Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Sakata la Fei Toto kusaini Yanga, Singida lilivyokuwa

$
0
0

YANGA, jana iliwatambulisha nyota wawili wapya, Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ kutoka JKU ya Zanzibar iliyompa mkataba wa miaka mitatu na Jaffar Mohammed aliyekuwa Majimaji aliyepewa mkataba wa miaka miwili. 

Katika usajili huo, gumzo kubwa lilikuwa ni usajili wa Fei Toto ambaye kabla ya jana jioni Yanga haijamtangaza kuwa mchezaji wao, asubuhi yake, Singida United ilimtambulisha imemsajili kwa kumpa mkataba wa miaka mitatu. 

Usajili huo ilikuwa kama filamu kwani asubuhi Mkurugenzi wa Singida United, Festo Sanga, alitangaza wamemsajili mchezaji huyo na kusambaza picha pamoja na video zinazoonyesha uthibitisho wa hicho kilichofanyika. 

Haikupita muda mrefu, jioni Yanga ikamtambulisha Fei Toto klabuni kwao ambapo katika utambulisho huo, Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Hussein Nyika ndiyo walihusika. 

Mbali na Singida kutangaza kumsajili Fei Toto kabla ya Yanga haijapindua meza kibabe, Simba nayo inatajwa ilikuwa ikimuhitaji mchezaji huyo na ilibakia kidogo wampe mkataba, ikashindikana. 

Akizungumza na Championi Ijumaa mara baada ya kukamilisha usajili huo, Nyika alisema: “Ndiyo tumeanza kazi katika usajili wetu, tulianza na Mohammed Banka, leo (jana) tumemalizana na wachezaji hawa wawili. 

“Usajili huu tunaufanya kwa weledi mkubwa tukifuata matakwa ya mwalimu wetu Mwinyi Zahera kwani aliagiza anataka tuimarishe kwenye nafasi ya kiungo na hata ukiangalia, Fei Toto, Jaffar na Banka, wote wanacheza nafasi hizo.” 

Naye Meneja wa JKU ambaye pia ni meneja wa Fei Toto, Mohammed Kombo ‘Afande Chimoudy’, alimaliza utata kwa kusema: “Kuanzia leo (jana Alhamisi), Feisal ni mchezaji rasmi wa Yanga baada ya kumalizana nao kwa kila kitu. 

“Licha ya Singida kutangaza wamemsajili, lakini hawezi kuwa mchezaji wao kwa sababu walishindwa kufuata utaratibu, wao waliongea na mchezaji mwenyewe wakashindwa kutufuata sisi viongozi. Jambo kama hili lililofanywa na Singida halikubaliki na ingekuwa kuna uwezekano timu kama hizi zikafungiwa.” 

Kwa upande wa Fei Toto, alisema: “Kuanzia sasa mimi ni mchezaji wa Yanga na naahidi nitafanya makubwa ndani ya timu hii. Ni kweli Singida na Simba walinifuata lakini nimeamua kuja Yanga kwa sababu nimeona ndiyo sehemu sahihi kwangu.” 

Wakati hayo yakijiri, taarifa kutoka Simba zinasema kuwa, walikuwa wamekaribia kumsajili Fei Toto ambapo walimtengea kitita cha Sh milioni 30 na mshahara wa Sh milioni mbili pamoja na gari, lakini mchezaji huyo alishindwa kusaini Simba baada ya vigogo wa Yanga kumficha nyota huyo. 

Singida waja juu 
Baada ya utambulisho huo wa Yanga, Mkurugenzi wa Singida United alitoa tamko kwa kusema: “Feisal tumemsaini kwa mkataba wa miaka mitatu tukiwa tumekutana naye chini ya mwanasheria na wakala wake na mchezaji mwenyewe alikubali kusaini na sehemu kubwa ya fedha ameshachukua. 

“Hajasaini ‘pre contract’ kama watu wanavyosema, ile ni ‘contract’ inayotambulika na ndiyo itatumika kwenye usajili wake kama ambapo tutakuwa tumefikia makubaliano ya kumsajili pale TFF watakapoamua. 

“Sisi tunajua mchezaji huyu amesajili Singida United, haya ambayo yametokea kwamba amesajili Yanga ni ‘double standards’ kwa sababu linawaweka Watanzania njia panda. Sisi tunaamini vyombo vinavyohusika na usajili ambavyo ni Bodi ya Ligi na TFF vitaamua jambo hili kwani tumeshamalizana na JKU.”

Kutana na Dr Mabula Kukutibu Matatizo ya Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO :

Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?


MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja itakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio asirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu.

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo

MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona.

Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Azam FC Watwaa Ubingwa na Kuifikia Rekodi ya Simba

$
0
0
Klabu ya soka ya Azam FC, imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa Kombe la Kagame baada ya kuwafunga Simba mabao 2-1 kwenye mchezo wa fainali uliomalizika usiku huu kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.


Wachezaji wa Azam FC na Simba kwenye moja ya matukio ya mchezo wa leo wa fainali ya Kombe la Kagame.

Mabao ya Azam FC katika mchezo wa leo yamefungwa na mshambuliaji Shaaban Idd pamoja na nahodha Aggrey Morris huku bao la Simba likifungwa na mshambuliaji Meddie Kagere.

Ushindi wa Azam FC unaifanya timu hiyo sasa kuifikia rekodi ya Simba ya kutetea ubingwa huo ambayo waliiweka mwaka 1992 wakitetea ubingwa waliouchukua mwaka 1992. Azam FC walitwaa ubingwa huu mwaka 2015 na wameutetea mwaka 2018 baada ya michuano hiyo kutofanyika katika miaka ya 2016 na 2017.

Aidha mshambuliaji wa timu hiyo Shaaban Idd ambaye ameshasajiliwa na timu ya Tenerife ya Hispania na atasafiri kwenda kujiunga nayo muda wowote kuanzia sasa, amefanikiwa kuibuka mfungaji bora baada ya kufunga mabao 8 katika mechi 5 kuanzia hatua ya makundi hadi leo fainali.

Azam FC sasa wametwaa kombe hilo kwa mara ya pili huku Simba ambao ndio mabingwa wa historia wa kombe hilo wakibaki na mara 6.

JKU Wamaliza Utata wa 'Fei toto' Kusaini Yanga

$
0
0

Baada ya mchezaji Feisal Salum Abdalah maarufu 'Fei Toto' wa mabingwa wa soka visiwani Zanzibar JKU, kusaini timu mbili za Singida United na Yanga hapo jana, hatimaye JKU wameeleza kwanini nyota huyo alifanya hivyo.


Kushoto ni mchezaji Feisal akitambulishwa Yanga na kulia ni Feisal akitambulishwa Singida United na Mkurugenzi Festo Sanga.

Akiongea na www.eatv.tv Katibu mkuu wa JKU, Saadu Maalim Ujudi, ameweka wazi kuwa kilichotokea mpaka mchezaji Feisal Salum kuonekana akisaini timu mbili ndani ya siku moja ni kutokana na timu ya Singida United kutolipa ada ya kuvunja mkataba wa mchezaji huyo na JKU.

''Singida United walitaka kumsajili Feisal Salum wakaja tukaongea na tukakubaliana lakini wakaenda bila kulipa pesa ya kuvunja mkataba na jioni Yanga wakaja na hela kamili na sisi tulitaka timu ije na hela kamili hatukutaka maneno kwahiyo tukachukua pesa yetu naye akasaini'', amesema.

Aidha Saadu amesema Singida United walipaswa kuvunja kwanza mkataba wa miaka miwili aliokuwa nao Feisal ndani ya JKU lakini hawakufanya hivyo, badala yake wakampa pesa binafsi tu kwahiyo walielewana Yanga watawarudishia Singida United pesa yao ndio maana mchezaji huyo akasaini Yanga.

Mapema jana Julai 12, 2018, klabu ya Singida United ilitangaza kumsajili kiungo Feisal kwa mkataba wa miaka mitatu lakini baadaye jioni Yanga nao wakamtambulisha mchezaji huyo wakimsainisha mkataba wa miaka mitatu pia.

EATV

Sababu za Mtatiro kuwa kiongozi CUF

$
0
0

NA FATUMA MUNA
Baada ya Jumuiya za Vijana za CUF (JuviCUF) wilaya za Dar es Salaam, kumshambulia Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa chama hicho, Julius Mtatiro na kwamba cheo alichonacho hakijulikani ndani ya CUF, Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CUF, Mbarala Maharagande amepangua tuhuma hizo -


na kusema kwamba cheo hicho ni halali ma  Mtatiro siyo mtu wa kwanza kuwa na cheo hicho.

Akipangua tuhuma hizo  wakati akizungumza na www.eatv.tv, Mbarala Maharagande amesema kwamba cheo alichonacho Mtatiro kipo kisheria na kinakubalika ndani ya chama kwa kufuata muongozo wa Baraza Kuu la Ungozi Taifa na kwamba kiliundwa baada ya Prof. Lipumba kujiuzulu nafasi yake.

Amesema Baraza Kuu CUF la uongozi wa taifa limetoa mamlaka ya kuundwa kamati pale ambapo itaonekana kwamba inahitajika na lilitoa muongozo  wa kuundwa Kamati hiyo  ya Uongozi baada ya Lipumba kujivua Uongozi wa CUF mwaka 2015.

Ameongeza kwamba wanaompinga Mtatiro sasa walikuwepo wakati Kamati ya uongozi inaundwa na walikubali lakini hata hiyo kuundwa kwa Kamati hiyo ni sehemu ya kutekeleza katiba ya chama na sera zake.

Akizungumzia kuhusu Mtatiro kuchaguliwa kuongoza Kamati hiyo , Maharagande amesema  "Awali, aliyekuwa Mbunge wetu wa Afrika Mashariki, Twaha Taslima ndiye alikuwa Mwenyekiti kwenye Kamati hiyo lakini baadaye ikaonekana kwamba anastahili kugombea Uenyekiti wa chama lakini ilishindikana baada ya mKutano wetu wa Uchaguzi kuvamiwa na Prof. Lipumba na watu wake pale Ubungo".

Ameongeza, kwamba Kamati hiyo ingeweza kuundwa hata kama Mwenyekiti angekuwepo, iwapo tuu Baraza lingetoa muongozo hivyo Mtatiro anapaswa ajulikane kama kiongozi kwani ni mwaka wake wa pili anaongoza kamati iyo.

Mwenyekiti wa JuviCUF wilaya ya Ilala, Canal Kitimai kwa niaba ya viongozi wenzake wa wilaya mapema wiki hii alisema kwamba Mtatiro siyo mwanachama wa chama hicho na kwamba alikwishavuliwa uanachama na kuongeza kwamba anashangaa cheo alichojipa kwani chama chao hakikitambui.

EATV

Wanaume: Hivi Kwanini Hatuwasifii Wake Zetu Huku Vijiweni Kama Tunavyosifia Michepuko?

$
0
0
Wanaume tumezoea kuwasifia wake zetu kwa namna mbalimbali, mfano; mchapa kazi, mpole, mrembo, ana huruma, roho nzuri, anajua kupika, ni dreva mzuri, n.k. Tukiwa vijiweni tunawasifia mademu wengine kuwa yule ni mtamu, ana manjonjo, analiaga vizuri, mashine mnato,mapaja yake n.k.

Lakini sijawahi kusikia mtu akimsifia mkewe kuwa ana mashine tamu, ana manjonjo katika mechi, anajua kweli mchezo, anajua kukata mauno, n.k. why hatuwasifii kwa haya mambo?Wazee wenzangu ebu tujadili kwanini hatuwasifii wake zetu kuwa ni watamu?

Vijiweni: sehemu za kazi, bar, club, mikutanoni (mida ya break), vibarazani, kunywa kahawa,n.k.

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 14

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 14

Taarifa Muhimu Toka Jeshi la Wananchi - JWTZ

$
0
0
Na Luteni  Selemani Semunyu
Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania limekanusha taarifa zilizosambazwa kupitia mitandao ya kijamii kuhusu malalamiko juu matibabu  ya mtoto anayedaiwa kuvunjika na kupatiwa  huduma  katika Hospitali kuu ya jeshi ya Lugalo.

Akizungumza na waandishi wa habari jana  Jijini  Dar es Salaam msemaji mkuu wa Jeshi Kanali Ramadhani Dogoli alimtaka aliyejinasibisha kama mlalamikaji kuwasilisha malalamiko yake kama yana ukweli ili hatua zichukuliwe kwa wahusika.

“ Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ linamtaka malalamikaji alete taarifa kwenye uongozi ili kama matukio hayo yametokea tuweze kuchukua hatua kwa wahusika” Alisema kanali Dogoli.

 Aliongeza kuwa iwapo aliyedai kulalamika atashindwa kufanya hivyo jeshi litaaamini kuwa mlalamikaji alikusudia kuichafua hospitali yetu kwa maslahi binafsi  na kwa sababu hiyo tutamtafuta haraka na kumchukulia hatua zinazomstahili.

Msemaji huyo wa JWTZ alisema Mnamo Julai 10 mwaka huu ilisambaa habari ikilalamika huduma zisizoridhisha  katika kitengo cha mifupa katika hospitali ya lugalo  baada ya kudai  mtoto wake mkono umeunga vibaya na kutakiwa kupatiwa matibabu tena.

Hata hivyo alisema baada ya kupata taarifa walifanya uchunguzi ambapo yalipitiwa majina ya watoto wote waliotibiwa tangu April hadi 30 Juni mwaka huu hakuna mtoto aliyefika mara mbili kwa waliopata mivunjiko.

“ Watoto wawili tu ndio walitibiwa na wazazi wao walithibitisha kuwa maendeleo yao ni mazuri majibu yalipelekea kubaini kuwa labda muhusika alikusudia kuichafua Hospitali yetu” Alisema kanali Dogoli.

Kwa upande wake Mkuu wa tiba wa JWTZ Meja Jenerali Dk Denis Janga alisema amesikitishwa na taarifa hiyo ambayo pia imewagusa wataalam wa hospitali hiyo ambayo imekuwa ikitoa huduma kwa wananchi tofauti na majeshi mengine ambapo hospitali za jeshi zinahudumia wanajeshi na Familia zao pekee.

Alisema wataalam wa hospitali hiyo ni wataalam kama watalaaam wengine waliopata mafunzo ndani na nje ya nchi kama ilivyo wataalam wengine na kamwe hawatokatishwa tamaa na maneno ya kuichafua hospitali hiyo.

Mkuu huyo wa Tiba jeshini alisema wameapa kuilinda na kuitetea katiba na wamejitolea kuwahudumia watanzania hivyo hawatosita kufanya hivyo kwa moyo wao wote.

“ Kamwe hatutasita kuwahudumia Watanzania  kwa maneno ya uongo na kuwataka watanzania kuwapuuza watu wenye mtazamo wa kuwagombanisha na wananchi na sasa ni wakati wa kutiana moyo kwa jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali” Alisema Meja Jenerali Janga .

Hospitali za Jeshi nchini ikiwemo  Hospitali kuu ya jeshi Lugalo  zimekuwa zikishiriki katika utoaji wa huduma kwa Wananchi kwa Zaidi ya ya asilimia 70 ukilinganisha na idadi ya Askari na wategemezi wao wanaopata huduma katika hospitali hizo.

Hatima Maombi ya vigogo Chadema Kujulikana Julai 20

$
0
0
Hatima ya maombi ya viongozi wa Chadema  wanaokabiliwa kesi ya jinai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, itajulikana Julai 20, 2018 baada ya Mahakama Kuu kutoa uamuzi wa pingamizi la Serikali.

Viogozi hao wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe  wamefungua maombi ya mapitio Mahakama Kuu  dhidi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), wakipinga uamuzi na amri mbalimbali zilizotolewa na Mahakama ya Kisutu katika kesi hiyo.

Wameiomba Mahakama Kuu kuitisha jalada la kesi hiyo kutoka Kisutu ili kuchunguza na kujiridhisha na usahihi na uhalali wa amri hizo.

Hata hivyo DPP amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya maombi hayo,  akiiomba mahakama hiyo iyatupilie mbali kwamba madai yao  ni batili kwa kuwa yanakiuka Sheria ya Mahakama za Hakimu Mkazi, kifungu cha 43 (2).

Pingamizi hilo la awali limesikilizwa jana  Ijumaa Julai 13, 2018 na Jaji Rehema Sameji ambaye baada ya kusikiliza hoja za pande zote, amepanga kutoa uamuzi Julai 20,2018.

Mbali na Mbowe, washtakiwa wengine katika kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Wilbard Mashauri ni Katibu Mkuu, Dk Vicent  Mashinji; naibu makatibu wakuu John Mnyika (Bara) na Salum Mwalimu (Zanzibar).

Wengine ni mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa;  mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko; mbunge wa Kawe, Halima Mdee; mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche na mbunge wa Bunda, Ester Bulaya.

Wote wanakabiliwa na  mashtaka 13, ambayo ni kufanya mikusanyiko na maandamano yasiyo halali, yanayaowakabiliwa washtakikwa wote huku Mbowe, Mchungaji Msigwa, Mdee na Heche kila mmoja akikabiliwa na mashtaka zaidi.

Katika kesi hiyo ya jinai namba 112, washtakiwa hao wanadaiwa kutenda makosa hayo Februari 16, 2018 katika barabara ya Kawawa, Mkwajuni Kinondoni na kusababisha vurugu zilizosababisha kifo cha mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline.

Wakimbizi Wote Walio Nje Ya Kambi Za Wakimbizi Watakiwa Kurudi Makambini Ndani Ya Siku Saba

$
0
0
Wakimbizi Wote Walio Nje Ya Kambi Za Wakimbizi Watakiwa Kurudi Makambini Ndani Ya Siku Saba

Kutana na Dr Mabula Kukutibu Matatizo ya Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO :

Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?


MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja itakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio asirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu.

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo

MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona.

Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Breaking News: Rais Magufuli Katengua uteuzi wa Mkurugenzi wa NSSF

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Prof. Godius Kahyarara kuanzia leo July 14, 2018. Prof. Kahyarara atapangiwa kazi nyingine.

Kufuatia hatua hiyo, Rais Magufuli amemteua William Erio kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF.

Kabla ya uteuzi huo Erio alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF. Uteuzi wa Erio unaanza leo July 14, 2018.

Baada ya Dreamliner hapa ndipo ulipofikia ujenzi wa Reli ya kisasa (Standard Gauge)

$
0
0
Shirika la Reli la Tanzania limefanya kampeni ya kujengeana uelewa ndani ya taasisi hiyo pamoja na kufanya mawasilisho ya mradi wa ujenzi wa reli ulipofikia.

Akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya kisasa ya Standard Gauge, Engineer Maizo Mgedzi amesema kuwa hadi sasa hatua ya ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha Dar es Salaam-Morogoro kimefikia asilimia 16 na kiasi cha fedha Trilioni 1.21 kimeshalipwa kwa mkandarasi.

“Tunategemea tumalize Mungu akipenda mwakani mwezi November, lakini kwa sasa kazi ambazo zinaendelea ni ujenzi wa tuta (kukata milima na kufukia), kujenga makarvet na madaraja,” amesema Mgedzi.

Amesema kuwa tayari nguzo kubwa 24 zimeshajengwa kati ya nguzo 100 zilizotakiwa kujengwa katika daraja kubwa la Dar es Salaam.

“Mpaka sasa changamoto kubwa ni mlolongo wa kukamilisha taratibu za kutoa ardhi kwa wakazi tutakao waondoa katika maeneo tunayopitisha reli, tunaitatua changamoto hii kwa kutekeleza hilo zoezi kwa mujibu wa sheria, makadilio ya fidia yatazidi Bilioni 40,” amesema Mgedzi

Mratibu wa mradi wa Uboreshaji reli ya Kati ya Dar- Isaka, Mlemba Singo amesema katika kuboresha reli ya kati watang’oa vyuma vya reli Km 313 na kuweka vyuma vipya pamoja na kuboresha madaraja 393.

“Wananchi wajiandae tunategemea kutakuwa na ongezelo la speed wamezoea treni ya sasa inakwenda kwa makadilio ya Km 35 kwa saa, tunakwenda kuiboresha mpaka kuwa Km 70 kwa saa,” amesema Singo.

Kiasi cha pesa walichoingiza Juventus kwa mauzo ya jezi ya Ronaldo saa 24 baada ya kumsajili

$
0
0
Club ya Juventus ya Italia tayari imekamilisha usajili wa kumsajili staa wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo kwa mkataba wa miaka minne, Ronaldo kasajiliwa kwa dau la euro milioni 100 kutoka Real Madrid kwenda Juventus.

Kwa mujibu wa mtandao wa SportsBible.com unaeleza kuwa saa 24 baada ya Ronaldo kutangazwa kusajiliwa na Juventus, zimeuzwa jumla ya jezi zake 520000 kupitia mtandaoni na kwenye maduka ya uuzaji jezi ya Juventus na Adidas ambao ndio watengenezaji wa jezi hizo.

Jezi moja ya Ronaldo inauzwa euro 105 ambazo ni zaidi ya Tsh 270,000 hivyo ukizidisha mara 520000 , Ronaldo atakuwa ameiingizia Juventus kwa mauzo ya jezi pekee ndani ya saa 24 toka asajiliwe jumla ya euro milioni 54.6 ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 144.

Cardi B akanusha kupokea zawadi za Nicki Minaj zenye thamani ya Tsh Mil 11

$
0
0
Baada ya taarifa kusambaa kuhusiana na bifu kati ya rappa Cardi B pamoja na Nicki Minaj kuisha ikiwa ni baada ya wawili hao kuonekana wakiwa sawa na taarifa nyingine kudai kuwa Nicki Minaj alituma zawadi kwa familia ya Cardi B baada ya kupata taarifa  kuwa familia hiyo imepata mtoto wa kike July 10,2018.

Taarifa hizo zinadaiwa kuwa za uwongo baada ya kuripotiwa kuwa timu ya Cardi B ilifanya mawasiliano na wauzaji wa duka la “Petit Trèsor” ambalo linasemekana Nicki Minaj alinunua zawadi hizo na baadae kukanusha taarifa hizo na kusema kuwa hawakupata oda yoyote kutoka kwa Nicki Minaj.

Kupitia ukurasa wa instagram wa “Hollywood Unlocked” Cardi B ameonyesha kukanusha pia taarifa hizo za kupokea zawadi zenye thamani zaidi ya shillingi Millioni 11 za Kitanzania kutoka kwa Nicki Minaj siku ya jana July 12,2018 na kusema kuwa taarifa

NECTA Yatangaza Matokeo ya Kidato cha Sita 2018.....Bofya Hapa Kuyatazama

Baada ya Gari la Serikali Kunaswa na Mirungi CCM yaingilia kati

$
0
0
Kitendo  cha gari la wagonjwa kukamatwa likiwa limebeba dawa za kulevya aina ya mirungi, limeendelea kuwa gumzo kila kona huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kikilaani jambo hilo.

Gari hilo linalotumiwa na hospitali ya wilaya ya Tarime, lilikamatwa Jumatano wiki hii wilayani Bunda likiwa na shehena ya kilo 823 za mirungi iliyokuwa ndani ya magunia.

Kutokana hatua hiyo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, juzi alitangaza kuwasimamisha kazi watumishi watatu wa hospitali hiyo akiwamo Mganga Mkuu wa Halmashauri, Dk. Innocent Kweka.

Wengine waliokumbwa na hatua hiyo ni Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali, Dk. Hamili Kombo na Katibu wa Afya, Rwegasira Karugwa. Sababu kubwa ya kusimamishwa kwao ni uzembe.

Kitendo hicho kimeiamsha CCM mkoa na kutaka serikali kufanya uchunguzi wa kina ili kuwabaini watu wote walioko kwenye mtandao huo, na hatimaye kuchukuliwa hatua stahiki za kinidhamu ikiwamo kufikishwa mahakamani.

Mwenyekiti wa CCM mkoani hapa, Samuel Kiboye, alisema kikao cha Halmashauri Kuu ya Mkoa kilichofanyika jana mjini hapa, kimetoa tamko hilo ili kuonyesha kuwa hakikubaliani na kitendo hicho .

Kiboye alisema kitendo cha gari la wagonjwa kubeba dawa za kulevya hakiwezi kuvumiliwa na kinapaswa kulaaniwa na kila mwananchi kwa sababu kimeleta aibu kwa wilaya ya Tarime, mkoa wa Mara na Tanzania kwa ujumla.

“Sisi wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM mkoani wa Mara, kwa ujumla tunalaani kitendo cha gari la wagonjwa kubeba dawa za kulevya maana kimetupa aibu sana wananchi wote wa mkoa wa Mara. Tunakuomba Mkuu wa Mkoa (Adam Malima) muwakamate wote waliohuska. Fanyeni uchunguzi wa kina kwani huenda wamo pia viongozi wa serikali,” alisema.

Naye Malima alisema serikali itahakikisha wote walioko kwenye mtandao huo wanakamatwa na kwamba tayari watuhumiwa wawili, akiwemo dereva wa gari hilo, George Matai, wanashikiliwa na polisi na kuongeza kuwa uchunguzi zaidi juu ya suala hilo bado unaendelea.

Gari hilo la wagonjwa lenye namba za usajili DFPA 2955, lilikamatwa na polisi wa wilayani Tarime, katika kijiji cha Bitaraguru wilayani Bunda, likiwa limepakia magunia 34 ya dawa za kulevya zenye uzito wa zaidi ya tani 800.

Askari hao walikuwa wanatoka wilayani Tarime wakiwa wanapeleka mgonjwa ambaye ni askari mwenzao katika Hospitali ya Rufani ya Bugando jijini Mwanza, aliyejeruhiwa kichwani baada ya kupata ajali ya pikipiki.

Wema Sepetu na Sifa ya Kupika Mahanjumati Jikoni

$
0
0
STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu ana sifa nyingi. Tangu amekuwa staa, mdada huyu anatajwa kuwa mkali sana linapokuja suala la kuigiza hasa ‘scene’ za mapenzi, anasifika kwa shepu lakini pia ni kati ya mastaa wa kike wenye msururu mrefu wa wanaume. Mbali na sifa hizo, Wema anatajwa kuwa kati ya mastaa wa kike ambao wanatisha linapokuja suala la kukaangiza, yaani mapishi. Wapo ambao wanaweza kutoamini katika hili kutokana na jinsi wanavyomuona lakini huo ndiyo ushuhuda kutoka kwa wanaomjua vizuri staa huyu.

Msanii wa muziki Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye ni kati ya wanaume walioonja penzi la Wema aliwahi kukiri kwamba, miongoni mwa vitu ambavyo vilimfanya akadumu na mpenzi wake huyo ilikuwa ni suala la mapishi.

“Nimempendea mengi Wema lakini kwa mapochopocho huyu mwanamke ni balaa,” aliwahi kukiri Diamond. Rafiki wa karibu wa Wema, Petit Man naye kuna wakati alipokuwa akihojiwa na kituo kimoja cha redio jijini Dar, aliulizwa kuwa, huwa ni nani anampikia chakula.

Katika kujibu, Petit akasema: “Ni mara chache nakula hotelini lakini huwa nakula nyumbani na wakati mwingine nakula kwa Madam (Wema). Kwa kweli Wema anajua kupika sana, ukienda kwake unakuta msosi wa draft na anakuwa amepika wenyewe.”

Aliyekuwa wifi wa Wema, Esma Platnumz naye aliwahi kusema kuwa, linapokuja suala la usafi kwa mawifi zake waliopita kwa Diamond, Zarina Hassan ‘Zari’ anatisha ila kwenye mapishi anampa asilimia nyingi Wema.
Related image

Sasa, swali ambalo wengi wanajiuliza ni kwamba, Wema kweli anatisha kiasi hicho linapokuja suala la mapishi ama ni sifa za kijinga wanampa? Wanaotilia shaka sifa hizo wanajiuliza kwamba, kwa wana-vyomjua Wema na ule usitaduu wake kweli anaweza kutulia jikoni akasema anapika?

Kutokana na mashaka hayo, mwandishi wetu alimtafuta Wema lakini kwa bahati mbaya simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa. Mimi nadhani tuwaamini tu wale watu wake wa karibu wanaosema mdada huyu ni mkali kwenye eneo la jikoni. Upishi ni utundu na ule utayari wa mtu kujifunza bila kujali yukoje. Kwa hiyo tukubali Wema yuko vizuri kwenye idara hiyo.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena, Jipatie Dawa Bora ya Tatizo la Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
HUNA SABABU YA KUAIBIKA TENA........ JIPATIE DAWA BORA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO

Matatizo ya nguvu za kiume yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIFINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUPER MORISIS :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr CHILAMBO mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAUSHAURI NA TIBA WASILIANA NA DR CHILAMBO ATAKUSAIDIA MATATIZO YAKO, NIPO DAR ES SALAAM PIA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO NYOTE MNAKARIBISHWA.

0744 391 089 / 0622344969
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images