Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Twaweza: Hatuhusiki Kusambaza Barua ya Costech Mitandaoni

0
0
Twaweza: Hatuhusiki Kusambaza Barua ya Costech Mitandaoni
Muda mfupi baada ya Tume ya Sayansi na Teknolojia, (Costech) kusema wamesikitishwa na kitendo cha kusambaa mitandaoni kwa barua waliyowaandikia taasisi ya Twaweza, Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Aidan Eyakuze amesema hawajahusika kuisambaza.

Eyakuze ameyasema hayo leo Julai 12, kwenye ukurasa wa twitter wa taasisi hiyo.

“Kama tulivyosema awali, tumepokea barua kutoka Costech na tunaifanyia kazi. Twaweza haijasambaza barua hiyo wala kuhusika kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii,” imesema taarifa hiyo

Eyakuze amesema, barua zote zinazopelekwa Twaweza huwekwa muhuri mbele ya aliyetumwa kuipeleka pamoja na risiti.

“Barua inayosambaa mitandaoni haina muhuri wetu, tunaheshimu mawasiliano yote yanayofanywa na wadau wetu,” amesema

Leo Kaimu Mkurugenzi wa Costech  Dk Amos Nungu alizungumza na wanahabari na kusema wamesikitishwa na kusambaa mitandaoni  kwa barua hiyo waliyopelekewa Twaweza

Hii ni Habari Njema Kwa Wale Wote Waliohangaika na Matatizo ya Magonjwa Sugu Yaliyokosa Tiba

0
0

"HII NI HABARI NJEMA KWA WALE WOTE WALIOHANGAIKA NA MATATIZO YA MAGONJWA SUGU NA YALIYOKOSA TIBA" sasa usikate tamaa tiba imepatikanika kwa DK. ABDALA MUSSA anatibu matatizo kama yafuatayo: 

Nguvu za kiume, uzazi, kisukari, tezi dume, vidoda vya tumbo, mgongo kuuma, miguu kuwaka moto na mataizo uliyonayo 

1/ITAGULA- ni dawa ya mkosi kuosha nyota, kumvuta mpenzi, mke, mume, kuua kesi na kupata kazi haraka kama umeomba maombi serikalini au kampuni binafisi unaitwa ndani ya siku mbili 2/ 

NINJIWE- ni dawa inayomaliza matatizo ya wanaume heshima ndani ya ndoa, kuwa na nguvu za kiume milele na kukomaza mbegu na kuwa na uwezo kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila kuchoka kama umezaraulika na kufanya tendo na kusinyaa uume dawa ipo dozi yake siku sita vidoge 12 pia kuna na unga inayokomaza uume ndani ya siku 7 unapona kabisa. 

3/MPALALA- ni dawa ya kutibu busha miguu kuwaka moto, kiuno, kisukari. 

4/NGEKEWA- ni dawa ya kuvuta wateja kwenye biashara yoyote kuwa na wateja wengi katika biashara na kuzuia chuma ulete. 4/LINGWATA- ni dawa ya punguza unene, mafuta tumbo, matiti, miguu, hipsi na kutengeneza shepu dawa hii ni ya unga ukitumia utaona mabadiliko baada ya siku 3. 

5/DUBISHO- ni dawa zindiko la mwili, majumba, gari, biashara, mteja wangu huduma utaipata mahali popote ulipo kuna wanasaplai mahali ulipo kama huna muda wa kufika osifini mkoa wa dar-es-salaam, iringa, kanda ya ziwa wilaya ya bunda. angalizo kwa wateja usitume sms wala kubipu huduma yangu ni kuanzia saa 12 asubui hadi saa 12 jioni kwa wateja wa dar-es-salaam ofisi ipo buguruni na mbagala zakhem na kwa wale walio nje ya mkoa dawa hizi mtazipata kwa njia za mabasi. punguzo la bei kwa wateja 5 wa kisukari na nguvu za kiume 

KWA MAWASILIANAO ZAIDI WASILIANA NA DK. ABDALA MUSSA KWA SIM NAMBA 0767-171773/ 0716-608959 WOTE MNAKARIBISHWA:

Ukisikia Mwanamke Kujikubali Umbo Lake ndo Hivi (Body Positivity)

0
0
Harakati za kujikubali na kujiamini na mwili wako hata uwe wa size kubwa kiasi gani ambao kwa nchi za wenzetu wanaita body positivity imezidi kupamba moto mpaka kufanya wanawake kutojali miili yao na kupiga picha na nguo zikionyesha maungo yao.. Je mdau we unahoja gani kuhusu hili?.

Mfano:


Mwanamke akataa kuolewa na Mwanaume aliyemtolea Figo

0
0

Mwanaume anaeitwa Simon Louis (49) amekataliwa ombi lake na mpenzi wake la kumuoa Mary Emmanuella (41) ambaye ni mpenzi wake aliyempenda mpaka kuokoa maisha yake mara baada ya kujitolea figo yake kumpandikizia na kunusuru maisha yake pindi figo zake zilipofeli.

Hata hivyo Simon alipohojiwa na Mwandishi wa Metro UK alisema kuwa hajutii maamuzi yake ya kumpa figo mwanamke huyo aliyempenda hata mara baada ya kukataa ombi lake alipopona ugonjwa uliokuwa unamsumbua.

“Nilimpa moyo wangu, lakini pia nilijifikiria nikampa na figo yangu, chochote kilichotokea sijutii wala sitojutia kwa kumpa zawadi ya maisha,” amesema Simon.

Aidha Mary Emmanuella amesema ataendelea kuwa rafiki wa karibu wa Simon.

“Ni rafiki yangu sana na daima itakuwa hivyo, mapenzi kati yetu ni ya kweli, Simon angefariki kwa kile alichokifanya kwa ajili yangu,” amesema Simon

Huyu Hapa Muuza Madawa ya Kulevya Aliyependwa na Wananchi Mpaka Kupewa Jina la Yesu na Mlinzi wa Amani

0
0
TAJIRI WA UNGA AKAWA MWEMA MPAKA AKAITWA YESU

Christopher Coke a.k.a Dudus, ni tajiri wa dawa za kulevya, akiongoza genge la Shower Posse.

Genge hilo na mtandao mzima wa unga, Dudus au President alirithi kutoka kwa baba yake, Lester Coke a.k.a Jim Brown au Ba-Bye aliyeuawa gerezani mwaka 1992.

Shower Posse makao makuu yake yapo Tivoli Gardens, Kingston, Jamaica.

Dudu alikuwa mtu mwema. Alisaidia fedha familia maskini, alilipia ada wanafunzi ambao wazazi wao hawakuwa na uwezo, zaidi alitengeneza ajira nyingi kwa vijana.

Hayo yalisababisha apendwe sana. Dudus aliitwa Rais wa Tivoli Gardens, alilindwa na kila mwananchi. Serikali ya Jamaica pia ilimlinda, maana alikuwa mfadhili wa viongozi.

Marekani ilitaka Dudus akamatwe lakini Serikali ya Jamaica haikutekeleza.

Dudus alipokamatwa na Marekani mwaka 2010, kwananchi wa Jamaica, hususan wakazi wa Tivoli Gardens, waliingia mitaani na kuandamana, wakitaka Dudus aachiwe huru.

Wananchi walikuwa na mabango yaliyoandikwa kuwa Dudus ni mlinzi wa amani ndani ya Tivoli Gardens, hivyo aachiwe. Wapo waliokwenda mbali zaidi na kuandika kwamba kumkamata Dudus ni sawa na alivyokamatwa Yesu kwa sababu ni mtu safi.

Wananchi wa Jamaica, hasa wa wakazi wa Tivoli Gardens, walikuwa hawaambiwi kitu kuhusu Dudus. Tuhuma zote za kuhusika na dawa za kulevya, waliona ni uzushi.

Ijumaa ya Juni 15, 2012, Mahakama ya Kuu ya New York, ilimhukumu Dudus kifungo cha miaka 23 jela. Miaka 20 ikiwa kwa kosa la kupanga njama na kufanya biashara haramu na miaka mitatu kwa kosa la kuuza bunduki Marekani bila utaratibu.

Sheria ya Marekani ni kufilisi mali zote za wauza dawa za kulevya pindi wanapokutwa na hatia, lakini imekuwa vigumu kumfilisi Dudus, maana uwekezaji wake wote ameufanya Jamaica ambako Serikali inamlinda.

Hata sasa, genge la Shower Posse linaendelea na kazi ya usafirishaji wa bangi, cocaine na silaha kwenda Marekani, japokuwa bosi wao yupo jela.

Ipo hofu kuwa hata baada ya Dudus kumaliza kifungo jela, huenda Serikali ya Marekani isimwachie huru kwa sababu ya hofu kwamba atarudi kazini kwake na kuzidi kuwaangamiza Wamarekani kwa kuwauzia dawa za kulevya na silaha haramu.

Huyo ndiye Dudus wa Tivoli
By @luqmanmaloto

Ufaransa kutumia uzoefu kuwanyanyasa Croatia ?

0
0

Ufaransa ambao wameshawahi kutwaa ubingwa wa dunia mara moja, watacheza fainali ya kombe la dunia dhidi ya Croatia, taifa ambalo ndio litakuwa linacheza hatua hiyo kwa mara ya kwanza.


Bao la Mario Mandžukić (mwenye jezi nyeusi) alilofunga dakika ya 109 na kuipeleka fainali timu yake.

Hii imekuja baada ya Croatia kuwaondoa England katika mchezo wa nusu fainali kwa kipigo cha mabao 2-0, katika mchezo ambao umechezwa kwa dakika 120. Bao la Mario Mandžukić dakika ya 109 liliungana na bao la kusawazisha la Ivan Perisic la dakika ya 68 na kulipoteza bao 1 la kutangulia la England lililofungwa na Kieran Trippier.

Mchezo wa fainali sasa unakutanisha mataifa mawili yenye historia tofauti, ambapo Ufaransa wanauzoefu zaidi wa kucheza hatua ya fainali wakiwa tayari wameshacheza mwaka 1998 na kutwaa ubingwa dhidi ya Brazil huku wakipoteza fainali ya mwaka 2006 dhidi ya Italia.

Kwa upande wa Croatia wao ni wageni wa hatua hiyo wakiwa ndio wamefika kwa mara ya kwanza. Wakiwa na kizazi cha dhahabu Croatia wamekuwa na safari imara kuanzia hatua ya makundi ambapo waliongoza kundi kwa kushinda mechi zao zote ikiwemo 3-0 dhidi ya Argentina.

Nayo timu ya taifa ya England imekuwa na bahati mbaya na hatua ya nusu fainali ikiwa imeshaondolewa katika nusu fainali 4 tofauti. Ilipoteza nusu fainali ya Euro 1968 dhidi ya Yugoslavia, ikapoteza nusu fainali kombe la dunia mwaka 1990 na Euro 1996 zote dhidi ya Ujerumani pamoja na ya leo dhidi ya Croatia.



Tumia Super Mkuyati Kurudisha Heshima ya Ndoa

0
0
SUPER MKUYATI ILIYO IMARA KURUDISHA HESHIMA YANDOA

Super mkuyati nidawa ya mitishamba iliyo sheheni miti mbalimbali na kugundulika ina pambana na magonywa sugu ya uzazi na ukosefu wa nguvu

SUPER MKUYATI inanguvu (3) nainafanya kazi kwapamoja (1) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 15-20 bila kuchoka (2) ina zalisha homon kwa wingi na kukufanya uwe na mbengu nyingi zenye vimeleo vya uzazi vyilivyokomaa (3) inaongeza ume mdogo uliosinyaa,kunenepesha uume na kurefusha adi nchi 5-8 na upanda sm 2-3 dawa hii haina mazara kwa mtumiaji ata kwa wazee walionaumri 60-80

SUPER MKUYATI ponyo la maradhi yako tumia Leo uone mjabu yake

 FIKA OFISI YETU ZINAPATIKANA DR MTONI KIJICHI KAMA UNA NAFASI UTALETEWA POPOTE ULIPO KWA WAMIKOANI UTATUMIWA

DR GATUNDU

0717777402/0768408794

Unataka Kumjua Mchawi Wako Kazini? Soma Hapa..!!!

0
0

Unakumbuka wiki ya kwanza ulipoianza kazi unayoifanya? Unakumbuka ulipoipata kazi hiyo uliwaambia watu wangapi na namna ulivyokuwa na furaha? Ilikuwa sherehe moyoni mwako. Kila kitu kilikuwa vizuri, ilikuwa habari njema na baraka kubwa kwako.

Mapokezi uliyopewa na muajiri wako mpya muda mfupi baada ya kusaini mkataba wako na maneno ya faraja yalikufanya ujione umeingia kwenye njia ya mafanikio haswa. Naipata picha nzima ya siku ulipokuwa unatambulishwa kwa kila mwajiri uliyemkuta ofisini.

Huenda Boss wako alikuwa mtu mwema sana, alikukaribisha vizuri na kuanza kukuelekeza kazi na hata ulipokosea alikuwa muungwana sana kwako na kukuelekeza taratibu hadi alipohakikisha umeelewa kweli.

Lakini sasa kila kitu kimebadilika, unaichukia kwa nguvu zote ile ofisi… Boss wako anakuandama kila wakati, kila unachofanya kwake hakifai. Muda mwingine anatumia maneno makali yanayokukwaza. Kile kipato ulichokifurahia wakati unaanza kazi sasa hakitoshi kabisa. Hii inakufanya uzidishe chuki yako na unatamani uondoke punde tu ukipata pa kukimbilia.

Unahesabu saa za kazi, sasa unaziona nyingi. Unatamani muda ufike ukimbie kutoka ofisini ukapumzike kwa sababu ni chanzo kikubwa cha msongo wa mawazo ulionayo.

Sio bure, kuna uchawi katika kazi unayofanya. Ndio, uchawi unaoufahamu ila hujatambua chanzo chake.

Ngoja nikuelekeze alipo mchawi wa kazi yako:

Watu wengi wanapokuwa kwenye matatizo kama haya ofisini, huanza kufikiria mbali sana. Kila aina ya sababu itatafutwa ikiwa ni pamoja na ushirikina. Lakini kufanya hivyo ni sawa na kwenda kwa jirani kumtafuta kunguni anayekung’ata kitandani kwako. Kunguni huyo yuko ndani mwako, utapoteza muda kumsaka kwa jirani.

Jipime kama una dalili hizi:

    1. Majigambo

Katika hali ya kawaida inawezekana kweli wewe ndiye unayefanya kazi kwa bidii na unajua vitu vingi kuliko wenzako, sasa zaidi hata ya wale uliowakuta kazini. Kwakuwa unafahamu hilo, ullianza kujigamba bila taratibu. Ulitaka wote wafahamu kuwa wewe ndiye kiungo muhimu katika ofisi hiyo na hata Boss wako anakutegemea zaidi wewe.

 2. Kutangaza umeichoka kazi yako/huipendi

Unapokuwa ofisini, kuna wakati unaona wafanyakazi wenzako kama wote ni rafiki zako hususan pale mnapokuwa mnapiga polojo mida ya ‘lunch’, na ndipo unapojikuta unatoa lawama kwa Watawala au muajiri. Kueleza kuwa huipendi tena kazi hiyo. Habari hizi hufika mbali na muajiri huanza kukuona kama kikwazo kwenye timu yake.

  3. Kujihusisha na umbea

Umbea una tabia mbili. Unapojihusisha na umbea, tambua kuwa yule mnaemsema leo hatasemwa tena kesho. Habari zako zitasemwa na uliyoyasema yataripotiwa. Huenda ulikuwa unaonekana mkamilifu ulipokuwa unaingia, lakini habari anazopata Boss wako ambazo ni mazao ya umbea mliopiga kwenye ‘kolido za ofisi’, zimembadili.

 4. Uko ‘emotional’ na unaonesha

Unapotofautiana na Boss wako, unaonesha hisia zako kwa kiwango cha juu. Kulia, kukasirika hadi kushindwa kufanya kazi za siku huku ukigonga baadhi ya vitu kuonesha hasira yako. Kuongea kwa hasira mbele ya wafanyakazi wenzako kuhusu Boss alivyokukwaza na hata kumwabia. Kugoma kula au kugoma kupokea simu za ofisini kwa sababu umekasirishwa sana. Hili ni tatizo kubwa kwenye ajira yako.

  5. Unadanganya

Wewe uligeuka kuwa bingwa wa kumpanga Boss wako, unajua nini ukimpiga ‘fix’ ataelewa. Bahati mbaya, Boss wako aliwahi kuwa kwenye nafasi yako kwahiyo anajua. Kubaini kuwa unamdanganya kunamuondolea uaminifu aliokuwa nao juu yako.

 6. Muda unaougusa mlango wa ofisi

Unaingia kazini umechelewa angalau dakika 15 na zaidi. Of Course kama uko Dar es Salaam unakuwa na jibu lako umelitenga kabisa, “Boss samahani nilikwama kwenye foleni.” Boss wako akikupigia simu ya ofisini angalau dakika 5 tu baada ya muda wa kazi hakupati kwa sababu ulishaondoka kwa kuwa ulianza kufungasha vyako dakika 15 zilizopita. Unawahi Foleni.

  7. Unajua sana

Baada ya kufanya kazi kwa muda fulani, sasa wewe ndiye mtaalam unaefahamu zaidi na kweli una akili nyingi sana. Unamuonesha Boss wako kiwango chako cha kujua na kukosoa. Kumbuka Kikombe kilichojaa maji hakiongezwi maji..!

 8. Unafanya kazi kwa bidii, kama jana kama mwaka jana (Haukui)

Unaamini unafanya kazi kwa bidii. Kama jana, kama mwaka jana. Na ukijipima na wenzako unaona unafanya kazi kama wao tu lakini unaandamwa wewe. Unapaswa kutambua kuwa haukui, hauna ubunifu na hauongezi uzalishaji. Kwa ufupi biddi yako imedumaa. Unafanya kama jana, kama mwaka jana kwa bidii. Kila mwajiri anahitaji zaidi ya bidii.. anahitaji mtu anayekua.

 9. Unabeba Kazi na Sifa za Timu kuwa zako

Unaweza kuwa unajiweka wewe kwenye kazi ambazo hukufanya peke yako na kutaka ionekane kama wewe ndiye uliyefanya zaidi. Kweli, inawezekana kuwa ulifanya wewe zaidi. Kiongozi mzuri ataona wewe unataka kuua vipaji vya wengine na kutaka usifiwe wewe kwanza.

10. Umepoteza uwezo wa kusikiliza

Kwa sababu unaamini unafahamu vitu vingi, umepoteza uwezo wa kusikiliza maelekezo kama awali. Hivi sasa wewe una uwezo mkubwa zadi wa kueleza. Unaamini unajua mengi na unataka usikilizwe wewe. Wenye uwezo wa kusikiliza zaidi ya kuzumgumza huongeza zaidi ufahamu.

Kama dalili hizi zinakuhusu… naamini tayari umeshamjua mchawi wako kazini. Mchawi wako kazini ni ‘Wewe’. Hivyo, unapaswa kubadilika haraka sana kuinusuru ajira yako iwe ya furaha.

SEHEMU Tano za Mwili Wako Ambazo Hupaswi Kuzigusa kwa Mkono..!!!

0
0
Mikono yetu ni kiungo muhimu sana kinachoweza kupapasa karibu asilimia 99 ya miili yetu bila shida, lakini tafiti zimeonesha kuwa ni hatari zaidi kwa afya yetu kushika sehemu kadhaa hususan sehemu hizi tano.

Katika hali ya kushangaza, utafiti uliofanywa na jopo lililoongozwa na Profesa Kelly Reynolds wa Chuo cha Zuckerman College of Public Health kilichoko ndani ya Chuo Kikuu cha Arizona, unataja maeneo hayo ya mwili. Baadhi ya maeneo hayo ni haya yafuatayo:

Macho

Kama jicho lako halikulazimishi kulishika labda pale unatoa uchafu wa aina yoyote kwa namna inayofaa, hakikisha hauligusi kabisa. Hii ni kwa sababu mikono yetu inabeba mambo bakteria ambao wanaweza kudhuru macho yetu taratibu na kudhurika bila kufahamu haraka.

Uso

Uso ni sehemu ambayo ni rahisi sana kupeleka mkono mara kwa mara. Ni ngumu sana kuacha kufanya hivyo hususan kwa tunaofanya kazi za kutoa jasho au kutembea sehemu ambazo zinatoa jasho. Pamoja na mambo hayo, wataalam wamebaini kuwa ngozi ya uso ni ngozi ya kipekee na inapaswa kutunzwa kwa uangalifu zaidi. Mikono yetu ambayo hubeba mafuta mafuta pamoja na bakteria inaweza kudhuru ngozi zetu za uso.

Mdomoni (Nje na Ndani)

Utafiti zilizofanywa hivi karibuni nchini Uingereza umebaini kuwa mtu ambaye ameboreka (bored) kazini hushika maeneo ya mdomoni zaidi ya mara 23.6 kwa saa moj. Hali hii ni tatizo kubwa kwani utafiti umebaini kuwa robo tatu ya bakteria wabaya hupitia kwenye mdomo.

Ndani ya Pua

Kuna watu ambao kuchokonoa mapua yao ni sehemu ya tabia iliyojengeka. Kwa bahati mbaya, tafiti za kitabibu zimebaini kuwa watu wanaochokonoa pua zao kwa vidole wako katika hatari kubwa zaidi ya kushambuliwa na bakteria (staph bacteria) zaidi ya wale ambao hawafanyi hivyo.

Ngozi ya chini ya kucha

Ni kosa kubwa kutunza kucha zako kuwa ndefu kiafya. Kucha hubeba uchafu hata ule ambao huwezi kuuona kwa macho, bakteria wanaweza kujificha chini ya ngozi za kucha yako. Bakteria hao wanaweza kuwa chanzo kikubwa cha kuharibu afya yako. Hivyo, jitahidi kutofuga kucha, hakikisha kucha zako ni fupi kwa kiasi cha kutosha ili usiipe nafasi bakteria kuishi.

Lakini kama unafuga kama urembo, unapaswa kuwa na matunzo ya ziada ya namna ya kupambana na bakteria ambao huwaoni kwa macho.


Note: Sehemu za siri ni shemu ambazo kila unapotaka kuzigusa fahamu kuwa ni sehemu ambazo zikiguswa na bakteria uliowasomba na mikono yako zinaweza kukusababishia madhara makubwa.

SEHEMU 4 za Mwili Usizopaswa Kumshika Mkeo Nyakati Hizi 18+..!!!

0
0
Ingawa kuna mtazamo uliojengeka katika jamii kuwa ukishamuoa mwanamke na mkawa mwili mmoja basi una kila haki ya kumshika sehemu yoyote uipendayo hasa wakati unahitaji kufanya nae tendo la ndoa.

Lakini utafiti na uzoefu uliokusanywa na wataalam wa mahusiano na ndoa waliofanya mahojiano na wanawake kama kuna sehemu wazisopenda kuguswa na waume zao na nyakati husika, umetoa picha na mtazamo ambao wanaume wanapaswa kuufahamu mapema kabla hawajaingia katika hatari ya kuwa kero au kuwakwaza wake zao.

Kama tunavyofahamu, wanawake ni viumbe wenya mlango mmoja wa ziada wa fahamu kuwapita wanaume. Hii nitaizungumzia siku nyingine. Lakini mlango huu wa ziada ndio huwapa hisia ya ziada pamoja na kuwafanya kujali sana vitu ambavyo mwanaume hasa mwenye haja ya kufanya tendo anaweza asizingatie sana anataka kukidhi haja yake.

Ukifuatilia sehemu hizi za mwili wa mwanamke nitakazozitaja na nyakati zake, utabaini kuwa ni rahisi sana kufahamu kwani mwanamke katika nyakati hizo anaweza kuonesha kusita sana wakati anataka kuguswa.

1. Chuchu wakati miili yao inaendelea na shughuli nyingine za ndani

Idadi kubwa ya wanawake huwa hawapendi kuguswa na wanaume chuchu zao wakati wananyonyesha au wakati wako katika hedhi. Hiki ni kipindi ambacho kama mwanamke ananyonyesha na mwanaume anataka kumgusa sehemu hiyo basi maziwa yanaweza kutoka kwa kasi na kumfanya ajisikie hayuko ‘confortable’ kuendelea na zoezi la kushiriki tendo.

2. Kwapani wanapokuwa wanatoka jasho kabla ya kuoga

Wanaume wengine huwa na hisia za matamanio zaidi wanapoyaona makwapa ya wake zao. Hii ni hali ya kisaikolojia inayojengeka kwa baadhi japo sio wengi. Kuna wanaume wakiona kwapa la mwanamke basi matamanio yao huongezeka mara dufu. Lakini wanawake wengi wameeleza wazi kuwa hujisikia vibaya na kukosa amani pale wanaume zao wanajaribu kuwashika kwapani wakati ambapo wametokwa jasho.

3. Sehemu za siri kabla ya kuoga

Hili ni eneo ambalo wanawake wengi wameonesha kulalamikia waume zao. Kwa mazoea wanaume wengi huwa kama wanawabaka wake zao bila kufahamu, hasa pale wanapotoka safari zao wakiwa na matamanio. Lakini wanawake wengi wameeleza wazi kuwa hupoteza hali ya kuwa ‘comfortable’ pale wanapoguswa na wanaume zao sehemu za siri wakati bado hawajaoga.

Wanaume wengi hujikuta wakishiriki tendo la ndoa na wake zao ghafla baada ya kukamilisha kazi kadhaa za ndani wakati wanawaangalia. Wanaume wanaweza kuwa wanafurahia zaidi tendo hilo lakini wanawake pamoja na kwamba hufurahia pia lakini mlango wao wa ziada wa fahamu huwafanya kukosa amani kwa kiasi fulani wakati wa tendo ukilinganisha na nyakati ambazo wanajiamini ni wasafi.

4. Nywele zao dakika chache baada ya kutoka saloon kujiremba

Ingawa unaamini kuwa mkeo alienda saloon kujiremba kwa ajili ya kukuvutia wewe, usithubutu kutaka kuzivuruga nywele zake dakika chache baada ya kutoka kwa mtaalam wa kutengeneza nywele, hata kama pesa aliyotumia ulimpa wewe.

Hiki ni kama kituko hivi, lakini ndio ukweli. Wanawake hutumia muda mrefu sana kwenye vibanda au saloon za gharama kwa ajili ya kujiremba ili waongeze mvuto. Lakini, hugeuka kuwa walinzi wa vichwa vyao angalau kwa saa kadhaa. Msifie uwezavyo, lakini nywele zake usizivuruge mapema mtaharibiana ‘mood’.

Haya ni kati ya mambo machache ambayo wanaume huyaona madogo sana na kufuatilia yale wanayoamini ni makubwa zaidi. Lakini mambo haya ni kati ya machache yanayokwangua taratibu kuta za hisia za mwanamke kwa mmewe.

VIDEO:Mfanyie Mkeo Style Hizi Hatokusahau Milele

0
0
Mfanyie Mkeo Style Hizi hatokusahau milele, Tazama Hii Video Hapa Chini Ujionee Mwenyewe

VIDEO:

Huna Sababu ya Kuaibika Tena, Jipatie Dawa Bora ya Tatizo la Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

0
0
HUNA SABABU YA KUAIBIKA TENA........ JIPATIE DAWA BORA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO

Matatizo ya nguvu za kiume yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIFINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUPER MORISIS :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr CHILAMBO mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAUSHAURI NA TIBA WASILIANA NA DR CHILAMBO ATAKUSAIDIA MATATIZO YAKO, NIPO DAR ES SALAAM PIA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO NYOTE MNAKARIBISHWA.

0744 391 089 / 0622344969

Baada Msiba wa Patrick Kuisha Casto Dickson Arudi kwa Namna Hii

0
0
Baada Msiba wa Patrick Kuisha Casto Dickson Arudi kwa Namna Hii
Baada ya ukimya wa wiki moja, Casto Dickson Jumatato hii amepost picha yake ya kwanza ikawa ni siku 4 toka mtoto wa Muna, Patrick Peter ambaye alikuwa akidaiwa ni wake azikwe katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam.


Mtangazaji huyo wa kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, hakuweza kuzungumza chochote wala kuonekana toka msiba huo utokee licha ya aliyekuwa mpenzi wake, Muna kudai mtoto huyo alikuwa ni wake na sio wa Peter Komu ambaye alikuwa mume wake wa ndoa.


Kauli hiyo ya Muna iliwasha moto upande wa familia ya Peter ambapo ilidai kwamba itakwenda mahakamani kama mrembo huyo asingekubali kutoa mwili wa mtoto huyo ili wamzike kwa kuwa ni mtoto wao na wanavielelezo vyote.

Baada ya kauli hiyo Muna ambaye alikuwa nchini Kenya pamoja na mwili wa marehemu, aliamua kukubali kutoa mwili wa mtoto huyo na kushirikiana na familia ya Mzee Peter kwaajili ya mazishi na kuzikwa Jumapili hii katika makaburi ya Kinondoni.


Kupitia Instagram, Casto amepost picha yake ya kwanza na kuonyesha kumshukuru Mungu, lakini picha hiyo imevuta hisia mpya kwa wasanii pamoja na wadau huku wengi wakimpongeza mtangazaji huyo kwa kuamua kukaa kimya kipindi chote cha matatizo.

Maoni wa wadau hao pamoja na wasanii.

Petermpangala16
Kaka hakuna kama wewe kweli nimeamin ukubwa dawa.


Gipcegapson
Dah pole sana brow kwa mambw uliyopitia ila kama Mwanaume umejikaza na umesimama tena Mungu yuko upande wako.. Big up sana.


Kisura_04
Nimependa sana @castodickson hongera kwa kuvumilia ukimya ni busara kubwa kwa nyakat ngum kama ulizoptia keep t mr yu will speakout when yu think is the right time.

Adamchomvu
Means life ma nigger…worry not sisi ndio binadamu matatizo ni yetu.

eduboytz
Mfano wa kuigwa.

Missmandoza
God is good 🙏🏾

Siku mbili kabla ya kifo cha Patrick, Casto alihojiwa na Clouds TV na kumlaumu Muna kutomuhusisha kwenye ishu za kuugua kwa mtoto huyo ambaye alikiwa anasumbuliwa na uvimbe kichwani.

Alisema hayo baada ya Muna kuonekana kuangaika peke yake kuhusu matibabu ya mtoto wake huyo.

Chemical Awajia Juu Wanamkosoa "Uwanamke Wangu si wa Mavazi Upo Nyonyo"

0
0
Chemical Awajia Juu Wanamkosoa "Uwanamke Wangu si wa Mavazi Upo Nyonyo"
Msanii wa muziki wa hip hop, Chemical amewajia juu mashabiki ambao wanamkosoa namna anavyovaa nguo huku wengi wakidai anavaa sana nguo za kiume kuliko za kike.


Mrembo huyo ameonyesha kuchukizwa na kauli hizo hali ambayo imemfanya awatolee uvuvi wote ambao wamekuwa akimtupia maneno kuhusu munonekano wake wa mavazi.

“Kama kuna mwanaume anaweza kuvaa nguo zangu ajue kabisa sio mwanaume aliyekamili na atakua na matatizo,” aliandika rapa huyo kupitia instagram.

Aliongeza, “Na wewe ambaye kila ukikaa unajudge mavazi yangu na muonekano ujue unajipotezea muda navaa navyojisikia kuvaa na uwanamke wangu si wa mavazi..Upo nyonyo👌. Mwanaume kamili anajua mimi ni mwanamke. Kama huwezi kushabikia mziki wangu bila kuangalia mavazi hufai kua shabiki wangu pia..shenz type Mxiuuuw,”

Mwanadada huyo amekuwa aliandamwa sana mitandaoni kutoka na mavazi ambayo amekuwa aliyavaa.

Achapwa Viboko 80 Hadharani kwa Makosa Aliyoyatenda Akiwa na Miaka 14

0
0
Achapwa Viboko 80 Hadharani  kwa Makosa Aliyoyatenda Akiwa na Miaka 14
Amnesty International imelaani mamlaka nchini Iran kwa kumchapa viboko hadharania mwanamume ambaye alipatikana na hatia ya kunywa pombe wakati alikuwa na umri wa miaka 14.

Vyombo vya habari vilichapisha picha za mwanamume ambaye alitambuliwa kama "M R" akichapwa viboko 80 kwenye mji ulio mashariki wa Kashmir siku ya Jumanne.

Waendesha mashtaka wanasema alikamatwa wakati wa maadhimisho ya mwaka wa Iran wa 1385 wa kati ya (Machi 2006 na Machi 2007) na alihukumiwa mwaka uliopita.

Wanaume waliofanya mapenzi wachapwa viboko 85 Indonesia
Wanafunzi wasulubiwa na kutandikwa viboko kwa kuchelewa
Haijulikani sababu iliyochangia adhabu hiyo kuchukua zaidi ya miaka 10 kutekelezwa.

Picha hizo zinaonyesha mwanamume akiwa amefungwa kwenye mti akichapwa na mtu ambaye amejifunika uso. Umati mdogo wa watu nao wanaonekana wakitazama kwa mbali.

Mwaka 2014 raia sita wa Iran walihukumiwa jela na viboko 91 baada ya kukamatwa baada ya kuonekana wakiuchezea densi wimbo wa Pharrel Williams.

Mambo yanayoweza kusababisha uchapwe viboko Iran
Uzinzi, kupiga busu hadharani, wizi, vitendo vinavyohusiana na mapenzi ya jinsia moja na kufuru yote hayo yanaweza kusababisha mtu kuchapwa viboko nchini Iran. Wale wanaoptikana na hatia uhukumiwa kati ya viboko 10 na 100 mgongoni kwa kutumia fimbo ya urefu wa futi tatu.

Wakenya Wawajia Juu Wabunge Wao 20 Walienda Kuangalia Kombe la Dunia Urusi...... Wahoji Nani Aliyewalipia Gharama

0
0
Wakenya Wawajia Juu Wabunge Wao 20 Walienda Kuangalia Kombe la Dunia Urusi...... Wahoji Nani Aliyewalipia Gharama
Wakenya wamekasirishwa na taarifa kwamba wabunge 20 wamesafiri kwenda Urusi kutazama kombe la dunia kwa gharama ya fedha za umma.

Wamekwenda kutazama mechi nne, ikiwemo fainali kati ya Ufaransa na Croatia, katika safari ya wiki mbili inayokadiriwa kuwa na thamani ya maelfu ya dola.

Mjadala ulizuka baada ya wabunge hao kuweka picha walizopiga uwanjani.

Waziri wa michezo Rashid Echesa ameiambia BBC kwamba alitoa idhini kwa wabunge 6 pekee kusaifiri, kusaidia kuelewa jinsi matukio makubwa ya kimataifa yanavyoandaliwa.

Kenya haijawahi kufuzu kwa fainali ya Kombe la Dunia na imeorodheswha nafasi ya 122 kati ya matifa 206 na shirikisho la soka duniani FIFA.


Hatahivyo Kenya ina umaarufu mkubwa katika riadha na ni mojawapo wa mataifa yenye ufanisi mkubwa duniani .

Tayari nchi hiyo imewasilisha ombi la kutaka kuwa mwenyeji mashindano ya kimataifa ya riadha mwaka 2023.

Lakini hisia iliopo kwa Wakenya ni kwamba safari hiyo ni upotezaji wa fedha za umma katika nchi ambayo kipato cha mtu wa kawaida ni $150 kwa mwezi.

Katika maoni yaliopo huyu anastaajabishwa na hatua hiyo akieleza kwamba huwezi kuwaona viongozi wakitazama hata mechi za ndan ya nchi kuinusha talanata ya ndani lakini wabunge wana muda wa kujigamba kwa picha Urusi.

Waziri Ummy Mwalimu Awasimamisha Kazi Walioshiriki Kusafirisha Shehena Ya Mirungi kwa Kutumia Gari ya Kubebea Wagonjwa

0
0
Waziri Ummy Mwalimu Awasimamisha Kazi Walioshiriki Kusafirisha Shehena Ya Mirungi kwa Kutumia Gari ya Kubebea Wagonjwa
Ikiwa zimepita siku mbili tangu kuripotiwa kwa tukio la kukamatwa kwa gari la kubebea wagonjwa ‘Ambulance’ likiwa limebeba shehena ya mirungi, Wilayani Tarime mkoani Mara, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameagiza kusimamishwa kazi wote waliohusika.

Waziri Ummy ametoa kauli hiyo akiwa ziarani wilayani Itilima mkoani Simiyu katika uzinduzi wa tuwatumie wahudumu wa Afya ngazi za jamii, ambapo amesema kuwa hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mtumishi yeyote wa sekta ya afya atakayekwenda kinyume na utaratibu wa utoaji huduma.

“Ni marufuku gari la kubeba wagonjwa kubeba mkaa wala bidhaa nyingine, nalipongeza jeshi la polisi mkoani Mara kwa kuchukua hatua na mkurugenzi wa mkoa wa Mara nakuagiza kuchukua hatua mara moja usisubiri kusikiliza popote”, amesema ummy.

Julai 10, 2018 Askari polisi mkoani Mara walilikamata gari la kubeba wagonjwa mkoani humo lililokuwa limesheheni shehena la mirungi, ambapo dereva amewekwa mahabusu akisubiri kufikishwa mahakamani.

Ongeza Uume, Nguvu na Hamu ya Tendo la Ndoa Hata Kwa Wenye Kisukari na Pressure

0
0

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
#OngezaUume
#NguvuZaKiume
#HandsomeUpOg
#BidhaaTz

Taarifa MUHIMU Kwa Wanafunzi Wote Toka Bodi ya Mikopo HESLB

0
0

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwataarifu waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019 kuwa imeongeza muda wa kutuma maombi kwa njia ya mtandao kwa wiki mbili kuanzia Julai 15, 2018.


Hivyo basi, tarehe ya mwisho ya kuwasilisha maombi kupitia mtandao wa HESLB (https://olas.heslb.go.tz ) itakuwaJumanne, Julai 31, 2018.


Aidha, tarehe ya mwisho ya kutuma nakala ngumu kwa ‘EMS’ kupitia Shirika la Posta Tanzania (TPC) ni Jumanne, Agosti 14, 2018 ili kutoa nafasi kwa HESLB kuchambua, kuhakiki na kupanga mikopo kwa waombaji wenye sifa.


Hatua hii inalenga kutoa fursa kwa waombaji wa mikopo ambao hawajakamilisha nyaraka mbalimbali zinazohitajika kufikia Julai 15, 2018kukamilisha na kuwasilisha HESLB ndani ya muda ulioongezwa.


Uhakika wa upatikanaji wa bahasha maalum za kutuma maombi

HESLB pia inapenda kuwafahamisha waombaji wote wa mkopo kwa mwaka 2018/2019 kuwa tunafanya kazi kwa karibu na Shirika la Posta Tanzania (TPC) na tumehakikishiwa kuwa limesambaza bahasha za kutosha nchini kote ili kuwawezesha waombaji wa mikopo kutuma maombi yao kwa njia ya ‘EMS’ bila usumbufu.


Kwa upande wa uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa vya waombaji wa mikopo na vile vya vifo vya wazazi wao, tumehakikishiwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kuwa maombi yote ya uhakiki wa vyeti yatakamilishwa ndani ya muda ulioongezwa.


HESLB inawahakikishia waombaji wote wa mikopo kuwa maombi yao yatakayowasilishwa ndani ya muda uliotolewa yatapokelewa na kufanyiwa kazi.


Hitimisho

Tunapenda kuwakumbusha waombaji wa mikopo kuusoma na kuuzingatia ‘Mwongozo wa Utoaji Mikopo kwa mwaka 2018/2019’. Mwongozo huu unapatikana katika tovuti ya HESLB (www.heslb.go.tz). Iwapo wana maswali, wawasiliane nasi kupitia:


Simu:         0736665533 au 022 5507910

Barua pepe:     adcp@heslb.go.tz auinfo@heslb.go.tz

Taarifa hii pia inapatikana kwenye tovuti ya HESLB www.heslb.go.tz


Imetolewa na:

Abdul-Razaq Badru

Mkurugenzi Mtendaji

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu

DAR ES SALAAM

Gari la Serkali Lililokamatwa na Mirungi LAMTUMBUA Mganga Mkuu Hospitali ya Mji wa Tarime na Wenzake Wawili

0
0

Mkurugenzi wa Halamshauri ya Mji wa Tarime Elias Ntiruhungwa

**

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime Elias Ntiruhungwa amewasimamisha kazi watumishi watatu akiwimo kaimu mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Tarime baada ya gari la wagonjwa la Hospitali hiyo kukamatwa likisafirisha  dawa za kulevya aina ya mirungi Wilayani Bunda Mkoani Mara Julai 11 Mwaka huu.


Waliosimamishwa kazi ni Kaimu Mganga Mkuu (DM) Dkt Innocent Kweka, Kaimu Mganga Mfawidhi Dkt Amir Kombo na katibu wa Hospitali Rwegasira Karugwakutokana na uzembe waliofanya mpaka kitendo hicho kinafanyika.


“ Namsimamisha kazi DMO, Mganga Mfawidhi na Katibu wa hospitali kuanzia leo hadi tuakapomaliza uchunguzi wetu ambao umeanza kubaini kwa nini gari la wagojnwa lilitumika kusafirisha madawa ya kulevya .Kama hawana hatia watarudi kazini”alisema Mkurugenzi.


Ntiruhungwa amesema hawezi kuvumilia kitendo hicho ambacho kimechafua jina la Hamashauri yake na nchi kwa ujumla na kwamba yeyote ambaye atabainika kuhusika katika tukio hilo atachukuliwa hatua kali.


Ameongeza kuwa tayari suala hilo linafanyiwa uchunguzi wa kina ili kubaini dereva huyo George Matai alipataje fursa ya kusafirisha madawa ya kulevya kwa kutumia gari la wagonjwa na kusema kuwa tayari amemsimamisha kazi kuanzia leo.


Mkurugenzi huyo aliwataka wakuu wa idara katika Halmashauri yake kutimiza wajibu wao kikamilifu ili kuepuka vitendo vya aibu kama hivyo kutokea tena.
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images