Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Hii ndio sababu ya Masanja kuokoka

$
0
0

Aliyekuwa mchekeshaji wa Kundi la ‘Ze Comedy’ Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ambaye kwa sasa ni mshereheshaji na mchungaji, ameibuka na kusema kuwa kuogopa kifo ndio sababu iliyomfanya aokoke.

Masanja ambaye pia ni baba wa mtoto mmoja aliyasema hayo hivi karibuni mara baada ya kukutana na paparazzi wetu katika harakati za kuuaga mwili wa mtoto wa Muigizaji wa Filamu Bongo, Rose Alphonce ‘Muna’ aitwaye Patrick maeneo ya Leaders, Kinondoni jijini, Dar.

Msanii huyo alisema kuwa, aliokoka kwa sababu ya kuogopa kifo na kwamba katika vitu ambavyo hapendi kuvisikia katika maisha yake ni habari zinazohusiana na kifo kwani huingia woga sana.

“Niliokoka kwa sababu ya kuogopa kifo na mtu akitaka tugombane azungumzie habari za kufakufa yaani huwa sipendi hata kuzisikia natamani kuishi tu na kwasababu ninaimani ukimfuata Yesu unakuwa mikono salama ndio maana nimechagua njia hiyo,” alisema Masanja.

Wanigeria 400 wakwama Russia baada ya kuuziwa tiketi feki

$
0
0
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Russian liitwalo “Alternative” limefichua kwamba Wanigeria wapatao 400 waliokwenda kushuhudia Kombe la Dunia nchini Russia, wamekwama nchini baada ya kugundulika kwamba waliuziwa tiketi feki.

Kati ya hao, 60  wamelazimika kulala nje ya ubalozi wa Nigeria nchini humo ambapo ubalozi huo umesema utawahifadhi hapo kwa siku mbili tu na haujasema nini kitafanyika baada ya muda huo kwisha.

Usibadilike Temporarily Kwa Sababu Unataka Uonekane Wife/Husband Material ili Umu Impress Mtu

$
0
0
Usibadilike TEMPORARILY kwa sababu unataka uonekane Wife/Husband Material ili umu-impress mtu halafu mkifika ndani unarudia rangi-rangi zako zilezile ambazo ndio NATURAL YOU
Muache akupende kwa Ulevi wako,Kwa Umbea wako,Kwa Kutoa kwako udenda ukilala,Kwa kuwa mchafu na kutofua Boxer,Kwa kunuka kikwapa cha njano,Kwa Umaharage ya Mbeya wako,Kwa sababu kama akikupenda KAMA ULIVYO LEO hata mkiingia ndani ATAKUPENDA TU kwa sababu alijua aina ya mtu anayeingia naye ndoani na ameshajipanga kisaikolojia kuvumilia harufu ha Boxer zako...Ukimuimpress kwamba hunywi kwa miezi mi3 akakuoa halafu HAMAD anakuta chupa za Ndovu stoo PATACHIMBIKA
Zimwi likujualo halikuli likakwisha,Muonyeshe rangi zako halisi akupende kwa Uhalisi wako lasivyo utaolewa leo SAWA na bajeti ya milioni 96 lakini Jiandae kuwa mjane baada ya Miezi 6 kwa karatasi ya Talaka ya Sh 50 Steshenari.
BE YOURSELF.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Siku Hizi Hii ndio starehe yangu kubwa

$
0
0

Kila binadamu huwa na kitu ambacho hupenda kukifanya na akiwa anakifanya hukifurahia, wengine starehe yao ni kusoma vitabu, wengine kuangalia sinema, wengine kusikiliza muziki, wengine kunywa pombe na wengine starehe yao huwa ni kufanya kazi.

Sasa leo msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Abdul Naseeb maarufu kama Diamond Platinumz amewaeleza mashabiki wake starehe yake kubwa ambapo kutokana na kazi yake wengi wangedhani hupendelea kwenda Club kuimba au kucheza muziki, au kunywa pombe na kadhalika.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram mara tu baada ya kuachia kibao chake cha Baila, Diamond amesema, kuwa kwenye mapenzi na kumpenda mtu ndio starehe yake kubwa.

Amesema mara nyingi watu maarufu hukutana na watu tofauti tofauti ambao wengine hupenda kweli, wengine hutamani kuwa na mtu huyo kutokana na umaarufu wake.

”Licha ya vingi vinipavyo furaha lakini kwenye mapenzi ama kumpenda mtu ndio starehe yangu kubwa na kama ujuavyo unapokuwa na kajina wengi wanakuwa wanakupenda, wengine kwa dhati wengine kwa matamanio”

Ameongezea ”Ila inapotokea anipendae nami nikampenda basi huyo hufaidi haswa mapenzi yangu, na ndio maana mara nyingi inakuwaga ni ngumu sana wengi kunisahau pindi tutenganapo, kwani huwaga na matendo mengi mazuri ya kimahaba yanayoonekana na yasiyoonekana gizani kwa sababu nayapenda mapenzi, na ni hodari sana kwenye kila taaluma ya kupetipeti.

Aidha Diamond Platinumz amesema amejifunza mengi sana katika mahusiano aliyowahi kuwa nayo.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Watu Wengi Sana Hasa Wanawake Wamefanya Whats App Sehemu ya Kujifariji

$
0
0
I hate WhatsApp na Mitandao mingine kama fb from the bottom of my heart (nipo huko kwa sababu kuna some meaningful contacts), lakini acha tu niwepo, maana wakati mwingine hii mitandao inanisaidia kufanya research zangu na Biashara.

Tatizo ni badala ya watu kuitumia kuwasiliana kwa mambo ya maana na kuwa na mipaka ya ni watu gani wapate messages wanazoandika, basi unakuta kwenye STATUS za whatsApp chini ya profile, messages kama vile:

"I luv u dady, can't wait to 've ur f" (Unakuta ni uzushi tu, hakuna chochote, hajaolewa wala nini, kama sio ufuska ni nn?)

"Oh baby, I can't forget that f u gave me last night" (Sijui alikutana na mtu tu akamnyapua, yeye tayari keshaanza kumpublish kama baby)

"We are the real lovers, no one can separate us" (Unakuta ndoa inatemblea drip, ina migogoro balaa)

"luv luv luv u my husband, u know ur a gentleman" (Mkianza kuchat anamdis jamaa)

"This is my beloved son, he was born when his father was going to Europe, so two in one!" (Europe tandika! Hajui hata Airport iliko!)

"Kill them with succes n burry them with Smile" (Unakuta mambo yamemgomea, hasa vitoto vya shule, may be hata amedisco, mafanikio yatakuwa yake!)

"I'm single but this does not mean I'm available" (Hapa amechakazwa, hadi hajijui status yake!)

etc, etc, etc.,

Bado wale wanaojipa matumaini na kujifanya mara wanampenda Mungu sana, sijui Yesu na wakati hata hawamjui!

Bado picha za uchi - kuonyesha nyonyo, mattako, mara wanapeana kisses,mara wamekumbatiana.

Yaani kuna vimbwenga visivyokuwa vya kawaida na visivyoisha! Wengi wao huwa nadelete namba zao za simu, nikiwavumilia huwa nawablock. Wale ninaowavumilia sana huwa nawaacha tu kama walivyo!

Baada ya kufanya research kuhusu hawa watu hasa wa WhatsApp ndipo nilipogundua yafuatayo:

1. Wanaoandika message kuonyesha wanawapenda wenzi wao, wala hawawapendi - ukiwapa tu nafasi ya kuchat wanaanza kuandika maneno ya usaliti kuhusu wapenzi wao

2. Wanaoandika msgs kujifanya wamewamiss wenzi wao - hawana hata wapenzi wa kusingizia, wanajifariji baada ya kukataliwa, wewe waruhusu tu kidogo waongelee habari ya mapenzi, mbona majanga!

3. Wanaoandika msgs kali kali kuhusu mapenzi e.g. "leave me alone", "Kwani mapenzi/mwanaume kitu gani" - wametendwa baada ya kuwavamia wanaume kichwakichwa

4. Wengine wanaandika msgs kama vile "Sexy me", "love myself", - hawa wanatafuta attention ya wanaume na kujaribu kujipandishia self esteem.

5. Bado wale wanaoweka picha za magari, majumba na kuandika "Hapa ndio kwa hubby", sijui "I'm tired driving this BMW thing, need to change a car!", - hawa wanataka kujionyesha kuwa mambo yao safi hata wasipoolewa maisha yatasonga kwa nguvu ya wallet.

Yaani kuna mengi, mengi .........

Maji Maji Ukeni Kama Mtindi Yananikera, je ni Uchafu? Nahisi Kumuacha

$
0
0
Mpenzi wangu ana majimaji meupe kama mtindi ulioganda na unatoka kwa mabonge bonge wakati tukiwa tunafanya yetu, Nimejaribu sana kumwambia ajisafishe vizuri sana lakini hayaishi, sasa nashindwa kuelewa  je ni uchafu wa kawaida kwa mwanamke ? Au ni Ugonjwa ? Naomba Ushauri kwa Anayejua Utatuzi wa Tatizo Hili


Viwanja Vimeshuka Bei: Mapinga (Baobab Sec)

$
0
0

Viwanja Vimeshuka Bei: Mapinga (Baobab Sec)
Viwanja viko Kimele, ni kilometa 3 kutoka main road (Bagamoyo Road). Viwanja viko planned (kwa mpangilio mzuri) na ukinunua unapimiwa ili upate hati kwa gharama ya sh 300,000 tu.
Bei ya viwanja inabadilika kuendana na size ya kiwanja ulichochagua.
Bei ni: milion 2 for 10/20, mil 3 for 15/20, mil 4 for 20/20, mil 5 for 25/20, mil 6 for 20/30, mil 8 for 20/40, mil 11 for 25/45, mil 12 for 30/40 na mil 16 for 40/40, mil 20 for 0.5acre, mil 38 for 1 acre. luksa kulipa kwa awamu ndani ya miezi 3-4
Hakuna dalali, mpigie mhusika, 0757489709

Zari Amwandikia Tena Hamisa Mobetto Ujumbe Baada ya Kukanwa na Diamond

$
0
0

Zarinah Hassan ‘Zari’ amerudi Kwenye headlines tena baada ya kumuandikia ujumbe adui yake namba moja Hamisa Mobetto baada ya kukanwa na Diamond hadharani. 
Sakata hilo lilianza jana baada ya Diamond kuachia video yake mpya ya wimbo wake wa ‘Baila’ ambapo aliposti Kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika kuwa hajapata mwanamke wa kuwa naye lakini siku akimpata atamsikilizisha Baila:  "Kwa machache niliyojifunza Kwenye Mahusiano nilisema siku nikikutana na mwanamke mpya nitakayetaka kuwa naye kabla ya kuianza Safari sitamwambia neno bali nitamuwekea huu wimbo wa Baila”.

Baada ya Diamond kuweka wazi kuwa hayupo kwenye mahusiano moja kwa moja Zari alianza kumnanga Hamisa na kumpa pole baada ya kukataliwa na mwanaume ambaye amekuwa akijitangaza kuwa Kwenye Mahusiano naye. 
Kwenye ukurasa wake wa Snapchat Zari aliandika maneno ambayo directly alikuwa anampiga vijembe Hamisa na kumcheka kuwa amekaa Kwenye Mahusiano na mwanaume kwa miaka kumi lakini bado anamkana hadharani kuwa hana uhusiano naye:

Bifu la Zari na Hamisa lilianza baada ya Diamond kuchepuka Kwenye Mahusiano Yake na Zari na kuzaa mtoto na Hamisa Mobetto tangia hapo Zari na Mobetto hawaivi chungu kimoja ni majungu kwenda mbele na kujibizana mitandaoni.

OFA!OFA!OFA Je Umepungukiwa Nguvu za Kiume na Umetumia Dawa Bila Mafanikio?

$
0
0

OFA!OFA!OFA je umepungukiwa nguvu za kiume na umetumia dawa bila mafanikio? sasa utapona kwa sh 15000 tu ofa ni kwa watu kumi wakwanza kila siku ofa hii itadumu ndani ya wiki 2 baada ya hapo bei itakuwa nyingine na kama hujapona tunakurudishia hera yako !

Dawa hii ni dawa ya maajabu huwezi kuamini Ila wengi wameiamini, inatibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na utapewa garantee ya mwezi mmoja dawa hii inapatikana hapo hapo ulipo nyumbani kwako na tutakupatia maelezo ya namna ya kuiandaa wewe mwenyewe na baada ya kuiandaa utakunywa Mara moja tu,na hautatumia dawa yoyote ya nguvu za kiume dawa hii inawafaaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70 zaidi ya miaka hyo haitakusaidia ni dawa ya asilia haina madhara yoyote.

Watafiti na waganga wameikubali pia hii dawa inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi pia tunaweza kukutumia dawa popote ulipo lakini c kwa bei ya ofa ukiitumia dawa hii unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 3 bila hamu kuisha na itakufanya uwe na uwezo wa kufanya tendo la ndoa muda wowote imesaidia watu zaidi yawatu 148 ndani ya mwakammoja tangu igunduliwe Dr kiboko mganga wa tiba za jadi toka kisiwani mafia pia tunatibu magonjwa mbalimbali kurudisha mpenzi aliye kuacha,biashara iliyoyumba, kuondoa mikosi, nyota na nk maelezo zaidi Wasiliana na Dr kiboko 0679923297

Unawapa Somo Gani Wadada Waliobakiwa na Vitu Vya Kuhongwa na Kuyakosa Mapenzi?

$
0
0
Unawapa somo gani wadada waliobakiwa na magari ya kuhongwa, Simu za gharama za kuhongwa, majumba ya kuhongwa huku wakiyakosa Mapenzi na kusema Watapaki kuwa Single Ladies forever?

Hakuna kitu kinachoumiza moyo kama mapenzi hata kama unamiliki dunia.

Utajikaza tu lakini, maumivu yako pale pale; hata unywe hadi ulewe, uvute hadi uchizike.

Cha muhimu ni kumheshimu akupendae, hasa kama tayari mpo kwenye kiapo cha ndoa.

Mwaka juzi ilitokea nchini Nigeria; Wanawake zaidi ya 8,000 waliandamana hadi kwa waziri kuitaka serikali iwatafutie wanaume wa kuwaoa, la sivyo watachukua wanaume wa wale wenye ndoa ili wawatumie kwa zamu.

Kunda Mwanamke Ndugu yangu Kabisa Wakati wa Ujana wake Alikuwa Moto wa Kuotea Mbali Uzuri Wake Ulimdatisha Kila Mtu Kiasi Akaapa Hata Olewa na Alikusanyia Mali nyingi sana kutoka kwa Wanaume Wakware..Sasa yupo na Miaka 42 anajuta kwa upweke alionao Japo Anakila Kitu plus Majumba Hakuna anaye mtaka nae zaidi ya vijana Kumchezea na Kusepa.

It is easy to say "i want to be single lady" but it is very difficult to maintain singlelism

Sakata la Ndoa ya Shamsa Ford na Chid Mapenzi Kuvunjika..Chid Mapenzi Afunguka

$
0
0
Mfanyabiashara, Chidi Mapenzi ambaye ni mume wa ndoa wa muigizaji, Shamsa Ford amefunguka kwa kudai kwamba yeye na mke wake huyo huwa hawafikiagi hatua ya kugombana kwani akigundua amemkwaza mwenzake huwa anajishusha chini na kuomba msamaha.

Chidi amekanusha kwamba penzi lao lipo hatarini kuvunjika kama watu wanavyosema mitaani huku akidai kwa sasa wapo vizuri na wanafurahia maisha yao.

“Mimi na mke wangu huwa hatugombani, nikimkwaza lazima niwe chini nitafanyaje,” Chidi Mapenzi alikiambia kipindi cha Shilawadu cha Clouds TV. “Mke wangu nikimkosea huwa anakuwa na hasira lakini baadaye hasira zinaisha na maisha yanaendelea,”

Chidi amesema sio kweli kwamba ndoa yao ilikuwa ivunjike, yote ambayo yalikuwa yanazungumzwa na mitandao ya kijamii kwamba ndoa yao ipo mbioni kuvunjika sio ya kweli.

Siri ya Vijana Wengi Mahandsome Kukimbilia Bongo Movies Yafichuka 'Kumbe Majimama

$
0
0
Msanii wa bongo movies , yusuph mlela ameongea na mwandishi na kutoa yake ya moyoni huku akisema kuwa wasanii wengi waliopo katika bongo movies sasa hivi wanaingia bongo movies sio kwa sababu wana vipaji lakini ni kutokana na kutafuta watu wa kuwalea.

Yusuph Mlela anasema kuwa ukweli utabaki kuwa tangu Kanumba amfariki basi na bongo movie imeshakufa hakuna anaefanya movies kwa kipaji bali kwa maslahi yao binafsi na vijana wengi wako kwa ajili hiyo.

tangu kanumba amfariki basi na bongo movies imekufa kabisa, vijana wengi wanaingia katika bongo movies kwa sababu ya kutafuta majimama tu ya kuwalea.

Akiwa kama mmoja  ya wasanii wa bongo movies hayo ndio maoni yake nayoona kutokana na soko la movies sasa hivi lilivyo, ingawa wapo wanaobishana na kauli hiyo ya kuwa kanumba amekufa nna bongo movis imekufa.

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi


Waziri Ummy: “Vyakula vya Harusini Vichunguzwe”

$
0
0
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ametoa agizo kwa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) na Wizara ya Afya, Kitengo cha Afya ya Mazingira, kuangalia ni Mamlaka ipi inajukumu la kutazama vyakula vinavyoliwa kwenye maharusi, ili kulinda afya za walaji.

Waziri wa afya, Ummy Mwalimu (kulia) akipata maelezo juu ya sukari zinazopimwa ubora wake kutoka kwa Mkuu wa Maabara wa TFDA Kanda ya Ziwa Salum Kindoli alipotembelea kukagua shughuli za ujenzi wa jengo la Mamlaka hiyo jijini Mwanza.

Waziri Ummy Mwalimu ametoa maagizo hayo, alipotembelea kuangalia ujenzi wa jengo la TFDA ambalo linajengwa Jijini Mwanza ili kusogeza huduma kwa wananchi wa mkoa huo.

Waziri Ummy amesema kuwa vyakula hivyo vimekuwa vikisafirishwa umbali mrefu bila kujua vinaandaliwa katika mazingira yapi na kubebwa kwa usalama wa hali gani ili kulinda afya za walaji.

“Hatutaki kuharibu biashara za wajasiriamali wa vyakula lakini tunahitaji kufahamu mazingira ya uandaaji wa vyakula hivyo pamoja na vifungashio wanavyotumia, kuna familia imewahi kulazwa Muhimbili mara baada ya kula chakula harusini na hivyo nawapa agizo hilo mkalifanyie kazi”, amesema Waziri Ummy.

Mbali na hayo Waziri Ummy amesema kuwa TFDA ina wajibu wa kusimamia Tanzania isiwe jalala la bidhaa zisizo na ubora kwa watanzania hivyo wanatakiwa kuweka afya ya wananchi mbele kuliko manufaa binafsi.

Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari Kuhusu Fursa Za Masomo Saudi Arabia

$
0
0
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea fursa za ufadhili wa masomo katika kozi mbalimbali kutoka Serikali ya Saudi Arabia.

Mafunzo hayo yatatolewa katika Chuo Kikuu cha Imam Abdulrahman bin Faisal kilichopo Saudi Arabia. Taarifa kamili kuhusu ufadhili, kozi na taratibu zote za namna ya kuomba zinapatikana kupitia tovuti ya Chuo hicho www.iau.edu.sa

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje Na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dar es Salaam

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Peter Msigwa Msigwa Awapa Vidonge Wanasiasa Wanaoshindwa Kufanya Siasa Kisa Katazo la Mikutano

$
0
0
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji. Peter Msigwa ameweka wazi kwamba kama kuna mwanasiasa atakayekuwa anashindwa kufanya siasa kwa sababu ya kuwepo na sheria za kufanya mikutano basi mtu huyo atakuwa mwanasiasa dhaifu.

Mch. Msigwa ameyasema hayo wakati akijibu swali la www.eatv.tv kuhusu viongozi wengi kukimbilia mitandaoni kufanya siasa je, ni kutokana na masharti yaliyowekwa katika ufanyaji wa mikutano ya kisiasa. (Mikutano ifanywe ndani ya jimbo na Mbunge husika).

Amesema kwa upande wake kuwa mitandaoni hajaanza katika kipindi hiki ambacho mikutano ya hadhara kumekuwa na masharti ila alishaanza kitambo na hata kwenye jimbo lake bado ameendelea kuwa maarufu kutokana na kushirikiana na wananchi wake.

"Mimi nipo mitandaoni siku nyingi sana, natumia mitandao yote ya kijamii, hivyo sijajiunga kipindi hiki cha zuio sijajua kwa upande wa wenzangu. Na kwa upande wangu hata kama wamezuia mikutano kwenye jimbo langu bado nipo 'popular', nafanya mikutano ndani ya jimbo kwa raha zangu, na kitaifa mimi ni miongoni mwa Wabunge wachache wanaosikika kwa sababu siogopi kitu," Mch. Msigwa.

Ameongeza
 "Ni mwanasiasa ambaye atakuwa dhaifu sana akisema kwamba ameshindwa kutekeleza majukumu yake kwa wananchi ili asikike kutokana na kwamba mikutano ya kisiasa imezuiliwa. Palipo na mzoga ndipo panakuwa na Tai wengi hivyo kama una hoja, hoja yako itasikika tu pamoja na changamoto za kisiasa tulizo nazo".

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF

$
0
0


Mkurugenzi Mteule wa NSSF, William Erio.

Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Prof. Godius Kahyarara na atapangiwa kazi nyingine. Rais amemteua William Erio kushika nafasi hiyo kabla kuteuliwa alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images