Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live

Ronaldo Afanyiwa Vipimo Juventus

$
0
0
Ronaldo Afanyiwa Vipimo Juventus
HUKU  shamra za fainali ya Kombe la Dunia baina ya Ufaransa na Croatia zikiwa zinaendelea kusikika duniani, masikio na macho ya wapenzi wa soka duniani yameanza kuhamia katika kuwasili kwa nyota wa mchezo huo duniani, Cristiano Ronaldo jijini Turin kujiunga na timu ya Juventus akitokea katika timu ya Real Madrid.


Ronaldo, mwenye umri wa miaka 33, amewasili katika timu hiyo na kufanyiwa vipimo mbalimbali ambapo yuko mbioni kukamilisha uhamisho wake kwenda timu hiyo ya Italia, akiwa ameondoka Real Madrid ya Hispania aliyoitumikia kwa miaka tisa na kuipatia ubingwa wa ligi ya nchi hiyo mara nne.


Mbarawa Amtumbua Mkurugenzi wa Maji Kigoma

$
0
0
Mbarawa amtumbua Mkurugenzi wa maji Kigoma
WAZIRI wa Mji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa amemuondoa kwenye nafasi yake ya Ukurugenzi wa Mamlaka ya Maji Mkoa wa Kigoma (KUWASA) Saimon Lupuga baada ya  kutoridhishwa na utendaji kazi wake.

Mbarawa amefikia hatua hiyo baada ya malalamiko ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga kuwa mamlaka hiyo na Bonde la Mto Tanganyika pamoja na wahandisi wa maji hawatoshi kwenye nafasi zao kutokana na kufanya kazi kwa mazoea.

Kutokana na hatua hiyo Waziri Mbarawa amesema atamuagiza  katibu Mkuu kuandika barua ya uhamisho wa Mkurugenzi huyo kurejeshwa Dar es Salaam kuanzia leo.

Wachezaji wa Simba Waliokuwa Mapumzikoni Waanza Kuripoti Leo

$
0
0
Wachezaji wa Simba Waliokuwa Mapumzikoni Waanza Kuripoti Leo
Kuelekea ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2018/19, kambi ya mabingwa watetezi Simba, imeendelea kuwa siri licha ya wachezaji waliokuwa mapumzikoni kutakiwa kuanza kuripoti leo huku kukiwepo na tetesi kuwa itakuwa nje nchi.

Eatv.tv imemtafuta msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara ili kuweka wazi hili lakini amesema bado muda wa kuweka wazi kambi yao itawekwa wapi haujafika lakini kwasasa wachezaji wanaendelea na taratibu za kuripoti tu kutoka katika mapumziko waliyopewa na benchi la ufundi.

''Tutaweka wazi tukikamilisha mipango ya kambi yetu, kwasasa bado tunaendelea na maandalizi yanayoanza na wachezaji kuripoti na baada ya hapo tutasema ni eneo gani tutaweka kambi'', - amesema.

Aidha kuhusu tetesi za timu hiyo kuweka kambi nje ya nchi, Manara amesema lolote linawezekana na inaweza ikawa hapa nyumbani ama nje ya nchi lakini kwasasa bado haijajulikana itakuwa wapi.

Kambi za muda mrefu za Simba msimu uliopita katika kujiandaa na mashindano mbalimbali ikiwemo ligi kuu na mechi za kombe la shirikisho barani Afrika, zilikuwa zinafanyika mkoani Morogoro.

Mwanajeshi wa JWTZ Akutwa Amefariki Kisimani

$
0
0
Mwanajeshi wa JWTZ Akutwa Amefariki Kisimani
Polisi Mkoa wa Kusini Unguja imesema inaendelea na uchunguzi kubaini sababu za kifo cha askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), ambaye mwili wake ulikutwa kisimani.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Suleiman Hassan Suleiman alisema jana kuwa wanaendelea na uchunguzi, huku akimtaja mwanajeshi huyo kuwa ni Othman Khatib Othman (36), mzaliwa wa kisiwani Pemba.

Suleiman alisema Alhamisi jioni wiki iliyopita, walipata taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuwa kuna mwili umeonekana kisimani.

Alisema kisima hicho kipo eneo la Ubago jirani na kambi ya JWTZ alikokuwa akifanya kazi na kwamba, mwili uliopolewa Ijumaa saa 11:45 asubuhi.

Kamanda Suleiman alisema baada ya uchunguzi mwili ulizikwa eneo jirani kutokana na kuharibika, hivyo kushindikana kusafirishwa kupelekwa nyumbani kwao.

T.I Amzawadia Mke Wake Gari ya Bei Mbaya Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa

$
0
0
T.I Amzawadia Mke Wake Gari ya Bei Mbaya Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
MKE wa rapa wa Marekani, T.I., aitwaye  Tameka ‘Tiny’ Harris,  amesherehekea bethidei yake ya 43 kwa kununuliwa gari ya bei mbaya na vikorokoro vingi vya thamani alivyovijaza kwenye gari hiyo ambapo naye alimjibu kwenye mtandao kwa ujumbe wa kumshukuru ulioandikwa:

Thank you so much Mr. Harris @troubleman31 for showing up on MY ACTUAL birthday & showing out! I really really love this car & all the other nice gifts & I just wanted to tell u how thankful I am. Regardless of whatever, you have done more for me & showed me more love than most will ever have a man to do/give in a lifetime & I appreciate you for that! By the way I’m having an amazing birthday! Thank you to everyone who made this day a special one!! 🙏🏽👑😘💘❤ #714#CancerSeason #17yrsWorthImage result for T.I. surprises Wife with New Car on her Birthday

Mnamo Desemba 1017, ilidaiwa Tiny alidai talaka, lakini imeripotiwa kwamba hakupewa talaka hiyo.  Naye T.I. aliposti ujumbe kwenye akaunti yaka ya Twitter usemao:

“What’s understood requires no explanation!!! I’m always here to show up and show out for mines. Regardless of WHATEVER!!! King ain’t never missed a beat!!! Happy Gday Mrs H.”

Wanakijiji Waua Mambo 300 Kwa Hasira

$
0
0

INDONESIA: Wanakijiji wakiwa na visu, mapanga na nyundo wawaua Mamba takribani 300 ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi baada ya Mwanakijiji mwenzao kuuawa na Mamba

Mwanaume huyo aliingia sehemu wanakofugwa Mamba hao kwa lengo la kuchuma majani kwaajili ya mifugo yake

Kisasi dhidi ya Mamba hao kilianza kutekelezwa saa chache baada ya shughuliza mazishi ya Mwanakijiji mwenzao kumalizika

Mamba ni kati ya viumbe wanaolindwa kwaajili ya urithi wa dunia na kwa nchi ya Indonesia taasisi moja ilijenga sehemu maalumu huko katika Jimbo la West Papua kwaajili ya kuwafuga

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, nasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGISE


HASARA 5 za Ushauri wa Rafiki Kimapenzi

$
0
0
Watu wengi wamekuwa wepesi sana kukimbilia kwa rafiki zao ili kuomba msaada wa mawazo ya nini wafanye kwenye mapenzi. Imani iliyojengeka kwa watu wengi katika jamii yetu ni kuwa ushauri ni kitu muhimu sana kwa kila hatua.

Kwa mtazamo wa haraka haraka unaweza kuishia kwenye ukomo huo wa fikra na kuamini juu ya ushauri wa mtu kukufikisha mahali sahihi kwenye mapenzi. Unapokerwa na mpenzi unakimbilia kushauriwa na wakati mwingine hata unapotaka kuoa au kuachana na umpendaye, unamuomba rafiki yako ushauri.
Je, umeshawhi kufikiria hasara za kuomba ushauri wa kimapenzi kwa rafiki yako? Hebu ungana nami wiki hii ili nikumegee kidogo hasara za ushauri.

UTAKUPOTOSHA

Ni wazi kwamba kipimo cha uelewa kinatofautiana kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Ifahamike kuwa, uhodari wa mambo nao hutofautiana, mtu anaweza kuwa mahiri katika siasa na akaaminika kwenye jamii, lakini ukimpelekea suala la mapenzi anakuwa hajui kitu, hivyo ni rahisi kukupotosha.

Uchunguzi unaonyesha kuwa, wapenzi wengi sana hupotoshwa na rafiki zao wasiokuwa na uelewa wa kutosha juu ya tatizo au suala husika la kimapenzi. Ni vema kuwa makini unaposhauriwa.


UTARAHISISHA MAMBO

Mara nyingi washauri huwa si wao wanaokabiliana na mambo, hivyo ni rahisi kwao kupima vitu kwa juu juu tu na kushauri kirahisi rahisi. “Vipi kakupiga namna hii, aaa huyu si mwanaume kwa kweli ni bora ukaachana naye.” Anasema ni bora kuachana naye kwa sababu haumizwi na kuachana, unayeachana ni wewe anayekushauri.

“Mkubali tu bwana unalaza damu, hiyo tabia yake ya uhuni atabadilika, shosti unataka kuacha bahati ipite?” Kwa mshauri ni rahisi kusema hivyo lakini kumbuka ukubwa wa tatizo hatimaye utakabiliana nao wewe. Hii ina maana kwamba, unapofikiria kuhusu ushauri ufikirie pia kuhusu kushauriwa jambo kirahisi, ukiuvaa mkenge mwenye kuumia utakuwa ni wewe.

UTAKUGEUZA

Ulimwenguni kuna aina zaidi ya 1000 za mapenzi na kila mmoja anatajwa kupenda kwa staili zake. Mapenzi ni kama chembe hai nyekundu zilizopo kwenye damu ya mwanadamu ambazo zinaelezwa na wataalamu kuwa hazifanani hata kidogo. Uzoefu unaonyesha kuwa, washauri wengi hushauri kwa uzoefu wao, lakini je ni sahihi uzoefu huo uwe msaada kwa mtu mwingine?

Jibu ni hapana, kinachotokea mara nyingi kwenye ushauri ni mtu kumfanya mwenzake awe kama yeye alivyo, yaani apuuze aamue na apende kama staili yake, jambo ambalo haliwezekani kabisa kwenye mapenzi. Vipi Juma ageuke ghafla awe kama Hassan kwenye suala la mapenzi? Ushauri ni muhimu lakini upime kama unalingana na matakwa yako.

UTAKUONDOLEA UJASIRI

“Kwa maelezo hayo mumeo ni malaya sana, naona itakuwa vigumu kumbadilisha, ni bora ukaanza maisha yako kwa sababu kuna siku hali itakuwa mbaya.”
Huu ni ushauri ambao unaweza kumuondolea mtu ujasiri wa kukabiliana na tabia ya mumewe hadi kufikia hatua ya kumsaidia akaachana na tabia zake mbaya.

Ushauri huondoa ujasiri wa kukabili tatizo hasa pale anayekushauri atakapolipeleka suala lako kwenye njia ngumu isiyokuwa na ufumbuzi. Ikumbukwe kuwa anayeamini kushindwa ni mshauri lakini wewe kama mwanamke unaweza kusimama kutetea penzi lako na kuliweka sawa mpaka jamii ikasema: “Jamani huyu dada kamrekebisha kweli mumewe, hakuwa hivi alikuwa mlevi lakini sasa kaacha pombe.

UTAKUNYIMA FURSA

Kwenye mapenzi kuna fursa nyingi za mafanikio ambazo unaweza usizipate ukiwa mtu wa kusikiliza sana ushauri wa watu. Kuna wakati ambao unatakiwa usimame wewe kuamua kumpenda mtu ambaye jamii inaona kama utapotea.

+18..Ukimfanyia Haya Mpenzi Wako,Hata Iwe Vipi Hatokusahau Kamwe...!!!

$
0
0
1. KILA siku usisahau kumsifia kwa kumwambia ni kiasi gani alivyo mzuri. Kumbuka kila msichana anapenda kusifiwa hivyo unapomuambia yeye ni mzuri anaona una mthamini kuliko msichana yeyote awaye.

2. Wakati wowote ukipata nafasi muandikie barua au msg kwenye simu mueleze hisia zako kiasi gani unampenda. Kumbuka wasichana hupenda kusikia zaidi kutoka kwa wapenzi wao ni kiasi gani wanapendwa. Haitakiwi iwe tu katika kipindi cha siku ya wapendanao ndio umuoneshe kuwa unampenda. Muoneshe msichana ni kiasi gani yeye ni muhimu sana kwako.

3. Busu la ghafla na kumshika mkono wakati mkitembea pamoja itamfanya yeye kujisikia raha zaidi. Na wakati mwingine msuprise kwa kumtembelea mara kwa mara hi humfanya akuone wewe ni mtu muhimu pale usipokuwa naye karibu na kumfanya kukuhitaji zaidi ukiwa naye mbali

4. Tambua mahitaji yake. Uwe msaada kwake kipindi ambacho mpenzi wako amekasirika kuwa pale kwa ajili yake na ukimpooza kwa sauti ya upole na mahaba. Utashangazwa sana na kiasi gani msaada huo umeleta mabadiliko kwake. Hakikisha unamsaidia katika shida zake hapa ndipo kuna tatizo kwa wavulana wengi. Mapenzi si pesa lakini kuna kipindi ambacho pesa huitajika kulinda penzi lako. Si msichana anapokuomba pesa ina maana ana nia ya kukuchuna au amekupendea pesa kuna shida nyingine inabidi akuombe wewe tena kwa kukupima kama utakuwa tayari kumsaidia.

5. Mchukue mpenzi wako out mara nyingine itamfanya ajisikie furaha sana kwa sababu wasichana hupenda enjoyment na boyfriend zao. Hii haitamfanya mpenzi wako tu kuwa na furaha bali itawafanya nyie kwa pamoja kujuana na kufahamiana zaidi.

6. Kuwa muwazi kwake usimfiche jambo linalokuhusu. Msichana hupenda kutoa ushauri kwa mtu ampendaye hivyo unapokuwa muwazi atajisikia kuthaminiwa nawe na kukuona umemuamini

7. Ukijiona upo busy sana usithubutu kuacha japo kumpigia simu mara mbili kwa siku hata kama ukishindwa kumpigia wakati upo ofisini darasani au kwingineko hakikisha unapopata nafasi japo ujumbe mfupi wa kumwambia unampenda.

8. Mkumbatie mara kwa mara katika tukio la kumbatizi kuna jambo kubwa sana hutokea. Si kwake tu hata kwako mvulana. Hali ya joto lenu huwaweka pamoja kifikra hata pale msipokuwa pamoja.

9. Epuka maugomvi na hasira za mara kwa mara ukiwa nae. Mwanamke hupenda ustaarabu kwa mtu ambaye yupo serious naye hivyo ukionesha hasira kabla hata hujamtongoza unaweza ukamkosa msichana hivihivi wasichana huwaogopa wavulana wenye hasira na wagomvi kwa sababu hupenda kubembelezwa.

10. Mdekeze. Msichana anapenda kudeka anaenda kudeka sana na kubembelezwa sana hivyo mvulana ukidekewa usikasirike eti huyu msichana kazidi wewe ndio wakati wako wa kumuonesha msuchana wako unampenda mdekeze mpaka aone aibu kudeka siku nyingine. Wasichana wameumbwa kwa jili ya wavulana ndio maana hudeka hii ndiyo silaha pekee na ya mwisho kumpata msichana hata kamasi wako ni wa rafiki yako unaweza ukatumia silaha hii kumpora msichana huyo kwa mwenzio usipojua kudekeza utaachwa pia.

Wake za Watu Wanaongoza kwa Kufanya Ngono Ovyo Kuliko Wanawake Masingle

$
0
0

Yaani nimefanya kautafiti kangu ka kutosha na nimepata jibu asilimia 90 ni kwamba wake za watu wanagegedwa ovyo kuliko wanawake waliosingle.

Mimi hapa kwa mfano ni ngumu sana kunigegeda, yaani ni hadi nipende na kazi sana hata kama nina hamu mwaka mzima, ninakuwa na pride flani hivi na papuchi yangu japo sipangiwi. Hata nikikubali lazima tupange kuhusu location, usalama wa afya zetu, mimba etc.

Ila wake za watu bana wanagegedwa tu ovyo ovyo, hata chooni, kwenye magari etc hawawazi cha usalama wa afya zao, mimba zisizotarajiwa wala nini wao ni kitu tu tu. Ndo wadau wa cha fasta pia wanagegedwa na mtu yoyote maana hana commitment na mtu si ana mume wake tofauti na sisi masingle tunaselect wewe sijui aweje etc.

Kuna wanawake nipo nao around ni wake za watu, wana watoto ila wanavyogegedwa Mungu shahidi au wana papuchi mbili? Ila dunia haipo fair. Leo anagegedwa apate ada ya watoto, kesho marejesho saccos na vicoba, sijui apate sare ya kitchen party.

Mara anunuliwe bia basi tu papuchi ndo parttime job zao.

By Miss Natafuta

Siri ya Wanawake Kupenda Wanaume Warefu Hii Hapa...!!

$
0
0
Utafiti uliofanyika na kutolewa miezi kadhaa iliyopita na Vyuo Vikuu Vya Rice na North Texas, umegundua mambo kadhaa muhimu linapokuja suala la wanawake kupendelea zaidi kutoka na wanaume warefu. Watafiti hao walifanya utafiti katika sehemu mbili. Sehemu ya kwanza, waliangalia vipaumbele vya wanawake na wanaume katika suala zima la kudeti (Dating Prefences) kwa kutumia matanganzo ya mapenzi 925 (personal dating ads) yaliyowekwa Yahoo!.

Sehemu ya pili ya utafiti ilihusisha wanaume 54 na wanawake 131 kutoka chuo fulani Marekani, ambapo majibu yao kwa maswali waliyoulizwa yalidhibitisha tafiti zilizowahi kufanyika siku za nyuma. Katika majibu yao, zaidi ya nusu ya wanawake (asilimia 55 ya wanawake) walisema wanapendelea zaidi kudeti wanaume warefu, wakati asilimia 37 ya wanaume walisema wanapendelea kudeti wanawake wafupi.

Embu tuchambue kidogo…hii ina maana gani? Ina maana kwamba mambo hayapo sawia hapa (no balance), kwani wakati asilimia 55 ya wanawake wanataka wanaume warefu, ni asilimia 37 tu ya wanaume wanaotaka wanawake wafupi, angalau kwa mujibu wa utafiti huu. Kwa maana hiyo basi wanaume pia wanapendelea wanawake warefu? Tukumbuke pia idadi ya wanaume (55) waliolizwa ilikuwa ni ndogo ukilinganisha na wanawake walioulizwa (131). Poa tuendelee basi, ili tuone utafiti huu ulibaini lipi la ziada…

Kati ya wale watu 925 waliolizwa, 455 walikuwa ni wanaume wenye wastani wa umri wa miaka 36 na urefu wa futi 5 na inchi 8 (177 cm) na wanawake walikuwa 470 wenye wastani wa umri wa miaka 35 na urefu wa futi 5 na inchi 4 (165 cm). Matokeo ni kwamba, wanaume asilimia 14 tu ndio walisema wanapendelea kudeti wanawake wafupi. Hapa pia wanaume wachache sana wameonyesha kupendelea wanawake wafupi, na tukumbuke kwamba katika kundi hili idadi ya waliolizwa ilikuwa inakaribiana sana, yaani wanaume 455 na wanawake 470.

Ilipokuja kwa wanawake wale 470 walioulizwa, karibia nusu au asilimia 49 walisema kwamba wanataka kudeti wanaume warefu kuliko wao tu! Na baadhi yao walinukuliwa wakisema yafuatayo:

“Kama mwanamke, najisikia na amani zaidi (secure) [anapokuwa na mwanaume mrefu]. Nahisi kama kuna kitu akipo sawa nikifikiria kumuangalia mwanaume wangu kwa chini!” alisema mmoja wa washiriki hao. Na mwingine nae akasema..

“Kuna pia suala zima la kuvaa viatu vya mchuchumio (high heels) na wakati huohuo bado kuendelea kuwa mfupi mbele ya mwanaume wako. Na pia nataka kumkumbatia huku mikono yangu ikimzunguka shingoni”. Nafikri unapata picha jinsi jamaa alivyo mrefu kwake au sio?

Hayo ni baadhi tu ya maoni ya wale walioulizwa kwanini wanapendelea wanaume warefu, bila shaka unaweza ukafanya utafiti wako mwenyewe kwa kuuliza wanawake wachache unaowafahamu kwanini wanapendelea wanaume warefu. Sababu nyingi huwa zinajirudia (kama hii sababu ya kujihisi na amani a.k.a “secure”), lakini si ajabu unaweza ukajikuta unaibua sababu nyingine mpya lukuki!

Hii ni Habari Njema Kwa Wale Wote Waliohangaika na Matatizo ya Magonjwa Sugu Yaliyokosa Tiba

$
0
0
"HII NI HABARI NJEMA KWA WALE WOTE WALIOHANGAIKA NA MATATIZO YA MAGONJWA SUGU NA YALIYOKOSA TIBA" sasa usikate tamaa tiba imepatikanika kwa DK. ABDALA MUSSA anatibu matatizo kama yafuatayo:

Nguvu za kiume, uzazi, kisukari, tezi dume, vidoda vya tumbo, mgongo kuuma, miguu kuwaka moto na mataizo uliyonayo

1/ITAGULA- ni dawa ya mkosi kuosha nyota, kumvuta mpenzi, mke, mume, kuua kesi na kupata kazi haraka kama umeomba maombi serikalini au kampuni binafisi unaitwa ndani ya siku mbili 2/

NINJIWE- ni dawa inayomaliza matatizo ya wanaume heshima ndani ya ndoa, kuwa na nguvu za kiume milele na kukomaza mbegu na kuwa na uwezo kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila kuchoka kama umezaraulika na kufanya tendo na kusinyaa uume dawa ipo dozi yake siku sita vidoge 12 pia kuna na unga inayokomaza uume ndani ya siku 7 unapona kabisa.

3/MPALALA- ni dawa ya kutibu busha miguu kuwaka moto, kiuno, kisukari.

4/NGEKEWA- ni dawa ya kuvuta wateja kwenye biashara yoyote kuwa na wateja wengi katika biashara na kuzuia chuma ulete. 4/LINGWATA- ni dawa ya punguza unene, mafuta tumbo, matiti, miguu, hipsi na kutengeneza shepu dawa hii ni ya unga ukitumia utaona mabadiliko baada ya siku 3.

5/DUBISHO- ni dawa zindiko la mwili, majumba, gari, biashara, mteja wangu huduma utaipata mahali popote ulipo kuna wanasaplai mahali ulipo kama huna muda wa kufika osifini mkoa wa dar-es-salaam, iringa, kanda ya ziwa wilaya ya bunda. angalizo kwa wateja usitume sms wala kubipu huduma yangu ni kuanzia saa 12 asubui hadi saa 12 jioni kwa wateja wa dar-es-salaam ofisi ipo buguruni na mbagala zakhem na kwa wale walio nje ya mkoa dawa hizi mtazipata kwa njia za mabasi. punguzo la bei kwa wateja 5 wa kisukari na nguvu za kiume

KWA MAWASILIANAO ZAIDI WASILIANA NA DK. ABDALA MUSSA KWA SIM NAMBA 0767-171773/ 0716-608959 WOTE MNAKARIBISHWA:

Nyarandu Abanwa Kila Kona.... Aambiwa Arudishe Twiga

$
0
0
Nyarandu Abanwa Kila Kona.... Aambiwa Arudishe Twiga
Aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu amejikuta kwenye majibizano na baadhi ya wafuasi wake kwenye mtandao wa kijamii wa twita mapema leo baada ya kuambiwa arudishe twiga (Bila kufafanuliwa ni twiga yupi).


Majibizano hayo yameibuka ikiwa ni masaa machache baada Mh. Nyalandu kuweka maneno yakutia ujasiri, na ya ushauri wa kutokata tamaa na baada ya maoni akafikia hatua ya kumjibu mfuasi mmoja kwa kumfananisha na watu waliolaaniwa.

Mfuasi huyo aliyekwenda kwa jina la 'Tamankila1' katika mtandao wa Twitta alimwambia Nyalandu kwamba anapaswa kurudisha Twiga ili aweze kueleweka, huku mfuasi mwingine akimwambia kwamba neno moja kwenye biblia ndilo litakalomuokoa ambalo ni lile la "Mimi sikuja kwa wenye haki bali kwa waovu".

"Tamankila1 watu kama wewe wamelaaniwa. Huwezi kuanza siku kwa kusema uongo ili ujisikie umesomeka kwenye mitandao ya kijamii. Ni twiga yupi unayetaka nimrudishe, na nilimchukua wapi. Imeandikwa, waongo wote, sehemu yao ni katika ziwa liwakalo kwa kiberiti" Ujumbe wa Nyalandu kwa mmoja wa wafuasi wake..

Majibizano hayo ambayo bado yameendelea kwenye ukurasa wa Twitta yalitokana na ujumbe ambao Mh. Nyalandu yanayosema "Ukweli katika maisha ni huu, kwamba Mungu hakuachi. Amini katika uwezo na ukuu wake. Ujapopita katika changamoto zozote katika maisha, hata wale wa karibu nawe wakikuacha, Yeye ni Amini na Kweli, hatakuacha, atakupigania, na atakufanya heri kwa ajili ya utukufu wake" Ujumbe wa Nyalandu kupitia Twita.

Tangu alipojiuzulu nafasi ya ubunge wa Singida Kaskazini, Oktoba 30, 2017,  Mh. Nyalandu amekuwa akiandamwa na skendo za kuuza vitalu pamoja na twiga ambapo aliweka wazi kuwa yupo tayari kujibu tuhuma hizo kwa kuwa anajiamini aliitumikia wizara hiyo kwa uaminifu mwaka 2014 - 2015.

Baada ya tuhuma hizo akiwa nje ya uongozi, Nyalandu aliwahi kumjibu Waziri wa Maliasili na utalii wa sasa Dk. Hamisi Kigwangalla kwamba anasikitika sana kuona Waziri huyo akitumia muda wake ndani ya Bunge kumchafua na kumdhihaki ilihali alifanya mambo makubwa ndani ya wizara hiyo ikiwa kupambana na ujangili kwa kiasi kikubwa.

P Didy Awajia Juu Wanaoleta Ubagua Baada ya Ufaransa Kuchukua Ubingwa Kombe la Dunia

$
0
0
P Didy Awajia Juu Wanaoleta Ubagua Baada ya Ufaransa Kuchukua Ubingwa Kombe la Dunia
Ikiwa haijapoteza mchezo hata mmoja hadi kumalizika kwa michuano hii mikubwa kabisa ya Kombe la Dunia pia ikisheheni vijana wadogo wenye ndoto za kufika mbali kisoka timu ya taifa ya Ufaransa hapo jana ilifanikiwa kutwaa taji la michuano ya kombe la Dunia kwa mara ya pili katika historia ya michuno hii baada ya kuifunga timu ya Croatia kwa mabao 4-2



Ufaransa wamefanikiwa kutwaa taji hili kwa mara ya pili baada ya miaka 20 wamefanikiwa kutwaa taji hili chini ya kocha mzawa Didier Deschamps amabye kwa upande wake ni mara yake ya pili kunyanyua kombe hili baada ya mwaka 1998 akiwa kama kapteni wa timu hiyo walifanikiwa kulitwaa taji hili kwa mara ya kwanza katika ardhi ya nyumbani lakini awamu hii amalinyanyua kama kocha na si mchezaji.

Ufaransa wamefanikiwa kutwaa taji hili wakiwa wamesheheni wachezaji wenye asili ya kiafrika 15 kati ya wachezaji 23,na hii ndo imekuwa sababu ya watu wengi Duniani kuwaonyeshea dalili za ubaguzi kwa kudai kuwa hawa siopraia wa Ufaransa.kitendo hiki kimekemewa vikali na Mwanamziki kutoka nchini Marekani P Didy kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweza kupost ujumbe ulioandikwa na Bwana Khaled Beydoun.

Bwana Khaled Beydoun ameweza kuwapongeza Ufarasa na kusema timu hiyo imeundwa na wachezaji wengi weusi pia wengi ni Waislamu lakini wametupilia mbali tofauti hizo za kidini na za kirangi wameweza kushirikiana na kuweza kupata ushindi kwa maana hiyo Waafrika na Waislamu ndio walioisaidia Ufaransa kutwaa taji hilo.

Picha: Kamishana wa Magereza Apokelewa Rasmi

$
0
0
Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike akikagua gwaride maalum lililoandaliwa na Maofisa na askari wa Jeshi la Magereza.

Picha: Kamishana wa Magereza Apokelewa Rasmi
Kamishna Jenerali mstaafu, Dkt. Juma Malewa(suti nyeusi) akimkaribisha Kamishna Jenerali mpya wa Magereza, Phaustine Kasike mara baada ya kumaliza kukagua gwaride rasmi lililoandaliwa na maofisa na askari wa Jeshi la Magereza.


Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, Phaustine Kasike akipokea saluti kutoka kwa Kamishna wa Utawala wa Magereza, Gaston Sanga mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ofisi ya Makao Makuu ya Jeshi la Magereza jijini, Dar es Salaam, leo Julai 16, 2018.

Nyimbo Mpya ya Bill Nass Yafutwa You Tube " Roho za Namna hii Haziwezi Kukuza Tasnia"

$
0
0
Nyimbo Mpya ya BBill Nass Yafutwa You Tube " Roho za Namna hii Haziwezi Kukuza Tasnia"
Baada ya Mkali wa Hip Hop Billnass kuachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa ‘Labda’ ambao ulikuwa unapatikana YouTube lakini kabla siku haijaisha wimbo huo umefutwa bila kujulikana nani kahusika na hilo kitu ambacho kimemfanya Billnass kulalamika.

Billnass ambaye ameamua kuandika kupitia ukurasa wake wa instagram kuhusu watu waliomfutia wimbo wake youtube kwa kusema yeye hafanyi muziki kwa mashindano bali anafanya kwa kujikwamua kwenye umaskini wake na kudai kuwa imemuumiza sana.

…>>>“Kitendo Cha Video Yangu Ku Hackiwa na Kufutwa Youtube kimeniumiza sana….Video Yangu hata haina umri wa masaa Mengi, Views wenyewe sio wa kiivyo ndo imeanza kuingia kwenye trending watu Wenye Roho Mbaya Wamefanya wanayoweza…Sijawahi Kufanya Mziki wa Mashindano.

“Mara zote Huwa na Support kazi za Wenzangu kwa Moyo Mmoja pia Huwa natoa Nyimbo kwa Muda Mrefu sana nikiwa naaamini Kila Mtu ananafasi Yake na Muda wake….Nafanya Mziki wangu kujikwamua na Umaskini wangu na kuiendeleza Karama aliyonipa Mwenyezi Mungu….

“Sio Kumkomoa Mwengine….Sidhani kama Roho za namna hii zinaweza kukuza Tasnia….imeniumiza sana na inatishia sana kama Mziki wetu umefikia huku 🙏” – Billnass

JPM Awakingia Kifua Wafanyabiashara wa Mbezi Wanaofanya Biashara Pembezoni mwa Barabara " Tanroads Msiwanyanyase"

$
0
0
JPM Awakingia Kifua Wafanyabiashara wa Mbezi Wanaofanya Biashara Pembezoni mwa Barabara " Tantoads Msiwanyanyase"
Rais Dkt. John Magufuli ametangaza neema kwa wafanyabiashara wadogo wadogo wa eneo la Mbezi Jijini Dar es Salaam kuendelea kufanya biashara zao pembezoni mwa barabara huku akizitaka mamlaka husika zisiwanyanyase wafanyabiashara hao wanaotafuta kipato riziki.

Dkt. Magufuli ameeleza hayo leo Julai 16, 2018 wakati akiwa njiani kuelekea Ikulu akiwa anatokea Mkoa wa Pwani, Kibaha kuweka jiwe la msingi la Chuo cha Uongozi cha Julius Nyerere na kusema wafanyabiashara hawawezi kunyanyaswa katika kipindi chake ambacho atakuwa madarakani huku akiwataka wafanyabiashara hao nao pia kuacha tabia ya kuinyanyasa serikali.

"Biashara haifanywi porini, biashara inafanywa mahali pa watu. Kama mnaviongozi wenu mkae nao na muambizane msisogee barabarani kufanya biashara zenu, kwasababu kwa amri hii niliyoitoa ikitokea watu wakafa kesho kwa kugongwa na gari watasema Magufuli aliamrisha watu wagongwe, maana nitakuwa nina deni kubwa la kulipa kwa Mwenyezi Mungu", amesema Rais Magufuli.

Pamoja na hayo, Magufuli ameendelea kwa kusema "sitaki nikalipe hiyo dhambi kwa hiyo nawaomba sana ndugu zangu wa Mbezi na TANROADS wameshanisikia. Kuanzia leo wasiwanyanyase watu wa pembeni lakini na nyinyi msifanyie biashara barabarani maana TANROADS watawashika na Jeshi la Polisi litashughulika. Kama kuna wafanyabiashara wowote wameshikiliwa bidhaa zao warudishiwe".

Kwa upande mwingine, Rais Magufuli amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Ubungo na Mkurugenzi kutenga eneo kwaajili ya wafanyabiashara hao waliopo katika eneo la Mbezi mwisho jijini Dar es Salaam ili kusudi wawe na eneo maalum la kufanyia kazi zao.

Nyalandu atakiwa kurudisha Twiga ili aeleweke..Mwenyewe Ajibu Kwa Uchungu

$
0
0

Aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amejikuta kwenye majibizano na baadhi ya wafuasi wake kwenye mtandao wa kijamii wa twita mapema leo baada ya kuambiwa arudishe twiga (Bila kufafanuliwa ni twiga yupi). 

Majibizano hayo yameibuka ikiwa ni masaa machache baada Nyalandu kuweka maneno yakutia ujasiri, na ya ushauri wa kutokata tamaa na baada ya maoni akafikia hatua ya kumjibu mfuasi mmoja kwa kumfananisha na watu waliolaaniwa. 

Mfuasi huyo aliyekwenda kwa jina la 'Tamankila1' katika mtandao wa Twitta alimwambia Nyalandu kwamba anapaswa kurudisha Twiga ili aweze kueleweka, huku mfuasi mwingine akimwambia kwamba neno moja kwenye biblia ndilo litakalomuokoa ambalo ni lile la "Mimi sikuja kwa wenye haki bali kwa waovu". 

"Tamankila1 watu kama wewe wamelaaniwa. Huwezi kuanza siku kwa kusema uongo ili ujisikie umesomeka kwenye mitandao ya kijamii. Ni twiga yupi unayetaka nimrudishe, na nilimchukua wapi. Imeandikwa, waongo wote, sehemu yao ni katika ziwa liwakalo kwa kiberiti" Ujumbe wa Nyalandu kwa mmoja wa wafuasi wake.. 

Majibizano hayo ambayo bado yameendelea kwenye ukurasa wa Twitta yalitokana na ujumbe ambao Mh. Nyalandu yanayosema "Ukweli katika maisha ni huu, kwamba Mungu hakuachi. Amini katika uwezo na ukuu wake. Ujapopita katika changamoto zozote katika maisha, hata wale wa karibu nawe wakikuacha, Yeye ni Amini na Kweli, hatakuacha, atakupigania, na atakufanya heri kwa ajili ya utukufu wake" Ujumbe wa Nyalandu kupitia Twita. 

Tangu alipojiuzulu nafasi ya ubunge wa Singida Kaskazini, Oktoba 30, 2017,  Mh. Nyalandu amekuwa akiandamwa na skendo za kuuza vitalu pamoja na twiga ambapo aliweka wazi kuwa yupo tayari kujibu tuhuma hizo kwa kuwa anajiamini aliitumikia wizara hiyo kwa uaminifu mwaka 2014 - 2015. 

Baada ya tuhuma hizo akiwa nje ya uongozi, Nyalandu aliwahi kumjibu Waziri wa Maliasili na utalii wa sasa Dk. Hamisi Kigwangalla kwamba anasikitika sana kuona Waziri huyo akitumia muda wake ndani ya Bunge kumchafua na kumdhihaki ilihali alifanya mambo makubwa ndani ya wizara hiyo ikiwa kupambana na ujangili kwa kiasi kikubwa. 

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.   

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.   

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.   

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja. 

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578   

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo. 
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live


Latest Images