Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.


Diamond: Mtoto Wa Hamisa ni Mtoto Wangu Kama Walivyo Watoto Wa Zari

$
0
0


Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amemwaga povu zito kwa mashabiki waliokuwa wanamnanga mtoto wake  aliyezaa na Hamisa wakidai sio mtoto wake.

Siku ya jana Diamond aliachia trailer mpya ya shoo yake ya ‘The real Life of Wasafi’ itakayoonyesha maisha halisi ya familia ya Diamond itakayorushwa Kwenye Wasafi Tv.

Kwenye trailer hiyo kuna kipande kinachomuonyesha Diamond akiwa anazungumzia watoto wake lakini watoto wanaoonekana ni wawili tu ambao amezaa na Zari huku mtoto wake aliyezaa na Hamisa hakuonekana.

Kuona hivyo mashabiki wa Zari wakaanza kumnanga mtoto wa Hamisa kuwa sio mtoto wa Diamond ndio maana hajaonekana kwenye trailer ya shoo ile na hapendwi kama watoto wa Zari wanavyopendwa.

Baada ya maneno mengi sana Diamond alishindwa kujizuia na kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa Dylan ni mtoto wake kama walivyo watoto aliozaa na Zari walionekana kwenye trailer ile sababu pekee ambayo ilisababisha mpaka Dyalan hakuonekana ni kwa sababu hakuwa na clip yake:

Inauma Jamani..Hii Hapa Simulizi ya Mtoto wa D' Banj Aliyefariki Kwa Kudumbukia Kwenye Swimming Pool

$
0
0
STAA wa Muziki wa Afrobeats, Oladapo Daniel Oyebanjo ‘D’Banj’ na mkewe Didi Lineo, wamepoteza mtoto wao wa kiume aitwaye Daniel, aliyekuwa na umri wa mwaka na miezi mitatu aliyefia kwenye bwawa la kuogelea.

Daniel alifariki siku ya Jumapili mchana, katika nyumba ya staa huyo aliyewahi kutamba na Wimbo wa Oliver Twist, huko Ikoyi, Lagos, Nigeria wakati akiwa anacheza bwawani.



ILIKUWAJE?

Taarifa za ndani kutoka kwenye familia ya D’Banj, zinaeleza kuwa katika mchana huo Daniel alikuwa akicheza na watoto waliotembelea nyumbani hapo, ambao baadaye walimuacha peke yake na ndipo alipodumbukia kwenye bwawa.

Mwili wake ulikutwa kwenye bwawa hilo baadaye na mama yake aliyefikiri alimuacha na watoto wakubwa ambao wangemjali, baada ya kumuona mwanaye akiwa bwawani mara moja alimchukua na kumkimbiza hospitali lakini aliambiwa kwamba alikwishafariki na kupelekwa mochwari.


D’ BANJ ALIKUWA WAPI?

Wakati mtoto wake huyo wa kwanza akifariki, D’Banj hakuwepo Lagos, siku moja kabla (Jumamosi), alikuwa ameruka kwa ndege kwenda Los Angeles, kuhudhuria Tuzo za BET, zilizotolewa usiku wa Jumapili.

Hata hivyo kutokana na kifo hicho, D’ Banj hakufanikiwa kuhudhuria Tuzo za BET. Ilibidi arudi mara moja Nigeria huku akimuacha staa mwenzake kutoka Nigeria, Davido ambaye usiku huo alipata Tuzo ya Msanii Bora Kutoka Nje ya Marekani.

D’ Banj pia aliposti picha ya ‘background’ nyeusi kwenye Mtandao wa Instagram na kuandika hivi; “Ni muda wa majaribu… lakini Mungu wangu siku zote daima ni mwaminifu.”



MASTAA WAMPA POLE

Kwa upande wa Davido, wakati akipokea tuzo yake kabla ya kushu-kuru alisema kwamba; “Kabla sijaen-delea naomba kutuma salamu za pole kwa kaka yangu, ambaye alipambana kutengeneza hii njia ambayo kila msanii Afrika leo anaifurahia kwa kupoteza mtoto wake wa kiume.”

Lakini pia mastaa mbalimbali duniani akiwemo Banky W, walimpa pole staa huyo ambaye yupo kwenye Lebo ya Kanye West ya G.O.O.D Music.

BONIPHACE NGUMIJE

Download App ya Udaku Special Hapa Kama Bado Hauna Kwenye Simu yako

“Nataka Kuanzisha Timu ya Mpira”- Gigy Money

$
0
0

NA ELBOGAST MYALUKO
Msanii wa Bongo fleva nchini, Gift Mwakyusa ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kupitia watoto wake ana mpango wa kuanzisha timu yake ya mpira kwakuwa, anatarajia kuzaa watoto wengi.


Msanii Gift Mwakyusa maarufu kama ‘Gigy Money’

Gigy amesema hayo kwenye KIKAANGONI inayorushwa na EATV kupitia ukurasa wake wa Facebook, ambapo amesema hakumbuki ametoa mimba ngapi kabla ya kufanya maamuzi ya kuzaa na atarajia kuzaa watoto wengi zaidi.

“Sikumbuki ni mimba ngapi nimewahi kutoa ila sio ufahari sikuwa na uwezo wa kulea lakini saivi nazaa na nina mpango wa kuanzisha timu ya mpira kupitia watoto wangu”, amesema Gigy.

Gigy ameongeza kuwa alijifikiria kutoa ujauzito wa mtoto wake wa sasa lakini hakufanikiwa kufanya hivyo, na kuanzia sasa ameamua kuzaa kwakuwa anaweza kulea.

EATV

Tazama Video Mpya ya Willy Paul Feat Nandy, Wimbo Unaitwa Njiwa

$
0
0
Kutana na mkali kutokea Nairobi Kenya Will Paul kwenye video ya ngoma mpya “Njiwa” akiwa kamshirikisha Nandy . Bonyeza PLAY kupata ladha mpya kutoka kwa wakali hao.


Kutana na Maalim Fadhili Rashid ni Mtaalam wa Tiba za Asili

$
0
0
KUTANA NA MAALIM FADHILI RASHIDI NI MTAALAM WATIBA ZA ASILI JE? UMEACHWA NAMPENZI WAKO? JE? NA HAUJUI NAMNA YA KUMRUSHA?

MAALIM FADHILI RASHIDI HURUDISHA MAHUSINO NA MPENZI WAKO ALIE KUACHA NDANI YA MASAA (72) TU MUONE HARAKA AKUSAIDIE, ACHA KUTESEKA NA MAPENZI

MAALIM FADHILI RASHIDI NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUUKUUMA NAKUWAKA MOTO, PRESHA, KISUKARI, VIDONDA VYATUMBO, PUMU,

TEZI NA UVIMBE TUMBONI, ANA UWEZO WAKURUDISHA MTU ALE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE), KUMFANYA MKE/ MUME/ MPENZI ASIKUSALITI, DAWA YA ( LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA,

KUMUONA MBAYAWAKO LIVE KWA SABABU MAALUMU, ANATOWA PETE YA BAHATI NA KUMILIKI MALI ZA MAJINI, DAWA YA UZAZI, KUSHIKA UJAUZITO NDANI YA SIKU (14) TU

DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZI UPENDAYO, DAWA YA NGUVU ZA KIUME, PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEPU KUWA NA UMBO BOMBA,
KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULIMIWA UTARUDISHIWA MALI YAKO NDANI YA MASAA (72) TU, ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKI YAKO, MVUTO WA MAPENZI NA BIASHARA, KUUZA MALIYAKO KWA HARAKA

KUZUIYA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, KUSAFISHA NYOTA NA KUTOWA MIKOSI, KUPANDISHWA CHEO KAZINI, ACHAKUHANGAIKA MAALIM FADHILI RASHIDI NDIO MKOMBOZI WAKO

CALLING +255 7193628 06/ +255 763276239/
WHATSAPP IMO +255 785786436

Harmonize Atoboa Siri ya Ugumu Uliopo Ndani ya WCB

$
0
0
Harmonize Atoboa Siri ya Ugumu Uliopo Ndani ya WCB
Msanii wa muziki Bongo, Harmonize ametaja ugumu uliopo ndani ya label ya WCB.

Harmonize ambaye anatamba na wimbo DM Chick amesema ugumu uliopo WCB ni kila msanii ana uwezo mkubwa, hivyo kila mmoja anahakikisha anafanya kazi nzuri.

“Ugumu ni pale ambapo unafanya kazi na wasanii wote ambao ni talented, so way competion katika kurekodi ngoma kila mtu anataka kutoa ngoma yake kali kumshinda mwenzake, so ugumu unaanzia hapo,” Harmonize ameiambia Planet Fm.

Utakumbuka kuwa Harmonize ndiye msanii wa kwanza kusainiwa katika label ya WCB ambapo kwa mara ya kwanza alitoa wimbo uitwao Iyola uliomtambulisha katika Bongo Flava. Baada yake ndipo wakafuata wengine kama Rayvanny, Rich Mavoko, Queen Darleen, Lava Lava na Mbosso.

Tanzia: Baba Mzazi wa Michael Jackson Afariki Dunia

$
0
0
Baba mzazi wa aliyekuwa Mfalme wa muziki wa Pop duniani Michael Jackson, Joe Jackson amefariki dunia leo mchana mjini Los Angeles nchini Marekani akiwa na umri wa miaka 89.   Joe Jackson  Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Joe Jackson alilazwa tangu mwezi Machi mwaka huu  na alikuwa na anasumbuliwa na Saratani.     Joe Jackson ni moja Mameneja walioacha historia nchini Marekani kwa kuwameneji watoto wake katika kazi zao za muziki akiwemo marehemu Michael Jackson na Janeth Jackson.
Baba mzazi wa aliyekuwa Mfalme wa muziki wa Pop duniani Michael Jackson, Joe Jackson amefariki dunia leo mchana mjini Los Angeles nchini Marekani akiwa na umri wa miaka 89.

Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Joe Jackson alilazwa tangu mwezi Machi mwaka huu  na alikuwa na anasumbuliwa na Saratani.



Joe Jackson ni moja Mameneja walioacha historia nchini Marekani kwa kuwameneji watoto wake katika kazi zao za muziki akiwemo marehemu Michael Jackson na Janeth Jackson.

Gigy Money Ajutia Kuanika Listi Ya Wanaume Aliotembea Nao

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amefunguka na kuelezea majuto yake kuhusiana na uamuzi wake wa kutaja orodha ya wanaume aliowahi kubanjuka nao.

Kwenye mahojiano na Kipindi cha Kikaangoni cha East Africa Tv, Gigy Money amekiri anajutia kutaja orodha hiyo ya wanaume kwani mpaka leo kuna wanaume wanaogopa kumtongoza kwa kuogopa kuanikwa.

“Kuwataja wanaume nilipitaga nao najutiaga sana, inafanya kuna muda nikose vitu vya maana kwa kuogopa kuwa nitaropoka.

"Kumbe ule ni utoto na ni foolish age kila mtu lazima apitie hata uikimbie ni bora uipitie ukubwani usiirudie. Kwahiyo najutia kuwataja wanaume niliowahi kutembea nao ila sijutii kupitia ile hatua,“amesema Gigy Money.

Mwaka jana Gigy Money alitaja wanaume zaidi ya 10 wengi wakiwa mastaa wa muziki wa Bongo Fleva na watangazaji wa Redio na Tv.

Mambo ni Hivi! Muigizaji wa Nigeria Kufunga Ndoa na Mdoli wa Ngono

$
0
0
Mambo ni Hivi! Muigizaji wa Nigeria Kufunga Ndoa na Mdoli wa Ngono
Muigizaji wa Nigeria na mchekeshaji Benjamin Nwachukwu, anayejulikana na mashabiki wake kwa jina Shuga Shaa, amezua mjadala katika mji wa Lagos kwa kusema kwamba ana uhusiano na mwanasesere wa ngono kwa jina Tonto Shaa.

Mwanasesere huyo mrembo ana nywele bandia, kucha zilizotengezwa vizuri na huvalia vito pamoja na marashi ya bei ghali- na sasa pia ana gari lake.

Shuga Shaa alionekana akienda kutazama filamu ndani ya gari lake na mpenzi wake mpya.

Baadhi ya mashabiki wake walisikitishwa na kumtaja kuwa 'mwenda wazimu' na mtu 'aliye na tatizo la kiakili'.


Shuga Shaa amewashutumu wakosoaji wake akisema kuwa ''Tonto Shaa alitengezwa na binadamu kama wewe na mimi ,Hana uhai ndani yake''.


Rais Mnangagwa Kukutana na Magufuli Leo Hapa Nchini

$
0
0
Rais Mnangagwa Kukutana na Magufuli Leo Hapa Nchini
Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, atafanya ziara nchini leo na kesho, huku masuala ya kiuchumi yakitazamwa zaidi katika ziara hiyo.

Ziara hiyo ni ya kwanza Tanzania tangu aingie madarakani Novemba mwaka jana.

Anafanya ziara ikiwa ni siku chache tangu aliponusurika kifo baada ya bomu kulipuka wakati akimalizia mkutano wa kampeni katika mji wa Bulawayo nchini humo.

Rais Mnangagwa alinusurika baada ya mlipuko kutokea kwenye mkutano huo huku wasaidizi wake wakiwamo makamu wake wawili na viongozi wa chama wakijeruhiwa.

Uchaguzi mkuu wa Zimbabwe unatarajiwa kufanyika Julai 30 kumchagua Rais na wabunge wa mabunge mawili.

Mambo ya ushirikiano

Ziara ya kiongozi huyo inakuja wakati Taifa hilo na Tanzania yakiwa na ushirikiano wa muda mrefu wa kisiasa na kiuchumi.

Kisiasa, Tanzania ilikuwa nchi pekee kusini mwa Afrika iliyojitoa kuanzisha harakati za ukombozi wa nchi nyingi zilizo upande huo wa bara, kujikomboa kutoka mikononi mwa wakoloni.

Kutokana na uamuzi huo uliofanyika chini ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wapigania uhuru wa mataifa hayo ikiwamo Zimbabwe walipatiwa hifadhi hapa nchini, mbinu za kijeshi na kiharakati za kupigania uhuru.

Vilevile walipatiwa vifaa na kuwezeshwa katika mambo mengine waliyohitaji. Zimbabwe ilipata uhuru wake Aprili 18, 1980.

Kwa upande wa kiuchumi, Zimbabwe yenye watu milioni 16.2 (kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2016) inaitumia Bandari ya Dar es Salaam katika usafirishaji wa mizigo na bidhaa nje ya Afrika na upokeaji wa mizigo yake.

Taifa hilo lisilo la bahari, limekuwa likiitumia bandari hiyo kwa miaka mingi, ingawa pia bidhaa zake nyingine hupitia katika nchi ya Msumbiji.

Lengo la ziara

Taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Mambo ya Nje, ilisema lengo la ziara hiyo ni kujitambulisha kwa rais huyo kwa wananchi wa Tanzania.

Tangu aingie madarakani, Mnangagwa ameshafanya ziara Namibia, Zambia, Msumbiji, Angola, Afrika Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Botswana.

Wizara hiyo ilisema ziara hiyo ni muhimu kwa Tanzania kwa kuwa itatoa fursa ya kuimarisha na kukuza zaidi uhusiano uliopo wa kidiplomasia, kihistoria, kiuchumi na kijamii kati ya nchi hizi mbili.

Mbali ya ushirikiano huo wa kiserikali, chama cha Zanu-PF kinachoongoza Zimbabwe kina ushirikiano na CCM.

Ziara hiyo pia itatoa fursa kwa viongozi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu nchi hizi.

Rais Mnangagwa atafanya mazungumzo na Rais John Magufuli na atatembelea Chuo cha Sanaa cha Kaole Bagamoyo ambacho awali kilitumika kutoa mafunzo kwa wapigania uhuru kutoka nchi za Kusini mwa Afrika. Mnangagwa ni miongoni mwa waliopata mafunzo katika chuo hicho.

Wasifu wake

Mnangagwa amekuwa akiitwa ‘Garwe’ au ‘Ngwena’, ikimaanisha mamba kwa lugha ya Kishona kwa sababu lilikuwa ni jina la jeshi la msituni alilolianzisha, lakini baadaye ikawa ni nguvu zake kisiasa.

Kundi linalomuunga mkono ndani ya Zanu-PF linaitwa Lacoste kutokana na kampuni ya Kifaransa nchini humo yenye nembo ya mamba.

Mnangagwa alizaliwa Septemba 15, 1942 ni Rais wa Zimbabwe aliyeingia madarakani Novemba 24, 2017 baada ya jeshi la nchi hiyo kumuondoa Robert Mugabe aliyeitumikia nchi hiyo tangu akiwa waziri mkuu mwaka 1980.

Mnangagwa aliyekuwa makamu wa Mugabe na mwanachama mkongwe wa Zanu-PF alishika wadhifa huo tangu mwaka 2014 hadi aliposimamishwa Novemba 2017 na kukimbilia uhamishoni nchini Afrika Kusini kabla ya kurejeshwa na jeshi kushika madaraka.

Hata hivyo, Umoja wa Afrika (AU)haukuyaita mapinduzi, bali matakwa ya wananchi wa Zimbabwe.

Mnangagwa alikuwa mpiganaji wa msituni tangu wakati wa utawala wa kikoloni wa Rhodesia. Baada ya Zimbabwe kupata uhuru alishika nafasi kadhaa za uwaziri chini ya Mugabe ikiwa ni pamoja na waziri wa Nchi wa Ulinzi hasa wakati wa mauaji yanayofahamika kama Gukurahundi ambapo takriban watu 20,000 wengi wakiwa wa kabila la Ndebele waliuawa.

Kiongozi huyo alililaumu jeshi kwa kuhusika na mauaji hayo, huku akiendelea kushika nafasi za juu katika baraza la mawaziri. Mwaka 2005 alishushwa cheo na kuwa waziri wa Makazi Vijijini baada ya kutania waziwazi kuwa anataka kurithi kiti cha Mugabe, lakini mwaka 2009 alirejea nafasi za juu.

Baada ya uchaguzi wa 2009, Mnangwaga alikubaliana kugawana madaraka na Rais Mugabe na kupewa uwaziri wa Ulinzi kuanzia mwaka 2009 hadi 2013 alipoteuliwa kuwa waziri wa Sheria kabla ya kuteuliwa kuwa makamu wa Rais mwaka 2014 na alitarajiwa kuwa mgombea urais baada ya Mugabe.

Hata hivyo, alikuwa akipingwa na kundi la G40 (Generation 40) lililokuwa likiongozwa na mke wa Mugabe (Grace). Kundi hilo ndani ya Zanu-PF lilikuwa la kizazi cha vijana waliokuwa wakiwapinga viongozi wazee ndani ya chama hicho.

Mwanzoni mwa Novemba 2017, Mnangagwa aliondolewa kwenye umakamu wa Rais akituhumiwa kutaka kuipindua Serikali na kukimbilia Afrika Kusini alikokaa kwa wiki mbili. Mshirika wake mkubwa ambaye alikuwa mkuu wa Jeshi la Zimbabwe, Jenerali Constantino Chiwenga alianzisha mapinduzi akimuweka kizuizini Mugabe katika makazi yake yaliyopo nje ya Ikulu ya nchi hiyo.

Chiwenga pia aliwakamata viongozi juu wa Zanu-PF na hapo ndipo Mnangagwa aliporejea kutoka Afrika Kusini na kushika nafasi ya Mugabe.

Fifa Yaonya Kadi England, Ubelgiji

$
0
0
Fifa yaonya kadi England, Ubelgiji
WAKATI mechi ya kufunga hatua ya makundi katika Kundi G, kati ya England na Ubelgiji leo ikionekana kuwa ya kutegeana zaidi kila timu ikitaka kumaliza nafasi ya pili, tayari Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) limeonya licha ya makocha wa timu hizo kila mmoja kudai lengo lake ni kushinda na kumaliza kileleni.

England na Ubelgiji zinalingana kila kitu, kila moja ikiwa na pointi sita, mabao nane ya kufunga na mawili ya kufungwa.

Hata hivyo, England ipo kileleni kutokana na kanuni mpya ya michuano hiyo mwaka huu, ambayo kama timu mbili zinalingana kwa kila kitu, mshindi huamuliwa kwa kupitia timu yenye nidhamu zaidi.

Kanuni hiyo imeifaidisha England kukaa kileleni kutokana na kuwa na kadi mbili tu za njano wakati Ubelgiji ikiwa na kadi tatu za njano.

Hali hiyo inazifanya timu hizo kama zitatoka sare ya aina yoyote leo, huku pasiwe na timu itakayoonyeshwa kadi, basi England itamaliza kileleni na kuwa na nafasi kubwa ya kukutana na ama Brazil au Ujerumani hatua ya robo fainali jambo ambalo miamba hiyo inataka kulikwepa.

Kwa mujibu wa Gazeti la The Times, kuna mpango “England itafanya makusudi kuonyeshwa kadi kwa lengo kama mechi itamalizika kwa matokeo sare, ishike nafasi ya pili.”

Lakini chanzo ndani ya Fifa kimeonya kuwa “kitakuwa makini na kuchukua hatua kali kwa mchezaji atakayeonyesha utovu huo wa nidhamu ikiwa ni pamoja na kumuongezea kifungo kwa atayejitakia kuonyeshwa kadi ya njano.”

Hata hivyo, kocha wa Ubelgiji, Roberto Martinez, licha ya kudai atafanya mabadiliko makubwa katika kikosi chake, amesisitiza anataka kushinda mechi hiyo jambo ambalo aliungwa mkono na kipa Thibaut Courtois.

"Kwangu mimi ni fahari kushinda. Sitaki kurudi England Julai nikiwa na hisia za kipigo. Ni fahari kwa sababu wana wachezaji wengi tunaowafahamu na wao wanatufahamu sana."

Kwa upande wa Kocha wa England, Gareth Southgate, amesema hayupo tayari kuona England ikipoteza dhidi ya Ubelgiji licha ya timu hizo zote kuwa na tiketi mkononi ya 16-Bora.

"Tunataka kuendelea kushinda. Akili yetu ni kushinda kila mechi tunayoweza," alisema.

Kwingineko, katika Kundi H, hali ni tofauti kidogo, licha ya Senegal na Japan kulingana pointi na mabao ya kufunga na kufungwa, kwani zenyewe zilishakutana na leo zitacheza dhidi ya wapinzani tofauti, Colombia na Poland.

Senegal ni timu pekee inayotegemewa kulibeba Bara la Afrika katika michuano hiyo kufutia timu nyingine, Misri, Nigeria, Morocco na Tunisia kupoteza nafasi ya kutinga 16-Bora.

Hata hivyo, Senegal inahitaji sare yoyote ama ushindi dhidi ya Colombia leo ili kutinga 16-Bora.

Kujitoa kwa Yanga Kagame Wametuogopa Tu Hakuna Kingine- Dalali

$
0
0
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya Simba, Hassan Dalali, amesema kuondoka kwa Yanga katika mashindano ya KAGAME kumeondoa msisimko mkubwa.  Dalali amesema hayo kutokana na timu hizo zinapokuwa pamoja katika mashindano yoyote hapa nchini na nje, huleta msisimko mkubwa tofauti na timu zingine ambazo hazina idadi kubwa ya mashabiki.  Mwenyekiti huyo wa zamani amefunguka na kueleza kama Yanga wasingeweza kujitoa kungekuwa na hamasa kubwa ya mashindano sababu timu hizo zinapokutana kunakuwa na tambo nyingi za aina yake.  Aidha, Dalali ameeleza kitendo cha Yanga kujitoa ni kutokana na Simba kufanya usajili wa kutisha na akisema wameingia mitini wakiogopa kufungwa bao sita.  Dalali anaamini kuwa Yanga wamejitoa sababu ya Simba kuwa imara hivi na aina ya wachezaji ambao inasajili na akidai kuwa wamekimbia mashindano kukwepa aibu.  "Hawa Yanga wamekimbia tu mashindano, laiti kama wangekuwepo wangeweza kupigwa bao sita. Usajili tunaoufanya hivi sasa ni wa kutisha, wameogopa tu, hakuna kingine" amesema.
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya Simba, Hassan Dalali, amesema kuondoka kwa Yanga katika mashindano ya KAGAME kumeondoa msisimko mkubwa.

Dalali amesema hayo kutokana na timu hizo zinapokuwa pamoja katika mashindano yoyote hapa nchini na nje, huleta msisimko mkubwa tofauti na timu zingine ambazo hazina idadi kubwa ya mashabiki.

Mwenyekiti huyo wa zamani amefunguka na kueleza kama Yanga wasingeweza kujitoa kungekuwa na hamasa kubwa ya mashindano sababu timu hizo zinapokutana kunakuwa na tambo nyingi za aina yake.

Aidha, Dalali ameeleza kitendo cha Yanga kujitoa ni kutokana na Simba kufanya usajili wa kutisha na akisema wameingia mitini wakiogopa kufungwa bao sita.

Dalali anaamini kuwa Yanga wamejitoa sababu ya Simba kuwa imara hivi na aina ya wachezaji ambao inasajili na akidai kuwa wamekimbia mashindano kukwepa aibu.

"Hawa Yanga wamekimbia tu mashindano, laiti kama wangekuwepo wangeweza kupigwa bao sita. Usajili tunaoufanya hivi sasa ni wa kutisha, wameogopa tu, hakuna kingine" amesema.

Habari Njema Kwa Wanaume Wote Wenye Matatizo ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
Je unawahi hufika mapema kileleni? Je uume wako hausimami imara ipasavyo? Je hupati hamu ya kurudia tendo la ndoa? Je unamaumbile madogo ya uume?

Sasa ipo tiba sahihi inayomaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume na maumbile madogo kwa wakati.

- NGAKWA ni dawa bora ya asili inayotibu tatizo la nguvu za kiume nakulimaliza kabisa bila tatizo tena kujirudia.

- NKOMA ni dawa ya asili inayokuza na kunenepesha maumbile ya uume yaliyo madogo au kusinyaa kabisa wastani (Inch 6-7)

- Pia tunatibu matatizo mengine ya mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke kama Ngiri, Kuvimba Korodani, Kushika au Kutia mbimba, Fangasi Sugu, Uvimbe kwenye kizazi Nk.

Dr FARU anapatikana Buguruni Dar es salaam, Piga Namba - 0755996494

HUDUMA ITAKUFIKIA POPOTE PALE ULIPO.

Mtoto mwenye kipaji cha ajabu nchini Kenya, amshangaza Alicia Keys (+video)

$
0
0
Mtoto mmoja nchini Kenya aliyetambulika kwa jina la Gracious Amani amejikuta akitajwa na msanii mkubwa wa muziki Duniani, Alicia Keys baada ya video yake inayomuonesha akiimba wimbo wa ‘Girl On Fire’ kusambaa nchini Kenya.

Video ya mtoto huyo ilianza kusambaa kwa kasi mwanzoni mwa mwezi huu nchini Kenya ambapo Amani alionekana akiimba kwa ustadi mkubwa wimbo wa ‘Girl On Fire’ wa Alicia Keys kitu ambacho kiliwavutia mamilioni ya watu nchini Kenya.

Ukweli ni kwamba Alicia Keys naye amemsikiliza mtoto huyo na kuposti video ya mtoto huyo kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii na kuandika “Look at this beautiful soul!! SHINE!!!!“.



Kwa mujibu wa mahojiano aliyoyafanya mtoto huyo na kituo cha runinga cha NTV cha nchini Kenya, Amani anatoka Githurai jijini Nairobi na Baba yake ni muandaaji wa muziki.

Maoni ya watu wengi waliokomenti kwenye posti hiyo ya Alicia Keys wanamtaka amsaidie mtoto huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza ndoto zake.


  • alagardienI say you should go hunt her down and change her life @aliciakeys, cos if I could I would have “WOW”
  • joselopes502wish…could help her to be come a professional singer…
  • diana.mac.omoloThanks for responding… @aliciakeys… That is a Kenyan upcoming star… Happy you took your time for this😍
  • true_north_stained_glassTHIS girl is on fire!!! WOW 💖🔥💥 And that sweet smile at the end 💗
  • kakudeeI am proud of this young Queen and thanks @aliciakeys for sharing this there are so much untapped talent here in Kenya. Shine girl💜💜💜

Tazama kipande cha video ya mtoto huyo akiimba wimbo wa ‘Girl On Fire’ wa Alicia Keys kisha acha maoni yako juu ya kipaji cha mtoto huyo.

VIDEO:

Bongo5

Nuh Mziwanda Apiga Moyo Konde 'Sinta Futa Tattoo ya Shilole Mwilini Kwangu'

$
0
0

Msanii wa kizazi kipya bongo, Nuh Mziwanda ameweka wazi sababu zinazomfanya mpaka leo hajafuta Tatoo za waliowahi kuwa wapenzi wake ni kwasababu alizichora akiwa na mapenzi na bado zina maana kubwa sana katika maisha yao.

Mziwanda ameyaanika hayo leo alipokuwa kwenye kipindi cha DADAZ, kinachorushwa kila Jumatano kupitia EATV ambapo msanii huyo amesema kuwa wakati anachora Tatoo ya msanii Shilole aliyewahi kuwa mpenzi wake alifanya kwa moyo na hakulazimishwa.

Akizungumzia tatoo hizo, Nuh amesema kuwa licha ya kuwa yeye ni mpenzi wa tattoo lakini pia Shilole ni mwanamke alimfunza mambo mengi ya kimaisha hasa alipochukua majukumu ya kuishi naye kama mume na mke wakati yeye akiwa na umri mdogo  kuliko mwenzake.

"Mimi napenda sana 'Tatoo' na zote nilizochora  huwa zinamaana. Lakini pia sijawahi kufuta, hata niliyomchora Shilole. Sijaiacha 'Tatoo' ya Shilole katika mwili wangu kwa sababu bado nampenda, hapana. Lakini nimeiacha kwa sababu ni mwanamke ambaye alinifunza mambo mengi sana hasa maisha wakati naishi naye, " - Msanii Nuh Mziwanda.

Nuh ambaye hana tatoo moja ya mwanamke katika mwili wake amesema kwamba, tatoo ya Nawal, katika mwili wake bado ina maana kubwa kwa kuwa ni mwanamke ambaye amemzalia mtoto wake.

Pamoja na hayo msanii huyo ameweka wazi hafikirii kuzifuta tatoo hizo hata kama wanawake hao walishafuta zile walizomchora, ambapo amesema kuwa hiyo inatokana kwamba walichora kwa kufuata mkumbo  au labda walifanya bila kutoka moyoni.

"Nipo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine, hapendi hizi tatoo lakini nimeshamuelewesha na ameelewa ingawa anakasirika akiiona" Nuh.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0



KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Baunsa wa Daimond Mwarabu Fighter Aacha Deni Kubwa Sehemu Aliyofanyia Birthday Yake Hadi Leo Ataki Kulipa

$
0
0
Baunsa wa Daimond Mwarabu Fighter Aacha Deni Kubwa Sehemu Aliyofanyia Birthday Yake Hadi Leo Ataki Kulipa
Kama mfatiliaji mkubwa wa story za mastaa utakumbuka ile birthday ya Mwarabu Fighter ambaye ni board gurd wa Daimond sasa leo nakulete ubuyu moto kuhusiana na ishu nzima kumbe anadaiwa mamilioni ya hela ajalipa.

Mwanamuziki wa Muda mrefu Zolla D ambaye ni rafiki wa karibu na Mwarabu amesema kuwa Hana ugomvi na Baunsa wa DIAMONDPLATNUMZ Mwarabu Fighter ila anadaiwa Hela ya matumizi ya  siku ya kuzaliwa ambapo alikubaliana na watu wa chakula, eneo aliyofanyia sherehe yake pamoja na swemming pool ambapo adi sasa anadaiwa na hataki kulipa.

"Mimi ndio nilimconect na hao watu na wao wananisumbua mimi lakini nikimpigia mwarabu akawa ananambia nimsubirie akaja usiku nikamwambia kwanini ajawalipa akasema pesa aliyonayo aitoshelezi ana laki tatu tu akashindwa kumalizana nao wale watu wakataka kumpeleka polisi" Zola

 "Hadi sasa mwarabu ananikimbia na simu yangu apokei nina miezi miwili sina mawasiliano naye sina bifu naye yoyote ila mwarabu anadaiwa hela ya watu pale ofisini kwangu na amekimbia ninachomwambia hata kama hela ndogo anachotakiwa alipe mimi ni mwalimu wake niliyekuwa namfundisha mazoezi lakini hadi sasa haji kwakuwa anadaiwa milioni mbili"

Zolla D alisema watu wengi walimshauri amwambie boss wa mwarabu ambaye ni Daimond lakini kutokana na heshima aliyonayo kwa daimond na ishu yenyewe ni ndogo akuona haja ya kufanya hivyo ila alimtaka Mwarabu Fighter kulipa Deni analodaiwa.

"Watu waliniambia nimwambieboss wake ambaye ni  Daimond nikaona Daimond ni mdogo wangu ambaye ninaheshimiana naye sana siwezi kumwambia jambo dogo kama hili ila kinachotakiwa mwarabu afate sheria alipe hela tu"

Mapenzi ya Kuchorana Tatoo ni Ushamba na Kudanganyana Tu- Whozu

$
0
0
Mapenzi ya Kuchorana Tatoo ni Ushamba na Kudanganyana Tu- Whozu
Msanii chipukizi WHOZU anatamba na nyimbo ya Follow un follow amediss Show Off zinazoendelea kwenye mitandao ya kijamii hususani instagram kuhusu wasanii na mastaa mbalimbali kuchora tattoo zanye majina ya wapenzi wao.

Akizungumza na wasafi Tv Whozu amesema huo ni ushamba na show off za zamani mtu mwenye mapenzi ya kweli awezi kufanya vitu vya hadharani na kudanganyana tu.

"Hata siamini katika kuchora tatoo ndo mapenzi sifikiliagi kabisa kwakuwa njia ya tatoo ni ya zamani sana hata kama unampenda mtu kukubaliana hali ya maisha ndo mapenzi ya kweli na sio kucholana mambo haya ni kuiga tu siku mkizinguana pale kwenye tatoo unachora chura na wanaofanya hivo mara nyingi usiku ni vipigo tu kuchorana tatoo ni kudanganyana tu na show off za kijinga" alisema Whozu

Ikumbukwe kuwa hivi karibuni mtangazaji wa clouds Fm Casto Dickson aliamua kuchora tatoo ya jina la mpenzi wake ambaye ni Tunda kwenye mkono wake na kuibua mzozo mkubwa kwenye mtandao wa kijamii ila si yeye ni wa kwanza kufanya hivo bali wengi wamewahi kufanya hivyo kama msanii dogo janja alichora Tatoo ya Mkewe Irene Uwoya, hata nuh mziwanda alipokuwa na shilole aliwahi kuchora tatoo ya mpenzi wake huyo.
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live


Latest Images