Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Tumia Super Mkuyati Kurudisha Heshima ya Ndoa

$
0
0

SUPER MKUYATI ILIYO IMALA HESHIMA YANDOA super mkuyati nidawa ya mitishamba iliyo sheheni miti mbalimbali na kugundulika ina pambana na magonywa sugu

SUPER MKUYATI inanguvu (3) nainafanya kazi kwapamoja (1) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 15-20 bila kuchoka (2) ina zalisha homon kwa wingi na kukufanya uwe na mbengu nyingi zenye vimeleo vya uzazi vyilivyokomaa (3) inaongeza ume mdogo uliosinyaa,kunenepesha uume na kurefusha adi nchi 5-8 na upanda sm 2-3 dawa hii haina mazala kwa mtumiaji ata kwa wazee walionaumri 60-80

SUPER MKUYATI ponyo la maradhi yako tumia Leo uone mjabu yake

OFISI YETU ZINAPATIKANA DR MTONI KIJICHI KAMAUNA NAFASI UTALETEWA POPOTE ULIPO KWALE WAMIKOANI UTATUMIWA DR GATUNDU Sm 0717777402/0768408794

BREAKING: 15 Wakamatwa DSM, ni wale wa ‘Ile Pesa Nitumie kwa namba hii’

$
0
0
Polisi Kanda Maalum ya DSM imewakamata Watuhumiwa 15 wa wizi wa mtandao kupitia ujumbe mfupi wa maandishi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar  es salaam na mikoa ya mingine ya jirani pamoja na Rukwa.

Akizungumza na waandishi wa habari Kaimu Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam DCP- Liberatus Sabas amesema watuhumiwa hao wamekutwa na kadi 352 za mitandao mbalimbali ya simu, vitambulisho 31, Leseni, kadi za benki, Laptop 5, CPU na Moderm 2.

Watuhumiwa hao wamekiri kutumia program ya simu (Application) inayoitwa Bulk SMS ambayo ina uwezo wa kutuma meseji fupi zaidi ya 10,000kwa siku na kuzalisha namba nyingine za kupokea meseji baada ya kuweka namba ya kwanza.

VIDEO:

Watanzania 109 Waliokamatwa Kenya kwa Uvuvi haramu wameachiwa

$
0
0

Leo June 27, 2018 Kutoka Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ni kuhusu Watanzania 109 waliokamatwa hivi karibuni kwa madai ya kufanya uvuvi haramu Bahari ya Hindi, upande wa Kenya wamepata dhamana na kurejea nchini.

Hata hivyo, bado Serikali za pande zote mbili zinaendelea kufanya mawasiliano jinsi ya kulishughulikia suala hilo.

Wavuvi hao walikamatwa eneo la Shimoni, linalomilikiwa na bandari Kusini Mashariki mwa Kenya karibu na mpaka wa Tanzania na kufikishwa mahakama ya Kaunti ya Kwale mwanzoni wa mwezi huu.

Walizuiliwa baada ya kushindwa kulipa dhamana ya Ksh20,000 (450000) kila mmoja.

Tangu wakati huo Serikali ya Tanzania imesema imeanza harakati za kuhakikisha kuwa raia hao wanaachiwa huru.

MC Pilipili Amezungumzia Aliyefungua Shampein kwa Mdomo “Nilimwambia Fungua kwa Mdomo”

$
0
0
Moja ya Picha na Video clip iliyo-trend katika mitandao ya kijamii ni iliyokuwa inamuonyesha Mama akifungua Shampeni kwa mdomo kitu ambacho hakijazoeleka katika sherehe mbalimbali sasa leo June 27, 2018  AyoTV na millardayo.com tumempata aliyekuwa MC katika Send Off hiyo MC Pilipili ambaye anatuelezea ilivyokuwa.

VIDEO:

Millard Ayo

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Fahamu Madhara Ya Usukaji Wa Nywele Bandia Na Uvaaji Wa Mawigi

$
0
0


Katika karne ya sasa , uvaaji wa wigi umekuwa fasheni katika sekta ya urembo na hutumika hususan na wanawake. Ingawa uvaaji wa wigi huwafanya wanawake hao kuonekana ni walimbwende zaidi.

Wigi huvaliwa zaidi na kinamama wenye asili ya Afrika au Wamarekani wa asili ya Afrika. Lakini tukiangalia moja ya chimbuko hasa la uvaaji wigi ni ubaguzi uliokuwepo wakati wa utumwa ambapo wale wenye ngozi nyeupe na nywele shombeshombe walipewa kazi za ndani na wale wasio na ngozi nyeupe  na nywele zisizo shombeshombe walifanyishwa kazi ngumu za mashambani.

Watumwa waliopelekwa barani Amerika hawakuweza kuzihudumia nywele zao kutokana na hali ngumu, na mabwenyenye waliwashusha hadhi na kuwavunja moyo kwa kuwaambia hawakuwa na nywele bali ni "manyoya".

Lakini sababu nyingine inayodhaniwa kuwaathiri wanawake wa asili ya Afrika ni fikra kuwa mwanamke mwenye nywele ndefu pengine hadi mgongoni ni mrembo zaidi. Pia siku hizi warembo na wanaoshiriki katika mashindano ya urembo hujaribu kurefusha  nywele zao ili kuwa na viwango na aina za mitindo ya ughaibuni.

Pamoja na kuwa wanawake wanajaribu kuwa warembo kwa uvaaji wa wigi, zifuatazo ni baadhi ya hasara au madhara kiafya ya uvaaji wigi na usukaji wa nywele za bandia.

1. Uvaaji wa wigi au nywele za bandia waweza kukusababishia mzio(allergy), endapo malighafi au kemikali zilizotumika kutengeneza wigi hiyo zitasisimua mfumo wa kinga ya mwili wa mvaaji.

2. Kupata mba ni tatizo jingine kutokana na uvaaji wigi, hii hutokana na kukosekana kwa hewa ya kutosha ya Oksijeni katika ngozi ya kichwa(scalp hypoxia) na  katika tishu za shina la nywele. Kwa hiyo kama utaamua kuvaa wigi uhakikishe imetengenezwa kwa viwango vya ubora unaotakiwa na inapitisha hewa ya kutosha ya Oksijeni.

3. Pia waweza kunyonyoka nywele hata kama una nywele nzuri zenye afya, na kama utachagua kuvaa wigi na unataka kuepuka madhara hakikisha kuwa nywele zako ni safi, usilazimishe kuvaa wigi iliyo ndogo na yenye kubana sana, hakikisha unapata muda wa kupata hewa na nywele zako zinapakwa mafuta kuepuka ukavu wa ngozi ya kichwa na nywele kukatika .

4. Maumivu ya kichwa ni tatizo ambalo laweza kusababishwa na uvaaji wigi au usukaji wa nywele bandia. Wigi iliyo ndogo husababisha mkandamizo kichwani na kusababisha maumivu ya kichwa ya mara kwa mara.

5. Upotevu wa muda na fedha ni dhahiri kwa kuwa ufumaji wa nywele za bandia waweza kuchukua muda mrefu, itamlazimu mvaaji wigi kubadili kwa kununua mpya kila baada ya muda fulani au kuwa na wigi nyingi kwa ajili kubadili kulingana na fasheni.

6. Harufu mbaya huweza kujitokeza endapo mba na jasho vitachanganyikana na hupelekea uwepo wa bakteria au fangasi na kusababisha muwasho mkali, hii yaweza kumkosesha raha mvaaji wigi na mwenye kufuma nywele za bandia hasa pale anapokuwa katika majumuiko ya kijamii.Kama utachagua kuvaa wigi hakikisha nywele zako zinasafishwa na shampoo au sabuni, zinakaushwa vizuri na kupakwa mafuta.

Endapo mwanamama atachagua kuvaa wigi,asisahau kuwa nywele zake za asili  zinahitaji matunzo,na azingatie wakati wa kununua  wigi au nywele za bandia, ahakikishe ananunua yenye ubora unaotakiwa ili kuepuka madhara ya kiafya anayoweza pata kutokana na uvaaji wigi au anapofuma nywele za bandia.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGISE

Hizi Hapa Faida 7 za Kulala Uchi

$
0
0


1. Kupata usingizi wa kutosha;* ukilala bila nguo kabisa mwili wako unakua huru sana, nguo hua na tabia ya kukubana sana na kukunyima usingizi wa kutosha kitu ambacho wewe kama mlalaji unaweza usigundue...wakati mwingine huenda umeshawahi kulala umevaa shati lakini asubuhi ukajikuta huna, hii ni kwasababu ukiwa katika nje ya fahamu yaani usingizini uliamka ukavua mwenyewe bila kujua sababu usingizi ulikua haupatikani vizuri.

2. Huzuia magonjwa ya ngozi;* ukilala bila nguo, joto lako la mwili hushuka kidogo na katika hali ya kawaida wadudu nyemelezi wa mwili hutaka sehemu yenye joto au unyevunyevu ili kuweza kushambulia hivyo ukilala bila nguo wadudu hawa hawatapata nafasi ya kuushambulia mwili wako na kukuletea magonjwa,,,hata kipindi cha baridi ni vizuri kujifunika na blanketi nyingi kuliko kuvaa nguo.

3. Husaidia kupunguza uzito;* ukilala na nguo, sababu ya ule usumbufu mtu hupata msongo wa mawazo na hali hiyo husababisha wewe kujisikia njaa na kutaka kula zaidi wakati wa usiku lakini mtu anayelala bila nguo anarelax sana na kusinzia bila hata kusikia dalili za njaa.

4. Hulinda sehemu za siri;* kwa mwanaume kulala bila nguo huweka korodani zako katika hali ya ubaridi na kusaidia kutengeneza mbegu nyingi za kutosha, lakini pia kwa mwanamke huupa uke hewa ya kutosha ya oksijeni na kuzuia magonjwa ya fangasi yanayopenda kushambulia huko.

5. Hunogesha tendo la ndoa na mahusiano;* utafiti unaonyesha kwamba wanandoa wanaolala bila nguo kila siku hushiriki tendo la ndoa mara nyingi zaidi kuliko wale wanaolala na nguo na hii huongeza chachu ya mahusiano na kufanya wajione wapya kila siku sababu ya miili yao kutengeneza homoni ya oxytocin ambayo ni homoni ya upendo.

6. Hupunguza kasi ya kuzeeka;* ukilala bila nguo unatengeneza mazingira mazuri sana ya homoni za mwili wako kufanya kazi sana kuliko kipindi ukilala na nguo ambapo homoni zako zinafanya kazi kwenye mazingira magumu...kifupi ni kwamba kulala na nguo kunakufanya uzeeke haraka.

7. Hukupa furaha na uhuru* ; kwa hali ya kawaida tu mwanamke anapotoka kazini au mizungukoni na kufika nyumbani kitu cha kwanza kabisa kufanya ni kuvua sidiria na kuitupa huko sababu ya kubanwa sana kwa siku nzima, kuvua humpa uhuru sawa sawa na mtu ambaye analala bila nguo ambaye hupata faida hiyo.

*Mwisho* ; chukua hatua sasa, kama ulikua unalala na nguo ni muda wa kuanza kufanya mabadiliko na kumuhusisha mwenzako..

Alicia Keys Alivyokubali Kipaji cha Mtoto Kutoka Kenya

$
0
0
Mtoto mmoja nchini Kenya aliyetambulika kwa jina la Gracious Amani amejikuta akitajwa na msanii mkubwa wa muziki Duniani, Alicia Keys baada ya video yake inayomuonesha akiimba wimbo wa ‘Girl On Fire’ kusambaa nchini Kenya.

Video ya mtoto huyo ilianza kusambaa kwa kasi mwanzoni mwa mwezi huu nchini Kenya ambapo Amani alionekana akiimba kwa ustadi mkubwa wimbo wa ‘Girl On Fire’ wa Alicia Keys kitu ambacho kiliwavutia mamilioni ya watu nchini Kenya.

Ukweli ni kwamba Alicia Keys naye amemsikiliza mtoto huyo na kuposti video ya mtoto huyo kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii na kuandika “Look at this beautiful soul!! SHINE!!!!“.



Kwa mujibu wa mahojiano aliyoyafanya mtoto huyo na kituo cha runinga cha NTV cha nchini Kenya, Amani anatoka Githurai jijini Nairobi na Baba yake ni muandaaji wa muziki.

Maoni ya watu wengi waliokomenti kwenye posti hiyo ya Alicia Keys wanamtaka amsaidie mtoto huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza ndoto zake.

alagardienI say you should go hunt her down and change her life @aliciakeys, cos if I could I would have “WOW”
joselopes502wish…could help her to be come a professional singer…
diana.mac.omoloThanks for responding… @aliciakeys… That is a Kenyan upcoming star… Happy you took your time for this😍
true_north_stained_glassTHIS girl is on fire!!! WOW 💖🔥💥 And that sweet smile at the end 💗
kakudeeI am proud of this young Queen and thanks @aliciakeys for sharing this there are so much untapped talent here in Kenya. Shine girl💜💜💜
Tazama kipande cha video ya mtoto huyo akiimba wimbo wa ‘Girl On Fire’ wa Alicia Keys kisha acha maoni yako juu ya kipaji cha mtoto huyo.

Hakuna Mchezaji Atakaa na Kula Pesa Tu - Simba

$
0
0
Hakuna Mchezaji Atakaa na Kula Pesa Tu - Simba
Klabu ya Simba kupitia kwa kocha wake Masoud Djuma, amesema katika usajili unaofanywa na timu yake hategemei kama kutakuwa na mchezaji atasajiliwa kwaajili ya kukaa na kusubiri mshahara tu.

Masoud ameyasema hayo kwenye uwanja wa Boko Veteran jijini Dar es Salaam, ambako timu hiyo imeweka Kambi kwaajili ya maandalizi ya michuano ya Kombe la Kagame inayotarajiwa kuanza Juni 28.

''Huu mwaka tumesema hakuna mchezaji anasajiliwa Simba kuja kukaa benchi, atakaa benchi tu kwasababu kocha amefanya mabadiliko ya kikosi lakini hakuna mchezaji atakaa tu na kula mshahara, hilo hatulitaki'', amesema.

Masoud ameongeza kuwa michuano ya Klabu bingwa Afrika Mashariki na kati maarufu kama Kagame ataitumia kupima kikosi chake ili ajue naani atafaa kwenye eneo gani na endapo anakosekana mchezaji fulani asiwe na taabu kwenye kujua nani ataziba nafasi yake.

Simba ipo Kundi C  na timu za Singida United, APR ya Rwanda na Dakadaha ya Somalia. Simba itafungua dimba na timu ya Dakadaha Julai 30, Saa 10:00 jioni Uwanja wa Taifa. Hapo jana Simba imekamilisha usajili wa mshambuliaji Meddie Kagere kutoka Gor Mahia ya Kenya.

Kagame Azindua Kiwanda Kipya cha Kutengeneza Magari ya Volkswagen

$
0
0
Kagame Azindua Kiwanda Kipya cha Kutengeneza Magari ya Volkswagen
RAIS Paul Kagame amezindua kiwanda kipya cha Kampuni maarufu ya Magari ya Volkswagen nchini Rwanda, leo Juni 27, 2018ambapo uzalishaji wa magari hayo umeanza rasmi nchini humo.

Kampuni hiyo maarufu ya kutengeneza magari yenye makao yake makuu nchini Ujerumani, imeamua kuwekeza nchini Rwanda ili kuwarahishia wateja wake upatikanaji wa bidhaa hiyo, kukuza soko lao Afrika Mashariki, Kati na Afrika nzima.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo ulioendana na kuzindua gari la kwanza lililotengenezwa na kiwanda hicho cha Volkswagen nchini Rwanda, Kagame amesema fursa hiyo siyo tu kuongeza viwanda nchini humo bali utakuwa na manufaa ya kutengeneza ajira nyingi miongoni mwa Wanyarwanda.

Aidha, mbali na kuunganisha magari hayo (assembling), kiwanda hicho pia kitakuwa kikitengeneza spea za magari hayo na vifaa vingine vya Volkswagen.

Magari yatakayoanza kutengenezwa na Volkswagen kwa sasa ni aimna ya Hatchback Polo, Passat na Teramont.

Kijana wa Miaka 18 Amuingilia Kimaumbile Mtoto ma Miezi 2 Kutokana na Imani za Kishirikina

$
0
0
Kijana wa Miaka 18 Amuingilia Kimaumbile Mtoto ma Miezi 2 Kutokana na Imani za Kishirikina
Jeshi la Polisi  mkoani tabora linamshikilia Kadege Thabit (18), mkazi wa Utemini wilaya ya Uyui mkoani hapa  kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa mwaka mmoja na miezi miwili kutokana na imani za kishirikina

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Wilbroad Mutafungwa,  amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa  mtuhumiwa alimchukua mtoto huyo na kumwingilia kinyume cha maumbile.

Kamanda Mutafungwa ameeleza kwamba mtuhumiwa alitenda tendo hilo baada ya kumchukua mtoto huyo kutoka kwa mama yake akidai anaenda kumnunulia maandazi.

Ameongeza kuwa mtuhumiwa baada ya kumnunulia maandazi mtoto huyo alimpeleka chumbani kwake akafunga mlango ndipo akatenda unyama huo.

“Uchunguzi wa awali uliofanywa na Jeshi la polisi umebaini kuwa sababu za kufanya ukatili huo ni imani za kishirikina, na kwamba uchunguzi zaidi wa tukio hilo bado unafanyika,” amesema

Kamanda Mutafungwa amefafanua kwamba  mtuhumiwa baada ya kukamatwa na kuhojiwa alidai kuwa alitenda kosa hilo kutokana na maelekezo ya mganga mmoja wa kienyeji kwamba ataweza kupata mali nyingi.

Ushauri: Tumeshazaa Watoto Wawili na Huyu Mzee, Nataka Kijana Mwenzangu Nile Maisha

$
0
0
Baada ya kusumbuana na huyu mzee kwa miaka kumi sasa na kuzaa nae watoto wawili, nafikiri ni muda sahihi wa mimi kupata raha.

Nina miaka 20 ya mwishoni, huyu baba ndiyo mwanaume wangu wa kwanza na simjui mwanaume mwingine zaidi yake.

Alinikuta mdogo sana ushawishi wake na tamaa za ndugu zangu ukaniponza nikawa nae mpaka sasa.Ana familia yake na watoto wakubwa tunaolingana umri.

Nimegundua sijaenjoy maisha wala ujana kabisa sina cha kuhadithia naenda disco nikiwa na wapambe wake, madereva wake mwisho saa 6 mpaka 8 ananipitia tunaenda kulala, kitandani mzuri(labda sababu sijajua wengine.Jamani eti mbaba wa miaka 60 na zaidi anaweza kuwa mzuri kitandani au najidanganya?

Nataka nianze kujua vijana wenzangu, kama pesa ninayo, magari na kila mwanangu ana nyumba yake ila namiss kula maisha jamani. Je nitakosea? Huyu mzee nataka kumuacha kama watoto nishampa aniache na mimi nile ujana wangu.

Nipeni ushauri wenu na huyu baba sijui nimtokaje, nikimbie nijifiche nisahau kila kitu kama miaka 2 hivi yakinishinda narudi kwake au?

By Zahra White/JF

JE, Dada Unapenda Kuwa Mrembo? Na Kaka Unapenda Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa?

$
0
0
JE, DADA UNAPENDA KUWA MREMBO? NA KAKA UNAPENDA KUWA MTANASHATI NA KURUDISHA HESHIMA YA NDOA? Tumia Bidhaa halisi za MARKSON kwa mafanikio ya uhakika na bila madhara.
Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kuthibitishwa kiafya.
🍉🌿🍓🍒🎄🍍🍀🍓🍉
Pata bidhaa hizi ktk ubora 👇👇

1. kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @150,000/=
2. Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa (a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge @250,000/=
3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima bila sugu kwa:- (1)Mafuta @150,000/=
(11)Vidonge @170,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5. Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a) Gely ya kupaka @150,000/=
(b) Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/= (c)Handsome up original>Kifaa kinachoongeza maumbile kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
6. Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=
7. Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula @150,000/=
8. Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a) Dawa ya kunywa au kupaka @150,,000/=
(b) Mkanda wa kawaida @120,000/=
(c) micro-computer belt unaovaibret @250,000/=
9 .Kupunguza maziwa na kuyasimamisha @150,000/=
10. Kushepu miguu na kuwa minene na kuondoa kigimbi @150,000/=
11. Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @120,000/=
12. kubana uke na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke @130,000/=

NB: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
Wasiliana nasi :-
(+255) 0767447444 na
0714335378
Follow us on instagram @Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr
#cosmetics
#hipsnamakalio
#bidhaaTz
#nguvuzakiume
#punguzauzitoTz
#shepuTz
#punguzamaziwaTz
#shepuBombaTz

Mwaka Huu ni Mwendo wa Mijengo...Isabela Mpanda Naye Apewa Mjengo

$
0
0
STORI za kupang­ishiwa nyumba za kishua zimezidi kwa mastaa, weka kando ya Hamisa Mobeto, sasa hivi ni msanii wa muziki nchini, Isa­bela Mpanda naye ameingia kwenye orodha baada ya kupangiwa nyumba nz­ima na mwanaume aliyezaa naye.

Chanzo chetu makini kiliieleza Za Motomoto News kuwa, mwanamama huyo ameham­ishwa kutoka nyumba aliyokuwa akiishi mwanzo na kupelekwa kwenye mjengo kula bata huku mhusika wa jeuri hiyo akitajwa kuwa ni baba wa mtoto wake ambaye ni kigogo wa benki moja jijini Dar.

 Raha ya habari itafitiwe kidogo, ambapo mara baada ya Za Motomoto News kuipata ikaingia kitaa kuisa­ka nyumba hiyo mpya anayoishi Isabela na kugundua kuwa iko Afrikana-Mbezi.

 “Hapa ndipo ninapoishi baada ya baba mtoto wangu wa sasa kunipangishia, siku zote huwa sizai na mwanaume ilimradi bali nazaa na mwanaume mwenye uwezo.”

Producer Nahreel Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Rosa Ree Kusainiwa na Lebo ya South Africa

$
0
0

#GetToKnow Mapema mwezi uliopita, The female rapper Rosa Ree alimwaga wino na kuthibitisha rasmi kusaini dili nono na lebo ya 'DIMO PRODUCTION' yenye makazi yake nchini Afrika Kusini.

Sasa kwa mara ya kwanza tangu mchongo huo ufanyike, Nahreel ambaye ni Meneja wa zamani wa rapper huyo chini ya The Industry Label, ametuchana maoni yake juu ya ishu hiyo ukizingatia wao ndio waliomtoa from the bottom.
-
"Mimi nadhani tulichokifanya tumekifanya kwa uwezo wetu, tumeweza kutengeneza kitu ambacho kiliweza kuonekana." alifunguka Nahreel kwenye 255 ya XXL Clouds FM, na kuendelea,
-
"We are proud kwa kutengeneza kitu au kutengeneza wasanii ambao leo hii wanajulikana. Kwa hiyo kusaini dili nyingine ni kitu kizuri na kikubwa sana, na ndio maana na sisi tulifungua record label kwa lengo la kusapoti. Hivyo Rosa Ree anapopata sapoti nyingine na mimi naendelea kuwa na roho ile ile ya kusapoti. Naamini itamfikisha sehemu ambayo mimi pengine nisingeweza." - alimaliza Nahreel.

Baada ya kuondoka The Industry, Rosa Ree alifanya mikwaju kama: Dow na Marathon and now anatamba na dude lake jipya, WAY UP ft. Emtee ambayo ni ngoma ya kwanza chini ya Uongozi wake mpya DIMO PRODUCTION

Kwa Mara ya Kwanza Ujerumani Yatolewa Hatua ya Makundi Kombe la Dunia

$
0
0

Kwa mara ya kwanza katika historia - Ujerumani wanaaga mashindano ya dunia katika hatua ya makundi...

Ujerumani imepokea kipigo kitakatifu Toka kwa Timu ya South Korea cha Mbili Bila

Muarobaini wa kumaliza tatizo la mafuta ya kula nchini wapatikana

$
0
0

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kumaliza tatizo la upatikanaji wa mafuta ya kula nchini kwa kufanya mageuzi makubwa katika zao la michikichi, alizeti na ufuta.


Ameyasema hayo leo (Jumatano, Juni 27, 2018) wakati akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Malaysia, Balozi Dkt. Ramadhan Dau ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma.


’’Tunataka kufanya mageuzi makubwa ya zao la michikichi, tunataka kuondoa miti ya zamani na kupanda miche mipya. Tutafanya kampeni ya kuhamasisha upandaji wa miche mipya ya michikichi ili tuondoe tatizo la upatikanaji wa mafuta nchini,’’.


Waziri Mkuu amesema licha ya kuwepo kwa michikichi mingi nchini ila uzalishaji wake unafanyika kwa njia kienyeji, hivyo Serikali imedhamiria kuboresha kilimo hicho kwa kutumia teknolojia ya kisasa ili liweze kuleta manufaa makubwa kwa Taifa na wakulima.


Amesema mbali na zao la michikichi, pia Serikali imedhamiria kuboresha mazao mengine ya mbegu za kukamua mafuta kama alizeti na ufuta, ambayo itayafuatilia kuanzia hatua za awali za uandaaji wa mashamba hadi masoko.


Kadhalika, Waziri Mkuu amesema Tanzania bado ipo chini kwenye uzalishaji wa mbegu za kukamulia mafuta na inahitaji wawekezaji katika mazao hayo, hivyo amemuagiza Balozi wa Tanzania nchini Malaysia atafute wawekezaji hao.


’’Inawezekana kujitosheleza kwa mafuta ya kula kwa sababu Tanzania tuna ardhi ya nzuri yenye rutuba na watu ambao kilimo ndiyo shughuli yao kubwa. Na hivi karibuni nitafanya ziara mkoani Kigoma kwenda kuhamasisha kilimo cha michikichi,’’.


Kwa upande wake, Balozi Dkt. Dau amesema Malaysia ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa kilimo cha michikichi na inatengeneza zaidi bidhaa 400 kutokana na zao hilo, yakiwemo mafuta ya kuendeshea magari.


Balozi Dkt. Dau amemhakikishia Waziri Mkuu kwamba atatafuta wawekezaji kutoka nchi za Malaysia na Indonesia ili waje kuwekeza kwenye mashamba na viwanda vya mafuta na sukari.


IMETOLEWA NA:

OFISI YA WAZIRI MKUU,

Mcheza Mpira wa Swansea City Amsifia Snura Majanga

$
0
0

Mshambuliaji wa klabu ya Swansea City, Wilfried Bony amefunguka kuwa anaupenda wimbo wa Chura wa Snura huku akisifia baadhi ya waigizaji filamu hapa Bongo.

Bony ambaye yupo nchini Tanzania akizungumza na Waandishi wa Habari leo hii jijini Dar es salaam, amesema kuwa wimbo wa Chura ni wimbo mzuri kusikiliza na video yake inavutia kuitazama hususani kwa wanaume kwani ina wanawake wanaocheza vizuri wimbo huo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya June 28

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya June 28
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live




Latest Images