Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live

Tabia Hii Moja Itakufanya Uendelee Kuwa Masikini Maisha Yako Yote

$
0
0

 
Tabia Hii Moja Itakufanya Uendelee Kuwa Masikini Maisha Yako Yote
Kila siku huwa najifunza sana kuhusu fedha na kuhusu tabia za watu kuhusu fedha. Pia nimekuwa nakazana sana kujifunza kuhusu fedha katika miaka mingi iliyopita. Nimekuwa najifunza kuhusu historia ya fedha, historia ya matajiri mbalimbali waliopata kuwepo kwenye uso huu wa dunia. Na muhimu zaidi nimekuwa najifunza kupitia tabia za wengine kuhusu fedha, kwa kuanza na wale watu ambao ni wa karibu sana kwangu. Nimekuwa naona mengi sana kuhusu fedha na tabia za watu. Lakini ipo tabia moja, ambayo kwa kila mtu ambaye amedumu kwenye umasikini kwa muda mrefu, anayo. Watu hawa wanakuwa waaminifu sana kwa tabia hiyo na hivyo kushindwa kabisa kuondoka kwenye umasikini.

Leo kupitia makala hii nitakueleza kuhusu tabia hii, na kuichambua kwa undani halafu nitamalizia kwa kukushauri namna gani ya kuondokana na tabia hii. Nina imani iwapo tutakwenda pamoja hapa, na ukachukua hatua kwa kile utakachojifunza, miaka kumi ijayo, NDIYO NIMESEMA 10, hutakuwa hapo ulipo sasa. Na kama ulifungua hapa kusoma ukijua nakupa mbinu ya kesho kuamka ukiwa tajiri, umepotea njia, nakusihi usiendelee kusoma, maana utakachokutana nacho, hakitakupendeza.

Mwisho kabisa, siyo mwisho wa makala, bali mwisho wa utangulizi na kabla sijaingia kwenye tabia hiyo inayokuzuia usitajirike, niseme wazi kwamba mimi na umasikini hatuwezi kukaa sehemu moja. Kwa akili zangu timamu, niliukana umasikini na kujiambia nitafanya lolote niwezalo, ambalo siyo kinyume na sheria, hata kama itakuwa kukesha usiku na mchana, kuhakikisha naondokana na umasikini kabisa kwenye maisha yangu. Nilijiahidi sitauonea umasikini huruma kabisa, na ninaamini hakuna ufahari wowote kwenye umasikini, japo bado kwenye jamii zetu mtu masikini ndiyo anaonekana ana haki zaidi kuliko tajiri.

Hicho ndiyo nataka na wewe rafiki yangu ukiri leo kwenye maisha yako, na uamke kupambana ili umasikini ukukimbie wenyewe. Lakini lazima kwanza uepuke tabia hii moja ambayo bila kuondokana nayo, mipango yako yote itakuwa ya kujifurahisha tu.

Tabia moja ambayo itakufanya uendelee kuwa masikini ni TABIA YA KUTUMIA KIPATO CHAKO CHOTE.

Rahisi eh! Hukutegemea kama nitakuambia kitu rahisi kama hicho, ambacho tayari unakijua, kila siku umekuwa unajifunza, weka akiba, jilipe mwenyewe kwanza na maneno mengine ambayo huenda unasema ni yale yale. Sawa, lakini kabla hujasema ni rahisi na kuacha kusoma ili uendelee na yako, naomba nikuulize swali moja, pamoja na kujua je unatekeleza?

Unajua kwamba unapaswa kujilipa wewe mwenyewe kwanza, je unajilipa? Unajua unapaswa kuwa na akiba, je una akiba? Najua hujilipi mwenyewe, kwa sehemu kubwa, au hata kama unafanya, siyo nyakati zote. Sasa endelea kusoma hapa, kwa sababu kuna kitu kinakuzuia, ambacho leo tunakwenda kukifunua wazi wazi na kisiendelee kukuzuia.

Tuanzie kwenye historia, maisha ambayo mababu wa mababu zetu waliyaishi. Hapa ndipo pazuri sana ambapo tumebeba tabia hizi zinazotufanya tuwe masikini leo.

Njema ni siku zilizopita, ambapo jamii ilikuwa na wakulima na wafugaji. Ardhi ilikuwa tele na ya kutosha, na chochote ambacho watu walitaka walikipata. Hakukuwa na ajira rasmi wala biashara kubwa, mbadilishano wa thamani ulikuwa rahisi na maisha yalikuwa yanaenda. Ni katika nyakati hizi, ambapo wakulima walilima na kuwa na uhakika wa kuvuna. Na hivyo kabla mavuno mapya hayajavunwa, yale ya zamani yalitumiwa yote, na kama bado yalibaki basi yaliharibiwa kabisa. Watu walianza mwaka mpya wa msimu kwa mazao mapya. Hii ni tabia ya asili kabisa katika jamii zetu nyingi, mababu wa mababu zetu waliishi maisha haya, ambayo walirithi kwa mababu wa mababu zao.

Karibu kwenye dunia ya sasa, ambayo hakuna jambo lolote ambalo watu wanaweza kuwa na uhakika nalo kwa silimia 100. Hakuna kinachoweza kutegemewa tena moja kwa moja, lakini bado ile tabia ya kutegemea kitu moja kwa moja ipo ndani yetu. Na ndiyo maana watu wanapopata kazi, au kuanza biashara, unaanza kuona maisha yao yanabadilika na kuwa tegemezi moja kwa moja kwenye kitu kile wanachofanya.

Hii ndiyo tabia ambayo imekuwa inawafanya wengi waone siyo shida kutumia kila kipato wanachopata. Hata hivyo mshahara si upo mwezi ujao, hakuna shida. Au kama biashara bado ipo, basi kipato bado kipo. Nimekumbuka zamani mtaani kwetu palikuwa na watu ambao wanafanya kazi ya kuongoza watalii kupanda mlima Kilimanjaro. Sasa walikua wakirudi kutoka mlimani, walikuwa na fedha sana, walikunywa na kuwanunulia wengine pombe watakavyo. Na walipolewa, waliwauliza watu, hebu toka nje na chungulia kama mlima upo, wakiambiwa upo wanaendelea kuagiza pombe. Mlima upo, fedha zitaendelea kuwepo.

Nafikiri unaona namna gani hii tabia ipo ndani yetu kabisa, yaani imeweka mizizi kabisa.
Tunapenda kuamini kwamba kitu kitaendelea kuwa kama kilivyo. Lakini huo siyo uhalisia, mambo yanabadilika na hakuna chochote ambacho tunaweza kuwa na uhakika nacho. Na mbaya zaidi, utegemezi huu ndiyo umekua unaleta umasikini mkubwa.

Hivyo rafiki yangu, tabia hii ya kuwa na utegemezi mkubwa kwenye jambo lolote, na kutumia kipato chote ambacho unaingiza, bila kuweka pembeni hata senti moja, ni njia ya uhakika ya kuendelea kuwa masikini.

Uchukue hatua gani ili kuondokana na tabia hii?
Kwanza kabisa, ondokana na tabia ya kuwa tegemezi kwenye jambo lolote lile kwenye maisha yako. Hata kama upo kwenye ajira, usijidanganye kwamba itaendelea kuwa hivyo ilivyo. Kama upo kwenye biashara, ndiyo kabisa hupaswi kujichia na kuona umeshashinda, hata kama una wateja wengi mpaka wengine unashindwa kuwahudumia. Jua mara zote kwamba mambo yanabadilika na wakati wowote unaweza usiwe hapo ulipo sasa.

Kwa kufikiri hivyo, utahitaji kuwa na maandalizi mapema, utahitaji kujipanga ili lolote linapotokea, uwe kwenye wakati mzuri wa kuchukua hatua, na hapo utaacha kujiachia na kutumia kama vile hakuna kesho, au kwa kujiaminisha kesho itakuwa kama leo tu.

Kingine muhimu zaidi cha kukuondoa kwenye umasikini, ni kuhakikisha unajilipa wewe mwenyewe kwanza, kwa kuweka pembeni kila sehemu ya kipato chako. Na nisisitize vizuri, hii siyo akiba unayoweka, bali fedha unayojilipa, halafu unaiwekeza ili baadaye iweze kukuzalishia zaidi na zaidi hata kama wewe hufanyi tena kazi.

Hii dhana ya kujilipa wewe mwenyewe kwanza itakuletea uhuru mkubwa sana kwenye maisha yako ukiweza kuiishi. Na unachofanya ni kwa kila kipato unachoingiza, unatenga sehemu ya kumi ya kipato hicho na kuweka pembeni. Kama unapata elfu kumi, unaweka pembeni elfu moja, kama umepata laki, unaweka pembeni elfu kumi, kama umepata milioni unaweka pembeni laki, na kuendelea hivyo. Sasa swali huja, fedha hiyo unaipeleka wapi? Na jibu ni moja tu, unaiwekeza, kwenye maeneo ambayo yataulipa zaidi siku za baadaye. Yapo maeneo tofauti unayoweza kuwekeza, kwenye ardhi na majengo, kwenye soko la hisa, kununua vipande, kuanzisha biashara na kadhalika.

Muhimu sana kwako kwa kuanza, ni kujilipa, kiasi kidogo kidogo na kuwekeza. Ukifanya hivi kuanzia leo, hata ukaanza kwa shilingi elfu moja au elfu tano, miaka 10 ijayo hutakuwa hapo ulipo sasa rafiki yangu. Niamini kwenye hilo na anza kuchukua hatua.

VIDEO: Baba Patrick Apiga Mkwala Mzito Kwa Wanaosema yeye si Baba wa Marehemu Patrick

$
0
0
IKIWA ni dakika chache kabla ya kuanza kwa zoezi la kuaga mwili wa mwanaye Patrick, katika Viwanja vya Leaders jijini baba wa marehemu, Peter Zacharia amenyanyuka kwenye kiti chake na kutoa kauli kwa wale waliokuwa wakipindisha ukweli kuhusu uhalali wa yaye kuwa baba wa mtoto huyo.

Akizungumza kwa jaziba leo viwanjani hapo, Peter amesema yeye ni baba halali wa Patrick na ni mume halali wa Rose Alphonce Nungu ‘Muna‘ kwani alitoa mahali na wakafunga ndoa, waliishi pamoja na kufanikiwa kupata mtoto kabla ya kuhitilafiana, hivyo watu wanaopindisha ukweli na kusema isivyo kwenye mitandao ya kijamii na kumrubuni Muna waache.

“Nataka niwambie Watanzania mjue, nililipa mahali, nikafanya vikao, tukafunga ndoa na mama mkwe akanikabidhi mwanaye, nafahamu Patrick ametokea wapi, makundi ya kumchanganya huyu hayakunifurahisha hasa wanaomdanganya Rose.

 “Nimehangaika kuhakikisha namuaga mwanangu pale Mwanyamala, mimi ni maarufu sana lakini sipendi kuonekana kwenye vyombo vya habari, mtoto aliyelala pale (Peter) alinipenda na mimi nilimpenda sana, aliniita Baba Peter, alikuwa akiniombea. Haya yaliyotokea tuyaache. nawashukuru nyote mliokuja kunifarihji, Mungu awabariki sana,” alisema Paba Peter.

 VIDEO:
GPL

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, nasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGISE

Wema Sepetu Atangaza Hadharani Kumaliza Bifu na MunaLove Iliyodumu Kwa Muda Mrefu

$
0
0
STAA wa Bongo Movie, Wema Sepetu amemtaka msanii mwenzake, Rose Alphonce ‘Muna’ kumaliza tofauti waliyokuwa nayo hapo nyuma na badala yake warejshe urafiki wao kama zamani ili waishi kwa upendo na amani.



Wema ameyaserma hayo leo Jumamosi, Julai 7, 2018 katika viwanja vya Leaders vilivyopo Kinondoni jijini Dar wakatio wa kuaga mwili wa mtoto Muna, Patrick aaliyefariki dunia Nairobi nchini Kenya, Julai 3 na kuzikwa leo katika Makaburi ya Kinondoni.


“Pole zangu ziende kwa wazazi wa Patrick ambao ni Muna na Patrick, Muna ni rafiki yangu wa muda mrefu, nisingemjua Muna basi nisingemjua Patrick. Nilimpenda sana Patrick, japo sijabahatika kupata mtoto lakini nafahamu maumivu mnayopitia kwa kupoteza mtoto wenu.


“Muna pole sana, najua ulivyompenda Patrick, na mapenzi yako kwake ndiyo yametufanya hata sisi tuwe hapa leo, mimi huwa napenda sana watoto, najua hakuna mzazi anayependa kumzika mwanaye, ninaamini Mwenyezi Mungu atakupa nguvu wewe na baba Patrick.



“Ninaomba tuyaache ya mitandaoni, najua mtoto wenu atafurahi huko aliko akiona mnaupendo na hakuna mgawanyiko kama huu ambao tumekuwa tukiuona. Muna unajua nakupenda na nitaendelea kukupenda, yaliyopita si ndwele tugange yajayo,” alisema Wema.

 Mwaka 2016, Wema aliingia kwenye bifu zito na Muna akiumtuhumu shoga yake huyo kumfanya mama yake ‘ndondocha’ baada ya kuwa karibu na Mama Wema, kumchukua na kumpeleka sehemu za starehe kisha kumlisha maneno ya uchochezi jambop ambalo Wema alichukia na kumfokea vilivyo Muna kupitia akaunti yake ya Instagrm.

Aibu 20 za Wanaume Endapo Mwanaume Atafanya Haya Kwenye Mahusiano ya Mapenzi

$
0
0
   

AIBU 20 ZA WANAUME:

1. Japo maisha ni kusaidiana ni aibu na fedheha mwanaume kulishwa na mkewe.

2. Ni aibu na fedheha mwanaume kuhamia kwenye nyumba ya mkeo ukakala ukakoroma na taulo ukafunga..

3. Ni aibu na fedheha kuendesha gari la mkeo wakati wewe hujawahi kumiliki gari alafu unawaka wivu juu yake.

4. Ni aibu na fedheha kuishi na mwanamke ambaye wakwe zako wanajua kuwa anakuzidi uwezo.

5. Ni aibu na fedheha kumuoa mwanamke ambaye anamiliki uchumi wa familia hata watoto anasomesha yeye wewe unajivunia urefu wa kimo

6. Ni aibu na fedheha kila likizo unaenda kijijini kwa mkeo na watoto wote kisa yeye anazohela

7. Ni aibu na fedheha kukaa miaka mingi unamlaumu mkeo kuwa hazai wakati wewe huna hata mtoto wa kusingiziwa

8. Ni aibu na fedheha kumrudia mwanamke aliye kuacha yeye mwenyewe kipindi kirefu na akaamua kukurudia yeye mwenyewe tena kwa masharti kutoka kwake.🙈

9. Ni aibu na fedheha kupewa zawadi ya kiwanja na wakwe zako siku ya send off.🙈

10. Ni aibu na fedheha kujenga kwenye kiwanja cha mkeo wakati wewe hujawahi kumiliki kiwanja

11. Ni aibu na fedheha kulelewa mtoto wako na baba wa kambo wakati wewe upo unaishi na unajiita kidume

12. Ni aibu na fedheha kukaa kwenye nyumba yenye fenicha zoote kanunua mkeo🙈

13. Ni aibu na fedheha kusimamia ujenzi wa nyumba ya mkeo wakati wewe huchangii hata shilingi mia

14. Ni aibu na fedheha kulea mtoto ambaye sio wa kwako kwa kisingizio cha kitanda hakizai haramu wakati mkeo anajua mtoto yule sio wa kwako.

15. Ni aibu na fedheha kulala kimapenzi na mwanamke ambaye anajua kuwa wewe unajua na unaushahidi wa michepuko yake

16. Ni aibu na fedheha kumbembeleza mwanamke anayejua kuwa anakukosea kwa makusudi

17. Ni aibu na fedheha kumaliza makanisa ukiwahadithia wachungaji tabia mbaya na usaliti wa mkeo

18. Ni aibu na fedheha mkeo kukunyima unyumba ukaenda kumshitaki kwa wazazi wake wakati unajua cha kufanya

19. Ni aibu na fedheha mara kukopakopa kwa wakwe zako tena waliostaafu kazi..ni aibu ni aibu kubwa.

20. Ni aibuu na fedheha kwenda baa na mke baa au sehemu za starehe kila siku ikija bili unapewa wewe nawe unampa mkeo alipe kazi kukuna tu kidevu na kwenye wallet umejaza business card na viwembe vya kugushi nyaraka mitaani🙈

Hizo ni baadhi tu ya aibu za wanaume waliowengi karne ya leo. Sambaza kwenye ma group wajijue na wamuombe Mungu awafungulie milango nao wawe wanaume katika nyumba zao

Fahamu Matumizi ya Overdrive (OD) Kwenye Magari ya Automatic

$
0
0
Overdrive (OD) ni gia katika mfumo wa gari ambayo huifanya gari kuwa katika spidi kubwa huku mzunguko wa injini ukiwa mdogo. Kwa lugha rahisi, OD ni gia ya mwisho inayokupa mwendokasi. OD hukupa mwendo wa kasi, uliotulia lakini kwa mzunguko mdogo wa injini (revolutions per minute rpm). Hii hukuwezesha kuwa na matumizi madogo ya mafuta pengine kwa kasi zaidi.

Overdrive ni kama gia ya ziada inayokupa mizunguko mingi ya driving shaft kwa mizunguko michache ya injini yako. Unapaswa kuitumia ukiwa unatembea mwendo mkubwa. Faida zake utatumia mafuta kidogo, maana gari inakwenda kasi kwa mizunguko michache ya injini.

Mfano katika gari ya kawaida yaani 180km/h ili ufikishe spidi 120 basi RPM inaweza ikawa 4000rpm katika barabara ya tambarare. Lakini ukiweka overdrive unaweza kutembea spidi hiyo hiyo kwa rpm 2000 katika barabara ya tambarare.

Utatambuaje kama Overdreive (OD) ipo on au off?

Pindi uonapo kitaa cha overdrive kwenye dashboard ya gari yako, inamaanisha kuwa overdrive ipo off na pindi kitaa hicho kisipoonekana basi tambua kuwa overdrive ipo on. Overdrive imewekwa kama chaguo (option) la kutumia wakati ukiwa unatembelea spidi chini ya 60km/h.

Unaweza kutumia ukiwa unataka kuipita gari nyingine, mathalani kwenye milima ambapo gari yako inakuwa imepunguza nguvu, hivyo unaweza kuiweka off (hapa unakuwa kama umerudisha namba 4) na injini itabadili kasi ya mzunguko, utaiweka ukishamaliza tena matumizi yake.

Eneo lingine, ni mara gurudumu la gari lako linapopasuka. Ikitokea hivyo, unaweza kuondoa OD, huku ukiwa umeacha kukanyaga pedeli ya mafuta, kwa maana ndiyo utakuwa unaomba mwendo upungue pasi na kukanyaga breki. Katika hali kama hii, utakuwa umesaidia kupunguza mwendo wa gari wakati ukithibiti muelekeo wa gari pia.

Katika hali kama hii huwa wanakanyaga breki. Kufanya hivi ni hatari, maana unasimamisha kabisa mwendo wa gurudumu lililopasuka, na matokeo yake mwendo wa gari, badala ya kwenda mbele, itajaribu kutii amri ya gurudumu linalogomea gari kwenda mbele na kuamua kwenda upande wa gurudumu lililopasuka, nikiwa na maana kwamba hapo gari itakuwa inaacha njia na au kupinduka.

Kwa giaboksi zenye kujibadili zenyewe, ni vema basi tukaziacha OD zijiendeshe zenyewe, maana kuziondoa hatari yake ni kuwa unaweza kusahau kuiweka tena unapokwenda zaidi ya km 70 kwa saa, mfano barabara ya Nyerere, na kusababisha matumizi makubwa ya nishati ya kuendeshea mtambo.
Kitaa cha Overdrive kikiwa hakionekani kwenye dashboard yako maana yake Overdrive ipo Automatic au on na hivyo ndivyo inavopendekezwa na wataalam gari iwe automatic pindi upo mjini na unatembelea speed tofauti (sometimes less or more than 60)..kwa vile overdrive inatumia gia kubwa na mwendokasi chini ya 60km kwahiyo unaweza kutumia wakati unashuka milima mikubwa.
-Mwananchi

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Hii Ndio Historia ya Muuza Madawa ya Kulevya Nguli Duniani PABLO ESCOBAR Aliyejijengea Gereza

$
0
0

Katika milima inayotazamana na mji wa Medellín nchini Colombia, yapo majengo ya kifahari kabisa ndani ya milima hiyo ambayo kwa sasa majengo haya yanatumika kama nyumba ya watawa wa Kanisa Katoliki lakini kabla ya watawa hawa kupewa majengo haya mwaka 2007, majengo haya yalikuwa ni gereza ambalo lilijengwa mwaka 1991 kumuhifadhi mfungwa maalumu raia wa Colombia.

Gereza hili lilikuwa ni tofauti kabisa na magereza yote ambayo umewahi kuyasikia kwani gereza hili licha ya kuwa mali ya serikali lakini michoro yake ilichorwa na kubuniwa na mfungwa mwenyewe.
Si hivyo tu, bali hata maaskari magereza ambao walikuwa wanalinda gereza hili walichaguliwa na mfungwa mwenyewe na hata polisi wa nchi ya Colombia walikuwa hawaruhusiwi kusogolea gereza hilo hata umbali wa maili 12. Kama hiyo haitoshi gereza hili lilikuwa na uwanja wa mpira wa miguu, lilikuwa na bafu lenye Jaccuzi, lilikuwa na bar, lilikuwa na maporomoko ya maji (water falls) yaliyobuniwa kiustadi, na pia chumba (selo) alicholala mfungwa huyu kilikuwa na kitanda kikubwa cha duara chenye kuzunguka pamoja na televisheni kubwa.

Kama hii haitoshi kwenye gereza hilo pia kulikuwa na chumba maalumu cha michezo ya watoto maalumu kwa ajili ya watoto wa mfungwa huyo pindi akitembelewa na familia yake. Na pia ndani ya gereza kuliwekwa darubini kali (Telescope) ya kumuwezesha mfungwa huyo kuangalia katika mji wa Medellín ambako familia ya mfungwa huyu iliishi na kila siku jioni walitoka nje kibarazani kuongea naye kwenye simu huku akiwatazama kwa darubini.

Gereza hili lilijulikana kama La Catedral (the cathedral) na lilimuhifadhi mfungwa muhimu zaidi duniani na binadamu aliyeifinyanga na kuifanya biashara ya mihadarati iwe jinsi ilivyo hivi leo. Marafiki zake wa karibu walipenda kumuita El Patrón (The Boss) au El Zar de la Cocaína (The Tsar of Cocaine) lakini alipozaliwa wazazi wake walimuita Pablo Emilio Escober Gaviria au kwa kifupi Pablo Escobar kama ulimwengu wote ulivyomtambua.
The Boss
Akiwa mtoto wa tatu kwenye familia ya watoto saba ambapo baba yake alikuwa ni mkulima na mama yeke mwalimu wa shule ya chekechea, Pablo Escobar alikuwa ni mwenye kutamani mambo mazito na mwenye maono makubwa tangu angali mtoto.
Akiwa bado kwenye umri wa makumi (teenage) Pablo mara kwa mara aliwaambia ndugu zake na marafiki zake kuwa anataka awe na utajiri wa kiasi cha Peso Milioni 1 za Colombia (COL$ 1 Million) atakapofikisha umri wa miaka 22.
Ndoto hizi zilimfanya ashindwe kumaliza Chuo kikuu alipokuwa anasoma (Universidad Autónoma LatinoAmericana of Madellín) na kujiingiza katika biashara za halali na haramu na hatimaye aliacha masomo chuoni. Moja ya biashara zake haramu za kwanza kabisa akiwa kijana chini ya miaka 21 ilikuwa ni kutengeneza vyeti bandia vya stashahada vya chuo alichokuwa anasoma na kuwauzia watu waliohitaji kwa ajili ya kwenda kupata ajira.
Pamoja na biashara hiyo pia Pablo alijihusisha na kusambaza mizigo ya sigara zilizokuwa haziruhusiwi nchini Colombia (Marlboro), pia alifanya kazi kama mlinzi binafsi (bodyguard) pamoja na wizi wa magari.

Moja ya matukio muhimu ya ujana wa Pablo yaliyochangia kuamsha ari ndani yake na kumfanya atamani kuwa moja wa manguli wa biashara haramu lilikuwa ni tukio ambalo alipofikisha miaka 26 alifanikiwa kuweka benki (Cash Deposit) kiasi cha Peso Millioni 100 za Colombia (COL$ 100 Million).
Mafanikio haya yaliwasha taa ndani yake na kuamsha ari ya kutaka kuwa 'Papa' katika 'Dunia' ya siri ya ulimwengu wa biashara haramu.
Katika miaka ya 1970 mamlaka ya kupambana na matumizi mabaya ya madawa nchini marekani (US Drug Enforcement Agency) waliwahi kutangaza kuwa wamewekeza zaidi rasilimali zao kupambana na matumizi na uingizaji wa dawa aina ya Heroin nchini marekani na kwa maoni yao walisema kuwa wanadhani madawa aina ya Cocaine hayakuwa na uwezo wa kuleta uteja (addiction) au kufanya mtumiaji kuwa muhalifu tofauti na dawa aina ya Heroin. Hivyo basi walielekeza nguvu zao zote na rasilimali kupambana na biashara ya usafirishaji wa Heroin kama kipaumbele cha kazi zao.
Hili lilikuwa ni kosa kubwa sana kwa upande wao. Kwani kijana Pablo aliona mwanya huu na udhaifu huu upande wa DEA au pengine tusema kwamba Pablo alifahamu zaidi kuhusu ulimwengu wa mihadarati kuliko DEA.

Kitu kikubwa ambacho Pablo alikiona na watu wakiwemo DEA hawakukiona ilikuwa ni uwezekano (potential) ya kuifanya Cocaine kuwa moja ya madawa yenye soko zaidi Amerika ya Kaskazini. Katika kipindi hiki kulikuwa na watumiaji wachache sana wa Cocaine nchini marekani lakini Pablo aliona fursa ya kuifanya mihadarati hiyo kuwa moja ya madawa yenye kuhitajika sana nchini marekani na ulimwenguni kiujumla.
Kutokana na uzoefu wake wa ulimwengu wa kihalifu, Pablo aligundua kuwa zao la Coca linalimwa nchini Bolivia ambalo linatumika kutengeneza Cocaine ni bora zaidi kuliko Coca inayolimwa nchini kwake Colombia. Hivyo basi Pablo akadhamiria kuwa kama anaingia kwenye biashara hii ya kusafirisha Cocaine ni lazima mihadarati yake iwe tofauti na bora zaidi kuliko Cocaine nyingine watu waliyozoea kutumia. Akadhamiria kufanya Cocaine yake iwe daraja la kwanza ili kuvutia watumiaji na kufanya soko likue kwa haraka.

Kama sehemu ya mkakati wake wa kuingia rasmi kwenye biashara ya kusafirisha mihadarati aina ya Cocaine, mwaka 1975 kijana Pablo alisafiri mpaka nchini Bolivia kukutana na Roberto Suaréz Goméz ambaye marafiki zake walipenda kumuita El Padrino (The Godfather) kiongozi wa Genge lililoitwa La Corparacíon (The Corporation). Suaréz alikuwa ndiye mtu pekee anayeendesha na kuratibu uzalishaji wa zao la Coca katika nchi ya Bolivia na Peru. Kipindi hiki Suaréz tayari alikuwa na mtandao mkubwa katika America ya kusini na alikuwa na jina kubwa, ushawishi na nguvu ya kijeshi hivyo haikuwa kazi rahisi kwa kijana Pablo kumshawishi Suaréz akubali kufanya naye biashara.
Huyu bwana Suaréz alikuwa na nguvu kiasi kwamba alikuwa na jeshi lake binafsi la anga (Air force) na wanajeshi wa miguu 1,500 ambao walipatiwa mafunzo nchini libya.

Pablo alitumia uwezo wake wa kujieleza na uzoefu wake wa ulimwengu wa kihalifu kumshawishi Suaréz na kumueleza kuhusu mkakati wake wa kuiteka biashara ya mihadarati ya Cocaine nchini marekani na akamdadavulia jinsi ambavyo yeye Suaréz atapata utajiri wa kupindukia kama atakubali kufanya nae biashara.
Pia Pablo alimpa wazo Suaréz kuwa atumie ushawishi wake alionao serikalini (Suaréz alikuwa amefanikiwa kumpenyeza Mdogo wake serikalini na kuwa Waziri wa mambo ya ndani) ahakikishe wanakutana na kiongozi wa Cuba Fidel Castro ili wamuombe kuwa mshirika wao katika mambo kadhaa.
Suala hili lilifanikiwa kwani Pablo na Suaréz walipata fursa adhimu na wakakutana na Fidel Castro na ombi lao kubwa kwake lilikuwa ni kuwaruhusu kupitisha mizigo yao nchini kwake Cuba na nchi za jirani pasipo bugudha. Pia walimuomba aruhusu ndege zao za mizigo zitue kwenye viwanja vya ndege vya Cuba na kujaza mafuta pale inapobidi kufanya hivyo.
Castro akawakubalia kwa masharti mawili, moja ni kwamba atakuwa anawachaji mamilioni ya dola za marekani kwa huduma hizo na pili mihadarati hiyo isiuzwe ndani ya Amerika ya Kusini bali isafirishwe na kuuzwa Marekani ambapo Fidel Castro alisisitiza kuwa atafurahi akiona vijana wa Mabepari wakiharibika na mihadarati.

Masharti yote mawili haya yakakubaliwa na Pablo na Suaréz kisha wakarejea Bolivia. Baada ya kufanya mazungumzo juu ya namna watakavyo fanya biashara hatimae Pablo na Suaréz walifikia muafaka na kwa mzigo wake wa kwanza alioununua nchini Bolivia kutoka kwa Suaréz ulikuwa ni kilo 14 za unga gafi za Cocaine.
Baada ya unga gafi kufikishwa nchini Colombia kwenye mji wa Medellín, Pablo alikuwa ameandaa jengo maalum la ghorofa mbili ambalo alilitengeneza kuwa maabara maalumu ambapo Cocaine gafi kutoka Bolivia ilichanganywa na maligafi nyingine na kuboreshwa zaidi kikemia na hatimaye kupata Cocaine daraja la kwanza aliyoihitaji tayari kusafirishwa nchini Marekani kwa 'walaji'.

Baada ya Cocaine kutoka kwa Pablo kuingia kwenye soko la Marekani uhitaji na biashara ya mihadarati ya Cocaine ilipaa kwa kasi ya ajabu na Pablo Escobar akaanzisha rasmi genge lake la biashara ya mihadarati na akaliita Medellíne Cartel.
Pablo akatengeneza mtandao madhubuti wa wasambazaji wa mihadarati yake katika miji ya Florida na California pamoja na majimbo mengine ya Marekani.
Pia akabuni njia mpya ya kupitisha mihadarati kupitia Bahamasi katika kisiwa cha Norman's Cay takribani kilomita 350 kusini mashariki mwa pwani ya Florida.
Ili kufanikisha zaidi azma yake Pablo Escobar alinunua nusu ya ardhi ya kisiwa cha Norman's Cay na nusu nyingine ikanunuliwa na swahiba wake wa kimarekani aliyeitwa Robert Vesco ambaye pia alikuwa ndiye anashughulikia masuala yake ya kibenki na uhasibu.

Katika Kisiwa hiki Pablo alitengeneza uwanja wa ndege, bandari, hoteli, nyumba za kuishi pamoja na ghala kubwa la jokofu maalumu kwa ajili ya kuhifadhi mizigo ya Cocaine kabla ya kuisafirisha kwenda marekani. Kwa kifupi hapa ndipo kilikuwa kitovu cha kibiashara cha Genge lake la Medellíne Cartel.
Pablo Escobar alikuwa amepania haswa kuliteka soko la Cocaine Amerika ya Kaskazini na hii ilijidhihirisha kutokana na juhudi zake alizozifanya kibiashara ili mda wote awe hatua kadhaa mbele tofauti na washindani wenzake kibiashara.

Pablo Escobar alikuwa amepania haswa kuliteka soko la Cocaine Amerika ya Kaskazini na hii ilijidhihirisha kutokana na juhudi zake alizozifanya kibiashara ili mda wote awe hatua kadhaa mbele tofauti na washindani wenzake kibiashara.
Ili kufanikisha usafirishaji wa mizigo yake kwa ufasaha na uhakika Pablo alinunua ndege za mizigo 15 za ukubwa wa kati na helikopta 6. Pia alinunua Nyambizi ndogo mbili (submarines) kwa ajili ya kusafirisha mizigo mikubwa ya mihadarati.
Hadi kufikia mwaka 1985 Pablo alikuwa anasafirisha takribani tani 70 mpaka 80 za Cocaine kwa mwezi na alikuwa ameshikilia asilimia 80 (80%) ya soko la mihadarati la Marekani.
Na katika kipindi hiki Genge lake la Medellíne Cartel lilikuwa linaingiza kipato cha cha Dola Milioni 70 kwa siku (Shilingi Bilioni 140 za Kitanzania) na mapato yao kwa mwaka mzima yalifikia Dola Bilioni 21.9. (Shilingi Trilioni 46 za Kitanzania).
Katika miaka ya 1990 utajiri wake binafsi ulifikia kiasi cha Dola za kimarekani Bilioni 30 ambazo ni sawa na Dola Bilioni 54 kwa hesabu za sasa (Shilingi Trilioni 110 za kitanzania)
Ni katika kipindi hiki ambacho Jarida maarufu la Forbes lilimuorodhesha Pablo Escobar kama mtu namba 5 tajiri zaidi ulimwenguni na muhalifu tajiri zaidi katika historia ya Ulimwengu.
Kutokana na nguvu na ushawishi alionao, Pablo aliteuliwa na serikali kama mjumbe wa baraza la wawakilishi la Colombia (Chamber of Representatives of Colombia) kupitia chama cha Kiliberali Cha Colombia (Colombia Liberal Party).

Moja ya majukumu muhimu aliyoyafanya akiwa kama Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kilikuwa ni kwenda kuiwakilisha Serikali ya Colombia katika sherehe za kuapishwa kwa Waziri Mkuu mpya wa Uhispania Bw. Felipe González mwaka 1982 ambapo Pablo alitumia nafasi hii ya Safari ya kiserikali nchini Uhispania kuanzisha tawi jipya la Genge lake la Medellíne Cartel katika nchi ya Uhispania.
Hacienda Nápoles: Pepo Juu ya Uso wa Dunia
Kutokana na utajiri uliopitiliza wa Pablo Escobar alithubutu kutengeneza makazi ya kuishi ambayo namna pekee ya kuyaelezea ni kana kwamba alijitengenezea 'pepo' akiwa duniani.
Katika mji mdogo wa Puerto Triunfo, takribani kilomita 150 kutoka katika mji wa Medellín, Pablo alinunua eneo lenye ukubwa wa Kilomita za mraba 20 na kujenga makazi yake na familia yake na akayaita makazi haya Hacienda Nápoles (Naples Estate).

Licha ya majengo ya kifahari ya kuishi yeye na familia yake pia makazi haya yaliwekwa anasa lukuki zisizomothirika. Ndani ya makazi haya kulikuwa na Uwanja wa ndege binafsi (private airport), bustani maalumu ya sanamu za kuchonga na kufinyanga (Sculpture Park), kulikuwa na sehemu maalumu ya kuhifadhi magari ya kifahari na pikipiki za kifahari kwa ajili ya kutazama tu (collection), kulikuwa na uwanja wa mbio za magari magogo (kart racing track), kulikuwa na uwanja wa mapigano ya ng'ombe (Bullring), na pia ndani ya makazi haya kulikuwa na mbuga ya wanyama ya kutengeneza (Zoo) ambapo Pablo alikusanya aina mbali mbali za wanyama kutoka kila kona ya dunia na kuwaweka humo.
Katika geti la kuingia kwenye 'pepo' ya Pablo sehemu ya juu ya geti ilininginizwa ndege (ndege halisi) kama urembo. Ndege hii aina ya Piper PA-18 Super Cub yenye namba ya mkia HK-617-P hii ndio ilikuwa ndege ya kwanza aliyoitumia Pablo kuingiza mzigo wake wa kwanza wa Cocaine nchini Marekani.
Hapa katika 'pepo' hii ndipo ambapo Pablo Escobar aliishi yeye na familia yake.
Plata o Plomo
Moja ya vitu muhimu vya kihalifu alivyovifanya Pablo na kufanikiwa kuibuka kama kinara wa uhalifu Amerika ya kusini ilikuwa ni kutekeleza sera yake aliyoianzisha yeye mwenyewe ili kuidhibiti serikali na vyombo vya ulinzi ambapo sera hii aliita "Plata o Plomo" (silver of lead (fedha au risasi)). Akiwa na maana kwamba kama wewe ni mtu wa serikali na ikitokea mmesigana basi atakupa fedha (rushwa) kama ukikataa kupokea fedha basi anakupiga risasi.

Sera hii ilimfanya Pablo aogopwe na watendaji wa serikali pamoja na vyombo vya usalama na ikapelekea wengi kukubali 'Plata' (silver (fedha)) wakihofia kupoteza maisha endapo wangekataa fedha kutoka kwa Pablo. Hii ilimsaidia Pablo Escobar kuwa na vibaraka wengi katika serikali na vyombo vya ulinzi na usalama.
Lakini sera hii iligharimu maisha ya watu wengi sana wale ambao walikataa kupokea fedha kutoka kwa Pablo na mojawapo ya matukio mawili yanayokumbukwa sana ya utekelezaji wa sera ya 'Plata o Plomo' ni haya:-
Mosi; Uvamizi wa Mahakama Kuu ya Colombia 1985.
Mwaka 1985 baada ya mabishano ya muda mrefu bungeni kuhusu vifungu vya kikatiba vinavyokataza raia wa nchi ya Colombia kukabidhiwa kwa nchi ya kigeni akiwa kama muhalifu hatimae serikali ikafungua kesi ya kikatiba mahakama kuu ya Colombia ikitaka ruhusu ya kukabidhi baadhi ya wahalifu kwa serikali ya Marekani ikitokea wakikamatwa.
Suala hili lilikuwa linamlenga moja kwa moja Pablo Escobar kwani serikali ya Colombia ilikuwa inapewa shinikizo kubwa na Marekani kuwa wafanye marekebisho ya katiba ili iruhusu raia wa nchi hiyo ambaye ni muhalifu kukabidhiwa kwa nchi ya kigeni. Haya yalikuwa ni maandalizi endapo ikitokea Pablo Escobar akikamatwa.

Pablo akajitahidi kwa juhudi zake zote kuhonga serikalini na hata kutoa onyo kuwa mabadiliko hayo ya kikatiba yasifanyike lakini serikali iliendelea na mchakato kutokana na shinikizo walikuwa wanapata kutoka kwa marekani.
Inajulikana kwamba Pablo mara kwa mara alikuwa akiapa mbele za watu wake wa karibu kuwa kamwe hatokubali kufungwa katika nchi ya marekani na alikuwa na msemo anaoupenda kuusema kwamba "ni heri kuwa kaburini Colombia kuliko kuwa hai kwenye gereza la Marekani".
Baada ya juhudi zake zote za kuionya serikali kutobadili katiba kushindikana hatimaye Pablo akakodi kikundi cha wapiganaji wa msituni kilichoitwa M-19 ili wasaidie kumaliza tatizo lake.
Siku ya Novemba 6, 1985 majaji 25 wa mahakama kuu walikuwa katika vikao vya mwisho kujadili na hatimae waweze kuridhia mabadiliko hayo ya katiba lakini kabla ya kumaliza vikao vyao na kuridhia mabadiliko hayo walivamiwa na wapiganaji wa kikundi cha M-19.
Wapiganaji hawa walivamia na kuteka mahakama kuu kwa muda wa siku mbili na zaidi ya nusu ya majaji waliuwawa na waliosalia walichukuliwa mateka.
Majaji hawa waliochukuliwa mateka walikuja kutumiaka kama sharti muhimu la kuibana serikali waache kurekebisha katiba ili waweze kuachiwa. Baada ya serikali kukubali kuacha kubadili katiba hasa kipengele cha kukabidhi wahalifu kwa nchi ya kigeni, majaji wote waliotekwa wakaachiwa.
Pili; Mauaji Mgombea Urais Luis Carlos Galán
Tukio la pili linalokumbukwa sana la utekelezaji wa sera ya 'Plata o Plomo' lilikuwa ni mauaji ya mgombea Urais wa Colombia aliyeitwa Luis Carlos Galán. Galán alikuwa anaongoza kwenye kura za maoni nchi nzima na alikuwa anatarajiwa kushinda kwenye uchaguzi mkuu wa urais wa Colombia wa mwaka 1990.
Moja ya sera kubwa aliyokuwa anaihubiri kila kona ya nchi ilikuwa ni kupambaa na Magenge ya Mihadarati hasa hasa akililenga Genge la Medellíne Cartel na kiongozi wake Pablo Escobar.

Pablo alimtumia barua kadhaa ambazo ziliwekwa nje ya nyumba yake kwenye kisanduku cha barua akimuonya na kumtaka aachane na sera hiyo ya kumsakama yeye pamoja na washirika wake wa Medellíne Cartel lakini Bwana Galán alionekana dhahiri amezamilia kutekeleza sera hiyo endapo angechaguliwa kuwa rais wa Colombia.
Akiwa katika kampeni Bwana Galán alifanikiwa kufika kwenye mji wa Madellín ambapo Pablo alikuwa na ushawishi mkubwa na wapo wananchi waliojaribu kumuua Galán kwa kumrushia guruneti la kutupa kwa roketi (Rocket Propelled grenade) lakini kwa bahati nzuri Bwana Galán akisalimika.
Baada ya hapo Pablo akakodi wadunguaji maalumu kufatilia nyendo za Galán na akawapa amri ya kumpiga risasi mara tu wakipata upenyo wa kufanya hivyo.
Wiki kadhaa baadae akiwa kwenye kampeni katika mji wa Saocho Kiranga alipokwenda kuhutubia wafuasi wake wapatao 10,000 waliokusanyika wakisubiri kumsikia na mara baada ya kuwasili na kupanda jukwaani kuhutubia kabla hajatoa hata salamu kwa wafuasi wake alidunguliwa na risasi na kupoteza maisha papo hapo.

Tukio hili lilizua taharuki nchi nzima na imekuwa skendali yenye utata mpaka leo hii nchini Colombia kwani kuna tetesi kuwa viongozi wa serikali, polisi, pamoja na mashushushu walishirikiana na Pablo Escobar kutekeleza mauaji haya.
Licha ya Pablo kuonekana kama adui namba moja nchini marekani na baadhi wa watendaji wa serikali ya Colombia hali ili kuwa tofauti kwa raia masikini wa Colombia ambao wengi wao walimuona kama shujaa wao na katika mji aliozaliwa na kushi wa Medellín anaonekana zaidi ya shujaa kwani mpaka leo hii wanamuona kama ni aina fulani hivi ya masihi walipewa.
Hii inatokana na umahiri wa Pablo Escobar katika mahusiano na jamii iliyokuwa inamzunguka.
Pablo alikuwa ni mtu mwenye kusaidia masikini nchini Colombia pengine kuliko hata serikali yenyewe.
Pablo alijitolea kweli kweli katika kuboresha huduma za jamii kama vile kujenga mahospitali, shule, nyumba za wazee, nyumba za kuishi kwa ajili ya masikini na akawekeza fedha nyungi kujenga miundo mbinu ya Kanisa Katoliki na nyumba za kuabudia. Pia Pablo alijenga vya kuendeleza watoto katika mpira wa miguu, alifadhili klabu mbali mbali za wakubwa za mpira wa miguu na alijenga viwanja vya kisasa kabisa vya mpira na michezo mingine.

Ilifikia hatua mpaka Pablo alikuwa anawapa fedha taslimu wananchi wa Madellíne ili waweze kujikimu kimaisha.
Mambo haya yote yalifanya wananchi wampende na kufumbia macho uhalifu wote aliokuwa anaufanya.
Kwa mfano katika mji wa Madellín ilifikia hatua kana kwamba wananchi wote walikuwa ni walinzi wake binafsi kwani walikuwa wakimtonya kila walipoona polisi wageni wakiingia hata kwa siri kwenye mji huo. Au wakati mwingine walikuwa wakitoa taarifa za uongo au kukataa kusema chochote pindi wakiulizwa na vyombo vya ulinzi kuhusu nyendo za Pablo.
Hii ilimfanya Pablo azidi kujizatiti na kuongeza mahaba kwa wakazi wa Medellín na raia wa Colombia kwa ujumla.Pablo ataendelea kua na mahusuano mazuri na wananchi.



VITA KUU YA KWANZA YA MAGENGE YA MIHADARATI.

Kuna msemo wanasema 'adui wa adui yako ni rafiki yako'! Swali: je, inakuwaje pale adui wa adui yako akitishia maslahi yako??
Adui wa Adui yako (Kikao cha Kwanza)
Hapo baadae nitaeleza kwa kifupi kuhusu kuibuka kwa genge lingine ambalo nalo lilishamiri katika biashara ya Cocaine lililoitwa Cali Cartel hivyo kufanya kuwe na uwepo wa magenge mawili yanayoshindana kibiashara yaani Medellín Cartel chini ya Pablo Escobar na Cali Cartel.
Licha ya ushindani wao wa kibiashara mwaka 1983 iliwabidi washirikiane kwa sababu za msingi kabisa. kuliibuka kikundi cha wahuni waliokuwa wanateka watu na kudai fedha kutoka kwa ndugu ili wawaachie. Baada ya kuteka ndugu kadhaa wa viongozi wa serikali wahuni hawa wakaanza kuteka ndugu wa mabosi wa Cartels na kudai pesa.
Moja ya watu muhimu waliowateka alikuwa ni Marta Nieves Ochoa dada wa moja ya mabosi wa Cali Cartel na watekaji walikuwa wanataka wapewe dila milioni 10 ili wamuachie. Hii ndio ilikuwa sababu kubwa ya mabosi wa Cali Cartel na Medellín Cartel kukutana ili kuweka mkakati maalumu ambao utapeleka ujumbe kwa wahuni na watekaji wote kuwa familia za mabosi wa Magenge ya mihadarati ni mwiko kuzigusa.
Katika kikao hiki cha kwanza Medellín Cartel na Cali Cartel waliunda kikosi kazi maalumu walichokiita Muerte a Secuestradores (Death to kidnappers (Kifo kwa Watekaji)) au kama kilivyojulikana kwa kifupi MAS.

Kila Genge lilichangia fedha, vifaa (silaha), na askari kwa ajili ya kikosi kazi cha MAS.
Kesho yake baada ya kikundi hiki kuundwa ndege ilipita juu ya uwanja wa mpira wa miguu kuliko kuwa na mechi kubwa ikifanyika na kumwaga vipeperushi kuhusu kutangaza zawadi nono kwa yeyeto atakayetoa taarifa kuhusu kufahamu lolote juu ya wahuni wanaoteka watu na kushinikiza wapewe hela. Jioni ya siku hiyo taarifa muhimu kutoka kwa wananchi zikaanza kuletwa na kikosi kazi cha MAS mara moja kikaanza kukamata wahuni wa vikundi vya utekaji na kuwatesa huku wakiwarekodi na kuwatumia wenzao wanaoshikilia dada wa bosi wa Cali Cartel.
Ndani ya siku tatu Marta Naives dada wa bosi wa Cali Cartel aliachiwa akiwa salama salimini na huo ndio ukawa mwisho wa magenge ya wahuni kuteka wanafamilia wa mabosi wa magenge ya mihadarati.
Kama ni rafiki yako, anaweza kuwa mshirika wako: Kikao cha Pili
Licha ya ushindani wa kibiashara kuendelea kuwepo kati ya Medellin Cartel ya Pablo Escobar na Cali Cartel lakini kufanikiwa kwa mkakati wa MAS kuliwapa moyo kuwa yako maeneo mengine mengi wanayoweza kufanya kwa kushirikiana na yakawa na faida kwa pande zote mbili.
Sehemu ya kwanza ambayo waliona inaweza kuwa na faida kwa pande zote mbili ilikuwa ni Cali Cartel kukubali Pablo Escobar aweze kupitisha fedha zake haramu katika benki ya First InterAmericans Bank ambayo ilikuwa inamilikiwa na maswahiba wa mabosi wa Cali Cartel. Hii ilikuwa na faida kwa kubwa kwa Pablo kwani ilikuwa ni njia rahisi na salama kwake kuweza kusafisha fedha zake haramu lakini pia ilikuwa na faida upande wa wamiliki wa benki maswahiba wa mabosi wa Cali Cartel kwani nao wangepata faida kwa kutoa huduma hiyo kwa Pablo kutokana mabilioni ya dola ya dola ambayo atakuwa anayapitisha kwenye benki yao.

Sehemu ya pili waliyokubaliana kushirikiana ilikuwa ni namna ya kuratibu bei ya Cocaine mtaani, kuratibu viwango vya ubora wa uzalishaji na njia salama za kusafirisha mizigo.
Sehemu ya tatu walikubaliana kuhusu kugawana soko. Cali Cartel wakakubaliwa kuendesha biashara kwenye jiji la New York na Medellín Cartel ya Pablo Escobar wakapewa Florida na Miami. Jiji la Los Angels likaachwa kama sehemu huru ambayo yeyote anaweza kufanya biashara.
Kwa pamoja wakasonga na biashara ikashamiri.
Rafiki yako anapotishia maslahi yako: Vita Kuu ya Kwanza (Pablo Escobar VS Cali Cartel).
Biashara ya madawa ya kulevya katika America ya Kusini na duniani kote kwa miaka yote imetawaliwa na vita kati ya magenge yanayopambana ili kumiliki na kujipatia ushawishi zaidi katika soko. Lakini katika historia hakuna vita ya magenge ya mihadarati iliyotisha na kuitikisa Marekani na Amerika ya Kusini kama vita kati Medellín Cartel ya Pablo Escobar dhidi ya Cali Cartel.
Vita hii ilitishia hata usalama wa uwepo wa Taifa la Colombia na kuleta aibu kubwa kwa serikali za Colombia na Marekani.
Lakini kabla sijaeleza chochote kuhusu vita hii, nieleze kwa ufupi tu kuhusu Cali Cartel.
The Cali Cartel
Cali Catel ilianzishwa mwishoni mwa miaka ya 1970 kikiwa kama kikundi maalumu cha wapiganaji kilichokuwa kinatumiwa na Pablo Escobar na kilijulikana kama Las Chemas.
Moja wapo ya kazi walizozifanya kwa mafanikio ilikuwa ni utekaji wa raia wawili wa nchi wa uswisi na wakalipwa kiasi cha dola laki saba.
Baada ya malipo haya washirika wa kikundi cha Las Chemas wakajitenga na Pablo Escobar na kukimbilia kusini mwa nchi ya Colombia katika mji wa Cali na wakatumia fedha hiyo kuanzisha biashara yao ya mihadarati na wakafahamika kama The Cali Cartel.
Baada ya biashara yao kuanza kukua wakafanikiwa kuwashawishi wanajeshi kadhaa waasi na kujiunga nao katika biashara na wakafanikiwa kuwapata wengi.

Uwepo wa wanajeshi katika Cali Cartel unadhihirishwa na mfumo wao wa kibiashara pamoja na uwezo wao wa kufanya upelelezi na ushushushu (counterintelligence).
Kwa mfano mfumo wao wa kibiashara ulikuwa tofauti na Medellín Cartel ya Pablo Escobar ambayo yenyewe ilikuwa ni genge linalomilikiwa na mtu mmoja (Pablo) ambapo Cali Cartel wenyewe walikuwa ni muunganiko wa wafanyabiashara wanaojitegemea wanaounda genge/mtandao mmoja wa mihadarati (Cali Cartel).
Kwa upande wa ushushushu na upelelezi walikuwa mahili kiasi kwamba katika baadhi ya ripoti za CIA walikuwa wanawaita kwa jina la utani "Cali the KGB", wakiwafananisha na shirika la upelelezi la Urusi ya kipindi hicho.
Turejee kwenye...'Vita Kuu'
Ushindani mkubwa wa kibiashara kati ya magenge haya mawili unaweza kuwa sababu kubwa ya wao kuingia vitani lakini hii iliepushwa kutokana na vikao vya makubaliano walivyokaa awalinkuhusu kugawana soko.
Sababu kubwa zaidi na ya msingi iliyochochea vita hii ilikuwa ni Pablo kuamua kuacha kuheshimu makubaliano akiyoingia na Cali Cartel kutokana na genge hili kujihusisha na vitendo ambavyo Pablo alivipinga kwa nguvu zote.
Haijulikani ni kichaa gani kiliwapata viongozi wa ngazi za juu wa Cali Cartel lakini ilipofika miaka ya kati kati ya 1980 Cali Carteli wakaanza kujihusisha na imani zenye utata za "Kusafisha Kizazi/jamii" (Social Cleansing). Cali Cartel walisimamia mauaji ya mamia ya watu kwenye mji wa Cali pasipo sababu ya msingi wakidai kuwa watu hao wanaichafua Cali.

Mauaji yao yaliwalenga walemavu, machangudoa, watu wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, watoto wa mitaani, na watu wasio kuwa na makazi.
Baada ya kuwaua waliwaandika maandishi kifuania "Cali limpia, Cali linda" (Clean Cali, beautiful Cali (Cali nadhifu, Cali inayopendeza)
Vitendo hivi vilimkera Pablo na ikampa sababu ya kutokuheshimu makubaliano yake na Cali Cartel kuhusu kugawana soko na akaamuru watu wake wafanye biashara nchini marekani katika mji wowote ule wanaojisikia.
Kitu hiki kikiwakera viongozi wa Cali Cartel na ili kumuonyesha kuwa wamechukizwa wakaanza kutoa ufadhili kwa kikundi cha wapiganaji kilichokuwa kinajiita Los Pepes amacho ni kifupi cha Los Perseguidos por Pablo Escobar (People Persecuted by Pablo Escobar (watu walioumizwa na Pablo Escobar)).
Kikundi hiki kilikuwa kinaundwa na ndugu za watu waliouawa na Pablo au Wapambe wake na walikuwa wamejiapiza kumsaka na kumuua Pablo popote alipo. Kitendo cha mabosi wa Cali Cartel kuanza kukipa ufadhili kikundi hiki kilichochea moto wa vita ya magenge amabao haukuwahi kuonekana hapo kabla.
Katika kipindi hiki Colombia ilishuhudia mauaji ya kutisha ambapo wafuasi wa magenge yote mawili walikuwa wakitafutana usiku na mchana. Mauaji haya yaliwahusu mpaka marafiki, ndugu na wanafamilia wa makundi yote mawili. Katika mwaka 1988 pekee idadi ya vifo ilifikia zaidi ya watu 21,000 na mwaka 1989 idadi iliongezeka mpaka vifo zaidi ya 28,000.

Hiki kilikuwa ni moja ya vipindi vigumu zaidi kiusalama kwa Pablo kwani alikuwa na lundo la maadui waliokuwa wakimtafuta. Kulikuwa na serikali ya marekani inamtafuta, serikali ya Colombia inamtafuta, Kikundi cha Los Pepes kinamtafuta, na genge la Cali Cartel linamtafuta. Kutokana na suala la usalama kuwa tete mno ilimlazimu aame kutoka katika 'pepo' yake ya Hacienda Napolés na kwenda kujificha katika nyumba za maficho juu ya milima ya mji wa Madellín.
Ilikuwa inambidi abadili makazi mpaka mara nne kwa siku moja. Nyumba zake nyingi hizi za juu ya milima alikuwa anazitumia kuhifadhi pesa na silaha na ilitokea siku walienda kwenye nyumba yake iliyopo karibia kabisa na kilele cha mlima na ilikuwa iko ndani ya msitu mnene.
Siku hii kulikuwa na baridi lisilomithirika na kutokana na nyumba hii kujengwa maalumu kwa ajili ya kuhifadhi fedha na silaha haikuwa na mfumo wa joto wala umeme. Ilifikia kipindi cha usiku baridi lilizidi na kupitiliza kiwangi cha kawaida mpaka ikaanza kutishia afya ya mtoto wake wa kike aliyekuwa naye pamoja na familia yake.

Kutokana na kutokuwepo na namna nyingine yeyote ya kupasha moto nyumba hiyo ili kupunguza baridi, ili mbidi Pablo achome moto maburungutu ya fedha usiku kucha ili kuipatia joto familia yake na hasa mtoto wake wa kike ambaye alionekana kuathiriwa zaidi na baridi. Mpaka asubuhi kunakucha na baridi kupungua kufikia kiwango cha kawaida Pablo alikuwa ameteketeza maburungutu ya hela ya kiasi cha dola milioni mbili za kimarekani.
Baada ya Juhudi za Cali Cartel kumpata Pablo kutozaa matunda, walitoa kandarasi kwa Jorge Selcado ambaye alikuwa ni muhandisi na Mwanajeshi. Jorge alikuwa maarufu kwa kuandaa timu maalumu za mauaji ya kuratibiwa kiumakini (assassination teams) na mara zote mipango yake inakuwa ya mafanikio.

Baada ya Jorge kupewa 'ofa' hii na mabosi wa Cali Cartel aliwasiliana na watu wake ambao walikuwa ni wanajeshi wa kukodi (mercenaries) kutoka nchini uingereza ambao walikuwa wamewahi kutumikia katika jeshi la Uingereza kitengo maalumu cha Anga (SAS - Special Air Services).
Timu hii ilikuwa na watu kumi mbili na iliwasili Colombia na kufanya mazoezi kwa miezi kadhaa ili kujiandaa na zoezi lililopo mbele yao. Walifahamu kuwa kwa kipindi hicho Pablo alikuwa amejificha mahali kusiko julikana kwenye milima, hivyo walisubiri wapate taarifa kuwa amerejea kwenye 'pepo' yake ya Hacienda ili wafanye shambulio la kushitukiza.
Siku hiyo haikuchelewa sana kwani timu ya Mpira ambayo Pablo alikuwa anaishabikia na kuifadhili ilifanikiwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya Colombia. Hivyo Pablo alirejea jijini Medellín ili ajumuike kusherehekea ushindi huo.
Kikosi hiki kilichotumwa kumuua Pablo walijiandaa na Chopa mbili za kivita zilizobeba silaha nzito na mpango wao ulikuwa wamshitukize Pablo nyakati za asubuhi na kufanya shambulizi nyumbani kwake Hacienda Napolés.
Ili mpango huu uwe na ufanisi walikubaliana kuwa washambulie kutokea nyuma ya milima na chopa ziruke katika mfumo maalumu wa kijeshi wa usawa wa chini chini kabisa (nap-to-earth) ili wasiweze kuonekana kutokea mbali.
Keshi yake chopa ziliruka kuelekea Hacienda Napolés kama walivyopanga wapitie nyuma ya milima huku zikiruka chini chini, lakini wakiwa kwenye milima hiyo kwa bahati mbaya chopa moja ilimshinda rubani kutokana na kuruka chini chini na ikagonga kwenye mlima na kudondoka.
Zoezi ambalo kilipangwa kuwa la kwenda kushambulia na kumuua Pablo likageka kuwa ni zoezi la uokoaji na mpango huu ukaishia hapo hapo.



Zoezi ambalo kilipangwa kuwa la kwenda kushambulia na kumuua Pablo likageka kuwa ni zoezi la uokoaji na mpango huu ukaishia hapo hapo.
Baada ya kufeli kwa zoezi hili serikali ya Colombia iliwasiliana na Pablo kujaribu kumuomba ajisalimishe.
Waliharibu kumbembeleza kwa kila namna ambayo waliweza na kumuahidi watakubaliana na masharti yoyote atakayoyasema. Serikali ilifikia kipindi walikuwa 'desperate' kutokana na aibu waliyokuwa wanaipata kimataifa kwa kushindwa kumdhibiti muhalifu mmoja aliyeifanya nchi yao ya Colombia mpaka kubatizwa jina la 'Capital of death' (mji wa kifo). Hivyo matamanio yao ilikuwa tu kuutangazia ulimwengu kuwa wamemkamata Pablo.
Baada ya Pablo kutafakari kwa kina na kuona jinsi usalama wake na familia yake kuwa ni mdogo kutokana na maadui wanaomzunguka kila kona akakubali ombi la serikali kujisalimisha lakini akawapa masharti matatu.

Moja, kipindi hicho serikali ilikuwa imefanya mchakato na kubadili kifungu cha katiba kuruhusu kukabithi raia wake kwa nchi za kigeni (extradition). Pablo akawaeleza waitishe kikao maalumu cha Bunge na kurudisha kifungu cha zamani kinachokataza raia wa nchi hiyo kukabidhiwa kwa nchi za kigeni. Serikali ikakubaliana na sharti hili. Kikaitishwa kikao maalumu cha bunge na kifungu hicho cha katiba kikarejebishwa.
Pili, Pablo aliwapa sharti kuwa anataka atengenezewe gereza maalumu katika sehemu atakayoichagua yeye na yeye na wahandisi wake ndio watakaochora michoro ya namna gereza hilo anavyotaka liwe. Serikali wakakubaliana na sharti hili na gereza kikajengwa kama ambavyo Pablo aliamuru.
(Tafadhali rejea aya ya kwanza ya makala hii kuhusu namna ambavyo gereza hili likikuwa tofauti na gereza lingine lolote duniani).
Gereza hili lilipo malizika Pablo mwenyewe alilipa jina La Catedral (The Cathedral) lakini watu wengi walilipa jina la utani 'Club Escobar' na wengine waliliita 'Hotel Cathedral'.
Sharti la tatu aliwaambia serikali yeye ndiye atakaye chagua askari wa kumlinda. Serikali ikakubali pia sharti hili.
Baada ya masharti yote kukamilika yakafanyika makubakiano maalumu ya kisheria ambapo Pablo Escobar licha ya uhalifu wa kutisha alioufanya kwa miaka karibia ishirini alipewa adhabu ya kifungo cha miaka mitano pekee.
Baada ya makubaliano. Pablo alijisalimisha na kupelekwa kwenye makazi yake mapya, gereza la La Catedral.

Baada ya Pablo kujisalimisha mwaka 1991 serikali ilitangazia ulimwengu kwa mbwembwe zote kuwa wamemkamata Pablo Escobar na amehifadhiwa katiba gereza la siri.
Ikikuwa ni kweli kuwa Pablo alikuwa gerezani lakini ulimwengu mzima walifichwa ukweli halisi kwani katika gereza hilo Pablo aliishi kama mfalme na aliendelea kutoa maagizo kwa wafuasi wake na kuendesha biashara yake ya miahadarati akiwa ndani ya La Catedral. Tena kwa sasa Pablo inawezekana alifurahi zaidi kwani alikuwa uhakika wa usalama wake kutokana na kulindwa na jeshi la serikali ambao wao walimuona kama mfungwa huku yeye akiwaona kama walinzi wake binafsi.
Kitendo hiki kiliwaumiza sana Cali Cartel ambao walihangaika usiku na mchana wafahamu hili gereza lilipo. Baada ya mwaka mkoja wakapata taarifa kuhusu mahala ambapo gereza anahifadhiwa Pablo. Kutokana na ulinzi mkali wa kijeshi waling'amua fika kuwa hawataweza kuvamia gereza hilo na kumuua Pablo hivyo mshauri wao wa masuala ya kijeshi akawashauri Jorge Selcado akawashauri kuwa namna pekee ya kumuua Pablo ndani ya La Cathedral ni kulipua gereza hilo kwa mabomu mazito kwa kutumia ndege maalumu ya kivita.

Cali Cartel wakanunua ndege ya kivita aina ya A-37 Dragonfly na wakaweza kupata dili la magendo kuuziwa mabomu mazito ya kivita ya uzito wa paundi 500 kutoka kwa generali wa jeshi ka El Salvador.
Hivyo Jorge akarusha ndege na kuelekea El Salvador katika uwanja wa ndege wa kiraia asubuhi alfajiri ili kuchukua mabomu.
Kwa bahati mbaya mabomu hayo yalikuwa kwenye maboksi makubwa manne na ndege aliyoenda nayo Jorge ilikuwa ndogo isingeweza kubeba maboksi yote hayo. Wakahangaika kunga'aniza maboksi yaenee ndani ya ndege lakini maboksi matatu pekee ndiyo yalienea. Zoezi hilo la magendo lililopaswa kuchukua dakika chache tu likatumia zaidi ya dakika ishirini ambapo palianza kupambazuka na watu kufika uwanjani hivyo ikambidi Jorge aruke na maboksi matatu na kulitelekeza boksi moja uwanjani hapo.
Baada ya raia kushikwa na butwaa kuhusu walichokiona hatimae polisi walifika na baada ya masaa machache walipewa taarifa za siri kuhusu mpango huo wa Cali Cartel kununua mabomu hayo ili kulipua La Catedral. Skandali hii iliteka vyombo vya habari siku hiyo na ikapekekea Cali Cartel kuachana na mpango huo wa kulipua La Catedral waliamini kuwa taarifa hiyo itakuwa imemfikia Escobar na ameshachukua tahadhali.

KIFO CHA PABLO El Mágico

Licha ya serikali kufahamu kuwa Pablo alikuwa anaendelea na biashara zake licha ya kuwa ndani ya gereza serikali ilifumfumbia macho kadiri ambavyo ulimwengu ulivyo amini kuwa Pablo Escobar yuko gerezani anajutia.
Lakini uvumilivu huu uliisha mara baada ya kuzuka skendali katika vyombo vya habari kwamba Pablo aliwaita marafiki zake wa kibiashara wanne walioko uraiani waende akawape maelekezo, walipofika huko aliamuru walinzi wanaomlinda wawapigwe risasi marafiki zake hao kwa madai kuwa wamemdhulumu hela na ilisemekana miili yao ilifukiwa ndani ya gereza.
Skandali hii ilikuwa kubwa kiasi kwamba ilitishia kurudisha tena upya zama za serikali kuumiza kichwa kuhusu Pablo. Ili kuepusha mambo yasiharibike kabisa serikali ikaamua kuwa Pablo inabidi afungwe kwenye gereza maalumu la kijeshi na aishi maisha ya kifungwa kama mfungwa mwingine yeyote.
Kutikana ma makubaliano kuwa polisi wengine isipokuwa wanajeshi wanaomlinda hawaruhusiwi kusogea hata maili 12 karibu na La Catedral, hivyo serikali ikatuma waziri muandamizi na maafisa wengine watatu wa ngazi za juu serikalini kumpelekea taarifa hiyo Pablo kuwa anaamishwa gereza.

Baada ya kupewa taarifa hii Pablo akiwageuzia kibao na kuamuru wanajeshi wanaomlinda waweke chini ya ulinzi vuongozi hao wa serikali. (Kumbuka wanajeshi hawa wanaomlinda aliwachagua yeye hivyo ni dhahiri walikuwa maswahiba wake wakikuwa tayari kumtii Pablo kuliko rais wa nchi)
Baada ya taarifa kufika serikalini kuwa Pablo amewaweka chini ya ulinzi viongozi wa serikali waliotumwa kufanya nae mazungumzo juu kuhamishwa gereza. Serikali ikatuma kikosi cha wanajeshi 600 kulizunguka gereza hilo na kumtaka Pablo ajisalimishe.
Pablo akawajibu kuwa wakithubutu hata kukanyaga hatua moja ndani ya uzio wa La Catedral basi ataamuru viongozi hao aliowashikilia mateka wapigwe risasi.
Mabishano haya yalidumu kwa takribani masaa kumi mpaka ambapo giza lilipoingia kikosi cha wanajeshi waliokuwa wamelizunguka gereza walivamia ndani ya La Catedral lakini jambo la ajabu waliwakuta viongozi hao wa serikali wamefugwa kwenye viti na kuzibwa midomo lakini walikuwa salama salimini ila Pablo na wapambe wake hawakuwepo. Na watu waliokutwa ndani ya La Catedral walidai Pablo na wapambe wake hajaonekana/ameondoka kwa taribani masaa manne yaliyopiata.

Ni kwa jinsi gani Pablo aliwatoroka wanajeshi amabo walikuwa wamelizunguka gereza kila kona kitendawili hiki mpaka leo hakuna aliyekitegea. Hakukuwa na njia yoyote ya chini kwa chini wala handaki, hivyo huu utata wa jinsi alivyowatoroka haujapata jibu la kuridhisha mpaka leo.
Kufumba na kufumbua jinamizi la aibu kwa serikali ya Colombia na Marekani kilikuwa limerudi. Na serikali zote mbili ziliapa kwamba sasa imetosha ni lazima walizike jinamizi hili.
Kamandi ya Oparesheni maalumu za kijeshi za marekani (Joint Special Operations Command) kikaunda kikosi kazi maalumu cha kijeshi kilichoelekea nchini Colombia kuungana na kikosi maalumu cha jeshi la Colombia kikichoundwa maakumu kwa ajili ya kumsaka Pablo kilichoitwa 'Search Block' na kwa pamoja wakaanza msako mkali wa kumtafuta Pablo. Pia walishirikiana na kikundi cha Los Pepes kilichoapa kumteketeza Pablo na ukoo wake wote ambao walitumia mwanya wa msako huu kuua watu 300 waliokuwa na uhusiano na Pablo, yaani ndugu zake, marafiki na wafanyabiashara wenza.

Baada ya mwaka mzima wa msako mkali hatimae siku ya desemba 2, 1993 jeshi la Colombia lilifanikiwa kunasa mawasiliano ya simu kati ya Pablo na wasaidizi wake. Wakatumia 'triangulation technology' kung'amua mahali alipo ambapo alikuwa katika mtaa wa Los Olivos katika mji wa Madellín. Baada ya kufanikiwa kufahamu nyumba aliyojihifadhi pasipo kupoteza mda wakafanya shambulio la kushitukiza.
Wakati wanawafanyia shambulio hili la kushitukiza Pablo alikuwa yupo na mlinzi wake binafsi mmoja tu Alvaro de Jesús.
Baada ya kuanza kushambuliwa nao wakarudisha mashambulio ya risasi kwa vikosi vya jeshi la serikali. Majibizano haya ya risadi yalidumu kwa dakika kadhaa ndipo Pablo na mlinzi wake wakakubali kuwa hakuna namna wao watu wawili wataweza kuwashinda kikosi kizima cha kijeshi chenye silaha nzito. Hivyo wakaamua warushe risasi huku wakiwa wanakinbilia juu ya paa la nyumba. Lakini kabla hawajafika juu kabisa ya paa la nyumba mlinzi wa Pablo alidunguliwa na risasi na kufariki papo hapo na Pablo mwenyewe alipigwa risasi mguuni na akajikongoja mpaka juu ya paa.
Baada ya wanajeshi wa serikali kuvamia nyumba na kufika juu ya paa walimkuta Pablo amelala chini amefariki akiwa na tundu la risasi aliyopigwa kwenye sikio kwenda ndani ya kichwa.

Haijulikani ni nani alimpiga hii risasi lakini marafiki zake wa karibu pamoja na kaka yake wa kuzaliwa wanasema kwamba siku zote Pablo akikuwa anasema kuwa hatokubali kupigwa risasi ya mwisho na adui yake. Kama ikitokea ameshambukiwa na adui na hana namna ya kujiokoa basi atajipiga risasi sikioni itokee upande wa pili. Serikali haijawahi kupinga au kuthibitisha suala hili la Pablo kujipiga risasi mwenyewe lakini huo ndio ulikuwa mwisho wa Pablo juu ya uso wa dunia.
Mpaka leo hii nchini Colombia hasa katika mji wa Madellín kila mwaka wanafanya kumbu kumbu ya kifo cha Pablo kama shujaa wao lakini kwa watu wengi duniani Pablo amebakia kama muhalifu aliyeitesa na kuisumbua dunia kadiri atakavyo.
Binafsi nadhani namna nzuri ya kumkumbuka Pablo ni sentesi moja maridhawa iliyotolewa na Virginia Vallejo aliposema; Amando a Pablo, Odiando a Escobar.! Akimaanisha kuwa lazima kuna upande fulani wa nafsi yako utampenda Pablo kama mtu mwenyenye jitihada, umahiri na uthubutu lakini upande wa pili wa nafsi lazima utamchukia Escobar kutokana na uhalifu wake.
Lakini kwa namna yeyote ile historia ya Dunia itaendelea kumkumbuka Pablo kama binadamu aliyeufinyanga ulimwengu wa siri na hatari wa biashara haramu na kuufanya uwe jinsi ulivyo leo hii. Vizazi vyote vijavyo vitaendelea kusimulia historia ya kusisimua ya Pablo El Mágico. Pablo El Zar de la Cocaína. Pablo Emilio Escobar

Mwandishi aacha Kazi kisa Messi

$
0
0

Wakati mashabiki wa soka duniani wakiendelea kufuatilia yanayojiri Kombe la Dunia Urusi, kwa mwandishi mmoja Rwanda, ni wakati wa kulipia gharama kutokana na ahadi aliyoitoa.

Kwa mujibu wa ripoti kutoka BBC, Rutamu Elie Joe alikuwa amewaahidi wasikilizaji akiwa hewani kwamba angeacha kazi iwapo Argentina wangekosa kushinda Kombe la Dunia mwaka huu.

Ndoto yao ilizimwa Jumamosi walipolazwa 4-3 na Ufaransa.

Mwandishi huyo anasema alitoa ahadi siku ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia na kusema ''Mwaka huu ndio Lionel Messi atachukua Kombe la Dunia.''

''Messi asipochukua Kombe la Dunia basi mimi naachana na hii kazi yangu ya utangazaji wa mpira pamoja na kufanya kazi katika kituo hiki cha redio."

Anasema kwake alikuwa analichukulia kama jambo la kawaida, kutoa ahadi tu lakini baadaye amekuja kuwajibishwa.

''Mimi nilikuwa nafikiria ni kawaida tu kama kipindi cha kawaida tu ambacho kimepita kumbe watu wamekirekodi na wakasalia kimya''.

Mwanamume akwama baada ya lami kuyeyuka barabarani Newcastle, Uingereza

$
0
0
Mwanamume mmoja nchini Uingereza amewashangaza wengi baada ya kukwama kwenye lami iliyokuwa imeyeyuka katika barabara moja akielekea dukani kununua staftahi.

Kijana huyo wa miaka 24 aliwapigia maafisa wa huduma za dharura kupitia nambari 999 baada ya mguu wake wa kushoto kukwama barabarani.

Mguu wake ulikuwa umetumbukia hadi karibu pajani katika barabara moja ya pembeni eneo la Heaton, Newcastle.

Maafisa wa huduma za dharura walilazimika kuchimbua barabara eneo alipokuwa amekwama wakitumia nyundo na patasi kuutoa mguu wake.

Wanasema alinusurika bila jeraha kutokana na hali kwamba alikuwa amevalia "buti la babu yake aina ya Dr Martens" ambazo hufika hadi magotini.



Msemaji wa zima moto amesema tukio hilo lilisababishwa na jua kali ambalo limekuwa likiwaka eneo hilo.

Amesema: "Wakati kuna jua, tahadhari mambo kama haya yanaweza kutokea - kuweni makini zaidi hasa mnapotembea."

Kisa hicho kimetokea siku chache baada ya lori la kusafirisha taka kudidimia kwenye barabara moja ya lami Newbury, Berkshire.

Watu wametahadharishwa kuwa makini hasa wanapotembea Maeneo mengi kaskazini na kusini mwa dunia yamekuwa yakishuhudia jua kali.

Lami yayeyuka Queensland, Australia
Nchini Australia, wenye magari katika eneo la Atherton Tablelands jimbo la Queensland walilazimika kuyaacha magari yao baada ya lami kuanza kuyeyuka barabarani.

Tairi za magari ziliharibiwa vibaya na lami na sasa madereva takriban 50 wanadai fidia.

Mwanamuziki Childish Gambino Aliyeimba This is America Kufikishwa Mahakamani

$
0
0

Mcheza filamu na mwanamuziki ‘Donald Glover; a.k.a ‘Childish Gambino’ anaetamba na wimbo wake “This is America” anatarajiwa kupelekwa mahakamani na Lebo yake ya zamani baada ya kutolipa mapato aliyoyapata katika streams za albamu zake akiwa chini ya lebo hiyo.

Taarifa kutoka katika chombo kimoja cha habari cha nchini Marekani kimesema kuwa lebo ya ‘Glassnote Entertainment Group’ wamefungua kesi ya madai ya fidia dhidi ya ‘Childish Gambino’ kwa madai kuwa amepata kiasi cha dola za Marekani laki saba ($700,000) katika stream (watu kuangalia kazi zake mitandaoni) na wala hawajalipwa hata thumni ya mapato hayo ambayo ni sawa na zaidi ya Tsh Bilioni 1.5 za kitanzania.

Chilidish Gambino aliachia albamu zifuatazo akiwa chini ya lebo ya ‘Glasssnote’ ‘CAMP 2011’, ‘BECAUSE THE INTERNET 2013’, ‘AWAKEN,MY LOVE 2016’

Takukuru kutinga mikutano ya serikali

$
0
0

Idara na taasisi za serikali zimeagizwa kuialika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwenye mikutano yao ili itoe mada kuhusu elimu ya masuala ya rushwa, lengo likiwa ni kupunguza na kuondoa rushwa kwa watumishi wa Umma.

Maagizo hayo yametolewa jijini Dar es Salaam,  na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika, wakati akizungumza na watumishi wa umma,  kwenye siku Maalum ya Mapambano dhidi ya Rushwa, iliyoadhimishwa kwenye Maonyesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam, maarufu kama Sabasaba. 

“Watumishi wa Umma nchini tekelezeni wajibu wenu ipasavyo katika mapambano dhidi ya rushwa ili kuliwezesha taifa kufikia lengo la uchumi wa viwanda”, amesema Mkuchika. 

Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Valentino Mlowola, amesema kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam mwaka huu, imetengwa siku maalum ya mapambano dhidi ya rushwa, lengo likiwa ni kusambaza ujumbe wa elimu ya rushwa. 

Mwamuzi Range wa Kenya afungiwa kuchezesha Soka maisha yake yote

$
0
0

Mwamuzi Marwa Range raua wa Kenya hatachezesha soka kwa maisha yake yote. 

Range amefungiwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf) baada ya kamatik yake ya nidhamu kukutana, 
Range alikuwa mmoja wa waamuzi wasaidizi wa Kombe la Dunia nchini Urusi, Lakini akapokea rushwa ya dola 600, baada ya kuwekewa mtego. 

Waamuzi wengine wamekumbana na adhabu mbalimbali kutoka Caf, lakini Range akifungiwa kuchezesha soka maisha. 

Hii ni Habari Njema Kwa Wale Wote Waliohangaika na Matatizo ya Magonjwa Sugu Yaliyokosa Tiba

$
0
0

"HII NI HABARI NJEMA KWA WALE WOTE WALIOHANGAIKA NA MATATIZO YA MAGONJWA SUGU NA YALIYOKOSA TIBA" sasa usikate tamaa tiba imepatikanika kwa DK. ABDALA MUSSA anatibu matatizo kama yafuatayo: 

Nguvu za kiume, uzazi, kisukari, tezi dume, vidoda vya tumbo, mgongo kuuma, miguu kuwaka moto na mataizo uliyonayo 

1/ITAGULA- ni dawa ya mkosi kuosha nyota, kumvuta mpenzi, mke, mume, kuua kesi na kupata kazi haraka kama umeomba maombi serikalini au kampuni binafisi unaitwa ndani ya siku mbili 2/ 

NINJIWE- ni dawa inayomaliza matatizo ya wanaume heshima ndani ya ndoa, kuwa na nguvu za kiume milele na kukomaza mbegu na kuwa na uwezo kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila kuchoka kama umezaraulika na kufanya tendo na kusinyaa uume dawa ipo dozi yake siku sita vidoge 12 pia kuna na unga inayokomaza uume ndani ya siku 7 unapona kabisa. 

3/MPALALA- ni dawa ya kutibu busha miguu kuwaka moto, kiuno, kisukari. 

4/NGEKEWA- ni dawa ya kuvuta wateja kwenye biashara yoyote kuwa na wateja wengi katika biashara na kuzuia chuma ulete. 4/LINGWATA- ni dawa ya punguza unene, mafuta tumbo, matiti, miguu, hipsi na kutengeneza shepu dawa hii ni ya unga ukitumia utaona mabadiliko baada ya siku 3. 5/DUBISHO- ni dawa zindiko la mwili, majumba, gari, biashara, mteja wangu huduma utaipata mahali popote ulipo kuna wanasaplai mahali ulipo kama huna muda wa kufika osifini mkoa wa dar-es-salaam, iringa, kanda ya ziwa wilaya ya bunda. angalizo kwa wateja usitume sms wala kubipu huduma yangu ni kuanzia saa 12 asubui hadi saa 12 jioni kwa wateja wa dar-es-salaam ofisi ipo buguruni na mbagala zakhem na kwa wale walio nje ya mkoa dawa hizi mtazipata kwa njia za mabasi. punguzo la bei kwa wateja 5 wa kisukari na nguvu za kiume KWA MAWASILIANAO ZAIDI WASILIANA NA DK. ABDALA MUSSA KWA SIM NAMBA 0767-171773/ 0716-608959 WOTE MNAKARIBISHWA:

Kim Kardashian Aamua Kuwa Mtetezi wa Haki za Wafungwa

$
0
0

Mwanamitindo na mke wa Star Kanye West, Kim Kardashian amechukua hatua tofauti katika maisha yake ya ustar na kuamua kuwa mtetezi wa mabadiliko ya sheria “Advocate for Prison Reform” katika moja ya gereza lenye wafungwa wengi Duniani.

Baada ya kuweka historia ya kukutana na Rais Donald Trump kwaajli ya mazungumzo ya kumuachia mfungwa kwa jina la ‘Alice Marie Johnson (miaka 63)’ ambae alihukumiwa kifungo cha maisha baada ya kukutwa na hatia ya uhalifu unaohusiana na madawa ya kulevya mnamo mwaka 1997.

Kim Kardashian anataka kuweka historia nyingine baada ya kutembelea gereza la wafungwa wa kike huko Corona, California, ambapo alifanya ziara na kuongea na wafungwa kuhusu mipango na mustakabali wa maisha yao baada ya kifungo.

Chombo kimoja cha habari kutoka nchini Marekani kimeripoti kuwa Mwanadada Kim Kardashian ameweka headlines baada ya kuwaambia wanasheria wake waisimamie kesi ya mwanamke mmoja aitwae ‘Cyntoia Brown’, Mwaka 2017 mahakama ilimhukumu ‘Cyntoia Brown’ kwenda jela baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mwanaume aliyembaka.

Kim Kardashian alitweet maneno haya “ The System has failed. Its heart breaking to see a young girl sex trafficked and raped then when she fights back she is jailed for life! We have to do better & do what’s right. I’ve called my attorneys to see whats can be done to fix this. #FreeCyntoiaBrown”

Askofu Mkuu mwandamizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi Kupokelewa Septemba 7

$
0
0

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam wa Kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema jimbo hilo linatarajia kumpokea Askofu Mkuu mwandamizi, Yuda Thadeus Ruwa’ichi, Septemba 7.


Kardinali Pengo alisema hayo jana wakati akiwapangia vituo vya kazi mapadri wapya na kuwabadilisha wale wa zamani baada ya sherehe za upadirisho, zilizofanyika katika viwanja vya Msimbazi Centre, jijini Dar es Salaam.


Juni mwaka huu, Papa Francis wa 16 alimtangaza Ruwa’ichi kuwa askofu mkuu mwandamizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam.


Kardinali Pengo alisema mapokezi hayo yatategemea ujio wa hati yake kutoka kwa Papa Mtakatifu Francis wa 16, pamoja na yeye mwenyewe kuweka tayari vitu vyake.


“Kwa hiyo tarehe hiyo inaweza kubadilishwa kwa sababu hizo mbili,” alisema.


Kadhalika aliwataka vijana wa kanisa hilo kukimbilia upadri kwa sababu huko kuna uhakika wa ajira.


“Vijana kimbilieni huku kuna uhakika wa ajira, huku siyo kama huko kwingine kwa hiyo ni wakati wenu. Ninyi mapadri wapya nawapa likizo ya siku 28 ili muende huko mkamshukuru Mungu,” alisema Kardinali Pengo.


Aliwataka mapadri wapya kuwa tayari kufanya kazi mahali popote watakapotumwa ili waendelee kutenda kazi ya Mungu.

Kifo kimedhihirisha Muna hakumpenda Patrick

$
0
0

BY LUQMAN MALOTO
Mzazi anayempenda mtoto wake atahakikisha anakuwa mchonga barabara nzuri ili mwanaye apite bila wasiwasi. Atakuwa mhimili wa ukuaji mzuri wa mtoto wake. Atamweka mbali na shari za ulimwengu. Hatamchanganya kwenye migogoro yake ya kimaisha. Kamwe hatambebesha mawazo katika umri mdogo.

UNAYEMPENDA utamtakia maisha mema. Zaidi utamheshimu na kumlinda kisaikolojia na kimwili. Utamfichia aibu zake na utahakikisha jamii haijui ule upande wake ambao, wewe na yeye msingependa ufahamike. Upendo wa kweli sio maneno matupu. Ipo gharama kubwa ndani yake.

Mzazi anayempenda mtoto wake atahakikisha anakuwa mchonga barabara nzuri ili mwanaye apite bila wasiwasi. Atakuwa mhimili wa ukuaji mzuri wa mtoto wake. Atamweka mbali na shari za ulimwengu. Hatamchanganya kwenye migogoro yake ya kimaisha. Kamwe hatambebesha mawazo katika umri mdogo.

Utamjua mzazi asiyempenda mwanaye kwa namna anavyoweza kujitahidi kumtenganisha mtoto na mzazi wake wa pili. Ama mama kumfanya mtoto amchukie baba au baba kumweka mbali mtoto na mama yake.

Baba asiyempenda mtoto wake utamwona anavyomkutanisha na ‘mashangazi’ mbalimbali. Atataka wanawake zake awaone wanabeba hadhi sawa na mama yake. Inawezekana akawa na mwanamke mmoja tu lakini akataka mwanaye amwone ndiye mama kamili, wakati mwenyewe halisi yupo.

Kipimo cha juu kabisa cha mama asiyempenda mtoto wake ni pale anapomtambulisha mwanaye kwa akina baba zaidi ya mmoja. Au leo anamwambia huyu ndiye baba yako, kesho anamtambulisha mwingine. Mtoto akiuliza na yule wa siku zile je? Anamjibu: “Yule achana naye, huyu ndiye mwenyewe.” Huyo ni mama mbovu.

Kitendo cha baba kumkutanisha mtoto na ‘mashangazi’ tofauti na kumtaka awaite mama au kumlazimisha amwone mwanamke wako ndiye mama yake, wakati mama yake halisi anamjua na yupo, vilevile mama kumtambulisha mtoto kwa akina baba tofauti, kwa pamoja humwathiri mtoto kisaikolojia katika ukuaji wake. Baba na mama wa hivyo hawampendi mtoto.

KUHUSU MTOTO PATRICK

Mwigizaji wa Bongo Movie, Rose Nungu ‘Muna’ alijaliwa kupata mtoto anayeitwa Patrick. Mtoto huyo akawa maarufu kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram. Patrick akaonyesha kipaji kikubwa. Akatabiriwa kuwa msanii mzuri siku za usoni.

Na utoto wake Patrick akawa kivutio cha wengi. Vyombo vya habari vikavutwa kufanya naye mahojiano. Mtoto naye akaonekana kuota ndoto kubwa katika ukubwa wake. Kuna wakati alisema anaota kuwa mwanamitindo, kipindi kingine alitamani urubani. Alikuwa mtoto mwenye kuutaraji ukubwa wake katika sura chanya. Ungemuona Muna na mwanaye, ungejionea jinsi mama anavyompenda mtoto wake. Namna alivyomweka mbele pengine kuliko chochote. Machoni ungekubali kwamba kila mtoto angekuwa na bahati kumpata mama kama Muna. Kwa mwanamume angewaza mama wa mtoto wake awe mfano wa Muna.

Patrick alifikwa na mauti Jumatano iliyopita baada kuugua muda mrefu. Ni maumivu makubwa kwa Muna na kila aliyempenda mtoto huyo. Kwa Mtanzania mwenye kuliwazia mema Taifa, lazima aumizwe na kuondoka kwa Patrick katika umri mdogo. Maana kwa kipaji alichokuwa nacho na ndoto alizoota, angeweza kuifaa sana nchi yake.

Patrick alifikwa na mauti akiwa hospitalini Nairobi, Kenya. Kama ujuavyo mtu akishafariki dunia, taratibu za maziko hufuata. Utaratibu ukawa mwili wa Patrick usafirishwe kutoka Nairobi hadi Dar es Salaam ambako mazishi yangefanyika. Mazishi hayafanyiki hewani, isipokuwa inakuwepo nyumba ambayo shughuli zote zinafanyikia hapo.

Utata ukaibuka hapo. Muna akataka mazishi yafanyike Mbezi Beach. Mwananyamala nako akaibuka mwanamume anayeitwa Peter Komu ‘Kosovo’, aliyejitambulisha kuwa baba wa Patrick, kwa hiyo akaweka msiba nyumbani kwake. Uamuzi huo wa msiba kuwa sehemu mbili ukasababisha sintofahamu.

Ni hapo ikabumbuluka kumbe Patrick alikuwa na baba wawili. Peter ni wa kwanza na wa pili ni mtangazaji wa Clouds TV, Casto Dickson. Wakati wa mvutano wa mahali sahihi pa kuweka msiba, Muna akasema baba halali wa mtoto ni Casto, akaonya aachwe amzike mwanaye maana hataki kumuumbua Peter.

Peter akakutana na vyombo vya habari, akaonyesha kila ushahidi ndiye baba wa mtoto. Ushahidi wenyewe ukawa, Peter hakuwa tu baba wa kufikirika, bali Patrick alimpata kwenye ndoa yake na Muna kabla hawajatengana. Cheti za kuzaliwa cha Patrick kinaonyesha baba ni Peter.

Zipo picha za ndoa kati ya Peter na Muna, vilevile za sherehe wakati Patrick alivyofikisha siku arobaini. Hivyo ushahidi wote kabla ya kufanya kipimo cha kuoanisha vinasaba (DNA), vinaonyesha Peter ndiye baba wa Patrick. Hata hivyo, Muna anasema baba wa mtoto ni Casto.

Peter alieleza namna alivyokuwa akimhudumia mtoto. Patrick alikuwa akitibiwa kwa bima inayolipwa na Peter. Hata fedha taslimu zilipohitajika, Peter alituma. Halafu mwishoni anaambiwa yeye sio baba, kisha mama anamtambulisha mwanamume mwingine ndiye baba.

MUNA HAKUMPENDA PATRICK

Muna na Peter wametengana, haikuwa sawa hata kidogo Patrick kuingizwa kwenye migogoro yao. Kwa namna yoyote ile, kitendo cha Muna kumtambulisha Patrick kwa baba wawili ni wazi hakuwa akimpenda mwanaye. Hakuwa mwenye kumtakia heri.

Mapenzi ya Muna kwa Patrick yalikuwa ya maonyesho na mauzo ya Instagram pamoja na kwenye vyombo vya habari.

Angekuwa anampenda kweli na kumtakia heri mwanaye angemlinda dhidi ya mkorogo wa baba wawili. Kumtambulisha mtoto baba wawili ni kumvuruga na kumuumiza kwa kujiona tofauti na wengine wenye baba mmoja.

Ushahidi wa Peter unaonyesha Patrick alizaliwa ndani ya ndoa. Hivyo, Muna kama anasema mtoto ni wa Casto, maana yake atakuwa alichepuka nje ya ndoa? Je, aliolewa akiwa na mimba? Au kwa vile walitengana ndiyo Muna anaona bora amnyime Peter haki ya kuwa baba wa Patrick? Jibu lolote lenye ndiyo katika hayo maswali matatu ni kuonyesha Muna amejaa utoto!

Dunia sio mpya hii. Waliishi mababu na mabibi kabla yetu. Iliweza kutokea mwanamke kupata ujauzito kabla ya ndoa. Alipoamua kumtaja mwanamume fulani ndiye baba, basi alibaki huyohuyo. Pengine alimsingizia kwa sababu za kimaisha, lakini hata ungemwekea kisu shingoni angemtaja yuleyule aliyemtaja awali.

Sababu ni kwamba mabibi zetu waliwapenda sana watoto wao, hawakutaka kuwavuruga. Walijua kuwatajia mababa wawili wangeweza kukosa kote. Hivyo, mwanamke alihakikisha anamfungamanisha mtoto wake na baba aliyemtaja hata kama ndani ya nafsi yake alijua hakuwa halisi. Babu zetu nao wakasema kitanda hakizai haramu. Inawezekana Muna alichepuka kwenye ndoa kisha kupata mimba ya Casto au aliolewa na Peter akiwa na mimba ya Casto. Vyovyote iwavyo, kama aliamua kumpa Peter hadhi ya kuwa baba wa Patrick, alitakiwa kubaki na msimamo huohuo. Sio baada ya kugombana au sababu yoyote ile ya kimaisha ndiyo ageuke na kumtaja Casto kuwa baba.

Ni hatari sana kuchanganya wanaume wawili kwa mtoto mmoja. Mwanamke anayefanya hivyo anakuwa hamtakii heri mtoto wake. Ndiyo maana naliona hili lipo wazi Muna alimpenda Patrick kwa maonesho tu. Muna hakuyapenda maisha ya Patrick, hakumtakia heri. Alikusudia kuvuruga kisaikolojia kwa kumfanya mtoto wa aina yake mwenye baba wawili
FROM MWANASPOTI

Kutana na Dr Mabula Kukutibu Matatizo ya Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO :

Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?


MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja itakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio asirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu.

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo

MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona.

Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Hii Inakuhusu Wewe Siku ya Leo.."Kimbia Mbio zako Binafsi na Watakie Wengine Kila la Kheri"

$
0
0
Leo asubuhi Nilikuwa nafanya mazoezi ya kukimbia, ilikuwa ni asubuhi ya saa kumi na mbili, na ni barabara ambayo sijawahi kufanya joging.

Wakati nikiendelea kukimbia kwa mbele kama nusu Kilometa hivi nikamuona mtu mwingine nae akikimbia. Bila shaka alikua akikimbia taratibu kuliko mimi. Hapo hapo nikajiambia nikimbie mpaka nimfikie na kumpita. Nilikimbia kwa kasi ilimradi tu nimfikie na kumpita.
Baada ya dakika chache nikawa nimebakiwa na kama mita 100 hivi nimfikie, mara akachepuka kushoto mwa barabara. Nikajiambia kuwa nia yangu nataka nimpite hivyo alivochepuka na mimi nikamuungia na kuendelea kumfuata.

Nikiwa nimekaribia kumfikia nikazidisha speed kama Usain Bolt amefikia utepe wa mwisho wa mashindano ya olimpic. Moyoni mwangu nikafarijika sana kumpita, na nilifurahi mno, nisijue kuwa mwenzangu hata hakuwa na wazo kuwa tulikuwa tukishindana. Hili lilikuwa wazo langu binafsi.

Baada ya kumpita na kwenda umbali mrefu kidogo mara nikahisi kama nimepotea na sijui ni wapi ninaelekea. Kuangalia saa ilikuwa ni saa moja na dakika 45 na saa moja kamili nilikuwa na appointment muhimu sana ya pesa. Hivyo ikanibidi kuanza kurudi nilikotoka.
Nikiwa nimepoteza muda na mpaka nafika nyumbani hakukuwa na appointment tena maana nilipoteza muda mwingi. Hivyo na pesa nikaikosa pia.

Haya ndio yanatokea katika maisha yetu ya kila siku pale tunapoweka mashindano na wafanyakazi wenzetu, majirani zetu, marafiki, na familia ili tuwaonyeshe kuwa tuna mafanikio au wa muhimu kuliko wao? Tunatumia nguvu nyingi pamoja na muda mwingi kuwafukuzia na imefika hatua mpaka tukasahau njia zetu.

Tumejisahau kuwa kila mmoja ana mwisho wake wa tofauti. Tatizo la mashindano yasiyo na tija ni kuwa huwa hayana mwisho.
Katika Maisha lazima kutakuwa mtu ambaye yupo juu au mbele yako hata ufanyeje.
Lazima atakuwepo mtu ambaye ana hela kuzidi zako, lazima atakuwepo mtu ambaye ana elimu kukuzidi wewe pamoja na ukoo wenu wote, lazima atakuwepo mtu ambae ana kazi nzuri kuzidi yako, gari zuri kuzidi lako, pesa nyingi Bank kuzidi zako, mke mzuri kuzidi wako, mume mzuri kuzidi wako, watoto wenye tabia nzuri kuzidi wako na kadhalika.

Hata ufanyeje hauwezi kuwa juu au mbele kuliko wote. Lakini kumbuka unaweza kuwa bora sana (the best) kama utaamua kuwa wewe kama wewe. Watu wengine imefika hatua wamekosa hadi raha kwa kuwa wamekua wakiangalia sana majirani zao jinsi wanavyoishi, wanavyokula, magari wanayoendesha, utajiri wao n.k. Shukuru Mungu alichokupa, fanya kazi kwa bidii ukiangalia ni nini mahitaji yako, usinunue kitu ilimradi tu kwa kuwa jirani yako au rafiki yako anacho, kwa kuwa itafika wakati itakibidi uuze vitu ambavyo ni vya muhimu.
Ishi maisha ya furaha, vaa vizuri kula vizuri. Relax hakuna mashindano katika hatima ya mtu.
Alichokupangia Mungu utakipata tu. Hata kicheleweshwe vipi utakipata tu. Vuta subira huku ukijibidiisha.
Kimbia mbio zako binafsi na watakie wengine kila la kheri!

SHARE na Marafiki zako kama Unakubaliana nami

*Your Dream Our Plan*

Haji Manara kuhusu tetesi za Wawa kutemwa Simba

$
0
0


Haji Manara amekanusha taarifa zinazomhusisha beki Pascal Wawa kutemwa na uongozi wa Simba baada ya kutoridhishwa na kiwango alichokionesha kwenye mechi alizocheza kwenye mashindano ya Kagame Cup.

“Kuna taarifa zinaenea mitandaoni kwamba Simba inaachana na Wawa, hizi ni taarifa za uongo na kuzusha na kutaka kutuvuruga. Wawa hakucheza kwa kipindi kirefu, kajiunga na timu kafanya mazoezi siku mbili au tatu alikuwa anahitaji match fitness”-Haji Manara.

“Unapoangalia mechi za Simba za sasa, mashambulizi yote yanaanzishwa na Wawa. Kukosa speed kunasababishwa na kukosa match fitness ambayo haiwezi kupatikana kwa kukaa nje.”

“Kwa hiyo hizo ni taarifa za uongo, uongozi wa Simba una imani na Wawa na wachezaji wote waliopo pamoja na benchi la ufundi. Nakanusha taarifa hizo nawaomba wapenzi wa Simba waachane na porojo za mitandaoni.”

Wawa amesajiliwa na Simba hivi karibuni kwa ajili ya kuisaidia klabu hiyo kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa kwa msimu ujao.
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live




Latest Images