Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

CUF Yatangaza Mgomo Zanzibar

$
0
0
Chama cha Wananchi (CUF) , kimesema hakitashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Jang'ombe ambao unatarajiwa kufanyika Octoba 27 mwaka huu huku baadhi ya vyama vimesema vitashiriki vikiwemo vya CCM, Ada, TADEA, ADC, na AFP.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF, Salum Abdallah Bimani amesema kuwa chama hicho hakitoshiriki uchaguzi huo kutokana na kutoridhishwa na kitendo cha Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar  (ZEC), kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Octoba 25 mwaka 2015.

 “Kufuatia uamuzi huo wa ZEC, Chama cha Wananchi, hakina imani na uchaguzi wowote wa Uwakilishi au Udiwani utakaofanyika Visiwani Zanzibar na wafuasi wa chama chetu hasa wale wa jimbo la Jang'ombe hawatoshiriki katika uchaguzi huo”, amesema Bimani.

Aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Jangombe kupitia Chama cha Mapinduzi, Abdallah Diwani alifukuzwa uanachama Mei 29 mwaka huu na kupoteza nafasi ya Uwakilishi katika jimbo hilo na ndipo Tume ya Uchaguzi kuamuru kufanyika uchaguzi mdogo ili kuziba nafasi hiyo.

Steve ‘Muna Karidhia kuna Baba wa Mitandao, Peter ndo Baba Halali’

$
0
0
Mchekeshaji Steve Nyerere amezungumza baada ya familia ya Peter kukaa na kukubaliana mahali msiba utakapofanyika ambapo kwa mujibu wa Steve Nyerere amesema kuwa Muna ameridhia msiba ufanyike nyumbani kwa Peter ambaye mwanzoni alisema kuwa yeye ndo baba mzazi wa mtoto huyo.

Pamoja na hilo Steve Nyerere aliuzwa kuhusu post ya Muna kusema kuwa Casto Dickson ndiye Baba wa Mtoto ambapo Steve kasema kuna baba wa mtandao na Baba halali, Peter ndiye Baba halali. VIDEO:

Tengeneza Shape na Kuimarisha Nguvu za Kiume kwa Kutumia Natural Beuty Products

$
0
0
Katika kusherehekea miaka 15 ya kampuni ya NATURAL BEAUTY PROD tunatoa shukrani za dhati sana kwa wateja wetu wote kwa kutuunga mkono miaka yote hiyo.
TUNATOA OFFA YA WIKI NZIMA KWA WATEJA WETU UKINUNUA BIDHAA UTAPATA PUNGUZO LA 20%. KWA WATEJA WA MIKOANI UTATUMIWA BURE.

Ni bidhaa salama kabisa zilizotengenezwa kwa mimea na matunda pia zina matokeo mazuri na kwa haraka zaidi.



1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @220,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @180,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @140,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @210,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/=
11.YODI PILLS--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza (hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-

@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod

Vera Sidika Kumpeleka Mpenzi wake Kumtambulisha Kijijini Kwao

$
0
0
Vera Sidika Kumpeleka Mpenzi wake Kumtambulisha Kijijini Kwao
BAADA ya kukinukisha katika mitandao na TV, muuza nyago ambaye pia ni mwanamitindo maarufu kutoka pande za Kenya, Vera Sidika yupo mbioni kumpeleka mchumba wake ambaye ni mwanamuziki, Otile Brown kijijini kwao.

Kwa mujibu wa Mtandao wa SDE, Vera ambaye yupo katika uhusiano wa kimapenzi na Otile kwa zaidi ya miezi sita, anafanya hivyo ili mpenzi wake huyo aweze kuwatambua ndugu pamoja na familia zake alikokulia huko Jimbo la Magharibi ya Kenya. Katika safari hiyo, wawili hao wataongozana na mtangazaji wa redio maarufu, Jalang’o.

Belle 9 Ampa Onyo Kali Dogo Janja

$
0
0
Belle 9 Ampa Onyo Kali Dogo Janja
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Abubakar Chande maarufu kama 'Dogo Janja' ameonywa na mwanamuziki mwenzake Belle 9, kwamba awe makini na Jiji la Dar es Salaam kwa madai lina watu wa kila aina ili asije kuharibiwa tabia yake ambayo yeye binafsi ameshindwa kuielewa kwa haraka.

Belle 9 ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz inayorushwa na tinga namba moja kwa vijana baada ya Dogo Janja kudai Belle anapaswa kupigwa viboko 70 kwa kile alichokidai kudharau wakubwa zake akiwa anamlenga Baba yake mlezi Madee Ali.

"Tuna tofautiana katika kufikiri baina yangu na Dogo Janja unajua zama za viboko zimeshapitwa na wakati, halafu unajua kabla hajaachia huu wimbo wake mpya nilikuwa nasikiliza ule wa zamani ambao alijifanya kama dada hivi lakini pia sasa hivi ameachia ngoma mpya anasema 'your my banana",amesema Belle 9.

Pamoja na hayo, Belle ameendelea kwa kusema "hakuna mtu asiyejua maana ya 'banana' hii imekaa kiutata kabisa, sasa hapo viboko labda yenye mwenyewe ndio anapaswa apigwe kwasababu nashindwa kumuelewa. Madee amchunge mtoto wake mjini hapa maana kuna watu wa aina tofauti".

Mganga wa Kienyeji Aliyempa Nguvu ya Kujikinga na Risasi Auawa kwa Kupigwa na Risasi na Mteja Wake

$
0
0
Mganga wa Kienyeji Aliyempa Nguvu ya Kujikinga na Risasi Auawa kwa Kupigwa na Risasi na Mteja W
 Mganga wa kienyeji aitwae Chinaka Adoezuwe mwenye miaka 26 Raia wa Nigeria aliyedai kuwa ana nguvu za kuzuia risasi ameuawa kwa kupigwa na risasi na mteja wake.

Inadaiwa kuwa Mganga huyo ambaye alikuwa akijinasibu kuwa ana uwezo kuzuia risasi alimuagiza mteja wake ampige risasi wakati akiwa anavaa dawa hizo za kuzuia risasi shingoni ili kumthibitishia mteja wake kuwa ana uwezo huo kitu ambacho kilipelekea kukatisha uhai wake.

Kwa upande mwingine jeshi la Polisi nchini humo limemkamata mteja huyo kwa madai ya mauaji na anatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma hizo.

Aidha imeelezwa kuwa kwa siku za hivi karibuni nchini Nigeria kumetokea Waganga wengi wanaodai kuwa wana nguvu za kuzuia risasi.

Waziri Lugola Afanya Mazungumzo Na Kamishna Jenerali Wa Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji

$
0
0
Waziri Lugola Afanya Mazungumzo Na Kamishna Jenerali Wa Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye (kushoto) baada ya kurejea kutoka jijini Mbeya kwa ziara ya kikazi. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam,walijadiliana  mambo mbalimbali yanayolihusu jeshi hilo

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye, akijadiliana  mambo mbalimbali yanayolihusu jeshi hilo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola. Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam baada ya Waziri Lugola kurejea kutoka jijini Mbeya

Namfahamu Peter Mume wa Muna Toka Zamani Simfahamu Huyo Casto- Steve Nyerere

$
0
0
Namfahamu Peter Mume wa Muna Toka Zamani Simfahamu Huyo Casto- Steve Nyerere
Hatimaye Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Steve Nyerere ameibuka na kufunguka kuwa anamuomba Muna kwa sasa aachane na mitandao ya kijamii na a-focus zaidi na namna atakavyomzika mtoto wake Patrick.


Steve Nyerere akizungumzia kuhusu baba halali wa mtoto Patrick, amesema kuwa yeye anamfahamu Peter mume wa ndoa wa Muna Love toka zamani  na hamfahamu kabisa Casto Dickson.

Pia amemshauri Muna Love kwa sasa aachane na mambo ya mitandao ya kijamii ikibidi aifunge kabisa simu yake kwani na afikirie namna ya kumpumzisha mtoto wao Patrick kwenye nyumba ya milele.

Hii Hapa Ratiba ya Robo Fainali Michuano Kombe la Dunia Inayoendelea Kuanzia Leo

$
0
0
Hii Hapa Ratiba ya Robo Fainali Michuano Kombe la Dunia Inayoendelea Kuanzia Leo
HAPA nimekuwekea ratiba ya mechi zote za Robo Fainali michuanpo ya Fainali za Kombe la Dunia 2018  nchini Urusi, kuanzia kuanzia leo Julai 6, 2018.

Quarter-finals
Friday 6 July
France vs Uruguay – Nizhny Novgorod, 3pm (Match 57)

Russia vs Croatia – Kazan, 7pm (Match 58)



Saturday 7 July
Sweden vs England – Samara, 3pm (Match 60)

Brazil vs Belgium – Sochi, 7pm (Match 59)

Semi-finals
Tuesday 10 July
Winner match 57 vs Winner match 58 – St Petersburg, 7pm (Match 61)

Wednesday 11 July
Winner match 59 vs Winner match 60 – Moscow (Luzhniki), 7pm (Match 62)

Third place play-off
Saturday 14 July

Loser match 61 vs Loser match 62 – St Petersburg, 3pm

World Cup 2018 final
Sunday 15 July

Moscow (Luzhniki), 4pm

Jua Layeyusha Barabara ya Lami Australia

$
0
0
Jua Layeyusha Barabara ya Lami Australia
Wenye magari katika eneo moja nchini Australia wamelazimika kuyaacha magari yao baada ya lami kuanza kuyeyuka barabarani.

Tairi za magari ziliharibiwa vibaya na lami na sasa madereva takriban 50 wanadai fidia.

"Sijawahi kuliona jambo kama hili maishani na taarifa zilipoaza kutolewa jana, lilikuwa jambo la kushangaza sana," meya wa eneo hilo Joe Paronella ameambia ABC.

Maafisa wanasema kisa hicho kilisababishwa na jua kali, pamoja na hali kwamba ukarabati ulikuwa umefanyika wiki iliyopita.

Barabara hiyo inapatikana katika eneo la Atherton Tablelands kusini mwa mji wa Cairns na ilifungwa kwa muda.

Download App ya Udaku Special Hapa Kama Bado Hauna Kwenye Simu yako, Usipitwe na Majanga ya Mitaani

Mubenga Afunguka Afya ya Ommy Dimpoz

$
0
0
Mubenga Afunguka Afya ya Ommy Dimpoz
Kama utakuwa ni shabiki wa Ommy Dimpoz basi utakuwa uliwahi kusikia kwenye intro ya nyimbo za zake akitaja jina ‘Mubenga’ basi huyo alikuwa Meneja wake siku za nyuma.

Mubenga amefunguka na kuweka wazi kuwa pamoja na kwamba hamsimamii Tena Ommy kikazi lakini hana bifu naye ameshampigia kumjulia hali siku nyingi.

Ommy Dimpoz alitangaza siku ya Eid kuwa alikuwa anaumwa sana mpaka kufanyiwa operesheni ya koo na kusema alikuwa hoi kitandani nchini Afrika ya Kusini.

Mubenga alifunguka haya kuhusu afya ya Ommy Dimpoz na uhusiano wao kwa sasa mara baada ya kuacha kufanya kazi pamoja:

Unajua watu wamekuwa wakirushiana Kimitandao sana sio kila kitu lazima tuweke kwenye mitandao.

Nimewasiliana na OMMy na nimempa pole na watu wajue kuwa sisi hatuna ugomvi na hata tatizo lake lilimuanza muda kidogo maana alikuwa hawezi Kula mpaka awe na maji pembeni maana koo lake lilikuwa halipitishi chakula vizuri.

Lakini sasa tunashukuru Mungu tunamuombea apone kabisa na kurejea kazini “.

Ommy Dimpoz hivi sasa yupo chini ya uongozi mpya wa Rockstar 4000 ambao upo chini ya staa wa muziki wa Bongo fleva Ali Kiba.

Taraji Afunga Ndoa ya Siri na Mpenzi Wake wa Muda Mrefu

$
0
0
Taraji Afunga Ndoa ya Siri na Mpenzi Wake wa Muda Mrefu
MUIGIZAJI maarufu nchini Marekani, Taraji P Henson amefunga ndoa ya siri na mpenzi wake ambaye inasadikika walikuwa na uhusiano wa takriban miaka miwili, Kelvin Hayden.

Tetesi za ndoa hiyo ya kisiri zilizienea baada ya Taraji na familia yake kwenda kufanya hafla ya harusi yao wiki iliyopita, nje ya mji uitwao Anguilla kisha kuposti picha akiwa na mume wake na kuandika maneno haya;

“Mimi na mume wangu.” Akiashiria kuwa, Kelvin Hayden hakuwa mchumba tena bali ni mume wake. Hata hivyo, hadi sasa hakuna picha yoyote inayowaonesha wakiwa katika mavazi ya harusi zaidi ya ile aliyoposti mwenyewe Taraji kwenye Instagram yake.

Taraji anaongeza idadi kwa kuwa msanii wa pili nchini humo kufunga ndoa ya kisiri, wa kwanza akiwa ni ya Cardi B na Offset ambao walifunga ndoa yao mwaka jana.

Breaking: Julias Mtatiro Akamatwa na Polisi kwa Tuhuma za Kumkashifu JPM

$
0
0
Julias Mtatiro Akamatwa na Polisi kwa Tuhuma za Kumkashifu JPM
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) anashikiliwa na Polisi katika kituo Kikuu cha Polisi tangu jana Julai 5, 2018. Anatuhumiwa kwa kusambaza ujumbe uliomkashfu Rais Magufuli kupitia ukurasa wake wa Facebook uliosema “Rais kitu gani bwana?”



=========================

MWENYEKITI WA KAMATI YA UONGOZI CUF TAIFA MHE. JULIUS MTATIRO YUPO NGANGARI;

THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF–Chama Cha Wananchi)

TAARIFA KWA UMMA

Imetolewa leo Tarehe 5 July,2018
Na. Kurugenzi ya Habari –CUF Taifa

Jana Tarehe 4/7/2018 Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi Taifa Mhe. Julius Mtatiro alipokea simu ya wito wa kuhitajika kituo Cha Polisi (Central Police) Dar es Salaam.

Leo Tarehe 5/7/2018 Mhe. Julius alikuwa amealikwa kama Mmoja wa Wageni wawezeshaji wa mjadala na Taasisi ya Twaweza katika Kongamano la kujadili MAONI YA WANANCHI KUHUSU USHIRIKI, MAANDAMANO NA SIASA lillilopangwa kufanyika katika kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere International Convention Centre –JNICC. Ilipofika saa 3 asubuhi akiwa anaelekea huko alipigiwa simu kujulishwa afike kituoni hapo saa 4 asubuhi.

Niliambatana nae (Maharagande) mpaka kituoni hapo na tulipokelewa na ZCO na kujulishwa kuwa anahitajika achukuliwe maelezo yake kuhusu ujumbe aliotuma katika ukurasa wake wa facebook unaosema “RAIS KITU GANI BWANA”. Tukakabidhiwa Maafisa wa Polisi wa kufanya kazi hiyo. Wakati wa kuanza kuchukuliwa maelezo yake alielezwa kuwa anatuhumiwa kwa “ KUTUMA UJUMBE WA KUJELI NA KASHFA DHIDI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA” kupitia mtandao wa kijamii. Mhe Julius amechukuliwa maelezo yake mpaka saa 10 jioni na baadae kuelekea nyumbani kwake kwa upekuzi na kurejea tena kituoni majira ya saa 4 usiku. Maafisa wa polisi wameeleza kuwa wataendelea kuwa nae mpaka kesho asubuhi na kutujulisha kama watampatia dhamana au vinginevyo.

KUHUSU SHAURI LA RITA NA. 13/2018:

Litaendelea kesho Tarehe 6/7/2018 muda wa saa 4 asubuhi baada ya wakili wa Lipumba Mashaka Ngole kudai kuwa hajisikii vizuri (anaumwa) hataweza kwa leo kumfanyia Cross Examination Shahidi wa Pili katika shauri hili Mhe. Joran Bashange [Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Tanzania Bara, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha na Uchumi na katibu wa Bodi ya Wadhamini ya CUF]

Mwisho:

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi Taifa Mhe. Julius mtatiro anawataka wanachama wa CUF kujitokeza kwa wingi Mahakamani kushuhudia Hoja makini zitakazotolewa na Mheshimiwa Bashange. Na wala wasiwe na hofu yeyote juu yake kwani yupo NGANGARI SANA. Shukrani kwa Msomi Wakili Hashimu Mziray kwa kusimamia vyema mahojiano hayo, Bakari Kasubi –Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mzimuni, Shaweji Mketo-Naibu Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi CUF Taifa, Anderson Ndambo na Kassimu Chogamawano[maafisa wa Kurugenzi ya Habari Taifa] kwa Uratibu wenu wa suala hili mpaka saa 5 za usiku huu.

HAKIKA TUPO VIZURI SANA, MAPAMBANO YA KISHERIA YANAENDELEA NA HAKI ITASHINDA.

HAKI SAWA KWA WOTE

____________________
MBARALA MAHARAGANDE
NAIBU MKURUGENZI WA HABARI, UENEZI
NA MAHUSIANO NA UMMA-TAIFA.

Kutana na Dr Mabula Kukutibu Matatizo ya Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO :

Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?


MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja itakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio asirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu.

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo

MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona.

Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

'Nilikata Tamaaa Nikamuomba Nesi Anichome Sindano ya Sumu' - Wakonta

$
0
0
 'Nilimuomba Nesi Anichome Sindano ya Sumu' - Wakonta
Msikilize Hapa Akifunguka:
VIDEO

Mke Amemuacha Mumewe Kisa ni Handsome

$
0
0
Leo July 5,2018 nakupitisha kwenye stori hii inayotoka nchini Saudi Arabia ambapo unaambiwa kuwa Mwanamke mmoja Raia wa Saudi Arabia amemuacha Mume wake sababu ikiwa ni ni mzuri sana (handsome).

Mwanamke huyo ambaye jina lake halijaanikwa hadharani amedumu kwenye ndoa na Mumewe huyo kwa kipindi cha miaka mitatu ambayo amesema kuwa alikuwa akiishi kwa wasiwasi kutokana na kuhofia kunyang’anywa na Wanawake wengine.

Inadaiwa kuwa kutokana na uzuri wa Mumewe, Mwanamke huyo amekuwa na wivu sana na kushindwa kumuamini kabisa Mumewe akihisi kuwa huenda atakuwa anachepuka na Wanawake wengine ambao watakuwa wanachanganyikiwa na uzuri wake.

Aidha Mwanamke huyo amesema kuwa ameamua kufikia maamuzi hayo ili aishi kwa amani maana kuishi na Mume wake huyo ambaye ni daktari kulikuwa kunampa msongo wa mawazo na kumfanya awe na wasiwasi kila wakati.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0


KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Sukali Iliyoingizwa Bila Kibali Yadakwa DSM

$
0
0
Sukali Iliyoingizwa Bila Kibali Yadakwa DSM
Waziri wa Kilimo Dkt. Charles Tizeba jana usiku amefanya ziara ya kushtukiza katika maduka makubwa ya kuuza na sukari na mchele jijini Dar es salaam,na kubaini kuna uingizwaji wa bidhaa hiyo kimagendo na kutoa agizo kwa Jeshi la Polisi kuwakamata wahusika.

Waziri wa Kilimo akiambatana na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Sukari Tanzania Miraji Kipande amesema kuwa uuzwaji wa bidhaa hizo unahitaji mfanyabishara kufuata na kukamilisha utaratibu , hivyo wafanyabiashara wanaouza sukari na mchele kinyume cha sheria, Kanuni na taratibu za nchi wawajibishwe mara moja.

Katika ziara hiyo Waziri amekuta Sukari na mchele uliokuwa ukiuzwa na wafanyabiashara hao kinyume na taratibu za nchi, Sukari iliyokutwa ilikuwa  imefungashwa katika ujazo wa kilo moja moja na zilisomeka kuwa zimetoka nchini Mauritius na Uingereza ambazo ziliingizwa nchini bila ya kuwa na kibali cha Waziri Mkuu au Bodi ya Sukari Tanzania ambayo ipo chini ya Wizara ya Kilimo.

Kwa sasa wafanyabiashara hao wametiwa nguvuni na suala hilo limefikishwa Polisi kwa ajili ya uchunguzi na taratibu zingine za kisheria pindi uchunguzi utakapokamilika watuhumiwa hao watapandishwa kizimbani.

Kiungo wa Simba Aitabiria Mema Simba Michuano ya Kagame

$
0
0
Kiungo wa Simba Aitabiria Mema Simba Michuano ya  Kagame
KIUNGO mshambuliaji chipukizi wa Simba, Rashid Juma, amesema kuwa upana wa kikosi chao unawapa nafasi kubwa ya kutwaa Kombe la Kagame.



Simba imemaliza Kundi C la michuano hiyo ikiwa kinara na pointi zake saba sawa na Singida United.

Akizungumza na Championi Ijumaa, Juma alisema kikosi chao kina wachezaji wengi wazuri, hivyo ni kazi kwa kocha kupanga kikosi ambacho kitaanza ila ana imani kila mchezaji yupo vizuri ndani ya timu.



“Timu ya Simba kwa sasa siyo ya kuibeza kwa kuwa imekamilika na kila idara kuna wachezaji wazuri ambao wamesajiliwa, kupata nafasi ya kucheza ni chaguo la mwalimu mwenyewe mimi sina mashaka na suala la namba kwa kuwa kazi yangu ni kucheza na nikipata nafasi ni lazima nifanye maajabu.



“Mashindano ya Kagame itakuwa ni nafasi nyingine kuweza kuonyesha uwezo hasa kwa kuwa kitu kikubwa ambacho tunategemea ni kuibuka na ubingwa wa michuano hii, naamini hili linawezekana kwa kuwa tuna malengo na nia yetu ni thabiti kabisa,” alisema Juma.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images