Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Acha Kubaka Wewe...Fahamu Njia Adimu za Kumfanya Mwanamke Afike Kileleni Haraka..18+

$
0
0

Kuna njia mbalimbali za kumuongezea wigo mwanamke kufika kileleni na kuna kitu kimoja wanawake wote husema, "Kufika kileleni huitaji utulivu wa akili na hisia ".

Kama ukimweka mwanamke kwenye mazingira mazuri kiakili na kihisia, kuna uwezekano mkubwa na mwili wake kufuata na kumfanya afike kileleni.

Japo wanawake wanatofautiana, imejaribu kuongea na baadhi ya wanawake na wametumegea siri na kutupa njia nzuri ya kumfikisha kileleni mwanamke kwa haraka, japo ilikua mpaka tulipowapa baadhi ya siri zetu za kiume kidogo ndo wakalainika kutuambia...

Kama ukitaka kumfikisha kileleni kwa haraka, ni vizuri mwanamke ukamweka juu yako ili aweze kudhibiti kasi, msuguano na engo ya uume wako ndani yake, japo nawe unaweza kupata matamanio ya kumsaidia, ila ni vizuri ukamwacha mwenyewe ili usije kumharibia kasi anayoitaka yeye na kuitumia.

Inabidi upambane na matamanio yako na uendelee kutulia na umsikilize anataka wewe ukaeje ili ajiongezee msisimko zaidi na kwa sasa inabidi uutulize mwili huku mikono yako ikishughurika na uitumie vizuri, unaweza kuwa unampapasa sehemu za makalio yake au nyuma ya kichwa chake sehemu za shingoni mpaka kisogoni kwa hali ya kimahaba, na kama umekaa wima utajiongezea pointi zaidi kwa kumbusu shingoni na kuongea maneno mazuri ya kimahaba na kumsifia kwa uzuri wake na sifa nyingine

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER

Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin e pamoja na madini aina ya zinc

Itakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30 ZAT 50

Inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende

Tunapatikana Dar es Salaam  na mikoan wasiliana na DR Oshinda no 0755505099 au 0714126118  Karibuni kwa hunduma bora

Lugola Amgeukia IGP Sirro Ampa Siku 14 Kujieleza

$
0
0
Lugola Amgeukia  IGP Sirro Ampa Siku 14  Kujieleza
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mh. Kangi Lugola, ametoa muda wa siku 14 kwa Inspekta Jenerali wa Polisi, IGP Simon Sirro kufika ofisini kwake kumueleza mikakati ya kuwawezesha Watanzania kufanya kazi kwa saa 24 ikiwa ni pamoja na kuzuia matishio ya mabasi kutembea nyakati za usiku.

Waziri Lugola ametoa agizo hilo mara baada ya kufanya ziara ya kikazi katika makao makuu ya kikosi cha kutuliza ghasia kilichopo Ukonga Jijini Dar es Salaam na kuongea na Askari wa Kikosi hicho na wale wanaohudumia katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere.

Wakati  akitoa agizo hilo, Mhe. Lugola amesema kuwa ili kufikia Uchumi wa kati Watanzania wanatakiwa kufanya kazi za kiuchumi kwa masaa 24 hivyo IGP anapaswa kumhakikishia mikakati ya jeshi lake katika ushiriki wao wa kuwapatia  watanzania usalama kwa muda wotewakifanya shughuli hizo za kiuchumi.

"Nataka IGP aje aniambie kwamba je, jeshi la polisi limesalimu amri kwa majambazi ndiyo maana mabasi hayatembei usiku, lakini biashara mbalimbali ikifika saa 12 zinafungwa, ukiuliza unaambiwa ni kwa sababu ya usalama, nataka IGP aniambie kama majambazi ndio wanaotupatia amri...Hatuwezi kukubali kupewa amri na majambazi ni masaa mangapi tunatakiwa kuganya shughuli za kiuchumi au kupangiwa maeneo ya kwenda na wapi tusiende," Waziri Lugola.

Wema Sepetu Ashindwa Kufunguka Kuhusu Ugonjwa Wake

$
0
0
Wema Sepetu Ashindwa Kufunguka Kuhusu Ugonjwa Wake
Malkia wa filamu, Wema Sepetu Jumatatu hii alipata nafasi ya kuzungumza na waandishi wa habari muda mchache baada ya hukumu ya kesi yake ya kutumia dawa za kulevya kupigwa kalenda hadi Ijumaa hii.


Moja kati ya vitu ambavyo alivizungumza mrembo ni pamoja na kipindi kigumu alichopitia wakati anaumwa.

“Ni kweli hapa katikati nilikuwa anaumwa lakani namshukuru Mungu nimepona,” Wema aliimbia Bongo5. “Siwezi kuzungumzia nilikuwa naumwa nini hiyo ni privacy yangu, sasa kama video mliiona ndio ni kweli nilikuwa naumwa lakini kuhusu ugonjwa hapana,”

Video hiyo ambayo ilisambaa mitandaoni ikimuonyesha mrembo huyo akiwa katika hali isiyokuwa ya kawaida ilizua taharuki kwa mashabiki wake.

Amber Lulu Afunguka Kuhusu Kurudiana na Aslay

$
0
0
Amber Lulu Afunguka Kuhusu Kurudiana na Aslay
Msanii wa muziki, Amba Lulu amekanusha kwamba amerudiana na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Aslay Isihaka.



Wawili hao siku chache zilizopita walionekana kuwa karibu zaidi huku wadau wa mambo wakidai kwamba huwenda wamerudiana.

Bongo5 ilimtafuta Amba Lulu na kuzungumza naye machache kuhusiana na ishu hiyo ambapo alionekana kukataa kulizungumzia suala hilo kiundani zaidi.

“Mimi sina mahusiano yoyote na Aslay,” alisema Amba Lulu.

Aslay kwa sasa anadaiwa kutoka kimapenzi na muigizaji wa filamu, Diana Kimario.

Rais Magufuli Ashinda Tuzo ya Ukombozi Afrika

$
0
0
Rais Magufuli Ashinda wa Tuzo ya Ukombozi Afrika
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ameibuka mshindi wa tuzo ya Afrika katika masuala ya uchumi.

Makamo mwenyekiti wa kamati ya tuzo ya ukombozi Afrika, Mwebesa Rwebugia ameieleza BBC kwamba rais Magufuli ameibuka mshindi kutokana na mchango wake wa kiuchumi hasaa katika ukuaji wa miundo mbinu.

Hii ni mara ya pili kwa kiongozi wa Tanzania kupata tuzo hii, baada ya Mwalimu Julius Nyerere kutuzwa pia kutokana na mchango wake wa kuleta uhuru katika nchi za Afrika.

Mwebesa Rwebugia ameeleza kuwa, katika kuegemea kwenye muktadha wa uchumi, kamati iliangalia umaskini ambao unatajwa kuwa adui mkubwa anayefahamika, lakini pia maradhi na ujinga.

Kwa mujibu wa kamati hiyo ya Tuzo ya Ukombozi wa Afrika, ukombozi katika kipengelee cha elimu huangazia elimu na ujinga kama sehemu ya ukombozi.

Tanzania imetolewa mfano wa elimu ya bila malipo kutoka kutoka shule za msingi mpaka sekondari.

Ufaransa Yapokelewa Kifalme Nchini Kwao

$
0
0
Ufaransa Yapokelewa Kifalme  Nchini Kwao

MASHABIKI wa soka walijipanga katika mtaa mashuhuri jijini Paris uitwao Champs-Elysees jana na kuipokea kifalme timu ya soka ya nchi hiyo iliyobeba Kombe la Dunia nchini Urusi baada ya kuishinda timu ya  Croatia.



Mapokezi hayo yaliyokuwa ya kifalme yalipambwa na kina aina ya shamra akiwemo rais Emmanuel Macron na mkewe.  Miongoni mwa taswira kubwa zaidi ilikuwa ni rangi za taifa hilo ambazo zilionekana kutawala macho ya kila mtu — nyeupe, bluu na nyekundu.








Mkongomani wa Simba Atimukia Rwanda

$
0
0
Mkongomani wa Simba Atimukia Rwanda
Kiungo Mkongomani aliyetua Simba kwa ajili ya kufanya majaribio, Fabrice Kakule, amerejea Rwanda kwa ajili ya kumalizana na uongozi wa Kiyovu SC.

Kakule aliwasili nchini kwa ajili ya kupiwa kiwango chake lakini baadaye kukaibuka taarifa kutoka kwa mabosi wake wa Kiyovu wakieleza kuw bado ana mkataba.

Kutokana na Kiyovu kuja juu huku wakiipa onyo kali Simba, mchezaji huyo imebidi arejeshwe ili kuweka mambo sawa ambapo sasa atapaswa kwenda kumalizana viongozi wake na mambo yakiwa mazuri atarudi kujiunga Simba.

Kakule aliwasili hapa nchini akipendekezwa na Kocha Msaidizi wa Simba, Masoud Djuma ili kuja kufanyiwa majaribuo kwa lengo la kuipa nguvu safu ya kiungo endapo atafuzu kisha kupewa mkataba.

Wakati Kakule akirejea Rwanda, kikosi cha Simba kinaendelea na mazoezi kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na siku chache zijazo kitasafiri kuelekea Uturuki kwa kambi ya wiki mbili.

Milioni 684 Zatumika Katika Mkutano wa Trump na Putin

$
0
0
Milioni 684 Zatumika Katika Mkutano wa Trump na Putin
MKUTANO kati ya  Rais Trump wa Marekani na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, nchini Helsinki ‘umekula’ Dola 300,000 ambazo ni sawa na Sh. mil. 684 za Tanzania.

Fedha hiyo ni pamoja na manunuzi na matumizi mbalimbali kwa ajili ya mkutano huo nchini Helsinki.

Mkutano kati ya Trump na kiongozi wa Korea ya Kaskazini, Kim Jong-un, uliofanyika kama miezi miwili iliyopita, ‘ulikula’ Dola 162,000 ambazo ni sawa na Sh. mil. 369.

RC Makonda Apata Mtoto wa Kiume "Mungu Wewe ni Waajabu Unatenda kwa Wakati"

$
0
0
Kauli ya RC Makonda Baada ya Kupata Mtoto wa Kiume "Mungu Wewe ni Waajabu  Unatenda kwa Wakati"
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amebahatika kupata mtoto wa kwanza na kupitia instagramu yake ameonyesha furaha yake aliyopewa na mungu kwa kupata mtoto wa kiume.

Kutokana na kusemwa sana kuwa hana uwezo wa kuzaa makonda kupitia posti yake ameonyesha kuwaumbua waliomuandama kwa muda mrefu.

Kupitia ukrasa wake wa istagram Rc Makonda Aliandika Hivi "Mungu wewe ni waajabu tena unatenda Kwa wakati wako. Asante Kwa ZAWADI YA MTOTO WA KIUME @ KEAGAN P MAKONDA

Surveyed Plots For Sale: Mapinga (Baobab Sec, KM 5 Kutoka Bunju-DSM)

$
0
0
Surveyed plots for sale: Mapinga (Baobab Sec, km 5 kutoka Bunju-DSM)
Viwanja ni vikubwa sana (low density plots). Viwanja viko umbali wa km 2 kutoka main road (Bagamoyo Road).
Ziko plots za sqm 1400, sqm 2100, na sqm 2700.

Bei ya kila sqm ni sh 13,000 (negotiable)
Huduma za kijamii (maji, umeme) zipo na miundombinu yote iko vizuri (mradi wa kusogeza lami mpaka nyumbani umeanza). Ramani zote (Town plan & Deed plan) /zipo tayari. Hati ya miaka 99 itapatikana ndani ya miezi 2 tu.
hakuna dalali, contact mhusika: 0758603077, whatsap 0757489709

Pia, vipo viwanja vya bei nafuu sana ambavyo taratibu za upimaji zimeanza lakini bado hazijakamilika (on-process). Hivi viko Kimele, ni kilometa 3 kutoka main road (Bagamoyo Road). Viwanja viko planned (kwa mpangilio mzuri) na ukinunua unapimiwa ili upate hati kwa gharama ya sh 300,000 tu.

Bei ya viwanja inabadilika kuendana na size ya kiwanja ulichochagua.
Bei ni: milion 2 for 10/20, mil 3 for 15/20, mil 4 for 20/20, mil 5 for 25/20, mil 6 for 20/30, mil 8 for 20/40, mil 11 for 25/45, mil 12 for 30/40 na mil 16 for 40/40, mil 20 for 0.5acre, mil 38 for 1 acre. luksa kulipa kwa awamu ndani ya miezi 3-4
Hakuna dalali, mpigie mhusika, 0758603077, whatsap 0757489709

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
  KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

Yanga Yagomea Usafiri na Hoteli Waliyoandaliwa

$
0
0
Klabu ya Yanga ambayo inatarajia kucheza mchezo wa kombe la shirikisho dhidi ya Gor Mahia Jumatano hii, imegomea usafiri walioandaliwa pamoja na hoteli mara baada ya kutua nchini humo.

Taarifa zinaeleza kuwa klabu hiyo iliandaliwa usafiri wa basi kutoka uwanjani hadi hotelini lakini ikaukataa na badala yake ikakodi usafiri wao na walipofika hotelini waligoma kuingia ndani ya hoteli bila kutoa sababu yoyote kulingana na maelezo ya katibu wa Gor Mahia, Ben Omondi.

“Tabia hii imekuwa ni kawaida kwa klabu za Afrika lakini nataka kuwahakikishia Yanga kuwa sisi hatujawahi na hatutoshiriki katika masuala ya kishirikina hata mara moja", amesema Omondi.

Juhudi za kumtafuta afisa habari wa klabu ya Yanga, Dismas Ten kuzungumzia suala hilo hazikufanikiwa kwani simu yake haikupokelewa mara kadhaa.

Katika michuano ya CECAFA Kagame Cup, Gor Mahia nao waligomea chumba cha kubadilishia nguo ambacho waliandaliwa kabla ya mchezo wa nusu fainali dhidi ya Azam Fc na badala yake walitumia korido kubadilisha nguo huku wakiituhumu Azam Fc kupuliza dawa katika chumba hicho.

Yanga na Gor Mahia zitachuana katika mchezo wa kundi D wa kombe la shirikisho, ambapo Yanga ikishika mkia katika kundi hilo mbele ya kinara USM Alger ya Algeria na Gor Mahia inayokamata nafasi ya pili.


Rais JPM: Ni Wakati wa Afrika Kuungana Katika Mapambano Dhidi ya Umaskini

$
0
0
Rais JPM: Ni Wakati wa Afrika Kuungana Katika Mapambano Dhidi ya Umaskini
Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli amesema huu ni wakati kwa nchi za Afrika, kuungana pamoja katika mapambano dhidi ya umaskini kwa kuandaa misingi bora ya kiuchumi.

Rais Magufuli amesema hayo leo Juali 17 wakati akifungua mkutano wa kidunia wa vyama vya siasa uliovikutanisha zaidi ya vyama 40 kutoka Afrika na Chama cha Kikomunisti cha China (CPC).

Miongoni mwa vyama hivyo, saba vilishiriki katika harakati za ukombozi kusini mwa Afrika ikiwamo CCM.

Rais Magufuli amesema kama nchi za Afrika zitashikamana zinaweza kubadili na kukuza uchumi wake.

Pia aliiomba China kusaidia katika ujenzi wa miradi mikubwa inayoendelea nchini ikiwamo ujenzi wa kisasa wa reli ya kati, gesi, mradi wa kufua vyuma wa Mchuchuma na Liganga na uendelezaji wa viwanda.

"Niwaombe China iunge mkono katika utekelezaji wa miradi yetu mikubwa ya kimaendeleo, ushirikiano kiuchumi ndio unaohitajika zaidi," amesema.

Rais Magufuli amesema nchi za Afrika hazihitaji misaada yenye masharti isipokuwa ile ya kirafiki inayojengwa kwenye misingi ya kuelewana.

Awali Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Watu wa China (CPC) Song Tao alisema ili kufikia malengo ya kiuchumi nchi za Afrika zinapaswa kuheshimu haki za binadamu.

Amesema China ipo tayari kusaidia mipango ya kichumi kwa nchi za Afrika na kuwataka wajiandae kulingana na mazingira ya nchi zao.

Amesema japo nchi yao ina watu zaidi ya 2.5 bilioni lakini wameweza kujenga mfumo wa maendeleo na jamii bora yenye manufaa.

Ameshauri vyama vya Afrika kujikita katika kutafuta suluhisho la matatizo ya nchi zao kubwa ikuwa ni kuwaondoa watu kwenye umaskini.

Masheikh Waonywa Kuozesha Wabakwaji

$
0
0
Masheikh waonywa kuozesha wabakwaji
Masheikh kisiwani Pemba wametakiwa kuacha tabia ya kuwaozesha wanaume watoto waliobakwa na kupata ujauzito, kwa kuwa kufanya hivyo ni kuchochea vitendo hivyo.

Akizungumza katika mafunzo ya udhalilishaji wa kijinsia na njia mbadala ya kupambana nazo juzi, mwezeshaji Shukri Gesod alisema tabia ya kuwaozesha watoto wenye ujauzito, haikubaliki katika sheria ya dini, hivyo ni vyema masheikh wakaepuka jambo hilo.

Gesod alieleza kuwa iwapo masheikh, wataendelea kuwaoza watoto hao, vitendo vya ubakaji vitaongezeka kwa kuwa hiyo ni njia mojawapo inayosababisha vikithiri.

“Kwa kweli haikubaliki kwa mtoto aliyebakwa na kusababishiwa ujauzito kuozwa mume, itakuwa hamtendei haki kutokana na alichofanyiwa, masheikh ndiyo mnaoozesha tuache kabisa tabia hiyo,” alisema.

Imamu kutoka Chakechake, Machano Ame Faki alisema wazazi wamekuwa na tabia ya kusuluhisha mtoto wao anapobakwa kisha kumuoza, jambo ambalo linasababisha kuongezeka kwa vitendo hivyo.

Naye Amira wa Jimbo la Gando, Salma Khamis Juma alisema wamefarijika kupata mafunzo hayo na kwamba, yatawasaidia kujua mbinu mbalimbali za kuweza kuwafikishia elimu wanajamii ili kuhakikisha tatizo hilo linaondoka kabisa.

Jeshi la Polisi Lamtia Mbaroni Aliyetumia Kisu Kumnyang'anya Bosi Wake Milioni 17

$
0
0
Jeshi la Polisi Lamtia Mbaroni Aliyetumia Kisu  Kumnyang'anya Bosi Wake Milioni 17
Jeshi la Polisi Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limemkamata Charles Mbise miaka 23 anayetuhumiwa kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha aina ya kisu ambapo anadaiwa kumpora mwajiri wake fedha zaidi ya Shilingi Million 17 katika kituo cha mafuta cha Afro Oil kilichopo Ipogolo mkoani Iringa na kisha kutaka kutorokea mkoani Arusha kwa kupitia Dodoma.

Muroto amesema…>>>”Mnamo July 16, 2018 huko Mkonze katika jiji la Dodoma katika kituo cha ukaguzi wa magari alikamatwa Charles Mbise mkazi wa Ipogolo Iringa ambaye. Mtuhumiwa alikamatwa kwenye gari namba T 165 DAD aina ya Costar wakati akijaribu kutoroka kwenda Arusha baada ya kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha aina ya kisu katika kituo cha Afro Oil kilichopo mkoani Iringa na kupora fedha za mwajiri wake kiasi cha Shilingi Milion 17”

Waziri Jafo Awaka Baada ya Shule ya Jangwani Kushika Mkia "Hii ni Fedhea"

$
0
0
Waziri Jafo Awaka Baada ya Shule ya Jangwani Kushika Mkia "Hii ni Fedhea"
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo ametembelea Shule ya Jangwani Sekondari Dar es salaam ambayo imetajwa juzi kuwa miongoni mwa Shule 10 zilizoshika nafasi za mwisho katika matokeo ya kidato cha sita mwaka 2018.

Jafo amesema Shule hiyo ni miongoni mwa Shule chache zenye Walimu wengi lakini imekuwa katika kundi la mwisho “Shule ya Jangwani ina walimu 87, Shule ya Kibaha ina Walimu 52, yenye Walimu 52 inakua ya kwanza kitaifa lakini yenye Walimu 87 inakua ya tatu kutoka mwisho kitaifa”

Waziri Jafo ametoa maagizo kwa Katibu Tawala wa Mkoa Afisa wa DSM abadilishe uongozi lakini pia mabadiliko ya Walimu yafanyike.

“Badilisheni Walimu wa Jangwani, waleteni Walimu wengine waje wafanye mabadiliko hapa, nimepata taarifa kuwa kuna Walimu hawafundishi, watoto wanajipinda wanaandika notes wenyewe, wengine wana moyo wa kusoma lakini Walimu wenye moyo hakuna,”

Tume ya Madini Yaibua Mapya Ukuta wa Tanzanite Mirerani

$
0
0
Tume ya Madini Yaibua Mapya Ukuta wa Tanzanite Mirerani
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Professa Idris Kikula ameagiza lijengwe haraka banda la dharura pembeni ya lango kuu la ukuta wa madini ya Tanzanite, Mirerani kwa ajili madalali badala ya kwenda kuyanunulia ndani.

Kauli hiyo aliitoa juzi wakati wa ziara ya wajumbe wa tume hiyo waliotembelea eneo hilo wakifuatana na Kamishna wa Tume, Professa Abdulkarimu Mruma na mwanasheria wa tume.

Tume hiyo ilifanya ziara katika migodi hiyo kufahamu undani wa shughuli za madini zinavyofanyika, kubaini changamoto na kuzitafutia ufumbuzi ili kuimarisha na kuendeleza sekta ya madini.

Akizungumza katika eneo la Mirerani, Profesa Kikula alisema wamelazimika kutoa maagizo hayo   kuepuka upotevu zaidi wa madini hayo.

“Hatuwezi kusubiri, tumewapa maagizo wajenge haraka banda la hawa wanunuzi ili waishie pale kwenye lango kuu tukiacha tunaweza kuendelea kupoteza,” alisema Profesa Kikula na kuongeza:

“Huwezi kujua brokers wakiingia ndani na baadaye kutoka wanaweza kuficha Tanzanite kwenye nini… wanaweza kuweka hata ndani ya gurudumu la gari, pale kuna mambo mengi yanafanyika lazima tuendelee kudhibiti,” alisema.

Alisema katika ziara hiyo walibaini matofali  yaliyopangwa nje ya ukuta huo hali inayoonyesha kuna watu wanaingia au kutoka nje kwa njia isiyo rasmi.

“Tumeomba waongeze ulinzi na ukaguzi pamoja na mambo mengine tutaandika ripoti yetu na kuieleza wizara husika,” alisema Profesa Kikula na kuongeza:

“Upo upungufu tuliouona pale, eneo lile lina watu wengi   wanaoingia ndani na kila mtu ana kazi yake, pale tumekuta kuna udanganyifu kutoka kwa wanunuzi wakienda kununua ndani wanapotoka husema hawajanunua madini wakati si kweli”.

Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Zephania Chaula aliyetembelea eneo hilo jana, alisema wamejipanga kuhakikisha mapendekezo na ushauri wa tume hiyo yanafanyiwa kazi.

“Kwenye lango kuu bado hatujapata vifaa kwa ajili ya uchunguzi kwa watu wanaopita mlangoni, vifaa havijafungwa na ulinzi unaofanyika ni wa kawaida.

“Sisi hata kabla ya tume tayari tulishaeleza tunahitaji CCTV camera na scana, tayari Serikali ipo kwenye maandalizi ya kuvileta   vianze kazi haraka,” alisema Chaula.

Alisema kwa sasa, wameanza kuzuia magari yote yasiyo na ulazima wa kufika kwenye migodi  yasisababishe usumbufu katika ukaguzi kwa wanaopita kwenye lango la ukuta huo.

“Kuna magari yanayobeba baruti, maji na vitu vingine muhimu, haya yanaingia kwa ukaguzi na uangalizi mkali wa kusindikizwa yakimaliza kushusha mizigo yao tunawasindikiza mpaka watoke,” alisema
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live




Latest Images