Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Wimbo mpya wa ‘Happy’ wa Rich Mavoko waibua mapya, mashabiki wake wampongeza kuondoka WCB

0
0
Tangu msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Rich Mavoko aachie ngoma yake mpya ya ‘Happy’ kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii maoni mengi ya mashabiki wake yamekuwa yakiongozeka kila siku wengi wakimpongeza.

Maoni hayo licha tu ya kumpongeza kwa kutoa ngoma kali bali pia yamekuwa yakimpongeza msanii huyo kuondoka kwenye lebo yake ya WCB.:

tunda_.tz

Richi the boss boy from tz waachee haoo waambiee kwann kifesi aliondok ukoo richi big up sana mzazi bora umetoka ukoo mpk hit song zako kidogo zipotee daaah komaa boss

_miss._.gucci

Hongera sana broo kwa kutoka WCB umefnya vzri broo nilishangaaa sana kukuona umeingia WCB coz uko n kipaji n sauti nzri zaidi ya dai sasa wameona unakuja vzri wameona gere ndugu yangu ww unaweza hata ukiwa nnje ya WCB so ss ma funz wko tunaomba uwaoneshe km unaweza n sio dai ndo alikua anakufanya usikike n upendwe ila n mungu n sio dai alikua anakufnya upende ila n mungu soo weka mungu mbele n evry thng gona be ok kwako soo pambana ss bdo tupo n ww wacha nao hao ma funz wko tunataka uzidshe bidii iliwapate tabu sanaaaa.

mussawaleo

ulinifanya niipende WCB N.a. umenifanya niichukie.

mr_misifa_2

NIMEFURAH UMETOKA UTUMWANI MWA FARAO WA WACLEAN, UKISIMAMA MWENYEWE UNAWEZA PIA NASHUKURU UMENITOLEA KUFULI

bishoo_la_instaa

Nyie mnao jifanya kumsifia mavoko niwa nafki na mna chuki na seemu aliyo kuepo mavoko kwasababu mavoko akuitwagwa #wcb bali alijiletaga mwenyewe(kama alivyo semaga kwenye interview) kuna watu wanadai(walitaka kumpoza,wengine kuusu ushirikina……na mambo mengine) kwanza mavoko kabla ajawa #wcb kawaida yake alikua nimtu wakimya kwenye mitandao unaweza uka fatilia intagram yake na you tube apost post sana sasa mnawezaje kudai ilipoingia #wcb ndo alikua kimya wakati ni kawaida yake tangu ajawa #wcb (kujitia mna mshabikia na amujui tabiya yake #mnachukinawcb mnaongea sana ila siku azigandi.

s.o.l.o.m.o.n_@yohan_aofficial

hajaona mafanikio ndo maana katoka! I this we was doing waaaay batter alivyokuwa mwenyewe! Hamna msanii asiependa mafanikio, that’s what I believe.

s.o.l.o.m.o.n_@kemieeeee

this is what I was telling people! The guy was diamond competitor! His music was so strong to stand as an independent artist, wasafi made him look like underground, depending on his boss! I hope he will continue making amazing music as he was before joining wasafi! I wish him lucky too.

wcb_4lif
@richmavoko unayumba #happy nyimbo mbaya kusema kweli tatz umetoka wasafi alf wewe unaonekana una matatizo ukai na watu vizur ilila papaa misifa alisema mavoko snichi na @diamondplatnumz auto muweza na ndio haya tunaona ila nyimbo yako mbovu na haifiki popote utaona.

Anyways tunaweza kusema maoni hayo ya mashabiki hayana uhalisia lakini je, kwa idadi ya watu hao wote ni kweli wanalolisema halina ukweli?

Na ni kwanini mashabiki wanamtangazia Rich Mavoko kuondoka WCB ile hali uongozi wa WCB na hata wasanii wenzake kutoka WCB wanakataa kuwa hajaondoka WCB?


Hii inatia hofu zaidi kwa Rich Mavoko kwani hata mfumo wa Q Boy msafi na Kifesi ulikuwa hivyo hivyo kuondoka WCB kila mtu alikataa kuwa hawana tofauti mpaka walipoamua wenyewe kufunguka.

Je, Rich Mavoko na wewe unasubiri hadi mashabiki wako wakushambulie mitandaoni ndio uje uongee? kwanini usiliweke wazi suala hilo kama ulivyoweka wazi wakati ule unasainiwa WCB.

Wahenga wanasema mficha maradhi kifo humuumbua, na ili uweze kuwa huru ni lazima uwaweke wazi mashabiki wako juu ya hatma yako ndani ya WCB hii itakufanya hata kama ni kweli umeondoka WCB uendelee kupendwa na mashabiki wako uliowavuna ukiwa WCB kwa miaka miwili.

Hebu fikiria shabiki wako wa WCB ambaye alizoea kuona kwenye BIO zako za mitandao ya kijamii umeweka lebo ya WCB lakini kwa sasa umefuta unadhani anapata picha nzuri kutoka kwako? bila shaka atakuchukia ni bora uwaweke wazi mashabiki wako.

 Mbaya zaidi Rich Mavoko kaachiwa wimbo wake mpya wa ‘Happy’ na wengi tumezoea kuona umoja wa WCB pale mmojawao anapoachia ngoma lakini wimbo huo hakuna msanii yeyote kutoka WCB wala kiongozi kuuposti kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.

Lisemwalo lipo na kama halipo laja pia Rich Mavoko kumbuka kuwa ni kawaida sana msanii kuondoka kwenye lebo yeyote ile na wala haiwagi siri kwa sababu muda una tabia ya kuhukumu.

Hata hao unaowaona akina Wizkid, Lil Wayne na wengineo wasanii wakubwa duniani wameshawahi kutemwa wengine kuondoka kwa sababu zao na walitangaza hadharani na kuweka wazi sababu zao na hadi leo wanapeta.

Tetesi za Rich Mavoko kuondoka WCB zilianza kusambaa tangu mwezi Juni lakini mpaka sasa uongozi wa WCB na wasanii wenzake wamekuwa wakidai wapo pamoja huku mwenyewe akikataa kabisa kuzungumzia ishu hiyo.

Huu ndio Mshahara wa Ajabu Anaolipwa Diamond Platnumz , Mkubwa Fela Afunguka Asilimia Anayokula Kwa Diamond

0
0
Huu ndio mshahara wa ajabu anaolipwa Diamond Platnumz, Mkubwa Fella amefunguka hapa kwenye Video:


Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upugufu wa Nguvu za Kiume, Busha, Kisukari na Vidonda vya Tumbo

0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO? BUSHA BILA KUPASUA KISUKALI NA VIDONDA VYA TUMBO? asilimia kubwa ya wanaume wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo

NI NINI KINACHOSABABISHA UUME KUZIDI KUWA MDOGO NA WEMBAMBA 1 kuugua chango LA uzazi 2 unene kupita kiasi 3 kuvaa nguo au chupi za kubana 4 kupiga punyeto kwa mda mrfu ,NI NINI TIBA YAKE MAKAKANUA MIX nidawa ya mitishamba iliyochanganywa NA mizizi kumi NA mbili urfusha NA kunenepesha UUME saizi upendayo ich 5,6,7, NA 8 kwa urfu NA sentimita 3,4, na 5 ipo dawa ya kunywa na kupaka NI NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupungukiwa kwa homoni ya testerone 2 kuhudhurika kwa Neva au uti wa mgongo 3 utumiaji holela wa madawa ya kizungu 4 usongo wa mawazo na asira 5 utumiaji wa vyakula vya mafuta mengi NI NINI TIBA YAKE MAPRO POWER NO 2 NDIO tiba tosha kwa sasa kwani utibu matatizo matatu kwa pamoja 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 adi 20 ,2 itakufanya urudie tendo zaidi Mara tatu 3 uhimalisha uume uliolegea na kusinyaa OKOA NDOA YAKO SASA ujihepusha na lawama ndani ya ndoa yako au pale ukutanapo na mpezi dawa hii itamfanya mpenzi wako hakueshimu na hasitoke nnje ya ndoa na ata wazee wenye umri mkubwa wanapona zipo dawa za kupunguza kitambi,minyama uzembe, presha ,kisukar mvuto wa mpezi au biashara FIKA OFISINI KWETU MBAGALA ZAKHEMU na wateja wa kanda ya ziwa yupo wakala wetu mwanza mjini au piga simu 0752348593

DR MABULA na utaletewa popote ulipo uduma hizi

Ngoma Aenda Kuombewa Kwa TB Joshua

0
0
IMEELEZWA kuwa, mshambuliaji mpya wa Azam FC, Donald Ngoma raia wa Zimbabwe, wikiendi iliyopita alienda kufanyiwa maombi maalum na mchungaji maarufu nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua ‘TB Joshua’

Katika maombi hayo ambayo yaliyofanyika kwenye kanisa la mchungaji huyo nchini Nigeria na kurushwa na runinga yake ijulikanayo kwa jina la Emmanuel TV, Ngoma alionekana akiombewa kwa kushikwa goti lake la mguu wa kulia ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.

Tatizo hilo la goti limemfanya Ngoma akae nje ya uwanja kwa muda mrefu na sasa anatarajiwa kurudi uwanjani mwezi ujao na kukosa baadhi ya mechi za mwanzo za msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.

Ikumbukwe kuwa, Ngoma aliyejiunga na Azam hivi karibuni akitokea Yanga baada ya mkataba wake kuvunjwa kutokana na matatizo hayo ya goti, alipelekwa Afrika Kusini kufanyiwa matibabu ya kina na hivi karibuni anatarajiwa kurudi uwanjani.

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

Zari Hassan’s emotional message to Diamond

0
0
The Ugandan business lady, who had a rough time last year is thanking God for standing with her. Last year, Zari lost her mother, ex-husband Ivan Semwanga and had to endure a cheating hubby, Diamond Platnumz.

 Well, the mother of five has revealed that she is a strong woman and happy after all she has been through. She wrote: ”After all the hurts, scars & bruises. After all those trials, falls, pain and funerals I really made it. I survived when I should have broken. Thank You God ”#ForeverGrateful #GodIsGreat
Over the weekend,  Zari and her family held dua (prayers) for their mother Halima Hassan, who died last year. The prayers took place both at her Munyonyo home in Uganda and at Zari’s residence in Pretoria, South Africa.Diamond Platnumz, on the other hand, is gearing up for Princess Tiffah’s third birthday which will be held early next month in South Africa

VIDEO: "Steve Nyerere Anaweza Kwenda Mochwari Kumuogesha Maiti Hata Kama Hajaitwa" - Dudubaya

0
0
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva Godfrey Tumaini maarufu kama Dudubaya ameingilia kati kuhusu maneno ambayo yamekuwa yakiibuka kuhusu Steve Nyerere kusemwa vibaya anapojitokeza kwenye matatizo kusaidia.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI:

Zitto Kabwe Aikosoa Serikali "Tunapata maduhuli na si "Gawio"

0
0
Na Zitto Kabwe

Kwamba Mashirika ya umma nchini yanamkabidhi Rais cheki za magawio (dividends) ya faida zao ni ama Ofisi ya Rais inafanya Siasa au hawajui maana ya gawio.

Tukiwa Bunge la 9, Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma (POAC na baadaye PAC) ililishauri Bunge kufanya marekebisho ya Sheria ya baadhi ya mashirika ya umma Ili kiwango fulani cha Mapato ghafi (turnover) kitolewe Serikalini kama maduhuli ya Serikali.

Serikali ya wakati huo ilikubali na Sheria zikabadilishwa na kutenga 15% ya Mapato ghafi ya Taasisi za Umma kuwa Mapato ya Serikali kuingia Mfuko Mkuu wa Hazina. SIO FAIDA maana mashirika haya mengi hayana faida. Faida ya TCRA ni nini? Ama EWURA? Ama TANROADS?

Kusema Rais anakabidhiwa gawio la faida ya mashirika ya umma ni ulaghai ambao hauna maana yeyote, kwani Taarifa za Ukaguzi za Mashirika hayo zitaonyesha kuwa hakuna faida (na hivyo hakuna gawio), na hivyo kuumbuka kwa Serikali yenyewe.

Kinachotolewa ni nini? Haya ni maduhuli tu, ama ni kodi maalumu ambayo imewekwa kwa mashirika kwa kiwango cha 15% ya Mapato ghafi. Maduhuli au kodi hii imekuwa ikilipwa miaka yote ya nyuma. Sielewi ni kwanini sasa Rais amewaleta mbele wakuu wa mashirika Eti kutoa gawio! Gharama za kuwaleta hao wakuu wa hizi taasisi hazikupaswa kuingiwa kabisa, kwani kodi hizo hukatwa moja kwa moja kuingia Mfuko Mkuu wa Serikali. Sielewi hizi hadaa ni za Nini?

Ni muhimu pia kueleza kuwa kuna hoja ya Ukaguzi ya CAG kuhusu makato haya kwa baadhi ya taasisi. Kwamba makato haya yanapaswa kuwa ‘Tax deductibles’ - yaani wakati wa kukokotoa kodi ya Mapato ya baadhi ya Mashirika malipo haya yanapaswa kuondolewa kwanza.

Hata hivyo TRA wamekuwa hawafanyi hivi na hivyo kukuta mashirika kama TANAPA, NCAA, TPA nk yanalipa Fedha zaidi ya yanavyopaswa kulipa na kusababisha shughuli zao za msingi kushindwa kutekelezwa.

Watanzania msihadaiwe leo, hatupokei gawio, bali tunapokea maduhuli tu.

Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Julai 23, 2018.

Source:Facebook

Halima Mdee "Nasikia Kuna Watu Wanasakwa Wapotezwe"

0
0
Hivi ndivyo alivyoandika Mbunge wa Kawe, Mhe.Halima Mdee katika mtandao wa twitter:

NASIKIA kuna WATU wanasakwa WAPOTEZWE....MUNGU ni MKUBWA watapotea WAO kabla hawajapoteza wengine!! Kama ushuhuda wa LISSU juu ya UKUU wa Mungu haukuwafunza...ENDELEENI TU! Tunawajua.


Hivi ndivyo alivyoandika Mbunge wa Kawe, Mhe.Halima Mdee katika mtandao wa twitter: NASIKIA kuna WATU wanasakwa WAPOTEZWE....MUNGU ni MKUBWA watapotea WAO kabla hawajapoteza wengine!! Kama ushuhuda wa LISSU juu ya UKUU wa Mungu haukuwafunza...ENDELEENI TU! Tunawajua.



Fatuma Karume atema cheche: Kuwa mwanaharakati sio dhambi

0
0
Fatuma Karume atema cheche: Kuwa mwanaharakati sio dhambi
Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanzania, TLS Bi Fatuma Karume aliyechukua mamlaka baada ya aliyekuwa Rais wa Chama hicho, Tundu Lissu kushindwa kuendelea na uongozi kutokana na kupigwa risasi na watu wasiofahamika, amefunguka mambo mengi kuhusu utawala wa sheria nchini Tanzania, katiba mpya pamoja namna baadhi ya watu wanavyowachukulia vibaya wanaharakati.

Akiongea na Arnold Kayanda wa kituo cha BBC mapema leo, Fatuma amesema hadhani kama serikali ina mahusiano mabaya na chama hicho cha mawakili.

“Mwaka jana serikali ilikuwa imesema TSL itatufutwa, tumefanya nini hatujui, tumewakosea nini hatujui,” alisema Fatuma “Mimi ningesema serikali ina wasiwasi na TLS, wanahisi kwamba iko pale kama wapingani wao. Kazi ya TLS ni pale serikali haifuati sheria na taratibu pamoja na utawala wa sheria TLS itasema,” alisema mtoto huyo wa Rais mstaafu wa Zanzibar.

Aliongeza, “Mimi nadhani serikali inahisi tukisema, tunakuwa kama wapinzani, sisi tutaendelea kukosoa na hiyo serikali isiogope. Kukosolewa ni kitu kizuri kwa sababu ukikosolewa unaweza ukajirekebisha na tutawakosoa kwenye mambo ya sheria,”

Mwanasheria huyo amedai kwa sasa TSL inapigania haki za watu, haki za binadamu pamoja na kuhakikisha sheria zilizotungwa na Bunge zinasimamiwa.

Katika hatua nyingine Fatuma amedai TSL kwa sasa haina ajenda ya katiba mpya lakini yeye binafsi anaona kuna umuhimu wa kubadilisha katiba ya mwaka 1977 kwa madai wananchi wamenyimwa nguvu nyingi kwa nchi yao.

“Rais anateua kila mtu nchi hii, inamaana kwamba ukiwa mteuzi una haki pia ya kufukuza, una haki ya kuteua wakuu wa mikoa, unateua wakuu wa wilaya, unateua wakuu wa polisi, una haki ya kuteua majaji, power yote ya wananchi imechukuliwa na imewekwa kwenye mkono wa mtu mmoja, kama watanzania hatuwezi kukubali kuendelea kuwa na urais wa kiufalme,” alisema Fatuma.

Halipendwi Shirika Hapa Pesa Kwanza- Rais JPM

0
0
Halipendwi Shirika Inapendwa Pesa Kwanza- Rais JPM
Rais John Pombe Magufuli amemtaka Msajili wa Hazina , Ndg. Athumani Mbuttuka kuhakikisha anatumia sheria aliyopewa na serikali pamoja na Bunge dhidi ya mashirika ambayo hayashiriki kwenye kujenga uchumi wa nchi haswa katika ulipaji kodi na utoaji wa gawio kwa serikali.


Rais Magufuli ametoa kuli hiyo mapema leo wakati akipokea gawio kutoka kwa Wakala, Kampuni Taasisi na Mashirika ya umma, kwa mwaka wa fedha 2017/2018, ambapo amemtaka Msajili kutazama kama atawafukuza viongozi wa mashirika, kuyafuta au kuwafilisi kulingana na sheria inavyomuongoza.

Rais Magufuli amesema katika uwekezaji uliofanywa na serikali wa zaidi ya shilingi trilioni 49, kisha kuja kupokea kiasi cha gawio kiasi cha bilioni 736 ni dogo sana kitu ambacho si sahihi.

Magufuli amesema uongozi wa mashirika hayo ubadilishwe au shirika lifutwe kwa kuwa hakuna haja ya kuwepo na mashirika jina ambapo ameongeza kwamba “ni nafuu usiwe nacho kuliko kuwa na kitu kichoshiriki kwenye kujenga uchumi”.

“Hakuna haja ya kukaa na mashirika ambayo yapo tu kwa jina. HAPA PESA KWANZA. Halipendwi shirika inapendwa pesa” amesema Rais Magufuli.

Wakati huo huo Rais ameyapongeza mashirika 47 yaliyoweza kutoa gawio jumla ya Bilioni 7 ambapo amewataka mashirika ambayo hayajatoa hata shilingi waanze kuona aibu.

Baba wa Obi Mikel amlaumu mwanaye

0
0
Baba wa Obi Mikel amlaumu mwanaye
Kufuatia tukio la kutekwa lililotokea hivi karibuni, baba wa nahodha wa timu ya taifa ya Nigeria, Obi Mikel amezungumzia mahusiano yaliyopo kwa sasa kati yake na mwanaye huku akimlaumu kwa kutompigia simu.

Michael Obi (74) ambaye alitekwa mwezi uliopita alipokuwa njiani kutoka mjini Jos kuelekea katika kikao cha familia kwenye mji mwingine amesema kuwa hilo halikuwa tukio la kwanza kwake kutekwa, akitaja kuwa mara ya kwanza ilikuwa Agosti 2011.

Obi Mikel alipata taarifa za kutekwa baba yake masaa machache kabla ya mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi wa kombe la Dunia dhidi ya Argentina lakini aliuficha uongozi juu ya suala hilo ili aweze kucheza .

Michael Obi alipoulizwa ni kwanini mwanaye alikubali kucheza mchezo huo licha ya kupata taarifa za kutekwa kwake akasema kuwa mawasiliano kati yake na mwanaye si mazuri.

“ Mawasiliano yangu na Obi Mikel ni tatizo, lakini wote hatujui cha kufanya. Ni miaka mitano sasa hajawahi nipigia simu licha ya kuwa huwa anawasiliana sana na mama yake “. Amesema Michael Obi.

“ Sina cha kufanya kwa sasa kuweza kumaliza tatizo hilo, Mungu ameniambia kwamba sipaswi kujiskia vibaya na kuhusu kuongea na yeye kwangu ni sawa tu ilimradi ninamwona katika TV akifanya makubwa “, Ameongeza .

Picha Mpya ya Lulu Iliyosambaa Katika Mitandao ya Kijamii

0
0
Picha Mpya  ya Lulu Iliyosambaa Katika Mitandao ya Kijamii
Tangu mwanadada elizabeth lulu michael ametoka gerezani hajaweka picha yake yoyote katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba kwa muda mwingi waandishi wa habari wamekuwa wakitafauta kwa udi na uvumba picha yake ili kuzisambaza katika mitandao.

Hata hivyo wikiend hii mwanadada lulu michael aliachia moja ya picha zake akiwa katika moja ya event moja jijini Dar Es Salaam ikimuonyesha akiwa mweny furaha na mwenye kupendeza na kuwafanya mashabiki wafurah na hata kuongea nae kupitia maoni juu ya picha hiyo.

Katika ukiurasa wake wa instagram, aliweka picha katika sehemu ya stories ikimuonyesha mwanadada.

Wema Atibua Penzi la Idriss na Mpenzi Wake Kisa Milioni 2

0
0

Kisa Milioni 2 za Wema, Idris Anuniwa na Mpenzi Wake.
Mchekeshaji maaarufu nchini Idris Sultan aliiona ngumu ya jiwe bada ya kununiwa na mpenzi wake aliyenae sasa hivi baada ya kutangaza kuwa angeweza kulipa faini ya aliyewahi kuwana ne katika mahusiano, wema sepetu.

Ijumaa iliyopita Wema sepetu alipokea hukumu yake na kuambiwa kuwa alitakiwa kulipa faini ya milioni 2 au miaka miwili jela na ndipo idris alipotangaza kuwa hiyo pesa ya faini hata yeye angeweza kulipa bila fidia.


Hata hivyo idris alisema kuwa alisema hivyo na alikuwa akimaanisha kabisa na hata ama faini ingekuwa ni zaidi ya milioni mbili asingeshindwa kulipa lakini alipata joto baada ya mpenzi wake wa sasa kumkasirikia baada ya kutangaza kumsaidia mpezniwake wa zamani.


Tunaweka Kazi Mbele Kwanza na wala Hatuingilii Team Zao:-Navy Kenzo

0
0
Tunaweka Kazi Mbele Kwanza na wala Hatuingilii Team Zao:-Navy Kenzo
Wsanii ambao pia ni wapenzi wanaounda kundi la navy kenzo aika na nahrel wamefunguka na kusema kuwa kitu kikibwa mabacho muda wote kimekuwa kikiwasaidia hata kufanya kazi na wasanii tofauti tofauti ni kwa sababu hawaangalii mitandao inasema nini bali kazi kwanza.

Hata hivyo wasanii hao wanasema kuwa pamoja na kwamba Alikiba na Diamond ni mahasimu wakubwa lakini kilichowasaidia wao kufanya nao kazi na wasanii hao ni kwa sababu wamekuwa wakijali sana kufanya kazi zaidi kuliko kuangalia maneno ya mashabiki mitandaoni wanasema nini kuhusu wasanii hao.

Breaking: Mwenyekiti wa Yanga Atangaza Rasmi Kuachia Ngazi Yanga

0
0
Kaimu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga, ametangaza rasmi kujiuzulu wadhifa wake katika klabu hiyo. Sanga amejiuzulu wadhifa huo kutokana na kutokuwa na maelewano mazuri baina yake na viongozi wenzake ndani ya klabu hiyo ikiwemo wale wa Kamati ya Utendaji kueleza hana ushirikiano mzuri.



Kiongozi huyo aliyekuwa akikaimu nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, alikuwa akitupiwa lawama na viongozi wa Kamati ya Utendaji akiwemo Khalfan Hamis ambaye amejiuzulu juzi akidai Sanga amekuwa si mweledi wa mambo.

Mbali na kukosa maelewano, Sanga ameeleza kuwa kuna CLIP ameiona mitandaoni inayohamasisha watu kumvamia kwa mapanga ni moja ya sababu zilizopelekea kufanya uamuzi wa kuachia ngazi.

Aidha,wiki kadhaa zilizopita Mjumbe mwingine kutoka kamati hiyo, Salum Mkemi naye aling’atuka kuendelea na wadhifa huo ndani ya Yanga na akisalia kuwa mwanachama pekee kutokana na kutokuwa na kukosa maelewano mazuri baina yake na wanachama wa klabu.

Ukiachana na Sanga, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Charles Boniface Mkwasa naye amethibitisha rasmi kuachia ngazi leo kutokana na kusumbuliwa na masuala ya kiafya.

Mbali na Mkwasa, tetesi zinaeleza kuwa Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten, naye anatajwa kuanchia ngazi ingawa juzi aliibuka na kukanusha uwepo wa taarifa hizo ambazo zimesambaa kwa kasi mitandaoni.

Ongeza Uume, Nguvu na Hamu ya Tendo, Hata kwa Wenye Kisukari na Pressure

0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
#OngezaUume
#NguvuZaKiume
#HandsomeUpOg
#BidhaaTz

Rais Magufuli Amwagiza Mweka Hazina Kuyafuta Mashirika Yasiyotoa Gawio Serikalini

0
0
Rais John Magufuli amemwagiza Msajili wa Hazina, Dk Athuman Mbuttuka kubadilisha uongozi au kufuta kampuni, wakala, taasisi na mashirika ya umma ambayo yatashindwa kutoa gawio kwa Serikali.

Ameyasema hayo leo Julai 23, 2018 katika Ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere wakati akipokea gawio la Sh736.36 bilioni kwa mwaka 2017/18 kutoka kwa kampuni 43 kati ya 90 ambazo zinastahili kulipa gawio serikalini.

“Halipendwi shirika, inapendwa pesa tunachotaka ni gawio na si vinginevyo. Hatutaki kuwa na kitu ambacho hakishiriki kujenga uchumi wa nchi hii, nakuagiza msajili wa Hazina (Mbuttuka) hakikisha mashirika na taasisi zote zenye kutoa gawio kwa Serikali zinafanya hivyo,” amesema Rais Magufuli

Aidha ameyapongeza mashirika ambayo hayakuwahi kutoa gawio awali na mwaka huu yamejitokeza na kuchangia katika pato la Serikali yakiwemo yale ya UTT, DSE na Kadico.

Hata hivyo, ameonya kuwa bado kuna kampuni nyingi zinazalisha kiasi kidogo ikilinganishwa na kile kilichowekezwa na Serikali, hivyo kuwataka viongozi wa kampuni hizo kujitathmini.

Pia, Rais Magufuli ametoa wito kwa kampuni za Serikali kuhakikisha zinatekeleza majukumu ipasavyo ili kuondoa mianya ya rushwa na upotevu.

“Wakati mwingine tunaliwa kutokana na uzembe wa watendaji wetu, wanakaa pale wanakuwa sehemu ya kuwaumiza Watanzania badala ya kutekeleza majukumu yao. Nawaagiza wenyeviti wa bodi na watendaji wa Serikali mkalisimamie hili. Nataka kuona matrilioni na si mabilioni kama nilivyoona mwaka huu,” amesema Rais Magufuli.

Rais Magufulia atoa agizo kwa Mkandarasi Daraja la Salender

0
0
Rais John Magufuli amemuagiza Mkandarasi aliyepewa kazi wa kujenga daraja kubwa la Selander Bridge kutoka Coco Beach mpaka Agha Khan litakalogharimu shilingi bilioni 250 kwa ufadhili wa Serikali ya Korea kusini kukamilisha kazi hiyo kwa wakati ndani ya miezi 36 aliyopangiwa  kufanya kazi.

Rais Magufuli ametoa agizo hilo baada ya kushuhudia mkataba wa utiaji saini ujenzi wa darala hilo ambalo litakuwa na urefu wa kilomita 6.23 mbele ya Waziri Mkuu wa Korea Kusini Mh.0 Lee Nak-Y eon Ikulu jijini Dar es Salaam na kusema kukamilika kwa daraja hilo kutaendelea kubadilisha taswira mpya ya Jiji la Dar es Salaam katika miundombinu ya barabara.

Katika tukio jingine, hivi sasa Rais Magufuli anapokea gawio la kipindi cha mwaka 2017/18 kutoka Wakala, Kampuni, Taasisi na Mashirika ya Umma 47 ambayo Serikali inamiliki hisa.

Vitu Nane vya Kipumbavu Ambavyo Wadada Hufanya Kwenye Mapenzi

0
0


1. Kuishi na mwanaume ambaye ajakutolea mahari au kukuoa. Hii inachoma lakini ndio ukweli wenyewe. Usiwe mjinga

2. Kukubali kuwa mke wa pili. Samahani sana nitakao gusa imani zao

3. Kuvaa pete ya uchumba ya mwanaume ambaye even hata kwenu apajui. Na pengine hata wazazi wako hawajui

4. Kutumia picha ya boyfriend wako kama profile picture wakati yeye hana hata wazo la kufanya hivyo.

5. Kumpa thamani yako PRIDE (Bikira), mwanaume ambaye ajatoa pesa ya mahari

6. Kupika chakula mara kwa mara na kufua nguo kuonyesha upendo kwa boyfriend wako ambaye sii mume wako.

7. Kutokumuheshimu mzazi wako kwa sababu tu ya mwanaume ambaye wazazi wako hawamjui

8. Kumpa mwanaume sex kirahisi tu kwa sababu amekuambia atakuoa

JITAMBUWE!!!

Kwanini Penzi la Mbali Linanoga Kuliko Penzi la Karibu

0
0
Wadau nimeona niwashirikishe hili jambo ili wale wataalam wa malavidav watupe utaalamu wao
kwanini Penzi la Mbali huwa linanöga kuliko penzi la karibu nikiwa na maana kwamba;

kama una mpenzi wako mnaishi umbali wa kuweza kusitisha shughuli zako japo kwa siku mfano arusha-dar ili muonane, hisia zake ni kubwa na kuheshimiana kunakuwepo sana kuliko yule wa pale mtaani?

Wanandoa ambao hawakai pamoja wengi wao wanaheshimiana zaidi kuliko wale wanaoishi pamoja?

Mkianzisha mahusiano katika hali yoyote kabla ya kuonana au kufahamiana mnaonyeshana lv sana, ila mkikutana tu hata kama ni sms mlikuwa mnatumiana zinapungua?

Ni Theory gani inafaa kutumika hapa?
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images