Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Historia Ya Chief Mkwawa Kiongozi wa Jadi wa Kabila la Wahehe Mkoani Iringa

$
0
0
Mkwawa alikuwa kiongozi wa jadi wa kabila la wahehe  mkoani Iringa nchini Tanzania, ni moja kati ya viongozi shupavu wa jadi waliowahi kuishi duniani japo mapokeo yao yanaharibiwa taratibu na mabadiliko ya sayansi na technolojia lakini kumbukumbu zao hazitasahauliki hata vizazi vingi vijavyo.

Miongoni mwa machifu wanaotajwa kuwa na nguvu za kiutawala kwa kipindi hicho ni ukiachana na chief Mkwawa ni pamoja na Kinjekitile ngwale wa songea aliyeongoza vita za majimaji, Mirambo wa Tabora  na wengineo.

KUZALIWA
Mkwawa alizaliwa mnamo mwaka 1855 katika kijiji cha LUHOTA nje kidogo na mjini Iringa. Jina halisi aliitwa MKWAVA au MKWAVINYIKA likiwa na maana ya MTAWALA WA NCHI, Mkwawa alikuwa mtoto wa chifu aliyeitwa MUNYIGUMBA aliyekufa mwaka 1879.

Baba yake alifanikiwa kuunganisha temi ndogondogo za wahehe na makabila ya jirani na kuwa dola moja , mfumo huo alinakili toka kwa falme za WASANGU waliowahi kuwa kabila lenye nguvu amabalo mbinu hii pia nao walijifunza toka kwa WANGONI.

Hadi miaka ya 1870 eneo la wahehe lilipanuliwa kuanzia kusini hadi katikati ya Tanzania ya leo. Baada ya kifo cha chifu MUNYIGUMBA watoto wake waliingia tofauti kubwa sana katika harakati ya nani achukue madaraka ya hayati baba yao.

Mwisho mkwawa alishinda na akawa kiongozi mpya wa wahehe. Mkwawa aliendelea kupanua dola ya wahehe hadi kufikia mwaka 1880 alitawala sehemu muhimu za njia ya misafara kati ya pwani na ziwa Tanganyika.

Ambapo misafara hiyo ilikuwa ikibeba bidhaa za nje kama vitambaa, visu, silaha kutoka pwani na ziwa Tanganyika. Misafara hiyo ilipaswa pia kulipa kodi iliyojulikana kama HONGO ambayo iliongezwa uwezo wake nguvu za kijeshi na kiutwala kwa ujumla MKWAWA NA UVAMIZI WA WAJERUMANI Tangu mwaka 1855 hivi, Wajerumani walianza kuunda Koloni lao katika Tanzania bara, Rwanda na Burundi ya leo.

Mnamo mwaka 1891 mkwawa alituma jeshi lake katika kambi ya WAJERUMANI iliyokuwepo mpwapwa na akawaadhibu vibaya wajerumani, sambamba na eneo la USAGARA ambako nako pia alishinda vita dhidi ya wajerumani. Gavana mpya wa kijerumani EMIL VON ZELEWSK alisikia habari za uvamizi wa wahehe, na akaomba kibali cha kuwashambulia wahehe toka BERLIN.

MAPIGANO YA LUGALO
Mwezi julai 1891 Von Zelewsk aliongoza kikosi cha maafisa 13 na askari waafrika kutoka sudani 320 pamoja na wapagazi 113. Walikuwa na bunduki za kisasa na mizinga midogo. Zelewsk aliwadharau wahehe kama washenzi ambao walikuwa na mikuki na pinde tu kwahiyo hakuona haja ya kutuma wapelelezi wa awali.

Tarehe 17 agosti 1891 Zelewsk na jeshi lake walipita eneo la LUGALO km kadhaa toka Iringa mjini MKWAWA alikuwa akimsubiri akiwa na askari wapatao 3000, Mkwawa aliwashambuliwa wajerumani kwa kushtukiza na dakika kadha wajerumani wengi waliuawa akiwemo kiongozi wao ZELEWSK, wachache kati yao walikimbia ili kujiokoa nafsi zao.

Baada ya vita vya LUGALO mkwawa aliona kuwa wajerumani walikuwa na siraha nzito na muda wowote angewza kupinduliwa hivyo akatuma wajumbe au mabalozi kwa Gavana VON SODEN walioeleza ya kwamba wahehe walikuwa wakijihami tu juu ya mashambulizi ya lugalo na kwahiyo hawakuwa na lengo la kuwaangamiza vile wanaomba maelewano na amani, wajerumani walikubali lakini kwa masharti magumu kuwa misafara ya wafanya biashara ipite kwenye milki yake bila kutzwa HONGO na asishambulie tena vijiji vya jirani zake kwa maana ya kuopanua tena himaya yake.

Mkwawa hakuwa tayari kuahidi yote na hivyo akachelewesha mkutano wa makubaliano hayo, wakati huo kamanda mpya mjerumani TOM VON PRINCE alijenga boma jipya la wajerumani uhehe na MKWAWA alijibu mashambulizi kwa kushambulia vikosi vidogo vya kijeshi vya kikoloni. Gavana SODEN alidai kutoendelea na mapigano lakini mwaka 1893 aliondoka Afrika na gavana von schele alitaka kulipiza kisasi akaa muru mashambulizi dhidi ya mkwawa.

AMANI YA MUDA Mwezi oktoba 1894 Von Schele aliongoza kikosi cha maafisa wajerumani 33 na askari waafrika pamoja na wa pagazi zaidi ya 1000 kuelekea KALENGA. Walipofika mbele ya Kalenga Wahehe walijisikia salama kutokana na kuta imara zilizokuwepo, lakini kutokana na mizinga waliyokuwanayo wajerumani, kuta hizo zilivunjwa kwa mizinga na wakauawa wahehe wengi wakiwemo askari.

Mnamo alfjiri ya tarehe 30 oktoba askari wa jeshi la schtzt ruppe walipanda ukuta katika sehemu iliyodhoofishwa tayari kwa kuingia bomani, mpaka kufika jioni ya siku hiyo mji wote ulikuwa mikononi mwa wajerumani. Mkwawa alikimbia na kujificha mstuni pamoja na askari wa ke. Gavana Von schelle alishindwa kuendelea na mashambulizi kwasababu gharama za uendeshaji wa vita zile zilikuwa kubwa ukilinganisha na makisio aliyoyapeleka Berlin mbali na hilo pia wabunge wa upinzani mjini Berlin walipinga vita za kikoloni na pia wakakataa kuongeza fedha kwa ajili ya vita hizo.

Baada ya kuondoka wajerumani MKWAWA aliweza kurudi na kujenga tena boma katika kijiji cha KALENGA Mnamo sept 1895 Mkwawa alikuwa tayari kujadiliana tena na wajerumani na tarehe 12 oktoba walipata amani na wajerumani walimkubali Mkwawa kama chifu wa wahehe. Wahehe waliahidi kurudisha silaha zote walizoziteka kutoka mikononi mwa wajerumani na kupandisha bendera ya wajerumani kwenye himaya yake vilevile ku waruhusu wafanyabiashara.

Mkwawa alimwagiza mjomba wake kutia saini lakini alikataa kwa madai kuwa hiyo ni sawa na kujiua mwenyewe.

KUANGUKA KWA DOLA YA KIHEHE NA KIFO CHA MKWAWA
Baada ya miezi kadhaa WABENA waliendesha shambulio kali dhidi ya WAHEHE jambo ambalo lilipelekea Wahehe kuomba msaada kwa wajerumani.

Lakini urafiki huu ulidumu kwa muda mfupi sana ambapo afisa mmoja mjerumani alifika KALENGA kwa ajili ya kuonana na chifu Mkwawa lakini alizuiliwa kwa madai ya kulipa HONGO ya bunduki 5 , kwa tukio hilo maafisa wa jeshi la wajerumani waliokuwa wakilinda mpaka ambao bado walikuwa wakitafuta njia ya kulipiza kisasi cha LUGALO wakadai kuwa chifu amevunja makubaliano.

Kapteni wa kijerumani Tom Von Prince alijenga boma jipya karibu na karenga. Baada ya kuona wajeruma ni wamemgeukia Mkwawa alijaribu kujenga mapatano na majirani zake wakiwemo wabena bila mafanikio, WABENA walikataa katakata hasa walipokumbuka jinsi walivyoshambuliwa na wahehe kipindi cha nyuma. Baadhi ya viongozi wa mkwawa walianza kumsaliti akiwemo mdogo wake aliyeitwa MPANGILE aliyeshikamana na wajeru mani.

Mnamo septemba wahehe waligawanyika na sehemu kubwa ya viongozi waliokuwa wamechoka vita iliku wa tayari kuwakubali wajerumani, wajerumani walimsimika MPANGILE kama chifu mpya wa wahehe lakini baada a ya siku 50 alisimamishwa na kuuawa na wajerumani kwa madi kuwa alikuwa akimsaidia kaka yake kwa siri Kwa kipindi hicho cha mwaka 1896 Mkwawa alikuwa ameondoka IRINGA baada ya kuona mgawanyiko alifuata mkondo wa mto ruaha akilindwa na wenyeji waliokuwa tayari kumficha na kumlinda dhidi ya wajerum ani waliokuwa wakimtafuta.

Mnamo Disemba 1896 alihamia milima ya Udzungwa, kutoka huko aliteremka mara kwa mara kwenye mabonde alikopata chakula na kushambulia vikosi vidogo vya askari wa kijerumani. Julai 1897 kikosi kikubwa cha wasangu pamoja na wahehe wakiongozwa na wajerumani walivamia eneo alilokuwa amejificha chifu mkwawa mlimani, lakini mkwawa alikimbia na wakamkosa kwa kipindi hicho.

Julai ya 1898 watu waliokuwa wakimlinda walibaki wachache mno, askari walikuwa 4 pekee, baadaye wakabaki wawili tu ambao majina yake yalipata kufahamika sana MUSIGOMBO na LIFUMIKA, Kwa hofu ya kuuawa na mkwawa LIFUMIKA aliamua kukimbia asubuhi ya tarehe 19, julai lakini hakufika mbali akakutana na wajerumani waliomlazimisha awaambie mkwawa aliko alikataa na baada ya kuadhibiwa sana akawaambia kuwa chifu alikuwa mgonjwa mahali palipo na umbali wa masaa 3.

Walimlazimisha kuwaongoza njiani walisikia muungurumo wa sauti ya risasi 1 wakaendelea na baada ya masaa mawili walikuta maiti za Mkwawa na kijana mmoja.

Petit Man Hajahusika Kufuta Video Yangu Youtube- Billnas

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayetamba kwa miondoko yake ya kurap Billnas ameibuka na kumkingia kifua Petit Man Wakauache na kusema hajahusika katika kufuta video yake Youtube.

Kwa muda mrefu Petit Man alikuwa anasimamia kazi za Billnas mpaka pale alipohiondoa Kwenye Label hiyo mwaka jana mwishoni hivyo kuacha kumsimamia Billnas.

Siku ya juzi Billnas alilalamika kufutwa kwa video yake mpya ya wimbo wake ‘LAbda’ na watu wasio julikana na mara moja tetesi zilianza kutembea na Petit alinyoshewa vidole na kudaiwa kuhusika.

Lakini Kwenye Interview na kituo kimoja cha habari Billnas amemkingia kifua Petit Man na kudai sio yeye Lakini pia amesema sio mara ya kwanza anafanyiwa mchezo huo mchafu:

Sio mara ya kwanza watu kutoa video Yangu Youtube na sielewi kwanini wananifanyia hvyo maana mimi aio mtu wa kupiga views milioni 10, sijajua ni nani anafanya hivyo lakini sio Petit Man kama watu wanavyodai.

Naamini mtu anayenifanyia hivyo anataka kunikwamisha maana hakuna kingine anachofaidi akishanifanyia mimi hivyo”.

Esma Aelezea Anavyojiskia Mama yake Akitukanwa Mitandaoni

$
0
0

Mwanadada Esma Platinumz, dada wa msanii mkubwa wa bongo fleva Diamond Platinumz,ameongea na waandishi wa habari wa wasafi tv na kufunguka ya moyoni kuhusu  jinsi anavyojisikia anapoona matusi katika mitandao ya kijamii kuhusu matusi yanayomuendea mama yake mzazi.

Esma anasema kuwa mara nyingi amekuwa akikaa kimya lakini kuna muda inamuumiza sana moaka kuamua kuwajibu wanaomtukana kwa sababu hata yeye anajisikia vibaya.

Esma anasema kuwa pamoja na  yote lakini wanaona saa zingine hakuna cha kufanya kutokana na kuwa tayari wameshaingia katika mitandao ya kijamii na kujulikana hivyo wanavumilia hivyo hivyo  na hakuna jinsi ya kufanya kwa yanayotokea.

Najiskia vibaya sana na unajua mimi huwa sipendagi sana kuingilia katika maswala kama hayo,ila kuna wakati ukisoma unajikuta unashindwa kuvumilia hasira zako kwaio unajikuta unasoma na wewe unajibu pale pale.ila ni kitu ambacho kinauma sana lakini hakikwepeki kwa sababu tayari tulishaingia katika ulimwengu wa kujulikana, watu wanakujua na kukufatilia.

“Wasanii Wa Kike Tunaombwa Sana Rushwa Ya Ngono”- Linah

$
0
0

“Wasanii Wa Kike Tunaombwa Sana Rushwa Ya Ngono”- Linah
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Linah Sanga amefunguka na kuweka wazi kuwa janga kubwa kwa wasanii wa kike ni kuombwa sana rushwa ya ngono kila kona.

Linah alifunguka hayo baada ya kuulizwa ni sababu gani wasanii wengi wa kike wanashindwa kukaa sana Kwenye gemu na hata wengine kukata tamaa mapema sana.

Kwenye mahojiano na Wasafi Tv, Linah ameweka wazi kuwa rushwa ya ngono ni changamoto kubwa kwa mafanikio ya wasanii wa kike kwa sababu wanaume wanatumia nafasi hiyo kuwalaghai.

Mimi nafikiri rushwa ya ngono inatembea sana utaenda kwa Dj anataka ngono, utaenda kwa presenter anataka ngono mara utaenda kwa mdau na yeye anataka kwaiyo hiyo inaweza kukurudisha nyuma sometimes.

Wasanii wengi wa kike wanakata tamaa kwa sababu anaona listi ya watu wanaotaka ngono ni ndefu sasa unajikuta unawaza utatumika mara ngapi mpaka ufanikiwe?.

Na kama Kwenye Industry kama kati ya watoto wa kike watatu mmoja anafanya hayo mambo wengine hawawezi kupata nafasi”.

Kwa miaka mingi wasanii wa kike wamekuwa wakilalamika kuwepo kwa vikwazo kwa wao kuweza kufika mbali na kikwazo kikubwa ni rushwa ya ngono.

Ndoa Nyingi za Kizazi Hiki Zinavunjika Kwa Sababu za Kijinga, Nguvu ya Mwanamke Katika Ndoa

$
0
0

POWER OF A WOMAN IN MAKING THE MARRIAGE WORK!

1st Lesson SOMETIMES A WOMAN WINS BY LOOSING! Unaweza mwanamke ukajiona umepoteza kitu ila in reality umeshinda! Na unaweza kuona umeshinda ila in reality umepoteza. Usiendekeze hisia za moyo zinavokuongoza na wapambe! Tumia akili na busara zaidi! Mfano unapewa data mumeo yuko guest kafumanie, kuliko kwenda na kumuita shigongo kuvunja utu wako na wa mumeo na kutia doa maisha yenu shukuru tu taarifaa, mpe mumeo benefit of the doubt sali kwa Mungu wako. Kuchapiwa ni siri ya ndani indeed! Usimchunguze mumeo kama CIA au KGB sababu ukitafuta sanaa kitu utakipataaa! Manake wanawake kuna tabia unamfatilia una withold eveidence hiku unaikusanya hadi uhakikishe siku ukimsomea mashtaka hana pakutokea ushahidi unatosha kuconvict. Hahahaaaaaa!

2nd Lesson! BY NATURE MARRIAGE IS SELF DESTRUCTORY, LOOK FOR SOLN TO MAKE IT WORK! Yaani nature yenyewe mambo ya kumkinai mwenzio, kutamani vipya, ni natural tu, hayahitaki hata sababu, sasa baada ya kuwa mtu wa lawama, kulaani kwanini mambo kama hayo yawatokee, kumuona mwenzio hana shukrani, spend more time kudeal na situation kuliko mwenzio. Kama uzazi umekubongesha work out, acha kula hivo. Kuliko kudemand the impossible kuwa sababu umemzalia akupende hivo hivo kwenye jimwili jipya sio rahisi. Shirikiana kutafuta soln.

3rd Lesson USISAHAU HATA SIKU MOJA AT A POINT LIFE YOU WERE HIS NUMBER ONE NDO MAANA AKAKUOA! Hata kama anakunyanyasa saivi, heshima haipo, anachepuka, labda wewe upo number 100 saivi not even once dont let you forget once upon a time you were his number 1, he married you, yes you na mapungufu yote yako, not Lily the cutest, mima the big as.s, Rose the beauty queen etc, wote aliwaona yet still akakuona wewe ugly betty or whatever! Tatizo ni kujisahau, wakati anakuoa you might have been ugly still lakini una heshima, upo humble, etc sasa umo ndani ndo unajifanya king kong atakwambia nini si ushindani hamna! Ukiona mambo magumu rudi back in the days ujiulize ulimloga vipi wakati ule umloge tena!

4th Lesson UTAMALIZA MABUCHA NYAMA NI ILE ILE! Unakuta mtu unamuacha mumeo kisa muhuni ana michepuko? Mwanaume gani asie na michepuko? Hahahaaa! Utamuacha wa kwanza utatafuta 2, wembe ule ule, utahangaika mpaka basi! Kabla hujamuacha mumeo kisa michepuko jiulize nani hachepuki utaempata? Au mimeo hela hana! Hata unaemkuta nazo zaweza kusiha vile vile. Tulia vumilia unyolewe. Wenzio wote wametulia wewe unajilegeza! Ifike mahala fumba macho uombe Mungu siku ziende maana hata ukisema uende kwingine mwendo ule ule! Unamuacha mumeo unaanza kuiba wa wenzio! Akili matope hayo?

5th Lesson KABLA HUJAPANIC KWA JAMBO MOJA KUMBUKA MEMA YAKE ELFU MOJA NDO UAMUE KUHUSU HIKO KIMOJA! Mtu kakuoa miaka 5, anakupa yote utakayo, anakiabudu malkia wake, hakuna unachokosa, shabash kateleza kidogo shetani kampitia sisi wote binadamu kakusoea kachepuka one time! Basi wewe. Unasahau mema yoooooote ya 5 years huko kumshika ndo unafunga mabegi na kutokomea! Khaaaaa! Au mmeishi vizuri miak 7, mwaka huu ndo kabadilika, japo uvumilie na kuomba atambue makosa na kujirudi miaka yote 7 watia kwenye dustbin, unashupalia matendo yake mwaka huu na kudai talaka! Sasa na mwanaume mda mwengine nae anakereka anaona kama wema wake wa miaka 7 sio issue basi nendaa tu! Power of love sio kufaidi goodtimes ni kuhimili mikimikiki! Wapambe nuksi kina lara 1 tunakutia ndimu ondoka bwanaa, kwanini afanye hivo, ndo unakole kweli kweli. Usiruhusu tendo moja la kijinga likupotezee 7 yrs of your life n hard work! Kwani ukisamehe hilo fumanizi utababuka? Vitakuuma vitapoa mnaanza upya! Hatoki mtu inaitwa! Atafanya visa wee akikuona mkomavu atachoka mwenyewe!

6th lesson! JIFUNZE KULET THINGS GO! Sio basi ukimfumania mara moja kila akikosea kidogo unamshikia kooni ile ugoni wa mwaka juzi. Kitu kidogo unaretrieve file! Au ulimsaidia mwaka juzi alipokwama, akikunyima hela kidogo unakumbushia, mwaka juzi fyoko fyoko! Daaah! Sio issue. Inatakiwa uwe mkomavu ukisema umesamehe kitu basi ndo unakizika kooni forever! Haukitaji tena! Unamuepusha shaitwani kukaa kati kati yenu kila wakati! Unavomsamehe mara nyingi inaondoa hata ile ladha ya kukusoea tena! Sababu anajua utamsamehe na wala hutomuuliza tenaaa! Mwenyewe anajistukia. Ananza kuona kweli huyu si binadamu wa kawaida, labda namtendea ndivo sivo.

7th lesson! MUME NAE BINADAMU LOLOTE LINAWEZEKANA! Usiwe na expectations kubwa sanaaaaaa! Ukamuona yule malaika labda hawezi kukosa. Aaaaah! Wapi! Jua tu yule binadamu kupitiwa inawezekana pia, na hata akipitiwa unajua umejipanga kusort hizo issue out kuendeleza libeneke! Ila kama ndo ulikuwa unamuona mungu mtu, siku akiteleza waweza kuga kwa pressure! Wakati cha ajabu hamnaa mbona! Kwani ye wa kwanza kufanya hivo? Au wa mwisho? Hamnaaaaa!

By Lara 1

Wanawake Wanataka Ndoa Lakini Hawapati, Ni Kweli Hamna Waoaji?

$
0
0
Kuna kitu kinanichanganya ni kweli hamna waoaji siku hizi au wanawake wanachagua sana?

Sasa hivi hili limekuwa kama janga la Taifa.
Single ladies wengi sana unakuta mwanamke mpaka miaka 33 hana hata mchumba wa kusingizia.

Na ni wengi mitaani tunawaona na wengi wao wakiona umri unazidi basi wanaamua kuzaa na kuwa single mums.

Nyie mnaonaje ni tabia hazikidhi mwanamke kuolewa?

Au ni gharama za harusi?

Wanaume please please muoe watoto wasio na baba wanazidi kuongezeka.

Na hamuwatendei haki wanawake.

Tunakoelekea..Badala ya Kuitwa Vibamia Tutaitwa vi Njiti vya Kiberiti

$
0
0
Jaman me wenzangu ili kuondoa hizo dharau za kuitana majina ya ajabu ajabu kutokana na maumbile madogo ya naniliu, mnaonaje tukirudisha ule utaratibu uliotamba sana enzi zile, japo sina uhakika sana lakin nahisi unaweza kuwa unasaidia...........KUCHANJIA DODOKI.

Kwa waliofanikiwa kwa hilo hebu watujuze kama huwa inaleta matokeo mazuri.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upugufu wa Nguvu za Kiume, Busha, Kisukari na Vidonda vya Tumbo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO? BUSHA BILA KUPASUA KISUKALI NA VIDONDA VYA TUMBO? asilimia kubwa ya wanaume wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo NI NINI KINACHOSABABISHA UUME KUZIDI KUWA MDOGO NA WEMBAMBA 1 kuugua chango LA uzazi 2 unene kupita kiasi 3 kuvaa nguo au chupi za kubana 4 kupiga punyeto kwa mda mrfu ,NI NINI TIBA YAKE MAKAKANUA MIX nidawa ya mitishamba iliyochanganywa NA mizizi kumi NA mbili urfusha NA kunenepesha UUME saizi upendayo ich 5,6,7, NA 8 kwa urfu NA sentimita 3,4, na 5 ipo dawa ya kunywa na kupaka NI NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupungukiwa kwa homoni ya testerone 2 kuhudhurika kwa Neva au uti wa mgongo 3 utumiaji holela wa madawa ya kizungu 4 usongo wa mawazo na asira 5 utumiaji wa vyakula vya mafuta mengi NI NINI TIBA YAKE MAPRO POWER NO 2 NDIO tiba tosha kwa sasa kwani utibu matatizo matatu kwa pamoja 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 adi 20 ,2 itakufanya urudie tendo zaidi Mara tatu 3 uhimalisha uume uliolegea na kusinyaa OKOA NDOA YAKO SASA ujihepusha na lawama ndani ya ndoa yako au pale ukutanapo na mpezi dawa hii itamfanya mpenzi wako hakueshimu na hasitoke nnje ya ndoa na ata wazee wenye umri mkubwa wanapona zipo dawa za kupunguza kitambi,minyama uzembe, presha ,kisukar mvuto wa mpezi au biashara FIKA OFISINI KWETU MBAGALA ZAKHEMU na wateja wa kanda ya ziwa yupo wakala wetu mwanza mjini au piga simu 0752348593

DR MABULA na utaletewa popote ulipo uduma hizi

Daimond Kuwalipia Mashabiki Wake 30 Kusheherekea Birthiday ya Mwanaye Tiffa

$
0
0
Daimond Kuwalipia Mashabiki Wake 30 Kusheherekea Birthiday ya Mwanaye Tiffa
Kama wewe ni shabiki wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz au pengine unawakubali wasanii wengine wa kutoka WCB  basi habari hii ikufikie.

Habari njema ni kwamba mwezi ujao mwezi Agosti 06, 2018 ndio mwezi ambao mtoto wa kwanza wa Diamond Platnumz, Tiffah anasherehekea siku yake ya kuzaliwa na Diamond ameahidi kusherehekea kitofauti kidogo ambapo amesema kuwa atawaalika mashabiki wake 30 kwenye Party hiyo itakayofanyika Afrika Kusini.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond amesema kuwa mashabiki hao atawalipia gharama zote za nauli kwenda na kurudi na huduma za malazi.

“Watu 30 Wenye Bahati ntawalipia Ndege na Malazi kwenda Kusheherekea na @princess_tiffah Uzaliwa wake South Africa….. wanyumbani kama kawa LIVE on @wasafitv“ameandika Diamond.

Party hiyo pia itarushwa live kupitia kituo chake cha runinga cha Wasafi TV na itaambatana na Birthday Party ya Romy Jons.

Hata hivyo, haijaelezwa ni njia zipi atatumia kuwapata mashabiki hao 30 lakini mashabiki wake endeleeni kumfuatilia kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii kwani huko ndiko atakakotangaza vigezo na masharti.

Ukaribu wa Rais wa Croatia na Ufaransa Wazua Gumzo duniani

$
0
0
Ukaribu wa Rais wa Croatia na Ufaransa wazua gumzo duniani
Michuano ya kombe la dunia imemalizika wikiendi iliyopita nchini Urusi baada ya kushuhudia timu ya taifa ya Ufaransa ikiibuka na ushindi wa jumla ya mabao 4 – 2 dhidi ya Croatia.



Licha ya ukubwa wa mechi hiyo lakini kinachoendelea kuzungumzwa ni namna rais wa Croatia, Kolinda Grabar Kitarovic alivyokuwa karibu mno na rais Ufaransa, Emmanuel Macron huku wakionekana kama wapenzi hali iliyokuwa kivutio kikubwa machoni mwa wafuatiliaji wa fainali hiyo.



Rais huyo wa Croatia, Kolinda Grabar Kitarovic ameitawala myoyo ya watu wengi kufuatia tukio hilo kwenye mchezo wa fainali jijini Moscow hali inayopelekea watu wengi kwenyemitandao kutamani kuona wawili hao wakiwa kwenye mahusiano.




Waziri Jafo ataka Walimu Jangwani Kuhamishwa

$
0
0
Waziri Jafo ataka Walimu Jangwani kuhamishwa
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo ameagiza kufanywe mabadiliko ya uongozi pamoja na walimu waliokaa muda mrefu wa shule ya Sekondari Jangwani iliyopo Dar es Salaam, baada ya kufanya vibaya katika matokeo ya Kidato cha Sita yaliotangazwa hivi karibuni.

Jafo ametoa maagizo hayo alipofanya ziara katika shule hiyo, na kusema wazi kuwa hajafurahishwa na usimamizi uliopo katika shule hiyo.

Alisema shule hiyo imekuwa ya 453, na imeleta picha mbaya kwa jamii kwa kuwa ni shule yenye sifa maalumu, upako maalumu na tunu kwa nchi.

“Hii ni fedheha ambayo haijawahi kutokea. Shule iliyokuwa na sifa kitaifa leo imekuwa dhaifu. Ninyi mna unyafuzi wa kitaaluma shuleni kwenu. Hali yenu ni mbaya sana. Ni miongoni mwa shule chache zenye walimu 87 ambao ni wengi. Kibaha ina walimu 52 tu lakini inakuwa ya kwanza. Kuna kitu ambacho si sawa.

“Tangu juzi nilisema nitakuja. Nimekuja kuwaambia kuwa hamjanifurahisha hata kidogo kwa Shule ya Jangwani kuwa na matokeo mabovu kama haya. Inawezekana mkawa na sababu nyingi sana za kujieleza lakini hazina ushahidi wa moja kwa moja,” alisema.

Jafo alisema wanafunzi wamewataja kwa majina walimu ambao hawafundishi shuleni hapo, na kwamba upo uwezekano mkubwa wanakwenda shule za binafsi kufundisha, wengine wanawapa watoto hao kujiandikia notisi, na mada za masomo hawazimalizi.

Alimweleza Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema kuwa shule hiyo imemtia aibu, hivyo anataka watu wawajibike katika maeneo yao.

“Sijafurahishwa na usimamizi wa shule hii. Mpaka kesho (leo) nataka mfanye mabadiliko ya uongozi Sekondari ya Jangwani. Pia fanyeni mabadiliko ya walimu. Wale wote waliokaa muda mrefu muwabadilishe na hapa mlete walimu wengine.

“Haiwezekani mwalimu moja anakaa muda mrefu. Badilisheni walimu wa Jangwani. Leteni wengine waje walete mabadiliko Jangwani. Mpaka Jumatatu nataka nilete mabadiliko hayo ofisini kwangu,” alisema.

Alisema anaamini walimu waliokaa zaidi ya miaka mitano watabadilishwa, kwani wasipobadilishwa hata wakiletwa wapya hawatafanya vizuri kwa sababu kuna wahenga wanaoijua Jangwani. “Ukijiridhisha mwalimu anafanya vizuri nani tegemeo kubwa mmbakishe Jangwani asiondolewe. Wengine wote waondolewe haraka. Rais nenda kafanye mabadiliko ya haki,” alisema.

Waziri huyo alisema anataka shule hiyo mwakani isomwe katika takwimu nyingine nzuri, kwani anataka vijana warudishe thamani yao kwani hivi sasa imeshuka.

Waziri Jafo aliwataka walimu waliobaki kufanya kazi kwa bidii, na wale wote wanaofanya kazi katika shule binafsi wabainishwe, kwa kuwa wanataka kuona mabadiliko katika shule hiyo.

Pia aliwaeleza wanafunzi wako pale kwa ajili ya kusoma si kwa sketi za rangi ya chungwa, hivyo wasome na kuacha kutumia simu za WhatsApp kwa ajili ya kuangalia picha mbaya, ama kuangalia ni namna gani watakuwa warembo.

Aliongeza kuwa wanafunzi wengi shuleni hapo wanajihusisha na masuala ya uasherati, hivyo kama matendo yao yapo hivyo elimu haiwezi kuwa rafiki yao.

“Suala la uasherati hata wakubwa linawashurutisha je ninyi mtaweza vipi kulibeba? Tabia ya kujihusisha na mambo yasiyowahusu ishindwe na kulegea. Kwani watoto wa Jangwani mmekuwa mabingwa wa kujadili mambo mengine na si masomo,” alisema.

Alisema kuna changamoto ameambiwa zikiwemo za mabweni shuleni hapo, watazifanyia kazi kuhakikisha vijana hao wanapata utulivu mzuri.

Aliwataka wanafunzi waliobaki kuhakikisha wanajitathmini ili kuondoa aibu hiyo kwa taifa. Jafo alisema, kuna mlizi mmoja mtu mzima anawarubuni wanafunzi hao, hivyo mpaka ikifika leo awe ameshaondolewa.

Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Palela Msongela alisema, shule hiyo imeshika nafasi ya 451 kati ya 453 kitaifa.

Alisema shule hiyo ilianza kuonesha matokeo ya ufaulu duni kutokana na matokeo yasiyoridhisha kwenye mtihani wa Moko Mkoa uliofanyika Februari, mwaka huu, ambapo ilikuwa katika kundi la shle 10 za mwisho kimkoa.

Alisema baada ya matokeo hayo Idara ya Elimu Sekondari ilifanya ufuatiliaji wa kitaaluma mara tu baada ya matokeo ya Kidato cha Sita 2018, kwa kuongea na Mkuu wa Shule, walimu wa Kidato cha Sita, walimu wote na wanafunzi wa Kidato cha Sita 2018 na kutoa ushauri.

Alikiri kuwa uongozi wa shule haukufanyia kazi ushauri uliotolewa na maofisa katika ufuatiliaji uliofanyika Februari mwaka huu, ikiwa ni pamoja na kudhibiti utoro.

Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Geradine Mwanisenga alisema karibu asilimia kubwa ya watoto wenye udhaifu wanapelekwa shuleni hapo, na wa mikoani kwa kuwa wapo karibu na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).

Alisema hao wa mikoani wanapofika wanapelekwa kwenye hosteli zisizo na maadili bila wazazi wao kuomba ushauri.

“Kati ya watoto 20 waliofeli wanane wapo hosteli za nje. Sita wadhaifu,” alisema.

Aliongeza kuwa, changamoto ipo kwa Kidato cha Tano na Sita, kwani taaluma ya A level sio nzuri, na kushauri waangalie utendaji kwa shule nzima kwani O level imekuwa na matokeo mazuri.

Mtoto Alicia Keys wa Kenya Aachia Wimbo Wake

$
0
0
Mtoto Alicea Keys wa Kenya Aachia Wimbo Wake
Mwezi uliopita kwenye tasnia ya burudani nchini Kenya kuliibuka mtoto ambaye video zake zilisambaa mitandaoni zikimuonesha akiimba wimbo wa ‘Girl On Fire’ wa Alicia Keys kwa kiwango cha hali ya juu. Sasa mtoto huyo tayari ameachia video yake ya wimbo wake wa kwanza.

Mtoto huyo ajulikanaye kwa jina la Gracious Amani ameachia wimbo huo unaoitwa ‘Sitasahau’ ambapo ameelezea safari yake fupi ya muziki huku akiwashukuru watu wote walimsaidia hadi kutoka hapa alipo kwa sasa.


Video ya wimbo huo imeongozwa na Director Young Wallace na mdundo wa ngoma hii umetengenezwa na Teddy B. Tazama video mpya

Simba Yaongoza kwa Mapato Mlangoni

$
0
0
Simba Yaongoza kwa Mapato Mlangoni
Mabingwa wa soka Tanzania, Simba ndiyo timu iliyoingiza fedha nyingi zaidi katika viingilio vya mlangoni wakati wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2017-18.

Katika mechi 30 ilizocheza, Simba imefanikiwa kuingiza kitita cha Sh milioni 380.8 ikifuatiwa na Yanga yenye milioni 257.2.

Hata hivyo, pamoja na fedha hizo ambazo wanaonekana kuingiza watani hao kwa msimu mzima, inaonyesha mapato ya mlangoni yameporomoka kwa kiasi kikubwa sana.

Kama utagawanya kwa mzunguko mmoja wa mechi 15, maana yake Simba iliingiza Sh milioni 190 tu ambacho ni kiwango cha chini zaidi.




MAPATO YA MLANGONI LIGI KUU BARA 2017-18
1. Simba      380,867,592
2. Yanga      257,113,365

Kagera Sugar Nayo Kuingia Kambini Jumatatu

$
0
0
KAGERA Sugar inaingia kambini Julai 23 mwaka huu, tayari kujiandaa na msimu ujao wa ligi Tanzania Bara.

Timu hiyo ambayo inamilikiwa na kiwanda cha Sukari cha Kagera Sugar cha mkoani Kagera pia itaingia kambini kufanya mazoezi ili kujiandaa na michuano ya kombe la FA.

Akizungumza na Championi kwa njia ya simu akiwa mkoani Kagera, Kocha mkuu wa Kagera, Mecky Maxime amesema kuwa, timu yake itangia kambini Julai 23 na watahakikisha msimu ujao wanafanya vizuri.

Tido Muhando Atolea Ufafanuzi Juu Ya Kilichoelezwa Kuwa Hawatarusha Mechi Za Ligi Msimu Ujao

$
0
0
Tido Muhando Atolea Ufafanuzi Juu Ya Kilichoelezwa Kuwa Hawatarusha Mechi Za Ligi Msimu Ujao
Uongozi wa Azam Media kupitia Mkurugenzi wake, Tido Mhando, umeibuka na kukanusha taarifa zilizoelezwa kuwa hawatoonesha mechi za Ligi Kuu Bara msimu ujao.

Mhando amefunguka na kueleza kuwa taarifa zilizosambaa katika mitandao mbalimbali zikieleza kuwa Azam haitorusha mbashara mechi za ligi msimu wa 2018/19 si za kweli.

Mkurugenzi huyo ameeleza kuwa Azam bado wana misimu mitatu hivyo mkataba wao utakapomalizika watakuwa tayari kufanya mazungumzo mengine ya kuongeza lakini si kweli kuhusiana na yaliyoripotiwa jana.

Ikumbukwe Azam Media waliingia mkataba na TFF kupitia klabu zote za ligi na kusaini mkataba wa kurusha mechi za ligi mpaka msimu wa 2020/21 ambapo mkataba huo utakuwa unamalizika.

"Si kweli kwamba tutasitisha kuonesha, hizo habari hazina ukweli wowote, tutaendelea kama kawaida na mkataba wetu unaoenesha bado tuna misimu mitatu ya kuendelea kuonesha mechi hizo" alisema.

BREAKING: Muna Love afunguka yote kwa mara ya kwanza baada ya msiba, Amtaja Baba wa Mtoto

$
0
0
BREAKING: Muna Love afunguka yote kwa mara ya kwanza baada ya msiba, Amtaja Baba wa Mtoto, Kumbe Kuna Makubwa ndani yake

Tazama Hapa:

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER

Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin e pamoja na madini aina ya zinc

Itakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30 ZAT 50

Inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende

Tunapatikana Dar es Salaam  na mikoan wasiliana na DR Oshinda no 0755505099 au 0714126118  Karibuni kwa hunduma bora

Wenger ajutia kukaa Arsenal kwa miaka 22 ‘Nilifanya makosa makubwa sana’

$
0
0

Aliyekuwa meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amesema kuwa makosa makubwa anayojutia kwenye taaluma yake ya ufundishaji soka ni kukaa kwa miaka 22 ndani ya timu hiyo.

 Wenger ameyasema hayo wakati alipokuwa akifanya mahojiano na chombo cha habari cha RTL hali iliyoshangaza watu wengi waliyokuwepo mahala hapo.

Wenger stepped down as Arsenal manager earlier this summer after 22 years at the helm

Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 68 ameeleza kuwa hajatambua bado atakwenda kufundisha klabu gani huku akisisitiza kamwe hatotumia muda mrefu kwenye kazi atakayofanya.

Alipoulizwa na Christine Kelly anadhani ni kosa gani kubwa alishawahi kufanya ndipo akajibu kuwa ni kukaa kwenye klabu moja kwa muda wa miaka 22.

”Kukaa ndani ya Gunners kwa muda wa miaka 22 ni kosa kubwa sana kwangu. Mimi ni mtu ambaye napenda kutoka sehemu moja kwenda nyingine lakini pia kukutana na changamoto,” amesema Wenger.

Arsene Wenger ameongeza ”Nilikuwa mfungwa wa changamoto zangu mwenyewe kwa wakati huo. Niliamua kuachana na Arsenal baada ya kujua kuwa kuna watu wengi wanao nizunguka wanaumia myoyo yao pamoja na familia yangu.”

Wenger ameipatia Arsenal mataji matatu ya ligi kuu ya Uingereza, saba ya FA Cup na kujenga historia iliyotukuka msimu wa mwaka 2003-04 kumaliza ligi bila kufungwa.

Mambo Matano ya Kawaida Yanayoweza Kuhatarisha Afya Yako Bila Kujigundua..!!!

$
0
0
KUNA baadhi ya mambo ambayo mara nyingi ukiyafanya huwa ni lazima ufupishe maisha yako kwa namna moja au nyingine. Hii yote huwa inatokana na aina ya maisha uliyoyachagua, ambayo huwa ni hatari kwa afya na maisha kwa ujumla. Watu wengi wana tatizo la kuishi maisha ya kujisahau na kufanya vitu ambavyo ni hatari. Haya ni baadhi ya mambo ambayo ukipendelea kuyafanya basi maisha yako yanakuwa hatarini.

Kula bila mpangilio

Watu wengi huwa wanaishi maisha ya kutojali afya zao. Yapo mambo ambayo ukiyafanya afya yako inakuwa hatarini moja kwa moja hata kama hujasomea udaktari ni rahisi kwako kuyafahamu.

Mfano kama unapenda kula vyakula bila mpangilio na vibovu ambavyo havifai, ni lazima afya yako itakuwa hatarini. Lakini si hivyo tu, kama wewe ni mvutaji mzuri wa sigara au unakunywa pombe kupita kiasi bila utaratibu, ni rahisi mno kwako kuweza kuharibia afya yako na hivyo kuyafanya maisha yako kuwa hatarini.

Maisha ya upweke

Hakuna kitu hatari katika maisha yako kama kuamua kuishi wewe kama wewe. Hili ni jambo la hatari mno kwako na kwa namna yoyote ile linaweza kuhatarisha afya yako. Kwa kawaida binadamu ameumbwa ili kuweza kuwa na uhusiano na wengine. Sasa wapo watu ambao hawana uhusiano mzuri na wengine kwa sehemu kubwa.

Watu hawa kutokana na kutokujihusisha kwao na watu wengine hujikuta wakiwa na  maisha magumu. Muda mwingi mawazo yao huwa ni hasi kutokana na kujitenga na hivyo hujikuta ni watu wa kuwa na msongo wa mawazo, hivyo huwa ni rahisi kwao kupoteza maisha.

Kukaa chini muda mrefu

Hili ni jambo dogo tu, na unaweza ukalichukulia kwa urahisi, lakini wataalamu wa afya wanaonya jambo hili kwa kuwa linaweza kuathiri afya. Inashauriwa kuwa si vizuri kukaa chini kwa muda mrefu bila ya kusimama. Hiyo inaweza kukusababishia magonjwa kadhaa ikiwamo uti wa mgongo.

Ili kuweza kulinda afya yako na kuwa bora zaidi unapaswa kuepuka kukaa chini kwa muda mrefu. Kama una kazi ambayo inakulazimu ukae chini muda mrefu basi jitahidini angalau uwe unasimama kila baada ya dakika 45 ili kufanya mzunguko wa damu uendelee vizuri.

Kuangalia runinga kwa muda mrefu

Wataalamu wa afya wanabainisha kuwa kuangalia TV kwa muda mrefu tena ukiwa karibu nayo unaweza kuua baadhi ya seli ndani ya mwili. Kwa upande wa wanaume tafiti zinaonyesha kuwa kuangalia TV kwa muda mrefu hupunguza uwezekano wa kuzalisha mbegu za kiume kwa asilimia kubwa. 

Kikubwa cha kuzingatia hapa ni kutambua kuwa kuangalia runinga kwa muda mrefu kwa namna moja au nyingine kuna madhara ambayo unaweza usiyaone kwa urahisi.

Kutopata usingizi wa kutosha

Kukosa usingizi ni tatizo ambalo linaiweka afya yako hatarini moja kwa moja. Kwa kawaida binadamu anatakiwa alale saa 8 kwa siku. Unapokosa kulala saa hizo unaweza kupoteza kumbukumbu taratibu.

Lakini si hivyo tu, pia hukusababishia kupata tatizo la akili. Kwa hiyo, usingizi ni jambo muhimu mno kwa afya yako.

Yanga Wanahaha Baada ya Hati Hati za Yondani Kuhamia Simba

$
0
0

Baada ya viongozi wa Yanga kupata taarifa beki wao Kelvin Yondani huenda akajiunga na Simba muda wowote wameuita pamoja na Hassan Kessy ofisini kwa Abbas Tarimba kwa ajili ya majadiliano ya kumalizana nao.
:
Inaelezwa Yondani ameshakubaliana kilakitu na Simba kikichobaki ni kuingiziwa mzigo kwenye account yake asaini mkataba lakini viongozi wa Yanga wanajaribu kupambana kuzuia dili hilo.
:
Yondani na Kessy hawajasafiri kwenda Kenya kwenye mchezo wa kombe la shirikisho dhidi ya Gor Mahia kwa sababu mikataba yao na Yanga imefika mwisho.
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live


Latest Images