna haja ya kukuita wewe msanii.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya June 24

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya June 24

Tunatibu na Kuponesha Kabisa Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha Bila Kupasua na Vidonda vya Tumbo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME BUSHA BILA BILA KUPASUA NA VIDONDA VYA TUMBO: kwa nini uhendelee kuteseka NA kujiona mpweke pale ukutanapo NA mke au mpenzi wako kwa sababu tu hunaupunguvu wa nguvu za kiume na uume mdogo

MAPRO POWER NO 2 ndio tiba sahii ya kukurudishia heshima ya ndoa yako 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-20 kwa tendo LA kwanza 2 itaufanya uume wako uhonekane mkubwa hasa kwa wale wanaume ambao wamefanyiwa tohara wakiwa wadogo sana au wakiwa watu wazima kwani ipo dawa ya kuimalisha misuli ya uume 3 itakupa uwezo wa kurudia tendo LA ndoa zaidi ya Mara tatu 4 uhuimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa ?

WAI SASA UPATE TIBA YA UKWELI NA UHAKIKA NA NI TOFAUTI NA ULIZOWAI KUTUMIA ata wazee wa miaka 80 wanatumia na kupona kabisa ? Tunatoa dawa za uzazi maumivu ya mgongo na kiuno ,kupunguza kitambi ,matiti makubwa,dawa za kisukari,presha,dawa za mvuto wa mpenzi ambaye akutaki au hakuhudumii ipasavyo kutengeneza shepu kwa kina Dada, fika ofisini kwetu MBAGALA ZAKHEMU BARABARA YA JESHINI HIENDA KIBONDEMAJI utaona ifisi himeandikwa MABULA CLINIC

AU PIGA SIMU NO 0743362017 DR AGU

KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUFIKA OFISINI UDUMA HII UTALETEWA

Mexico Yaitandika Korea Kusini 2-1

$
0
0


Mchezo wa kundi F katika michuano ya Kombe la Dunia Urusi, umemalizika kwa Korea Kusini kufungwa mabao 2-1 na Mexico.

Mabao ya mchezo huo yaliwekwa kimiani na Carlos Vela dakika ya 26 kwa njia ya penati pamoja na Xavier Hernandez kwenye dakika ya 66.

Bao pekee la Korea liliwekwa kimiani na Song Heung mnamo dakika ya 90 zikiwa zimeongezwa tatu mpira kumalizika.

Uwoya Kafunguka Tusiyoyajua “Nimepiga Picha na Mama Mkwe, Dogo Janja Nimemzidi vingi”

$
0
0

Ili kutimiza kiu yako Mtu wa nguvu juu ya suala la Picha za Irene Uwoya tumempata yeye mwenyewe ambaye kafunguka mengi hata tusiyoyajua ikiwemo uwepo wa Mama Mkwe wakati anapiga picha hizo na mengine. Kutazama Full Interview bonyeza PLAY hapa chini. VIDEO:
Millard Ayo

PICHA: Utaipenda hii ya Gigy Money na mwanae Myra

$
0
0
Hii ni nyingine ya kuifurahia kutoka kwa staa wa Bongo Fleva Gigy Money ambaye amepost picha akiwa na mwanae Myra kwa mara ya kwanza katika ukurasa wake wa instagram ikiwa ni miezi miwili imepita tokea abahatike kumpata mtoto huyo.

Pia Gigy Money alipost video ya mwanae kupitia ukurasa wake wa instagram na kuandika ujumbe mzuri kwa mwanae ambapo aliandika “Mwanangu mzuri, Asante Mungu”


Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0


KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA
Viewing all 104766 articles
Browse latest View live




Latest Images