Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

Nini Afunguka "Hainiumi Hata Kama Matiti Yangu Yamekuwa NDALA, ila Namiss Ucheshi wa NAY

$
0
0
Msanii Nini ameelezea namna anavyochukizwa na Comment za Mashabiki mbalimbali kwenye Mitandao ya Kijamii Kuhusu Matiti Yake.

VIDEO:


Fuata Vigezo Hivi kwa Kutoa Pesa Kwa Mwanamke Ambaye Siyo Dada yako Wala Mama yako

$
0
0

Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu ili kupunguza vilio vya kutoa pesa kwa mwanamke ambaye una mpango wa kuwekeza kwenye mwili wake.

1). Lazima awe mpenzi wako na asiwe mpenzi wa maneno yaani lazima uwe Na ukaribu naye wa kutosha.

Haya mambo ya tutaonana tu_ mara samahani naomba nitumie 10,000 au 20,000 unatoa utachukia wanawake bila sababu kwani ukiwaendekeza utatoa hizo wakati dada zako hata hela za chupi hawana, WAAMBIE SINA.

2). Mwanamke wa kumpa PESA ni yule ambaye ukimtaka unampata na wakati mwingine anakuwa na hamu ya kuwa na wewe na siyo yule aliyekupa kwa bahati mbaya hajarudi tena halafu unasumbuka kutuma hela itafika wakati utamtukana, MWAMBIE SINA USIUMIZE KICHWA.

3). Umemtokea mtoto wa kike ameonyesha uelekeo lakini ubize haumuishi, MUACHE ABAKI KUWA rafiki ila PESA usitoe sababu mpo kama 50 hivi wote ,anacheza na akili zenu.

4). Demu anayetakiwa kupewa PESA ni yule ambaye siku zote yupo hapo kwa ajili yako yaani hata kama ana wengine usijali na usitake kujua, ila ukimtaka unampata na wakati mwingine anakutafuta wewe BABY I MISS YOU,huyo we mpe pesa hata kama hajaomba.

5. Mwanamke ambaye hawezi kukwambia "bebi" nina hamu na wewe na akauliza lini upo na muda nije na akaja ,MPOTEZEE HAKUFAI HUYO.


6. Mwanamke ambaye ukimuonyesha kuwa unamuhitaji Kwa 'sex' sababu haziishi MFANYE AWE rafiki SABABU HAKUFAI HUYO yupo na wewe kwa sababu ya *PESA* na si kingine.

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Moni na Nai Wayamaliza Sasa Mahaba Moto Moto

$
0
0
Moni na Nai Wayamaliza Sasa Mahaba Moto Moto
Baada ya Drama za mahusiano yao kwenye mitandao ya kijamii kati ya mwanamuziki Moni Centrozone na mpenzi wake Nai hatimaye wameamua kuanza upya na kurudisha mahusiano yao  ambayo yalipitiwa na jini mkata kamba  aliwafanya wawili hao kutoelewana.

Nai na Moni walionekana wakiwa wanakula bata weekiend hii na kuweka wazi kuwa wapo safi na yalikuwa ni mambo ya ndani na kudai kuwa  kukwazana ni mambo ya kawaida katika mahusiano na sasa wameyamaliza na wanaishi vizuri.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Agoma Kuzindua Zahanati Mbele ya DC Hapi

$
0
0
Kiongozi wa Mbio za Mwenge Agoma Kuzindua Zahanati Mbele ya DC Hapi
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni DSM, Ally Hapi amepokea Mwenge wa Uhuru ukitokea Wilaya ya Kigamboni na kushiriki uzinduzi wa miradi mbalimbali ndani ya Wilaya yake.

Katika ziara hiyo iliyoongozwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Charles Kabeho amegoma kuzindua jengo la Zahanati ya Mkoroshini iliopo Msasani kutokana na gharama zilizotajwa kutumika kwa ujenzi wa jengo hilo kuwa Milioni 406 ambazo haziendani na kiwango cha jengo hilo.

Kabeho amewataka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuingilia kati suala hilo kwa undani ili kuweza kubaini wizi uliofanyika katika jengo hilo.

“Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2018 haujaridhika na gharama za ujenzi wa jengo hili hivyo sitaweka jiwe la msingi, taratibu zote zikifanyika nikajiridhisha nitaweka jiwe la msingi kwa utaratibu” amesema Kabeho

Vijana Wengi wa Dar ni Wambea, Wapambe, Vibenten – Shamsa Ford

$
0
0
Vijana Wengi wa Dar ni Wambea, Wapambe, Vibenten – Shamsa Ford
Msanii wa filamu Shamsa Ford ambaye ni mama wa mtoto mmoja, amedai vijana wengi wa Dar es salaam ni chawa, wambea na vibenten kwa kuwa walikosa elimu ambazo zingewawezesha kwenda kushindana kwenye soko la ajira.


Muigizaji huyo amedai wanaume anatakiwa kuwa na misimamo na muonekano wa kiheshima katika jamii na sio kuonekana wakifanya mambo ya ajabu.

“Wanawake wenzangu tujitahidi sana kuwapa elimu ya kutosha watoto wetu wote haswa watoto wa kiume. Nimejikuta kuwa na huruma zaidi na watoto wa kiume kwasababu wa kwangu ni wa kiume. Huwa naumia sana nikiona mtoto wa kiume anavyoangaika kupata riziki,” aliandika Shamsa Ford kupitia Instagram yake.

Aliongeza, “Mtoto wa kiume asipokuwa na elimu ya kutosha au ujuzi wowote mwisho wao huwa ni mbaya kuliko watoto wa kike. Sasa hivi vijana wengi ambao hawana kazi au hawakubahatika kusoma ndo WAMBEA,WAPAMBE,VIBENTEN MARA CHAWAAA,”

Muigizaji huyo ameongeza kwa kusema atahakikisha kwa upande wake anatimiza majuku yake ipasavyo ili mtoto wake asiingie kwenye makundi hayo.

“Kuwa mwanaume ni heshima kubwa sana kama ukisimama kwenye misingi ya kiume..Nitauza vitumbua, madira hata kufagia barabara ilimradi mwanangu apate elimu,” alisema Shamsa.

Hatima ya Dhamana ya Mfanyabiashara , Peter Zakaria Kujulikana Leo

$
0
0
Hatima ya Dhamana ya Mfanyabiashara , Peter Zakaria Kujulikana Leo
Hatma ya dhamana ya mfanyabiashara maarufu Kanda ya Ziwa, Peter Zakaria inatarajiwa kujulikana leo wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma itakapotoa uamuzi kuhusu zuio la dhamana yake iliyowasilishwa na upande wa Jamhuri wiki iliyopita.

Mfanyabiashara huyo anayemiliki kampuni ya mabasi ya Zakaria yanayosafiri kati ya mikoa ya Mwanza, Simiyu na Mara alifikishwa mahakamani Julai 5 akikabiliwa na mashtaka mawili ya kujaribu kuua kwa kutumia silaha baada kwa kuwajeruhi kwa risasi Ahmed Segule na Issac Bwire.

Baada ya kusomewa mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Rahimu Mushi, wakili wa Jamhuri, Lukelo Samuel aliiomba Mahakama kuzuia dhamana ya mshtakiwa akidai hali za majeruhi wa tukio hilo lililotokea Juni 29 si nzuri na wamelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kwa matibabu.

Mawakili wa utetezi Kassim Gila na Onyango Otieno walipinga ombi hilo wakisema hakuna nyaraka wala uthibitisho uliowasilishwa mahakamani kuthibitisha kuwa hali za majeruhi ni mbaya na wamelazwa hospitalini.

Baada ya kusikiliza hoja za zote mbili, Hakimu Mushi aliahirisha shauri hilo hadi leo Julai 10 ambapo anatarajiiwa kutoa uamuzi wa kuhusu dhamana.

Rais wa Uturuki Amteua Mkewe Kuwa Waziri wa Fedha

$
0
0
Rais wa Uturuki Amteua Mkewe Kuwa Waziri wa Fedha
Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameteua baraza la mawaziri linalomjumuisha mkwe wake.

Katika baraza hilo jipya, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Mevlut Cavusoglu, Waziri wa Sheria, Abdulhamit Gul na Waziri wa Mambo ya Ndani Suleyman Soylu wamebaki katika nyadhifa zao.

Akitangaza baraza hilo, Rais Erdogan ambaye aliapishwa jana kuwa rais wa kwanza mwenye madaraka makubwa nchini humo alisema mkwe wake,  Berat Albayrak ameteuliwa kuwa waziri wa fedha.

Chini ya mfumo mpya wa rais mwenye madaraka makubwa, mawaziri hawawezi kuwa wabunge, kumaanisha kuwa mawaziri hao wote wanne wataachia viti vyao.

Pia, amemteua mkuu wa jeshi Hulusi Akar kuwa waziri wake mpya wa ulinzi. Akar alikuwa mkuu wa jeshi wakati wa jaribio la mapinduzi la Julai 2016 lililofanywa na kundi la wanajeshi.

Kuna wanawake wawili pekee katika baraza lake alilopunguza kutoka mawaziri 21 na manaibu watano wa waziri mkuu. Fuat Oktay ameteuliwa kuwa makamu pekee wa rais.

Mambo ni Hivi! Kumbe Mzungu wa Nisha ni Mume wa Mtu

$
0
0
Mambo ni Hivi! Kumbe Mzungu wa Nisha ni Mume wa Mtu
IKIWA ni takribani siku moja tangu staa wa filamu na muziki Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ kumuanika mwanamume aliyedai kuwa ni mpenzi wake mpywa ‘Babu Mzungu’ huku akidai kuchoshwa na wanaomnyanyang’wanya mabwana, kusalitiwa na vibenteni, Global Publishers imemuibua mwaname anayejiita Felisters James ambaye amedai kuwa mzungu huyo ni mume wake.



Kupitia akaunti yake ya Instagram, kuna picha ambazo Felister ambaye pia ni Mtanzania aliziachia mwaka jana akimshukuru Mungu na kumpa mume mwema ambaye anadaiwa kuwa ni Raia wa Urusi.


Mbali na picha za ‘mumewe’ huyo, Felister ameanika picha akiwa na wakwe zake ‘baba na mama’ wa mwanamume wake na kuwashukuru kwa kumzalia mume mwema ambaye anampenda kwa dhati na wote wanapendani.


Dada huyo huyo alienda mbali zaidi na kuachia picha za kimahaba akipigana denda na ‘mumewe huyo’, jambo ambalo Nisha naye aliachia video ikimwonyesha akipigana denda hadharani na mzungu huyo.


Kufuatia picha hizo, mashabiki wamekuwa wakimwandama Nisha na kumtupia maneno makali wakidai kuwa amekubuu kuiba mabwana za watu na sasa inatosha.


Hata hivyo, bado haijathitika iwapo mzungu huyo ni mume wa ndoa wa Felister, bado wako pamoja au walishaachana.


Global Publishers tunaendelea kufuatilia undani wa sakata hili la Nisha kuiba mzungu wa watu na kumfanya baby wake huku akimwanika bila woga wala aibu tena mitandaoni.


Endelea kufuatilia Global TV Online, soon utaupata ukweli wa jambo hili.

Mwigulu Amkabidhi Ofisi Kangi Lugola

$
0
0
Mwigulu Amkabidhi Ofisi Kangi Lugola
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba amemkabidhi ofisi Waziri Mpya wa Wizara hiyo, Kange Lugola katika Makao Makuu ya nchi Jijiji Dodoma leo Jumanne, julai 10, 2018.

Kupitia ukurasa wake wa Twiter, Mwigulu ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi ameandika; “Makabidhiano ya ofisi/kijiti hii leo Dodoma. Nimemtakia kila raheli Mh.Kangi Lugola katika utumishi wake kwa watanzania katika wizara hii.”




Aidha Mwigulu Nchemba mara baada ya kuenguliwa nafasi hiyo alifika jimboni kwake na kuongea na wanachi wake akisema kuwa sasa atapa nafasi ya kuwatumikia vyema wananchi wake.


Julai 1, 2018 Rais John Pombe Magufuli alifanya mabadiliko ya Balaza lake la Mawaziri na kumteua Mbunge wa Mwibara na aliyekuwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingura, Kangi Lugola kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akichukua nafasi ya Mwiguku.

Mama Daimond Afurahia Keki Aliyopelekewa na Mjukuu Wake Daylan Kwenye Sherehe Yake ya Kuzaliwa

$
0
0
Mama Daimond Afurahia Keki Aliyopelekewa na Mjukuu Wake Daylan Kwenye Sherehe Yake ya Kuzaliwa
Mama Diamondplatnumz {mama Dangote} asheherekea siku ya ya kuzaliwa ambapo alifanyiwa suprise part na mwanaye Esma  na kupokea ZAWADI ya KEKI kutoka kwa mjukuu wake Daylan Mtoto wa HAMISA MOBETTO.

Mama Daimond alionekana akiifurahia zawadi hiyo ya keki kutoka kwa mjukuu wake huyo kitu kilichoonyesha kuwa mama huyo hana tatizo lolote na mjukuu wake na kufurahia zawadi hiyo na kutaka ianzwe kukatwa keki hiyo kati ya keki nyingi alizoletewa zawadi kwenye part ya sikukuu yake ya kuzaliwa.

"Basi nianze ya mume wangu Daylan naona kila mtu anang'ang'ania" mama Dangote

Esma Alisikika akisema "huyu Daylan hana tatizo lolote na yeye ni malaika na maisha yenyewe madogo haina haja ya kuchukiana sasa hivi watu tumekuwa Daylan hana Dhambi"


Watoto Mapacha Walioungana Wasafirishwa Nje ya Nchi kwa Matibabu

$
0
0
Watoto Mapacha Walioungana Wasafirishwa Nje ya Nchi kwa Matibabu
Watoto mapacha walioungana Maryness na Anisia Beatusi, wamepelekwa nchini Saudia Arabia kwa matibabu baada ya kupata ufadhili kutokana na uhusianao mzuri baina ya serikali ya Tanzania na nchi hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, Balozi wa Saudia Arabia nchini Mohammed El Malik amesema mfalme wa saudia amewafadhili watoto hao baada ya ombi lilitolewa na serikali ya Tanzania.

Akizungumzia upasuaji huo daktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Petronila Ingiloi amesema kuwa wamepata ugumu hasa kwenye matokeo ya mwisho baada ya kufanikisha upasuaji wa watoto hao.

Kwa upande wake daktari bingwa wa upasuaji watoto, Zaituni Buhari ambaye anaye safiri na watoto hao amesema uchunguzi wa awali utafanywa kwa umakini ili kuweza kufanikisha upasuaji salama kwa watoto hao.

Msilikize hapa chini daktari Zaituni akielezea zaidi juu ya upasuaji wa hao watoto mapacha walioungana.

Hii ni Habari Njema Kwa Wale Wote Waliohangaika na Matatizo ya Magonjwa Sugu Yaliyokosa Tiba

$
0
0

 "HII NI HABARI NJEMA KWA WALE WOTE WALIOHANGAIKA NA MATATIZO YA MAGONJWA SUGU NA YALIYOKOSA TIBA" sasa usikate tamaa tiba imepatikanika kwa DK. ABDALA MUSSA anatibu matatizo kama yafuatayo:

Nguvu za kiume, uzazi, kisukari, tezi dume, vidoda vya tumbo, mgongo kuuma, miguu kuwaka moto na mataizo uliyonayo

1/ITAGULA- ni dawa ya mkosi kuosha nyota, kumvuta mpenzi, mke, mume, kuua kesi na kupata kazi haraka kama umeomba maombi serikalini au kampuni binafisi unaitwa ndani ya siku mbili 2/

NINJIWE- ni dawa inayomaliza matatizo ya wanaume heshima ndani ya ndoa, kuwa na nguvu za kiume milele na kukomaza mbegu na kuwa na uwezo kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila kuchoka kama umezaraulika na kufanya tendo na kusinyaa uume dawa ipo dozi yake siku sita vidoge 12 pia kuna na unga inayokomaza uume ndani ya siku 7 unapona kabisa.

3/MPALALA- ni dawa ya kutibu busha miguu kuwaka moto, kiuno, kisukari.

4/NGEKEWA- ni dawa ya kuvuta wateja kwenye biashara yoyote kuwa na wateja wengi katika biashara na kuzuia chuma ulete. 4/LINGWATA- ni dawa ya punguza unene, mafuta tumbo, matiti, miguu, hipsi na kutengeneza shepu dawa hii ni ya unga ukitumia utaona mabadiliko baada ya siku 3.

5/DUBISHO- ni dawa zindiko la mwili, majumba, gari, biashara, mteja wangu huduma utaipata mahali popote ulipo kuna wanasaplai mahali ulipo kama huna muda wa kufika osifini mkoa wa dar-es-salaam, iringa, kanda ya ziwa wilaya ya bunda. angalizo kwa wateja usitume sms wala kubipu huduma yangu ni kuanzia saa 12 asubui hadi saa 12 jioni kwa wateja wa dar-es-salaam ofisi ipo buguruni na mbagala zakhem na kwa wale walio nje ya mkoa dawa hizi mtazipata kwa njia za mabasi. punguzo la bei kwa wateja 5 wa kisukari na nguvu za kiume

KWA MAWASILIANAO ZAIDI WASILIANA NA DK. ABDALA MUSSA KWA SIM NAMBA 0767-171773/ 0716-608959 WOTE MNAKARIBISHWA:

Hakimu Kesi Ya Vigogo CHADEMA Agoma Kujitoa, Asema Hajawahi Kukataliwa Kwa Sababu Za Ajabu Ajabu

$
0
0

Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Wilbard Mashauri anayesikiliza kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwamo Mwenyekiti, Freeman Mbowe amegoma kujitoa.


Hakimu Mashauri ametoa uamuzi huo leo Jumanne Julai 10,  baada ya kuombwa na washtakiwa hao kujitoa wakidai hawana imani naye.


“Ilitolewa sababu kwamba kwa mwonekano wa hakimu hawezi kutenda haki, niko katika benchi hili kwa miaka 22 sasa sijawahi kuombwa kujitoa kwa sababu za ajabu ajabu kama hizi, sababu hiyo sikuitilia maanani.


“Nimepitia sababu zote za kutaka nijitoe lakini maombi hayo hayana mashiko ya kutosha kunikataa,” amesema Hakimu Mashauri.


Aidha, Hakimu Mashauri amesema aliziona sababu zote zaidi ya 10 hazina msingi ikiwamo kwamba anapendelea upande wa Jamhuri na kwamba ana nia ovu ya kutaka kuzika haki.


Washtakiwa katika kesi hiyo wanatuhumiwa kufanya mkusanyiko usio halali, kufanya uchochezi wakiwa katika mkutano wa kampeni za Jimbo la Kinondoni, Viwanja vya Buibui Februari mwaka huu.

Tengeneza Shape na Kuimarisha Nguvu za Kiume kwa Kutumia Natural Beuty Products

$
0
0
Katika kusherehekea miaka 15 ya kampuni ya NATURAL BEAUTY PROD tunatoa shukrani za dhati sana kwa wateja wetu wote kwa kutuunga mkono miaka yote hiyo.
TUNATOA OFFA YA WIKI NZIMA KWA WATEJA WETU UKINUNUA BIDHAA UTAPATA PUNGUZO LA 20%. KWA WATEJA WA MIKOANI UTATUMIWA BURE.

Ni bidhaa salama kabisa zilizotengenezwa kwa mimea na matunda pia zina matokeo mazuri na kwa haraka zaidi.



1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @220,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @180,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @140,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @210,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/=
11.YODI PILLS--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza (hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-

@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod

Dereva Amshtaki Trump kwa Kunyimwa Mshahara

$
0
0
Dereva Amshtaki Trump kwa Kunyimwa Mshahara
ALIYEKUWA dereva wa Rais Trump wa Marekani, aitwaye Noel Cintron, anadai marupurupu mengi  yakiwemo kuongezwa mshahara, kulipwa kwa kazi za muda wa ziada, na mengine, kutokana na kumfanyia kazi kwa zaidi ya miaka 20 hadi alipoingia Ikulu mwaka 2016.

Katika mashitaka aliyofungua, Noel anasema alikuwa akilipwa Dola $62,700 kwa mwaka na mnamo 2008 alilipwa Dola 68,000, na akapata nyongeza nyingine mwaka 2010 ambapo Trump hakumwongeza tena.

Ameongeza kwamba pamoja na mshahara huo kufikia Dola 75,000 kwa ongezeko la kawaida,  alilazimishwa kulipia gharama za afya za kampuni la Trump Corporation ambazo zilifikia Dola 18,000 kwa mwaka.

Anadai pia amefanya kazi za ziada kwa muda wa saa 3,300 mnamo miaka sita iliyopita, na hivyo kwa mahesabu hayo anadai kulipwa kiasi cha Dola 178,000.

Zakaria Mambo Yamchachia Mahakamani .....Aongezewa kesi ya Uhujumu Uchumi na Kumiliki Bunduki Bila Kibali

$
0
0
Zakaria Mambo Yamchachia Mahakamani .....Aongezewa kesi ya Uhujumu Uchumi na Kumiliki Bunduki Bila Kibali
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Musoma hii leo Jumanne, Julai 10, 2018 imempa dhamana mfanyabiashara na mmiliki wa Mabasi ya Zakaria, Peter Zakaria anayekabiriwa na mashtaka mawili ya kujeruhi kwa risasi maofisa wawili wa Usalama mkoani Mara.

Zacharia ambaye anadaiwa kutenda kosa hilo  Juni 29, 2018 katika kituo cha mafuta anachokimiliki, amesomewa mashtaka mengine ya uhujumu uchumi na kumiliki bunduki na risasi bila kibali. Katika makosa hayo, Zacharia amenyimwa dhamana kwa kesi hizo hadi Julai 12 mwezi huumwaka huu.

Maneno ya Meck Sadick Baada ya Tarimba Kukaa Kando

$
0
0
Maneno ya Meck Sadick Baada ya Tarimba Kukaa Kando
Makamu Mwenyekiti wa kamati ya kuivusha Yanga, Meck Sadick, amesema hana taarifa rasmi za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wake katika kamati hiyo Tarimba Abbas, bali amezisikia tu kama watu wengine.

Sadick ambaye ni moja ya wanachama wenye heshima ndani ya klabu hiyo, ameeleza kusikitishwa na taarifa hizo na kuahidi kumfuata Tarimba na kuongea naye binafsi ili kujua nini sababu ya yeye kukaa kando.

''Kwasasa sio wakati mzuri wa kujadili kila jambo hata kama kweli kuna wakati mgumu tunapitia, Tarimba anaweza kuwa amekasirishwa na kitu binafsi pengine nikiongea naye mimi anaweza kusema tatizo na akarudi kwenye nafasi yake ila kwasasa tusubiri kwanza'', - amesema.

Tarimba alitangaza kuachia nafasi yake jana jioni kwa kile alichoeleza kuwa ni kutokuwepo kwa maelewano kati ya viongozi wa sasa wa klabu na viongozi wa kamati maalum ya kuivusha Yanga katika kipindi cha mpito ambayo yeye alikuwa anaiongoza kama Mwenyekiti.

Meck Sadick ambaye ni mkuu wa mkoa mstaafu aliyehudumu katika mikoa ya Dar es salaam na Kilimanjaro kwa vipindi tofauti, aliteuliwa kuwa makamu mwenyekiti wa kamati hiyo kupitia mkutano mkuu wa klabu uliofanyika Mei 20 huku Tarimba Abbas yeye akiteuliwa kuwa Mwenyekiti.

Tarimba ameiongoza kamati hiyo kwa siku 50, lengo kuu ikiwa ni kusaidia timu kwenye maeneo kadhaa ikiwemo usajili na maandalizi ya uchaguzi kwaajili ya kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Mwenyekiti Yusuf Manji. Aidha kamati hiyo ilipata baraka za baraza la wadhamini la Yanga chini ya Mwenyekiti George Mkuchika ambaye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala bora.

Muna Love Kuweka Wazi Ugonjwa Uliomuua Mwanaye

$
0
0
Muna Love Kuweka Wazi Ugonjwa Uliomuua Mwanaye
Mtumishi huyo wa Mungu ameiambia Bongo5 kwamba atazungumzia kuhusu ugonjwa wa mtoto wake, alivyoanza matibabu mpaka kifo chake pamoja na mambo mengine ambayo yalikuwa yanatokea.

“Nisikilizwe nachotaka kuongea toka mwanangu ameumwa mpaka kufariki sikuongea kitu,” Muna aliiambia Bongo5 “Ni watu tu walikuwa wanaongea na kunihukumu, wiki ijayo nitazungumza na waandishi kuweka sawa yote,”


Baada ya msiba huo kutokea mengi yalizungumzwa na watu huku kubwa zaidi likiwa ni lile la baba wa mtoto, Peter Komu kudai mtoto huyo alikuwa ni wake na sio wa Casto Dickson wa Clouds kama baadhi ya watu walivyokuwa wanadai.

Lakini kauli hiyo ilipingwa na mama wa mtoto huyo, Muna baada ya kutumia mtandao wake wa Instagram kueleza kwamba mtoto si wa Peter kama anavyodai bali niwa Casto kwani yeye ndiye aliyekuwa anajua kila kitu.

Mgogoro huo ulisabisha mvutano kati ya familia ya Muna naya Peter kuhusu msiba ufanyike wapi lakini baadaye wawili hao walikubaliana msiba ufanyike kwa Peter na ndipo ratiba ya mazishi ilivyoanza mpaka malaika huyo wa Mungu kuzikwa katika makabduri ya Kinondani jijini Dar es salaam.
Credit:Bongo5
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>