Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104431 articles
Browse latest View live

Kumbe mzungu wa Nisha Zilikuwa ni Kiki za Wimbo Mpya....Utazame Hapa

0
0
Msanii wa filamu na muziki, Nisha Bebee baada ya kuonekana na mzungu na kudai kwamba ni mpenzi wake mpya, Ijumaa hii ameachia video ya wimbo wake mpya uitwo Yeye ambapo ndani yake anaonekana mzungu huyo akicheza matendo

Mwamuzi wa fainali Ufaransa Vs Croatia ajulikana, achambuliwa

0
0
Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), limemtaja mwamuzi atakayechezesha mchezo wa fainali wa Kombe la Dunia, Ufaransa dhidi ya Croatia, utakaoshuhudiwa kwenye uwanja wa Luzhniki nchini Urusi, Jumapili hii.

Nestor Pitana ambaye ni raia wa Argentina mwenye uzoefu, ndiye atakayepuliza kipyenga ndani ya dimba Jumapili hii ikiwa ni mechi yake ya tano nzito kwenye Fainali za Kombe la Dunia.

Pitana mwenye umri wa miaka 43 amepata nafasi hiyo kutokana na historia yake ya kumudu mechi ngumu, akianza na mechi ya ufunguzi kati ya wenyeji Urusi na Saudi Arabia kwenye uwanja huohuo.

Anakuwa mwamuzi wa pili kutoka Argentina kuchezesha mechi kubwa zaidi kwenye ulimwengu wa Soka akimfuatia Horacio Elizondo aliyeweka rekodi mwaka 2006.

Pitana alikuwa kwenye jopo la waamuzi kwenye Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil miaka minne iliyopita, na hii itakuwa mechi ya tano, akiwa na rekodi nzuri alipochezesha mchezo wa robo fainali kati ya Ufaransa na Uruguay.

Wadau wa soka wamemteta Pitana, wengi wakionekana kumkubali kutokana na historia yake nzuri.

    Mugabe amuahidi mpinzani mabilioni, magari kuendeshea kampeni

Mchezaji wa Croatia, Ivan Rakitic amemzungumzia Pitana akikumbuka alivyoumudu mtanange kati ya kikosi cha timu yake dhidi ya Denmark kwenye hatua ya mzunguko wa timu 16.

“Nilifurahi kusikia atakuwa mwamuzi wa fainali. Tulikuwa na bahati kumuona akichezesha mchezo kati yetu na Denmark. Sio tu kwamba tulishinda lakini alikuwa vizuri. Wasaidizi wake pia walikuwa wazuri sana,” amesema Ivan Rakitic.

Pitana atasaidiwa na waamuzi wa pembeni Hernan Maidana na Juan Pablo Belatti. Massimiliano Irrati wa Italia atasimamia upande wa uamuzi wa kutumia video, Video Assistant Referee (VAR).

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, nasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGISE

Kina Dada, Kwani Kuolewa ni lazima?

0
0
Nimeuliza hili swali kwa sababu kwenye jamii yetu baadhi ya kina dada ambao hawajaolewa hadi umri fulani wanakuwa 'desparate' na kupelekea kuchukua maamuzi yanayoshangaza au hata kuwaumiza.
Ingawa ni wachache sana wanaokiri kwa maneno frustrations zao kwa watu, tumekuwa tukishuhudia wengi wao wakikiri kwa matendo yao.

Tunashuhudia kina dada wakisacrifice heshima zao na 'kulazimika' kufanya vitu vya ajabu ili tu kumridhisha mchumba.

Tunashuhudia kina dada wakifyatua mimba kila siku zilizotokana na 'kutii' hamu ya wachumba ambao wanaishia kuwatelekeza

Tunashuhudia kina dada wakiingia katika mahusiano na wanaume lukuki kwa sababu tu wanataka ku-maximize chance ya kuolewa.

Tunashuhudia kina dada wakivunja mahusiano na wanaume wanaowapenda kwa sababu wamekutana na aliye tayari kuoa hata kama hawapendani...

Mbaya zaidi wapo wadada wanaoona kabisa unreliability ya ndoa wanazoingia lakini wanasema "bora tu niolewe mwaya, hata nikiachika nitakuwa nimetoa mkosi!!!!"

Kama Mungu kakujaalia uwezo wa kufanya kazi na kuingiza kipato cha kukuwezesha kujikimu na kuwakimu wanaokutegemea, kwa nini uumize kichwa na kuingia kwenye ndoa za mateso na za kukudhalilisha, ili na wewe uonekane umeolewa?
 Kina Dada, Kwani Kuolewa ni lazima?

Ladies:Wanaume wa Kuoa Hawatafutwi Clubs na Sehemu za Starehe

0
0
Some ladies have lost their thinking caps. Some found it but unable to use it. Must you clock 35 before you stop partying here & there? You already know all Eateries/ Hotels in town! You even know the tastes of their various ice-creams, pepper-soups, shawamas, etc.
And you can tell the prices of their beers and wines offhand.

Funny, you're singing “No man is responsible.”

*Which responsible man drinks to stupour and clubs every weekend?

*Which responsible man samples you and your slutty friends randomly?

*Which responsible man sags with dog's chains on his neck and tattoos on his body?

Ask your self; “Is the guy I'm currently dating my dream man?”

Dear sisters,

If you are living your life as above, my dear, you are living a life of mirage. Be real! Humble yourself and so you will be raised.

The so called "responsible men" you are searching for are not in the clubs and hotels, you won't find them at the weekly birthday 'bashes', weekend beach crashing or pool-side jamborees loitering around women of easy virtues, drunkards and men of questionable characters.

They are busy; in the Universities, Polytechnics and Colleges studying hard for the life after school, and in the offices, workshops, and on business trips striving hard to make life better for their families and better than they've met it.

Use that brain Sweet Sisters!

It's for thinking.

Soma Nafasi za Ajira zilizotangazwa

0
0

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

0
0
DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER

Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin e pamoja na madini aina ya zinc

Itakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30 ZAT 50

Inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende

Tunapatikana Dar es Salaam  na mikoan wasiliana na DR Oshinda no 0755505099 au 0714126118  Karibuni kwa hunduma bora

Polepole Ajibu Mapigo ya CHADEMA

0
0
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina wasiwasi wa aina yoyote na Tume ya Uchaguzi (NEC) katika uchaguzi mdogo wa marudio wa Ubunge katika Jimbo la Buyungu mkoani Kigoma huku kikidai waoitilia shaka tume hiyo wao ndio wenye matatizo.

Hayo yamelezwa na Katibu Mwenezi wa chama hicho, Humphrey Polepole baada ya kupita takribani siku tatu tokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoa kauli yake iliyokuwa ikiitaka NEC kuendesha uchaguzi huo kwa uhuru na haki kuwa kuna baadhi ya vitu wamevibaini vikiendeshwa ndivyo sivyo.

"Sisi hatuna mashaka yoyote na Tume ya Uchaguzi (NEC) na kama tungekuwa nayo basi tungeshayaeleza mahali husika ila ukiona mtu anajitokeza barabarani na kusema kuna changamoto bila ya kuzipeleka sehemu husika basi ujue yeye ndiyo mwenye changamoto nasio Tume", amesema Polepole.

Pamoja na hayo, Polepole ameendelea kwa kusema "Chama cha Mapinduzi kimejiwekea rekodi ya kushughulika na shida za watu na kutatua kero za wananchi wa Tanzania na hili limefanyika vizuri sana chini ya serikali ya CCM inayoongozwa na ndugu John Magufuli. Tumekuwa hatuna mzaha, masihara na watu wanaocheza na rasilimali za umma, wanaonyanyasa wananchi, wasiowajibika na kushughulika na shida za watu na kwa rekodi ambayo tumeshajiwekea mpaka sasa hivi tutaenda kupanda ushindi mkubwa wa kishindo kwasababu ya kazi ile nzuri ambayo tumekwisha ifanya hadi sasa hivi".

Uchaguzi huo mdogo wa marudio umepangwa kufanyika Agosti 12 mwaka huuu baada ya kuwepo wazi Jimbo la Buyungu Mkoani Kigoma kufuatia Mbunge Kasuku Bilago kufariki dunia mwanzoni mwa mwezi Mei mwaka huu pamoja na madiwani wa maeneo mbalimbali kuyaacha majimbo yao na kujiunga CCM kwa lengo la kumuunga mkono Rais Magufuli.

Mwakyembe Akutana na Wasanii Kujadili Changamoto ya Kanuni mpya za BASATA za mwaka 2018

0
0
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb) jana tarehe 14 Julai, 2018 amekutana na viongozi wa Shirikisho la Muziki, Shirikisho la Sanaa za Ufundi, Shirikisho la Sanaa za Maonyesho, Shirikisho la Filamu, Chama cha Muziki wa Kizazi Kipya na Chama cha Muziki wa Dansi na wanasanaa kujadili utekelezaji wa Kanuni mpya za BASATA za mwaka 2018 uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Kikao kilihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Sanaa, Katibu Mtendaji wa BASATA na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu.

Kikao hicho kilijadili masuala mbalimbali yaliyomo katika Kanuni hizo pamoja na changamoto zinazowakuta wanasanaa nchini.

Wadau walichangia hoja zao ikiwemo changamoto ya tozo ya kazi za sanaa kwa mtangazo (branding) ya shs. milioni 5 ambayo wamesema itanyima fursa za kupata kazi za matangazo.

Waziri Mwakyembe akijibu hoja hizo alisema Kanuni hizo zilipitia hatua zote ikiwemo kuwashirikisha wadau wote katika hatua za awali na kabla hazijasainiwa.

"Ninayo majina ya wanasanaa walioshirikishwa kwenye vikao vya wadau, hata hivyo wasanii wengi wamekuwa na tabia ya kutoitikia wito na baadaye huja na malalamiko baada ya maamuzi kuwa yameshafanyika", alisema Waziri Mwakyembe.

Kuhusu suala la tozo ya matangazo, Waziri Mwakyembe ameamua kuunda kamati ndogo ya wasanii ambayo itakutana na BASATA kujadili njia mbadala ya tozo hiyo.

Waziri Mwakyembe ameelezea kwamba Kanuni mpya pia zimeongeza muda wa kumbi za muziki zilizo wazi kufungwa saa 6:00 usiku kwa siku za kazi na saa 8:00 usiku kwa wikiendi na siku za sikukuu.

Akijibu kuhusu Utekelezaji wa hoja hiyo ya tozo ya matangazo, Katibu Mtendaji wa BASATA alisema tozo hiyo haizihusu asasi na kampuni za wasanii zilizosajiliwa ambazo zinaweza kujihusisha na matangazo.

Aidha, Katibu Mtendaji wa BASATA ameelezea kwamba tozo ya kumbi za maonyesho pia hiziwahusu wasanii waliosajiliwa na kampuni/asasi wanazozimiliki na kusajiliwa na BASATA.

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu amewata wanasanaa kuzingatia taratibu zilizopo wanapoandaa matangazo yao.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo alisisitiza umuhimu wa Vyama, Mashirikisho na BASATA kuwa utaratibu wa kukutana mara kwa mara na kujenga mawasiliano bora ambayo yatakuwa ni daraja katika kutatua changamoto zao mapema.

Mwakyembe Awataka wasanii kung’oa mabango yenye picha zao Barabarani

0
0

Waziri wa Habari, Sanaa na Utamaduni, Harrison Mwakyembe amesema msanii ana haki ya kuliondoa bango la matangazo yenye picha yake, iwapo limepitiliza muda wa mkataba.

Ameyasema hayo jana Julai 14, alipozungumza na wadau wa Sanaa jijini Dar es Salaam.

Mwakyembe aliyasema hayo baada ya msanii wa muziki, (Kibonge Mwepesi) kudai kwamba kuna baadhi ya watangazaji wanaofanya kazi na wasanii huacha mabango barabarani na kupitiliza muda wa mkataba waliokubaliana.

“Utakuta msanii kaingia mkataba wa mwaka mmoja lakini bango linakaa hata miaka mitatu, huku msanii akiwa hambulii chochote,” alisema

Akilijibu hilo, Waziri Mwakayembe alisema msanii anayefanyiwa hivyo ana haki ya kuwahoji watangazaji hao na ikiwezekana hata kuyaondoa mabango.

"Moja ya sababu ya kuzibana kampuni zinazofanya matangazo na wasanii ni kutokana na kuwanyonya kwa muda mrefu wasanii wetu,” alisema.

Aliongeza: “Hili nimeliona kwa Msanii Mzee Majuto, ambapo yeye kuna moja ya tangazo limekaa miaka mitano barabarani lakini kaambulia Sh5 milioni jambo ambalo halikubaliki.”

Alifafanua kuwa wasanii wanapaswa kuelewa kuwa kanuni za tozo mbalimbali zilizopitishwa hivi karibuni ni katika kuwafanya wafaidike na kazi zao na aliwashangaa wale wanaozipinga.

"Nina uhakika hakuna kampuni kubwa zinashindwa kulipa Sh5 milioni, nashangaa nyie mnavyowatetea wakati wao hata mmoja mpaka sasa hivi hakuna aliyenijia kulalamika," alisema Mwakyembe.

Makocha Wakubwa Duniani Waipa Ufaransa Ubingwa

0
0
MAKOCHA wa zamani wa Simba, Mcroatia Zdravko Logarusic na Selemani Matola wametabiri kwamba Ufaransa inabeba Kombe la Dunia leo Jumapili kwa kuipiga Croatia kwenye mechi ya fainali ndani ya Uwanja wa Luzhniki Moscow Urusi.

 “Wengi wanaipenda Ufaransa na wanawapa nafasi, vijana wa nchi yangu, lakini wanatakiwa kuwa makini na kupambana kuhakikisha wanafanya maajabu ingawa Ufaransa ndiyo ina nafasi,” alisema Loga ambaye ni Mcroatia anayeinoa Sudan kwa sasa.
Kwa upande wa Matola yeye alisema kuwa; “Ufaransa mimi naipa nafasi sababu ina wachezaji ambao wana uwezo wa kubadili matokeo wakati wowote tofauti na Croatia ambao wanawategemea viungo wawili tu.

Kocha Simba Ajitetea Hivi baada ya kichapo cha Mbwa Koko Kutoka Azam

0
0
BAADA ya klabu ya soka ya Simba kufungwa mabao 2-1 na Azam FC kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame  jana usiku, kocha wa Simba, Masoud Djuma, amesema mashabiki hawatakiwi kulalamika kwa kutokuwepo baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza.

Masoud ameyasema hayo kufuatia baadhi ya mashabiki waliokuwepo uwanjani kuonyesha kutoridhishwa na kiwango cha wachezaji waliopewa nafasi ambao wengi wao ni wale waliosajiliwa katika kipindi hiki cha usajili huku wachezaji wazoefu wakiachwa.

”Simba ina wachezaji 30, wengi wao wamecheza ligi na imeisha hawajapumzika, ikaja michuano ya SportPesa Super Cup kisha ikaja michuano hii ya CECAFA, mimi nikaamua wapumzike ili warudi kwenye ligi wakiwa vizuri na ninaamini itakuwa hivyo”,  amesema.

Aidha ameongeza kuwa wachezaji wapya  na wale ambao hawakupata nafasi kwenye ligi msimu uliopita ambao amewatumia kwenye michuano ya CECAFA, wameonyesha kiwango kikubwa na sasa anaweza kuamini ana kikosi kipana kwa ajili ya michuano mbalimbali msimu ujao.

Endapo Simba ingetwaa ubingwa jana ingekuwa ni mara yake ya saba kwani tayari ni mabingwa mara sita,  wakishikilia rekodi ya kuchukua kombe hilo mara nyingi zaidi. Kwa upande wa Azam FC wao wametetea ubingwa wao ambao waliuchukua mwaka 2015 hivyo kuutwaa mara mbili.

Masoud Djuma ambaye ni raia wa Rwanda  anaifundisha Simba kama kaimu kocha mkuu, baada ya aliyekuwa kocha mkuu, Pierre Lechantre, kumaliza mkataba na klabu hiyo mapema mwezi Juni na kurejea nyumbani kwao Ufaransa.

Kimenuka! Mashabiki wa Yanga wapinga ongezeko la Wachezaji wa kigeni

0
0
Baadhi ya mashabiki walio wengi katika klabu ya Yanga wamepinga ongezeko la wachezaji wa kigeni kutoka saba mpaka kumi baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitisha suala hilo.

Julai 12 2018 Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ilipitisha kanuni za kuruhusu usajili wa idadi ya wachezaji 10 wa kigeni katika Ligi Kuu kuanzia msimu ujao watakaoweza kutumika wote kwa wakati mmoja.

Kutokana na maamuzi hayo, mashabiki wengi wa Yanga wamepingana na maamuzi hayo na hii ni kutokana na klabu yao kuyumba kifedha kipindi hiki.

Mashabiki hao wengi wameonekana kuandika mitandaoni wakilalamika juu ya suala hilo wakiamini timu yao haiwezi kusajili wachezaji wazuri wa kimataifa kutokana viongozi wa timu yao kukabiliwa na uhaba fedha.

Lakini wale baadhi wa upande wa pili ambao ni Simba wameonekana kuchekelea kutokana na timu yao kuingia katika mfumo mpya wa uendeshaji, na kumkabidhi tajiri kijana na bilionea, Mohammed Dewji, wakiamini klabu itasajili mchezaji yoyote yule kwa sasa.

Ukiachana na mitandaoni, katika vijiwe vya maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam baadhi yao wamekuwa wakipinga huku wengine wakisifia wakiamini italeta ushindani mkubwa.

Walioamini ushindani utakuwepo wameeleza ni kutokana na wazawa watapaswa kujituma zaidi Uwanjani ili kujiwekea namba kwa lengo la kushindana kiuwezo na wageni, hivyo itakuwa ni changamoto kwao kujipanga zaidi ili kufanya vizuri.

Mkopo Noma..Mabasi 47 Ya Kampuni ya Mohamed Trans Kupigwa Mnada Kufidia Mkopo

0
0
Kampuni ya Udalali ya MEM imetangaza kuyauza mabasi 47 ya Kampuni ya Mohamed Trans, baada ya mmiliki wake kushindwa kurejesha mikopo anayodaiwa.

Mkugenzi wa Kampuni ya MEM, Eliezer Mbwambo, alisema mabasi hayo yatanadiwa kwenye mnada wa hadhara Julai 21 na 28, mwaka huu, mkoani Shinyanga.

Alisema mbali na mabasi hayo, pia watauza viwanja na nyumba ambavyo vinamilikiwa na mfanyabiashara huyo.

“Kwa idhini tuliyopewa na Nzaro Nuhu Kachenje ambaye ni msimamizi wa Kampuni ya Mohamedi Trans Ltd, tutauza kwa mnada wa hadhara mabasi na nyumba. Mnada utafanyika sehemu nyumba na mabasi yalipo,” alisema Mbwambo.

“Mabasi 47 yako kwenye yadi ya Mohamed Trans Shinyanga na basi moja liko kwenye yadi ya MEM Mikocheni wakati kiwanja na nyumba viko kwenye kiwanja kimoja Nyegezi jijini Mwanza,” alisema.

Alitaja vingine vitakavyouzwa kuwa ni pamoja na viwanja na nyumba vilivyoko kwenye kiwanja namba 557 eneo la Ngokolo, Shinyanga.

Mmoja wa wafanyabiashara wa mabasi ambaye hakutaka jina lake litajwe  alisema biashara yao imeyumba na hali hiyo huenda itawakuta wamiliki wengi wa mabasi.

“Watu wanaweza kudhani sisi wafanyabiashara wa mabasi tunapata sana lakini hali haiko hivyo. Watu wengi wana mikopo wanashindwa kuirejesha. Ni suala la muda tu, wengi tutafika huko alikofikia mwenzetu,” alisema.

Aidha, alisema biashara hiyo ni ngumu kwa sababu mmiliki analazimika kuagiza mabasi mapya na ya kisasa kila baada ya muda ili kujihakikishia kuwa na wateja wa kudumu muda wote.

“Huyu mwenzetu mabasi yake ni yale yale ya miaka yote. Sasa watu wameshaingiza matoleo mapya mengi tu, nani atapanda Marcopolo la miaka hiyo? Hii biashara si ya kuingia kichwa kichwa unaweza kushindwa kulipa mikopo,” alisema mtoa habari huyo.


Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

Mambo ya kujua kuelekea fainali ya kombe la dunia

0
0

Fainali za kombe la dunia mwaka 2018, leo zinafikia tamati kwa mchezo wa fainali kati ya Ufaransa na Croatia utakaopigwa kuanzia saa 12:00 Jioni kwa saa za Moscow na Afrika Mashariki. Uwanja ni Luzhniki jijini Moscow unaoingiza mashabiki 81,000.


Wachezaji wa Croatia (nyekundu na nyeupe) na Ufaransa (blue).

Fainali ya leo ni kumbukumbu ya nusu fainali ya miaka 20 iliyopita, ambayo iliyakutanisha mataifa haya mawili huku Ufaransa ikishinda na kuingia fainali ambako ilicheza na Brazil na kutwaa ubingwa. Ikumbukwe Ufaransa ndio walikuwa wenyeji wa fainali hizo.

Croatia leo wanasaka taji lao la kwanza wakiwa ndio wamefanikiwa kufika fainali kwa mara ya kwanza huku Ufaransa ambao waliwakwamisha katika nusu fainali za mwaka 1998 kwa bao la mlinzi Lilian Thuram wao wanasaka taji la pili wakiwa pia wanacheza fainali yao ya tatu ndani ya miaka 20.

Kocha wa sasa wa Ufaransa Didier Deschamps mwaka 1998, alikuwa ndio nahodha wa Ufaransa na baada ya kutwaa ubingwa kwa mwaka huo leo atakuwa anawania kuifikia rekodi ya makocha Mario Zagallo wa Brazil Franz Beckenbauer na Ujerumani ambao walitwaa kombe wakiwa wachezaji na baadae kama makocha.

Vikosi vinavyotarajiwa kuanza leo.

Ufaransa: Hugo Lloris, Benjamin Pavard, Raphael Varane, Samuel Umtiti, Lucas Hernandez, Paul Pogba, Ngolo Kante, Kylian Mbappe, Antoine Griezmann, Blaise Matuidi na Olivier Giroud.

Croatia: Danijel Subasic, Sime Vrsaljko, Dejan Lovren, Domagoj Vida, Ivan Strinicm, Ivan Rakitic, Marcelo Brozovic, Ante Rebic, Luka Modric, Ivan Perisic, Mario Mandzukic.

EATV

Polepole: Sisi hatuna mashaka yoyote na Tume ya Uchaguzi (NEC)

0
0
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina wasiwasi wa aina yoyote na Tume ya Uchaguzi (NEC) katika uchaguzi mdogo wa marudio wa Ubunge katika Jimbo la Buyungu mkoani Kigoma huku kikidai waoitilia shaka tume hiyo wao ndio wenye matatizo.

Hayo yamelezwa na Katibu Mwenezi wa chama hicho, Humphrey Polepole wakati akizungumza na www.eatv.tv baada ya kupita takribani siku tatu tokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoa kauli yake iliyokuwa ikiitaka NEC kuendesha uchaguzi huo kwa uhuru na haki kuwa kuna baadhi ya vitu wamevibaini vikiendeshwa ndivyo sivyo.

"Sisi hatuna mashaka yoyote na Tume ya Uchaguzi (NEC) na kama tungekuwa nayo basi tungeshayaeleza mahali husika ila ukiona mtu anajitokeza barabarani na kusema kuna changamoto bila ya kuzipeleka sehemu husika basi ujue yeye ndiyo mwenye changamoto nasio Tume", amesema Polepole.

Pamoja na hayo, Polepole ameendelea kwa kusema "Chama cha Mapinduzi kimejiwekea rekodi ya kushughulika na shida za watu na kutatua kero za wananchi wa Tanzania na hili limefanyika vizuri sana chini ya serikali ya CCM inayoongozwa na ndugu John Magufuli. Tumekuwa hatuna mzaha, masihara na watu wanaocheza na rasilimali za umma, wanaonyanyasa wananchi, wasiowajibika na kushughulika na shida za watu na kwa rekodi ambayo tumeshajiwekea mpaka sasa hivi tutaenda kupanda ushindi mkubwa wa kishindo kwasababu ya kazi ile nzuri ambayo tumekwisha ifanya hadi sasa hivi".

Uchaguzi huo mdogo wa marudio umepangwa kufanyika Agosti 12 mwaka huuu baada ya kuwepo wazi Jimbo la Buyungu Mkoani Kigoma kufuatia Mbunge Kasuku Bilago kufariki dunia mwanzoni mwa mwezi Mei mwaka huu pamoja na madiwani wa maeneo mbalimbali kuyaacha majimbo yao na kujiunga CCM kwa lengo la kumuunga mkono Rais Magufuli.

THRDC yakosoa kauli za Rais Magufuli juu ya Wafungwa! Yasema zinakiuka Katiba na haki za binadamu

0
0
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) umesema kauli ya Rais John Magufuli aliyoitoa jana, akitaka wafungwa kutumikishwa wakiwa gerezani, inakiuka Katiba ya nchi na haki za binadamu.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi alitoa kauli hiyo Ikulu jijini Dar es Salaam katika hafla fupi ya kumuapisha Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, Phaustine Kasike na Balozi Joseph Sokoine ambaye ameteuliwa kuwa naibu katibu mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Rais Magufuli alimtaka Kasike kuhakikisha wafungwa wanafanya kazi ipasavyo, wazuie matumizi ya simu gerezani, washiriki katika shughuli za kilimo na ujenzi, wazuie kufanya biashara na kushiriki katika matukio ya wizi wakiwa gerezani na wazuie kujamiiana.

“Unakuta hata maaskari na watumishi hawana nyumba za kukaa na wafungwa wapo tena wa bure kabisa ambao unaweza kuwaambia wafyatue matofali na teke ukawapiga. Askari huna pa kulala na wafungwa wapo, lakini unawatafutia Bajeti ya Serikali,” alisema Rais Magufuli.

Akizungumza na MCL Digital leo Jumapili Julai 15, 2018 mkurugenzi wa mtandao huo, Onesmo Ole Ngurumwa amesema, “mfungwa ana haki ya kula na kuishi na wakati mwingine anaweza kufanya shughuli akiwa gerezani ambazo zitamuingia kipato na hizo fedha akatunziwa na kupewa siku akitoka gerezani ili zimsaidie,”

“Mgungwa anapaswa kupata haki zake za msingi na haimaanishi mtu akiwa mfungwa apigwe, anyanyaswe na kufanya hivyo ni kwenda kinyume na haki za binadamu. Mfungwa hapaswi kupigwa na hakuna sehemu yoyote inasema apigwe na kunyanyaswa.”

Amesema kauli kwamba mfungwa apigwe, afanye kazi na kugeuzwa kitega uchumi inashtua na ni kinyume na Katiba na haki za binadamu.

Chanzo: Mwananchi

Hii ndio Sababu Magenius Hawawezi Kuwa Matapeli, Wengi Wana Ukichaa Ndani yao

0
0
Duniani tumo binadamu wa aina tatu kiakili na wote tunaishi pamoja in harmony na tumegawanyika katika makundi makuu matatu kiutendaji na utekelezaji wa akili zetu.

Kundi la kwanza ni wale Magenius.. Hawa mabwana wana IQ kubwa kuliko binadamu wa kawaida wana score around (160 - 300) wana uwezo mkubwa sana wa kuchakata taarifa vichwani mwao na kufumbua mafumbo magumu kuliko ila bahati mbaya zaidi hawa asilimia 90% yao ni wagonjwa wa ugonjwa wa usonji( Autism). Ugonjwa wa akili huu, ugonjwa huu wa usonji mara nyingi huwapata wakiwa watoto wa mwaka na nusu na kuendelea. Dalili zao huwa wanapenda kukaa peke yao, hawapendi kelele, wanachelewa kuongea, wana hisia Kali sana za kunusa na kusikia na wako very bright kwenye kitu kimoja pekee. Na pia huwa wanaongea kidogo sana..they only do "small talk" they are not good conversationalist. Sio waongeaji wazuri sana.

Nilifuatilia zaidi na kuyajua mengi juu ya Autism baada ya mpwa wangu kugundulika ana ugonjwa huu wa usonji akiwa na miaka 3..huyu dogo ana miaka 10 tu kwa sasa mnaweza kuwa mmekaa nje akawambia mtoto analia na kweli after a second dogo analia ndani...then mmekaa nje anakwambia maharage yanaungua..na kweli mnasikia harufu ya maharahe kuungua jikoni punde baada ya yeye kusema. Wako very sensitive. Ni wakimya na pia very loner..wanapenda kukaa wenyewe tu na huwa wanaconcetrates na kitu kimoja tu mawazoni mwao huyu dogo shuleni ni mtupu but he is very artistic genius and creative, unaweza ukatembea nae mjini then mkirudi home anadrawing kit yake ya kuchorea tu anachora mji mzima mlimopita kwa usahihi bila kurejea popote pale hadi huwa navurugwa ufahamu ukizingatia Mimi hata kuchora kagari tu siwezi. Nikagundua dogo is genius sababu ya ugonjwa wake wa usonji.

Nikarejea historia ya Michelangelo na Vincent Von Gosh hawa wote walikuwa artistic genius..huyu Van Gosh alikuwa anaweza kuuchora hadi upepo unaovuma..hakyamungu! This is insanely genius..ukingalia kwenye picha zake za starry starry night utaona kazi zake but alikuwa mwehu na michoro hii aliichora akiwa kwenye chumba cha vichaa alipojipiga risasi na kufariki akiwa mpweke sana. Michaelangelo huyu ni balaa yeye hata simzungumzii maana anahitaji Uzi wake kabisa ili tumtendee haki. Tukipata muda tutamjadili.

Albert Einstein Mwanamahesabu na mwanafikizia ambae amebadilisha maisha ya binadamu anaaminika kuwa the most influential scientist of the 20th century, amechangia mengi kwenye aerospace engineering, astrophysics, mathematic, spirituality e.t.c alifanya kazi kubwa ya sisi kuishi hivi Leo kwa theory yake of relativity ya E=MC sqaure ndio theory iliofagia njia ya kutengeneza mabomu ya nyuklia Leo hii. Akiwa na miaka 10 usonji ukiwa umemuandama hakuweza kuongea vizuri wala kuwa na marafiki akiwa na IQ kubwa kabisa aliweza kufaulu somo moja tu la hisabati tu shuleni yaliyobaki alifeli vibaya sana. Alipofikisha miaka 16 alikuwa anaitwa chuoni kusolve complex mathematics equations zilizowashinda maproffesor na akiwa na miaka 25 hakukubaliwa na vyuo vingi maana kwenye mtihani wa kujiunga na chuo alifaulu somo moja pekee mathematics kwa asilimia 100. Watu hawa huwa wanakuwa na ugonjwa wa Usonji unaowafanya kufikiri kitu kimoja tu deeply kutokana na nerve circuit zao zilivyoundwa kwenye brain. Magenius maarufu Waliothibitika kuwa na Autism ni Albert Einstein, Charles Darwin, Sir Issac Newton, Michelangelo, Aristotle, Tesla e.t.c Wengi wao wana muandiko mbaya sana maana mikono yao haiwawezi kuendana na kasi ya ubongo unavyofikiri, hivyo wanajikuta wanaandika fasta na rough ili kukimbizana na kasi ya ubongo wao unachokifikiria.

Tunahitimisha kwa kukubaliana na mwanafalsa maarufu wa ugiriki ya kale kwamba any genius is accompanied with some sense of madness.. Magenius wengi ni vichaa na hii inapigiliwa msumari na kauli hii "too much of anything is harmful " akili ikizidi kipimo muhusika anakuwa hayuko normal na hivyo anakuwa psychiatric Case hivyo ni ngumu sana kichaa kukutapeli maana ni mgonjwa wa akili maana ana complex things kichwani ambazo hata yeye hawezi na hana lugha ya kuzielezea kwa watu wakamwelewa kirahisi atawezaje kukushawishi uingie mkenge!? Jibu ni hawezi kukutapeli maana hata hawana good socializing ability kama wengine. lakini hapa sasa ndipo linapoibuka kundi la watu wengine wanaitwa "intelligent people" watu hatari sana hawa.

Hawa intelligent people bongo zao ziko katikakati kiakili wana uwezo wa kupata maneno sahihi ya kuelezea zile complex ides za genius..hawa uandika hata zile manual zinavoelezea namna ya kutumia vitu mbalimbali vilivyoundwa na magenius kwa lugha rahisi na nyepesi maana wanayo maneno sahihi na ya kueleweka kirahisi, hawa wanaandika kimkakati hoja zao na kuweza kushawishi watu kirahisi sana kama alivyosema Fid Q msanii wa hip hop kwamba "neno zuri huwa halina ukweli na neno baya ndio lenye ukweli " hawa intelligents siku zote Daima dumu wana maneno sahihi na matamu ya kukufanya uuone ukweli au usiuone.. Aina ya watu hawa ni Adolph Hitler, Barack Obama, Hemingway, e.t.c na Kwenye hili kundi wanakaa matapeli pia Kariba ya brother wa Forex n.k sijawahi kuona katika maisha yangu tapeli asie jua kupachika maneno sahihi na matamu kwenye maandishi au maneno yake. Sijawahi kumuona! Mtaji wao ni maneno yake matamu.

Then group la mwisho ni "normal people" au tunafahamika zaidi kama watapeliwa Ahahaha. Sisi tunafit Kwenye social world maana tunaenda clockwise na jamii yetu na bongo zetu hazijisumbui kuchakata taarifa zaidi wala kuconcertrates na kitu kimoja we are carefree hatuna tofauti na simu za Motorola za zamani mwanga ukizima zinazima moja kwa moja hadi ndani tofauti na intelligents ambao wao ni simu janja(smartphone) zenyewe screen ikizima na kuwa nyeusi ujue imezima kinafiki internal background inaprocess more informations kifupi hazilali bongo zao tofauti na normal people sisi ambao ni kundi kubwa akili zetu ni za kawaida sana na ndio akili za binadamu wenye afya na wazima kiakili maana hatuoverload brain zetu na sisi sio wagonjwa wa akili kama hao wawili hapo juu wanaosumbukiwa na Autism na Bipolar disorder.

Tujitahidi tujue mechanism za matapeli na tuwaepuke mapema before its too late.

Na je unadhani wewe unafit group gani hapo juu? Kwanini unahisi group ulilochagua linakufaa? Tupe sababu?

Tumia Super Mkuyati Kurudisha Heshima ya Ndoa

0
0
SUPER MKUYATI ILIYO IMARA KURUDISHA HESHIMA YANDOA

Super mkuyati nidawa ya mitishamba iliyo sheheni miti mbalimbali na kugundulika ina pambana na magonywa sugu ya uzazi na ukosefu wa nguvu

SUPER MKUYATI inanguvu (3) nainafanya kazi kwapamoja (1) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 15-20 bila kuchoka (2) ina zalisha homon kwa wingi na kukufanya uwe na mbengu nyingi zenye vimeleo vya uzazi vyilivyokomaa (3) inaongeza ume mdogo uliosinyaa,kunenepesha uume na kurefusha adi nchi 5-8 na upanda sm 2-3 dawa hii haina mazara kwa mtumiaji ata kwa wazee walionaumri 60-80

SUPER MKUYATI ponyo la maradhi yako tumia Leo uone mjabu yake

 FIKA OFISI YETU ZINAPATIKANA DR MTONI KIJICHI KAMA UNA NAFASI UTALETEWA POPOTE ULIPO KWA WAMIKOANI UTATUMIWA

DR GATUNDU

0717777402/0768408794
Viewing all 104431 articles
Browse latest View live




Latest Images