Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

Steve Nyerere Amvaa Muna "Muna Mweke Shetani Pembeni Shilikiana na Mumeo wa Ndoa Kumpumzisha Mtoto Wenu''

$
0
0
Steve Nyerere Amvaa Muna "Muna Mweke Shetani Pembeni Shilikiana na Mumeo wa Ndoa Kumpumzisha Mtoto Wenu''
KUFUATIA sintofahamu kuhusu nani ni baba halisi wa mtoto wa Muna na wapi msiba upelekwe, muigizaji Bongo Movies ambaye pia ni kiongozi wa tasnia hiyo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amemvaa mama wa mtoto huyo (Muna) na kumwambia aache kuwayumbisha watu badala yake aungane na mume wake wa ndoa (Petere Zacharia) ili kusitiri mtoto wao kwa heshima kuliko kuwafaidisha watu kwa mameneno na mifarakano yao mitandaoni.

“Muna Muna Muna Muna Muna, naomba unisikilize popote ulipo, huu muda si wakufukua makaburi.
Wewe muna kwangu ni mama bora, ulimpenda mwanao ulisimama na mwanao mpaka kipindi cha mwisho. MUNGU akupe nguvu Muna.



“Muna embu kaa tena chini jifikilie, ulitumia nguvu akili na maarifa yako yote na WATANZANIA wakatokea kukusapoti kwa namna moja ama nyingine. Kila mtu ameguswa na msiba wa mwanao ndani ya nchi na nje ya nchi, basi nakuomba Muna tumia busara sana weka utoto pembeni, Mweke shetani pembeni shilikiano na MUME wako wa NDOA kumpumzisha mtoto wenu.



“Matatizo yenu wekeni kando kipindi hiki kigumu Muna msiwape watu faida Muna, Naimani umeokoka basi kwenye hili kuwa na HOFU na MUNGU, sizani Muna kama aya tunayo yasoma mara mtoto wa huyu mara wa huyu, mara niliolewa nikiwa na mimba kama yanakujenga.



“Bali nazani yanabomoa heshima yako.Dada nakuomba Fumba macho hili lipite nazani ata Patrick uko alipo analia kuona mfarakano huuuu. Msimtese mtoto uko alipo, tumieni busara sana .Baada ya maziko ayo mambo yenu mtaendelea nayo kwa sasa ushauri wangu ungana na family muweze kumpa heshima mtoto wenu inayo mmstahili.



“Washauri wa Muna nawaomba unganeni na family ya Peter kumpa heshima mtoto wenu inayo mmstahili sisi wangine tupo pande zote ila atupendezwi na haya tunayo yaona nilizani ni muda muafaka wote kukusanyika mwananyamala kwa Peter kuhakikisha tunampumzisha kijana wetu asante.

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0

Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa 

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka 
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume 

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU 

 0753471612/ 0715249530 
0623 386 305 

DR KUZENZA

Huyu ndio Mwanamke wa Kwanza Pailoti Kuidhinishwa Kurusha Ndege Aina ya Boeng 787 Dreamliner Afrika

$
0
0

Bi Irene Koki Mutungi; rubani wa kwanza mwanamke katika bara la Afrika kuidhinishwa kurusha ndege aina ya Boeing 787 Dreamliner. Mutungi atairusha ndege hiyo ya Kenya Airways katika safari yake ya kwanza toka Kenya hadi Marekani. Mmoja ya abiria wake atakuwa Rais Uhuru Kenyatta.

Humphrey Polepole "Hakuna uhuru usio na Mipaka"

$
0
0

Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi Humphrey Polepole, amesema kuwa hakuna uhuru usio na mipaka, hivyo basi wananchi wajiwekee mazoea ya kufuata taratibu zinazowekwa ili kuwaongoza.
***Polepole ametoa kauli hiyo katika uzinduzi wa Ripoti ya pili Twaweza kuhusiana na tafiti zake kuhusu maoni ya wananchi wa Tanzania kuhusu Ushiriki, Maandamano na Siasa kwa mwaka 2018, ambapo Polepole amesema kuwa hata yeye huwa hafanyi mikutano ya kisiasa kwa kuwa imezuiwa hivyo anavyotembelea mikoani hufanya vikao vya ndani.

Muna Amaliza Mvutano wa Kumzika Patrick Akubali Kupeleka Msiba kwa Mume Wake wa Ndoa

$
0
0
Muna Apokea Ushauri wa Wengi Akubali Kupeleka Msiba kwa Mume Wake wa Ndoa
Baada ya Vuta nikuvute ya muda mrefu wapi msiba wa mtoto Patriki utafanyika ikiwa mama yake mzazi ambaye ni muna Love kusema msiba utafanyika kwake mbezi beachi Jogoo huku aliyejitokeza kuwa ni baba yake mzazi Peter Zacharia Kusema Patrick ni mwanaye na msiba utafanyika kwake mwananyamala.

Baada ya ushauri mwingi uliotolewa na watu mbalimbali na mazungumzo waliyoyafanya watu wakimshauri muna kutumia busara ya kufanyika kwa msiba huo kwa mume wake wa ndoa hatimaye muna akubari kufanya hivyo na taarifa rasmi zimetolewa na steve Nyerere kupitia instagram yake kwa kuandika hivi;

"Asante kwa kunipa heshima hiii na kuniskiliza Muna amekubali kila jambo litaenda sawa .msiba ni kwa bwana piter na ratiba yote ni apo asanteni".

Faiza Awapa Makavu Watumiaji wa Instagram " Mnafanya Watu Waishi Maisha Feki Wawape Furaha Huku Wanakufa na Tai Shingoni"

$
0
0
Faiza Awapa Makavu Watumiaji wa Instagram " Mnafanya Watu Waishi Maisha Feki  Wawape Furaha Huku Wanakufa na Tai Shingoni"
Kuna msemo unasema penye watu wengi daima hapawezi kukosa maneno na hivyo ndivyo ilivyo kwenye mitandao ya kijamii na hii ni baada ya Faiza Ally kupost kuhusiana na mashabiki wa instagram na kuwaona ni wachochezi kwa watu na kuwafanya waishi maisha feki ambayo hayana uasilia wa kweli.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Faiza Ally amewashtumu mashabiki kuwa wanayumbisha maisha ya watu na kuwafanya waishi maisha feki kutokana na wengi kuongelewa vibaya na hivyo inahitaji mtu jasiri kuonyesha uasilia halisi wa maisha yake.

“Nyie mashabiki wa insta mnayumbisha akili za watu ndio maana mnafanya watu waishi maisha feki …it takes very strong person kuishi maisha yake halisi …maana watu halisi mnawebeza mnashabikia feki na sasa ili waendelee kujisikia vizuri inabidi waendelee kufeki hata kama wanapita juu ya miba wawape furaha huku wanakufa na tai shingoni ! Feki + feki + feki sawasawa na zero”

Msiba wa Patriki Wamuibua Lulu

$
0
0
Msiba wa Patriki Wamuibua Lulu
Kufua msiba mzito uliowagusa watanzania wengu wa mtoto patrick aliyefariki Dunia juzi jioni huko Nairobi Kenya msiba huo umefanya kumuibua Elizabethi Michael 'Lulu' kuonekana nyumbani kwa Muna Love huko Mbezi beach ambapo awali ilitangazwa msiba ungefanyika huko.

 Lulu ambaye amekua apost chochote kutokana na msiba huu ameamua kuposti mshumaa ishara ya kuomboleza msiba ya Patrick.


Kwa sasa Lulu amekuwa aonekani mitaani wa akiposti chochote kwenye mitandao ya kijamii ila kufuatia msiba huu Lulu ameonekana akifanya usafi na kuweka mazingira mazuri kwaajili ya maandalizi ya msiba.

Kwa muonekano lulu ameonekana tofauti akiwa ameneneba hii imeleta mjadara kwa watu wengi huku wakiwa hawajamuona kwa muda mrefu toka alivyotoka gerezani akitumikia kifungo chake cha miaka miwili.

Sitegemei Kuona Mabadiliko Yoyote Kwenye Wizara Aliyowekwa Lugola Zaidi ni Uchochezi- Peter Msigwa

$
0
0
Sitegemei Kuona Mabadiliko Yoyote Kwenye Wizara Aliyowekwa Lugola Zaidi ni Uchochezi- Peter Msigwa
Mbunge wa Iringa Mjini Mch. Peter Msigwa, amedai kwamba mabadiliko ya kumtoa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt Mwigulu Nchemba na kuteuliwa Mh. Kangi Lugola hayawezi kubadili chochote ndani ya wizara hiyo isipokuwa uchochezi.

Akizungumza na www.eatv kuhusiana na mabadiliko madogo yaliofanyika katika baadhi wizara mwishoni wa wikiiliyopita, Mh. Msigwa amesema hakuna chochote atakachokifanya Kangi isipokuwa maneno mengi yanayoweza kumfurahisha  mkuu wake.

"Sitegemei kuona mabadiliko yoyote kwenye wizara hii zaidi ya uchochezi. Kangi ana maneno mengi ambayo yataweza kumfurahisha mkuu wake wa kazi lakini si mabadiliko. Lugola huwa ni mti wa kugeuka geuka hivyo atakuwa mtu wa vichekesho 'so' sioni mabadiliko" Msigwa.

Akiuzungumzia utawala wa Mwigulu Nchemba ambaye alichukua wizara hiyo kutoka kwa Charles Kitwanga, Msigwa amesema hakuna alichokifanya katika Wizara hiyo zaidi ya kusaidia kuzuia mikutano ya kijamii pamoja na kanuni za nchi.

"Mwigulu hajafanya chochote katika wizara, kuwepo au kutokuwepo kwenye wizara sitaona tofauti yoyote. Kwenye Wizara ile Mwigulu alikuwa kama picha kwani katika kipindi chake ndipo ajali za barabarani zimeongezeka, watu wameokotwa kwenye viroba, Mauaji yameongezeka, amesaidia sana kuzuia mikutano ya vyama".

Ameongeza kwamba "Mwigulu alikuwa anashadadia mambo ya hovyo yanayokwenda tofauti na katiba ya nchi na kanuni za nchi. Sioni tofauti yake".

Mtoto wa Miaka Sita Auawa Kisa Muwa

$
0
0
Mtoto wa Miaka Sita Auawa Kisa Muwa
Polisi mkoani Iringa inamshikilia Jofrey Josephat (29), mkazi wa Ipogolo wilayani Iringa akituhumiwa kwa mauaji ya mtoto wa miaka sita.

Taarifa ya polisi inasema chanzo cha tukio hilo ni mtuhumiwa kutolewa lugha ya maudhi na mtoto kwa sababu alimnyima muwa.

Inadaiwa mtoto huyo alitamka kuwa mtuhumiwa ni mpumbavu na hafai baada ya kumnyima muwa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Juma Bwire amesema leo Julai 5, 2018 kuwa Josephat ambaye ni mtunza bustani anatuhumiwa kwa mauaji yaliyotokea jana Julai 4, 2018 saa kumi na moja jioni, eneo la Kibwabwa B, kata ya Kitwiru, Manispaa ya Iringa.

Amesema mtoto huyo Prosper Myovela aliuawa kwa kukatwa kwa panga shingoni na mikononi.

Kamanda Bwire amesema mtuhumiwa alitumia panga na baadaye kisu kumkata mtoto huyo na aliuhifadhi mwili kwenye kiroba na kuuficha kwenye nyumba ambayo ujenzi wake haujakamilika.

Amesema upelelezi unaendelea na ukikamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.

TFF Yakubali Kulipa Deni la Milioni 50 Linalodaiwa na Kampuni ya Ulinzi

$
0
0
TFF Yakubali Kulipa Deni la Milioni 50 Linalodaiwa na Kampuni ya Ulinzi
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa litaanza kulipa taratibu deni la takribani zaidi ya shilingi za Kitanzania, milioni 50 ambalo wanadaiwa na Kampuni ya Ulinzi (Kiwango Security).

Hatua hiyo imekuja kufuatia kampuni kuondoa walinzi wake wote kwenye ofisi hizo zilizopo mitaa ya Karume, Ilala, Dar es Salaam pamoja na kwenye makazi ya Rais wake, Wallace Karia.

Kufuatia tukio hilo  Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidao amesema watajitahidi kulipa deni la kampuni hiyo kwa taratibu za kiofisi ili walinzi hao waweze kurejea tena kuendelea na kazi kama mwanzo.

“Ni  kweli tunadaiwa na hivyo itatupasa tuanze kulilipa deni hilo taratibu mpaka watakapolikamilisha ili huduma iendelee”, amesema Kidao.

Zimepita siku kadhaa ambapo Mwenyekiti wa uendeshaji katika kampuni hiyo, Sunday Marwa, aliposema wameondoa wafanyakazi wao na hawatoweza kuwarudisha mpaka pale watakapolipwa fedha zao.

Pamoja na Kutolewa Japani Yapokewa Kifalme

$
0
0
Pamoja na Kutolewa Japani Yapokewa Kifalme
Maelfu ya washabiki wamejitokeza kwenye uwanja wa ndege wa New Tokyo kuipokea timu yao ya taifa ya Japan ambayo imerejea kutoka kwenye mashindano ya kombe la dunia yanayo endelea huko nchini Urusi.





Japan ilifanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya michuano hiyo na kuweka historia ya kuiyongoza timu ya Ubelgiji kwa jumla ya mabao 2 – 0 kabla ya mashetani hao wekundu kuyasawazisha na kuchomoza na ushindi dakika za lala salama.



Miamba hiyo ya soka barani Asia imejizoelea umaarufu mkubwa pamoja na mashabiki wao kutokana na tabia njema waliyoonyesha kwenye michuano hiyo kwa kufanya usafi kwenye vyumba vyao na hata kusafisha uwanja ambao wameutumia baada ya mechi.



Licha ya kufanya vizuri kwenye michuano hiyo meneja wa kikosi cha Japan,  Akira Nishino utakuwa ndiyo mwisho wake wa kukinoa kikosi hicho.

Shirikisho la soka la Japan (JFA ) limethibitisha hilo hii leo kuwa Nishino hatoendelea na majukumu yake kama kocha wa timu hiyo ya taifa.

Hundreds of Japan supporters welcomed home their team from the 2018 World Cup in Russia

Captain Makoto Hasebe speaks at a press conference held inside the airport on ThursdayÂ

Monalisa Azidi Kupeta Apata Tuzo Nyingine Nchini Marekani

$
0
0
Monalisa Azidi Kupeta  Apata Tuzo Nyingine Nchini Marekani
Msanii wa Filamu Bongo, Monalisa amekabidhiwa tuzo nchini Marekani alipokwenda katika Tamasha la filamu, The African Film Festival (TAFF).

Muigizaji huyo alienda kama host wa tamasha hilo lakini akapatiwa tuzo hiyo kitu ambacho hakukifahamu hapo awali. Kupitia ukura wake wa Instagram Monalisa ameandika;

“Namshukuru Mungu sana kwa anayonitendea, sikujua lolote kuhusu Tuzo, nilialikwa kama Host wa usiku wa Tuzo na kushiriki Tamasha la Filamu. Kumbe TAFF walikuwa wana nia ya kunizawadia Tuzo hii Wow!,” ameeleza.

“Sijui niseme nini mtoto wa Natasha Mimi?watu wa nje wananielewa kiasi hiki kwa kitu ninachofanya kwa ajili ya nchi yangu?ni hisia ambazo siwezi kuelezea,” amesisitiza Monaliza.

Utakumbuka April 14, 2016 Monalisa alishinda tuzo ya The African Prestigious Awards (APA) 2017 kwenye kipengele cha Msanii Bora wa Kike barani Afrika. Tuzo hizo zilitolewa Accra nchini Ghana, Msani mwingine wa Tanzania aliyeshinda katika tuzo hizo ni Ray Kigosi.

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0

Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Ukaguzi wa Magari Kilimanjaro wabaini Madereva kutumia Leseni za ndugu zao

$
0
0

UKAGUZI wa Magari ya Abiria pamoja na Leseni unaofanywa na Jeshi la Polisi mkoa  wa Kilimanjaro umebaini udanganyifu mkubwa unaofanywa na baadhi ya Madereva wa Magari ya abiria ukiwemo kuendesha bila  Leseni ,Umri  wa kuendesha gari kupitiliza , wengine wakitumia Leseni za Ndugu zao. 

Katika kituo Kikuu cha Mabasi ya abiria yaendayo mikoani na yale yanayofanya safari zake ndani ya mkoa wa Kilimanjaro,Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro Hamisi Issah akiwa ameongozana na Mkuu  Operesheni kikosi cha usalama Barabarani ,Peter Mizambwa na maofisa wengine wa Polisi wamefanya ukaguzi. 

Katika ukaguzi huo magari zaidi ya 800 yamekaguliwa na yaliyobainika kuwa mabovu yalizuiliwa kuendelea na safari huku  baadhi ya Madereva wakikutwa  na silaha katika magari yao vikiwemo Visu,kamanda Issah akatoa onyo kwa madereva kutembea na silaha pamoja na kujaza abiria hali inayochangia abiria kukaa katika mikao isiyo rafiki. 

Mkuu wa operesheni wa kikosi cha usalama barabarani ,Mkaguzi wa Polisi Peter Mizambwa akazungumzia Operesheni Nyakua iliyoanza kwa lengo la kupunguza ajali  huku baadhi ya Madereva na wananchi wakipongeza utaratibu huo. 

Polepole akanusha CCM Kumwandikia Barua Nape Nnauye

$
0
0

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amekanusha taarifa za chama hicho kumpa barua ya onyo mbunge wa Mtama, Nape Nnauye.


Akizungumza leo Alhamisi Julai 5, 2018 Polepole amesema mbunge huyo wa CCM hajapewa barua ya onyo, kwamba chama hicho tawala kina taratibu zake.


Taarifa za Nape kupewa barua hiyo zimesambaa mitandaoni huku mwenyewe akikanusha kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter.


Taarifa hizo zilitiwa chumvi zaidi baada ya kuhusishwa na msimamo wa Nape katika suala la Korosho lililoibuka katika Bunge la Bajeti.


Katika mkutano huo wa Bunge, Nape na wabunge wenzake kutoka mikoa ya Kusini walipinga uamuzi wa Serikali wa kubadilisha Sheria ya Korosho, ikiwa ni pamoja na fedha za ushuru wa korosho kwenda katika mfuko mkuu wa Hazina.


Akizungumza baada ya uwasilishwaji wa ripoti ya taasisi ya Twaweza jijini Dar es Salaam, Polepole amesema chama hicho tawala kina utaratibu wa vikao linapotokea tatizo la mwanachama wake.

Nape Kawaonya wanaomzushia kufukuzwa uanachama...."Watapata Tabu Sana Wanuka Maziwa"

$
0
0

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Mh. Nape Nnauye amesema kwamba wanaomzushia kwamba amesimamiswa uanachama wa Chama Cha Mapinzduzi watapata tabu sana. 


Kauli hiyo ya Nape imekuja baada ya kusambaa taarifa katika mitandao ya kijamii kwamba barua ya Mbunge huyo kusimamishwa uanachama wa Chama chake imekwishamfikia mkononi.


"Kwa uzushi huu watapata tabu sana wanuka maziwa, ndio shida ya kudandia treni kwa mbele, unawakuta wenyeji unakuwa Mwenyezi kuliko" Nape Nnauye.


Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais wa Nchi John Pombe Magufulia mapema wiki hii alionyeshwa kuchukizwa na wabunge wanaotokea mikoa ya Lindi na Mtwara kutokana na michango yao bungeni kwenye suala la korosho ambapo baadhi ya wabunge wa CCM kutokea mikoa hiyo waliitaka serikali iwalipe wakulima pesa ambazo wanadai ili waweze kuendeleza zao hilo.


Hivi karibuni Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi ACT Wazalendo, Ado Shaibu alidai kwamba hakuna mwanaharakati anayeweza kulitetea Taifa akiwa chini ya Chama tawala hivyo kuwahimiza Nape, Bashe na Hawa Ghasia kuwa kama wana nia ya dhati ya kuwatetea wanyonge wahamie ACT-Wazalendo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 6

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 6

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0


Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Ajali Yaua Watu Watano Mbeya Usiku wa Kuamkia Leo

$
0
0

Watu watano wanadaiwa kufariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali iliyohusisha lori pamoja na gari  dogo aina ya Noah eneo la mteremko wa mlima Igawilo nje kidogo ya jiji la Mbeya.

Ajali hiyo iliyohusisha magari matatu imetokea kwenye mteremko wa mlima Igawilo na kwa mujibu wa mashuhuda gari lenye kontena ililiangukia gari aina ya Noah iliyokuwa na abiria na inasadikiwa watu watano wamepoteza maisha.

Ajali hii imetokea ikiwa ni muda mfupi tu  baada ya Waziri Mpya wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola kutembelea Mbeya na kutangaza kuvunja Baraza la Taifa la Usalama Barabarani pamoja na Kamati zake zote za Mikoa na Wilaya

Polepole: “Sishangai kutokubalika kwa Rais Magufuli”

$
0
0
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema kuwa hashangazwi na watanzania wanaopinga jitihada za Rais Magufuli kwani hakuna maendeleo yasiyopitia changamoto.

Akizungumza katika katika  uzinduzi wa ripoti ya pili Twaweza kuhusiana na hali ya siasa nchini Polepole amesema kuwa maneno hayo ni watu wasio na nia ya kumuunga mkono Rais katika muhtasari wa maendeleo ya nchi.

“Sishangai kukubalika kwa Rais kushuka kwani hata kwenye ndoa kuna ‘honeymoon phase’ maendeleo si kitu cha kimiujiza, tunashughulikia maji, umeme, kilimo, miundimbinu’’, amesema Polepole.

Aidha Polepole ameongeza kuwa tafti zinazokuwa zinafanyika bora zilenge zaidi katika kutokomeza umasikini, kupambana na rushwa na kubuni miradi ya maendeleo ili kuunga mkono maendeleo ya taifa.
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images