Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live

Gavana Wa Benki Kuu Aipongeza TRA Kwa Kukusanya Kodi Ya Majengo Kielektroniki

$
0
0


Na Veronica Kazimoto
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Prof. Florens Luoga ameipongeza TRA kwa kukusanya kodi za majengo kwa kutumia Mfumo wa Kielektroniki.

Akizungumza wakati alipotembelea banda la TRA katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba, Prof. Luoga amesema kuwa, mfumo huo umesaidia kupunguza adha kwa wananchi ambao sasa wengi wao wanatumia simu za mkononi kulipia Kodi ya Majengo badala ya kwenda kupanga foleni benki.

“Nimefurahishwa sana na uboreshaji wa mifumo ya malipo hususani katika kulipia Kodi ya Majengo ambapo watu wengi wanatumia simu zao za mkononi kulipia kodi hiyo badala ya kwenda benki kukaa kwenye foleni. Hii ni moja ya maboresho makubwa yaliyofanywa na TRA hivyo nawapongeza sana,” alisema Gavana.

Gavana Luoga ameongeza kuwa, mifumo ya malipo inapoboreshwa husaidia walipakodi kulipa kodi zao kwa urahisi na kwa wakati na hivyo kuongeza mapato ya Serikali kwa manufaa ya wananchi wote kwa ujumla.

Aidha, Prof. Luoga ametoa wito kwa walipakodi na wananchi wote kwa ujumla kuendelea kulipa kodi kwa wakati kwa sababu maendeleo yaliyopo nchini yanatokana na kodi mbalimbali zinazolipwa na wananchi hao.

“Wito wangu kwa walipakodi na wananchi wote ni kuwasihi kuendelea kulipa kodi kwa wakati kwani faida zote wanazozipata kutokana na mfumo wa utawala waelewe kwamba umetokana na kodi mbalimbali wanazozilipa. Wanachi wanatakiwa kuelewa kwamba, upatikanaji wa elimu, maji, barabara, umeme na mambo mengine kama hayo yote yametokana na kodi,” alieleza Prof. Luoga.

Mamlaka ya Mapato Tanzania inashiriki maonyesho ya sabasaba jijini Dar es Salaam ambapo inatoa huduma mbalimbali kama vile kusajili walipakodi, kuelimisha wananchi umuhimu wa kulipa kodi, kutoa bili na kulipa Kodi ya Majengo.

Huduma nyingine ni pamoja na kuelezea haki na wajibu wa Mlipakodi kama ilivyoainishwa katika Mkataba wa Huduma na Mlipakodi, kutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya Mashine za Kielektroniki za kutolea Risti (EFDs), kuelezea mwenendo wa makusanyo ya mapato ya Serikali, na kupokea maoni, malalamiko, mrejesho pamoja na mapendekezo mbalimbali kutoka kwa wananchi.

Tengeneza Shape na Kuimarisha Nguvu za Kiume kwa Kutumia Natural Beuty Products

$
0
0

Katika kusherehekea miaka 15 ya kampuni ya NATURAL BEAUTY PROD tunatoa shukrani za dhati sana kwa wateja wetu wote kwa kutuunga mkono miaka yote hiyo.
TUNATOA OFFA YA WIKI NZIMA KWA WATEJA WETU UKINUNUA BIDHAA UTAPATA PUNGUZO LA 20%. KWA WATEJA WA MIKOANI UTATUMIWA BURE.

Ni bidhaa salama kabisa zilizotengenezwa kwa mimea na matunda pia zina matokeo mazuri na kwa haraka zaidi.



1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @220,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @180,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @140,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @210,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/=
11.YODI PILLS--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza (hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-

@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod

Mapenzi Sio Vita, Kwanini Tukomoane Kwenye 6X6?

$
0
0


Pamoja na uwepo wa manjonjo mengi katika ulimwengu wa mapenzi, kizazi hiki kisichotabirika kimeanza kugeuza tendo kuwa kama uwanja wa vita badala ya starehe inayoweza kumhamisha mtu kifikra mpaka katika ulimwengu wa kusadikika.

Vijana wengi wamekua busy kutafuta dawa za kuwafanya wawe na nguvu kupitiliza kanakwamba wanaenda vitani. Wengine wanatamba kwamba akikukamata ni mpaka kivimbe ndo akuachie. Kwani lengo ni kuumizana?

Mchezo ule hauhitaji hasira ila upole, utaratibu maalum na hisia kali zitakazo kuhamisha katika ulimwengu uliopo. Inashangaza kuona mtu ana-pump kama anazibua chemba iloziba mwaka mzima na kumsababishia kero na maumivu makali mwenza wake.

Ukifanikiwa kukaa jirani na eneo ambalo zoezi hilo huendelea unaweza kusikia kelele nyingi utadhani mtu anapigwa mangumi ila ukiuliza utaambiwa ni wapenzi wanagegedana.

Hebu tujaribu kufanya romantic love na sio vita na utaona matokeo yake, upendo utazidi kuliko awali.

Jungu kuu halikosi ukoko.

Ongeza Nguvu za Kiume na Hamu ya Tendo Hata Wenye Kisukari na BP

$
0
0

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
#OngezaUume
#NguvuZaKiume
#HandsomeUpOg
#BidhaaTz

Master J: Maproducer wengi hawapati kitu

$
0
0

Mtayarishaji mkongwe wa muziki Master J, amefunguka kwa kudai kwamba watayarishiji wa muziki wa siku hizi hawalipwi vizuri tofauti na awali. 

Master J ameiambia EFM kwamba kuna watayarishaji wengi wahalipwi vizuri kuliko wale ambao wanalipwa vizuri kidogo. 

“Maproducer wengi hawapati kitu, yaani msanii akikuheshimu sana atakupa laki mbili au laki tatu lakini hawa wengine wote ni laki kushuka chini wimbo mzima mpaka beat,” alisema Master J. 

Katika hatua nyingine mtayarishaji huyo amewataka wenzake kuacha ku-copy kazi za nje ambazo zinaenda kuharibu asili ya muziki wa Tanzania. 

“Kiukweli Muziki wetu umepoteza uhalisia tunakopy sana kutoka kule Nigeria, Maproducer waongeze ubunifu kidogo ili tuweze kuwa na aina ya Muziki wetu . Kwa maana hili sio zuri maana tuna makabila Zaidi ya 120 tunaweza kuchanganya na kupata uhasilia wetu” alisema Master J. 

Mtayarishaji huyo kwa sasa amesimama kuandaa muziki kwa madai amewaachia vijana wapya na wao wafanye wanachokiweza. 

Shindano la wanaume kubeba wake zao lafanyika Finland

$
0
0

Mashindano ya Dunia ya Wanaume kuwabeba Wake zao yamefanyika nchini Finland ikiwa ni kwa mwaka wa 23 mfululizo. 

Katika mashindano hayo ambayo yamefanyika katika mji mdogo wa Sonkajarvi ambao una wakazi takribani 4,200 uliwahusisha wanaume ambao waliwabeba wake zao mabegani na kukimbia nao kwa mita kadhaa na kuhudhuriwa na mamia ya wageni toka pande mbalimbali. 

Jumla ya familia (mke na mume) 53 zilishiriki katika shindano hilo ambalo lilishirikisha nchi 13 zikiwemo Marekani, Uingereza, Estonia, Sweden na Lithuania. 

Wazo la kuanzisha shindano hilo lililetwa mnamo karne ya 19 na Ronkainen the Robber ambaye aliwashawishi vijana wenzake kubeba kati ya gunia la mbegu ama kumbeba nguruwe na kukimbia nae. 

Shindano hilo lilihusisha washiriki katika kukimbia, na kuruka vikwazo mbalimbali na ambao waliibuka washindi ni  Vytautas Kirkliauskas na Neringa Kirkliauskiene raia wa Lithuania. 

 “ Nafikiri kwasababu tuna miezi mitatu pekee ya kuona mwanga tunahitaji kuwa na mashindano kama haya katika kipindi hiki na tunahitaji kumuonesha kila mmoja uwezo wetu", amesema  mmoja wa washiriki wa shindano hilo. 

Finland ni nchi ambayo ina baridi kali, jua huonekana kwa miezi mitatu pekee katika mwaka mzima na katika sehemu za kaskazini jua huzama kwa siku 73 mfululizo bila kuchomoza katika kipindi cha kiangazi na huchomoza kwa siku 51 bila kuzama katika kipindi cha masika. 

Picha ya Ali Kiba na Mkewe, Wadau Wanadai Ameshanasa

$
0
0

Picha ya Ali Kiba na Mkewe, Wadau wale wajuzi wa Mambo Wanadai Ameshanasa Ujauzito...Je Wewe unaonaje?

Papii Kocha "Sipendi Wanawake Weupe"

$
0
0

"Wanawake weupe hata wanitongoze kwa aina gani huwa siwezi kuwaelewa maana rangi nyeupe sio ugonjwa wangu" ***Ameyasema hayo Papii Kocha kuhusu wanawake weupe

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Wanawake Wanaojiona Warembo Sana Uishia Kusimamia Harusi za Wenzao Wengi Hawaolewi

$
0
0
Nimeenda harusi nyingi wanawake wanaoolewa ni wale wa kawaida na wenye kujitambua,hawa wanaojiita warembo wengi wao hawaolewi na huishia kusimamia harusi za wanawake wenzao tu.

Pia wengi huishia kuwa nyumba ndogo,sababu kuu zinazofanya wasiolewe ni wengi wanakuwa wanataka kuishi maisha ya tamthilia za ng'ambo anataka mwanaume tajiri awe mtanashati sana.

Pia wanapenda sana matumizi makubwa story zake ni kuhusu matumizi ya hanasa,wanaume wengi ushtuka na kuishia ku hit na kusepa.

Hawaridhiki anakuwa anajiona mzuri sana hivyo mkikorofishana kidogo na akatongozwa nje basi uishia kwenda nje. Wengi huishia kutumiwa tu na kuachwa kwa sababu ya tabia zao na tamaa.

Serikali imefunga migodi 2 ya dhahabu

$
0
0

MBEYA: Serikali imefunga migodi 2 ya dhahabu baada ya kubaini kuwa inaendesha shughuli zake bila kufuata sheria wala kanuni za mazingira

Migodi hiyo pia inaelezwa inahatarisha usalama wa mali na maisha ya wananchi katika kata ya kiwanja wilayani Chunya.

Migodi yote miwili mbali ya kuharibu mazingira pia imebainika kuwa haina cheti cha tathimin ya mazingira kutoka baraza la usimamizi wa mazingira NEMC

Pia migodi hiyo imegundulika kuwa haina cheti cha mamlaka ya usalama mahali pa kazi na kusababisha uharibifu wa vyanzo vya maji na mali za Watu

Napata wakati mgumu kupata mwanamke wa kuoa Bongo – Juma Sharobaro

$
0
0
Juma Sharobaro amefunguka kwa kudai kwamba atachelewa kuoa nchini Tanzania kutokana wasichana wengi ambao anakutana nayo wana inye kubwa kitu ambacho haendani nacho.

VIDEO:

Bongo5

Rais Magufuli Awaongoza Watanzania Kupokea Boeing 787-8 Dreamliner

$
0
0

RAIS Dk.John Magufuli amewaongoza viongozi wa ngazi mbalimbali pamoja na Watanzania kupokea ndege mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 262 aina ya Boeing 787-8 Dreamliner ambayo imetua katika ardhi ya Tanzania saa 11.25 jioni.

Ndege hiyo kabla ya kutua ilichukua dakika kadhaa ikionekana katika anga la Tanzania huku Rais Magufuli  na Watanzania kwa ujumla wakiishangilia wakati inashuka.

Mbali na Rais Magufuli pia alikuwepo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan , Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wa ngazi mbalimbali.

Baada ya ndege hiyo kutua ilipata heshima ya kumwagiwa maji kama ishara ya kuipokea rasmi.

Ndege hiyo ambayo ni kubwa na ya kisasa baada ya kupata heshima ya kumwagiwa maji kama ishara ya kuikaribisha ilikwenda eneo maalumu ambalo Rais amewaongoza Watanzania wengine kuipokea.

Baada ya ndege hiyo kusimama rasmi ulifunguliwa mlango ili waliokuja nayo washuke ambapo mlango ulifunguliwa saa 11:38 ambapo marubani walioleta ndege walikuwa wa kwanza kushuka huku wakipunga mkono.

Rais Magufuli aliipokea ndege hiyo kwa kukata maalumu kama kiashirio cha kuipokea rasmi ndege hiyo.

Hivyo waliokuja na ndege hiyo waliikabidhi kwa Rais ambapo alikatata utepe huo kushiaria kuipokea.

Rais Magufuli baada ya kuipokea aliingia ndani ya ndege hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa ujio ndege ni heshima na ni mali ya Watanzania na kuwataka wananchi watangulize maslahi ya Tanzania na kwamba tabia ya wizi, dhuluma haina nafasi na wengi.

Amesema hapo zamani katika shirika hilo kulikuwa na mambo ambayo hayakuwa na maana na ndio maana ndege hizo ni mali ya Serikali na ATCL wamekodishiwa.

“Tumeona mkono wa Serikali uingie ili kila kinachoingia tukione.Watanzania wengi wanaunga mkono na wale wachache ambao hawaungi mkono Mungu atawaumbua,”amesema Rais Magufuli.

Kwa upande wa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwa ndani ya ndege hiyo amesema ni fahari kubwa kwani ni mali ya Watanzania.

Amesema wakati Rais anahimiza watu kubana matumizi wengi walikuwa hawamuelewi lakini sasa wanaona yanayofanyika.

Wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa ndani ya ndege hiyo amesema Rais anayo nia ya dhati ya kuleta maendeleo na kwamba kauli mbiu ya Hapa Kazi Tu imesababisha ujio wa ndege hiyo.

“Rais anahimiza watu kufanya kazi na matoke yake watu wanafanya kazi na kulipa kodi ambayo ndio imesababisha kununulwa kwa ndege hiyo na nyingine,”ameema.

Rais Magufuli asema wasiofurahia Serikali Kununua Ndege ya Dreamliner Watapata Tabu Sana

$
0
0
Rais John Magufuli amebainisha sababu za kununua ndege ikiwa ni pamoja na kujenga heshima na kulinda hadhi ya Taifa.

Amesema ilikuwa aibu kwa Tanzania, nchi yenye idadi ya watu zaidi milioni 50 kutokuwa na ndege.

Pia, amesema Watanzania wengi wamefurahia ujio wa ndege hiyo na kwamba, kama wapo ambao hawajafurahia basi watapata tabu sana.

Dk Magufuli amesema hayo leo Julai 8, 2018 akipokea ndege aina ya Boeing 787- 8 Dreamliner iliyowasili saa 11:15 jioni.

Amesema ununuzi wa ndege hiyo ni jitihada za Watanzania wote ambao wanalipa kodi.

Rais ametaja sababu nyingine kuwa ni kuboresha huduma ya usafiri wa ndege nchini kwa sababu Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) lilikuwa na ndege moja pekee yenye uwezo wa kubeba abiria 51.

Amesema Watanzania wengi hawatumii usafiri wa ndege lakini haimaanishi kwamba hawapendi kutumia aina hiyo ya usafiri.

“Hawatumii kwa sababu ndege zilikuwa zinakwenda miji mitatu pekee, lakini sasa wanatua kwenye miji 12," amesema Rais Magufuli.

Amesema pia gharama zilikuwa kubwa, hivyo ujio wa ndege hiyo utapunguza gharama za usafiri na wananchi wa kawaida wataweza kusafiri.

Rais Magufuli amesema sababu nyingine ni kukuza sekta ya utalii nchini.

"Tunataka tuwe tunafanya safari za kimataifa. Ninaamini tukianza na ndege hii na ile nyingine ikija, ni wazi kwamba idadi ya watalii nchini itaongezeka," amesema.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi amesema ununuzi wa ndege una manufaa makubwa ambayo ni pamoja na kuimarisha mtandao wa usafiri nchini.

"Ndege hizi zitaimarisha biashara, uwekezaji na utalii nchi. ATCL zitunzeni ndege na muweke mipango mizuri ya biashara na kuilipa serikali fedha za ukodishaji kwa mujibu wa mkataba," amesema Balozi Kijazi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Leonard Chamliho amesema ndege ya Dreamliner itaanza safari katika miji ya Dar es Salaam, Kilimanjaro na Mwanza ili kuwapa uzoefu marubani.

Amesema Septemba, 2018 ndege hiyo itaanza kwenda Bombay (India), Bangkok (Thailand) na Guangzhou (China).

Pia, amesema wameanza mchakato ili ndege hiyo iwe inatua Uingereza.

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.


Rais Magufuli Kampa Ujumbe Mzito Balozi wa Marekani " Wambie Boeing Wakamilishe Haraka Ndege Yetu ya Pili, Pesa Ipo"

$
0
0

Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Balozi wa Marekani afikishe salamu zake kwenye Kampuni ya ndege ya Boeing kuwa wakamilishe haraka ndege ya pili inayotakiwa kufika Tanzania kwa kuwa hela za kulipia zipo.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo  katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, wakati wa sherehe za kupokea ndege mpya ya Boeing 787-8 Dreamliner  iliyowasili leo kutokea Seattle nchini Marekani.

"Ndege hizi ni matokeo ya Watanzania kulipa kodi na kuchapakazi. Nawapongeza wote walioshiriki kikamilifu. Ndege zote hizi tumenunua kwa fedha zetu wenyewe, hatujakopa kwa mtu. Tunataka Balozi wa Marekani utufikishie salam Boeing kuwa ile Dreamliner ya pili waikamilishe haraka, hela tunazo" - Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli ameongeza kwamba "Madai kuwa Watanzania wengi  hawafaidiki na ndege hayana msingi. Wapo wengi wanaohitaji ndege bei ilikuwa juu. Ndege hii imewafurahisha wengi na kama yupo mtu hajafurahia tukio hili basi huyo atapata tabu sana!-Rais Magufuli

Pamoja na hayo Rais amefafanua kuwa ndege hiyo imeletwa ili iweze kuimarisha na kuongeza mapato ya utalii nchini kwa kuwa 70% ya watalii wanatumia ndege.

Mh. Rais amesisitiza kwamba "Ukiongeza ndege wasafiri wanaongezeka. ATCL imeongeza wasafiri kutoka 4000 kwa mwezi mpaka 21,000 kwa mwezi. Tunaboresha usafiri wa reli, majini na barabara. Waliodhani kuwa maboresho ya Bandari hayana tija sasa wameaibika".

Vita ya Rais Durtete na Wakatoliki yapamba moto Ufilipino

$
0
0
Ikiwa ni wiki mbili zimepita tangu Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte kutamka kwa kinywa chake kuwa Mwenyezi Mungu ni ‘Mpumbavu’ sasa ameibuka na jipya lingine la kujiuzulu urais endapo wakristo nchini mwake watamuonesha picha ya selfie waliyopiga wakiwa na Mungu.

Rais Duterte ambaye amekuzwa na kanisa Katoliki amesema kuwa hakuna Mungu na hata kama angekuwepo hana msaada wowote kwa Wakristo kwani kila siku makanisa yamekuwa yakiongozwa na sadaka zao hivyo haoni kama Mungu wanayemuomba ana msaada wowote.

Akishikilia kauli ya kujiuzulu, Duterte amesema kuwa yupo tayari kujiuzulu urais muda wowote endapo atatumiwa picha ya ‘selfie’ya  Mkristo yoyote yule nchini mwake akiwa amepiga na Mungu ili kuthibitisha uwepo wake.

“Nahitaji shahidi mmoja atakaye niambia ‘Meya’ hawa wapuuzi wanaosali makanisani wameniagiza niende mbinguni nikaonane na Mungu, na hii picha nimekuletea kuthibitisha kuwa Mungu yupo na nimepiga naye selfie hii hapa nimekuletea. bila shaka nitajiuzulu nafasi yangu ya urais.“amesema Durtete alhamisi ya wiki hii kwenye mkutano wa masuala ya mawasiliano na Teknolojia mjini Davao, Ufilipino.

Mwishoni mwa mwezi Juni Rais Duterte alinukuliwa kwenye mkutano huo wa wiki tatu akimtukana Mungu wa Wakristo kuwa ni ‘Mpumbavu’ kwa kile alichokiita kuwa hakutumia akili kumuumba Adam na Eva halafu kuwaweka sehemu moja kama Biblia ilivyoandika.

Duterte amekuwa akilisakama kanisa Katoliki nchini humo kwa kile anachoeleza kuwa haamini Mungu wanayemuamini kama ni Mungu wa kweli ambaye yeye anamuamini.

“Sina imani kama Mungu wao ana msaada wowote, kwani kama kanisa lao lina lengo la kusaidia watu kwanini wanawachangisha pesa kuliendesha?,“amekaririwa Duterte na gazeti la RT.

Rais Duterte ana miaka miwili tu tangu aingie madarakani mwaka 2016 lakini amekuwa mwiba kwa kanisa katoliki ambalo ndio dhehebu lenye waumini wengi nchini Ufilipino ambao wanakadiriwa kuwa milioni 80 kati ya watu milioni 104 ni wakatoliki.

Vita ya Duterte na kanisa katoliki ilianzia mwaka 2016 mapema baada ya kuanza kampeni ya kupiga risasi watu wote wanaojihusisha na madawa ya kulevya ambapo Kanisa Katoliki lilimpinga na kumuita muuaji kwani watu hao walitakiwa wakamatwe na kuchukuliwa hatua za kisheria kama katiba ya nchi hiyo inavyotaka.

Hata hivyo Duterte awali alishawahi nukuliwa akisema kuwa Mungu wa Wakatoliki sio Mungu wa kweli ndio maana wanaruhusu maovu na kuponda baadhi ya maandiko matakatifu kutoka katika Biblia.

Hadi sasa Duterte ameibua mjadala mkubwa nchini Ufilipino na amekataa katu katu kuwaomba radhi wakristo nchini humo na tayari wataalamu wa masuala ya kisiasa wameleeza kuwa rais huyo ana nafasi ndogo sana kushinda uchaguzi  mkubwa ujao.

Duterte alishawahi kutoa matamshi makali kwa Rais Obama mwaka 2016 kwa kumuita kuwa ni mtoto wa kahaba na hana muda wa kukutana naye ingawaje mwaka huo huo walikutana na Obama.

Trump ameshamuonya tayari Duterte kwa kitendo cha kuua watu kiholela lakini hajamjibu mpaka leo. Ufilipino linatajwa kuwa taifa linaloongozwa kidikteta ingawaje rais Duterte amekuwa akiwabeza wanaomuita yeye ni Dikteta.

Ozil ashauriwa na Baba yake kuachana na Ujerumani

$
0
0
Baba wa kiungo mshambuliaji wa Arsenal na timu ya taifa ya Ujerumani, Mesut Ozil amemshinikiza mchezaji huyo kuacha kuchezea timu ya taifa baada ya alichodai kuwa ni mashambulizi ya maneno kutoka kwa mashabiki wa nchi yake .

Mchezaji huyo na mwenzake Ilkay Gundogan waliingia katika sintofahamu na mashabiki wa Ujerumani baada ya kupiga picha pamoja na Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan siku chache kabla ya kuanza kwa kombe la Dunia.

Ozil ana asili ya Uturuki na tukio hilo la kupiga picha lilitafsiriwa kuwa ni la usaliti kwa nchi hiyo na wengi wakimtuhumu kutofanya vizuri katika michezo yote ya kombe la Dunia .

“ Mimi ningekuwa ni yeye, ningesema sasa inatosha na kuachana na timu hiyo “. Amesema Mustafa, Baba wa Mesut Ozil.

“ Amekatishwa tama, ndiyo amekatishwa tama na mashabiki wake kabla ya kombe la Dunia wakiwa Austria, na hakujua ni sababu gani . Amecheza timu ya taifa kwa miaka 9 na muda wote imekuwa ikisemwa kwamba timu ikipoteza basi wachezaji wote wamepoteza, lakini sasa timu ikipoteza basi Ozil peke yake ndiye aliyewapoteza “.  Ameongeza Mustafa.

Ujerumani iliondolewa katika hatua ya makundi ya kombe la Dunia baada ya kushinda mchezo mmoja pekee dhidi ya Sweden huku ikufungwa 1-0 na Mexico katika mchezo wa kwanza na kufungwa mchezo wa mwisho wa hatua hiyo 2-0 dhidi ya Korea Kusini.

Rally alimtaja mamaye Diamond kama mkewe huku akiadhimisha siku ya kuzaliwa

$
0
0

- Rally alimtaja mamaye Diamond kama mkewe huku akiadhimisha siku ya kuzaliwa

- Kauli yake iliwaacha wengi na maswali wengine wakishangaa iwapo alikuwa amefunga pingu za maisha na mamaye Diamond

Rally Jones, mpenzi wa mamaye msanii wa Tanzania Diamond Platinumz, Sandrah amewaacha wengi vinywa wazi kwa kumtaja kama mkewe.

Kupitia kwa ukurasa wake wa Instagram, Rally ambaye amejulikana kama mpenziwe Sandrah aliichapisha picha akiwa amemshika mkono mamaye Diamond na kubainisha jinsi alivyojawa furaha kuhusu uhusiano wao.

Wawili hao wamekuwa katika uhusiano wa kimapoenzi kwa muda. Picha: Iamrallyjones/Instagram

Rally alitayafanya matangazo hayo Jumamosi, Julai 7 huku akimtakia Sandra heri njema akisherehekea siku yake ya kuzaliwa.

‘’ Nafurahi sana kuwa na mwanamke spesheli kama huyu maishanai mwangu. Noamba Mungu akujalie maisha marefu. Happy Birthda mke wangu mama Dangote. Nakupenda,’’ aliandika.

Rally Jones alieleza kuwa alikuwa na furaha kuwa naye. Picha: Iamrallyjones/Instagram Source: Instagram

Kauli ya Rally inajiri miezi michache baada ya wawili hao kukiri kuwa walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi.

Uhusuano wao uliibua hisia kali awali, wengi wakidai kuwa mamaye Diamond aamemzidi Rally umri.

Licha ya kukashifiwa vikali, walijitia hamnazo na kuendelea na uhusiano wao.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 9

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 9
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live




Latest Images