Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104416 articles
Browse latest View live

Cardi B Amgalagaza Vibaya Nicki Minaj BET Awards

0
0

Cardi B ametwaa tuzo ya msanii bora wa like wa HIP HOP akiwashinda wapinzani wake Nicki Minaj, Remy Ma, Dej Loaf na Rapsody. #BETAwards

Tunatibu na Kuponesha Kabisa Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha Bila Kupasua na Vidonda vya Tumbo

0
0

TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME BUSHA BILA BILA KUPASUA NA VIDONDA VYA TUMBO: kwa nini uhendelee kuteseka NA kujiona mpweke pale ukutanapo NA mke au mpenzi wako kwa sababu tu hunaupunguvu wa nguvu za kiume na uume mdogo 

MAPRO POWER NO 2 ndio tiba sahii ya kukurudishia heshima ya ndoa yako 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-20 kwa tendo LA kwanza 2 itaufanya uume wako uhonekane mkubwa hasa kwa wale wanaume ambao wamefanyiwa tohara wakiwa wadogo sana au wakiwa watu wazima kwani ipo dawa ya kuimalisha misuli ya uume 3 itakupa uwezo wa kurudia tendo LA ndoa zaidi ya Mara tatu 4 uhuimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa ? 

WAI SASA UPATE TIBA YA UKWELI NA UHAKIKA NA NI TOFAUTI NA ULIZOWAI KUTUMIA ata wazee wa miaka 80 wanatumia na kupona kabisa ? Tunatoa dawa za uzazi maumivu ya mgongo na kiuno ,kupunguza kitambi ,matiti makubwa,dawa za kisukari,presha,dawa za mvuto wa mpenzi ambaye akutaki au hakuhudumii ipasavyo kutengeneza shepu kwa kina Dada, fika ofisini kwetu MBAGALA ZAKHEMU BARABARA YA JESHINI HIENDA KIBONDEMAJI utaona ifisi himeandikwa MABULA CLINIC 

AU PIGA SIMU NO 0743362017 DR AGU 

KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUFIKA OFISINI UDUMA HII UTALETEWA

Serikali, TCRA Kupambana na Matapeli Mitandaoni

0
0
Serikali, TCRA Kupambana na Matapeli Mitandaoni
Serikali imesema kuwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na Polisi watahakikisha wanafanya kazi kwa ukaribu kuhakikisha wote wanaotapeli kwa njia ya mitandao wanakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Hayo yamebainishwa na kupitia Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, Bungeni Jijini Dodoma Wakati akijibu swali la Mbunge wa Mchinga, Hamidu Bobali aliyehoji; “Kumekuwa na wimbi sasa limeibuka la wizi wa kutumia mitandao ya simu wakiwa wanatuma sms kuwa umeshinda ‘Tatu Mzuka’ mara umeshinda Tigo, tuma pesa kwenye namba hii,kumekuwa na desturi hiyo sasa hivi. Nilitaka kupata majibu kutoka kwa Waziri TCRA imechukua juhudi gani wizi wa kutumia simu kwenye mitandao unakomeshwa na kuhakikisha wahusika wanakamatwa?


Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye akijibu swali la Mh. Bobali leo Bungeni Jijini Dodoma

“Ni kweli kwamba kumekuwa na matukio ya kutumiwa sms Watanzania mbalimbali ambazo zinaonyesha viashiria kwamba kuna utapeli unaoendelea katika huduma za mawasilino lakini kwa kutumia sheria ya 2015 ya wizi wa mitandao TCRA kwa kushirikiana na Polisi wameendelea kufanya kazi kwa karibu kuhakikisha kwamba wote wanaosambaza ujumbe huo wanakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria,” amesema Nditiye.

14 Wafariki kwa Ajali ya Roli na Daladala Mkuranga

0
0
14 Wafariki kwa Ajali ya Roli na Daladala Mkuranga
Watu 14 wamefariki dunia na wengine 4 wamejeruhiwa baada ya Gari dogo aina ya Toyota Hiace kugongana uso kwa uso na Lori la Mchanga lenye namba za usajili T 439 DCC  katika kijiji cha Dundani wilayani Mkuranga.

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Dkt.Steven Mwandambo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na zoezi linaloendelea kwa sasa ni kuwanasua baadhi ya majeruhi walionasa katika magari hayo.

Oparesheni Kata Umeme Nchi Nzima Kuanza Kesho

0
0
Tanesco Yawatangazia Kiama Wadaiwa Sugu
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limetangaza operesheni kata umeme nchi nzima kwa wadaiwa sugu kuanzia kesho.

Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa katika gazeti la Nipashe mwishoni mwa wiki, ukataji wa umeme huo utahusisha taasisi za serikali na za watu binafsi, mashirika ya umma, viwanda na majumbani.

Operesheni hiyo itaanza rasmi kesho kwa Tanesco kusitisha huduma kwa wateja wote wanaodaiwa malimbikizo ya madeni ya ankara za umeme.

"Wateja wote wenye madeni wanatakiwa kulipa bili zao kabla ya Juni 26, mwaka huu (kesho). Tanesco haitatoa taarifa nyingine zaidi ya tangazo hili," lilisema tangazo hilo.

Machi mwaka jana, Rais John Magufuli alisema taasisi zote za umma zinapaswa kulipwa madeni ya Tanesco la sivyo zitakatiwa umeme.

Rais Magufuli aliyekuwa akiweka jiwe la msingi kwenye kituo kipya cha Tanesco mkoani Mtwara, alisema Serikali ya Zanzibar kupitia Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco), ina deni la Tanesco la kiasi cha Sh. bilioni 121.

"Msiogope mnapaswa kukata huduma hii kwa taasisi yoyote ambayo hailipi bili zake. Nataka kumwambia Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (wakati huo) kwamba umeme unapaswa kukatwa hata Ikulu. Nikilala gizani, halafu maofisa wa Ikulu ambao hawajalipa watawajibika na siyo wewe. Una hakikisho langu kwa hili," alisisitiza.

Kijana Aliyemuokoa Mtoto Gorofani Ashinda Tuzo ya Heshima ya BET

0
0
Kijana Aliyemuokoa Mtoto Gorofani Ashinda Tuzo ya Heshima ya BET
Kijana Mamoudou Gassama (Spiderman) raia wa Mali ambaye mwezi uliopita alijipatia umaarufu duniani kote kwa kitendo cha kumuokoa mtoto aliyekuwa akining’inia ghorofa ya tano jijini Paris usiku wa kuamkia leo amekwara tuzo ya heshima ya BET nchini Marekani.

Gassama na wenzake watano Justin Blackman, Anthony Borges, Shaun King, James Shaw Jr. na Naomi Wadler wamepewa tuzo hiyo ya heshima katika kipengele cha “Humanitarian Awards”.


Tazama orodha kamili ya washindi wa tuzo zaa BET 2018 zilizofanyika jijini Los Angeles usiku wa kuamkia leo.

TFF Kutoa Mafunzo ya Mfumo Mpya wa Usajili leo

0
0
TFF Kutoa Mafunzo ya Mfumo Mpya wa Usajili leo
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) linaanza rasmi kutoa mafunzo ya mfumo mpya wa usajili leo unaojulikana kwa jina la TFF FIFA CONNECT.

Mafunzo ya mfumo huu yanaanza kwa ngazi kwa klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kupitia semina ambazo zitawakilishwa na viongozi wa timu husika zinapaswa kupewa elimu hiyo kiundani.

Kwa mujibu wa Ofisa wa Habari wa TFF, Clifford Mario Ndimbo, alisema mfumo huo wa usajili ni wa kitofauti tofauti na ule wa zamani ambao ulizoeleka na wengi.

Semina ya mafunzo hayo inafanyika katika makao makuu ya shirikisho hilo yaliyopo mitaa ya Karume, Ilala, Dar es Salaam.

Baada ya semina kwa ngazi ya klabu za Ligi Kuu Bara, kesho itaendelea tena kwa ngazi ya Ligi Daraja la Kwanza na kuhitimishwa keshokutwa Jumatano kwa Ligi Daraja la Pili.

Nywele Zamponza Carles Puyol Apigwa Stop Kutangaza Kipindi cha Michezo

0
0
Nywele Zamponza Carles Puyol Apigwa Stop Kutangaza Kipindi cha Michezo
Beki wa zamani wa Barcelona na Uhispania Carles Puyol amepigwa marufuku kushiriki katika kutangaza na kuchambua vipindi vya michezo katika msimu huu wa kombe la dunia nchini Iran kwa kuwa na nywele ndefu.

Licha ya kukubali kushiriki kwenye kipindi cha kutangaza mechi ya kombe la dunia kati ya Uhispania na Iran na hata kuwasili Iran, Puyol alilazimika kubaki kwenye hoteli baada ya kunyimwa ruhusa kutangaza mchuano huo.

Puyol alitarajiwa kushiriki kipindi hicho special kwenye kituo cha IRTV 3 akiwa na mtangazaji Adel Ferdosipour.

Puyol alifahamishwa na idhaa ya taifa ya IRIB hangeweza kushiriki kwenye kipindi kwani nywele zake zilikuwa ndefu na kukinzana na mafunzo ya Kiislamu

Babu Tale Afunguka Ajali Aliyoipata Daimond Akiwa Marekani

0
0
Babu Tale Afunguka Ajali Aliyoipata Daimond Akiwa Marekani
Moja ya Mameneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amefunguka kuhusu ajali aliyokumbana nayo muimbaji huyo akiwa nchini Marekani.

Babu Tale akizungumza na JJ wa Jembe Fm amesema kuwa ajali hiyo imetokana na dereva aliyekuwa nyuma kushinda kuzingatia taa.

“Nadhani ni dereva wa lile gari lingine hakuwa amezingatia taa, kwa hiyo alipita wakati gari ya kina Diamond linapita ndio akawagonga,” amesema Babu Tale.

Utakumbuka June 23, 2018 Diamond Platnumz ndiye aliyeweka wazi kunusurika katika ajali hiyo ya gari akiwa nchini Marekani ambapo upo kwa ajili ya tour ya albamu yake ‘A Boy From Tandale’, hata hivyo hakuna majeruhi yeyote aliyeripotiwa.

Mambo ni Hivi Casto Dickson Achora Tatoo ya Tunda Mkononi

0
0
Mambo ni Hivi Casto Dickson Achora Tatoo ya Tunda Mkononi
Moja kati ya penzi ambalo limekuwa likikua kwa kasi ni penzi kati ya Mtangazaji Casto Dickson na Staa Tunda ambao wamekuwa wakionyesha furaha ya penzi lao kwa ku-post picha kwenye mtandao wa Instagram na time hii wawili hao wametuonyesha kukua kwa penzi hilo baada ya Casto kuchora Tattoo ya Tunda.

Casto amechora Tattoo hiyo ya Tunda kwenye mkono wake na wakati wa uchoraji wa Tattoo hiyo wawili hao walikuwa pamoja kwani walianza kupost video na picha zikionesha tukio la uchoraji wa Tattoo hiyo. Je tutegemee naye Tunda atachora Tattoo hiyo..?

Kutana na Maalim Fadhili Rashid ni Mtaalam Watiba za asili kwa Kutumia Nyota na Kurwani

0
0

KUTANA NA MAALIM FADHILI RASHIDI NI MTAALAM WATIBA ZA ASILI JE? UMEACHWA NAMPENZI WAKO? JE? NA HAUJUI NAMNA YA KUMRUSHA?

MAALIM FADHILI RASHIDI HURUDISHA MAHUSINO NA MPENZI WAKO ALIE KUACHA NDANI YA MASAA (72) TU MUONE HARAKA AKUSAIDIE, ACHA KUTESEKA NA MAPENZI

MAALIM FADHILI RASHIDI NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUUKUUMA NAKUWAKA MOTO, PRESHA, KISUKARI, VIDONDA VYATUMBO, PUMU,

TEZI NA UVIMBE TUMBONI, ANA UWEZO WAKURUDISHA MTU ALE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE), KUMFANYA MKE/ MUME/ MPENZI ASIKUSALITI, DAWA YA ( LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA,

KUMUONA MBAYAWAKO LIVE KWA SABABU MAALUMU, ANATOWA PETE YA BAHATI NA KUMILIKI MALI ZA MAJINI, DAWA YA UZAZI, KUSHIKA UJAUZITO NDANI YA SIKU (14) TU

DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZI UPENDAYO, DAWA YA NGUVU ZA KIUME, PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEPU KUWA NA UMBO BOMBA,
KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULIMIWA UTARUDISHIWA MALI YAKO NDANI YA MASAA (72) TU, ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKI YAKO, MVUTO WA MAPENZI NA BIASHARA, KUUZA MALIYAKO KWA HARAKA

KUZUIYA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, KUSAFISHA NYOTA NA KUTOWA MIKOSI, KUPANDISHWA CHEO KAZINI, ACHAKUHANGAIKA MAALIM FADHILI RASHIDI NDIO MKOMBOZI WAKO

CALLING +255 7193628 06/ +255 763276239/
WHATSAPP IMO +255 785786436

Rais Magufuli Asikitishwa na Vifo vya Watu 14 Waliokufa kwa Ajali

0
0
Rais Magufuli Asikitishwa na Vifo vya Watu 14 Waliokufa kwa Ajali
Rais Dkt. John Magufuli amepokea kwa mshtuko na masikitiko taarifa ya vifo vya watu 14 waliopoteza maisha baada ya basi dogo walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la kubebea mchanga katika eneo la Dundani Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani.

Dkt. Magufuli amesema hayo katika salamu zake za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo baada ya kupita masaa kadhaa tokea ajali hiyo kutokea leo Juni 25, 2018 wakati basi dogo lililowabeba wanafamilia, ndugu na jamaa waliokuwa wakielekea Msata kuhudhuria sherehe za kumaliza mafunzo ya kijeshi  kwa mtoto wao, kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa linatoka Dar es Salaam kwenda Dundani kuchukua mchanga.

"Naomba unifikishie pole nyingi kwa wanafamilia wote waliopatwa na msiba, waambie naungana nao katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na wapendwa wao, na sote tuwaombee marehemu wote wapumzishwe mahali pema peponi", amesema Rais Magufuli.

Kwa upande mwingine Rais Magufuli pia amewaombea majeruhi wanne wa ajali hiyo wapone haraka ili waweze kuungana na familia zao na kuendelea na majukumu yao ya kila siku.

Mtoto wa Diamond, Tiffah Anyemelea Anga za Asahd wa Dj Khaled

0
0
Mtoto wa Diamond, Tiffah anyemelea anga za Asahd wa Dj Khaled
Hakuna ubishi kuwa mtoto wa Diamond Platnumz, Tiffah ni maarufu zaidi katika ile orodha ya watoto wa mastaa Bongo.

Sio Bongo pekee, Diamond anamtaja Tiffah kama miongoni mwa watoto wanaofuatiliwa zaidi katika mitandao ya kijamii; My Miss World….. Most Followed Female kid in the WORLD!!!’

Ndiyo, ni kweli Tiffa anafuatiliwa zaidi kwenye mitandao, ukurasa wake wa Instagram una followers Milioni 1.8. Ikiwa ni tofauti ya followers 100,000 na mtoto wa Dj Khaled, Asahd mwenye followers Milioni 1.9.

Hivyo Diamond anapoeleza kuwa mwanae ni miongoni mwa watoto wa kike wanaofuatili zaidi duniani (Most followed female kid in the world) anamaanisha.

Tiffah ambaye alizaliwa August 6, 2015 alifikisha followers Milioni 1 katika mtandao Instagram November 30, 2016.

Watoto wengine wa mastaa Bongo wenye followers zaidi ya 100,000 ni Jaden wa Ray Kigosi na Chuchu Hansy, followers 171k na Cookie wa Aunt Ezekiel na Mose Iyobo, followers 420k

Tanzia: Msanii D'Banj Afiwa na Mtoto Wake

0
0
Tanzia: Msanii D'Banj Afiwa na Mtoto Wake
HABARI zilizopatikana ni kwamba mtoto wa kiume wa mwanamuziki maarufu wa Nigeria,  D’Banj, amefariki dunia.

Mtoto huyo ambaye alimzaa na mkewe Didi Lineo mnamo  Mei 2017 na aliyepewa jina la D’Banj mwenyewe la Daniel Oyebanjo III, inasemekana kwamba amekufa kwa kuzama majini.

D’Banj ameshea picha ya rangi nyeusi kwenye akaunti yake ya Instagram na kuandika:

Trying Times 💔🖤. But my God is Always and Forever Faithful 🙏.

Mtatiro Asema Hakuna CUF Lipumba Wala Seif

0
0
Mtatiro Asema Hakuna CUF Lipumba Wala Seif
Mwenyekiti Kamati ya muda ya uongozi wa Chama cha Wananchi  CUF, Julius Mtatiro amekanusha kuwepo na CUF mbili ndani ya chama chake ambayo hujulikana (CUF ya Lipumba, CUF ya Seif)  kwa madai kuwa Mkutano mkuu wa Chama ulithibitisha kujiuzulu kwa Lipumba tangu 2015.

Akizungumza na East Africa Breakfast, Mtatiro amesema kwamba usaliti alioufanya ndiyo Lipumba umemfanya kutotambulika na vyombo mbalimbali vya Chama hicho, hivyo  kinachofanyika kwa sasa ni Lipumba pamoja 'kagenge' chake kuungwa mkono na Serikali pamoja na Msajili wa Vyama na Chama Cha Mapinduzi lakini siyo  sehemu ya CUF.

Akisisitiza uhalali wa Lipumba ndani ya Chama  hicho, Mtatiro amesema kwamba Msaliti wa ndani huwa hasamehewi popote pale duniani, ndiyo maana wao wanapambana na kiongozi huyo kwa kuwa ni adui wa ndani ya chama.

Mtatiro amesema  kwamba "Lipumba asiitwe upande wa chama kwani madiwani zaidi ya 400 pamoja na Wabunge wa CUF kutoa wale waliotolewa wakawekwa wa CCM wote wanaunga msimamo wa Chama kwamba CUF ipo lakini Lipumba hana upande".

"Unavyostuka nyoka kalala na watoto ndani ya nyumba unamuua haumshiki mkono, lakini kama  ukimuona nje ya uzio wa nyumba yako unamfukuza. Lipumba angekuwa anatusumbua yupo nje ya nyumba yetu tusingehangaika naye, lakini yeye ni adui wa ndani. Wasaliti wa ndani hawasamehewi dunia nzima. Msaliti anayesamehewa ni yule wanje. Ni kam tu vitani. Lakini askari wako wa ndani akienda kuungana na adui haumsamehi. Binafsi siwezi kumsamehe" Lipumba.


Ahukumiwa Miaka 3 Jela kwa Kuwauzia Watu Sambusa za Nyama ya Paka

0
0
Ahukumiwa Miaka 3 Jela kwa Kuwauzia Watu Sambusa za Nyama ya Paka
Mtu aliyetuhumiwa kwa kuuza nyama ya paka katika sambusa amehukumwa kifungo cha miaka mitatu na mahakama ya Nakuru

Hakimu mkuu Benard Mararo alimhukumu James Mukangu Kimani baada ya kukiri kosa hilo alipowasili katika mahakama hiyo siku ya Jumatatu.

Bwana Kimani alishtakiwa kwa kuchinja na kuuza nyama ya paka kwa wateja wake mnamo mwezi Juni 24 mjini Nakuru.

Alishtakiwa kwamba alimchinja paka kwa matumizi ya binaadamu kinyume na sheria ya chakula , dawa na kemikali.

Mwanamume huyo alikamatwa Jumapili ambapo inadaiwa alipatikana akimchuna ngozi paka.

Gazeti la Star linasema mwenyewe alikiri kupika sambusa akitumia nyama hiyo.

Taarifa kwenye vyombo vya habari Kenya zinasema mwanamume huyo alikiri kuuza nyama ya paka zaidi ya elfu moja mjini humo tangu mwaka 2012.

Gazeti la Nation linasema aliwaambia wanahabari kwamba alianza 'biashara' hiyo baada ya "kugundua kulikuwa na pengo sokoni".

Alisema huwa anauza pia ngozi za paka na kwamba kwa kila paka hujipatia takriban Sh500 (Dola 5 za Marekani).

"Huwa nawaambia wateja wangu kwamba huwa naipata nyama hii kutoka Gioto (jaa la kutupa taka), lakini huwa hawajui kwamba ni nyama ya paka," alinukuliwa na gazeti la Nation.

Polepole Awapa Makavu Viongozi Mungu Watu " Zama Hizo CCM Hakuna Tena"

0
0
Polepole Awapa Makavu Viongozi Mungu Watu " Zama Hizo CCM Hakuna Tena"
Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kuendelea kuwa watumishi wa watu kwa kufikika kwa haraka pale wanapohitajika ikiwa ni pamoja na kusimamia mali za Umma na Chama hicho kwa kuwa ndio msingi wa ushindi wa CCM katika zama zote.

Hayo yamebainishwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Bw. Humphrey Polepole wakati akiwa amekutana na Makatibu wa Siasa na Uenezi wa CCM wa Majimbo, Wilaya na Mikoa yote ya Zanzibar na kuendesha Mafunzo ya Kimkakati ya kuwaongezea maarifa, uweledi na ujuzi katika eneo la Siasa, Itikadi na Uenezi.

Polepole amesema kwamba zile zama za viongozi kujihisi wako juu ya wananchi na hawawezi kupatikana pale wanapohitajika na wananchi zimekwisha, na kwamba Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pi ni rais wa nchi yeye anawapatia fursa wananchi wake pale wanapomuhitaji.

"Zama za viongozi kuwa Mungu watu zimekwisha kwenye chama chetu, ukipigiwa simu pokea. Ukitumiwa meseji jibu hata kama hutaweza kujibu meseji zote.  Mimi najua Mwenyekiti John Pombe Magufuli anapokea simu na anajibu meseji, wewe waziri ni nani au wewe kiongozi wa Chama mkoa hufikiki umekuwa nani? Zama hizo ndani ya CCM hakuna tena nawataka mjirekebishe," Polepole

Pamoja na hayo Katibu Mwenezi huyo amewataka wanaCCM kupitia vikao kuendelea kuifuatilia, kuisimamia na kuitathimini Serikali yao katika namna ambavyo itaendelea kuchochea maendeleo ya wananchi ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015-2020.

Padri Mwimba Rap Aliyesimamishwa Kazi Atamani Kufanya Kolabo na Daimond

0
0
Padri Mwimba Rap Aliyesimamishwa Kazi Atamani Kufanya Kolabo na Daimond
Padri aliyejipatia umaarufu nchini Kenya kwa kutumia muziki wa Hip Hop kanisani ili kushawishi vijana kuhudhuria kwenye Ibada, Paul Ogalo amefunguka kuwa ana uwezo mkubwa wa kuimba kila aina ya muziki na yupo tayari kufanya kolabo na msanii yeyote akiwemo Diamond Platnumz.

Padri Ogalo kupitia mahojiano yake na BBC amesema kuwa anauwezo wa kufanya kolabo na wasanii wakubwa nchini Kenya kama Nameless, Willy Paul, Size 8, Wyre na kwenda mbali zaidi kwa kumtaja Diamond Platnumz.

“Naweza kufanya kolabo na watu kama Willy Paul, Wyre, Size 8, Nameless na wengine hata Diamond Platnumz,“amesema Padri Ogalo.

Jana Kanisa Katoliki nchini Kenya kupitia kwa Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Homa Bay,  Philip Anyolo lilitangaza kumsimamisha kazi Padri huyo kwa mwaka mmoja kwa kitendo cha ku-rap kanisani. Tazama mahojiano yake na BBC hapa chini

Ndemla Apata Shavu Ulaya Aitwa kwa Majaribio

0
0
Ndemla Apata Shavu Ulaya Aitwa kwa Majaribio
UWEZEKANO wa kiungo mkabaji wa Simba, Said Ndemla kuichezea timu hiyo ni mdogo. Ni baada ya kupata ofa ya kwenda kufanya majaribio Ulaya.

Kiungo huyo, hivi sasa anavutana na timu yake hiyo katika kuongeza mkataba mpya wa kuichezea ambao ulimalizika mwishoni mwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara.



Awali, kiungo huyo alikuwa anavutana na Simba katika dau la usajili ambalo aliwekewa shilingi milioni 50 huku mwenyewe akitaka milioni 70 kabla ya baadaye kuleta hoja nyingine ya kuomba mkataba wake uboreshwe kwa kutaka acheze mechi.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo imezipata Championi Jumatatu kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, kiungo huyo ameomba asaini mkataba wa awali ‘pre contract’ na hatma ya kusaini mkataba wenyewe kamili itajulikana katika matokeo ya majaribio yake.



Mtoa taarifa huyo alisema, taarifa za klabu ipi anakwenda kuichezea inafanywa siri na uongozi wa Simba inayopambana kuhakikisha wanambakisha kiungo huyo.

Aliongeza kuwa, Simba wamepanga kumsainisha mkataba huo wa awali leo Jumatatu baada ya pande mbili kukubaliana kwa maana ya uongozi na mchezaji mwenyewe.

“Ndemla alitakiwa asaini mkataba juzi (Ijumaa) lakini ikashindikana ni baada ya kupishana viongozi na mchezaji mwenyewe na kikubwa lilikuwa ni suala la muda pekee.



“Alitakiwa asaini mkataba wa awali ambao ameandaliwa na uongozi na atasaini mkataba huo kesho Jumatatu kabla ya kwenda Ulaya ndani ya wiki hii kwenye majaribio,” alisema mtoa taarifa huyo ambaye alipoulizwa atakwenda nchi gani Ulaya akasema hana uhakika. “Nadhani ni kati ya Ufaransa na Sweden,” alisema.

“Hatma ya kusaini mkataba wenyewe kamili Simba tofauti na huo wa awali itajulikana baada ya majibu ya majaribio yake atakayoyafanya.



“Na uongozi ungeweza kumuachia kwenda kwenye majaribio hayo bila kumsainisha mkataba huo wa awali lakini wanahofia kumruhusu Ndemla kwenda huko bila ya kumpa mkataba kwa kuihofia Yanga,” alisema mtoa taarifa huyo.

Alipotafutwa Ndemla ambaye alikuwa ameshamaliza mkataba wake Simba, kuzungumzia hilo alisema “Bado sijasaini mkataba Simba, hivi sasa tupo kwenye mazungumzo ya mwisho kabla ya kusaini mkataba huo.

“Kuhusiana na taarifa za kwenda kwenye majaribio Ulaya ni kweli ninatarajia kwenda kwenye majaribio nje ya nchi na klabu nitakayokwenda ni mapema kuweka wazi hivi sasa,” alisema Ndemla.

Habari Njema Kwa Wanaume Wote Wenye Matatizo ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

0
0

Je unawahi hufika mapema kileleni? Je uume wako hausimami imara ipasavyo? Je hupati hamu ya kurudia tendo la ndoa? Je unamaumbile madogo ya uume?

Sasa ipo tiba sahihi inayomaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume na maumbile madogo kwa wakati.

- NGAKWA ni dawa bora ya asili inayotibu tatizo la nguvu za kiume nakulimaliza kabisa bila tatizo tena kujirudia.

- NKOMA ni dawa ya asili inayokuza na kunenepesha maumbile ya uume yaliyo madogo au kusinyaa kabisa wastani (Inch 6-7)

- Pia tunatibu matatizo mengine ya mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke kama Ngiri, Kuvimba Korodani, Kushika au Kutia mbimba, Fangasi Sugu, Uvimbe kwenye kizazi Nk.

Dr FARU anapatikana Buguruni Dar es salaam, Piga Namba - 0755996494

HUDUMA ITAKUFIKIA POPOTE PALE ULIPO.
Viewing all 104416 articles
Browse latest View live




Latest Images