Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa 

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za 

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende. 

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi . 

Wasiliana nasi kwa sim no 0717702227 au 0754568767.DR . SAGUDA nyote mnakaribishwa


Majina ya Wanaodaiwa Na Suma JKT Yaanikwa, Wamo Mawaziri, Wabunge na Makada CCM

$
0
0

Shirika  la Uzalishaji Mali la Suma JKT, limetangaza orodha ya majina ya wadaiwa wake sugu wa matrekta ambamo wako pia mawaziri wa sasa, mawaziri wastaafu, wabunge na wakuu wa mikoa.

Baadhi ya majina ya mawaziri wa sasa yaliopo kwenye orodha hiyo ni Waziri wa Uvuvi na Mifugo, Luhaga Mpina na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Kangi Lugola.

Pia kwenye orodha hiyo yumo Naibu Waziri wa Wizara ya Uvuvi na Mifugo, Abdalah Ulega, ambaye ni Mbunge wa Mkuranga.

Mawaziri wastaafu waliotajwa kwenye orodha hiyo ni Dk. Juma Ngasongwa ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara na waziri wa wizara mbalimbali kwenye serikali zilizopita.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo, ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato mkoani Geita naye ametajwa kwenye orodha hiyo.

Mwingine aliyetajwa kwenye orodha hiyo yenye jumla ya majina 1,392 ni aliyekuwa Waziri wa Fedha kwenye utawala wa awamu ya nne, Mustapha Mkulo.

Wakuu wa mikoa wa sasa waliotajwa kwenye orodha hiyo ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka na Mkuu wa Mkoa wa Sindiga, Dk. Rehema Nchimbi.

Wabunge waliotajwa kwenye orodha hiyo ni pamoja na Husna Mwilima wa Kigoma Kusini (CCM), Mbunge wa Shinyanga Mjini, Steven Maselle (CCM) na Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu (CCM).

Wabunge wengine waliotajwa ni Ignas Malocha wa Jimbo la Kwela (CCM), Mbunge wa Kilolo (CCM), Venance Mwammoto, Mbunge wa Korogwe Mjini (CCM), Mary Chatanda na aliyekuwa Mbunge wa Songea Mjini (CCM), marehemu Laurence Gama.

Kwenye orodha hiyo pia wamo wabunge waliopita akiwemo aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila na aliyewahi kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini (CCM), Benson Mpesya (2000-2010).

Wabunge wengine waliopita waliotajwa ni aliyekuwa Mbunge wa Manyoni Magharibi (CCM), Paul Lwanji, aliyekuwa Mbunge wa Afrika Mashariki (CCM), Kate Kamba, aliyekuwa Mbunge wa Mbarali (CCM), Modestus Kilufi na aliyewahi kuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (CCM), Manju Msambya.

Mwingine aliyetajwa ni aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM na mwanachama wa Chadema sasa, John Guninita.

Kwenye orodha hiyo pia ametajwa aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, marehemu Said Mwambungu.

Katika tangazo la SumaJKT lililotoka jana kwenye moja ya magazeti ya kila siku, wadaiwa walioshindwa kutekeleza agizo la Rais Magufuli la kulipa madeni wanayodaiwa kwa wakati, walitangaziwa hatua kali za kisheria kuchukuliwa dhidi yao.

Wakati akizindua Kituo cha Uwekezaji cha Jeshi la Wananchi (JWTZ) kupitia Suma JKT kilichopo Mgulani, jijini Dar es Salaam Mei 17, Rais John Magufuli alitoa mwezi mmoja kwa wadaiwa hao kulipa madeni yao kabla ya msako wa kuwatafuta haujaanza.

Baadaye, Suma JKT iliwatangazia wote wanaodaiwa kupitia tangazo lao la hivi karibuni kwa kuwataka wadaiwa kulipa kabla ya Juni 15, muda ambao tayari umeshaisha.

Tangazo lingine lililotolewa na Makao Makuu ya SumaJKT la Jumanne wiki hii likiwa na kichwa cha habari 'Lipeni madeni kwa wakati' lilisema wale walioshindwa kutekeleza agizo hilo watachukuliwa hatua za kisheria.

Pia tangazo hilo liliwaeleza wale waliopatiwa huduma ya ulinzi na Suma JKT Guard na kushindwa kulipa kuwa huduma hizo zitasitishwa na watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwamo kukamata mali zao kufidia deni wanalodaiwa.

Ufaransa, Argentina, Denmark Na Croatia Zafuzu 16 Bora

$
0
0
Croatia na Argentina zimefuzu kucheza hatua ya mtoano katika 16 za michuano ya Kombe la Dunia huko Urusi.

Argentina wamemaliza michezo yao kwenye kundi D wakiwa na alama 4 katika nafasi ya pili kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Nigeria jana usiku.

Mabao ya Argentina yaliwekwa kimiani na Lionel Messi mapema katika dakika ya 14 huku la pili likifungwa na Marcos Rojo mnamo dakika ya 86 ya kipindi cha pili.

Bao pekee la Nigeria liliwekwa kimiani kwa mkwaju wa penati kupitia kwa Victor Moses katika dakika ya 51 ya kipindi cha pili.

Wakati huo Ufaransa pamoja na Denmark zimefuzu kuingia mtoano baada ya sare ya kutofungana  jana mchana katika mchezo wa kundi C.

Kutokana na matokeo hayo, Ufaransa sasa itakipiga dhidi ya Argentina katika hatua ya mtoano huku Denmark ikicheza dhidi ya Croatia.

Kumlinda Mpenzi ni Sawa na Kulinda Samaki Baharini..Ukilinda Kigamboni Wenzako Wanavua Bagamoyo

$
0
0


Jamani wanawake wengine hawajielewi, hawaelewi jinsi mahusiano yalivyo complex.Ngoja niende direct tuende kwenye point. Mke wangu ana tabia ambayo hakuna mwanaume wa aina yoyote atamvumilia. Nimechoka sasa ni muda muafaka wa action najua iko siku atajuta kunifahamu.

Wote tunafanya kazi za kuajiriwa, hivyo tunatoka asubuhi tunarudi jioni, japo yeye anatangulia kurudi nyumbani. Sasa ana tabia ya kubeba kila umbea anaopata kutoka kwa mashosti zake na kuja kunisimulia mimi. Story za nani anatembea na nani, mke wa nani ana mahusiano na nani, mume wa nani anatembea na nani, nani ana tabia gani etc. Mimi huwa sina tabia ya kufuatilia maisha ya watu, nimejiwekea commitment kwa kazi yangu na familia yangu. Ya mtaani siyapi uzito, japo ni muhimu kujua ABC za kitaa.

Moja, Kuna jirani yetu ana duka, mke wangu akapata story kuwa yule mama na mumewe ni waathirika. Mwenzangu akatangaza marufuku kwenda kununua kitu chochote pale. Nikamweleza kuwa kama ukimwi ungekuwa unaambukizwa kwa style hiyo basi sijui kama kuna binadamu angebaki hapa duniani. Akaninunia.

Lingine linalofanana na hilo: Kuna siku alikuja akanisimulia habari za mama mwingine mwenye duka pale gengeni a.k.a. Mama J ambaye hana mume alivyo na tabia mbaya, Kuwa anawaingiza wanaume kwake anawabadilisha tu. Sikutaka kupoteza muda kwenye huo mjadala, kumbe yeye alitaka atoe ultimatum kuwa ni marufuku kwenda kununua bidhaa kwenye hilo duka. Siku moja akaniomba nimsindikize tukachukue maziwa mida ya jioni kwani mwenye kuuza hakuweza kuleta. Wakati huo, tulikuwa tunatafuta mayai ya kienyeji na upatikanaji wake ni wa shida.

Sasa tukiwa tunapita barabarani nikaona kwa duka la mama J ana mayai ya kienyeji tena mengi tuu. Saa ya kurudi nikashauri tuchukue mayai, akasema twende nyumbani. Nikamshawishi kwani upatikanaji wa mayai ni shida, tukapitia pale tukachukua mayai kumi. Pia nikanunua vocha ya tigo. Mama J akasema vocha iliyobaki ni ya kurusha. Nikamwambia poa nirushie, nikamtajia namba. Kumbe hapo ndo nikawa nimetibua nyongo bila kujua.
Tulipotoka pale njia nzima nikaona mtu kanuna hataki kuongea. Kufika home kaniita chumbani akaanza kunigombeza, eti mbona alishaniambia tabia za yule mama alafu bado naenda kununua vitu kwake?


Pili, nikipigiwa simu haijalishi ni muda gani na ni wapi, lazima aulize nani amekupigia na anasemaje. Ukweli hata nikimwambia hawezi kumfahamu kila mtu na siyo kila kitu naweza kumsimulia, mambo mengine ni ya kikazi. Kila wakati anapekua simu yangu kana kwamba niko polisi.

Tatu, tumebahatika kuwa na usafiri, na tunapokaa daladala ni za shida kidogo. Hivyo, kila asubuhi lazima tutoke wote, tumpitishe mtoto shule, then nimdrop yeye kazini. Sasa tukiwa njiani akimwona mtu yeyote anayemfahamu ananiamrisha tumpe lifti huyo mtu. Kumbuka mimi simwulizi kuwa huyo mtu ni nani wake. Nachukulia kawaida. Sasa ikitokea mimi nimemkuta mtu ninayemfahamu au rafiki yangu, huyo mtu akishuka kwenye gari, basi nitaulizwa maswali kama vile niko polisi nahojiwa. Na bahati mbaya ikiwa ni mwanamke, basi ananuna na wakati mwingine nikitaka kusimama anasema twende bana tunachelewa. Hii imenikera sana kuliko kawaida.

Sasa, kuna shosti zake wa karibu sana, mara nyingi nawapa lifti anapotoka kazini, basi anawasifia sana kuwa wana tabia nzuri, sometimes ananiomba tuwapeleke mpaka mjini japo sina ratiba ya kwenda huko. Sasa hao mashosti zake nimetembea nao na hajui. I just wanted to prove kuwa mambo yake ya kijinga hayanizuii kufanya nikiamua. Jamani kumlinda mpenzi ni sawa na kulinda samaki baharini, ukilinda Kigamboni wenzako wanavua bagamoyo.

Anyway, nipeni wazo mbadala nimfanyeje ili aelewe hilo somo?

Wadada Mmezidi Sasa..Soma Hii Ujionee

$
0
0
Kuna mdada nimeanzisha naye uhusiano kama wiki moja iliyopita. ni mtu mwenye ajira yake, mshahara analipwa. siku tumekutana kwa first date alikuja na rafiki yake tukanywa na kula aafu tukaagana. mkononi alikuwa na simu ya kama laki 5 hivi.

Siku tatu baadaye nikampigia simu hapokei aafu akanitumia msg "simu imetumbukia kwenye maji hi yo siwezi kupokea".

Jana kanambia anaomba mimsaidie ili apate mawasiliano, nikamwambia ntanunua ya elfu 50 ili awepo hewani anapotafuta nyingine. Cha ajabu ananambia anataka kama ile ile hivyo nimwongezee laki 2 nyingine ataongeza! Nikacheka kimya kimya huku nikishangilia kusave 50 yangu!

Jamani mishahara yeti ina bajeti yake na so kwa ajili deny! na wengine tunataka kuwa na watu wa kudumu nao,mnatutisha na hizo harakati zenu za usakaji was hela! Tipelekane taratibu jamani, looh!

Utani wa Spika Ndugai Baada ya Bunge Kupitisha Bajeti kuu 2018/19

$
0
0
June 26, 2018 Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania limeyakubali na kuyapitisha mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2018/19 kwa  kupigiwa kura za NDIO 266 huku HAPANA zikiwa 82.

 Baada ya kazi hiyo Spika Job Ndugai alitumia nafasi hiyo kuipongeza Serikali lakini akawakumbusha Mawaziri husika kuwakumbuka zaidi Wabunge waliopiga kura za ndio na sio wale waliosema hapana katika bajeti hiyo.


Tunatibu na Kuponesha Kabisa Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha Bila Kupasua na Vidonda vya Tumbo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME BUSHA BILA BILA KUPASUA NA VIDONDA VYA TUMBO: kwa nini uhendelee kuteseka NA kujiona mpweke pale ukutanapo NA mke au mpenzi wako kwa sababu tu hunaupunguvu wa nguvu za kiume na uume mdogo

MAPRO POWER NO 2 ndio tiba sahii ya kukurudishia heshima ya ndoa yako 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-20 kwa tendo LA kwanza 2 itaufanya uume wako uhonekane mkubwa hasa kwa wale wanaume ambao wamefanyiwa tohara wakiwa wadogo sana au wakiwa watu wazima kwani ipo dawa ya kuimalisha misuli ya uume 3 itakupa uwezo wa kurudia tendo LA ndoa zaidi ya Mara tatu 4 uhuimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa ?

WAI SASA UPATE TIBA YA UKWELI NA UHAKIKA NA NI TOFAUTI NA ULIZOWAI KUTUMIA ata wazee wa miaka 80 wanatumia na kupona kabisa ? Tunatoa dawa za uzazi maumivu ya mgongo na kiuno ,kupunguza kitambi ,matiti makubwa,dawa za kisukari,presha,dawa za mvuto wa mpenzi ambaye akutaki au hakuhudumii ipasavyo kutengeneza shepu kwa kina Dada, fika ofisini kwetu MBAGALA ZAKHEMU BARABARA YA JESHINI HIENDA KIBONDEMAJI utaona ifisi himeandikwa MABULA CLINIC

AU PIGA SIMU NO 0743362017 DR AGU

Wolper Afunguka Mahusiano Yake na Mr Nice

$
0
0
Wolper Afunguka Mahusiano Yake na Mr Nice
BAADA ya kuonekana akila bata nchini Kenya na mwanamuziki Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ na kuibuka kwa madai kwamba wanatoka kimapenzi, staa wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameibuka na kufungukia ukaribu wao.

Awali Wolper aliweka video kwenye ukurasa wake wa Instagram ikimuonesha akila bata yaani wakiwa klabu akivuta shisha huku Nice akinywa pombe ambapo watu mbalimbali walidai huenda wanatoka kimapenzi.

Kutokana na madai hayo Risasi Mchanganyiko lilimtafuta Wolper kwa njia ya simu akiwa nchini Kenya na kumuuliza kuhusu ukaribu wake na Nice ambapo alisema ni wa kawaida tu na wako karibu kwa sababu bosi wao ni mmoja.
Image result for wolper na mr nice
“Watu wajue sisi tupo kikazi zaidi kwani kuonekana na mtu ni lazima awe mpenzi wako? Si lazima, huyu ni kaka yangu na bosi wetu ni mmoja, projekti yetu ikiwa tayari tutaitangaza itajulikana tu lakini kwa sasa bado ni mapema kuitangaza,” alisema Wolper.

Wolper kwa sasa yupo nchini Kenya ambapo anafanya kazi zake za ufundi wa cherehani na ndipo alipokutana na msanii Mr.Nice.

Barnaba Kuachia Albamu Yake Yenye Nyimbo 18 Mwezi Ujao

$
0
0
Barnaba  Kutoa Albamu Yake Mwezi Ujao
Msanii wa Bongo Flava, Barnaba ameweka wazi kuwa amekamilisha albamu yake ambayo inatarajiwa kutoka mwezi ujao.

Albamu ya muimbaji huyo ambayo inakwenda kwa jina la Gold itakuwa na nyimbo zipatazo 18. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ndipo ameeleza kukamilika kwa albamu hiyo.

“Narudia tena kusema hii ni Gold na mgodi umebeba dhaabu ambazo zimepikwa muda mrefu sana, sitaki kusema mengi I can’t wait kwa kweli,” amesema Barnaba.

Awali albamu hiyo ilipangwa kutoka February 2018 lakini ikahairishwa hadi July 2018 kutokana na kile Barnaba alichoeleza kuwa wadhamini wake wakuu watatu walipendelea hivyo.

Mwanzoni mwa mwaka huu katika kipindi cha The Playlist, Times Fm, Barnaba alisema albamu hiyo itakutanisha wasanii wengine kutoka Kenya Uganda na Nigeria.

Wasanii waliotajwa kuwepo katika albamu hiyo ni pamoja na Juliana Kanyomozi na Jose Chameleon kutoka Uganda. Kutoka Bongo kuna Vanessa Mdee, G Nako, Ben Pol, Aslay, Barakah The Prince, Linex na Joh Makini.

Peru Yabadiri Historia Baada ya Miaka 40 Yashinda Kombe la Dunia

$
0
0
Peru Yabadiri Historia Baada ya Miaka 40 Yashinda Kombe la Dunia
Timu ya taifa ya Peru imemaliza mechi zake za makundi kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Australia na kuvunja rekodi yake ya kutoshinda mchezo kwenye Kombe la Dunia tangu mwaka 1978.

Tangu ishinde mechi yake ya mwisho dhidi ya Iran kwa mabao 4-1, imepita miaka 40 na siku 15. Ushindi wa Peru jana haujaisaidia kusonga mbele ambapo imetoka pomoja na timu ya Australia.

Flaviana Matata Awapa Makavu Wanaoonyesha Mapenzi kwa Watu Wakishakufa

$
0
0
Flaviana Matata Awapa Makavu Wanaoonyesha Mapenzi kwa Watu Wakishakufa
Imekuwa ni desturi kwa miaka ya hivi karibuni kuona watu wakitumia mitandao ya kijamii kuonyesha hisia zao juu ya watu waliofariki na kuandika ujumbe kupitia mitandao hiyo.

Hivyo mwanamtindo maarufu nchini Flaviana Matata ambaye ametumia mtandao wa twitter kwa kuandika ujumbe ambao umewalenga wale wote ambao wamekuwa wakionyesha mapenzi kwa watu waliofariki kwenye mitandao ya kijamii na kuwataka waonyesha mapenzi hayo pindi wanapokuwa hai.

“Mapenzi tunayowapa au kuonyesha watu kwenye page zao wakiwa washatutoka tujaribu kuanza kuwapa wakiwa hai itapendeza zaidi. Ni mimi nimewaza kwa sauti”

Orodha ya Majina ya Wadaiwa Sugu Wanaodaiwa na Suma JKT Yaanikwa.... Mawaziri Nao Ndani

$
0
0
 Orodha ya Majina ya Wadaiwa Sugu Wanaodaiwa na Suma JKT Yaanikwa....  Mawaziri Nao Ndani
Shirika  la Uzalishaji Mali la Suma JKT, limetangaza orodha ya majina ya wadaiwa wake sugu wa matrekta ambamo wako pia mawaziri wa sasa, mawaziri wastaafu, wabunge na wakuu wa mikoa.

Baadhi ya majina ya mawaziri wa sasa yaliopo kwenye orodha hiyo ni Waziri wa Uvuvi na Mifugo, Luhaga Mpina na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Kangi Lugola.

Pia kwenye orodha hiyo yumo Naibu Waziri wa Wizara ya Uvuvi na Mifugo, Abdalah Ulega, ambaye ni Mbunge wa Mkuranga.

Mawaziri wastaafu waliotajwa kwenye orodha hiyo ni Dk. Juma Ngasongwa ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara na waziri wa wizara mbalimbali kwenye serikali zilizopita.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo, ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato mkoani Geita naye ametajwa kwenye orodha hiyo.

Mwingine aliyetajwa kwenye orodha hiyo yenye jumla ya majina 1,392 ni aliyekuwa Waziri wa Fedha kwenye utawala wa awamu ya nne, Mustapha Mkulo.

Wakuu wa mikoa wa sasa waliotajwa kwenye orodha hiyo ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka na Mkuu wa Mkoa wa Sindiga, Dk. Rehema Nchimbi.

Wabunge waliotajwa kwenye orodha hiyo ni pamoja na Husna Mwilima wa Kigoma Kusini (CCM), Mbunge wa Shinyanga Mjini, Steven Maselle (CCM) na Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu (CCM).

Wabunge wengine waliotajwa ni Ignas Malocha wa Jimbo la Kwela (CCM), Mbunge wa Kilolo (CCM), Venance Mwammoto, Mbunge wa Korogwe Mjini (CCM), Mary Chatanda na aliyekuwa Mbunge wa Songea Mjini (CCM), marehemu Laurence Gama.

Kwenye orodha hiyo pia wamo wabunge waliopita akiwemo aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila na aliyewahi kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini (CCM), Benson Mpesya (2000-2010).

Wabunge wengine waliopita waliotajwa ni aliyekuwa Mbunge wa Manyoni Magharibi (CCM), Paul Lwanji, aliyekuwa Mbunge wa Afrika Mashariki (CCM), Kate Kamba, aliyekuwa Mbunge wa Mbarali (CCM), Modestus Kilufi na aliyewahi kuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (CCM), Manju Msambya.

Mwingine aliyetajwa ni aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM na mwanachama wa Chadema sasa, John Guninita.

Kwenye orodha hiyo pia ametajwa aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, marehemu Said Mwambungu.

Katika tangazo la SumaJKT lililotoka jana kwenye moja ya magazeti ya kila siku, wadaiwa walioshindwa kutekeleza agizo la Rais Magufuli la kulipa madeni wanayodaiwa kwa wakati, walitangaziwa hatua kali za kisheria kuchukuliwa dhidi yao.

Wakati akizindua Kituo cha Uwekezaji cha Jeshi la Wananchi (JWTZ) kupitia Suma JKT kilichopo Mgulani, jijini Dar es Salaam Mei 17, Rais John Magufuli alitoa mwezi mmoja kwa wadaiwa hao kulipa madeni yao kabla ya msako wa kuwatafuta haujaanza.

Baadaye, Suma JKT iliwatangazia wote wanaodaiwa kupitia tangazo lao la hivi karibuni kwa kuwataka wadaiwa kulipa kabla ya Juni 15, muda ambao tayari umeshaisha.

Tangazo lingine lililotolewa na Makao Makuu ya SumaJKT la Jumanne wiki hii likiwa na kichwa cha habari 'Lipeni madeni kwa wakati' lilisema wale walioshindwa kutekeleza agizo hilo watachukuliwa hatua za kisheria.

Pia tangazo hilo liliwaeleza wale waliopatiwa huduma ya ulinzi na Suma JKT Guard na kushindwa kulipa kuwa huduma hizo zitasitishwa na watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwamo kukamata mali zao kufidia deni wanalodaiwa.

Belle 9 Aweka Wazi Msimamo Wake wa Kujiunga WCB

$
0
0
Belle 9 Aweka Wazi Msimamo Wake wa Kujiunga WCB
Msanii wa Bongo Flava, Belle 9 amefunguka kuhusu kusaini katika label ya WCB.

Muimbaji huyo ambaye anatamba na ngoma ‘Dada’ ameiambia The Playlist ya Times Fm kuwa anaweza kuwa chini wa usimamizi wa label hiyo ila hadhani kama ni kitu kirahisi.

“Ikitokea tunaweza kusaini lakini kuna condition ambazo nadhani sio rahisi sana kusaini tu moja kwa moja. Inabidi tupate muda kidogo, kuiangalia mikataba ilivyo, kuifikisha kwa wanasheria wangu pia waangalie,” amesema.

“Unajua kwa muda ambao nimekuwepo mimi mwenye najua kabisa nini nahitaji ili kutoka hapa kwenda mbele, kuna jinsi nataka hiyo safari iwe,” amesisitiza Belle 9.

Utakumbuka August 2016 Belle 9 alionekana katika label hiyo akifanya mazoezi na bendi ya Diamond. Hata hivyo muimbaji huyo ameeleza kuwa alifika WCB kwa ajili ya mkataba na Wasafi.com na hakukuwa na zaidi ya hapo.

Kauli ya Yanga Baada ya Simba Kumsajili Kagere

$
0
0
Kauli ya Yanga Baada ya Simba Kumsajili Kagere
Wakati aliyekuwa mshambuliaji hatari wa Gor Mahia FC, Meddie Kagere kufanikiwa kujiunga na Simba kwa kusaini mkataba wa miaka miwili, uongozi wa Yanga nao umetoa tamko lake kuhusiana na mchezaji huyo.

Hivi karibuni kabla ya Kagere kuelekea Simba, Yanga walikuwa wa kwanza kuanza kuhusishwa kumnyatia mchezaji huyo kutokana na kiwango kikubwa alichokionesha kwenye mashindano ya SportPesa Suoer CUP.

Kupitia Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten, amesema kuwa Yanga haikuwa na mazungumzo yoyote juu ya kumsajili mchezaji huyo kwani mipango yao inaenda kimyakimya.

Ten ameeleza kuwa wanachama na wapenzi wa Yanga wawe na subira kwani mpaka sasa hawajataja nani na nani wamemsajili hivyo wakati ukifika kila kitu kinawekwa hadharani.

Kikosi hicho jana kimeanza rasmi mazoezi katika Uwanja wa Polisi Kurasini, Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mashindano ya KAGAME yanayotarajiwa kuanza Juni 29 wiki hii.

Diego Maradona Augua Ghafla Uwanjani Akimbizwa Hospitali Baada ya Game Argentina vs Nigeria

$
0
0
Diego Maradona Augua Ghafla Uwanjani Akimbizwa Hospitali Baada ya Game Argentina vs Nigeria
Mkongwe wa soka wa Argentina Diego Maradona alikuwa sehemu ya zaidi ya mshabiki elfu 60 waliokuwa wamejitokeza katika uwanja wa Krestovski kufuatilia game ya mwisho ya Kundi D kati ya Argentina dhidi ya Nigeria mchezo ambao ulikuwa ni lazima Argentina apate matokeo.

Game hiyo ambayo Argentina alikuwa analazimika kushinda ili aingie hatua ya 16, walifanikiwa kushinda kwa kupata ushindi wa magoli 2-1, magoli ya Argentina yakifungwa na Lionel Messi dakika ya14, Marcos Rojo dakika ya 86 wakati goli la Nigeria lilifungwa na Victor Moses dakika ya 51 kwa mkwaju wa penati.



Presha ya mchezo inadaiwa kuleta presha kwa Maradona ambaye alikuwa akifuatilia mchezo ambapo dakika zikiwa zinaenda pasipo Argentina kupata goli hadi dakika ya 86 Marcos Rojo alipofunga, hivyo Maradona alinaswa katika video fupi akishindwa kutembea baada ya game na kupewa huduma ya kwanza na baadae kukimbizwa hospitali, bado haijawekwa wazi tatizo lake lakini linahisiwa na presha ilitokana na mchezo huo.

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0

Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Mzee Majuto Awajibu Waliomzushia Kifo 'Mimi Siogopi Kufa'

$
0
0

Mzee Majuto Awajibu Waliomzushia Kifo 'Mimi Siogopi Kufa'

Tazama VIDEO Akiongea:

"MoJ Alikuwa Anamroga GigyMoney/ Mtoto si Wake"- Mama Yake Gigy Afunguka Mazito

$
0
0
Bada ya kupita wiki mbili Mama yake mzazi na Gigy Money (Lisa) amefunguka makubwa kuhusu MoJ....Tazama hapa chini:


EXCLUSIVE: Kwangwaru Imewagombanisha DIAMOND & HARMONIZE

$
0
0
Producer kutoka Usafini WCB Wasafi ameongea kuhusu safari yake ya U producer tokea kufukuzwa nyumbani na wazazi wake, Maisha yake kabla ya kwenda WCB na ugumu aliokutana nao mara ya kwanza alipofika usafini WCB.

VIDEO:

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live


Latest Images