Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104743 articles
Browse latest View live

Nisha aonyesha mahaba mazito kwa Mzungu

$
0
0

STAA wa filamu na muziki Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuwa kwa sasa amebadili mtazamo na kuamua kuwa na mpenzi anayemzidi umri ‘Babu’ baada ya kukumbuka na sekeseke la kuibiwa mabwana ambao amekuwa nao kwenye mahusiano  ya mapenzi kipindi cha nyuma. 

Nisha kupitia ukurasa wake wa Instagram amebainisha anapendana na babu huyo huku na kulalamikia kwamba amekuwa mhanga wa mapenzi kwa muda mrefu, kunyang’wanywa mawbana, kusalitiwa na kudai kuwa akitembea na vijana wadogo anaambulia matusi. 




“Ni ngumu sana kuficha hisia zangu kwa mtu nnayempenda, nimeshakuwa na m-black, Mwarabu ila kote niliambulia usaliti na uongo wa mapenzi, niliwahi sikia Wazungu wana mapenzi ya kweli kuliko Waafrica, kujaribu si mbaya. 

“Me ni msafiri sijafika bado, na Mwenyezi Mungu anajua kama hapa ndo mwisho wa safari yangu au inaendelea, kikubwa nimeshampata na maneno sijali,’ amesema Nisha. 

Katika post nyingine Nisha amesema; 

“Walimwengu sijui mna nini, nikiibiwa bwana mnanyamaza kimya, nikiwa na wa rika langu ben 10, akinizidi umri kizee, au mlikuwa mnafurahia kujiita bachelor? Sasa nimeshampata bado maneno kedekede. Yeye na mimi kwani tuna kasoro gani? Au mimi nimezaliwa niliye tu na kuibiwa?” amehoji Nisha. 

Hivi karibuni nisha alisema amekuwa akiteswa na mapenzi la wanaume wenye umri mdogo ‘kibenteni’ kutokana na kumgeuza ‘ATM’ kwa kumuhudumia kama mwanaye. 

Nini: Nay ana wanawake wengi sana

$
0
0

Aliyekuwa mchumba mpya wa Nay wa Mitego, Nini amedai ameachana na rapa huyo kwa madai ana wanawake wengi. 

Muimbaji huyo alithibitisha kupitia kipindi cha The Playlist cha Times FM kwamba ni kweli alikuwa anatoka kimapenzi na rapa huyo ambaye alishirikiana naye kwenye wimbo, ‘Niwe Dawa’. 

“Nay ana wanawake wengi sana, nimevumilia nikaona basi kila mtu achukue hamsini zake,” Nini aliuambia mtandao wa Samisago “Nimeshamsikiliza zaidi ya mara mbili lakini naona habadiliki nikaona bora kukaa pembeni,” 

Muimbaji huyo amedai kuachana kwake na rapa huyo sio mwisho wa muziki wake kwani anajipanga upya na kuja kivingine. 

Nay bado hajazungumza chochote kuhusiana na ishu hizo kwani kili akitafutwa kupitia simu yake ya mkononi hapatikani. 

Aliyeandaa tamasha la Werrason Mwanza ala za uso

$
0
0

Muandaaji wa Tamasta la Werrason amekula za uso baada ya mashabiki kuingia mitini katika show yake hiyo. 

Kwa mujibu wa Gazeli la Mwanaspoti, Mwandaaji huyo wa Shoo ya Werrason, Lengos VIP amesema kuwa amechukizwa na mashabiki wa Mkoa wa Mwanza kutojitokeza kwa wingi na kuapa hatarudia kupeleka wasanii mkoani humo. 

Alisema kuwa alimgharamia Werrason na aliamini watapata watu ukumbini, lakini ilikuwa tofauti na matarajio yake hivyo naye kuamua kuondoka ukumbini. 

“Sitarudia, nasema hivi sitarudia tena kuleta msaniii yeyote Mwanza. Nilitumia gharama kubwa takribani 30 milioni, lakini hata 2 milioni sikuiona” amesema VIP na kuongeza. 

Lengos alisema, “Nilimwambia hata yeye ‘Werrason’ kwamba aachane na shughuli unajua wale wasanii wakubwa wanafanya kazi kwa kuona watu wametosha ukumbini, tofauti na hapo ni bure,” amesema. 

Rais huyo wa Wakongo nchini, amebainisha kuwa amebaini sababu ya kutoitikia kwa mashabiki na kusababisha changamoto kwa msanii wake kufanya au kutokufanya shoo ni kutokana na kukosa matangazo. 

Kuhusu utaratibu wa tiketi kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwenye shoo la leo,VIP amesema kuwa watakagua hizo tiketi na wale watakaokuwa nazo zikiwa bora wataruhusiwa kuingia. 

“Tutakagua tiketi kwa wale watakaokuwa nazo bora wataingia, lakini atakayekuja kwa kughushi tunamlaza polisi,” amesema mwandaaji huyo. 

Haya Hapa Matukio 8 Yaliyotikisa Msiba wa Mtoto Patrick

$
0
0
Haya Hapa Matukio 8 Yaliyotikisa Msiba wa Mtoto Patrick
JUMANNE ya Julai 3, 2018, staa wa filamu kutoka Bongo Movies, Rose Alfonce ‘Muna’ alipata pigo baada ya kufiwa na mtoto wake, Patrick.

Patrick alikuwa miongoni mwa watoto wa mastaa waliotikisa mitandaoni hasa kwa suala zima la ‘kupiga pamba’. Aliugua na kulazwa Agha Khan jijini Dar kisha baadaye kupelekwa Nairobi nchini Kenya kwa matibabu.



Hata hivyo, alifariki dunia baada ya kusumbuliwa na tatizo la uvimbe kwenye ubongo ambapo Jumamosi ya wiki iliyopita alipumzishwa katika Makaburi ya Kinondoni.

Nyuma ya msiba huo, yapo matukio mengi yaliotikisa, mvutano ulikuwa mkubwa kujua nani baba halisi wa mtoto, hakukuwa na jibu la moja kwa moja kutokana na mahusiano aliowahi kuwa nayo Muna huku wengine wakidai mtoto alikuwa wa mtangazaji wa runinga, Casto Dickson na wengine wakidai ni wa Peter Zakaria ambaye alikuwa mume wa ndoa wa Muna.





Makala haya yanaanika matukio 8 yaliotikisa;

ZAMARADI ACHANGISHA MICHANGO, AJITOA
Kabla na baada ya kifo cha Patrick, mtangazaji huyu wa runinga, alionekana kuwa mstari wa mbele kuhamasisha watu kutoa michango ya kusaidia matibabu na kuelekeza msiba upo nyumbani kwa Muna (Mbezi Beach).

Ghafla, alibadilisha uamuzi wake baada ya kuona mvutano wa wapi msiba uelekee huku akipewa ‘mbovu’ kwenye mitandao.



LULU AONEKANA
Kabla ya kutokea kwa msiba, muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ hakuwa akionekana hadharani, mengi yalisemwa juu yake, mara ana ujauzito mara anataka kuolewa.

Ni mara chache ndiyo alionekana tena kwa siri akiwa sehemu ya kufanyia usafi (Posta jijini Dar) baada ya kutumikia kifungo cha nje kwa kosa la kuua bila kukusudia.

Baada ya msiba kutokea, Lulu alionekana hadharani akiwa mstari wa mbele kuandaa mazingira nyumbani kwa Muna sambamba na kuwakaribisha wageni jambo lililowashangaza wengi waliofika.







MUNA AMKATAA MUMEWE
Wakati kukiwa na sintofahamu juu ya baba wa mtoto huku mitandaoni wakimuona Casto ndiye baba wa mtoto, Peter alijitokeza na kusema mtoto ni wake aliyemzaa ndani ya ndoa, Muna hakukaa kimya, naye aliibuka kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram na kuanika kuwa baba mtoto ni Casto.

Hata hivyo, baada ya kusema hayo alifuta posti yake na baada ya muda aliomba radhi na kusema shetani alimpitia na kwamba mtoto ni wa Peter na msiba utakuwa Mwananyamala nyumbani kwake.



PETER AMWAGA MBOGA
Katika mahojiano na Global TV, Peter alisema licha ya Muna kuondoka kwake muda mrefu lakini alikuwa akimhudumia mtoto mahitaji mbalimbali ikiwemo suala la ada. Peter alianika cheti cha ndoa, cheti cha mtoto na picha enzi zake za ndoa na nyingie wakiwa na Patrick.


STEVE AINGILIA KATI
Kutokana na mvutano na sintofahamu iliyokuwa imezagaa, mitandaoni wengi walikuwa wakimuulizia muigizaji kutoka Bongo Movie, Steve Nyerere kutokana na uwepo wake na usuluhishi katika misiba mingi hasa ya mastaa wa filamu na Bongo Fleva.

Ilianza kusambaa ‘clip’ ikimuonesha akiwa sebuleni na mume wa Muna, Patrick na kesho yake, aliwahakikishia Watanzania kuwa ameshaongea na Muna pamoja na Peter na kumaliza mgogoro wa wapi msiba uwepo.



WEMA AONEKANA TENA
Ikumbukwe kuwa Wema ‘alitrendi’ wiki mbili zilizopita baada ya clip kuzagaa ikimuonesha akiwa mgonjwa ameshikwa na mama yake katika moja ya hospitali jijini Dar. Kabla ya hapo alikuwa kimya mitandaoni.

Mengi yaliongelewa juu yake kutokana na kupungua mwili kwa kasi huku wengine wakiunganisha ‘dots’ kuwa imetokana baada ya kudaiwa kufanyiwa upasuaji wa tumbo ili kupunguza unene huko India.

Kutokana na ishu hiyo, wengi walitaka kumuona ‘laivu’ alivyopungua na alipotokea kwa mara ya kwanza kwenye msiba wa Patrick, Mwananyamala wengi walimshangaa.


KALALA JUNIOR AIBUKA
Wakati upepo ukianza kutuliatulia, aliibuka msanii wa Muziki wa Dansi, Kalala Junior na kusema kuwa naye ana haki ya kuombeleza msiba kwa kuwa aliishi na Muna miaka mitatu na alimlelea mtoto kama mwanaye.



MUNA ASHUKA BILA MWILI
Wakati mwili ukitarajiwa kushuka na Muna Ijumaa iliyopita, hali ya sintofahamu ilitawala baada ya Muna kushuka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere akiwa bila mwili.

Licha ya Muna kushuka na kuzimia, bado haikuwekwa wazi mwili ulipo hadi taarifa zilipoanza kusambaa jioni kuwa umekuja bila Muna.

"Nitanunua Kipindi Kumsifu Rais" - Mch. Msigwa

$
0
0
"Nitanunua kipindi kumsifu Rais" - Mch. Msigwa
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA) ameweka bayana kwamba hahitaji kuviziwa na mtu yoyote katika suala la kusifu utendaji wa Rais Magufuli pamoja na serikali yake kwani ana uwezo wa kununua kipindi katika televisheni ili kuweza kufanya jambo hilo.

Akifanya mahojiano na www.eatv.tv, Msigwa amesema kwamba kitendo cha kusambaa kwa kipande cha 'video' kilichokuwa kikimuonyesha akimsifu Rais wakati alipokuwa kwenye ziara mkoani Iringa kilikuwa cha kuviziwa na
kilikuwa na lengo la kumchafua kisiasa.

Mbunge huyo wa upinzani amedai kwamba kitendo cha hali ya uchumi wa nchi kuwa mdogo, watu kuokotwa kwenye viroba na demokrasia kukandamizwa ndivyo vinamfanya kushindwa kutoa pongezi lakini siku akiona inahitajika, atafanya hivyo na siyo kuviziwa viziwa kama jinsi ilivyofanyika awali kupitia kipande cha 'video'.

"Hakuna wa kunizuia nikitaka kumpongeza Rais, hivyo sihitaji kuviziwa.  Mimi sikumpongeza Rais ile siku na simpongezi. Kilichofanyika naweza kusema 'I was taken out of context' Nina uwezo wa kununua kipindi ili kumsifia Rais ila si kwa kuviziwa viziwa," amesema Msigwa.

Akizungumzia kuhusu wakati mgumu alioupata ndani ya Chama chake na kwa wafuasi wanaoiunga mkono CHADEMA baada ya kusambaa kwa 'video' ile, Msigwa amesema haikuwa rahisi kueleweka na watu wote.

"Chama changu kinajua msimamo wangu, hivyo niliwaeleza wakanielewa. Watu wengine haikuwa rahisi  kunielewa kutokana na kale ka video cha sekunde 53 ambacho kalikatwa mwanzo na mwisho. Wasomi na watu wanaoniamini walielewa," ameongeza Mch. Msigwa.

Rais Magufuli akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Iringa, Mei 3, mwaka huu wakati kulisambaa 'video' inayomuonyesha Mch. Msigwa akimsifia Rais, ambapo kwa mujibu wake amesema ni kama aliviziwa kwani hata walipoingia ndani kuzungumza na Rais hawakuwa na vifaa vyao vya mawasiliano zaidi ya waandishi wa Ikulu.

Mtoto Mwingine Aokolewa na Kutimiza Idadi ya wa Tano Kati ya 12 Walionaswa Pangoni Thailand

$
0
0
Mtoto Mwingine Aokolewa na Kutimiza Idadi ya wa Tano Kati ya 12 Walionaswa Pangoni Thailand
Timu ya wazamiaji leo imefanikiwa kumwokoa mtoto wa tano kati ya 12 walionaswa kwenye pango nchini Thailand hatua ambayo inazidisha matumaini ya uwezekano wa kuokolewa watoto wote.

Mtoto huyo amesafirishwa kwenda kuungana na wenzake wanne walioko katika hospitali moja wakichunguzwa afya zao. Kumekuwa na shangwe na nderemo kutoka kwa wananchi walioshuhudia helikopta ikiruka kutoka eneo la tukio kuelekea hospitali.

Jana, watoto wanne waliokolewa katika operesheni iliyotajwa ya hatari na changamoto nyingi. Watoto hao na kocha wao wamekuwa katika pango hilo kwa muda wa wiki mbili sasa.

Wazamiaji wamekuwa wakiendelea na kazi hiyo kujaribu kuwaokoa watoto hao waliosalia huku wazazi wa watoto hao wakiwa katika hali ngumu kusubiri kama watawapokea wapendwa wao hao.

Mamilioni ya lita za maji yamekwisha kutolewa kutoka ndani ya pango hiloili kurahisisha kazi ya uokoaji. Kazi hiyo inaharakishwa kufuatia utabiri wa hali ya hewa unaodai kwamba huenda mvua kubwa itanyesha jambo ambalo litasababisha ugumu wa kazi ya kuwaokoa watoto hao.

Kiongozi wa kikosi cha uokoaji ambaye gavana wa jimbo la Chang Raiu Narongsak Osottanakorn, amesema uokoaji huo wenye mazingira ya hatari utawachukua muda zaidi.

Hispania Yapata Mrithi wa Hierro

$
0
0
Hispania Yapata Mrithi wa Hierro
ALIYEKUWA kocha wa klabu ya Barcelona ya Hispania, Luis Enrique, ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya Hispania baada ya nchi hiyo kung’olewa katika Kombe la Dunia wakati wa kutafuta 60 bora katika michuano inayoendelea nchini Russia.



Kwa mujibu wa mkataba, Enrique ataishika nafasi hiyo kwa miaka miwili. Kocha huyo mwenye umri wa miaka 48, anachukua nafasi ya Hierro aliyepewa jukumu hilo saa 48 kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia Hispania ilipocheza na Ureno.



Kocha wa awali, Julen Lopetegui,  alifukuzwa muda mfupi kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia baada ya kukubali kuwa kocha wa klabu ya Real Madrid, na kumwacha aliyekuwa mkurugenzi wa michezo,  Fernando Hierro, kukaimu nafasi hiyo.



Enrique aliondoka Barcelona mwishoni mwa msimu wa 2016/17 baada ya kuitumikia miaka mitatu na baadaye kuzitumikia klabu za Chelsea na Arsena

Yanga Yaanza Kulipa Malimbikizi ya Madeni kwa Wachezaji Wao

$
0
0
Yanga Yaanza Kulipa Malimbikizi ya Madeni kwa Wachezaji Wao
Mwenyekiti wa Kamati Maalum kuivusha Yanga wakati wa mpito, Abbas Tarimba, amesema kuwa tayari wameshakamilisha kulipa fedha zote ambazo zilikuwa ni malimbikizo ya madeni kwa wachezaji wao, imeelezwa.

Tarimba ambaye aliteuliwa na uongozi wa Yanga kupitia Mkutano Mkuu wa klabu uliofanyika Juni 10 2018 jijini Dar es Salaam, imeelezwa kuwa kwa kushirikiana na aviongozi walio kwenye kamati hiyo wamekamilisha madeni hayo.

Klabu ya Yanga imekuwa inapitia kipindi kigumu hivi sasa ikihaha kuwaongezea mikataba wachezaji wake ambao wengi wamemaliza mikataba lakini sasa kamati hiyo chini ya Tarimba imeanza kuonesha kupambana.

Baada ya kukamilisha madeni hayo, Tarimba ameeleza kuwa hivi sasa wanazidi kujipanga katika kuweka nguvu zao zote katika usajili wa wachezaji ili kukiboresha kikosi chao ambacho kinakabiliwa na mashindano ya kimataifa.

Ikumbukwe Yanga walio kambi hivi sasa hapa wanajiandaa na mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Gor Mahia FC ya Kenya iliyopo nchini hivi sasa kwa ajili ya michuano ya KAGAME.

Ongeza Ukubwa wa Uume, Nguvu na Hamu ya Tendo la Ndoa Hata Wenye Kisukari na Pressure

$
0
0

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
#OngezaUume
#NguvuZaKiume
#HandsomeUpOg
#BidhaaTz

Mtoto wa Zuma Matatani South Africa..Ashtakiwa Kwa Rushwa

$
0
0

AFRIKA KUSINI: Mtoto(Duduzane Zuma) wa Rais wa zamani, Jacob Zuma ameshitakiwa kwa makosa ya rushwa katika Mahakama ya biashara mjini Johannesburg.

Duduzane Zuma(34) anadaiwa kuwa sehemu ya waliojaribu kumuhonga Naibu Waziri wa Fedha ili kumshawishi achukue nafasi muhimu za juu kwenye Serikali. Mashitaka hayo pia yanahusishwa na familia maarufu ya Gupta

Hata hivyo Duduzane pamoja na Familia ya Gupta wamekana kuhusika na mashitaka hayo

Mwaka 2015, Naibu Waziri wa Fedha, Mcebisi Jonas alidai kupewa ofa ya nafasi ya Uwaziri wa Fedha na hongo ya 600 milioni rand(takirbani Tsh. Bilioni 100) wakati akiwa kwenye kikao na Duduzane, mfanyabishara Fana Hlongwane na Ajay Gupta

Aidha, Duduzane ambaye anaishi Dubai alirejea nchini humo ili kuhudhuria mazishi ya Kaka yake ndipo akakamatwa na hati yake ya kusafiria kuchukuliwa

Hata hivyo kesi hiyo imeahirishwa hadi Januari 24, 2019 na mshitakiwa yupo nje kwa dhamana

Kwa picha akiwa na pingu mguuni, peleka kushoto.

Waandaaji Miss Tanzania wajibu tuhuma zilizotolewa na Miss Arusha

$
0
0

Mkurugenzi na mtayarishaji wa shindano la Miss Tanzania, Basilla Mwanukuzi amekanusha tuhuma zilizotolewa na mshindi wa taji la Miss Arusha kuwa sio za kweli kwamba hawamkufahamisha zawadi watakazo mpatia zaidi ya stakabadhi ya fedha taslimu kama alivyodai wakati akihojiwa. 

Basilla amebainisha hayo wakati akizungumza na eatv.tv baada ya kuwepo malalamiko kutoka kwa washiriki wa shindano hilo akiwemo mshindi wa taji la Miss Arusha kuwa hajui chochote kuhusu zawadi anayopaswa kupatiwa tofauti na stakabadhi ya fedha aliyopatiwa. 

"Sisi tumewaandaa mawakala ambao watatangaza zawadi kabla ya wiki ya mashindano, hivyo wakati huo wa mwisho ndipo washindani wa taji wanaambiwa zawadi ni nini. Huwezi kushiriki mashindano bila kujua nini utapata, kama amesema zawadi pekee aliyokuwa akiijua ni stakabadhi ya fedha taslim basi hiyo ndiyo zawadi yake na pengine iliyomo asiyoijua ni zawadi ya ziada kwa ajili yake”, Basilla mwanukuzi. 

Hata hivyo, shindano la kumtafuta Miss Tanzania bado linaendelea katika ngazi ya mikoani ambapo imepita na kupata washindi wa mataji katika mikoa ya Dodoma, Rukwa ,Mwanza, Tabora, Ilala na hivi sasa linaelekea Morogoro. 

Confession: Nimefanya Sana Umalaya, Sasa Basi..Nataka na Mimi Niitwe Mke Niwe na Watoto Wangu

$
0
0
Jamani mimi ni msichana ambaye niko kwenye late 20s. Nimesoma hadi chuo kikuu (degree moja).

Niliendekeza sana starehe na kupenda pesa ikiwa ni pamoja na kupenda kuishi maisha ya gharama kubwa kuliko uwezo wangu.

Kwanza nilianza mchezo wa kugegedana nikiwa na umri wa miaka tisa tuu.

Nilikuwa napenda sana wanaume wenye pesa na magari yao. Nikiwa darasa la saba tuu tayari nilianza kulala na wanaume watu wazima wenye familia zao huku wakinipa pesa.

Ilikuwa nikiona mwanaume anaendesha gari tuu basi mimi huku chini kunalowa (hata kama sio la kwake, haijalishi kwa hiyo hata madereva teksi na daladala walinila sana).

Nikiwa kidato cha kwanza nilikutana na mbaba mmoja mtu mzima ambae alianza tabia ya kunila tigo hadi nikazoea tabia hiyo.

Japokuwa ilikuwa ukinila tigo ni lazima ulipe zaidi.

Kiukweli nilikuwa kama changudoa, ila tuu mimi nilikuwa sijipangi barabarani kujiuza kama ma-cd wanavyofanya.

Tabia hiyo iliendelea hadi nilipofika A level ambako nilienda boarding school, huko mara nyingi nilikuwa natoroka na kwenda night clubs ambako kila mara niliondoka na wanaume na kwenda kuwahudumia usiku mzima, na asubuhi nilirudi shule.

Siku ambayo sitaisahau maishani ni siku ambayo nilipigwa mtungo na wanaume watano, waliniingizia uume kila tundu la mwili wangu siku hiyo, na niliumwa wiki nzima baada ya tukio lile.

Nilipofika chuo tabia hiyo ilizidi kuota mizizi kiukweli ilifika kipindi kila.usiku nipo na mwanaume tofauti (kama mjuavyo maisha ya chuo yanavyokuwa tait bum linapokata).

Nilipomaliza chuo pia nilipata kazi wiki mbili tuu baada ya kumaliza chuo (of coz nilitumia nguvu ya mwili wangu kupata kazi), na niliendelea na tabia hii kupenda pesa nisizozitolea jasho za wanaume.

Hadi ilibidi niache kazi ile sehemu niliyopata baada ya kumaliza chuo kwa sababu nilibatizwa jina la 'kibiriti ngoma' maana kiukweli sidhani kama kuna mwanaume hakunipitia pale kazini!

Sasa nataka kubadilika niache hii tabia ya kupenda vya dezo, maana naona umri unaenda nataka na mimi niitwe mke niwe na watoto wangu.

Naombeni ushauri tafadhali.

By Neemababy

Mambo Ambayo Wanaume Wanakosea Wakati wa Kutongoza Mwanamke

$
0
0
1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.

2.KUJIFAKE
wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno

3.KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE
unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke.unamtongozaje mwanamke asubuhi?

4.KUMPONDA UR EX LOVER
mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae.

5.KULALAMIKA
Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa.mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.

UKITULIA NA KUMTONGOZA MWANAMKE BILA KUYATENDA HAYA MBONA UTAMPATA KILA UMTAKAE

Nimegundua Hanipendi Nilivyo, Ila Kwasababu Namfikisha Kileleni Basi Ndio Sababu ya Kuwa na Mimi

$
0
0
Anasema Hanipendi Nilivyo, Ila Kwasababu Namfikisha Kileleni Basi Ndio Sababu ya Kuwa na Mimi

Wakuu nimekuwa na Mchumba wangu takribani miaka miwili sasa, Nikiwa katika hatua ya kukataa shauri nimuoe kabisa nimweke ndani nikapenyezewa kaumbea kutoka kwa shoga yake kuwa huyu mchumba wangu kamwambia kuwa hanipendi nilivyo ila sababu ya kuwa na mimi muda wote huo ni kwasababu namfikisha kileleni ipasavyo kitu ambacho amekikosa kwa wanaume wote ambao amewahi kuwa na mahusiano nao... Sasa Je Kweli Mwanamke wa Hivyo Napaswa Kumuoa ?

Naombeni Ushauri

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.



Jeshi la Polisi yafungukia Kiini cha Ajali Mbeya

$
0
0

Ikiwa imepita siku 1 tangu ilipotokea ajali ya lori Jijini Mbeya katika mlima wa Igawilo na kusababisha kuua mtu mmoja, Jeshi la Polisi mkoani humo limesema limeshafahamu kiini cha ajali hizo za kila mara na kudai lina mikakati madhubuti ya kudhibiti eneo hilo kwa kushirikiana na TANROADS.


Picha hii ni miongoni mwa ajali zilizotokea katika mlima wa Igawilo siku za hivi karibuni na kusababisha kuua takribani watu watano

Hayo yamebainishwa na Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo, Ulrich Matei wakati akizungumza na eatv.tv leo Julai 09, 2018 na kusema eneo hilo la mlima wa Igawilo wameshafanyia uchunguzi wa kina kuhusiana na ajali zinazotokea mara kwa mara ambapo kwa sasa wamejipanga kuweka ukaguzi wa magari yote kabla hayajafika katika mlima huo pamoja na kuweka vibango vya barabara vitakavyokuwa vikitoa maelekezo husika juu ya kuwepo mlima huo ili madereva wawe makini zaidi.

"Tumeshawasiliana na  Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) ili kuhakikisha zile alama za barabarani zinakuwepo na hadi dakika mimi mwenyewe nipo katika huu mlima ninaona wameshafunga hizo alama za kuwajulisha madereva wote kuteremka taratibu ili wasipate ajali", amesema Kamanda Matei.

Mbali na hilo, Kamanda Matei pia ameeleza chanzo cha ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika mlima wa Igawilo na kusema lori hilo lilikuwa limebeba mbao na kusababisha kuelemewa wakati wa linataka kushuka mlima huo ndipo gari likaangukia upande mmoja huku akisisitiza kuwa ajali hiyo haijasababishwa na kugongana na gari nyingine yoyote ile.

"Ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo ni ajali ya kawaida tu, maana lori hilo lilikuwa limebeba mzigo wa mbao na kusababisha kulivuta gari pembeni na ndipo mzee mmoja aliyekuwepo ndani ya gari hilo kutaka kuruka ili akimbie lakini gari hilo likamuegemea", amesisitiza Kamanda Matei.

Msikilize hapa chini Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, Ulrich Matei akielezea kwa kina chanzo cha ajali hiyo pamoja na mikakati yao waliyoipanga katika kutokomeza ajali kwenye eneo hilo sugu katika mkoa huo.

“Sio Kila Tafiti ya Kupigiwa Makofi”-Lema Afunguka

$
0
0

Mbunge wa Arusha mjini (CHADEMA), Godbless Lema amefunguka kuwa sio kila tafiti zinatakiwa kupokelewa kwa furaha bila kutafakari faida na hasara zake huku akiutilia mashaka utafiti wa Taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na utafiti nchini Tanzania ya TWAWEZA.


Mbunge wa Arusha mjini (CHADEMA), Godbless Lema.

Akizungumza na www.eatv.tv Lema amesema kuwa utafiti wa Twaweza anautilia mashaka kwakuwa umeonekana kutoa faraja upande mmoja na kuongeza kuwa huenda taasisi hiyo imefanya hivyo kwa maslahi binafsi.

“Utafiti wa TWAWEZA unapaswa kutiliwa mashaka hata kama unatoa faraja kwa kiasi fulani dhidi ya washindani wetu kisiasa,ninafikiri TWAWEZA wanatafuta zaidi uhalali kwa ajili ya siku za usoni kwa manufaa ya taasisi yao na Serikali”, amesema Lema.

Kulingana na ripoti ya TWAWEZA inadai kuwa uhuru wa kutoa maoni kwa wananchi umepungua tofauti na miaka mitatu iliyopita, huku msaada wa demokrasia ya wingi unaendelea kuwa na nguvu ambapo zaidi ya asilimia 84% wanapendekeza mfumo wa vyama vingi vya siasa.

EATV

Dereva wa Basi Lililowaka Moto Asakwa

$
0
0

NA FATUMA MUNA
Baada ya gari la abiria linalofanya safari zake Arusha - Dar es salaam kuteketea kwa moto  maeneo ya Tegeta,  Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Marison Mwakyoma amesema bado wanamsaka dereva wa basi hilo ili kuweza kutoa maelezo ya kina juu ya ajali hiyo.


Basi lililoteketea moto siku ya jana maeneo ya Tegeta, Jijini Dar es salaam.

Akizungumza na www.eatv.tv, Kamanda Mwakyoma amesema kwamba ingawa taarifa za awali zinadai kwamba ni kufeli kwa breki ya nyuma, lakini zipo sababu za msingi ambazo zinaweza kutolewa na dereva huyo kwani tukio lililopelekea gari hilo kulipuka halikuwa la ghafla.

Akizungumzia ajali hiyo iliyotokea Tegeta jana usiku, Kamanda Mwakyoma amesema kwamba basi hilo lilitokea Arusha likuwa na abiria 42, ambapo 22 walishukia Bagamoyo na wengine waliosalia walifikia maamuzi  ya kushuka
baada ya kuona gari linazidi kutoa harufu na ndipo dereva alipoamua kulitelekeza.

Aidha Mwakyoma ameongeza kwamba siyo kila ajali husababishwa na uzembe wa dereva kwani yapo mambo mengi ikiwepo nyaya za umeme kugusana, ku-jam kwa breki ya gari hivyo wamiliki wa magari wanapaswa kuwa makini wanapofanya 'service' ya magari ikiwa ni pamoja na kutazama mfumo mzima wa umeme na siyo kumwaga 'oil'.

Pamoja na hayo Mwakyoma amesema uchunguzi wa kina wa kuhusu ajali hiyo bado unaendelea kufanyika na sasa wanasubiria hati ya ukaguzi wa gari hilo kutokea Arusha kabla ya safari.

EATV

Tanzania yaongoza kwa Hili Afrika Mashariki

$
0
0

Mfumuko wa bei kwa kipindi cha mwaka unaoishia mwezi Juni mwaka huu umeendelea kushuka kutoka asilimia 3.6 ilivyokuwa mwezi Mei hadi asilimia 3.4, huku sababu kuu iliyochangia kushuka huko ikiwa ni kupungua kwa kasi ya bidhaa zisizo za vyakula.


Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Kijamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Ephraim Kwesigabo.

Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Kijamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Ephraim Kwesigabo amesema hali ni tofauti kidogo kwa nchi za Kenya na Uganda ambako mfumuko wa bei umepanda kiasi.

“Kupungua kwa mfumuko huo kumechangiwa na baadhi ya bidhaa zisizo za vyakula ambazo ni Bia kwa asilimia 1.1, gharama za ukarabati wa vifaa vya umeme na viyoyozi kwa asilimia 1.8, gesi za kupikia majumbani kwa asilimia 5.6, majiko ya mkaa kwa asilimia 2.0 na gharama za mawasiliano kwa asilimia 2.6”, amesema Kwesigabo.

Aidha, Kwesigabo amesema fahrisi za bei nazo zimeongezeka huku akizitaja bidhaa zilizochangia kushuka huko kuwa ni gharama za ukarabati wa vifaa vya umeme na viyoyozi, gesi ya kupikia, majiko ya mkaa pamoja na gharama za mawasiliano.

Je, Dada Unapenda Kuwa Mtembo? Na Kaka Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa?

$
0
0

JE, DADA UNAPENDA KUWA MREMBO? NA KAKA UNAPENDA KUWA MTANASHATI NA KURUDISHA HESHIMA YA NDOA? Tumia Bidhaa halisi za MARKSON kwa mafanikio ya uhakika na bila madhara.
Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kuthibitishwa kiafya.
🍉🌿🍓🍒🎄🍍🍀🍓🍉
Pata bidhaa hizi ktk ubora 👇👇

1. kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @150,000/=
2. Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa (a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @250,000/=
(b)Vidonge @250,000/=
3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima bila sugu kwa:- (1)Mafuta @150,000/=
(11)Vidonge @170,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5. Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a) Gely ya kupaka @150,000/=
(b) Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/= (c)Handsome up original>Kifaa kinachoongeza maumbile kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
6. Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=
7. Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula @150,000/=
8. Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a) Dawa ya kunywa au kupaka @150,,000/=
(b) Mkanda wa kawaida @120,000/=
(c) micro-computer belt unaovaibret @250,000/=
9 .Kupunguza maziwa na kuyasimamisha @150,000/=
10. Kushepu miguu na kuwa minene na kuondoa kigimbi @150,000/=
11. Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @120,000/=
12. kubana uke na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke @130,000/=

NB: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
Wasiliana nasi :-
(+255) 0767447444 na
0714335378
Follow us on instagram @Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr
#cosmetics
#hipsnamakalio
#bidhaaTz
#nguvuzakiume
#punguzauzitoTz
#shepuTz
#punguzamaziwaTz
#shepuBombaTz
Viewing all 104743 articles
Browse latest View live




Latest Images