Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Justin Bieber Amvisha Pete ya Uchumba Mchumba Wake

$
0
0
 Justin Bieber Amvisha Pete ya Uchumba Mchumba Wake
Msanii maarufu wa muziki duniani, Justin Bieber amemvisha pete ya uchumba mchumba wake, Hailey Baldwin hii ni kwa mujibu wa mitandao ya habari za burudani nchini Marekani.

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtandao wa TMZ, zimeeleza kuwa Bieber alimvisha pete mchumba wake huyo siku ya Jumamosi iliyopita.

Mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa wawili hao walivishana pete hiyo nchini Bahamas na kwenye tukio hilo hakuna mtu yeyote aliyeruhusiwa kurekodi kwa njia ya simu.

Baba yake na mrembo Baldwin kupitia ukurasa wake alithibitisha taarifa hizo lakini baadae muda mfupi alifuta Tweet.

Mama yake Justin Bieber pia naye aliandika kitu kwenye ukurasa wake wa Twitter kuashiria kuwa kuna jambo limetendeka usiku wa Jumamosi.

Sio kila Anayetoweka Nyumbani Kwake Ametekwa au Kuuawa

$
0
0
Sio kila Anayetoweka Nyumbani Kwake Ametekwa au Kuuawa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amezungumzia tena suala la baadhi ya watu kutoweka akiwemo mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi, Azory Gwanda na msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema, Ben Saanane.

Lugola ameeleza kuwa jeshi la polisi linaendelea kufanya uchunguzi ili kubaini uhalisia wa kutoonekana kwa watu hao na kwamba litatoa kauli yake baada ya kuthibitisha pasipo na shaka kuhusu kilichotokea.

Aliwataka Watanzania kuachana na uvumi usio na uthibitisho kuwa watu wanaotoweka wakiwa nyumbani kwao, kama ilivyokuwa kwa Azory wametekwa au kuuawa kwani Jeshi la Polisi ndilo lenye mamlaka kisheria kuthibisha hilo.

“Sio kila anayetoweka nyumbani kwake huwa ametekwa au kuuawa kama inavyovumishwa. Dhana hii inaniumiza na napenda watu waachane nayo,” anakaririwa na gazeti la Mwananchi.

“Tunaendelea kuchunguza kubaini sababu za kutoonekana kwao. Hauwezi kusema mtu amekufa bila kuwa na uthibitisho, na utathibitisha kwa kuuona mwili wake,” aliongeza.

Wazir Lugola aliongeza kuwa uchunguzi wa jeshi hilo ni kama jicho ambalo lina mwisho wa kuona, hivyo utakapofika mwisho wataeleza walichokibaini na mwisho kufanyia kazi jarada hilo ikiwa ni pamoja na kulifunga.

Ufafanuzi wa kauli ya Waziri Lugola umekuja ikiwa ni siku chache baada ya kuzua mijadala alipoeleza kuwa Serikali haiwezi kuingilia uhuru binafsi wa mtu kutoweka nyumbani kwake na kwenda anapotaka yeye.

Alisema watu wengi hufanya maamuzi yao wanapoona maisha yanawaendea visivyo, na huamua kwenda kuishi kokote watakapo na uamuzi wao huo unalindwa na Katiba ya nchi.

Hassan Kess Kutolewa na Milioni 70 Yanga

$
0
0
Hassan Kess Kutolewa na Milioni 70 Yanga
Imeripotikuwa kuwa klabu ya Nkana Red Devils kutoka Zambia imetuma ofa ya milioni 70 za kitanzania kwa ajili ya kumsajili beki Hassan Kessy ambaye mkataba wake na Yanga umeshamalizika.

Kessy ambaye anacheza kama beki wa kulia amemaliza mkataba na Yanga mwezi Mei 2018 na kuwa mchezaji huru ambaye hivi sasa anaweza akafanya mazungumzo na klabu yoyote ile itakayoweza kumsajili.

Taarifa za ndani zinaeleza kuwa Meneja wa Kessy, Athuman Tippo, amepokea ofa hiyo kutoka Zambia ambapo timu hiyo imeonesha nia ya dhati ya kumuhitaji mchezaji huyo ambaye Yanga hawajafikia naye makubaliano ya kumuongezea mkataba mwingine.

Tippo amefunguka na kueleza kuwa ni kweli Kessy hana mkataba na Yanga na kinachofanyika hivi sasa ni mazungumzo baina ya klabu na yeye ili kuweza kufikia mwafaka kama ataweza kuelekea Red Devils.

Ikumbukwe Kessy alisajiliwa na Yanga akitokea Simba SC mwaka 2016 na kusaini mkataba wa miaka miwili ambapo sasa inaelezwa Kessy na Yanga wameshindwa kuelewana kuongeza mkataba mwingine kutokana na dau alilolihitaji.

Young Muhammad Kumshtaki Rick Ross Baada ya Kuibia Wimbo wake

$
0
0
Young Muhammad Kumshtaki Rick Ross Baada ya Kuibia Wimbo wake
RAPA Rick Ross‘ wa Marekani, ametishiwa kushitakiwa na mwanamuziki Ishaq R. Muhammad  aka Young Muhammad (YM) kwa kile alichodai  mnamo Septemba 2017 aliiba kipande cha wimbo wake wa “Caprice Music” alichotunga mwaka 2007.

YM anataka kulipwa $9,999 ambazo ni sawa na Sh. mil. 22.

Gigy Money Azimikia Umbo la Vanessa Mdee

$
0
0
Gigy Money Azimikia Umbo la Vanessa Mdee
Msanii wa Bongo fleva Gigy Money amefunguka na kuweka wazi kuwa anavutiwa sana na umbo la msanii mwenzake Vanessa Mdee.

Moja kati ya vitu ambavyo vilitengeneza headlines kuhusu Gigy Money ni kupungua ghafla kwa mwili wake na kuzua tetesi kuwa anaumwa na maneno mengine mengine.

Lakini Kwenye mahojiano na Clouds Fm, Gigy Money amesema hivi sasa anajithidi kupunguza mwili wake ili aweze kutumbuiza vizuri jukwaani kama anavyofanya Vanessa Mdee.

"Kuna muonekano wa show tofauti na picha za Instagram mimi sasa hivi ni performer, huwezi kwenda jukwaani una limwili lako tu. Kwa hiyo mtu unatakiwa na mwili fulani hivi”.

"Do you look Vanessa akiwa ana-perform, how do you feel unaoana kabisa machachari, anaweza kuwa na bendi, anaweza kuinua mguu, unafurahi, sio mtu shabiki anasubiri utikise makalio tu”.

Siku chache zilizopita Gigy Money alikiri kuwa sababu pekee iliyomfanya mpaka apungue mwili ni mapenzi ambapo alikuwa anaumizwa na penzi la Baba watoto wake Mo J.

Hii ni Habari Njema Kwa Wale Wote Waliohangaika na Matatizo ya Magonjwa Sugu Yaliyokosa Tiba

$
0
0
 "HII NI HABARI NJEMA KWA WALE WOTE WALIOHANGAIKA NA MATATIZO YA MAGONJWA SUGU NA YALIYOKOSA TIBA" sasa usikate tamaa tiba imepatikanika kwa DK. ABDALA MUSSA anatibu matatizo kama yafuatayo:

Nguvu za kiume, uzazi, kisukari, tezi dume, vidoda vya tumbo, mgongo kuuma, miguu kuwaka moto na mataizo uliyonayo

1/ITAGULA- ni dawa ya mkosi kuosha nyota, kumvuta mpenzi, mke, mume, kuua kesi na kupata kazi haraka kama umeomba maombi serikalini au kampuni binafisi unaitwa ndani ya siku mbili 2/

NINJIWE- ni dawa inayomaliza matatizo ya wanaume heshima ndani ya ndoa, kuwa na nguvu za kiume milele na kukomaza mbegu na kuwa na uwezo kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila kuchoka kama umezaraulika na kufanya tendo na kusinyaa uume dawa ipo dozi yake siku sita vidoge 12 pia kuna na unga inayokomaza uume ndani ya siku 7 unapona kabisa.

3/MPALALA- ni dawa ya kutibu busha miguu kuwaka moto, kiuno, kisukari.

4/NGEKEWA- ni dawa ya kuvuta wateja kwenye biashara yoyote kuwa na wateja wengi katika biashara na kuzuia chuma ulete. 4/LINGWATA- ni dawa ya punguza unene, mafuta tumbo, matiti, miguu, hipsi na kutengeneza shepu dawa hii ni ya unga ukitumia utaona mabadiliko baada ya siku 3.

5/DUBISHO- ni dawa zindiko la mwili, majumba, gari, biashara, mteja wangu huduma utaipata mahali popote ulipo kuna wanasaplai mahali ulipo kama huna muda wa kufika osifini mkoa wa dar-es-salaam, iringa, kanda ya ziwa wilaya ya bunda. angalizo kwa wateja usitume sms wala kubipu huduma yangu ni kuanzia saa 12 asubui hadi saa 12 jioni kwa wateja wa dar-es-salaam ofisi ipo buguruni na mbagala zakhem na kwa wale walio nje ya mkoa dawa hizi mtazipata kwa njia za mabasi. punguzo la bei kwa wateja 5 wa kisukari na nguvu za kiume

KWA MAWASILIANAO ZAIDI WASILIANA NA DK. ABDALA MUSSA KWA SIM NAMBA 0767-171773/ 0716-608959 WOTE MNAKARIBISHWA:

WATU Wengi Hawamuelewi NYOKA Ndio Maana Wanapanic ,Chukua Tahadhari Hizi Pindi Uking'atwa

$
0
0

Wengi wakimuona nyoka wanaanza kukimbia ,kupiga makelele.Nani kakuambia kuna nyoka ambaye akimuona mtu anaanza kumkimbiza.

Nyoka sio simba au chui ambao tabia zao wakimuona mtu ambaye ni kitoweo kwao wanaanza kumkimbiza kwa nia ya kumla.Kwa nyoka la hasha hakuna nyoka wa aina hiyo awe venomous au non venoumous.Nyoka huwakimbiza rodents tu kama panya sababu ni kitoweo chao.



Watu hawamtizami nyoka kama kiumbe wa porini Bali humtizama kama vile kitu kibaya hilo ndio tatizo.

Nyoka pekee ni kiumbe namba moja ambaye watu humuelewa sivyo ndivyo Africa,hivyo ni mnyama anayeongoza kuuliwa kikatili

Nyoka hupata attention mbaya sababu ya stori ambazo watu husikia pale mtu anapong'atwa

Kung'atwa kwingi panatokea pale mtu anapojaribu kumzuru nyoka na kiumbe huyo anajaribu kujitetea

Majira ya kiangazi nyoka hujificha sana chini ya mawe,miamba majani au kwenye miti kukaa mbali na joto la jua

Mida ya jioni hujitokeza kwa wingi na usiku wakati hali ya joto ipo chini hushamili kwa wingi

Nyoka wadogo sumu yao sio hatarishi sana kama nyoka wakubwa.Mfano Brown snake kila akiwa mzee sumu yake ndio inakuwa kali zaidi


Njia nzuri ya kufanya pindi ukimuona nyoka mwache pekee yake usimbughudhi labda kama atahatarisha maisha ya watoto

Utajiingiza kwenye matatizo pindi ukimsogelea na kuanza kumrushia fimbo ,nyoka ataamua kujilinda na kujilinda kwao ni kutafuta timing ya kukugonga ila kabla ya kufanya hivyo atakupa alarm ya kufungua mdomo wake na kurudi nyuma.

Endapo mtu aking'atwa na nyoka yafuatayo ni yakufanya.

1.Mtulize mgonjwa awe katika hali ya utulivu,asipanic sababu akipanic atasababisha moyo uende mbio hivyo msukumo wa damu utakuwa wa kasi na hivyo kurahisha usambaaji wa sumu kwenda kwenye moyo

2.Kama nyoka yupo sehemu husika usimuue au kumkamata

3.ondoa vitu vyote kwenye mwili wa mgonjwa ambazo zinazuia mzunguko wa damu kama saa,mkanda ,Pete, viatu sababu vitaweza kumletea matatizo

4.safisha eneo lililong'atwa ila usichue au kusugua sababu itaweza kusababisha sumu iliyo nje iweze kuingia.

5.Mzuie ngonjwa asitembee hovyo na mbebe mgonjwa sababu ukimuacha atembee sumu itasambaa kwa kasi sana

6.Funga bandage na weka pressure kwa juu


7.Mchukue mgonjwa na mpeleke kwenye hospitali ya karibu haraka iwezekanavyo lakini kwa kipando


Usimpe chakula chochote au maji mgonjwa haswa pombe

Usiweke barafu kwenye sehemu iliyong'atwa

Usikate sehemu iliyong'atwa na kufyonza hakuna uthibitisho wa kisayansi unaosema hivyo pia hiyo njia inaweza kumletea madhara anayefonza

Usimpe pain killers mgonjwa au dawa yeyote ilei


Mwisho itolewe elimu kwa wachungaji na wakulima na haswa watoto wanaotumwa kuchunga mifugo

Kuna stori ya kusikitisha ilitokea Zimbabwe miaka 3 iliyopita kijana mmoja wa umri wa miaka 13 alikuwa anasoma darasa la 7 moja ya masiku alikuwa anachunga mifugo pamoja na wadogo zake 2 ,katika hali ya taharuki Nyoka aina ya black mamba alimgonga kijana yule mkononi sababu kijana yule alikatiza kwenye mti ambao black mamba alikuwa amejituliza baada ya kung'atwa wadogo zake walimuambia waende nyumbani wakawaeleze wakubwa wao kilichotokea lakini kijana yule alikataa alisema ni nyoka wa kawaida na hali ni ya kawaida akachukua kitambaa na kujifunga na wakaendelea kuchunga.Haikupita muda mrefu 30mins kijana yule akawa anasikia kizunguzungu na kudai haoni na anasikia ugumu kupumua na inavyoelezwa ngozi ya kijana yule ikawa inabadilika rangi na kuwa nyeusi wale wadogo Zake wakambeba kumrudisha nyumbani lakini ikawa too late .kifo cha mtoto yule kilivuta hisia ya watu wengi

Hivyo elimu kubwa itolewe kwa wakazi wa vijijini ,wakulima ,wafugaji njia ya kutumia mawe asilimia ,kukata na kuanza kufyonza sio sahihi.

By undefine

Neymar kumrithi Ronaldo? Hafai” Ndoo ya bafuni haiwekwi maji ya kunywa”

$
0
0


Wakati mawakala wa Sir Alex Fergson walipofika Brazil walikwenda moja kwa moja mpaka Santos kumtazama Neymar. Mwandishi mmoja wa jarida la the Sun Neil Custis aliandika habari yenye kichwa cha habari kwamba “Man United wanapaswa kuharakisha kutoa Milion 38 kwa Neymar”

Santos wakajifanya kwamba wamekataa ofa ya Paundi milioni 38. Tena kwa mchezaji wa miaka 18! Ni kichekesho kwa kweli.

Binafsi niliona kama ni drama za bongo movie tu. Hakukua na ukweli wowote kuhusu Fergie kutoa kiasi kile cha hela kwa mtoto mdogo kama yule tena kwa hulka yake ya tabia mbovu mbovu. Kwanza Neymar alikuwa amesimamiwa na watu kadhaa nyuma yake kitu ambacho Fergie asingekubaliana nacho. Nani asiyejua kwamba Fergie alikuwa hapendi kununua wachezaji ambao mikataba yao inahusisha watu watatu? Si mnakumbuka sakata la Carlos Teves kuondoka United?



Miaka miwili nyuma yake Roman Abramovich Alituma watu wake kumshawishi Neymar kwenda Chelsea akiwa na miaka 18. Waandishi wa fifa walimfuata na kumhoji kulikoni amekataa ofa ya kwenda Chelsea. Neymar akasema sipaswi kuharakia maisha. Ukweli ni kwamba waliokuwa nyuma ya Neymar walikuwa na tamaa, sio baba sio Ribeiro.

Akiwa Santos Neymar aliutesa ulimwengu wa soka kwa vichwa vya habari akiwa ligi ya Brazil. Alikuwa na urefu wa Mita 1.7 pekee na kilo 60 tu. Wakati ule Ronaldo alikuwa na urefu wa 186 cm na kilo 84.6. Wote walikuwa na uwezo wa kuwapita mabeki lakini utofauti wao ulikuwa aina yake ya uchezaji. Na Fergie alihitaji mrithi wa Ronaldo wakati ule. Je kwanini hakumpata? Ni kweli Ferie alikosa Euro 38 kwa mchezaji mwenye kiwango bora vile?

Siamini kama umbo lake ni tatizo sana kama ilivyokuwa mjadala mkubwa mwaka 2012. Wadau wengi wa soka kipindi kile walisema Neymar hafai kwenda United. Ninachokiamini ni kwamba jicho la Ferguson lilikuwa na mwanga mkali kuliko mawazo ya baba yake Neymar aliyeamini mwanaye anathamani ya kiasi kile.



Nikukumbushe tukio rahisi ambalo kila mmoja aliliona. Unakumbuka sakata lake la kuzozana na Edison Cavan kuhusu Mkwaju wa penati? Tatizo hilo hilo aliwahi kusababisha aliponyimwa nafasi ya kupiga tuta kwenye ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Atletico GO akiwa na miaka 18 tu. Ana mdomo mchafu, dharau na kiburi. Akiwa na miaka 18 alianzisha ugomvi mkubwa na vurugu kwenye mchezo dhidi ya Ceara! Ulitegemea kweli Ferguson atoe Euro milion 38?



Real Madrid wanamuuza Ronaldo na wanataka kuziba pengo lake kwa kupitia Neymar. Tumesikia Real wakitajwa sana kumchukua Neymar. Kuna watu wanaamini Neymar alikwenda PSG ili baadae aende Madrid!!!



Wenye mawazo hayo nao wamewalogwa na kipaji cha Neymar kama mashabiki wa Brazil. Wabrazil baada ya Neymar kuumia mchezo wao dhidi ya Colombia 2014, mchezo uliofuata walikwenda kucheza na Ujerumani. Wakijifanya wana huzuni kubwa kwamba Neymar utadhani kuumia kwake Brazil zima imepigwa ma msiba. Tena wakabeba na vijezi vyao wakaingia uwanjani. Mwisho wa siku wakala 7. Msimu huu Neymar kaumia takribani miezi 6, hajapona vizuri wabrazil wote wakajenga nia ya ubingwa chini ya mtu aliyetokea majeruhi. Eti kisa tu De lima aliwahi kufanya hivyo!



Alichowafanyia Wabrazil hakuna zaidi ya kupoteza muda kuanguka anguka ovyo. De lima akajitahid kumtetea kwamba watu walipanga kumchezea rafu. Yaani watu waache kupanga njama za kumuumiza Messi na Ronaldo wapange kumuumiza Neymar? Kwa lipi?

Lakini Wabrazil hao hao kwenye mazoezi wakatuonesha picha ya Neymar akitudhihaki kuwa amechezewa rafu mazoezini huku akina Coutinho wakimpigia makofi! Utagundua utoto wa kijinga ndio uliangamiza kambi yao.



Wadau wakajiuliza mbona mechi na ubelgiji hizo drama hakuonesha??

Real Madrid wakijichanganya basi wasihangaike kumtafuta mchawi, mchawi ni kipaji cha Neymar. Neymar ana kipaji kuliko mchezaji yoyote hapa duniani kwa sasa. Na kipaji hiki kinafanya watu wamnyenyekee. Lakini hajui akitumieje kwa manufaa yake. Amebaki kuwa Neymarketing.

Ni Neymar huyu huyu akiwa na miaka 17 alimrushia kocha wake jezi kwa hasira. Wala hakuna aliyefungua mdomo kwamba achukuliwe hatua. Wala Wabrazil hawakujali. Ndio hao hao ambao hivi juzi mmiliki mmoja wa Bar kule Rio alitoa ofa ya bia bure kila mara Neymar alipofunga bao katika kombe la dunia.



Ni Neymar huyu huyu Raisi wa PSG aliyeingia kati suala la lake na Cavani. Unadhani Unai alipenda kuondoka PSG? Ukiuliza sababu ni ipi mwisho wa siku utagundua kwamba Neymar amezaliwa hivyo. Kipaji chake ndio uchawi. Yaani ni sawa na mwanamke awe na kalio kubwa. Watu hawatajali sana kuhusu tabia zake mbovu wala akili ila watu watamgeukia kila akipita . Bila shaka kuna mchawi alikuwa anatembea nyuma ya Neymar. Wengi walilogwa.



Kuna wale walioamini Neymar alipaswa kuja Afrika Kusini na Brazil wakati wa kombe la dunia mwaka 2010. Kuna baadhi ya mashabiki akiwemo mwendesha langalanga Felipe Messa walimshurutisha Kocha Dunga kumchukua Neymar akiwa na miaka 18 tu. Watu wakaanzisha kampeni ya kulazimisha Neymar aitwe. Dunga akasema hawezi kwenda nae. Wadau wengi wa soka Brazil walimjia juu sana Dunga hata Dunga alipofi Wabrazil wote wakambwagia Dunga mzigo. kigezo kwanini amwache Neymar.



Kombe la dunia lilipokamilika hapa ndipo tukagundua sura halisi ya Neymar. Klabu yake ya Santos ikamtimua kocha wao Dorival Junior baada ya kocha huyo kumsimamisha Neymar kucheza dabi yao na Corinthians kwa utovu wa nidhamu. Ilipatikana tuta baada ya Neymar kuchewa faulo. Kocha akasema Marcel akapige na wakati huo Neymar alishakimbilia mpira ili apige. Neymar alikerwa sana na kitendo kile na alimfuata kocha na kumtukana matusi machafu. Kitendo kile kilifanya kibarua chake kiote nyasi. Mchezo uliofuata Juniour alimweleza Neymar hatocheza kwenye dabi. Bodi ya Santos ilikasirishwa na kitendo kile na Raisi wa timu Pedro Luis Nunes Conceição alimtimua kocha yule.

Hata hivyo kuna Wabrazil wanajoelewa hasa hasa Mzee Menezes. Mzee Menezes yeye hakulogwa na kipaji cha Neymar. Kocha mkuu wa Brazil Mano Menezes nae aliamua kumtema Neymar kwenye kikosi chake kwa tabia mbaya licha ya kwamba Neymar kufunga katika mchezo wake wa kwanza kabisa kwa taifa hilo kwenye ushindi wa 2-0 dhidi USA.



René Simões mwaka ule ule 2010 aliwambia Wabrazil wenzake kwamba tunatengeneza mnyonya damu tusije kujilaumu hapo baadae. Hakupendezwa kabisa na kitendo cha Neymar kumdharau kocha wake. Ujinga wa kupindukia ni ule tuliouona kule kwenye tuzo za mchezaji bora wa Ufaransa. Eti Neymar akatwaa tuzo ya mchezaji bora! Kwa lipi! Ni kioja.

Naitwa Privaldinho (Instagram) sijamaliza. Nitaendelea.

Justin Bieber ahamisha majeshi, amvisha pete Hailey Baldwin

$
0
0
Taarifa zinazoripotiwa kuwa staa Justin Bieber amvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa sasa Hailey Baldwin siku ya Jumamosi July 7,2018 katika visiwa vya Bahamas  na tukio hilo lilihudhuriwa na watu wachache.

Penzi kati ya wawili hao limeonekana kuwa imara ingawa wamekuwa wakigombana na kuachana tokea waanzishe penzi hilo 2015 mpaka 2018, Justin Bieber na Hailey Baldwin wamekuwa wakificha kuhusiana uhusiano wa kimapenzi uliopo kati yao.



Tetesi zinadai kuwa Justin Bieber ameamua kufanya hivyo baada ya kuwa na mwanadada kwa muda mrefu lakini mahusiano haya ni baada ya kuachana rasmi na Selena Gomez.

Kutana na Dr Mabula Kukutibu Matatizo ya Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO :

Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?


MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja itakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio asirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu.

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo

MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona.

Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI



Install Application ya Udaku Special Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi
=>BOFYA HAPA KUINSTALL/DOWNLOAD

Nay Ana Wanawake Wengi Nimeamua Kuachana Naye- Nini

$
0
0
 Nay Ana Wanawake Wengi Nimeamua Kuachana Naye- Nini
Aliyekuwa mchumba mpya wa Nay wa Mitego, Nini amedai ameachana na rapa huyo kwa madai ana wanawake wengi.


Muimbaji huyo alithibitisha kupitia kipindi cha The Playlist cha Times FM kwamba ni kweli alikuwa anatoka kimapenzi na rapa huyo ambaye alishirikiana naye kwenye wimbo, ‘Niwe Dawa’.

“Nay ana wanawake wengi sana, nimevumilia nikaona basi kila mtu achukue hamsini zake,” Nini aliuambia mtandao wa Samisago “Nimeshamsikiliza zaidi ya mara mbili lakini naona habadiliki nikaona bora kukaa pembeni,”

Muimbaji huyo amedai kuachana kwake na rapa huyo sio mwisho wa muziki wake kwani anajipanga upya na kuja kivingine.

Nay bado hajazungumza chochote kuhusiana na ishu hizo kwani kili akitafutwa kupitia simu yake ya mkononi hapatikani.

Afikishwa Mahakamani Kwa Kumchoma Moto wa Pasi Kijana Aliyekuwa Anamvizia Binti Yake

$
0
0
Afikishwa Mahakamani Kwa Kumchoma Moto wa Pasi Kijana Aliyekuwa Anamvizia Binti Yake
Mkazi wa Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, Nikodemu Johnson amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumpiga na kumchoma kwa pasi ya umeme kijana mmoja mkazi wa Katesh aliyemkuta ndani ya nyumba na binti yake.

Mshtakiwa alikana mashtaka hayo mbele ya Hakimu wa Wilaya Amani Petro Shao.

Ilidaiwa na mwendesha mashtaka kuwa Mei 28 mshtakiwa alimpiga na kumchoma kwa pasi ya umeme Christopher Bayanga (19) baada ya kumkuta kijana huyo kwenye nyumba ya mtuhumiwa.

Alidai kipigo alichomfanyia kijana huyo, hasa kuchomwa kwa pasi ya moto, kimemsababishia maumivu makali na kwamba maisha yake yalikuwa hatarini kwani alifungiwa ndani wakati huo. Johnson yuko nje kwa dhamana hadi Julai 25 wakati kesi hiyo itakaposikilizwa.

Tais wa TFF Aiombea Twiga Stars Kurudi na Ubingwa

$
0
0
Tais wa TFF Aiombea Twiga Stars Kurudi na Ubingwa
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema ana matumaini makubwa na timu ya taifa ya soka la wanawake Tanzania, Twiga Stars kurejea na ubingwa wa CECAFA Challenge Cup.

Wallace Karia amesema kuwa licha ya changamoto ndogo ndogo zilizotokea katika maandalizi ya mashindano hayo, anaamini kuwa vijana wake wamejipanga vizuri zaidi mwaka huu kuhakikisha wanatetea ubingwa huo.

"Tunatarajia timu itaingia kambini mjini Bukoba Julai 10 mwaka huu na itafanya mazoezi na kuondokea pale kuelekea Kigali, Rwanda tayari kwa mashindano hayo. Tunajua mashindano yatakuwa magumu sababu tumeongea na wenzetu na wamejipanga lakini sisi kama mabingwa watetezi tunasema tutarudi na kombe".

Rais wa TFF pia amesema waandaaji wa mashindano hayo, nchi ya Rwanda walikuwa wakitoa sababu za msingi zilizopelekea kuahirishwa kwa mashindano hayo mara kwa mara ingawa ilileta changamoto katika matayarisho ya timu.

Naye kocha wa timu hiyo ya Twiga Stars, Edna Lema amesema kuwa wachezaji wake wana morali kubwa ya mashindano licha ya kuahirishwa wakati wakiwa kambini.

"Kwanza sisi kama timu tumefurahi kusikia taarifa hiyo kwasababu kuna kipindi ambacho tuliingia kambini karibia mwezi mzima tukaambiwa mashindano yameahirishwa. Lakini kikubwa tumejiandaa kisaikolojia kuhakikisha tunafanya vizuri kama bingwa mtetezi".

Twiga Stars ilishinda ubingwa huo mwaka uliopita nchini Uganda na sasa wanakwenda kutafuta historia mpya ya kutetea ubingwa wao.

Muandaaji wa Tamasha la Werrason "Sileti Tena Show Mwanza"

$
0
0
Muandaaji wa Tamasha la Werrason "Sileti Tena Show Mwanza"
Weekend hii mkoani Mwanza muandaaji wa Tamasta la Werrason amekula za uso baada ya mashabiki kuingia mitini katika show yake hiyo.


Kwa mujibu wa Gazeli la Mwanaspoti, Mwandaaji huyo wa Shoo ya Werrason, Lengos VIP amesema kuwa amechukizwa na mashabiki wa Mkoa wa Mwanza kutojitokeza kwa wingi na kuapa hatarudia kupeleka wasanii mkoani humo.

Alisema kuwa alimgharamia Werrason na aliamini watapata watu ukumbini, lakini ilikuwa tofauti na matarajio yake hivyo naye kuamua kuondoka ukumbini.

“Sitarudia, nasema hivi sitarudia tena kuleta msaniii yeyote Mwanza. Nilitumia gharama kubwa takribani 30 milioni, lakini hata 2 milioni sikuiona” amesema VIP na kuongeza.

Lengos alisema, “Nilimwambia hata yeye ‘Werrason’ kwamba aachane na shughuli unajua wale wasanii wakubwa wanafanya kazi kwa kuona watu wametosha ukumbini, tofauti na hapo ni bure,” amesema.

Rais huyo wa Wakongo nchini, amebainisha kuwa amebaini sababu ya kutoitikia kwa mashabiki na kusababisha changamoto kwa msanii wake kufanya au kutokufanya shoo ni kutokana na kukosa matangazo.

Kuhusu utaratibu wa tiketi kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwenye shoo la leo,VIP amesema kuwa watakagua hizo tiketi na wale watakaokuwa nazo zikiwa bora wataruhusiwa kuingia.

“Tutakagua tiketi kwa wale watakaokuwa nazo bora wataingia, lakini atakayekuja kwa kughushi tunamlaza polisi,” amesema mwandaaji huyo.

Source: Mwananchi

CAF Yamfungia Maisha Refa Aden Marwa Kujihusisha na Soka

$
0
0
CAF Yamfungia Maisha Refa Aden Marwa Kujihusisha na Soka
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limempiga marufuku ya maisha mpiga kipenga kutoka Kenya Aden Marwa kutoshiriki katika mechi yoyote ya soka.

Uamuzi huo umetolewa baada ya refa huyo kunaswa kwenye video kwenye makala ya uchunguzi akipokea pesa kutoka kwa mwandishi wa habari kabla ya kuanza kwa mashindano ya kombe la Dunia Urusi.

Marwa, alichaguliwa kuismamia mechi katika mashindano hayo , na alitemwa kutoka orodha ya mashindano hayo baada ya uchunguzi huo wa Anas.

Shirikisho la kandanda Barani Afrika CAF pia limechukua hatua dhidi ya marefa wengine 10, waliopigwa marufuku kwa kati ya miaka miwili na miaka 10.

Uchunguzi huo uliofanywa na mwanahabari mpekuzi Anas Aremeyaw Anas kutoka Ghana, ulimuonyesha Refa wa Kenya Aden Marwa akipokea dola 600 kabla ya kusimamia mechi nchini Ghana, kitendo kilichofanyika kabla ya kuanza kwa mashindano ya Kombe la Dunia Urusi.

Alijiondoa kutoka usimamizi wa mechi katika mashindano hayo chini Urusi, ambapo alichaguliwa kama mmoja wa wapiga kipenga wasaidizi.

Na sasa shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limempiga marufuku ya maisha kushiriki shughuli zozote za kandanda.

Aidha wengine kumi na mmoja wamesimamishwa kazi kwa muda wakisuburi vikao vya nidhamu.


DC Hapi Amuagiza RPC Kumkamata Meneja wa Dawasco na Kumuweka Ndani

$
0
0
DC Hapi Amuagiza RPC Kumkamata Meneja wa Dawasco na Kumuweka Ndani
Mkuu wa wilaya ya kinondoni, Mh. Ally hapi amemuagiza RPC kumkamata meneja wa dawasco na kuwekwa ndani iwapo hadi kufikia kesho saa tano na nusu ikiwa hawajashusha bomba kwenye barabara ya CCBRT, ameyasema hayo leo katika mbio za mwenge pindi kiongozi wa mbio hizo Charles Francis Kabeyo akizindua barabara hiyo.

Pia Jengo la zahanati ya mkoroshini lililopo msasani limekuwa na utata wa kutofanikiwa kuzinduliwa kutokana na ubora wa matofali hayo yanayotumika kujengea zahanati hiyo kuwa chini na kiwango ambapo yamekuwa yakimomonyoka na mengine kupasuliwa na kiongozi huyo wa mwenge


Kiongozi wa mbio za mwenge Charles Francis amegomea rasmi kuzindua jengo la zahanati ya mkoroshini iliopo msasani kutokana na kutokidhi viwango vya ujenzi vya jengo hilo vilevile kuwa na gharama za juu kwenye ujenzi wa jengo hilo ambapo takukuru wametakwa kufatilia swala hilo kwa undani ili kuweza kubaini yaliyomo ndani ya ujenzi huo na gharama kwa ujumla.

Nisha Aonyesha Mahaba Mazito kwa Mchumba Wake Mzungu

$
0
0
Nisha Aonyesha Mahaba Mazito kwa Mchumba Wake Mzungu
STAA wa filamu na muziki Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuwa kwa sasa amebadili mtazamo na kuamua kuwa na mpenzi anayemzidi umri ‘Babu’ baada ya kukumbuka na sekeseke la kuibiwa mabwana ambao amekuwa nao kwenye mahusiano  ya mapenzi kipindi cha nyuma.



Nisha kupitia ukurasa wake wa Instagram amebainisha anapendana na babu huyo huku na kulalamikia kwamba amekuwa mhanga wa mapenzi kwa muda mrefu, kunyang’wanywa mawbana, kusalitiwa na kudai kuwa akitembea na vijana wadogo anaambulia matusi.



“Ni ngumu sana kuficha hisia zangu kwa mtu nnayempenda, nimeshakuwa na m-black, Mwarabu ila kote niliambulia usaliti na uongo wa mapenzi, niliwahi sikia Wazungu wana mapenzi ya kweli kuliko Waafrica, kujaribu si mbaya.

“Me ni msafiri sijafika bado, na Mwenyezi Mungu anajua kama hapa ndo mwisho wa safari yangu au inaendelea, kikubwa nimeshampata na maneno sijali,’ amesema Nisha.

“Walimwengu sijui mna nini, nikiibiwa bwana mnanyamaza kimya, nikiwa na wa rika langu ben 10, akinizidi umri kizee, au mlikuwa mnafurahia kujiita bachelor? Sasa nimeshampata bado maneno kedekede. Yeye na mimi kwani tuna kasoro gani? Au mimi nimezaliwa niliye tu na kuibiwa?” amehoji Nisha.



Hivi karibuni nisha alisema amekuwa akiteswa na mapenzi la wanaume wenye umri mdogo ‘kibenteni’ kutokana na kumgeuza ‘ATM’ kwa kumuhudumia kama mwanaye.

Tulitoka CCM kuja CHADEMA ili Kuongeza Nguvu Ili Kuleta Mabadiliko- Sumaye

$
0
0
Tulitoka CCM kuja CHADEMA ili Kuongeza Nguvu Ili Kuleta Mabadiliko- Sumaye
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema watu waliodhani kwamba angeshindwa kuitikia wito wa Rais John Magufuli kwenda Ikulu wakati viongozi wakuu wastaafu wote walipoalikwa watakuwa hawamjui kwani kwenda kwake ilikuwa nafasi muhimu ya kuzungumza na kiongozi huyo kuhusu masuala ya -


Sumaye amebainisha hayo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Weekend BreakFast kinachorushwa siku ya Jumamosi na East Africa Radio na kusema alifurahi mupata mualiko huko kwani aliona ni fursa muhimu ya yeye kuweza kupata nafasi ya kutoa ushauri wake.

"Nilifurahi sana kupata mualiko wa Ikulu, nilijua nitaweza kupata nafasi ya kusema, niliitumia nafasi ile vizuri sana kumwambia Rais yale ninayoyafikiria wala siyo kumueleza ya kwangu binafsi bali yale ya taifa kwa ujumla. Hivyo waliofikiri tofauti kwamba sitakwenda basi hao ni watu ambao hawanijui vizuri", amesema Sumaye.

Mbali na hayo, Waziri Mkuu huyo Mstaafu amebainisha kwamba sababu kuu iliyomfanya yeye na baadhi ya viongozi wenzake kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM) mnamo mwaka 2015 ilikuwa ni kwenda kuongeza nguvu katika  chama cha upinzani.

"Tulitoka CCM kuja CHADEMA ili kuongeza nguvu huku ili mabadiliko yatakapotokea yasitokee upande huu mwingine ukiwa na hasira. Vipo vitu vingi ambavyo tumepandisha sana upinzani mpaka sasa", amesisitiza Sumaye.

Julai 03, 2018 Rais Magufuli aliwaalika viongozi wakuu wastaafu wote na kufanya nao mazungumzo Ikulu Jijini Dar es salaam ambapo waalikwa walikuwa ni Rais wastaafu wa awamu zilizopita, Makamu wa Rais, Mawaziri Wakuu, Maspika na Majaji Wakuu.

Sumaye alikuwa Waziri Mkuu wa awamu ya tatu katika serikali iliyokuwa ikiiongozwa na Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa na alihama CCM mwaka 2015 wakati wa uchaguzi mkuu kwa madai ya kwamba anaunga mkono  mabadiliko yaliyokuwa yakinadiwa na upinzani.

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0


Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Tumia Super Mkuyati Kurudisha Heshima ya Ndoa

$
0
0

SUPER MKUYATI ILIYO IMALA HESHIMA YANDOA super mkuyati nidawa ya mitishamba iliyo sheheni miti mbalimbali na kugundulika ina pambana na magonywa sugu SUPER MKUYATI inanguvu (3) nainafanya kazi kwapamoja (1) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 15-20 bila kuchoka (2) ina zalisha homon kwa wingi na kukufanya uwe na mbengu nyingi zenye vimeleo vya uzazi vyilivyokomaa (3) inaongeza ume mdogo uliosinyaa,kunenepesha uume na kurefusha adi nchi 5-8 na upanda sm 2-3 dawa hii haina mazala kwa mtumiaji ata kwa wazee walionaumri 60-80 SUPER MKUYATI ponyo la maradhi yako tumia Leo uone mjabu yake OFISI YETU ZINAPATIKANA DR MTONI KIJICHI KAMAUNA NAFASI UTALETEWA POPOTE ULIPO KWA WAMIKOANI UTATUMIWA DR GATUNDU 0717777402/0768408794
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live


Latest Images