Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104706 articles
Browse latest View live

Twaweza Kingaangoni..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya July 12

$
0
0

Twaweza Kingaangoni..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya July 12

Jeshi la Polisi Dar Lawatia Mbaroni Wahalifu Mbalimbali Wakiwemo 12 wa Mtandao wa Wizi wa Magari

$
0
0
Jeshi la polisi Kanda Maalum limewakamata watuhumiwa mbalimbali wa uhalifu wakiwamo 12 wa mtandao wa wizi wa magari na walioiba viatu vyenye thamani ya Sh 600 milioni.

Akizungumza na wanahabari jana Julai 11, Kaimu Kamanda wa polisi, kanda maalum ya Dar es Salaam, Liberatus Sabas alisema  Mei 23 polisi walikamata watuhumiwa hao wakiwa na katoni 500 za viatu zenye thamani ya Sh600 milioni zilizoibwa kwenye ghala la kampuni ya Bata Mei, 21.

“Watuhumiwa hao pia walikamatwa na gari aina ya mistubishi canter T 686 BWY ambalo lilikuwa limebeba mizigo hiyo pamoja na katoni 71 za bia mifuko 18 ya sabuni ya unga,injini 4 za pikipiki,na maboksi 61 ya nguo za mitumba”amesema

Kadhalika alisema Jeshi hilo linawashikilia watuhumiwa 12 wa mtandao wa wizi wa magari na pikipiki katika maeneo mbalimbali ndani na nje ya mkoa wa Dar es salaam.

Kamanda Sabas amesema watuhumiwa wote wanaendelea kuhojiwa upelelezi utakapokamilika watafikishwa Mahakama

Pia jeshi hilo la polisi limemkamata Omwalimu Binyakusha mmiliki wa Kampuni ya Arise Special Sunrise Safaris kwa kuwatapeli raia wawili wa kigeni.

“Mtuhumiwa huyu alichukua fedha kwa raia hao wa kigeni kwa makubaliano ya kuwapeleka safari lakini mwishoni aliwatelekeza hadi Serikali ilipoamua kuwahudumia,”amesema Sabas.

Watoto Walionusurika Kifo Wakwama Kwenda Kombe la Dunia, Pogba Awazawadia

$
0
0
Siku hizi mbili uwanja wa habari za michezo umechangamka, nusu fainali ya kombe la dunia, huku Wimbledon, Ndondo Cup, Cristiano Ronaldo kwenda Juventus na huko Thailand kuna hii issue ya Wild Boars Fc.

Hawa ni timu ya soka ya wototo ambao walinusurika kifo baada ya pango ambalo walijabanza wakikwepa mvua kufunikwa na kifusi cha mchanga na kukaa humo kwa siku 17 lakini siku ya jana Jumanne walifanikiwa kuokolewa wakiwa salama.

Baada ya habari hii kutoka, shirikisho la soka ulimwenguni FIFA liliguswa na jambo hili na likaona ni bora wawape nafasi watoto hawa kusafiri hadi Urusi kushuhudia fainali za kombe la dunia.

Lakini taarifa za madaktari kutoka nchini Thailand zinasema hali ya kiafya ya watoto hawa bado haijakaa sawa na wanaweza kukaa kwa siku 6 hadi 8 hospitali na hii inafuta matumaini ya wao kwenda Moscow kwa fainali siku ya Jumapili.

FIFA wameeleza kwamba baada ya mualiko kwa watoto hao kukwama baasi watatafuta tukio jingine kubwa ambalo wanaweza kuwaalika vijana hao ambao almanusra ndoto zao za soka zizimwe.

Naye kiungo wa Manchester United mara baada tu ya timu yake ya taufa kufudhu kwa fainali ya kombe la dunia 2018 alikwenda Twitter kuandika ujumbe kuhusu ushindi wa Ufaransa na tukio la nchini Thailand.

“Ushindi wetu wa leo ni zawadi kwa watoto wa Thailand, safi sana vijana hakika muna nguvu”, Pogba na wenzake sasa wanasubiri mshindi wa nusu fainali ya pili hii leo kati ya Uingereza na Croatia

Hizi Hapa Kero Kubwa Katika Saloon za Kiume

$
0
0
Kama kichwa cha habari kinavojieleza...kwakweli kuna tabia za vinyozi hua zina kera sana unapokua umeenda kupunguza nywele...

1; Unakuta kinyozi .anapokea simu anaanza kuongea huku anaendelea na kazi ya kukata nywele au anaweza akastop kazi husika na akaendelea kuongea na simu,na unakuta maongezi ya kipuuzi tu...kwakweli inakera sana!

2; Vinyozi wavivu,yeye kazi yake ni kukuzungusha kichwa kama steering vile anaendesha gari...yani yeye hataki kuzunguka,au hata kuzungusha kiti...kazi yake inakua ni kukuzungusha kichwa utasema anataka kuking'oa...kwakweli inakera.

3; Mashine mbovu mbovu, imekua tatzo sana ktk saloon nyingi skuiz...unakuta mashine inabadili mlio afu kinyozi anastop anachukua screw driver anaanza kuikaza kaza baadhinya nati...ikikaa sawa anaendelea na zoezi hilo ni endelevu...inaboa sana!

4; Kinyozi unakuta anakupitishia waya wa mshine mara shingoni,mara unapita kifuani,mara aushike aurishie kati kati ya miguu yako...inakua kero ...hajui kua ule ni umeme cjui...


Kwakweli kero ni nyingi wadau...leteni zenu hapa nahisi wahusika wakisoma watajirekehisha!

By The_forum

Kutana na Dr Mabula Kukutibu Matatizo ya Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO :

Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?


MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja itakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio asirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu.

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo

MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona.

Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Ni Afadhali Rais Magufuli Tunaziona Hata Ndege, Flyovers, Ukuta wa Mererani na Mengine, Huko Nyuma Je?

$
0
0
Kumekuwa na critics nyingi juu ya anayoyafanya RAIS wetu.

Kuna wanaodai ndege sio kipaumbele na kwamba RAIS anapoteza pesa zetu kununulia ndege, kujenga Standard gauge, flyovers, viwanja vya ndege, Stiglers George, ukuta wa Merelani nk.

Inaonekana kama Rais alipaswa kuzipeleka pesa hizo kwenye elimu, afya, kilimo, ajira nk.

Madai haya ni kama vile hizo pesa hapo awali zilikuwepo na zilikuwa zikienda huko wanakotaka ziende lakini sasa Magufuli amezichukua na kufanyia haya anayoyafanya.

Wenye akili tunayopaswa kujiuliza, tena kwa HASIRA na UCHUNGU -hivi hizo pesa huko nyuma zilikuwa zikienda wapi au zilikuwa zikifanyia nini?

Si Afadhali Magufuli ndani ya miaka miwili na nusu tu! tumeshaanza kugombania Vipaumbele na huku Ndege, Reli, ukuta, viwanja vya ndege tukiviona?

Huko nyuma kabla JPM hajaingia "tulipokuwa" na hivyo vipaumbele pesa ilikuwa ikienda huko kwenye elimu, afya na kilimo?

Afadhali JPM katufanya tuanze kujadiliana VIPAUMBELE.

Hii ni dalili nzuri kuwa tupo kwenye RIGHT TRACK!

Shamsa Ford: Vijana Wengi wa Kiume wa Dar ni wambea, Chawa na VibenTen

$
0
0
Msanii wa filamu Shamsa Ford amedai vijana wengi wa kiume wa Dar es salaam ni chawa, wambea na vibenten kwa kuwa walikosa elimu ambazo zingewawezesha kwenda kushindana kwenye soko la ajira.

Muigizaji huyo amedai wanaume anatakiwa kuwa na misimamo na muonekano wa kiheshima katika jamii na sio kuonekana wakifanya mambo ya ajabu.

“Wanawake wenzangu tujitahidi sana kuwapa elimu ya kutosha watoto wetu wote haswa watoto wa kiume. Nimejikuta kuwa na huruma zaidi na watoto wa kiume kwasababu wa kwangu ni wa kiume. Huwa naumia sana nikiona mtoto wa kiume anavyoangaika kupata riziki,” aliandika Shamsa Ford kupitia Instagram yake.

Aliongeza, “Mtoto wa kiume asipokuwa na elimu ya kutosha au ujuzi wowote mwisho wao huwa ni mbaya kuliko watoto wa kike. Sasa hivi vijana wengi ambao hawana kazi au hawakubahatika kusoma ndo WAMBEA,WAPAMBE,VIBENTEN MARA CHAWAAA,”

Muigizaji huyo ameongeza kwa kusema atahakikisha kwa upande wake anatimiza majuku yake ipasavyo ili mtoto wake asiingie kwenye makundi hayo.

“Kuwa mwanaume ni heshima kubwa sana kama ukisimama kwenye misingi ya kiume..Nitauza vitumbua, madira hata kufagia barabara ilimradi mwanangu apate elimu,” alisema Shamsa.

Steve Nyerere Astaafu kuwa Kiongozi Misibani

$
0
0
MSANII maarufu wa vichekesho Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema amekoma kuwa kiongozi misibani kwa sababu ya matusi anayovuna akishika nafasi hiyo. Steve aliiambia Za Motomoto News wikiendi iliyopita kuwa, amekuwa akijitoa kwenye misiba ya wasanii wenzake lakini licha ya wema wake huo amekuwa akivuna skendo za ajabuajabu (kama ulaji fedha za rambirambi) na matusi jambo ambalo linamhuzunisha na kuiathiri familia yake. “Unajua mimi nina watoto, sasa wanapoona yanayoandikwa mitandaoni ya kunitukana na kunifedhehesha kwa vitu vya uongo watanichukuliaje, niseme tu huu msiba wa mtoto Patrick Peter ambaye ni mtoto wa msanii mwenzangu Muna ndiyo wa mwisho, sitajihusisha tena na uongozi; kwenye misiba nitashiriki kama mtu wa kawaida,” alisema Steve

Ray C na Hamisa Mobetto Ndani Ya Bifu Zito na Zari Aingizwa

$
0
0
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C amejikuta katikati ya bifu zito na mzazi mwenza wa Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto.

Sintofahamu hiyo Ilianza siku mbili nyuma baada ya Ray C kuzisema nguo aina ya ‘Fendi’ feki ambazo zimekuwa zikiuzwa sana Hamisa ambaye ni mfanyabiashara ambapo Ray C alitoa kama maneno ya kejeli kuhusu nguo hizo ingawa hakutaja jina.



Basi Hamisa baada ya kuona kama Dongo lile katupiwa yeye basi moja kwa moja akaandika ujumbe ambao uliwakosoa watu ambao hawaonyeshi sapoti kwa biashara za wengine badala yake wanakuwa na wivu.



Baada ya sakata hilo na mashabiki wa Hamisa kumvamia Ray C basi aliweka wazi kuwa hakumtaja Hamisa jina kwa lile Dongo lakini baada ya kuona wanazidi ikabidi amvae Hamisa na kumsema kuhusu Zari na kudai yeye mwenyewe alimuumiza Zari kwa kitendo cha kuzaa na Diamond.


Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Askari Ajiua kwa Wivu wa Mapenzi

$
0
0
Askari ajiua kwa wivu wa mapenzi
Askari mwenye nambari G 3777 PC Nelson William, amejiua kwa kujipiga risasi katika eneo la kambi za jeshi la Polisi alipokuwa anaishi mkoani Mara kwa kile kilichosemekana kuwa ni wivu wa mapenzi.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoani ya Mara Juma Ndaki  amesema kuwa amesema askari huyo amejipiga risasi leo saa 8:30 mchana akiwa eneo la kambi za Polisi alikokuwa anaishi, kutokana na kuwa na mgogoro na aliyekuwa mpenzi wake.

“Kabla ya kujipiga risasi ameacha ujumbe kuwa ameamua kujiua kutokana na wivu wa mapenzi kwa madai amekuwa hana mahusiano mazuri na mwanamke wake ambaye alikuwa ni mpenzi wake, ambaye hakuwa anaishi naye”, amesema Kamanda.

Kamanda Ndaki ameongeza kuwa  askari huyo kabla ya kuchukua uamuzi huo yaliibuka malumbano na mpenzi wake baada ya kwenda kwenye chumba cha mpenzi wake na kisha kuamua kuharibu mali alizomnunulia, baada ya kuharibiwa mali mwanamke aliamua kwenda kutoa taarifa Polisi, kitendo ambacho askari William hakikumfurahisha kwani aliona kama amedhalilishwa.

Kamanda amesema kuwa akaona njia pekee ni kuchukua uamuzi wa kujiua na ilipofika muda huo akaamua kujiua kwa kujipiga risasi, mwili wa askari huyo umehifadiwa chumba cha kuhifadhia maiti wakati taratibu za mazishi zikiendelea.

Fahamu Jinsi ya Kuachana na Mchepuko ili Ubaki njia kuu

$
0
0
Habari za muda huu rafiki yangu, bila shaka u mzima na unaendelea na utaraitibu wako wa kila siku wa kutafuta griss ili kulaini vile vyuma vilivyokaza.

Na siku ya leo naomba tujifunze kwa pamoja kuhusu ni kwa namna gani tunaweza kuachana na michepuko, kwani nimekuwa nikipokea jumbe nyingi sana za wasomaji wangu,  wengi wakiniuliza afisa mipango nifanye nini ili niweze kuachana na mchepuka na kubaki njia kuu?

Nami bila hiana naomba nitirike hapa siku ya leo ili niwaponye wengi kwani swali la aina hii limekuwa likiwatesa wengi,  kwa sababu wengi wa wanaume au wanawake ambao wanachepuka imekuwa ni suala gumu sana kuweza kuondoka katika mchepuko na kubaki njia kuu.

Mtego ambao umekuwa unatumiwa na michepuko kuwanasa wapenzi wa watu wengine, umekuwa upo vizuri kwa sababu pindi watu wanasapo imekuwa ni ngumu sana kunasuka. Kama na wewe ni miongoni mwa watu hao ambao wamekuwa wakichepuka na wameshindwa kunasuka unachotakiwa kufanya ni;

1. Unapokuwa upo pamoja na mchepuko au wahenga wa hivi karibuni huita hawala, unachotakiwa kufanya ni kumsimulia mchepuko wako mambo mengi mazuri ambayo huwa unafanya uwapo na njia kuu. Kama hiyo haitoshi msimulie mchepuko  kuhusu uzuri wa njia kuu pasipo kuona aibu wala kukosoa uzuri na ubaya wa njia kuu. Kufanya hivyo itamsaidia mchepuko huyo ajisikie vibaya kwani michepuko mingi huwa haipendi kusikia habari zinazohusu njia kuu.

2. Punguza mawasiliano na Mchepuko.
Nafahamu fika wakati unapoanza mahusiano na huyo ambaye unamuita after baby mawasilino yalikua ni mazuri sana. Vivyo hivyo kama unataka kuachana na mchepuko  wako basi unatakiwa kufanya ni kufanya kinyume chake, yaani mawasilino yawe ni finyu ikiwezekana yafe kabisa. Muda mwingine akikupigia simu ona kama umeona moto unaowaka.

Mpaka kufikia hapo si la ziada mwisho nimalize kwa kusema  " Mchepuko ni dili feki, tafadhari baki njia kuu.

Mwalimu Aliyembaka na Kumpa Mimba Mwanafunzi Atiwa Mbaroni

$
0
0
Mwalimu Aliyembaka na Kumpa Mimba Mwanafunzi Atiwa Mbaroni
Jeshi la Polisi limefanikiwa kumkamata mwalimu wa shule ya sekondari Loliondo, Erick Kalaliche mkoani Lindi ambaye anatuhumiwa kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wake wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Loliondo kabla ya mwalimu huyo kuhamishwa.

Hayo yamebainishwa jana na Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Ramadhani Ng'anzi  baada ya Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha kutoa agizo la kutafutwa na kukamatwa kwa mwalimu huyo ambaye ametenda kosa la jinai na kuhamia katika shule nyingine.

"Agizo la Naibu Waziri wa Elimu tumelipokea na kama inavyofahamika kuwa kumpa ujauzito mwanafunzi ni kosa la jinai na jarada limeshafunguliwa la kupeleleza tukio hilo kwasababu baada ya kuwasiliana na Mkurugenzi wake yule
mwalimu alipewa uhamisho tangu mwaka 2017 lakini tumewasiliana na wenzetu katika kituo chake kipya kule Lindi na wametuambia kwamba wamefanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo leo hivyo tunafanya mpango wa kurudishwa huku kwenye kesi yake", alisema Kamanda Ng'anzi.

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Elimu William Ole-Nasha amesisitiza kuwa, Wizara yake haiwezi kuvumilia walimu wanaofundisha watoto ambao pia ni kama wazazi wanaofumbia macho vitendo vichafu ambavyo vinarudisha nyuma sekta ya elimu na juhudi za serikali za kuhakikisha watoto wa kike  wanapata haki yao ya elimu.

Kiwanda Cha Sukari Kagera Chaagizwa Kuacha Urasimu

$
0
0
Kiwanda Cha Sukari Kagera Chaagizwa Kuacha Urasimu
Uongozi wa kiwanda cha Sukari Kagera umeagizwa kuacha urasimu katika mfumo wa uuzaji wa Sukari wanayozalisha badala yake kuingiza mtaani kwa wingi Sukari kwa wananchi ili kuepuka kadhia ya upungufu wa huduma hiyo muhimu katika jamii.

Agizo hilo limetolewa na Mawaziri wa sekta ya Kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba na waziri wa sekta ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe Charles Mwijage wakati wakizungumza na uongozi wa kiwanda hicho Jana 11 Julai 2018 walipotembela kiwanda cha Sukari wakiwa kwenye ziara ya siku tatu ya kikazi Mkoani humo iliyoanza Juzi 10 Julai 2018.

Mawaziri hao kwa kauli moja wametoa siku 14 kwa kiwanda hicho kuongeza kasi ya uzalishaji kutoka uzalishaji wa Sukari kwa Tani 350-360 kwa siku ili kufikia walau Tani 450 mpaka 500 kwa siku kwani kufanya hivyo wataimalisha uwezo wa Sukari kupatikana kwa wingi kwa wananchi hivyo kuondoa usumbufu wa gharama katika ununuzi wa bidhaa hiyo.

Aidha, Mawaziri hao wametoa kalipio Kali kwa uongozi wa kiwanda hicho kwa kuwa na mawakala wachache wa usambazaji wa sukari jambo ambalo linapelekea ushindani wa kibiashara kuwa mchache mbinu inayopelekea Sukari kuuzwa kwa gharama isiyokuwa rafiki kwa watumiaji.

Walisema kuwa ndani ya muda mfupi uongozi wa kiwanda hicho unapaswa kutathmini upya namna ya kuongeza Uwekezaji ili kurahisisha huduma za wananchi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2015-2020 hatimaye kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ifikapo mwaka 2025.

Dkt Tizeba alisema kuwa kumekuwa na uingizaji wa Sukari kwa magendo kutoka nje ya nchi kwa sababu Viwanda vya Sukari ndani ya nchi vimefungia sukari kwenye magodaoni bila kuingiza sokoni kwa wingi kuwafikia watumiaji.

Pia, alisema kuwa wataalamu wa kiwanda cha Sukari wanapaswa kutoa elimu ya muwa kwa umma ili kuona umuhimu wa uzalishaji wa zao hilo sambamba na kushirikiana na wakulima wadogo zaidi ya 490 katika vijiji vya jirani na kiwanda hicho.

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe Charles Mwijage alisema kuwa serikali inatazama namna bora zaidi ya kukuza takwimu za uzalishaji wa Sukari nchini hivyo Viwanda vya Sukari vinapaswa kuunga mkono juhudi hizo kwa kuchochea Uwekezaji ili kuongeza tija katika uzalishaji.

Pia alisisitiza kuwa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli haitasita kuvifungia Viwanda vyote vitakavyobainika kukiuka taratibu, sheria na kanuni za nchi katika utekelezaji wa majukumu yake.

Trump Ayataka Mataifa ya NATO Kuongeza Bajeti ya Ulinzi

$
0
0
Trump Ayataka Mataifa ya NATO Kuongeza Bajeti ya Ulinzi
Rais Donald Trump amewataka washirika wa NATO kuongeza kiasi cha fedha mara mbili zaidi kwaajili ya kuongeza bajeti ya ulinzi ambayo kwa sasa wanachangia asilimia mbili tu,na yeye akiwataka kufikia mchango wa asilimia nne kutoka kwenye pato la mataifa hayo. Hata hivyo pamoja na kuhimiza ongezeko amezitaka nchi hizo kulipa ahadi zao za asilimia mbili mara moja.

Pamoja na rais Trump kuhimiza washirika hao wa NATO kuwa na ongezeko la bajeti ya ulinzi,lakini mataifa hayo yamesema hayawezi kutimiza ahadi zao ifikapo mwaka 2024.

Katika hatua nyingine Trump ameilaumu Ujerumani kwa madai kwamba inatumia kiasi kidogo, katika bajeti ya ulinzi wakati ambapo inatumia fedha nyingi katika ununuzi wa bidhaa za nishati, kutoka nchini Urusi,taifa ambalo walipa kodi wa Marekani wanachangia kodi zao kukabiliana na vitisho vyake.

Kansela wa Ujeruman Bi Angela Merkel,amejibu shutuma hizo za Trump na kudai idadikubwa ya wanajeshi wake wapo katika vikosi vya NATO

Bi Merkel Anasema "sisi ni taifa la pili kuwa na kikosi kikubwa cha wanajeshi wetu,tunanatoa mchango mkubwa kijeshi kwa NATO na kushiriki kwa kiwango kikubwa kule Afghanistan,kulinda hata maslahi ya Marekani kwa sababu ya ushiriki wao Afghanstan,jambo ambalo ni mfano wa kuiunga mkono Marekani, kwa mjibu wa kifungu namba tano cha NATO'' Bi Merkel.

Hata hivyo katika mkutano wao wa pamoja na waandishi wa Habari na Bi Angela Merkel,Trump ameonekana kubadili msimamo wake na kuwa na kauli za kuiunga mkono Ujerumani.

"Tumekuwa na mkutano mzuri,tunajadili matumizi ya kijeshi,tunazungumza kuhusiana na biashara.Tuna uhusiano mzuri sana na Kansela na uhusiano mzuri na Ujerumani. Tunaamini kuwa tunafikia mafanikio makubwa sana,na biashara yetu itakua,na mambo mengine mengi yataongezeka.Lakini tunasubiria na kuona nini kinatokea miezi michache ijayo".

Mkutano wa Brussels unakuja ikiwa ni takribani wiki moja tu kabla ya Rais Trump kuwa na mkutano wa kwanza na rais wa Urusi Vladmir Putin mjini mjini Helsinki nchini Finland.


Waziri Tizeba: "Hakuna Bei Nzuri Ya Kahawa Uganda Inayozidi ya Tanzania"

$
0
0
Waziri Tizeba: "Hakuna Bei Nzuri Ya Kahawa Uganda Inayozidi ya Tanzania"
Imebainika kuwa bei ya uuzaji wa Kahawa nchini Uganda haina tofauti kubwa na bei ambayo ingepatikana nchini Tanzania endapo wakulima wangeuza Kahawa zao kwenye soko la awali jambo ambalo linawatoa wasiwasi wakulima wa Kahawa nchini waliokuwa wakidanganywa kuwa bei ya Uganda ni kubwa na yenye tija kwa wakulima kuliko hapa nchini.

Kilogramu moja ya Kahawa ya maganda nchini Uganda inanunuliwa kwa shilingi 2000 ya Uganda sawa na Shilingi 1400 za Kitanzania (exchange rate 1.7) ilihali hapa nchini Tanzania bei ya Kahawa kwa kilo moja ya maganda ni Shilingi 1460 ya bei elekezi hivyo kuwa na tofauti ya Shilingi 60.

Hata hivyo, wakulima wa Tanzania watapata zaidi kwa kuuza mnadani moja kwa moja na kuachana na bei ya shambani kwa kutumia ushirika wao ambapo bei ya chini inayopatikana ni wastani wa Shilingi 1950 kabla ya gharama za uendeshaji.

Kwa kuuza mnadani mkulima anapata bei kutokana na Ubora wa Kahawa yake na ikiwa kwenye madaraja na hivyo kutoa motisha kwa wakulima kuzalisha Kahawa bora kuliko kuuza ikiwa ghafi.

Hayo yamebainishwa jana 11 Julai 2018 na Waziri wa Kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba wakati akizungumza na wadau wa biashara ya Kahawa katika ukumbi wa Happiness Hoteli uliopo katika eneo la Mtukula Wilayani Misenyi.

Dkt Tizeba amezungumza hayo ikiwa ni muda mchache tangu alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara na Ushirika nchini Uganda Mhe Fredrick Ngobi Gume katika mkutano uliohudhuriwa pia na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe Charles Mwijage.

Mkutano huo ni muendelezo wa utekelezaji wa maagizo ya Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli aliyoyatoa wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 2 Julai 2018 na kuitaka Wizara ya Kilimo kufuatilia kwanini wakulima wa zao la Kahawa wanacheleweshewa malipo yao sambamba na kujua kwanini wakulima wanauza Kahawa yao nchini Uganda.

"Ndugu zangu kuna jambo hamlifahamu wale wanaosema Uganda bei ya Kahawa ni nzuri kuliko Tanzania wanawadanganya hakuna bei nzuri Kule kinachofanya watu kupeleka Kahawa Uganda ni kutokana na mikopo wanayokopeshana isiyo rasmi (Butura) hivyo makubaliano ya kurejesha mkopo yanakuwa na masharti magumu yanayowataka wakulima wa Kahawa nchini kulipa madeni kwa kupeleka Kahawa sio fedha" Alisisitiza Dkt Tizeba wakati akizungumza na wadau wa Kahawa eneo la Mtukula Wilayani Misenyi

Waziri wa biashara na ushirika nchini Uganda Mhe Fredric Ngobi Gume amemuhakikishia mwenyeji wake kuwa biashara ya Kahawa nchini humo ina changamoto sawa katika nchi zote mbili kwa kuwa swala la mikopo isiyo rasmi inayowanyonya wakulima (Butura) nchini Uganda ipo kwa kiwango cha juu kiasi kwamba ameomba kuja kuja nchini kwa miadi maalumu kwa minajili ya kujifunza kuhusu namna bora kuendesha ushirika na kuanzisha mfumo wa stakabadhi ghalani.

Aidha, Gume alisema kuwa serikali ya Uganda inayoongozwa na Rais wa nchi hiyo Mhe Yoweri Kaguta Museveni itaendeleza ushirikiano na serikali ya Tanzania inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli hivyo panapohitajika ushirikishwaji katika biashara hususani kwenye sekta ya Kilimo watakuwa na msimamo wa pamoja.

Katika hatua nyingine pande zote mbili kutoka Tanzania na Uganda wameeleza changamoto mbalimbali zinazoikabili mipaka ya nchi hizo ikiwemo biashara ya magendo inayofanyika huku wakiahidi kutokomeza kadhia hiyo.
















   

Huu ndio ugonjwa uliokatisha uhai wa mke wa Ephraim Kibonde

$
0
0

Huu ndio ugonjwa uliokatisha uhai wa mke wa Ephraim Kibonde
Familia ya Kibonde imetaja ratiba ya mazishi ya mke wa mtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds FM, Ephraim Kibonde huku wakieleza chanzo cha umauti cha Sara Kibonde.

Familia ya Kibonde imesema Sara amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani na hadi umauti unamkuta alikuwa amelazwa katika hospitali ya Hindu Mandal.

Sara katika maisha yake ya ndoa na Ephraem Kibonde wamefanikiwa kupata watoto watatu na mwili wake unatarajiwa kuzikwa Ijumaa hii katika makaburi ya Kinondoni.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yaahirisha Uchaguzi Kata 4

$
0
0
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yaahirisha Uchaguzi Kata 4
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi kwenye kata mbili mpya na kuahirisha uchaguzi wa kata nyingine nne. Mabadiliko hayo yanafanya jumla ya kata zenye uchaguzi kuwa 77 badala ya 79 zilizotangazwa awali.

Akizungumza  jana Julai 10, Jijini Dar es Salaam  Mwenyekiti wa NEC, Jaji  Semistocles Kaijage amezitaja kata hizo mpya kuwa ni Kelamfua  ya Halmashauri ya Wilaya ya Rombo na Kata ya Kitaya,  Halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba.

“Kwa mujibu wa Kifungu cha 13 (1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa aliitaarifu Tume uwepo wa nafasi wazi za Madiwani katika Kata ya Kelamfua iliyoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Rombo na Kata ya Kitaya iliyoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba,” alisema Jaji Kaijage.

Jaji Kaijage alisema kwamba nafasi zote mbili za Udiwani zimetokana na kujiuzulu kwa madiwani waliokuwa wamechaguliwa awali.

Alisema uteuzi wa wagombea udiwani utafanyika Julai 16 na  kampeni zitaanza  Julai 17 mpaka 11 Agosti na siku ya kupiga kura ni  Agosti 12.

Jaji Kaijage amevialika vyama vya siasa, wadau wote wa uchaguzi na wananchi kwa ujumla kushiriki uchaguzi huo.

Katika hatua nyingine Jaji Kaijage ametangaza kuahirishwa kwa uteuzi wa wagombea kwenye kata tatu za Tindabuligi, Kisesa, Katumba na Mlimba.

Tume itatangaza hapo baadae tarehe nyingine za uteuzi na uchaguzi katika kata hizo.

Soma Nafasi zilizotangazwa Leo

$
0
0

Kylie Jenner Atajwa na Forbes kama Bilionea kijana Marekani

$
0
0
Kylie Jenner atajwa na Forbes kama Bilionea kijana Marekani
Akiwa na umri wa miaka 20 tu mwanadada mdogo kutoka kwenye familia ya Kardashian, Kylie Jenner, ametajwa Jumatano hii na jarida la Forbes kama binti mdogo bilionea wa America.

Jenner ambaye alijifungua binti aitwae, Stormi mwezi Februari, alianzisha vipodozi vya Kylie miaka miwili iliyopita na kampuni hiyo tayari imeuza zaidi ya $ 630 milioni kwa mujibu wa jarida moja la mitindo nchini humo.

Forbes wameitafsiri kampuni yake hiyo ina thamani ya $ 800,000,000 huku jarida hilo likidai huwenda thamani ya utajiri wake umeongezeka maradufu mpaka kufikia $ 900,000,000.

Mrembo huyo anamiliki asilimia 100 ya kampuni hiyo, ambayo ilianza na mtaji wa $ 29 kwa kuwa na seti ndogo za “lipstick” pamoja na bidhaa nyingine ndogo ndogo za urembo.


Kwa sasa binti huyo ndio tajiri mdogo zaidi kwa mujibu wa jarida la Forbes kwa wanawake tajiri zaidi ya Marekani, na ameweza kuwa tayari mdogo zaidi duniani na kumpiku Mark Zuckerberg, ambaye ambaye utajiri wake ulikuwa kwa kasi zaidi akiwa na umri wa miaka 23.

“Asante @Forbes kwa makala hii na kutambuliwa .. Nimebariki sana kufanya kile ninachokipenda kila siku,” alieleza Jenner.

Mafanikio yake yamehusishwa na umaarufu wake na uwezo wa kuimarisha vyombo vya habari vya kijamii. Ana wafuasi zaidi ya milioni 110 kwenye Instagram, milioni 25.6 kwenye Twitter na milioni 16.4 kufuata kampuni yake moja kwa moja.

Forbes alisema kampuni hiyo ina wafanyakazi saba tu wa muda wote na watano wa muda, pamoja na viwanda.

“As ultralight startups go, Jenner’s operation is essentially air. And because of those minuscule overhead and marketing costs, the profits are outsize and go right into Jenner’s pocket,” Forbes wrote.

Jenner ni binti mdogo kabisa wa Kris na Caitlyn, aliyekuwa na medali ya dhahabu wa Olimpiki Bruce. Dada yake ni supermodel Kendall. Na ndugu zake wengine ni Kim, Kourtney, pamoja na Khloe Kardashian.
Viewing all 104706 articles
Browse latest View live




Latest Images