Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104657 articles
Browse latest View live

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi


Kwanini Mwanaume Hufa Mapema Kuliko Mwanamke??

$
0
0
Nimetafakari mwenyewe naona kama majibu hayakuji, au kuna maandiko pengine yanasema mwanaume atakufa mapema kuliko mwanamke?

Kuna wengine nimepata kusikia wanasema eti mwanaume akipiga bao moja anapoteza dakika 3 za kuishi na wanasema hiyo ni kisayansi naamini humu wanasayansi wapo wengi watanitoa tongo tongo.

Ukitazama katika jamii wanawake waliofiwa na waume zao ni wengi kuliko wanaume waliofiwa na wake zao, hiyo imekuwa kama kawaida hivi hata wanawake katika kusisitiza waume zao kuwekeza katika assets huwa wanatumia msemo wa "Baba chanja kuna Leo na kesho usijetuacha tukawa tunateseka". Sasa hebu tuambiane ni kisayansi, kimaandiko au ni mazingira yanapelekea mwanaume anakufa mapema kuliko Mwanamke????

Karibuni kwa hoja

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Ajali: Basi la Dar Express Lililokuwa Likitokea Arusha Lateketea kwa Moto

$
0
0
Ajali: Basi la Dar Express Lililokuwa Likitokea Arusha  Lateketea kwa Moto
Basi la Kampuni ya Dar Express likitokea Arusha kwenda Dar es Salaam limeteketea kwa moto usiku huu wa Jumapili, Julai 8, 2018 katika eneo la Bunju Mwisho.



Aidha, chanzo cha moto huo hakijajulikana lakini pia hakuna taarifa za majeruhi wala vifo vilivyoripotiwa kutokana na ajali hiyo.

Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo amesema abiria waliwahi kushuka mara baada ya kuona dalili za moto ukiwaka kwenye taili la nyuma.



Kocha wa Hispania Ajiuzulu Baada ya Kuondolewa Kombe la Dunia

$
0
0
Kocha wa Hispania Ajiuzulu Baada ya Kuondolewa Kombe la Dunia
KOCHA wa Timu ya Taifa ya Hispania, Fernando Hierro (50) ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo ikiwa ni siku chache baada ya timu hiyo kuondoshwa katika michuano ya Fainali za Kombe la Dunia 2018, zinazoendelea nchini Urusi.



Hierro amefikia uamuzi huo ikiwa ni ikiwa hata mwezi mmoja haujatimia tangu Juni 13, 2018 alipoteuliwa kuwa kocha wa muda baada ya kocha wa taifa hilo Julen Lopetegui kufutwa kazi siku m oja kabla ya kuanza michuano hiyo kufuatia kutangazwa kwake kuwa Kocha wa Klabu ya Real Madrid.



Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka la Uhispania, Hierro ambaye ambaye aliwahi kuichezea Madrid amekataa kurejelea katika wadhifa wake wa wa zamani wa mkurugenzi wa michezo, badala yake ameamua kutafuta mambo mengine ya kufanya.


Hata hivyo, Hispania ambao ni mabingwa hao wa Kombe la Dunia wa mwaka 2010 waliondolewa kwenye michuano hiyo kupitia mikwaju ya penalti na wenyeji Urusi hatua ya 16 bora.



Lopetegui aliteuliwa kuwa Kocha wa Hispania mwaka 2016 baada ya kustaafu kwa Vicente del Bosque na alikuwa hajashindwa hata mechi moja kufikia wakati wa kuondoka kwake. Alifutwa kazi siku mbili kabla ya mechi yao ya kwanza dhidi ya Ureno baada yake kutangazwa kuwa Kocha mpya wa Real Madrid, wadhifa uliobaki wazi baada ya kujiuzulu kwa Zinedine Zidane.



Uhispania waliongoza Kundi B chini ya Hierro katika Kombe la Dunia. Hata hivyo, walikuwa wametoka sare ya 3-3 dhidi ya Ureno baada ya kufungwa dakika za mwisho, na walikuwa nyuma 2-1 dhidi ya Morocco kabla ya kusawazisha dakika za mwisho.



Baada ya kutupwa nje kwao Urusi, Hierro alisema aliamua kuwajibika kutokana na kushindwa kwao kusonga.

“Tulijitolea kadiri ya uwezo wetu lakini hii ni soka, sifikiri unaweza kuzungumzia kuhusu timu kusambaratika au kuporomoka. Kuna mstari mwembamba sana kati ya kushinda na kushindwa,” alisema.

Mainda Adai Mitandao Imeharibu Msiba wa Patrick

$
0
0
Mainda  Adai Mitandao Imeharibu Msiba wa Patrick
MKONGWE kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kwa uchungu kuwa, kama sio timu za kwenye mitandao ya kijamii hususan Instagram, mtoto wa muigizaji Rose Alphonce ‘Muna’, Patrick angezikwa vizuri bila kutokea figisu zilizotokea.

Akizungumza hivi karibuni akiwa msibani Mwananyamala-Kisiwani jijini Dar, Mainda alisema anaamini watu wa mitandaoni wamechangia kwa kiasi kikubwa kuweka taarifa za upotoshaji kati ya Muna na mumewe Peter ambazo zimesababisha wawili hao washindwe kuelewana haraka.


“Jamani hivi ni vitu gani? Ndiyo maana mimi sipo kwenye mitandao nina sababu kubwa sana. Kuna upotoshaji wa hali ya juu na kama isingekuwa mambo ya matimu haya kusingetokea mvutano mkubwa uliokuwepo na kusababisha mambo mazito kwenye msiba wa mtoto asiyekuwa na hatia kabisa,” alisema Mainda huku akilia.


Mwili wa Patrick ulipumzishwa katika makazi yake ya milele juzi Jumamosi kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Kocha Kim Poulsen Aachia Ngazi Timu ya Vijana

$
0
0
Kocha Kim Poulsen Aachia Ngazi Timu ya Vijana
Kocha Kim Poulsen ameamua kuachia ngazi timu ya vijana, ambapo alikuwa mshauri wa timu za vijana nchini kufuatia kukumbana na changamoto mbalimbali licha ya kufanya kazi hiyo kwa kipindi kirefu.

Kim ambaye amekuwa msaada mkubwa ndani ya timu za taifa za vijana hapa nchini ajira ambayo alipewa na Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) ameamua kuachia ngazi nafasi hiyo ambayo ameitumikia tangu mwaka 2016.

Kim Poulsen ambaye ni raia wa Denmark ameanza kazi hapa nchini akiwa kocha mkuu wa timu za vijana mwaka 2011 na kupandishwa kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa (Taifa Stars) mwezi Mei mwaka 2012 aliporithi mikoba ya Jan Poulsen.

Licha ya mkataba wa Kim kukatishwa mwaka 2014 ulipofika mwaka 2016 akawa mshauri wa ufundi kwa kushirikiana na aliyekuwa kocha wa Serengeti Boys, Bakari Shime na kuiwezesha Tanzania kucheza fainali za Afrika ikiwa ni kwa mara ya kwanza nchini Gabon mwaka 2017.

Kagere Aweka Wazi Malengo Yake Simba

$
0
0
Kagere Aweka Wazi Malengo Yake Simba
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Meddie Kagere, raia wa Rwanda, ameweka bayana kuwa malengo yake ya kwanza ndani ya timu hiyo ni kutaka kupambana kuona wanatwaa taji la Kagame Cup ambapo hadi sasa, kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Masoud Djuma, kipo hatua ya robo fainali ambayo walicheza jana Jumapili.



Kagere aliyejiunga na Simba hivi karibuni akitokea Gor Mahia ya Kenya, tayari ameonyesha makeke yake baada ya kufunga mabao mawili kwenye michua­no hiyo ya Kagame Cup. Mabao hayo aliyafunga dhidi ya APR na Singida United. Jana Jumapili Simba ilikuwa na kibarua cha kuvaana na AS Port ya Djibouti katika pambano la robo fainali lililopigwa saa 1 usiku katika Uwanja wa Taifa jijini Dar.



Mshambuliaji huyo ambaye ali­jenga pacha ya hatari na Jacques Tuyisenge wakati akiwa Gor Mahia ameliambia Championi Jumatatu, kuwa anajipanga kikamilifu katika kila mchezo ambao anashuka uwanjani ku­jitoa na kuipambania timu hiyo ipate ushindi kwa ajili ya kufikia malengo yake ya kutwaa ubingwa wa kombe hilo.



“Kwangu huu ni mtihani wa kwanza ambao ninatakiwa kufanikisha ninautatua, najua mashabiki wao wana kiu ya kuona kwamba tunachukua ubingwa lakini sisi tunasema kwamba tutaendelea kupam­bana kwa nguvu kwenye kila mchezo ambao tutashuka uwanjani.

“Mimi kwangu nitajitoa kwa kufunga kila nitakapopata nafasi ya kufunga uwanjani, hapa ndipo sehemu yangu ya kazi hivyo ni lazima nijitoe kwa kiasi kikubwa kufanikisha kila ambacho tutakuwa tunag­ombania ukiwemo ubingwa huu ambao upo mbele yetu,” alisema mshambuliaji huyo.

Kigwangalla Awasimamisha Kazi Maofisa na Askari Wanyamapori 27

$
0
0
Kigwangalla Awasimamisha Kazi Maofisa na Askari Wanyamapori 27
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, amewasimamisha kazi Maofisa na Askari Wanyamapori wote 27 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania, TAWA ,katika Pori la Akiba Uwanda akiwemo Kaimu Meneja, Lackson Mwamezi kwa kushindwa kusimamia vizuri pori hilo.

Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku tatu tangu amsimamishe kazi Meneja wa Pori hilo, Mark Chuwa kwa tuhuma kama hizo pamoja na tuhuma nyingine ikiwemo kushindwa kuondoa ngo'mbe zaidi ya 12,000 ambao wamedaiwa kuwepo ndani ya pori hilo.

Amefafanua kwamba, tuhuma hizo kuwa ni pamoja na kudaiwa kujihusisha na vitendo vya kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa wavuvi wanaovua samaki Ziwa Rukwa kwa kuwatoza kila mmoja Shilingi 100,000 kwa mwezi na kuruhusu mifugo kuchungwa hifadhini kwa kipindi cha miezi mitatu ambapo kila mfugaji hutozwa kati ya Shilingi milioni sita hadi saba.

Wakati huo huo, Dk. Kigwangalla ametoa siku 30 kwa wananchi wote wenye mifugo ndani ya pori hilo kuitoa kwa hiari yao wenyewe kabla ya operesheni maalum itakayowaondoa kwa nguvu.

Pori la Akiba Uwanda lipo katika Bonde la Ziwa Rukwa katika Wilaya ya Sumbawanga Mkoani Rukwa na linasimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania, TAWA.

Mpenzi wa Sasa wa Muna Joel Lwaga Amuomba Radhi Mama Yake Muna

$
0
0
Mpenzi wa Sasa wa Muna Joel Lwaga Amuomba Radhi Mama Yake Muna
UBUYU nao una nafasi yake kwenye jamii na ndio maana hakuna ambaye anauchukia! Baada ya mvutano wa hapa na pale kuhusiana na nani ni baba wa halisi wa mtoto Patrick ambaye kwa sasa ni marehemu na wapi msiba ufanyike, imedaiwa kuwa mpenzi wa sasa wa mama wa mtoto huyo, Rose Alphonce ‘Muna’, Joel Lwaga, amemuangukia mama yake mzazi, Ritha Moyo na Muna kumuomba radhi.

Chanzo chetu makini ambacho kipo ndani ya familia kilieleza kuwa, baada ya kuzuka mambo mazito kwenye mitandao ya kijamii, mpenzi huyo mpya wa Muna, ambaye ni muimbaji maarufu wa Injili alimpigia simu mama huyo akiwa Nairobi na kumuomba samahani kwa kuwa hakujua kama Muna alishaolewa kabla yake.

“Lwaga alimpigia simu mama yake Muna na kumuomba radhi kwa yote yaliotokea kwa kuwa hakuwa anajua kuwa kama Muna, alishaolewaga hivyo alimuomba wangeongea zaidi baada ya kumalizika kwa msiba wa mtoto,” kilieleza chano makini.

MSIKILIZE MAMA

Baada ya kupata ubuyu huo, Ijumaa Wikienda lilimfuata mama wa Muna na kuzungumza naye alipokuwa msibani ambapo alikiri kupigiwa simu na Lwaga ila aliomba aachwe kwa kipindi hiki cha majonzi.

“Siwezi mimi sasa hivi kuzungumza chochote lakini simu alipiga (Lwaga) ila siwezi kuweka wazi kitu chochote kwa sasa,” alisema mama huyo.



Baada ya kuzungumza na mama huyo mzaa chema, Ijumaa Wikienda lilijaribu kuzungumza na mume halali wa Muna, Peter Zacharia ambaye alikiri kuhusu ishu ya Lwaga kumpigia simu mama yake Muna.

Ijumaa Wikienda: Kuna tetesi kuwa Joel alipiga simu na kumuomba radhi mama wa Muna kuwa hakujua kama alishaolewa na ana mume halali wa ndoa unazungumziaje hilo?

Peter: Ni kweli hata mimi nilisikia amepiga lakini mimi sikufuatilia kwa sababu na mimi nilikuwa kwenye mihangaiko ya kumpumzisha mwanangu.


Gazeti hili baada ya kuzungumza na baba wa marehemu Patrick, lilimtafuta Lwaga ambapo alipopatikana aliomba aachwe, hawezi kuzungumza chochote.

“Niachwe kwanza jamani kwa kipindi hiki siwezi kuzungumza chochote,” alisema Lwaga.

GPL

Tengeneza Shape na Kuimarisha Nguvu za Kiume kwa Kutumia Natural Beuty Products

$
0
0
Katika kusherehekea miaka 15 ya kampuni ya NATURAL BEAUTY PROD tunatoa shukrani za dhati sana kwa wateja wetu wote kwa kutuunga mkono miaka yote hiyo.
TUNATOA OFFA YA WIKI NZIMA KWA WATEJA WETU UKINUNUA BIDHAA UTAPATA PUNGUZO LA 20%. KWA WATEJA WA MIKOANI UTATUMIWA BURE.

Ni bidhaa salama kabisa zilizotengenezwa kwa mimea na matunda pia zina matokeo mazuri na kwa haraka zaidi.



1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @220,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @180,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @140,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @210,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/=
11.YODI PILLS--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza (hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-

@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod

Dalili Kuu 7 zinazoonyesha mtu Ambaye Atachelewa Sana Kufanikiwa

$
0
0
1. Siku zote ana pesa za kununua vocha na kuweka vifurushi,ana pesa za kununua nguo  lakini hana PESA za kununua kitabu kitakachomuongezea maarifa.

2. Siku Zote ana muda wa kuchart watsapp, kuangalia Movie, kusoma magazeti na Kupiga stori za mpira ama za wasanii lakini hana MUDA wa Kusoma kuhusu taaluma yake ama mambo ya kumuongezea ujuzi.

3. Siku zote akiona waliofanikiwa anawatuhumu aidha wameiba, ni freemason ama wana bahati katika maisha. Huwachukia na hataki kujifunza Kwao.

4. Siku zote hupenda kuhalalisha kufeli kwake kwa kujitetea, kulaumu uchumi, wazazi, serikali au amerogwa.

5. Siku Zote Hujiona anajua Kuliko Mtu Yeyote Yule na hapendi Kujifunza kwa wengine. Huongea sana Kuliko Kusikiliza.

6. Kila anachoingiza anatumia, ukimwambia kusave ama kuwekeza anasema ngoja nipate cha ziada nitaanza kesho.

7. Anajua mambo mengi sana, anajua stori za mafanikio, anasoma vitabu lakini hafanyii kazi ama anafanyia kazi kidogo sana katika kile anachokijua.

Je Unayo dalili mojawapo kati ya hizo? Amua kubadilika ishi au fanya ukijua kesho ipo ....

NDOTO YAKO INAWEZEKANA, CHUKUA HATUA.

Fahamu Historia ya Condom..Ilipoanzia na Jinsi Ilivyogundulika na Kuanza Kutumika kwa Mara ya Kwanza..!!!

$
0
0
KONDOMU ni kifaa/ zana iliyotengenezwa mahususi kuvalisha uume au kuwekwa ukeni wakati wa kujamiiana.Nazo hubana kutokana na umbile la uume au uke.

Kondomu hizi zipo za aina tofauti kutokana na muda na vipindi zilipotengenezwa, nazo ni kama ifuatavyo:-

Awamu ya I – zilizotengenezwa kwa mimea.

Hizi zilitengenezwa mahususi kama kinga dhidi ya maambukizo ya vimelea vya ugonjwa wa kaswende [ugonjwa wa kifaransa]

Awamu ya II – kutokana na utumbo wa kondoo.

Dr. Condom alifahamika kama mgunduzi wa kondomu hizi, naye alikuwa ni dakatari wa Mfalme Charles II.

Alimshauri Mfalme kutumia kama kinga kutokana na magonjwa ya zinaa kutokana na tabia yake ya kuwa na wanawake wengi nje ya ndoa yake.

Awamu ya III – kutokana na mpira

Hizi zilitengenezwa kwa urahisi na kwa wingi na zikawa ndizo pekee zenye uwezo wa kudhibiti mimba hadi miaka ya 1960 vilipogunduliwa na vidonge vya majira.

JE KONDOMU NI SALAMA?

Tunaelezwa kuwa kondomu hutengenezwa kwa ustadi mkubwa kiasi kwamba haziwezi kuruhusu kitu chochote kupita.

Lakini tafiti mbalimbali zilizofanyika zinaonyesha kuwa kondomu zaweza kuvuja kutokana na mazingira halisi ya utengenezaji wa latex.

Wengine wanadai kuwa ili kuzifanya imara, kondomu zimetengenezwa kwa kupishanisha pande mbili ili kuziba udhaifu wa kila upande.

Hata hivyo watengenezaji wanasahau kuwa mazingira ya matumizi ya kondomu katika ngono hayalingani na majaribio waliyofanya ya kujaza maji au hewa ili kupima kama maji na hewa vinapita.

Katika tendo la ngono ipo misuguano ya namna mbalimbali inayosababisha kubadilisha mazingira ya kondomu na kuidhoofisha.

Kutokana na tafiti hizo imefahamika kuwa kondomu hazina uwezo wa kuzuia mbegu za kiume kupenya wakati wote.

Upana wa kipenyo cha mbegu ni makroni 5 wakati upana wa kipenyo cha kirusi cha ukimwi ni makroni 0.1

Kwa maneno mengine mbegu ya kiume ni kubwa mara 50 ya kirusi cha ukimwi.

Vile vile tafiti zimeonyesha kuwa kondomu haina uwezo wa kuzuia maambukizo ya magonjwa ya zinaa vikiwemo virusi vya ukimwi kwa kiwango cha asilimia mia moja.

Hivyo tunaweza kusema kuwa, kondomu si salama kwa asilimia mia moja.

Kondomu zina kiwango cha kushindwa cha kati ya asilimia 10 na 15 na wengine wanasema hata asilimia 20.

Wasambazaji na wahamasishaji wa matumizi ya kondomu hawapendi kusikia ukweli huo na wanafanya jitihada kubwa ya kuficha ukweli huo.

Matangazo yatolewayo kupitia mabango ya barabarani, katika televisheni, radio na hata magazeti yanawarubuni watu yakiwaaminisha kuwa kondomu humkinga mtumiaji kwa kiwango cha asilimia 100%

Huko ni kukengeusha ukweli na kukiuka maadili ya kitaaluma.

Wengi kama sio wote wateteao matumizi ya kondomu hufanya hivyo kwa sababu ya maslahi ya kifedha na kibiashara.

Tukiongozwa na dhamiri safi, lazima tukiri ukweli uliopo na tuwaeleze watumiaji, ili tusijekuwa sababu ya kifo chao.

Kila kondomu inaposhindwa [itumikapo] kama kinga dhidi ya maambukizo ya virusi vya ukimwi ] humaanisha kifo.

Udhaifu wa kondomu Kiufundi,Matumizi, Kimazingira

Udhaifu wa kiufundi

Wasambazaji wanatueleza kuwa kondomu zilizotoka kiwandani zikiwa na ubora unaotakiwa zikitumika wakati wote na kwa usahihi zina uwezo wa kukinga kwa kiwango hadi cha asilimia 97.

Zisipotumika vizuri zina kiwango cha kushindwa cha asilimia 14.

Kiwango cha kushindwa kwa kondomu kuzuia maambukizo ya magonjwa ya zinaa hutofautiana kutokana na aina ya magonjwa ya zinaa.

Kondomu zaweza kuzuia kwa kiwango fulani maambukizo ya magonjwa ya zinaa yanayosafiri kwa njia ya ute, lakini haziwezi kuzuia magonjwa ya zinaa yanayoambukizwa kwa mgusano wa mwili kama vile "herpes" na "human papillomavirus"; au magonjwa yanayoambukizwa kutokana na vidonda au malengelenge yaliyoko kwenye via vya uzazi kama vile kaswende.

Hali hiyo inatokana na:

Watengenezaji wameruhusu udhaifu wa kiufundi kama zao la kiwandani lililotengenezwa na kazi ya mikono ya binadamu [acceptable quality limit] kwa kiwango Fulani kwa nchi mbalimbali.

Mfano, Marekani kiwango kilichokubaliwa ni asilimia 99.6 kwa kutoruhusu kondomu kuvuja.

Uingereza asilimia 97, Uholanzi asilimia 96. 5. Hivyo katika kila idadi ya kondomu itumikayo kwa wakati mmoja kuna kiwango cha kuvuja kati ya asilimia 0.4 (USA); 3% (Britania); 3.5% (Holland).

Kondomu huzeeka

Kwa kadiri zisivyotumika kwa muda mrefu ndivyo hivyo zinaaendelea kuzeeka.

Kwa hiyo mtumiaji kondomu wa miaka 3 au 4 baada ya kondomu hiyo kutengenezwa yumo katika hatari zaidi kuliko anayetumia kondomu mara tu baada ya kutoka kiwandani.

Utafiti mmoja umeonyesha kuwa kiwango cha kupasuka kwa kondomu kiliongezeka kutoka 3.6% kwa kondomu mpya hadi 18.6% kwa kondomu zilizotumika miaka kadhaa baadaye.

Kondomu hupasuka.

Kiwango cha kupasuka hutegemea aina ya kilainisho kilichotumika na aina ya kondomu. Kwa mujibu wa tafiti 15 zilizofanywa na "Contraceptive Technology" yalionyesha kuwa katika kondomu 25,184 zilizotumika 4.64% zilipasuka.

Ingawaje kondomu za latex zinaonekana kuwa na kiwango kidogo sana cha kupitisha virusi vya ukimwi, hatari kubwa ya matumizi yake imo katika uwezekano wa kondomu kupasuka, kuteleza na kuteleza.

Kwa hiyo hata kama ni virusi vichache tu vinaweza kupenya, kiwango cha maambukizo kitakuwa kikubwa kadiri kondomu zinavyosambazwa kwa wingi na kadiri watu wanavyojihusisha na vitendo vya ngono wakiamini katika matumizi ya kondomu.

Udhaifu katika matumizi

Matumizi mabaya: yaani kutovaa vizuri, kuvaa nje ndani, aina ya ngono, urefu wa muda wa ngono, pia kutokana na uelewa mdogo hasa kwa wasojua kusoma na kuandika na wale wakaao mbali na mijini.

Kuteleza na kuvulika kutokana na hali ya uume kuwa mdindifu au la; upana au wembamba; mrefu au mfupi.

Pia kutokana na tendo la ngono na hali ya mtumiaji na mazingira ya matumizi.

Kutokana na umri wa mtumiaji, kama ni mtoto, kijana, mtu mzima au mzee.

Kutumia kondomu ambazo muda wake umepita. Mfano wanaotumia gizani , katika hali ya ulevi, kutokujua kusoma, kuchunguza na kugundua kama muda wake umepita.

Mazingira ya kingono yakishawekwa, watu wanatawaliwa na mihemuko ya juu ya ngono kiasi kwamba hawawezi kuchunguza tarehe ya ukomo wa matumizi ya kondomu.

Ingawa watengenezaji wanashauri kutotumia kondomu iliyobadilika rangi au iliyokauka, tabia za watumiaji hazina nafasi ya kuzingatia ushauri huo.

Lengo la mtumiaji laweza kusababisha matumizi kuwa mabaya. Mtu mwenye virusi vya ukimwi, anajiwekea lengo kwamba hataki kufa peke yake, atafanya jitihada za kutokutumia vizuri ili mwenzake [ambaye anaamini hajaambukizwa] aweze kuambukizwa ili, "nisife peke yangu".

Vilevile katika siku hizi za dawa za kupunguza makali ya kuzaliana virusi vya ukimwi, mtu anaweza kuonekana mwenye afya nzuri kabisa, na anaweza kumshawishi mwenzake kuachana na kondomu kwa vile "wanaaminiana".

Kwa hiyo mambukizi yanaweza kuwa makubwa kutokana na kutowadhibiti wale waliokwisha ambukizwa.

i.Udhaifu wa kimazingira

Huu unatokana na hali zifuatazo:- kibinadamu, kimaumbile na Kibinadamu.

Udhaifu wa kondomu waweza kusababishwa na usafirishwaji, yaani muda unaotumika kusafiri kutoka sehemu zinapotengenezwa hadi mahali zinapotumika;

ii. Kimaumbile
Vyombo vya usafirishaji na usalama wa vyombo hivyo;

Kondomu zinazosafirishwa katika meli, zikiwa baharini kwa miezi kadhaa kabla hazijafika katika nchi lengwa na katika hali ya joto ndani ya makontena zinakuwa na kiwango hafifu katika ubora wake

UMEWAHI Kujiuliza Nini Lengo La Mfuko Mdogo Mbele Ya Suruali Yako Ya Jeans?

$
0
0
Je unaujua mfuko mdogo katika suruali yako ya Jeans? Ndiyo, ule ambao umeshonwa juu kidogo ya mfuko mkubwa wa kulia.

Umewahi hata mara moja kusimama na kujitafakari kwa nini huo mfuko mdogo mbele ya suruali yako ya jeans upo hapo ulipo na nini hasa lengo la mfuko huo zaidi ya pengine kudumbukiza sarafu au jojo ambayo unataka kuja kuitafuna baadae au kuwaza kama ni fasheni tu katika nguo?

Kama hujawahi kujiuliza hilo swali na bado hujui chanzo na lengo la mfuko huo mdogo mbele ya suruali yako ya Jeans usijali kwani  tovuti hii itakueleza chanzo na lengo la mfuko huo.

Mfuko huu ulikuwa unatekeleza jukumu muhimu sana miaka ya nyuma na ndio sababu kubwa iliyopelekea watengenezaji wa suruali za Jeans kuweka mfuko huo juu kidogo ya mfuko wa mbele wa suruali.

“Ni mfuko maalum wa kuhifadhi saa. Ndiyo, inasemekana miaka ya nyuma ya 1,800, watu wengi walikuwa wanapenda kuvaa saa zao katika cheni na kuzifungia katika viuno vyao. Ili kuweza kuweka salama saa zao zisivunjike na kuharibika, Levi, watengenezaji wa kwanza kutengeneza suruali za Jeans wakaamua kuweka mfuko huo mdogo mahali ambapo watu hao wangeweza kuhifadhi saa zao salama na kwa wepesi zaidi.

Hivyo ulianza kama mfuko wa kuhifadhi salama saa za mifukoni, japo baadae ukaanza kupata matumizi mengine kama kuhifadhia sarafu, tiketi za safari, kondomu, na viberiti hasa kwa watumia sigara.

Tangu hapo suruali za Jeans za aina zote zimekuwa zikitengezwa na mfuko huo mdogo bila kujali fasheni iliyopo kwa wakati huo.

Hii Ndio Maana ya Kuning'iniza Viatu Juu ya Nyaya za Umeme

$
0
0
Ushwahi kuona viatu vimening'inizwa juu ya nyaya za umeme hapo mahali unapoishi au mahali popote ulipowahi kutembelea?
Je,unajua ina maana gani?
Usijali tupo hapa kukujuza yote haya.


Kitendo hiki kimetapakaa sana siku hizi za karibuni lakini wengi wetu hatujui maana halisi ya kitendo hiki,hakika kina maana nyinghi tofauti tofauti hivyo huwezi kutafsiri kwa jumla ya vitendo vyote kila mahali,ifuatayo ni oropdha ya maana hizo

01# HUWAKILISHA MAHALI PAUZWAPO DAWA ZA KULEVYA

Mara nyingi uonapo viatu vimening'inizwa juu ya nyaya za umeme maana yake eneo la karibu na hapo panauzwa dawa za kulevya.kwa mfano kuna gazeti moja la huko LOS ANGELES,CALIFORNIA lilieleza kuwa hofu ya wakazi wengi wa LOS ANGELES ni kuwa viatu hivyo huwakilisha maeneo yauzwapo dawa za kulevya.

02# HUFANYIKA KUTOKANA NA UKOROFI

Baadhi ya wahalifu walieleza ni kwanini kitendo hiki kinafanyika ,baadhi yao walieleza kuwa ni kutokana na ukorofi,yaani mtu mkorofi huweza kuiba viatu na kuvining'iniza juu ya nyaya za umeme ili yule alieibiwa kamwe asivipate viatu vyake.

03# KWA UPANDE WA WANAFUNZI



Kwa wanafunzi wao hufanya hivi katika kusherehekea kumaliza kwa muhula wa masomo,katika lusherehekea huko hutupa viatu.

04# KWA UPANDE WA WANAJESHI


Wao hutupa viatu kwenye vitu vyenye kukwea angani kama nyaya za umeme,miti na nyaya za simu.
Wanajeshi hutupa viatu kwa sababu mbili-

Ni kwa wale waliomaliza mafunzo maalum hawa hutupa viatu kusherehekea kumaliza mafunzo hayo.
Hutupa viatu mara baada ya kumaliza muda wao wa kuhudumu jeshini yaani kustaafu (sio wote hufanya hivi ila ni baadhi yao tu ndio hufanya hivi katika hali ya kusherehekea)


05# HUTUPA VIATU WAKIWA HAWAVIHITAJI

Sababu nyingine inayopelekea kuwapo kwa viatu hivi juu ya nyaya za umeme ni kwamba wengine wanatupa pindi wanapokuwa hawavihitaji tena viatu vyao.

06# MARA NYINGINE HUMAANISHA MTU AMEFARIKI

Kwa baadhi ya tamaduni wao hufanya hivi kuwakilisha kuwa kuna mtu amefariki mahala fulani,wao hutupa viatu kwenye miti na nyaya za umeme kwa wingi na sio pea moja.

07# KIUTAMADUNI



Wengine hufanya hivi kwa kuamini kuwa mpendwa wao aliefariki pindi roho yake itakaporejea basi itatembea juu juu na hata karibu na mbingu na pepo.
Na watu wengine wanaamini kuwa kuweka viatu juu ya mti au nyaya ya umeme nje karibu na nyumba wanazoishi huwaepusha na kuwaweka salama wao na mali zao dhidi madhara na vitisho vya nizimu
 mila nyingine zinaeleza kuwa kutungika viatu kwa mtyindo huo kunawafanya kuwa salama zaidi.


#POWERED_BY
JSRindustries

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Vijana Wanne Kati ya 12 Waliyokwama Mapangoni Nchini Thailand Waokolewa

$
0
0
Vijana Wanne Kati ya 12 Waliyokwama Mapangoni Nchini Thailand Waokolewa
Jumla ya wachezaji wanne wa timu ya vija waliyokwama kwenye mapango ya Chiang Rai nchini Thailand wamepata bahati ya kuokolewa hapo jana siku ya Jumapili kati ya wachezaji soka 12 waliyozama.



Kwa mujibu wa chombo cha Al Jazeera taarifa za hivi karibuni zinaeekeza kuwa jumla ya wanachama nane wa klabu hiyo ya soka ya vijana bado wamekwama kwenye mapango hayo ya kaskazini mwa nchi ya Thailand.



Jumla ya vijana wanne kati ya 12 waliyookolewa wamewahishwa kwenye hospitali ya Chiang Rai, iliyopo kilomita 60 kutoka maeneo hayo kwaajili ya matibabu zaidi.



Vijana hao wa kiume wamekwama tangu June 23 mwaka huu wakiwa walikwenda na waalimu wao kwaajili ya kutembelea mapango hayo kablaya kujaa maji.



Dunia nzima imeungana na Thailandi hii leo siku ya Jumatatu kwaajili ya kusaidia zoezi hilo kwenda kama linavyo tarajiwa huku wazazi wa watoto hao wakiendelea na maombi.

Mbuni Mpya ya Kuweka Bangi Kwenye Keki Yabainika

$
0
0
Mbuni Mpya ya Kuweka Bangi Kwenye Keki Yabainika
Wakala wa maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali umesema watumiaji wa dawa za kulevya wamebuni mbinu mpya ya kuweka bangi kwenye keki kutokana na kudhibitiwa kutumia katika maeneo mengine.

Mbali na kutumia keki kuweka dawa hizo, pia wanatumia dawa tiba za binadamu kuondoa uraibu wa dawa.

Kauli hiyo imetolewa na kaimu mkurugenzi idara ya sayansi jinai na huduma za vinasaba, David Elias kwenye banda la wakala huo lililopo kwenye maonyesho ya 42 ya biashara ya kimataifa maarufu Sabasaba yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini hapa.

Huku akiionyesha, “hii ni keki Polisi waliikamata na kutilia shaka hivyo ikaletwa kwetu kwa ajili ya vipimo, tulichobaini ndani mlikuwa na kiasi kikubwa cha bangi.”

Amewataka wazazi kuwa makini na hafla mbalimbali za vijana kwa maelezo kuwa maeneo hayo ndio kimbilio la watumiaji hao, baada ya kudhibitiwa katika maeneo mengine.

Mwandishi Aacha Kazi Baada ya Messi na Argentina Kutolewa

$
0
0
Mwandishi Aacha Kazi Baada ya Messi na Argentina Kutolewa
Mwandishi wa Habari za michezo na Mtangazaji maarufu wa radio nchini Rwanda, Rutamu Elie Joe amejikuta akiacha kazi yake hiyo baada ya kuahidi kuwa angeacha kazi hiyo endapo Messi na timu yake ya Argentina ingetolewa kwenye michuano ya kombe la dunia.

Rutamu amesema kuwa amechukua maamuzi hayo baada ya kutoa kauli iliyonukuliwa akisema ”Messi asipochukua Kombe la Dunia basi mimi naachana na hii kazi yangu ya utangazaji wa mpira pamoja na kufanya kazi katika kituo hiki cha redio” kauli hiyo aliitoa akiwa hewani kwenye kituo cha Radio 1 cha nchini Rwanda wakati wa mechi ya ufunguzi kati ya Urusi na Saudia Arabia.

Kwa mujibu wa gazeti la The New Times Rwanda limeeleza kuwa mtangazaji huyo kwa sasa ameacha kazi na hakuamini kama watu walichukua kauli yake kwa umakini.

“Nilikuwa nafikiria ni kauli ya kawaida tu kama kipindi cha kawaida ambacho kimepita kumbe watu walinirekodi na wakasalia kimya kimya na nikaanza kuona wananiandama mitandaoni.“ameeleza Rutamu.

Kwenye mahojiano yake aliyofanya na Shirika la Habari la Uingereza (BBC), Rutamu amesema kuwa alianza kuona video na sauti yake aliyoahidi kuacha kazi ikisambaakwa kasi mitandaoni baada ya mchezo wa kwanza wa Argentina dhidi ya Iceland kumalizika kwa sare ya goli 1-1 .

“Mechi za Kombe la Dunia, mechi ya kwanza Iceland ilitoka droo na Argentina ndio nikaanza kuona sasa zile kanda zikianza kusambaa mitandaoni kila mahali na hapo ndipo watu walianza kuuliza kwamba nilisema Messi atakuwa mshindi kwenye Kombe la Dunia sasa wanatazamia ahadi yangu itimie.”Rutamu ameiambia BBC.

Argentina imetolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia Jumamosi ya wikiendi iliyopita kwa kipigo cha goli 4-3 dhidi ya Ufaransa.

Kwa mujibu wa habari kutoka gazeti la The New Times Rwanda, Rutamu kwa sasa anatarajia kuacha kazi rasmi Julai 15, 2018 siku ya fainali ya Kombe la Dunia na ameeleza kuwa atafanya kazi nyingine ili kutimiza ahadi yake kwa wasikilizaji wake.

Rutamu alishawahi kuwa msemaji mkuu wa klabu ya Sunrise ya nchini Rwanda kabla ya kujiingiza kwenye masuala ya uandishi wa habari na utangazaji.
Viewing all 104657 articles
Browse latest View live




Latest Images