Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live

Penzi la Baraka The Prince na Naj Laingia Mdudu, Baraka Aelezea Kwanini Ulimu Unfollow Naj

$
0
0

Msanii wa bongo fleva ambae alikuwa kimya kwa muda mrefu bila kutoa kazi yoyote na hapo  awali ali hit na ngoma ya BORA IWE ambaye ni Baraka the Prince, ambae pia amesikika katika ngoma ya Rdj the dj ambayo alikuwa ameshirikishwa na kufanya vizuri amesema kuwa amekaa miezi saba hajatoa wimbo ila anakazi mpya ambayo ataitoa mwezi wa saba na hiyo ni kutokana na mipango yake aliojiwekea asitoe nyimbo hadi mwaka huu mwezi wa saba. 

Vilevile ameongelea kuhusiana na yale yanayoongeleka mitaani kuhusiana na mahusiano yake na Mpenzi wake naj, na hiyo ni baada ya ya Naj kufuta picha za baraka kwenye ukurasa wake wa instagram, ambapo pia baraka aliwahi kumu UNFOLLOW naj kwenye kurasa yake ya instagram ambapo ilizua sintofahamu kwa watu ambapo wengi walihisi mahusiano hayo yamevunjika au la ambapo amesema kuwa hakumu unfollow. 

" Sikumu unfollow Naj tu nili Unfollow watu wote na nikaanza ku follow upya watu ambao nilikuwa nawahitaji kwa muda huo, kwasababu nimekwambia ni baraka mpya kwahiyo nitakapoanza kutoa kazi nitaanza ku follow watu, na mwanzo nili unfollow watu wote wakawa Zero nika follow watu tisa tu na Naj alikuwepo kwenye hao tisa"Baraka Amesema 

Wezi wa Instagram Wamkata Kidomo Haji Manara, wameteka Ukurasa wake wa Instagram

$
0
0

Ukurasa wa Instagram wa Afisa Habari  Simba Haji Manara umedukuliwa na wahuni wa mjini na sasa haupo hewani kwa sasa. 

Ukurasa huo wa Manara wenye zaidi ya wafuasi laki mbili umehakiwa na watu wasiojulikana hivyo kuufanya usiendelee kuwepo hewani tangu mapema leo asubuhi.

Muungwana Blog imechimba moja kwa moja kwa Msemaji huyo bila mafanikio na kumpembenyua  mmoja ya wafanyakazi wa klabu hiyo ya simba ambapo alithibitisha taarifa hiyo ya wizi na kupotezwa kabisa kwa akaunti hiyo, amedai tangu siku ya jana jion akaunti hiyo haikuwa hewani ambapo kwa sasa wapo kwenye mikakati ya kumjua mwizi huyo na kuirudisha akaunti hiyo. 

Manara amekuwa akiutumia ukurasa huo kuandika mambo yake binafsi pamoja na kutoa taarifa mbalimbali zinazoihusu klabu ya Simba.

Kutana na Maalim Fadhili Rashid ni Mtaalam Watiba za asili kwa Kutumia Nyota na Kurwani

$
0
0
KUTANA NA MAALIM FADHILI RASHIDI NI MTAALAM WATIBA ZA ASILI JE? UMEACHWA NAMPENZI WAKO? JE? NA HAUJUI NAMNA YA KUMRUSHA?

MAALIM FADHILI RASHIDI HURUDISHA MAHUSINO NA MPENZI WAKO ALIE KUACHA NDANI YA MASAA (72) TU MUONE HARAKA AKUSAIDIE, ACHA KUTESEKA NA MAPENZI

MAALIM FADHILI RASHIDI NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUUKUUMA NAKUWAKA MOTO, PRESHA, KISUKARI, VIDONDA VYATUMBO, PUMU,

TEZI NA UVIMBE TUMBONI, ANA UWEZO WAKURUDISHA MTU ALE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE), KUMFANYA MKE/ MUME/ MPENZI ASIKUSALITI, DAWA YA ( LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA,

KUMUONA MBAYAWAKO LIVE KWA SABABU MAALUMU, ANATOWA PETE YA BAHATI NA KUMILIKI MALI ZA MAJINI, DAWA YA UZAZI, KUSHIKA UJAUZITO NDANI YA SIKU (14) TU

DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZI UPENDAYO, DAWA YA NGUVU ZA KIUME, PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEPU KUWA NA UMBO BOMBA,
KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULIMIWA UTARUDISHIWA MALI YAKO NDANI YA MASAA (72) TU, ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKI YAKO, MVUTO WA MAPENZI NA BIASHARA, KUUZA MALIYAKO KWA HARAKA

KUZUIYA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, KUSAFISHA NYOTA NA KUTOWA MIKOSI, KUPANDISHWA CHEO KAZINI, ACHAKUHANGAIKA MAALIM FADHILI RASHIDI NDIO MKOMBOZI WAKO

CALLING +255 7193628 06/ +255 763276239/
WHATSAPP IMO +255 785786436

Rayvanny Amejibu Kauli ya Dogo Janja kuwa yeye Hajui Kuvaa...Akubali Kweli yeye Mshamba

$
0
0
Rayvanny amejibu  kauli ya Dogo Janja kuwa yeye hajui kuvaa...Akubali Kweli yeye Alikuwa Mshamba wa Kuvaaa, Msikilize Hapa:

VIDEO:

Dimpoz Akwamisha Kinywaji cha Mo faya Kuingia Sokoni...Ali Kiba Afunguka

$
0
0

Msanii wa muziki Bongo, Alikiba amefunguka ni kwanini hadi sasa kinywaji chake, Mo Faya hadi sasa hakijaingia mtaani/sokoni kama alivyotangaza hapo awali.

Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Mvumo wa Radi’ ameiambia Shilawadu, Clouds TV kuwa wameshindwa kuingiza sokoni bidhaa hizo kutokana na kuugua kwa Ommy Dimpoz ambaye ndiye balozi. “Mo Faya zilitakiwa ziingia mtaani toka Idd lakini tumepata mtihani kidogo, mtihani tulioupata ni kwamba balozi wetu (Ommy Dimpoz) anaumwa sana, nasikitika kusema hivyo kwa sababu hali yake si nzuri lakini kila siku kunakuwa na uhafadhali, ndio ninachosubiriwa,” amesema. “Hali yake ikiwa sawa wakati tunazitambulisha anatakiwa awepo. Tunahitaji hali yake iwe sawa, tunatamani awepo,” ameongeza Alikiba.

Ommy Dimpoz kwa sasa yupo katika matibabu nchini Afrika Kusini ambapo alifanyiwa upasuaji wa koo.

Katika hatua nyingine Alikiba amekanusha taarifa zilizobai kuwa bidhaa hizo zimezuiwa kuingia sokoni kutokana na brand yake kufanana na bidhaa nyingine. Kinywaji cha Mo Faya kilitambulishwa kwa mara ya kwanza April 29, 2018 ambayo ilikuwa siku ya harusi ya Alikiba.

Tumia Super Mkuyati Kurudisha Heshima ya Ndoa

$
0
0

 SUPER MKUYATI ILIYO IMALA HESHIMA YANDOA super mkuyati nidawa ya mitishamba iliyo sheheni miti mbalimbali na kugundulika ina pambana na magonywa sugu

SUPER MKUYATI inanguvu (3) nainafanya kazi kwapamoja (1) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 15-20 bila kuchoka (2) ina zalisha homon kwa wingi na kukufanya uwe na mbengu nyingi zenye vimeleo vya uzazi vyilivyokomaa (3) inaongeza ume mdogo uliosinyaa,kunenepesha uume na kurefusha adi nchi 5-8 na upanda sm 2-3 dawa hii haina mazala kwa mtumiaji ata kwa wazee walionaumri 60-80

SUPER MKUYATI ponyo la maradhi yako tumia Leo uone mjabu yake

OFISI YETU ZINAPATIKANA DR MTONI KIJICHI KAMAUNA NAFASI UTALETEWA POPOTE ULIPO KWALE WAMIKOANI UTATUMIWA DR GATUNDU Sm 0717777402/0768408794

Makonda Jino kwa Jino na wanaowatumikisha watoto kama Kitega Uchumi

$
0
0

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ametangaza kuwasaka wananchi wanaotumia watoto wakiwamo wenye ulemavu, yatima na wanaoishi katika mazingira magumu kama kitega uchumi cha kujipatia kipato kwa kuwafanyisha shughuli mbalimbali ikiwamo kuombaomba mitaani. 


Makonda alitangaza msako huo unaenda sambamba na kuitaka jamii kuwafichua watu hao jana wakati akizindua ripoti ya matokeo ya utafiti wa idadi ya watoto wanaoishi na kufanyakazi mitaani, kinyume na sheria iliofanywa na Shirika la kulea watoto yatima la Babawatoto. 

"Nitoe rai kwa jamii na wazazi au walezi wanaowatumia watoto hawa kwa ajili ya kujipatia kipato kuwa hawako salama kwa sababu nitaanza msako wa kuwakamata hivyo ni vyema jamii ikaanza kuwaripoti mapema. Zaidi wanawakosesha haki yao ya msingi ya kupata elimu bure inayotolewa na serikali," alisema Makonda. 

Utafiti huo umebaini Mkoa wa Dar es salaam pekee una jumla ya watoto 3,312 wanafanya kazi mitaani na kati ya hao watoto 2,984 walionekana wakifanya kazi nyakati za mchana na 328 wanafanya kazi nyakati za usiku. 

Aidha RC Makonda amewaonya watu wenye tabia ya kuwapatia ombaomba fedha barabarani kuwa Ndio wanaohalalisha uwepo wa watu hao ambapo amesema Kama mtu anataka kweli kusaidia waishio maisha magumu wapeleke misaada kwenye vituo vilivyopo kwa mujibu wa sheria kwakuwa vituo hivyo vinafuatilia maenendo ya watoto kitabia, elimu na matibabu ambapo ukimpa pesa mtoto barabarani unatengeneza mazingira ya kuwa na fedha ambayo hana uhalali nayo na anapokuwa mtu mzima anakuwa mkabaji,mporaji na kuchoma visu watu wasio na hatia.

Luis Suarez atangaza vita na Ureno

$
0
0

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis Suarez, amesema kwa sasa yupo FIT, tofauti na alivyoanza michezo ya hatua ya makundi katika fainali za kombe la dunia, zinazoendelea nchini Urusi.


Suarez ameweka wazi utimamu wake wa mwili, akiwa katika mkutano na waandishi wa habari uliokua unazungumzia mpambano wa leo wa hatua ya 16, ambao utawakutanisha na mabingwa wa soka barani Ulaya Ureno.


Mshambuliaji huyo wa klabu ya Barcelona ya Hispania, amesema katika michezo ya hatua ya makundi hakuwa katika kiwango kizuri japo alibahatika kufunga bao walipocheza dhidi ya wenyeji Urusi, lakini kwa siku kadhaa alizofanya mazoezi kwa ajili ya mchezo wa hii leo, anajihisi yupo katika kiwango bora.


“Nipo vizuri tofauti na nilivyokua mwanzo, nimejaribu kufanya mazoezi kwa kiwango kikubwa na nimefanikiwa, ninajihisi tofauti na ilivyokua katika mchezo wa kwanza dhidi ya Misri na kisha Urusi.


“Binafsi nilikua najitafakari mara baada ya michezo niliyocheza, nilifahamu sikucheza vizuri, nilitumia majibu ya maswali niliyokua najiuliza kufanya mazoezi katika kiwango cha hali ya juu, hadi ninazungumza nanyi, ninaamini kesho (leo) nitacheza vizuri sana.


“Kwa upande wa timu, kiujumla tupo tayari kwa mpambano dhidi Ureno, tutahakikisha tunacheza kwa ushirikiano wakati wote, ili tufanikishe lengo la ushindi na kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali.”


Uruguay ilimaliza katika nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa kundi la kwanza lililokua na wenyeji Urusi, Misri na Saudi Arabia, kwa kufikisha alama 9.

Wolper ataja vitu viwili vinavyomtesa katika mapenzi

$
0
0

Msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ametaja vitu viwili ambayo humtesa katika mahusiano.

Mrembo huyo ambaye kwa sasa amejikita katika Ubunifu wa Mavazi, katika mahojiano na Wasafi TV amesema muda na uongo ni vitu vinavyomtesa.

“Kitu kinachonitesa na kunipa stress kwenye kwenye mahusiano ni uongo na muda. Nafanya sana kazi lakini nahitaji sana muda wa kuwa na mtu wangu, kwa hiyo uongo na muda ni tatizo sana kwenye mahusiano,” amesema.

“Mtu akiaanza kunidanganya au kunipa muda mchache wa kuwa naye na kuwa out of mood kabisa na ninaweza nikaamka nikamwambia it’s over bila kujali chochote,” amesisitiza.

Hata hivyo ameeleza kuwa kuna uongo ambao anauhitaji; ‘Uongo ninaouhitaji mimi ni ule kunidanganya kuwa unanipenda, tangu nizaliwe sijawahi kuona mwanamke mzuri kama wewe, huo ndio uongo unahitajika kwa kila mwanamke,’.

Habari Njema Kwa Wanaume Wote Wenye Matatizo ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
Je unawahi hufika mapema kileleni? Je uume wako hausimami imara ipasavyo? Je hupati hamu ya kurudia tendo la ndoa? Je unamaumbile madogo ya uume?

Sasa ipo tiba sahihi inayomaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume na maumbile madogo kwa wakati.

- NGAKWA ni dawa bora ya asili inayotibu tatizo la nguvu za kiume nakulimaliza kabisa bila tatizo tena kujirudia.

- NKOMA ni dawa ya asili inayokuza na kunenepesha maumbile ya uume yaliyo madogo au kusinyaa kabisa wastani (Inch 6-7)

- Pia tunatibu matatizo mengine ya mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke kama Ngiri, Kuvimba Korodani, Kushika au Kutia mbimba, Fangasi Sugu, Uvimbe kwenye kizazi Nk.

Dr FARU anapatikana Buguruni Dar es salaam, Piga Namba - 0755996494

HUDUMA ITAKUFIKIA POPOTE PALE ULIPO.

Dogo Janja Awachana Wanamponda kwamba Hana Sauti Kwa Mkewe Irene Uwoya

$
0
0

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Abubakar Chande maarufu kama 'Dogo Janja' ambaye pia ni mume wa msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amedai katika ndoa yao yeye ndio mwanaume na mwenye sauti ya kutoa maamuzi ya jambo lolote tofauti na watu wanavyomfikilia.


Dogo Janja amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza  na kituo cha  EATV baada ya kuwepo kwa tetesi za kipindi kirefu zilizokuwa zinadai Janjaroo hana maamuzi yoyote katika ndoa yake kwa kuwa mwenye sauti ya kuamua jambo lolote ni mke wake Irene Uwoya.


"Ukiwa hauna maamuzi au sauti kwa mke wako wa halali ni kitu kizuri sana tofauti ukiwa hauna sauti kwa hawala. Mimi nina mtii mke wangu naye pia anafanya hivyo, kwenye ndoa yangu nina simama kama baba", amesema Dogo Janja na kuongeza;


"Watu wengi wanachukulia mambo kwa juu juu tu kwa mzaha, mimi nina sauti kwa mke wangu ninaweza kumwambia leo usitoke na huwa atoki au asifanye kitu fulani na akanisikiliza, 'so' sio kila jambo nitakalo mkataza basi nitangaze ila mpaka mke wangu akifanya jambo fulani mjue nina taarifa nayo na ninaelewa. Ndoa ni taasisi kubwa sana tofauti na watu ambao wapo tu mtaani wanatoa maamuzi yao bila ya kuelewa".


Kwa upande mwingine, Dogo Janja amedai watu wengi wamekuwa wanaongelea kuhusiana na ndoa yake kwenye mitandao ya kijamii bila ya kuwa na ufahamu wa aina yoyote juu ya taasisi hiyo ambayo ina uwanja mpana ndani yake.

Ray C: “Nilikuwa Siwezi Kupanda Stejini Bila Kutumia Madawa Ya Kulevya”

$
0
0

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C amefunguka na kuelezea kipindi kigumu alichopitia wakati ameathirika na madawa ya kulevya.


Ray C ambaye kwa sasa anaishi nchini Kenya na kufanya kazi zake kimuziki amefunguka alipohudhuria kongamano la madawa ya kulevya Mombasa. 
 

Ray C alipata  nafasi ya kuongelea kuhusu madawa ya kulevya kutokana na yeye kuwa muhanga mkubwa wa madawa hayo ambapo kwa sasa amekiri kuacha  kutumia madawa.


Ray alifinguka kuwa ilifika kipindi akawa mtumwa wa madawa ya kulevya kiasi ya kwamba alikuwa hawezi kupanda hata stejini kutumbuiza bila kutumia madawa ya kulevya.


"Addiction took three of the best of me. I was heartbroken. My brain was taken away by drug use.  

"My brain was not working because there was something else in my brain telling me I could not perform on stage without drugs, that I could not do anything without drugs.  

"I could not go anywhere without drugs, therefore I was a prisoner in my own soul.  

"Wengi wanaoingia kwenye madawa, watu wanaathirika maini kwenye madawa, watu wanatumia sindano pamoja wanapata HIV, wanawake wanajiuza ili mradi aweze kupata pesa aweze kukidhi ule utegemezi wake”


Tangu Ray C aache kutumia madawa ya kulevya ameonekana kufanya vizuri zaidi na hata kurudi kufanya muziki.

Victoria Kimani Adai Ana Mwaka Mzima Hamju Mwanaume

$
0
0

Msanii mkali kutoka Kenya mwanadada Victoria Kimambi amefunguka na kuweka wazi kuwa amepitisha mwaka mzima bila kukutana kimwili na mwanaume yoyote.


Victoria amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo ameweka wazi kuwa anasumbuliwa na upweke ambao umesababisha Kupitiasha takribani mwaka mzima bila kufanya mapenzi


Kupitia ukurasa wake wa Instagram Victoria ameweka kipande cha wimbo chenye maandishi kilochosomeka:


"Huu ni mwezi gani tupo nao? Tangu Mei mwaka jana sija-du na mwanaume yeyote. Kwa hiyo nani ameshindwa? Ni mimi? Au ni wanaume. Ni ngumu. Ni kama tupo kwenye ongezeko la joto duniani”.


Victoria ambaye ameweka makazi yake nchini Nigeria ambapo anafanya kazi zake za kimuziki amekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na  producer wa video nchini humo ambaye Mahusiano yao yaliisha tangu mwaka jana May.

Breaking News: Mmiliki Mabasi ya Zacharia Awapiga Risasi Usalama wa Taifa

$
0
0

MMILIKI wa mabasi ya ‘Zacharia’,  Peter Zacharia,  anashikiliwa na vyombo vya dola mkoani Mara kwa tuhuma za kuwapiga risasi maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa wakiwa katika majukumu yao.

Maofisa hao wanasemekana wako hospitali ya mjini Tarime wakipata matibabu ambapo mmiliki huyo wa mabasi anategemewa kufikishwa mahakamani wakati wowote.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30. 

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri 

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788 

-DR MAGISE

Jaji Mkuu atoa agizo hili kwa Mahakama zote nchini

$
0
0

Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma amewaagiza watendaji wa Mahakama kuanza kutumia mfumo wa Kielektroniki katika ufunguaji wa Mashauri Mahakamani ili kuboresha utoaji huduma,kuongeza uwajibikaji, uwazi na kuondoa mianya ya rushwa na urasimu katika kuwahudumia wananchi. 

Jaji Mkuu Profesa Juma anatoa agizo hilo katika hafla ya kuwatunuku hati za uteuzi Mahakimu wakazi wafawadhi na kuwaapisha Manaibu wasajili wa Mahakama ambapo anasema mfumo huo utakaosimamiwa na msajili mkuu wa Mahakama utasaidia kuondoa malalamiko na kuongeza uwazi zaidi kwenye mhimili huo wa dola. 

Aidha Jaji Mkuu amekemea tabia ya baadhi ya Mahakimu kujigeuza miungu watu katika utoaji hukumu kwa kivuli cha kutoingiliwa kwa uhuru wa Mahakama na kuwakumbusha uhuru huo usipotumiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni utaingiliwa na mamlaka zingine. 

Kwa upande wao baadhi ya Mahakimu wakazi wafawidhi wateuliwa wanasema mfumo wa Kielektroniki Mahakamani utarahisisha ufuatiliaji wa kesi huku wengine wakiomba mashauri yanayotoka polisi kabla ya kufikishwa mahakamani upelelezi wake ukamilike ili kesi zisikilizwe na kumalizika kwa wakati. 

Kuhusu mhilimili huo kunyooshewa vidole kuhusika na rushwa Mahakimu hao wanasema wamejipanga kuwaelimisha watumishi na watendaji waliopo chini yao kuhusu madhara ya rushwa ili kuendelea kuijengea taasisi hiyo uaminifu kwa jamii.

Mtoto wa miaka 8 ajiunga chuo kikuu

$
0
0

Kijana mmoja nchini Ubelgiji amefuzu kutoka shule ya sekondari akiwa na miaka 8 baada ya kumaliza masomo yake kwa muda mwaka mmoja unusu tu. 

Laurent Simons, ambaye baba yake na mama ni kutoka uholanzi ana IQ ya 145 kulingana na wazazi wake na alipata shahada ya diloma kwenye darasa la wanafunzi wa miaka 18. 

Akizungumzana radio na Ubelgiji ya RTBF, alisema somo analolipenda ni hesabu kwa sababu na pana sana. 

Baada ya likizo ya miezi miwili atajiunga na chuo kikuu. 

Baba yake alisema mtoto huo alipata wakati mgumu akiwa mdogo kucheza na wengine na hakufarahishwa vifaa vya kuchezea. 

Laurent anasema alikuwa anataka kuwa daktari wa upasuaji na mwanasayansi wa anga lakini sasa anataka kusomea masuala ya kompyuta. 

"Ikiwa ataamua kesho kuwa seremala, hilo halitakuwa tatizo kwetu kama atakuwa na furaha," baba yake alisema.

“Kinondoni inaongoza kwa uhalifu Tanzania” –Naibu Waziri Masauni

$
0
0

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandishi Hamad Masauni akiwa mkoani Dodoma amesema kuwa Wilaya ya Kinondoni, Dar es salaam ndio wilaya inayoongoza kwa matukio ya uhalifu nchini Tanzania na kufuatia hali hiyo Serikali imeanzisha mkakati wa kuwa na vituo vya Polisi vya kuhamishika ili kuweza kusaidia kupunguza matukio hayo.

Argentina Yapigwa Kichapo cha Mbwa Koko na Ufaransa..4 kwa 2

$
0
0

Argentina Yapigwa Kichapo cha Mbwa Koko na Ufaransa..4 kwa 2
Ufaransa sasa wanasubiri mshindi wa usiku wa leo kati ya Uruguay na Ureno kwa ajili ya robo fainali

Soka la Afrika lina dhahabu lakini tunaitumia kama kokoto

$
0
0

Mgema akisifiwa sana tembo hutia maji. Sawa Senegal walicheza vizuri, wakatubeba kimasomaso. Leo wamekwenda uwanjani na matokeo yao mfukoni. Wamecheza kama Yanga. Hawaeleweki wanaenda mbele au wanarudi nyuma. Leo Senegal wanapinduliwa na Japan? Shida ilikuwa wapi? Binafsi naona tu yale yale ya kujiandalia matokeo mkekani badala ya kwenda kutafuta matokeo uwanjani.

Sijui kwanini Cisse ametuacha mdomo wazi kiasi hiki. Juzi tulimsifia sana. Leo amecheza na Wauza unga waliokuwa hawajielewi. Kwani nani hakuona utumbo wa Colombia leo? Tunapaswa kujifunza kitu kupitia haya mapungufu. Daah nazidi kuamini kwamba asili ya mwafrika ni ngozi yake. Hawezi kuisaliti kamwe. Hivi unaikumbuka Mechi ya Kagera Sugar na simba pale taifa! Yaani unakwenda kukamilisha ratiba kwa kucheza kama hutaki? ilhali unajua unahistoria inakusubiria uikamilishe? Nimejiuliza Senegal walikuwa wanaenda kukamilisha ratiba ya nani?


Baada ya hapo naomba nitoe dukuduku

Je kuna sababu ya kumlaumu Cisse? Binafsi ndio. Sawa wametolewa kwa kadi 6 za njano dhidi ya 4 za Japan lakini kwanini wameenda kucheza kama wamekwisha kubeba ubingwa?

Unataka tuamini kwamba Senegal walizidiwa na Colombia? Tutakuwa waongo. Kilichotokea Senegal walifanya kupoteza muda uwanjani wakitegemea kitambaa kile kitawatosha sare.

Nimemsikia Mtangazaji wa huko uzunguni akisema “Sorry for Afrika but that should not be interpreted as the end of World Cup for them”. Anamaanisha Poleni Afrika lakini huu sio mwisho wa kombe la dunia! Ningekuwa karibu ningemwambia ikitokea sisi tumebeba kombe la dunia basi ujue hilo ni kombe la Afrika tumelibadilisha jina tukaamua kuliita hivyo lakini sio kile kinyago cha Gazzaniga.


Juzi nilijikaza kweli kuitetea Afrika nikiamini kuwa Senegal na Nigeria zitamaliza shughuli. Tuwapuuze waarabu wanaojua mpira lakini wanacheza kwa kiburi uwanjani. Poland kafanya kuisaidia kabisa Senegal. Poland kashajitokea lakini kambutua Japan. Senegal Kashindwa hata kupata suluhu? Kwa vurugu hili wangeenda kuwaambia nini England au Belgium

Kosa lingine kubwa nililoliona kwa Afrika ni Ukabaji wa macho. Yaani tunafungwa mabao ya mipira ya adhabu/iliyokufa kama kona na pigo dogo la adhabu. Beki aliyekuwa ana mkaba Yeri Mina yaani ni kama alikuwa anataka kumuomba jamaa namba za Messi kwa sababu tu yupo Barcelona. Wala hakujishughulisha kuangalia mpira unatokea wapi? una urefu gani, umekuja kwa kasi gan? yeye kaishia kumng’ang’ania. Achilia mbali huyo kuna mmoja alisisima kwemye nguzo kama sanamu, nikjiuliza tupo Vatcan au vipi maana kule Vatcan ndipo kuna sanamu nyingi za wakatoliki.


Kisha nimewaza sana. Unajua wachezaji wengi wa Afrika waliopo ulaya wana vipaji vikubwa sana kuzidi hata hale wa ulaya kama akina Hazard n.k. Unajua mpaka mchezaji wa kiafrika anafika ulaya amehaso mno. Yaani ni juhudi zake za kipaji cha kuzaliwa. Ukiona mtoto wa kata anafanikiwa ana pata Daraja la kwanza muogope sana. Narudia ukiona mtoto wa shule ya kata anapata daraja la kwanza au hata la pili muheshimu sana.


Messi akiwa na miaka 9 alicheza michezo ya ushindani hadi na timu nje ya taifa lao. Neymar akiwa na miaka 14 alifanya majaribio Real Madrid. Kylian Mbappe akiwa na miaka 12 amefundishwa na makocha wakubwa. Utamu wa chakula ni maandalizi mazuri jikoni. Sisi tunavyakula vizuri lakini tunavipika kwa kulipua.

UEFA na ligi mbalimbali huwa wanakuwa na vikao vya maendeleo ya soka ya maeneo yao. Wanakuwepo makocha wastaafu, makocha wale wazoefu na wale wanaochipukia. Lengo ni kugawana ujuzi. Wenzetu kila baada ya Kombe la dunia makocha wote wakubwa wakubwa huitwa. Hujadiliana kwanini timu fulani zilifanya vibaya.


Wanachambua kila mechi kisha wanatoa mawazo yao na wanaanda CD kwa ajili ya kujifunzia. Sisi kombe likiisha na habari inashia hapo hapo, sio CAF sio washiriki wote wanaingia mtini.

Nimejiuliza CAF hivi vikao vipi? Jata kama vinafanyika Je vina tija? Je shirikisho la soka Tanzania limepeleka makocha wangapi kujishikilia kweye vilabu vikubwa au mataifa ya ulaya? au hatujui umihumu wa akina Julio kama tutawaendeleza?. Ukikaa meza ya wakubwa hufi njaa utakula hata makombo. Tunakimbilia makocha wazungu ambao huwa tunawalazimisha kukusanya wachezaji wanaocheza ulaya au wale wanaocheza vilabu pendwa kwenye mataifa yetu kisha tunamwambia nenda nao kombe la dunia.

Shida kubwa Afrika sio wachezaji ila mifumo ya ufundishaji. Wachezaji wetu ni wazuri sana wanapokuwa ulaya. Afya nzuri haiji hivi hivi unapaswa ule vyakula vizuri. Mtu anakwambia ooh Mane boya tu, hajitumi kama Liverrpool. Akiwa Ulaya anakula Madini ya akina Klopp leo mnamleta Afrika mnampa kokoto? Sahauni!


Tumeelewana lakini! Tupeleke waalimu wetu ulaya wapate leseni kubwa kubwa waje huku watupe madini. Leo hii Tanzania hakuna kocha wa kumpa madini Samatta. Samatta anakuja tu kwa sababu ya utaifa. Hata sauzi hapo tu wanatuzidi makocha wanaguzid ufundi. Mwangalieni Banda wa Baroka na yule Banda aliyeenda Algeria na Taifa Stars

Naitwa Privaldinho nipo Instagram pia.
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live




Latest Images