Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live

Kesi Ya Mbowe na Vigogo Wengine CHADEMA Kuanza Kuunguruma Julai 31

0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru viongozi tisa wa Chama cha Demekrasia na Maendeleo (Chadema) katika kesi inayowakabili viongozi hao akiwamo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe kusomewa maelezo ya awali Julai 31, mwaka huu na mashahidi kuanza kutoa ushahidi.

Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri ametoa uamuzi huo leo Jumatano Julai 25, baada ya kufahamishwa kwamba maombi yaliyowasilishwa Mahakama Kuu na viongozi hao yalitupwa kwa sababu yalikosa vigezo vya kisheria na pia iliona maombi hayo yalikuwa ni batili.

Kutokana na hatua hiyo, Wakili wa Serikali Mkuu, Faraja Nchimbi ameiomba mahakama kuipangia kesi hiyo tarehe ya usikilizwaji wa awali na baada ya hapo zipangwe tarehe mfululizo za kuanza kusikilizwa kwa ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka.

Wakili wa upande wa utetezi Nashon Nkungu kwa niaba ya Wakili Peter Kibatala na Jeremiah aliomba kesi iahirishwe kwa muda mrefu lakini Wakili Nchimbi alipinga akidai  hoja hizo hazijawekwa katika kumbukumbu za mahakama aliomba kesi ipangiwe tarehe ya usikilizwaji wa awali  na tarehe za kesi kusikilizwa mfululizo kwa ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka.

Hakimu Mashauri baada ya kusikiliza hoja za pande zote aliipanga kesi hiyo kwa ajili ya usikilizwaji wa awali  Julai 31,mwaka huu na kuutaka upande wa utetezi iwapo watakuwa na hoja zozote kuhusiana na maombi yao ya kesi kuahirishwa muda mrefu uwasilishe.

Washtakiwa hao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 13, ikiwamo kula njama, kufanya mkusanyiko wenye ghasia, kuhamasisha hisia za chuki, kushawishi hali ya kutoridhika, uchochezi na kushawishi utendaji wa kosa la jinai kati ya Februari Mosi na 16, 2018, Dar es Salaam.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, nasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGISE

Taarifa ya Simba SC kufungwa goli 6-0 nchini Uturuki yazua gumzo, Manara awataka Clouds FM waombe radhi

0
0

Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara amekiomba kituo cha Radio cha Clouds FM kuomba radhi kwa mashabiki wa klabu hiyo kwa kutangaza kuwa wamefungwa goli 6-0 nchini Uturuki kwenye mchezo wa kirafiki.


Haji Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema kuwa kama kituo hicho kitakataa kuomba radhi basi kithibitishe taarifa hizo kwani inaonekana ni ya uongo na inachafua brand ya Simba.

Ndugu zangu wa Clouds with do respect mnachotufanyia c haki na mnatukosea sana tena sana!! Leo mmetangaza kwenye Radio yenu Simba imecheza mechi Uturuki na kufungwa 6-0..tunaomba mthibitishe au mkanushe..vinginevyo mtakuwa na nia ovu ya kutudhalilisha na kwa hili hatutawaelewa na hatutakubali!! Mm wajibu wangu pia ni kulinda image ya Club yangu na sipo tayari kuona Chombo chochote kikitangaza taarifa ya uzushi na uongo dhidi ya Simba kwa kisingizio chochote kile..kwa hili nategemea mtachukua hatua stahiki haraka iwezekanavyo .vinginevyo thibitisheni @cloudstv @cloudsfmtz

Hata hivyo, mpaka sasa Clouds Media hawajaomba radhi wala kuthibitisha taarifa hizo kama ni za kweli au laah!.

Klabu ya Simba imeondoka wikiendi iliyopita kwenda nchini Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2018/19 na ikiwa huko imeelezwa kuwa itacheza michezo kadhaa ya kirafiki.

Mrembo Demi Lovato alazwa ghafla hospitalini, yadaiwa amezidiwa na madawa ya kulevya

0
0

Muigizaji na mwanamuziki kutoka nchini Marekani Demi Lovato usiku wa kuamkia leo Jumatano Julai 25, 2018 amelazwa hospitalini ghafla  baada ya kuzidiwa na Madawa ya kulevya aina ya Cocaine.

Demi Lovato (25) aliwahishwa hospitali mjini Los Angeles baada ya kikosi cha Polisi mjini humo kupata taarifa ya dharura ya uhitaji wa msaada wa haraka wa matibabu ‘Medical Emergency’ kutoka kwa watu wa karibu wa msanii huyo.

Lovato miaka miwili iliyopita alibainika kuwa na matatizo ya kiakili yaliyosababishwa na matumizi ya madawa ya kulevya ambapo baadae akiwa kwenye sober house alikimbia matibabu hayo.

Msanii huyo mwenye ushawishi mkubwa kwa vijana nchini Marekani aliushangaza ulimwengu mapema mwaka huu baada ya kuachia wimbo wa SOBER ambao kwenye moja ya mashairi yake alisikika akisema kuwa amerudia kutumia madawa ya kulevya.

Hata hivyo bado taarifa za kitibabu hazijatoka kama kweli mrembo huyo jana alizidiwa na madawa ya kulevya au laah! .

FULL STORY: Dereva Bajaji Alivyonyongwa Jijini DSM

0
0
Leo July 25, 2018 tunayo story ya kusikitisha kutokea maeneo ya Kawe ambapo kijana mwenye umri wa miaka 25, ambaye ni dereva wa Bajaj, Swalehe Hamduni anadaiwa kuuawa kwa kukabwa kisa Bajaji.

Akizungumza na AyoTV, Kaka wa marehemu Siri Zuber Gongo amedai kuwa tayari wameshafanya mazishi na wanachokisubiri ni taarifa zaidi za upelelezi kutoka Polisi baada ya Bajaji kupatikana.

Amedai kuwa ni tukio la pili kutokea katika maskani ya Bajaji anayo-park marehemu mdogo wake, kwani tayari lilishatokea tukio kama hilo.

VIDEO:

Waandishi wa habari Mbeya wagoma | RPC kasema hamuogopi mtu, ‘anataka watoke’

0
0
Leo July 25, 2018 Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya  Ulrich Matei  ameita Waandishi wa habari ofisini kwake ambapo alitoa taarifa wa mwenendo wa udhibitiji ajali za barabarani mkoani Mbeya na kuwapa fursa waandishi wa habari kutoa maoni yao.

Mwandishi Hosea Cheyo wa TBC alipata nafasi ya kuzungumza nakutoa msimamo kwa niaba ya waandishi wengine juu ya mgomo wao wa kutoandika habari za ajali ambazo zinatokea kwa uzembe.




By Millard Ayo

Lugola alipofika Zimamoto “Kamanda Wasukumeni, Tengenezeni Matukio”

0
0
Leo July 25, 2018 Waziri wa Mambo ya ndani Kangi Lugola ameagiza askari ambao hawataki kufanya kazi wasukumwe na kama hawataki watachukuliwa hatua huku akikitaka Kikosi cha Zimamoto kufanya kazi hata kama hawana vifaa.

VIDEO

Huyu Mwanamke Anapenda Mapenzi Kuliko Kawaida Mpaka Nakuwa Mtoro Kazini

0
0

Kuna jambo linanishinda hapa mwenzenu huyu mwanamke anapenda mapenzi sana mpaka nataka nihame nyumba.

Kitu kinachonishinda nikiwa faragha na huyu mwandani wangu.... nikishamaliza huwa nakuwa nimechoka na kizunguzungu. sasa kama siku tatu zilizoissha niliitwa na bosi wangu kuhusu tabia nayoionyesha. nilijitetea sana.

Nikaanzisha mtindo, namuomba work mate wangu anisainie kissha nakuja baadaye. kwa kweli hili swala la mapenzi kila siku nimelishindwa.

Nikitoka kazini napita sehemu flani napoteza muda saa ziende. nikifika nyumbani nakuta nasumbiriwa kama kitoweo. ukimkaushia mara akutekenye, akukalie, fujo tupu unajikuta ushafanya. kwa kweli hapa pamenishinda, nakosa nguvu nakuwa kama mgonjwa.

Nitumie mbinu gani angalau ipungue ata kwa mwezi mara mbili maana nashindwa sasa.

By Aleppo/JF


Mwanaume Fanya Hivi ili Mkeo Akuone Mtenda Miujiza Kila Siku..Hakika Hatasikia la Mtu...

0
0

Hili ni fundisho kwa vijana wengi ambao wanataabika, suala la fedha limekuwa mwiba mkubwa na chanzo kikubwa cha mahusiano na ndoa kuyumba. Nimelazimika nije na ushauri huu ambao utawasaidia vijana wa kileo ambao wanataabika na ndoa hususani suala la fedha.

Kinachowaumiza vijana wengi katika fedha na wenza wao ni tabia ya wanaume kuwa wazi kwa kutoa taarifa za pato lake kamili. Jambo la uwazi ni jema lakini muwe na kiasi kwani usipokuwa na akiba ya 'taarifa za kipato chako' utakosa fusra ya kufanya miujiza pale mambo yanapokwama.

Fanya hivi. Mfano kipato chako ni shilingi milioni moja kwa mwezi, mweleze kwamba unapokea shilingi laki 7 na hizo tatu hakikisha unaweka katika sehemu salama ambayo hata ikitokea umekufa familia yako itafaidika, mfano benki kila unapochukua mshahara hakikisha unaacha laki tatu kama akiba asiyoijua. Sasa katika hii laki saba panga matumizi pamoja na akiba ya pamoja.

Wanawake wanapenda 'mshtuko/suprise'..so siku ya siku ukiona kanuna unamtoa shoping lazima ataona umetenda muujiza kwa nia njema. Hapa ndipo pale utasikia mwanamke anasema 'mme wangu ana akili kweli'. Ikitokea una marupurupu fulani kama safari nk hakikisha unatoa kiasi na ziada unaweka chimbo. Hii itakupa upenyo wa kuwasaidia hata wazazi wako na ndugu zako bila kumhusisha mara kwa mara kwani wanawake wengine hawapendi usaidie ndugu na jamaa. Fanya mbinu hii hata kama kipato chako ni laki tano weka hata elfu hamsini chimbo ili uweze kutenda baadhi ya miujiza.

Wanawake wote duniani wamejaliwa karama ya kutumia hela yote ya mmewe, yaani ukimwambia kuna hela hii yeye ataandika orodha ya mahitaji ya familia ni kwani njema ila pesa zikiisha yeye hujitoa na kukulaumu kwanini ulitumia pesa zote. Yaani dharura ikitokea yeye hayupo ni lako hilo na ukishindwa kutatua hapo ndipo dharau inaanza...utasikia 'mme wangu hana msaada kabisa' yaani hajali kabisa matatizo anatumia pesa zote bila uangalifu.

Haya yote yanahitaji ustadi mkubwa na utimamu, kumbuka siku zote mwanaume anatakiwa kuwa mtu wa mshitukizo/surprise kwa kutumia kipato kile kile alichonacho. Yaani tunasema uwe na uwezo wa kutengeneza hela (money creator). Ikitokea dharura unamuangalia usoni huku ukitabasamu, unamwambia 'mke wangu usihuzunike ngoja nifanye mpango nitatue hii shida'.

Hii ndio mbinu tuliitumia sisi na kuweza kuishi na mama/bibi zenu bila bugdha.

Nawakilisha.

Wazazi Wengi Huwakataza Watoto Wao Wasioe Wanyakyusa, Wachaga na Wahaya...Nini Sababu?

0
0

Habari wadau.... Topic hapo juu inajieleza huwa najiuliza hili swali bila majibu..coz wazazi wengi huishia kusema tuu nimesema usioe mnyakyusa,mhaya au mchaga..bila kutoa ufafanuzi..kwanini..hebu tujadiliane..kama unafahamu chochote kuhusu makatazo Haya Funguka Hapa Tafadhali. .
By kibona

Je Umepungukiwa Nguvu za Kiume na Umetumia Dawa Nyingi Bila Mafanikio?

0
0

JE UMEPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME NA UMETUMIA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO?  Hakika nawashukuru wote mliotumia hii dawa na kunipa pongezi nyingi Sana sasa offa imeisha maana nilitoa ya wiki 2 tu     na watu wengi walioitumia wamepona kabisa dawa hii ni dawa ya maajabu kabisa na huwezi kuamini ila wengi walioitumia wameiamini maana kati ya watu 89 walioitumia ndani ya wiki 2 watu76 wamepona kabisa na watu 9 hawajapona na watu 4 hawajatoa majibu! Dawa hii ni dawa inayotibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na unapona kabisa, dawa hii ni dawa ya asili,(mitishamba) utaitumia mara moja tu na hautatumia dawa ya nguvu za kiume tena dawa hii inawafaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70 zaidi ya miaka hyo haitakusaidia watafiti wa dawa asilia pamoja na waganga pia mashirika ya watafiti wameikubali pia dawa hii inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi ukitumia hii dawa unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha inauwezo wa ajabu na tiba bora kabisa SOMA DALILI HIZI  kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa 2 kushindwa kurudia tendo la ndoa 3 kuwahi kufika kileleni dawa hii imesaidia watu wengi sana dawa hii imegunduliwa na dr kiboko mganga wa tiba za jadi kutoka mafia pia tunatibu matatizo mbalimbali kama mambo ya biashara, nyota, kesi, mapenzi, nk, pia tunahitaji WAKALA wa kupokea dawa zetu katka nchi ya KENYA, ZAMBIA, UGANDA, mikoani tunatuma kwanjia ya mabasi au fika ofisini kwangu  Mafia kisiwani  maelezo zaidi wasiliana na DR KIBOKO 0679923297

Je Umepungukiwa Nguvu za Kiume na Umetumia Dawa Bila Mafanikio?

0
0

JE UMEPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME NA UMETUMIA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO?  Hakika nawashukuru wote mliotumia hii dawa na kunipa pongezi nyingi Sana sasa offa imeisha maana nilitoa ya wiki 2 tu     na watu wengi walioitumia wamepona kabisa dawa hii ni dawa ya maajabu kabisa na huwezi kuamini ila wengi walioitumia wameiamini maana kati ya watu 89 walioitumia ndani ya wiki 2 watu76 wamepona kabisa na watu 9 hawajapona na watu 4 hawajatoa majibu! Dawa hii ni dawa inayotibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na unapona kabisa, dawa hii ni dawa ya asili,(mitishamba) utaitumia mara moja tu na hautatumia dawa ya nguvu za kiume tena dawa hii inawafaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70 zaidi ya miaka hyo haitakusaidia watafiti wa dawa asilia pamoja na waganga pia mashirika ya watafiti wameikubali pia dawa hii inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi ukitumia hii dawa unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha inauwezo wa ajabu na tiba bora kabisa SOMA DALILI HIZI  kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa 2 kushindwa kurudia tendo la ndoa 3 kuwahi kufika kileleni dawa hii imesaidia watu wengi sana dawa hii imegunduliwa na dr kiboko mganga wa tiba za jadi kutoka mafia pia tunatibu matatizo mbalimbali kama mambo ya biashara, nyota, kesi, mapenzi, nk, pia tunahitaji WAKALA wa kupokea dawa zetu katka nchi ya KENYA, ZAMBIA, UGANDA, mikoani tunatuma kwanjia ya mabasi au fika ofisini kwangu  Mafia kisiwani  maelezo zaidi wasiliana na DR KIBOKO 0679923297

Baada ya Sanga kung'atuka Tarimba arudishwa kuiongoza Yanga

0
0

Baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga, Bodi ya wadhamini ya timu hiyo imemrejesha Mwenyekiti wa Kamati ya Mpito, Abbas Tarimba kuiongoza Yanga kabla ya kuitishwa kwa uchaguzi wa kujaza nafasi zilizowazi. 

Tarimba atashirikiana na Kamati yake kama ilivyoamuliwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama uliofanyika jijini Dar es alaam, Juni 10 2018. Tarimba na jopo lake wanakazi ya kukamilisha zoezi la usajili haraka sasa zikiwa zimebaki siku mbili pekee. 

Mashabiki na wanachama wengi wa Yanga wana imani na Tarimba, Rais wa zamani wa klabu hiyo ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wa mwanzo Yanga kupendekeza mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji mwishoni mwa miaka ya 90. 

Hivi karibuni Tarimba alifanikisha kuhuishwa mkataba wa Kelvin Yondani na sasa akiwa mbioni kumalizana na Hassani Kessy.

Hiki ndicho Alichoamua Hakimu baada Mbowe na Mashinji kutofika Mahakamani

0
0

Viongozi 9 wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya kufanya maandamano isivyo halali akiwemo Freeman Mbowe wanatarajiwa kusomewa maelezo ya awali (Ph), July 31,2018 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. 

Hatua hiyo imefikiwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri baada ya Wakili wa Serikali, Faraja Nchimbi kuomba wapangiwe tarehe ili washtakiwa wasomewe maelezo ya awali. 

Nchimbi amedai kuwa hatua hiyo inakuja kwa sababu July 20, 2018 Mahakama Kuu ilitupilia mbali maombi ya marejeo ya Mbowe na wenzake kuhusu maamuzi yanayotolewa na Mahakama ya Kisutu. 

Hata hivyo, Wakili wa utetezi Nashon Nkungu kwa niaba ya Peter Kibatala na Jeremiah Mtobesya amedai kuwa ni kweli Mahakama Kuu iliyatupilia mbali maombi yao ya marejeo lakini walionesha nia ya kukata rufaa na wamekwisha peleka kusudio la kukata rufaa Mahakama Kuu siku hiyo hiyo. 

Kutokana na hoja za kisheria, Hakimu Mashauri amesema anaahirisha kesi hadi July 31,2018 ili washtakiwa wasomewe maelezo ya awali (Ph). 

Katika kesi hiyo Mbowe hakuwepo mahakamani hapo na mdhamini wake aliiambia mahakama kuwa alipata taarifa Saa 10 alfajiri kuwa ameharibikiwa na gari akitokea Arusha. 

Kwa upande wa mshtakiwa wa sita ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk Vincent Mashinji naye hakuwepo mahakamani ambapo mdhamini wake ameeleza kuwa amekwenda katika kesi nyingine inayomkabili huko Songea. 

Washtakiwa waliokuwepo mahakamani ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu bara na Mbunge wa Kibamba John Mnyika, mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa Kawe Halima Mdee na mbunge wa bunda, Esther Bulaya. 

Wengine ni mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko. 

Washtakiwa hao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 13, ikiwemo kula njama, kufanya mkusanyiko wenye ghasia, kuhamasisha hisia za chuki, kushawishi hali ya kutoridhika, uchochezi na kushawishi utendaji wa kosa la jinai kati ya Februari 1 na 16, 2018, Dar es Salaam. 

CHADEMA Wapangua Tuhuma za Kuhusika na Mauaji ya Akwilina Akwiline

0
0

Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), limesema kauli ya Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ya kukihusisha Chadema na mauaji ya mwanafunzi Akwilina Akwiline, inalenga kukiwekea chama hicho vikwazo kwenye uchaguzi mdogo wa Agosti 12.


Akizungumza na wanahabari jana, Kamanda Mambosasa alisema askari waliokuwa wanashikiliwa na polisi wakihusishwa na kifo cha mwanafunzi wa chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) waliachiwa huru baada ya ushahidi kuwa hafifu.


Mambosasa alinukuliwa akisema, badala yake waliohusika ni Chadema waliohamasishaji maandamano yale ya kisiasa yaliyofanyika Februari 16, siku moja kabla ya uchaguzi wa Jimbo la Kinondoni.


Akwilina alipigwa risasi kichwani akiwa kwenye daladala wakati viongozi na wanachama wa Chadema wakiandamana kwenda Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kinondoni.


Akizungumza na wanahabari leo Julai 25, Mwenyekiti wa Bavicha Patrick Ole Sosopi amesema kauli ya Mambosasa inalenga kuwaaminisha wananchi kuwa shughuli za Chadema ni hatari na sio salama kwa watu kuhudhuria.


"DPP (Mkurugenzi wa mashtaka) alishafunga jalada la kesi ya Akwilina, lakini Mambosasa ameliibua upya tena wakati ambao tunaelekea katika uchaguzi ili kuonyesha kuwa maandamano yanasababisha mauaji. Propaganda kama hizi alitakiwa kuzifanya Polepole (Katibu Mwenezi wa CCM) na sio mtendaji wa chombo cha dola," amesema Ole Sosopi.


Amesema hata leo yakiitishwa maandamano ya nchi nzima kama polisi hawatumii nguvu kuyazuia, hayawezi kusababisha mauaji kwa kuwa mtu hafi kwa kuandamana bali kwa kusababishiwa kifo hivyo polisi wafanye uchunguzi wa kutosha.


"Anasema viongozi wa Chadema waliokuwepo pale walikuwa na silaha, kama wao ndiyo walihusika waseme ni silaha ya nani iliyotumika kwani kuna maganda yaliyookotwa? Hivyo uchunguzi ukifanyika mhusika atabainika lakini katika mkutano ule polisi ndiyo waliokuwa na silaha za kivita," amesema Ole Sosopi.


Pia wametoa wito kwa wanafunzi wote nchi nzima na wazazi kulilia damu ya Akwilina mpaka pale haki itakapotendeka, lakini pia wao wataandika barua kwa balozi zote hapa nchini kuzitaarifu kuhusu hali ya ukandamizaji wa haki za binadamu ili wachukue tahadhari wawapo hapa.

CHADEMA Wadai Kushitushwa na Kauli ya "CCM Itatawala Milele"

0
0

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kauli kuwa hadi ifikapo mwaka 2020 upinzani hautakuwepo na ile ya CCM itatawala milele, zinazidi kuwapatia mashaka. 


Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa CHADEMA , Benson Kigaila amesema kauli hizo na yale yanayojiri katika uchaguzi mdogo, vinawapa shaka kuwa kuna mpango usio wa heri.


“Tumepata nyaraka inayosambaa kwenye mitandao ina nembo ya Tume (ya Taifa ya Uchaguzi) na CCM wanaitumia kujitapa kushinda kata 30. Tunashindwa kuelewa kwa nini hatujapewa vyama inazunguka mitandaoni,”


Akizungumzia juu ya namna wanavyodhulumiwa  Kigaila amesema kwamba “Kata za Halmashauri ya Iringa Mjini pia wagombea wameondolewa kwa uonevu,”.


Hata hivyo kauli hii ya Bw. Kigaila inakuja ikiwa tangu siku moja ipite tangu Mwenyekiti wa UVCCM, Kheri Jame kusema kwamba CCM imejiandaa kupima ‘mitambo’ yake katika uchaguzi huo mdogo ili kuhakikisha inakifuta CHADEMA katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.


Katika kampeni hizo, James alisema kwamba “Nataka kuwaambia kwa namna mitambo yetu ilivyofungwa hakuna mgombea wa upinzani ambaye atashinda, na mwaka 2020 CHADEMA watabaki labda ya majimbo mawili tu kusini moja na kaskazini moja,”


Alisema katika kuhakikisha kazi zinafanyika vizuri, wabunge wa upinzani wataporomoka wote mwaka 2020 na CCM itakaa yenyewe ili kupitisha mambo ya maendeleo kwa Watanzania.


 Hata hivyo kauli Mwenyekiti wa UVCCM haijapishana na ya Mwenyekiti wa Chama hicho Rais John Magufuli  kwamba chama hicho kitatawala milele


“CCM ni chama tawala na kitaendelea kutawala milele na milele. Kwa wanaohangaika watapata tabu sana siku zote, siku hakuna mbadala ni CCM hadi milele. Wanachama wa CCM tembeeni kifua mbele tumeamua kuleta Tanzania mpya inayowapigania wananchi  hasa wanyonge ili waweze kushiriki katika maendeleo,”  alisema Dk. Magufuli.


Katika uchaguzi mdogo unaoendelea CHADEMA wamekuwa wakilalamika kuchezewa rafu na wapinzani wao huku wakieleza kwamba dola, pamoja na Tume ya uchaguzi imekuwa ikiwapendelea wenzao.

JE Dada Unapenda Shepu Bomba na ya Kuvutia, Weupe Bila Madoa na Sugu?

0
0
Baada ya utafiti wa miaka 18 sasa kampuni ya MARKSON BEAUTY imeingiza bidhaa bora kabisa zenye matokeo ya haraka zaidi BILA madhara yoyote.
TUNAZO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa:-
(a)Botcho multi plus ya kunywa @250,000/=
(b)Botcho multi function ya kupaka @200,000/=
(c)Vidonge (YODDI PILLS ORIGINAL) @250,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @150,000/=
5.Kuongeza urefu na upana wa uume pamoja na nguvu kwa:-
(a)Gely ya kupaka @150,000/=
(b)Vidonge maalumu kwa ajili ya nguvu na hamu ya tendo @150,000/=
(c)Max man 2plus ya kuongeza uume na nguvu pamoja na kuimarisha misuli @250,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
9.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378
UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr

Nishaurini: Nimegundua Pesa Ninazompa Anahonga Mwanaume Mwingine

0
0

Mimi ni kijana wa kiume nna miaka 27, kuna msichana nimekutana nae miezi minne iliopita, kiukweli ni mzuri sana pia ni mwanachuo hapa Dar, kiukweli nimemuhudia sana ndani ya miezi hiyo minne.

Nimemnunulia hadi kiwanja Chanika, simu nzuri, pesa za matumizi nampa nyingi tuu nimemwambia boom lake awasaidie wazazi nyumbani kwani aliniambia wako vibaya sana (maskini wa kutupwa)

Sasa juzi nimegundua kumbe pesa ninazompa ana kamwanamme kake nae anakahonga anasoma nako chuo.

Gharama nilizomgharamia nimecalculate ni zaidi ya M8, nikimuulza analeta kiburi anadai kama vipi tuachane.

Je, nifanyaje? Juzi washikaji zangu wamenishauri tuwateke wote tukawatese nje ya mji ikiwezekana tumuue huyo jamaa.

Mnanishauri nini?

Inauma sana

Msemaji wa Serikali atoa mrejesho wa ahadi za Serikali

0
0

MKURUGENZI wa Idara ya Habari (MAELEZO) ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Hassan Abbas, leo ameongea na wanahabari jijini Dodoma jinsi serikali ya awamu ya tano inavyoendelea kutekeleza kwa kasi ahadi zake. 

Alisema hadi kufika machi 2017, pato la taifa lilikua kwa wastani wa asilimia 7.1 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 7.0 kwa mwaka 2016 na kwamba serikali imetimiza ndoto ya kuendelea kulifufua shirika la ndege nchini (ATCL)  kwa kuleta ndegeaina ya Boeing 878 Dreamliner, ambapo ndege nyingine mbili za C Series zinakuja Novemba na Boeing nyingine moja itakayowasili Januari 2020. 

“Tangu ujio wa ndege hizi abiria wa ATCL wameongezeka hadi kufikia 107,207 katika mwaka 2016/2017 kutoka 49,174 mwaka 2015/2016 pia serikali imeendelea kutekeleza agizo la serikali kuhamia Dodoma ambapo takribani watumishi 6,400 wameshahamia,” alisema.

Sister Fey Amtolea Povu Steve Nyerere, Amtuhumu Kwa Kula Rambirambi.

0
0
Mwanadada Sister Fey amefunguka na kumtolea povu msanii wa bongo movies steve nyerere baada ya steve kumwambia Sister fey kuwa sio msanii kutokana namambo anayoyafanya katika mitandao ya kijamii yeye na mpenzi wake ambae amemzidi umri.

Akiwajibu waandishi wa habari, Fey anasema kuwa pamoja na kwamba Steve anamsema yeye sio msanii lakini amekuwa akimshangaa yeye kama kiongozi kila siku amekuwa akituhumiwa kwa kula rambirambi na michango mbalimbali ya misiba na shughuli mbalimbali.

Mi naona sasa hivi kwa sababu misiba haijatokea tu, na kwanini yeye ana niita mimi sio msanii kwanini ananiongelea sasa , mimi kama nani akiniongelea.kama mimi sio kioo cha jamii kwani yeye ni kioo cha jamii, kwanini anakula rambirambi za watu misibani huko.anafanya mambo mengi sana ambayo unayajua lakini tunaacha.
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live




Latest Images