Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

Mbunge wa Tunduma (Chadema), Frank Mwakajoka Atiwa Mbaroni

$
0
0

Mbunge wa Tunduma (Chadema), Frank Mwakajoka amekamatwa na Polisi akiwa kwenye kituo kikuu cha polisi Tunduma alikokwenda kuomba ulinzi.


Mbunge wa Mbozi (Chadema), Pascal Haonga amesema mbali na Mwakajoka, pia Katibu wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Mkoa wa Songwe, Ayub Sikagonamo naye amekamatwa.


“Pia wapo baadhi ya madiwani, wanachama wa Chadema na walinzi wa chama nao wamekamatwa,” amesema.


Amesema Mwakajoka na Sikagonamo leo asubuhi  walipanga kwenda ofisi za Halmashauri ya Tunduma kwa ajili ya kuchukua fomu za wagombea wa udiwani katika kata tano, lakini ofisi hizo zilikuwa zimezingirwa na polisi.


“Kutokana na hali hiyo Mwakajoka akiwa na Sikagonamo waliona kuliko kwenda eneo hilo na kuonekana wanakwenda kufanya vurugu, waliamua kwenda kuonana na mkuu wa kituo ili awape ulinzi wa askari,” amesema Hainga.


“Ila walipofika (Mwakojoka) alielezwa kuwa jana usiku alifanya kikao na wenzake kwa lengo la kufanya maandamano hivyo anawekwa chini ya ulinzi, basi wakawekwa ndani hadi muda huu.”


Amesema hatua waliyoichukua ni kuwasiliana na uongozi wa juu wa chama hicho sambamba na kufanya taratibu za dhamana.


Haonga amesema hadi leo saa 7 mchana hakukuwa na mgombea udiwani wa Chadema aliyechukua fomu  ya kugombea kwa kile alichokiita mizengwe inayofanyika, ikiwa ni pamoja na kukamatwa lwa wagombea walioteuliwa na chama hicho kikuu cha upinzani nchini.

Uingereza Mdebwedo, Wakosa Nafasi ya Tatu Wachapwa Kichapo cha Mbwa Koko

$
0
0

Leo Julai 14 timu ya taifa ya Ubelgiji imefanikiwa kuibuka na ushindi wa jumla ya mabao 2 – 0 baada ya kuitandika Uingereza mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa michuano ya kombe la dunia. 

Mchezo huo ulioanza kuchezwa majira ya saa 11 jioni kwenye dimba la Krestovsky Ubelgiji ilipata mabao yake kupitia kwa wachezaji wake, Thomas Meunier dakika ya nne na Eden Hazard dakika ya 82. 

Kesho siku ya Jumapili kuna mchezo wa fainali wa kombe la dunia baina ya Ufaransa dhidi ya Croatia

Ongeza Uume, Nguvu na Hamu ya Tendo la Ndoa Hata Kwa Wenye Kisukari na Pressure

$
0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
#OngezaUume
#NguvuZaKiume
#HandsomeUpOg
#BidhaaTz

Faida 11 za Kunywa Maji Yenye Ndimu Kila Asubuhi

$
0
0
Umesikia mara nyingi kuwa kunywa maji kwa wingi hasa asubuhi kuna faida kubwa sana za kiafya mwilini,lakini kunywa maji yenye ndimu na vuguvugu kuna faida maradufu na ni rahisi kufanya kila siku. Vitamin C nyingi iliyomo katika limao na ndimu ni siri ya faida za tunda hili,ukiachia vitamini C ndimu ina vitamini B-complex,  madini ya Kalsiamu, chuma, magnesiamu na potasiumu, na fiba (Ndimu ina potasiumu kwa wingi kuliko tofaa(apple) au  Zabibu).

Kunywa maji peke yake (yasiyo na kitu) wakati wa asubuhi huwapa tabu baadhi ya watu,wengine hupata kichefuchefu . Lakini maji yaliyotiwa ndimu kidogo huwa na radha nzuri zaidi na watu wote wanaweza kunywa bila shida.

Kuna faida nyingi ambazo utazipata kwa kunywa maji yenye ndimu au limao na katika makala hii tunazitaja faida 11 muhimu.

Faida 11 za Kunywa Maji Yenye Ndimu

Faida #1: Huchochea Mmeng’enyo wa Chakula Tumboni
Maji yenye ndimu husaidia chakula kusagika vizuri na haraka katika mfumo wa chakula. Japo limao lina asidi(acid) lakini likiwa tumboni huwa alkali (alkaline) na kufanya mazingira mazuri kwa usagaji wa chakula.

Pia maji ya uvuguvugu husaidia kusawazisha utumbo uliojikunja na kutoa mawimbi tumboni na kufanya chakula kusukumwa vizuri.

Faida #2: Huboresha Kinga za Mwili
Vitamini C na potasiumu iliyomo kwa wingi katika limao inasaidia katika utengenezaji wa seli za kinga katika mwili.

 Faida #3: Husaidia Unyonywaji wa Madini Mwilini
Vitamini C iliyomo katika limao husaidia kunyonywa kwa madini mwilini hasa madini ya chuma ambayo ni muhimu kwa utengenezaji wa damu. Hata kama maji ya ndimu yakiwa baridi.

Faida #4: Husaidia Kinga Dhidi ya Saratani
Vitamini C ni antioksidant (antioxidant) ambayo inasaidia kuondoa free radicals mwilini ambazo zimetambulika kusababisha saratani (cancer).

 Faida #5: Husaidia Kupunguza Hatari ya Kiharusi
Kutokana na matokeo ya kitafiti ulaji wa matunda jamii ya limao(citrus fruits) inasaidia kupunguza hatari ya kupatwa na shambulio la kiharusi aina ya ischemic (ischemic stroke) hasa kwa wanawake.


Faida #6: Usafishaji wa Mwili na Damu
Limao husaidia kusafisha damu kwa kuondoa uchafu. Limao pia husafisha figo ,ini na mfumo wa chakula.

 Faida #7: Kurekebisha Sukari katika Mwili
Limao husaidia kuweka kiasi cha sukari tumboni na katika mwili kuwa katika kiasi stahili.

Hii inawasaidia sana wagonjwa wa kisukari katika ulaji wao.

Faida #8: Dawa ya Kikohozi na Mafua
Limao ikitiwa katika maji ya uvuguvugu na asali husaidia sana katika kutibu mafua na kikohozi kwa njia ya asili.

Faida #9: Inasaidia Urekebishaji wa Ngozi na Kupona Makovu
Limao inasaidia kufanya ngozi isizeeke. Kama unataka kubaki kijana basi limao litakusaidia.

Tabia za vitamin C za kusafisha uchafu zinasababisha kufanya ngozi kuwa na afya na kutozeeka haraka.

 Faida #10: Husaidia Kupungua Uzito
Limao hupunguza hamu ya kula. Na inajulikana kuwa sababu kubwa ya watu kuwa na uzito mkubwa ni kula chakula kingi au kula mara kwa mara. Limao litakufanya ujisikie kushiba muda mrefu hivyo kusaidia wale amabao wanataka kupungua uzito.

 Faida #11: Kuondoa Harufu ya Mdomo
Limao husaidia kuua bakteria wabaya mdomoni ambao husababisha harufu mbaya.

 Anza Siku Kwa Kunywa Maji yenye Ndimu Kila Siku
Ni zoezi rahisi na haraka kabisa, weka maji yenye joto kidogo (vuguvugu) katika glasi au kikombe , kata limao au ndimu vipande viwili na kamua kipande kimoja tu ndani ya glasi yenye maji.

Kunywa na uanze siku mpya. Ni vizuri ukafanya hivi dakika 30 kabla ya kula chochote kingine kwa faida zaidi.

Anza leo kwa kunywa maji yenye ndimu kila siku asubuhi na uone mabadiliko ndani ya mwili wako. Mshirikishe mwenzio ili naye afaidike.

Njia 5 Kali za Kupata Mtoto wa Kiume

$
0
0
Uzazi wa mpango una mambo mengi sana.. sio kuzuia mimba tu ndio uzazi wa mpango ila hata kupanga idadi na jinsia za watoto ni moja ya njia za uzazi wa mpango..

Watu wengi wamekua wakitamani jinsia flani za watoto ili wazae watoto wachache ila kukosa kwa jinsia waliyoipanga hujikuta wakizaa watoto wengi wakati wakitafuta jinsia husika, mpaka familia hugombana na kutengana kwa sababu hizi.

Mara nyingi wazazi wa kiume hufikia hatua ya kuvunja ndoa kabisa hasa wanapokosa watoto wa kiume.

Leo ntamaliza kitendawili hiki kwa kutoa njia ambazo zinaweza kufanya mtu kupata mtoto wa kiume kwa asilimia nyingi…

Kitaalamu mbegu  zinazotoa mtoto wa kiume XY huenda kwa mwendo mkali sana kwenda kwenye mfuko wa uzazi lakini hufa haraka. lakini mbegu zinazotoa mtoto wa kike XX husafiri taratibu na huchelewa kufika na kufa  ndani ya mfuko wa uzazi kwani mbegu hizi huweza kuvumilia hali mbaya ya kimazingira ndani ya mfuko wa uzazi wa mwanamke, hivyo njia pekee ya kupata mtoto wa kiume ni kuhakikisha mbegu hizo za kiumeXY zinakutana na mayai ya kike kwenye mfuko wa uzazi haraka kabla ya kufa..

Zifuatazo ni njia hizo tano kali…
1. Hakikisha unashiriki tendo la ndoa siku mayai ya mwanamke yanapokua yameshuka{ovulation}
Ukishiriki tendo la ndoa siku hii ambayo yai linakua limeshuka    mbegu za kiume huweza kufika mapema na kujiunga na mayai ya kike  na kutengeneza mtoto{fertilization}hii ni siku ya 14 KABLA YA KUONA DAMU YA MWEZI UNAOFUATA SIO BAADA YA KUONA SIKU ZAKO..

Kama wewe mwanamke hujui siku yako ya ovulation fanya hivi.
Pima joto lako la mwili: nunua kipima joto[thermometer} na kisha pima joto lako kila asubuhi , siku ukiona joto lako limeongezeka kidogo ujue umeanza ovulation na hiyo ndio siku muhimu ya kutafuta mtoto..

Angalia maji maji ya uke: kawaida maji ya uke hua mazito na kuvutika kama maji ya mayai mabichi wakati mwanamke anapoanza ovulation..

2. Wewe mwanaume ongeza idadi ya mbegu zako..{sperm count}
Mwanaume anatakiwa aongeze wingi wa mbegu zake hasa kwa kukaa siku mbili mpaka tano bila kushiriki tendo la ndoa wakati akisubiri mwanamke wake aanze ovulation.

Njia zingine za kuongeza mbegu ni weka korodani kwenye hali ya ubaridi:
kawaida korodani hutengeneza mbegu nyingi wakati wa hali ya ubaridi kuliko joto  hivyo mwanaume anatakiwa kuepuka kuvaa nguo zilizobana sana, na  kuwekalaptop kwenye mapaja acha kuvuta sigara na kunywa pombe:wanaume wanaokunywa pombe na kuvuta sigara hua na mbegu kidogo sawasawa na wavutaji wa bangi.. matumizi ya dawa za cancer pia husababisha uzalishaji wa mbegu kidogo sana.

3. Tumia style za ngono ambazo zinahamasisha muingilio mkubwa{deep penetration}
Hii huzipa faida mbegu za mtoto wa kiume{XY} kufika haraka na kufanya fertilization na upande mwingine, muingiliano mdogo{shallow penetration}husababisha mbegu kumwagwa mbali na mlango wa mfuko wa uzazi hivyo mbegu huweza kukutana na hali ya tindikali kwenye uke hivyo mbegu za mtoto wa kiume  kufa haraka na kuziacha mbegu zinazotoa mtoto wa kike.{XX}.

4. Hakikisha mwanamke anafika kileleni:
Mwanamke anapofika kileleni hutoa maji mengi ukeni ambayo hupunguza wingi wa tindikali ambayo ni adui wa mbegu  zote hasa mbegu za mtoto wa kiume XY ambazo hua haziwezi kuvumilia hali ngumu ya kimazingira.

5. Usifanye tendo la ndoa kabla na baada ya ovulation;
Kabla ya ovulation mbegu za mtoto wa kiume XY hufika haraka kwenye mfuko wa uzazi  kama kawaida na kukuta mayai ya mwanamke hayajafika na kufa vivo hivyo baada ya ovulation..

Ukitaka Mafanikio Ya Kweli Acha Kulalamika Juu Ya Mambo Haya....!!!

$
0
0
"Hivyo ulivyo inatokana na mtazamo ulionao" usemi huu niliwahi kukutana nao siku moja katika pekuapekua zangu, usemi huu una ukweli ndani yake kwa asilimia zote uzijuazo wewe, kwa sababu maisha yako hivyo yalivyo yanataokana na mtazamo na imani ulizonazo.

Watu wengi ambao hawajafanikiwa wanaamini ya kwamba mafanikio yanapatina kwa baadhi ya watu fulani, lakini dhana hii si kweli kwa sababu kila mmoja mwenye pumzi na fikra ana wajibu wakuweza kufanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Hivyo nikwambie ya kwamba mafanikio makubwa yatakuwa upande wako endapo utaacha mara moja kulalamka juu ya mambo yautayo;

1. Acha kulalamika juu ya elimu uliyonayo.

Mafanikio yatakuja kwako endapo utaacha kulalamika juu ya elimu uliyonayo. Watu wengi wanalalamika eti kwa sababu ya elimu walizonazo, wengi husema mimi sina mafanikio kwa sababu sina elimu ya kotosha, au nimesoma kidogo na sina elimu ya chuo kikuu.

Kiuhalisia, dhana hii haina mahusiano ya moja kwa moja na mafanikio yako, hii ni kwa sababu sio kila mwenye elimu amefanikiwa hivyo kwa elimu hiyohiyo ambayo unayo ni kigezo tosha juu ya mafanikio yako. Hebu tujiulize watu wengi ambao wamefanikiwa elimu zao ni kiwango gani?

2. Acha kulalamika eti hujafanikiwa kwa sababu huna bahati.

Kama nilivyoanza kueleza hapo awali ya kwamba mtazamo ndio kila kitu, imani hii ya kuendelea kuamini ya kwamba mafanikio ni bahati nakuomba uachane nayo mara moja, imani hiyo inaweza kukupoteza na ukashindwa kupata mafanikio kama utaishikilia sana.

Tambua imani kubwa juu ya mafanikio ni kwamba kila mmoja amezaliwa kwa ajili ya kufanikiwa na si vinginevyo jambo la msingi ni kwamba mara zote hakikisha unakuwa na mtazamo chanya, ubunifu, pamoja kufanya kazi kwa bidii haijalishi ni kazi ndogo au kubwa kiasi gani.

3. Acha kulalamika eti huna pesa za kutosha.

Hili ndilo kikwazo cha mafanikio ya wengi hii ni kwasababu watu wengi wamekuwa wanalalamika ya kwamba hawana pesa za kutosha ili wafanye jambo fulani, kuendelea na tabia hii ni kujiua mwenyewe kwani siku zote pesa huwa hazitoshi.

Jambo la msingi ni kuhakikisha kwa kiwango hicho cha pesa ulichonacho ni njia pekee ya kuanza kufanya jambo unalolitaka, kwani endapo utaendelea kusubiri ufikishe kiwango fulani cha pesa ndio uanze kufanya jambo fulani nakuhakikishia huwezi kufanya kamwe.

4. Acha kulalamika juu ya serikali kama kweli unataka kufanikiwa.

Maisha yako yapo mikononi mwako, hata hivyo kama kweli unaamini hili hakikisha unakuwa bora sana katika kutafuta kusudio lako katika dunia hii, nasema hivi kwa sababu watu wengi wanashindwa kufanikiwa kwa sababu wao kazi yao ni kuilaumu serikali tu.

Na watu hao wamekuwa wakifanya hivi huku siku sikizidi kwenda na wao maisha yao yamekuwa hayabadiliki,  jambo la msingi ambalo nataka kukuasa ni kwamba kila mmoja asimame kidete katika kuyapigania maisha yake ambayo yatamtengezea kesho yake bora.

Hivyo nikuache kwa kukuambia ya kwamba endapo utaendelea na tabia yako ya kulalamika ni kutengeneza maisha yako kuwa duni zaidi.

Nukuu ya siku inasema "kulalamika ni adui namba moja wa mafanikio yako"

Mambo Matano ya Kawaida Yanayoweza Kuhatarisha Afya Yako Bila Kujigundua..!!!

$
0
0
KUNA baadhi ya mambo ambayo mara nyingi ukiyafanya huwa ni lazima ufupishe maisha yako kwa namna moja au nyingine. Hii yote huwa inatokana na aina ya maisha uliyoyachagua, ambayo huwa ni hatari kwa afya na maisha kwa ujumla. Watu wengi wana tatizo la kuishi maisha ya kujisahau na kufanya vitu ambavyo ni hatari. Haya ni baadhi ya mambo ambayo ukipendelea kuyafanya basi maisha yako yanakuwa hatarini.

Kula bila mpangilio

Watu wengi huwa wanaishi maisha ya kutojali afya zao. Yapo mambo ambayo ukiyafanya afya yako inakuwa hatarini moja kwa moja hata kama hujasomea udaktari ni rahisi kwako kuyafahamu.

Mfano kama unapenda kula vyakula bila mpangilio na vibovu ambavyo havifai, ni lazima afya yako itakuwa hatarini. Lakini si hivyo tu, kama wewe ni mvutaji mzuri wa sigara au unakunywa pombe kupita kiasi bila utaratibu, ni rahisi mno kwako kuweza kuharibia afya yako na hivyo kuyafanya maisha yako kuwa hatarini.

Maisha ya upweke

Hakuna kitu hatari katika maisha yako kama kuamua kuishi wewe kama wewe. Hili ni jambo la hatari mno kwako na kwa namna yoyote ile linaweza kuhatarisha afya yako. Kwa kawaida binadamu ameumbwa ili kuweza kuwa na uhusiano na wengine. Sasa wapo watu ambao hawana uhusiano mzuri na wengine kwa sehemu kubwa.

Watu hawa kutokana na kutokujihusisha kwao na watu wengine hujikuta wakiwa na  maisha magumu. Muda mwingi mawazo yao huwa ni hasi kutokana na kujitenga na hivyo hujikuta ni watu wa kuwa na msongo wa mawazo, hivyo huwa ni rahisi kwao kupoteza maisha.

Kukaa chini muda mrefu

Hili ni jambo dogo tu, na unaweza ukalichukulia kwa urahisi, lakini wataalamu wa afya wanaonya jambo hili kwa kuwa linaweza kuathiri afya. Inashauriwa kuwa si vizuri kukaa chini kwa muda mrefu bila ya kusimama. Hiyo inaweza kukusababishia magonjwa kadhaa ikiwamo uti wa mgongo.

Ili kuweza kulinda afya yako na kuwa bora zaidi unapaswa kuepuka kukaa chini kwa muda mrefu. Kama una kazi ambayo inakulazimu ukae chini muda mrefu basi jitahidini angalau uwe unasimama kila baada ya dakika 45 ili kufanya mzunguko wa damu uendelee vizuri.

Kuangalia runinga kwa muda mrefu

Wataalamu wa afya wanabainisha kuwa kuangalia TV kwa muda mrefu tena ukiwa karibu nayo unaweza kuua baadhi ya seli ndani ya mwili. Kwa upande wa wanaume tafiti zinaonyesha kuwa kuangalia TV kwa muda mrefu hupunguza uwezekano wa kuzalisha mbegu za kiume kwa asilimia kubwa. 

Kikubwa cha kuzingatia hapa ni kutambua kuwa kuangalia runinga kwa muda mrefu kwa namna moja au nyingine kuna madhara ambayo unaweza usiyaone kwa urahisi.

Kutopata usingizi wa kutosha

Kukosa usingizi ni tatizo ambalo linaiweka afya yako hatarini moja kwa moja. Kwa kawaida binadamu anatakiwa alale saa 8 kwa siku. Unapokosa kulala saa hizo unaweza kupoteza kumbukumbu taratibu.

Lakini si hivyo tu, pia hukusababishia kupata tatizo la akili. Kwa hiyo, usingizi ni jambo muhimu mno kwa afya yako.

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake. 

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi. 

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache. 

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja. 

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578 

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo. 

Msanii wa bongo achaguliwa Marekani

$
0
0

Mchekeshaji aliyejizolea umaarufu nchini kupitia uigizaji wake kama mwanamke katika mitandao ya kijamii, Abdallah Sultan ‘Dullavani’ amechaguliwa kushiriki katika tuzo za ‘Go Fun The World’ zilizo andaliwa na ‘9GAG’ zinazo wahusisha waigizaji wa vichekesho wenye ushawishi kwenye mitandao.


Mchekeshaji Dullavani.

Akizungumza na www.eatv.tv, Dullavani amesema kuwa mashindano hayo yanayofanyikia nchini Marekani, yameandaliwa kwa dhumuni la kukusanya 'video' fupi zinazofanya vizuri kwenye chaneli za ‘Youtube’ zenye watazamaji wengi ambapo video yake iliyopendekezwa ina watazamaji zaidi ya milioni saba na mshindi atapatiwa dollar lako moja.

“Mimi kila siku nafanya vitu tofauti, na mimi kwenye kazi zangu nazingatia sana ubunifu ndiyo maana hadi leo hii nimepata fursa ya kuchaguliwa kwenye mashindano makubwa duniani na naamini hiyo yote ni kuonyesha niko tofauti na wasanii wengine”, amesema Dullavan.

Ameongeza kuwa wasanii wengi siyo wabunifu na wamekuwa wakifanya sanaa kwa kufanya kazi chini ya kiwango ndiyo maana wanashindwa kuipaisha bendera ya nchi Kimataifa.

Mwakyembe awachamba wasanii

$
0
0

Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, amesema kanuni wanazolalamikia wasanii za tozo mbalimbali hazikuja kwa bahati mbaya.


Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe,

Dkt. Mwakyembe ameyasema hayo leo jijini Dar es salaam, wakati akizungumza na wanahabari pamoja na wasanii  baada ya kuwepo na malalamiko ya wasanii tangu Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) lilipotangaza kanuni mpya zinazotaka waandaaji wa maonyesho ya wanamuziki, kulipa kuanzia Sh50,000 hadi Sh5 milioni.

Dk Mwakyembe amesema vikao mbalimbali vilikaa na kupitisha kanuni hizo na kwamba wasanii wanaolalamikia suala hilo ni wale ambao hawakuhudhuria kwenye vikao hivyo.

Katika kikao hicho Waziri Mwakyembe amewalaumu wasanii wengi wenye majina makubwa kutohudhuria vikao, ambapo kati ya vikao walivyowahi kukaa ndivyo vilivyopitisha sheria ambazo zilianza kutekelezwa tangu Julai Mosi mwaka huu.

"Wasanii hamuhudhurii vikao, mnasubiri kuja kulalamika sheria na kanuni zikishapitishwa, kwani wengi mkishapata majina mnapandisha mabega juu na kujiona nyie ndio nyie hata mkiitwa katika mambo yenye faida kwenu hamji,”amesema.

"Nina uhakika hakuna kampuni kubwa zinashindwa kulipa Sh5 milioni, nashangaa nyie mnavyowatetea wakati wao hata mmoja mpaka sasa hivi hakuna aliyenijia kulalamika," amesema Mwakyembe.

Pamoja na hayo Mwakyembe amewapa rungu wasanii kung'oa mabango ya matangazo yenye picha zao endapo mkataba na kampuni husika utakuwa umekwisha.

Mchezo Mchafu Ukuta Mirerani...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya July 15

$
0
0

Mchezo Mchafu Ukuta Mirerani...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya July 15

“Kamishna sikupongezi, nakuhurumia sana”-JPM

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amemtaka Kamishna mpya wa Magereza kuwatumia wafungwa katika ujenzi pamoja na uzalishaji kwa manufaa ya jeshi hilo na taifa kwa ujumla.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli .

Rais Magufuli amesema hayo leo Ikulu jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaapisha Balozi Joseph Edward Sokoine kuwa Naibu katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira pamoja na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Phaustine Martine Kasike ambao aliwateua hivi karibuni.

Rais Dkt. Magufuli amesema kuwa ni jambo la kushangaza kuona Jeshi hilo linaomba msaada kwa serikali kwa ajili ya bajeti ya chakula na ujenzi wa nyumba za watumishi wakati wana watu ambao wanaweza kuwatumia.

“Maana ya kufungwa ni ukafanye kazi, maaskari magereza kazi yao ni kuwafanya wafungwa wafanye kazi, ndio maana wengine wanahukumiwa na kuchapwa fimbo ziwachangamshe wakafanye kazi”, amesema Rais Magufuli.

Ameongeza kuwa, “Ni suala la aibu nchi kuendelea kulisha wafungwa, maeneo ya magereza ni mengi mno ukienda kule Mbeya mashamba yanalimwa robo tu, kila mahali kuna magereza na maeneo ya mashamba, lakini kila mwaka kunakuwa na maombi ya bajeti kulisha wafungwa”.

Aidha Rais Magufuli ametumia fursa hiyo kumtaka Kamishna Jenerali wa Magereza kuzuia wafungwa kuendelea kupata huduma ambazo ni kinyume cha sheria ya magereza ikiwa ni pamoja na masiwasiliano ya simu.

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0

Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Mtoto wa Mjomba Anajilegeza Kwangu Kimapenzi...Ushauri

$
0
0
Ndugu zangu wanajamvi...kwanza naomba niulize, mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu...mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo, ila sasahivi chuchu konzi...msambwana umenawili..kwahiyo ameanza kubadilika, muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza tucheze huku nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu..muda mwingine anavaa kanga moko tu au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza nimle? au ntakosea?..
maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..

Waziri Mwakyembe atoa nafasi kwa wasanii na Basata kujadili tozo ya milioni 5 (Video)

$
0
0
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amezungumza na wadau wa sanaa wakiwemo wasanii wa muziki kujadili sakata jipya la tozo ambalo limeanzishwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata).

Moja kati ya tozo ambazo zimechukua muda mwingi kujadiliwa ni tozo ya milioni 5 kwa kila kampuni ya biashara ambazo zitataka kufanya kazi na wasanii.

Baada ya kikao hicho Waziri Mwakyembe aliwataka wasanii wachache pamoja na wadau wa sanaa wakae na Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kujadili namna kubadili huo mfumo.

 VIDEO:

Mimi kushiba Nimeelekezwa Juzi na Dokta, Kwamba Ukishiba Unajisikiaje, Nilikuwa Nakula Mpaka Meno Yachoke– Peter Msechu

$
0
0
Msanii wa muziki Peter Msechu amedai katika wakati wake wote wa maisha alikuwa hajui kushiba nini mpaka siku ya juzi alivyoelekwezwa na madaktari maana ya kushiba.


Muimbaji huyo amedai alikuwa anakula mpaka tumbo lake lijae au meno yake yachoke kutafuna ndipo anapoacha kula chakula.

“Wali maharage ni tatizo kubwa kwa vijana tupunguze jamani” Msechu alikiambia EFM. “Mimi nilikuwa sijui kushiba ni nini, nakula mpaka meno yachoke kutafuna au tumbo lijae, sana.”

“Kuna wakati nilifikia mpaka kilo 140 daktari akaniambia Msechu jiangalie, utapoteza maisha. Daktari ndio akaanza kuniambia maana ya kushiba nikaanza kuelewa kidogo lakini wali na maharage tukae nao mbali sana vijana,”

Msechu amedai kwa sasa ameweza kusikiliza ushauri wa daktari wake na tayari mwili wake umenza kubadilika.

Mke Wangu Hajawahi Niambia Kuwa Amechoka Au Anaumia Wakati wa Mgegedo, Je Simtoshelezi ?

$
0
0
Nimekuwa nikimpa dozi za uhakika,nimekuwa nikimpiga romance za nguvu. namfikisha hata mara nne lakini haniambii kama kachoka bado anaguna utamu tu mpaka mimi nichoke.

Nimekuwa nikiwa na tabia ya kunywa wine au wisk siku za weekend kiasi kwamba hujikuta namsugua hata masaa matatu mpaka manne yeye hajawahi sema kama kachoka, nambadilisha staili nyingi zote anaenda tu mpaka pale ambapo mimi nafika nakuamua kupumzika.muda mwingine kama jmosi humsugua kama mara nne hapo home yeye kila nikumvuta nikipiga romance analainika namsugua hasemi kama kachoka.

sasa swali linalonijia kama kila nikitaka namsugua tu je ni mwaminifu huko kazini kwake? maana kama kila baada ya masaa mawili naweza msugua inamaanisha hata nikimsugua vipi huko kazini anaweza suguliwa tena maana inaonekana hachoki.Naombeni ushauri wadau.

By Mjali Tumbo

Magufuli "Wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana na wazembe wapigwe mateke"

$
0
0

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kuwa wafungwa wanapaswa kufanyishwa kazi usiku na mchana na kwamba wafungwa wazembe wanafaa 'kupigwa mateke'.

Magufuli alikuwa akizungumza katika uzinduzi wa afisa mkuu mpya wa Magereza nchini humo .

Amesema kuwa ilikuwa aibu kwa Tanzania kuendelea kuwaachilia huru wafungwa na kwamba watu hao wanapaswa kulima chakula chao katika shamba.

Anasema kuwa kutofanyishwa kazi kwa wafungwa kumesababisha kuwepo kwa wapenzi wa jinsia moja na matumizi ya mihadarati katika jela.


Ametoa wito wa kusitishwa kwa wanawake au wanaume kutembelea wake zao au waume zao jela.

Makundi ya wanaharakti yamemshutumu kiongozi huyo kwa kushindwa kuwavumilia wapinzani wake wa kisiasa , makundi ya wapenzi wa jinsia moja na makundi mengine.

BBC

Mataifa ya Afrika yaliyochangia wachezaji timu ya taifa na Ufaransa Kombe la Dunia 2018

$
0
0
Ufaransa watakutana na Croatia katika fainali ya Kombe la Dunia Urusi Jumapili na ingawa hakuna timu kutoka Afrika iliyofika hatua ya muondoano, wengi wamekuwa wakilitaja taifa hilo kama Africa United.

Steve Mandanda
Ni mlinda lango ambaye huchezea klabu ya Marseille ya Ufaransa. Alizaliwa mnamo 28 Machi 1985 mjini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wakati huo ikiitwa Zaire na jina lake kamili ni Steve Mandanda Mpidi. Ana ndugu watatu wadogo wote ambao ni walinda lango, na wawili kati yao hucheza soka ya kulipwa.

Mandanda huishi Marseille na amepewa jina la utani 'Frenchie' na jamaa zake kutokana na uamuzi wake wa kuamua kuichezea Ufaransa badala ya DR Congo.

Amekuwa kipa wa akiba kwa sasa nyuma ya Hugo Lloris katika timu ya taifa.

Mandanda aliamua kuwa mlinda lango kibahati akiwa na miaka tisa. Kocha wake wa zamani katika timu ya vijana Evreux anasema wakati mmoja alikuwa anatembea wachezaji wengine wakifanya mazoezi. „Nilimuona akinitazama kwa macho makubwa, na akaniambia: 'iwapo nitacheza kandanda, basi ninataka kuwa mlinda lango kwa sababu (ukiwa kipa) hauhitajiki kukimbia!"

Ndiye mkubwa katika familia ya watoto watano wa kiume na alikuwa akiwatunza utotoni wazazi wao walipoenda kutafuta kazi.

Aliwahi kuichezea Crystal Palace ambapo alitatizika sana alipojaribu kuihama klabu hiyo.

2. Presnel Kimpembe, 22 (DR Congo na Haiti)


Kimpembe alizaliwa 13 Agosti 1995 karibu na Beaumont-sur-Oise. Babake ni wa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na mamake alitokea Haiti.

Alianza kucheza soka ya kulipwa 17 Oktoba 2014 alipoingia nafasi ya Thiago Motta.

Alichezeshwa pia badala ya Thiago Silva mechi ya marudiano 16 bora Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ugenini Real Madrid na kocha wa sasa wa Arsenal Unai Emery hatua iliyowashangaza wengi.

Ni mchezaji anayejiamini sana na hilo hujidhihirisha ndani na nje ya uwanja.

Alichezeshwa mara ya kwanza timu kuu ya taifa Ufaransa wakati wa mechi ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Bulgaria na Uholanzi Oktoba 2016 baada ya Eliaquim Mangala kuumia.

Nyota wa zamani wa Ufaransa na Arsenal na Chelsea William Gallas amemweleza kama "tumaini la Ufaransa siku za usoni".

3. Samuel Umtiti, 24

Ni mchezaji wa miaka 24 ambaye alizaliwa mnamo 14 Novemba mwaka 1993 mjini Yaounde, Cameroon. Mamake ni Annie Ngo Um lakini babake hajulikani ni nani. Ana ndugu kwa jina Yannick Umtiti. Yeye kwa kawaida huwa ni beki wa kati.

Ni mchezaji mrefu kwa kimo, kimo chake ni futi sita (1.83m) jambo ambalo huenda lilimsaidia katika kufunga bao la kichwa dhidi ya Ubelgiji ambapo alikuwa anakamiliana na mchezaji mwingine mrefu wa kimo anayefahamika sana kwa mipira ya kichwa, Marouane Fellaini.

Kutokana na kwamba alizaliwa Cameroon, ni mchezaji ambaye alikuwa na fursa ya kuichezea timu ya taifa ya Cameroon. Ana uraia wa Cameroon na Ufaransa.



4. Djibril Sidibé, 25
Ni beki wa kati ambaye huitwa kwa utani "Tonton" ("Mjomba") na Kylian Mbappé, na kwa sasa huchezea klabu ya AS Monaco.

Wazazi wake walitokea Bamako, Mali ingawa alilelewa Troyes.

Alizaliwa 29 Julai 1993. Ni mchezaji ambaye ni mkabaji kamili lakini wakati mwingine hutumiwa safu ya kati.

Alianza uchezaji wake katika klabu ya Troyes akiwa na miaka minane na alichezea Lille kabla ya kuhamia Monaco.

Wakati mmoja aliulizwa kuhusu kuchezea Mali, ambapo alisema kocha wa Mali wa 2012-2013 Patrice Carteron, aliwasiliana naye wakati mmoja. "Wakati huo nilikuwa ndio nimewasili tu Lille na sikuchezeshwa sana.

Nilitaka nafasi kuchezea The Eagles. Wazazi wangu wanatokea Bamako, sawa na jamaa wengine wangu, na wangelifurahia mimi kuchezea Mali.

"Nilikuwa naichezea timu ya vijana ya Ufaransa, lakini nilifahamu kwamba kama ningekubali kuchezea Mali, ningejitenga na Lille klabu ambayo nilitaka kupata fursa ya kucheza muda zaidi. Hivyo niliweka klabu mbele."

"Familia yangu waliniruhusu nifanye uamuzi wangu bila kunishinikiza."

Alichezea timu ya taifa ya Mali mara ya kwanza 1 Septemba 2016 mechi ya kirafiki dhidi ya Italia.

5. Adil Rami, 32
Adil Rami ni beki wa kati wa asili ya Morocco aliyezaliwa 27 Desemba 1985.

Kwa sasa huchezea klabu ya Sevilla ya Uhispania.

Alianza uchezaji wake akiwa na miaka tisa na klabu yake ya kwanza kujiunga nayo ilikuwa Étoille Fréjus Saint-Rafaël. Alianza kucheza soka ya kulipwa kirasmi msimu wa 2003/04. Mwanzoni alikuwa anacheza kama mchezaji wa mshambuliaji wa safu ya kati lakini baada ya mwenzake kuumia kwenye timu akasukumwa safu ya ulinzi.

Alifana katika ukabaji na akawavutia Lille. Alichezea Valencia ya Uhispania na AC Milan ya Italia kabla ya kuhamia Sevilla.

6. Benjamin Mendy, 23
Ni mchezaji mcheshi sana mwenye asili ya Senegal ambaye kwa sasa hucheza kama beki wa kushoto katika klabu ya Manchester City.

Alicheza ligi kuu ya Ufaransa kwa misimu minne kabla ya kuhamia Manchester kwa bei iliyovunja rekodi ya dunia ya kununuliwa kwa beki ambapo alinunuliwa £52m.

Mendy anatokea kusini mwa Paris na alianza uchezaji wake soka ya kulipwa klabu ya Le Havre kabla ya kuhamia Marseille na baadaye kujiunga na Monaco.

Alichezea timu timu ya taifa ya Ufaransa mara ya kwanza 25 Machi 2017 mechi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia dhidi ya Lixembourg ambapo walishinda 3-1 ugenini.

7. Paul Pogba, 25 (Guinea)



Paul Labile Pogba alizaliwa Lagny-sur-Marne, Seine-et-Marne Ufaransa lakini wazazi wake wanatokea Guinea.

Ni Mwislamu na ana ndugu wawili wakubwa pacha waliozaliwa Guinea ambao ni wachezaji soka pia. Utotoni alikuwa anaipenda sana Arsenal.

Alianza uchezaji wake akiwa na miaka sita akichezea US Roissy-en-Brie na alikaa nao misimu sita kabla ya kuhamia US Torcy alikokaa miaka saba na wakati mmoja akawatumikia kama nahodha wa wachezaji wa chini ya miaka 13.

Alihamia Le Havre na baadaye Manchester United kabla ya kuuzwa Juventus.

Alirejea tena Manchester Agosti 2016 kwa uhamisho uliogharimu £89.3) ambao ulivunja rekodi ya awali ya dunia iliyokuwa imewekwa na Gareth Bale.

Alichezea timu ya taifa mara ya kwanza 2013 dhidi ya Georgia mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia la mwaka 2014.

8. Corentin Tolisso, 23 (Togo)
Kiungo huyu wa kati huichezea Bayern Munich wa Ujerumani. Alizaliwa 3 Agosti 1994 na wazazi wanatokea Togo.

Alilelewa Thizy, katika eneo la Rhône-Alpes nchini Ufaransa na hukumbuka maisha ya ufukara ya utoto wake.

"Nafikiri kuendelea kunyenyekea na kuishi maisha ya kawaida ni jambo muhimu sana. Babangu alikuwa mtu wa posta; mamangu bado hufanya kazi kama mkurugenzi wa kituo cha kuwatunza walemavu. Nafahamu nilikotoka," amenukuliwa na gazeti la Guardian la Uingereza.

Alianza uchezaji wake katika akademi ya Lyon ambao alijiunga nao akiwa na miaka 13.

Alichezeshwa mara ya kwanza Agosti 2013 dhidi ya Nice ligi kuu ya Ufaransa mechi ambayo walishinda 4-0.

Alijiunga na Bayern Munich msimu uliopita.

Ingawa alizaliwa Ufaransa, alikuwa pia anaweza kuiwakilisha Togo na kocha wa timu ya taifa ya Togo mwaka 2016 Claude Le Roy alikuwa amefichua kwamba angejaribu kumshawishi kuwachezea. Tolisso alikiri uhusiano wake na Togo lakini akaamua kuchezea Ufaransa, akisema: „Nilizaliwa hapa na kulelewa hapa."

Alichezea timu ya taifa ya Ufaransa mara ya kwanza Machi 2017 dhidi ya Uhispania nyumbani mechi ambayo walilazwa 2-0.

9. N'Golo Kanté, 27 (Mali)

Wazazi wake wanatokea Mali. Mchezaji huyu alizaliwa Paris 29 Machi, 1991 na akaanza kucheza soka akiwa na miaka minane JS Suresnes. Alikaa huko kwa karibu mwongo mmoja hadi mwaka 2013 alipojiunga na Caen na baadaye akahamia Leicester City kwa £5.6m mwaka 2015 na kuwasaidia kushinda ligi msimu wa 2015/16.

Uchezaji wake uliwavutia Chelsea waliomnunua kwa £32m Julai 2016 kwa mkataba wa miaka mitano. Aliwasaidia Chelsea kushinda ligi na Desemba mwaka huo gazeti la L'Equipe lilimuorodhesha kuwa wa sita bora duniani kwa uchezaji. Mwaka huo alitawazwa pia mchezaji bora wa mwaka chaguo la wachezaji wa kulipwa Uingereza.

Wazazi wa Kante walihamia Ufaransa kutoka Mali mwaka 1980 na alilelewa katika nyumba ndogo eneo la Rueil-Malmaison, Hauts-de-Seine. Jina lake linatokana na Mfalme Ngolo Diarra wa ufalme wa Bamana.

Eden Hazard humuita "panya" na Michael Ballack alimweleza kama "nzi msumbufu". Ni mchezaji imara sana safu ya kati na hufanikiwa sana kuvuruga uchezaji wa timu pinzani.

Amefananishwa sana na uchezaji wa Claude Makélélé.

Alianza kuchezea timu ya taifa ya Ufaransa mwaka 2016.

10. Blaise Matuidi, 31 (DR Congo na Angola)

Matuidi akilalamika baada ya kuchezewa visivyo mechi dhidi ya Ubelgiji
Blaise Matuidi alizaliwa 9 Aprili 1987 Toulouse na kukulia eneo la Fontenay-sous-Bois mjini Paris pamoja na ndugu zake wanne.

Ingawa Mamake, Élise Rivelino ni wa asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, na babake Faria Rivelino anatokea Angola. Babake alitoroka mapigano ya Angola miaka ya 1980 kuelekea DR Congo na kisha wakahamia mji wa Toulouse, Ufaransa.

Matuidi ni mzungumzaji mzuri wa lugha ya wakoloni wa Angola, Ureno pamoja na Ufaransa.

Mnamo mwaka wa 2006, kiungo huyo wa kushoto alialikwa na timu ya taifa ya soka ya Angola kuiwakilisha, lakini alikataa ombi hilo. Hata hiyo alijitetea kuwa uamuzi huo haukuashiria amekata uhusiano na asili yake.

Aidha, mwaka wa 2010, Angola ilipoandaa Kombe la mataifa bingwa Afrika, Matuidi alizuru taifa hilo huku akihoji kuwa, licha ya kuwa Mfaransa, anahisi kuwa Muangola zaidi.

Ukurasa wake wa soka ulianzia klabu za wachezaji chipukizi US Fortenay-sous-Bois, CO Vincennois na Créteil.

Baada ya kupata uzoefu zaidi, msimu wa 2004/05 alitua Troyes AC na kuisaidia kupandishwa daraja hadi Ligue 1. Alitengana na klabu hiyo pindi walipolishwa upanga hadi daraja la nchini mwaka 2006/07 na kutua Matuidi AS Saint-Étienne.

Bidii yake ilimzolea ufanisi na kumwezesha kufika hadi klabu ya Paris Saint-Germain Julai 2011. Mwaka uliopita alijiunga na Juventus.

Safari yake na timu ya Ufaransa ilianza na kikosi cha wachezaji wasiopungua umri wa miaka 21 aliowachezea kabla ya kualikwa kweye kikosi cha timu ya taifa mwezi Septemba 2010.

11. Steven Nzonzi, 29 (DR Congo)


Steven N'Kemboanza Mike Nzonzi kwa kifupi Steven Nzonzi alizaliwa 15 Desemba 1988 La Grenne Colombes, Paris, Ufransa kwa Baba mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na mama Mfaransa.

Alianza safari yake 1998, na timu ya Racing Paris.

Kiungo huyu mkabaji alijiunga na klabu ya Amiens SC 2007 na baada ya kipaji chake kujitetea, alisajiliwa na Blackburn Rovers ya England aliyoitumikia kati ya 2009-2012.

Licha ya Blackburn kulishwa upanga 2012, alisalia Uingereza kwa kuhamia klabu ya Stoke City.

Ingawa amekuwa aking'aa, Steven Nzonzi hakuweza kuwavutia wakufunzi wa Ufaransa baada ya kuhamia England mapema katika enzi zake.

Kutokana na hali ya Ufaransa kuwa mkwasi wa viungo wakabaji, Nzonzi hakuweza kuitwa kikosini.

Licha ya changamoto hizo, alidumisha subira ikiwemo kukataa mwaliko wa Jamhuri ya Congo kuiwakilisha Kombe la Afcon Afrika Kusini mnamo mwaka wa 2012 na kuamua kusubiri nafasi katika kikosi cha Ufaransa.

Milango ya fursa na mafanikio ilianza kufunguka alipotua Sevilla ya Uhispania 2015.

Ronaldo Jr atakuwa stadi wa kandanda kama babake?
Lakini macho makali ya kocha Didier Deschamps yalipomwahi, alijumuishwa kwa mara ya kwanza mwezi Novemba mwaka wa 2017 katika mihuano ambayo Ufaransa ililazwa 2-0 na Wales kabla ya kutoka sare 2-2 na Ujerumani.

Baada ya kuiwakilisha Ufaransa kwa wachezaji wasiozidi miaka 21, alikabidhiwa jezi la taifa hilo tena Kombe la Dunia Urusi 2018 na kocha Deschamps ambaye hajapoteza matumaini kwa nyota huyo.

Amejiweka vyema kwenye mpangilio wa Sevilla kiasi kwamba kocha wao wa zamani Jorge Sampaoli alizoea kumuita "Pweza", kutokana na kujikita kwake na kuwa kitovu cha timu.

Alikaribia kuhamia PSG mwaka jana.

12. Kylian Mbappé, 19, (Cameroon na Algeria)


Mchezaji huyu alizaliwa mnamo 20 Desemba 1998 katika familia ya wachezaji eneo la Bondy kaskazini mashariki mwa Paris, Ufaransa. Jina lake kamili ni Kylian Mbappe Lottin.

Babake Wilfried Mbappé alitoka Cameroon, ingawa ana mizizi pia Nigeria, na mamake Fayza Mbappé Lamari ni wa asili ya Algeria.

Wawili hao walikutana Ufaransa. Wilfried alikuwa amekimbilia Ufaransa kama mkimbizi na akamuoa Fayza ambaye alikuwa tayari ni raia wa Ufaransa katika juhudi za kutaka kupata idhini ya kusalia Ufaransa.

Mpangilio wa mechi na matokeo Kombe la Dunia
Fayza alikuwa mchezaji stadi wa mpira wa handiboli naye Wilfried ni mkufunzi wa michezo mbalimbali.

Babake alikuwa ndiye mkufunzi wake utotoni, na anasema kipaji chake kilianza kuonekana akiwa na miaka sita pekee. Kwa sasa, ndiye wakala wake.



13. Ousmane Dembélé, 21 (Mauritania)

Dembele alizaliwa 15 Mei 1997 mjini Vernon, Kaskazini Ufaransa na wahamiaji kutoka Mauritania, akiwemo babake Ousmane na mamake Fatimata Dembele.

Mapenzi ya soka ya Ousmane Dembele yalianza akiwa mdogo na kumfanya apoteze hamu ya masomo. Baada ya kufahamu hayo, wazazi wake waliwekeza katika uimarishaji wa kipaji chake cha Soka.

Alipokuwa umri wa miaka 6, aliondoka na mamake mjini Vernon na kuelekea Kaskazini Mashariki hadi mji wa Rennes kukutana na mjombake, Badou Sambague aliye alianza kumnoa Dembele.

Safari ya soka ya Dembele ilishika kasi na alitua timu ya Madeleine Evreuex mnamo 2004.

Mamake nyota huyu Fatimata Dembele ndiye anahusika pakubwa katika mazungumzo kuhusu usajili wake na mikataba kati yake na vilabu vya soka.

Baadaye alijiunga na Rennes ya Ufaransa akiwa na miaka 13, kabla ya kuihama na kutua Dortmund kwa Euro milioni €15m 2016.

Msimu wa 2015/2016, akiwa Rennes, Dembele alifunga mabao 10 na kumpiku Thierry Henry kwa kuwa mchezaji mdogo zaidi kufanya hivyo.

2017, aligonga vichwa vya habari baada ya Mabingwa wa Uhispania Barcelona kumtia kapuni kwa euro milioni €105m na kusajili mkataba wa miaka 5.

Nyota huyu mwenye umri wa miaka 21, mpaka sasa ameifungia Ufaransa mabao mawili mpaka sasa na tangu alipoiwakilisha kwa mara ya kwanza walipoifunga Italia 3-1 mechi ya kirafiki Septemba 2016.

Samuel Umtiti humuita "le Moustique" - "Mbu" - kutokana na uwezo wake wa kupiga wachezaji chenga uwanjani.

14. Nabil Fekir, 24 (Algeria)

Kiungo mshambuliaji wa Ufaransa Nabil Fekir alizaliwa mnamo 18 Julai 1993 mjini Lyon, Ufaransa na wazazi wenye asili ya Algeria.

Aliwahi kuzua fujo baada ya kuchagua kuiwakilisha Ufaransa badala ya Algeria licha ya kuwa na uraia wa Ufaransa na Algeria kwani babake Mohammad Fekir ana asili ya Algeria.

Akiwa na miaka 12, Fekir aliingia timu ya vijana wasiozidi miaka 12 ya Olympique Lyonnais. Aliachwa na timu hiyo na baadaye akaondoka hadi timu ndogo ya Vaulx-en-Velin.

Nabil Fekir aliiwakilisha Lyon B kutoka 2011 na mnamo mwaka wa 2013, aliitwa kikosi cha Lyon kwenye ligi.

Mnamo 2014 na 2015, aliionyesha uwezo wake kikosi cha Ufaransa na baada ya Maxime Gonalons, nahodha wa Lyon kujiunga na AS Roma 2017,alikabidhiwa Unahodha.

Amebandikwa jina 'Messi wa Lyon' na amejizolea sifa kutoka Arsenal na Liverpool waliotaka kumsajili.

Kufikia sasa ameiwakilisha Ufaransa mechi 10 kabla ya kujumuishwa kikosi cha Kombe la Dunia.

Pia, amewahi kuiwakilisha timu ya Ufaransa kwa wachezaji wasiopungua miaka 21.

Baada ya hapo, Fekir alihamia Saint-Priest. Na katika muda huo, timu nyingi zililenga kumsajili lakini Fekir alidumisha azma yake ya kutua Lyon. Lyon haikuzubaa kumsajili na ilimtia kibindoni.

Ni katika klabu hiyo ndio aliweza kutuzwa mchezaji bora mwenye umri mdogo Ligue 1 pamoja na kujinyakulia nafasi katika timu bora ya msimu wa 2015.

Ingawa kocha wa Algeria Christian Gourcuff alilenga kumshirikisha kikosini, hakuweza kumshawishi kiungo huyo.

Mnamo Machi mwaka wa 2015, Fekir alicheza mechi yake ya kwanza ya Ufaransa na ilipofika Juni mwaka huo, alifunga goli lake la kwanza la timu ya taifa.

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images