Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104706 articles
Browse latest View live

Ufafanuzi Kuhusu Upotoshwaji Wa Bei Za Mafuta

$
0
0

1. UTANGULIZI
Moja ya majukumu ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) katika kudhibiti sekta ndogo ya mafuta ni pamoja na kushamirisha ushindani kwa kuweka mizania sawa ya ushindani; na kumlinda mtumiaji wahuduma. Katika kutimiza jukumu hili, EWURA hukokotoa bei kikomo za mafuta kwa nchi nzima ikizingatia gharama halisi za uagizaji wa mafuta ambazo hujumuisha bei ya mafuta katika soko la dunia, gharama za usafirishaji, kodi na tozo mbalimbali za serikali, faida ya wafanyabiashara na gharama za usafirishaji ndani ya nchi.

Kwa sasa mafuta yanapokelewa katika Bandari za Dar es Salam, Tanga na Mtwara, hivyo kuchochea uwepo na tofauti za bei Kikomo. Bei hizo kikomo hutangazwa kila Jumatano ya kwanza ya mwezi kwa kutumia kanuni maalum (Petroleum Pricing Setting Rules) iliyopitishwa kwa mujibu washeria. 

Kwa mujibu wa kanuni hiyo, bei yamafuta katika soko la dunia inayotumika katikakukokotoa bei ya mafuta kwa mwezi husika hapanchini ni ile ya miezi miwili ya nyuma kabla ya mafuta hayo kuanza kutumika. Kwa Mfano, bei za mafuta hapa nchini kwa mwezi Agosti, 2018 zita kokotolewa kwa kuzingatia bei zamafuta katika soko la dunia za mwezi Juni, 2018.

2. KIINI CHA TOFAUTI ZA BEI YA MAFUTA KATI YA DAR ES SALAAM NA TANGA KWA MWEZI JULAI 2018

Bei za mafuta kwa mwezi Julai 2018 zimeonekana kuwa na tofauti kubwa kati ya mafuta yaliyoingizwa nchini kupitia bandari ya Dar es Salaam na ile ya Tanga. Tofauti hiyo ya bei za mafuta inatokana  na sababu mbili kama zilivyoelezwa hapa chini-:

(a) Shehena zote za mafuta ya Petroli na Dizeli inayotumika kwa sasa ilikokotolewa kwa bei ya soko la Dunia la Mei 2018, bei ambazo kimsingi zimepanda kutokana na bei za soko la dunia kwa Mwezi Mei kupanda.

(b) Tofauti na mafuta yaliyopokelewa bandari ya Dar es Salaam, Mafuta Bandari ya Tanga kwa mara ya Mwisho yalinunuliwa Mwezi Aprili, 2018, ambapo bei zake katika soko la Dunia la Machi, 2018 ilikuwa haijapanda kama ilivyopanda kwa Mwezi Mei, 2018.

Kwa kuwa Tanga wameendelea kutumia mafuta yaliyoingizwa Machi, 2018, bei zake zimekuwa za chini ikilinganishwa na mafuta yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam. (Mara ya mwisho kukokotoa bei ya mafuta yaliyopokelewa kupitia bandari ya Tanga ilikuwa mwezi Mei, 2018, na bei hiyo ilikokotolewa kwa kuzingatia kuwa mafuta hayo yalinunuliwa kwa bei ya soko la dunia ya mwezi Machi 2018.)

Bei ya reja reja kwa mkoa wa Tanga ni Sh 2,234/lita kwa Petroli na Sh 2,168/lita kwa  Dizeli, wakati kwa mkoa wa Dar es Salaam ni Sh 2,409/lita kwa Petroli na Sh 2,329/lita kwa Dizeli. Hivyo bei za mafuta kwa mkoa wa Tanga ziko chini kwa kiasi cha Sh 175/lita kwa Petroli na Sh 161/lita kwa  Dizeli ukilinganisha na bei za mkoa wa Dar es Salaam. Kwa sababu hiyo mafuta ya Tanga yamekuwa na bei ya chini kuliko yanayotokea Bandari ya Dar es Salaam.

3. ONYO:

EWURA inatoa onyo Kali kwa wote wanaosambaza habari za kupotosha kwa suala hili kwani kinachofanyika ni kutaka kuvuruga soko hatua ambayo itatafsiriwa kama ni uhujumu uchumi. Hivyo basi atakayebainika atachukuliwa hatua kali za kisheria.

IMETOLEWA NA:
Idara ya Mawasiliano na Uhusiano
Julai 26, 2018
Dodoma.

Almas Mzambele Afunguka na Kudai Babu Tale Ataiua WCB

$
0
0

Almas Mzambele ambaye alikuwa mfanyakazi wa WCB kwa miaka mingi kabla hajaonekana amefunguka na kudai mtu pekee ambaye ataiua WCB ni Meneja Babu Tale.

Almasi Mzambele alikuwa mtu ambaye alikuwa anashughulikia mambo ya mitandao ya kijamii WCB amefunguka kwa mara ya kwanza tangu ameondoka kwenye Label hiyo.

Kwenye mahojiano na Bongo 5, Almas amefunguka mazito juu ya uongozi wa kampuni hiyo ambao ndio amedai una matatizo zaidi na unaweza kuua Label hiyo.

Tatizo pale lipo  kwenye uongozi wa WCB ambapo mwenye matatizo zaidi ni Babu Tale anayejiita meneja namba moja yaani anavuruga watu mpaka wanaacha kazi sio mchezo.
Babu Tale ndio mtu anayepelekea kuiua WCB kuna vitu vingi anakuwa anavifanya nyuma ya pazia ambavyo kama watu wangevifahamu sidhani kama wangetamani kumuona yeye anaendelea kuwa na Diamond kwa sababu naamini huko mbeleni sidhani kama tutaendelea kumuona Diamond huyu tunayemuona sasahivi”.

Lakini pia Almas aliendelea kutaja maovu ya Babu Tale:

Yaani kifupi tu Babu Tale ni mbinafsi na ni mmwinyi anapenda yeye ndio aonekane msemaji wa mwisho k a sababu ndio ametangulia kufahamiana na Diamond kwaiyo mkitofautiana mtazamo tu basi yeye anaanza kuleta visa vyake”.

Baada ya Msiba Mzito, Muna Aanza Kujirudisha Mitandaoni

$
0
0
MUIGIZAJI Muna Love ambaye hivi karibuni alipata msiba kwa kuondokewa na mtoto wake, Patrick, amefunguka na kusema kila binadamu hupitia magumu lakini haimanishi kwamba Mungu anakuwa amekuacha badala yake anakufanya uwe imara na kumwonyesha shetani kwamba ‘wewe ni mtoto wake’.

Muna ametoa kauli hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram na kumshukuru Mungu kwa yote aliyomtendea huku akisisitiza kwamba ataendelea kumtumikia muumba wake milele.

“Mungu anawapenda watu wote bila kujali wewe ni nani na unatabia gani mbele zake …na atatumia njia anazojua ili zikufikie na umtambue urudi kwake ukazaliwe upya… na hata pale anakupa jaribu sio kama hakupendi au anataka akuumize hapana, anakupa jaribu na pia anajua utaliweza na hatoweza kukuacha kamwe atakupa na njia za kupita.

“Mungu kwenye kila jaribu lile la aina yoyote jua yupo nyuma yako na anakukomaza ili kumuonyesha shetani kua wewe ni mtoto wake na anajivunia wewe sasa ,usiwaze kumuhukumu Mungu au kuumia kwanini umepitia hilo bali mshangilie na kumtukuza uone matunda atakayokupa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

“Asikudanganye mtu Mungu awezi kukuacha upitie gumu bila kukupa njia na roho mtakatifu akakuongoza asante Mungu wangu nitakutumikia milele,” amesema Muna.

Esma Amnanga Hamisa Mobetto 'Anatabia Mbaya Ndio Maaana Hatuna Time Nae'

$
0
0
Dada wa msanii Diamond Platinumz  Esma Platinumz amefunguka na kusema kuwa kwa upande wa familia yao hawana kinyongo kabisa na mwanadada Hamisa Mobeto ambae amezaa na kaka yao mtoto mmoja wa kike kama ambavyo inazagaa katika mitandao ya kijamii kwa sababu hawajawahi kusema  swala hilo.

Akiongea katika hafla ya mtoto wa zamaradi, Esma anasema kuwa hamisa amekuwa akijihisi kuwa anachukiwa lakini ukweli ni kwamba hakuna kitu kama hicho.

Yeye anajihisi tu , alkini ukweli ni kwamba hatuna muda nae, hatuna time nae, wala hatumjali sana,hatuna stori nae na ndio maana hata tukicomment hatumtagi mtu.kwakweli hatuna muda na mtu.

Esma alipoulizwa kuhusu  swala la kwamba wamekuwa wakimchukia moto wa Hamisa na Hamisa mwenyewe na hata kufikia hatua ya Diamond kuwaomba ndugu zake kumpenda mtoto wake Esma anajibu

“Sijawahi kutamka kuwa namchukia mtoto wake na mbona nina mposti sana, sema saa zingine tabia za mama zinaweza  kuchangai kwa kiasi kikubwa kumdhuru mtoto pia

Ali Kiba Ashindwa Mziki Akimbilia Kwenye Soka...Asajiliwa Kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja

$
0
0
BAADA ya Coastal Union kufanikiwa kumpa mkataba wa mwaka mmoja mwanamuziki maarufu nchini, Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’, uongozi wa timu hiyo umesema hautamzuia kufanya kazi yake ya kuimba.

 Akizungumza na Championi Ijumaa, meneja wa timu hiyo, Said Hilary alisema Ali Kiba ni mchezaji mzuri na ameenda kwenye timu ya mpira na lengo lao kubwa ni kuitangaza Coastal.

 “Tumemsajili kwa mkataba wa mwaka mmoja na tunafahamu yeye ni mwanamuziki kwa hiyo akiwa na shughuli zake za kimuziki ataendelea na shughuli zake kama kawaida na akiwa yupo huru basi atacheza kuisaidia timu maana tuna uamini uwezo wake ndiyo maana tumemsajili,” alisema Hilary.

Na Isaya Mbena, Championi Ijumaa

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Kutana na Sharifu Seif Mohammed Mtaalam wa Tiba za Asili Tanzania

$
0
0
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.



Sharifu seif Mohammed ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)



Sharifu seif Mohammed ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..) Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?

Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio? Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo.. Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.

Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?

Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim khatibu Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi.. Sharifu seif Mohammed Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..

Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..

ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..

MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..

Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti.. Kwa mawasiliano na ushauri zaidi



Mobile + 255 654 836970

WhatsApp +255 756 033670

NB: Ni vyema kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate huduma kwa haraka

Rich Mavoko WCB, Haya Yanaonyesha Kuwa 'Imebaki Stori Imemrudia yeye Mwenyewe'

$
0
0
“MWAKA 2010 nilitoa wimbo wangu wa kwanza wa Uzuri Wako, kazi hii ilikuwa ina vikwazo vingi sana ila tukafanikisha lokesheni, lakini msanii niliyefanya naye kazi sikumpata kwa muda na aliyesaidia hili alikuwa rafiki yangu Rama na mwenzake HK haikuwa rahisi kabisa kama tunavyoiona na mpaka kumpata video queen niliyekuwa natamani kufanya naye kazi kwa wakati huo alikuwa wa moto sana anaitwa Lulu (Elizabeth Michael).

“Usichokijua kwenye hii video, ndoto yangu kubwa nilitaka kufanya na Adam Juma suala hili lilikuwa gumu kwa kipindi hicho, kipato kilikuwa kidogo ikabidi Adam atupe mtu anaitwa Mejja ambaye alikuwa Visual Lab hapohapo tukashukuru ila mimi moyo wangu nilitamani sana Adamu Juma kwani ndo ilikuwa ndoto yangu kubwa kufanya naye kazi.

“Sikuchoka kujitahidi hatimaye video yangu ya Silali nikafanya na Adam Juma, pia kazi hii ilikuwa na matatizo mengi ambayo kiubinadamu sipaswi ya sema namshukuru sana Adam alilimaliza suala hili likawa limekaa sawa…ninachotaka kusema hapa ni kwamba safari yangu ya kufanya video ni ni funzo kwa vijana ambao wanatamani kuwa wasanii wa muziki huu una VIKWAZO.

“Usije ukawa mtu wa kulalamika maana kumbuka hivi vitu haviji kirahisi kudharaulika ni kawaida sana, tena usije ukasusa maana haitukusaidia kaza mana safari yake kuna mawili kupata au kukosa ila moyoni mwake jiwekee kupata ili uwe na moyo hata pale unapokosea kwamba ufanye kwa bidii ipo siku kuchoka kwenye kazi hii ni mwiko. Pia ni kazi ambayo inahitaji uwe mpole sana mana kila mtu atatamani kukuelezea tofauti mara unaringa palePicha inayohusiana
unapoonekana unapata so ishi nao vizuri jaribu hata kujishusha ishi kama bwege na kuheshimu hata kitu kidogo ambacho unaambiwa ingawa muda mwingine unaona kabisa hichi siyo ila sikiliza maana kwenye maneno kumi utakayoambiwa huenda kuna ukweli hata robo au nusu.”

Najaribu kukumbusha tu baadhi ya maneno ambayo Rich Mavoko aliwahi kuyaweka mtandaoni siku chache baada ya kusainiwa na Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB). Mavoko ambaye jina lake la kuzaliwa ni Richard Martin ni miongoni mwa wasanii wakali kuwahi kutokea katika muziki wa Bongo Fleva, ana nyimbo nzuri, ni mtunzi mahiri wa mashairi na pia ana sikio la kumrekebisha prodyuza.

Jaribu kutega sikio kwenye ngoma zake kama vile Silali, Follow Me, Wanakutamani, Uzuri Wako, Sheri, Rudi, Roho Yangu, Kokoro kisha nifuate kwa hoja! Uwezo wa Mavoko ulikuwa juu na wengi walikuwa wakifananisha levo zake sawa na wakali wengine kama vile Alikiba na Diamond.

June 2, 2016, Mavoko alitambulishwa rasmi ndani ya Lebo ya WCB na kuungana na Harmonize na Rayvanny kipindi hicho. Mengi yaliong-elewa kuingia kwake huko huku wengine wakienda mbali zaidi na kumuona kama anajic-himbia kaburi lake mwenyewe. Miaka miwili sasa imekatika, Mavoko hajawika kivile ndani ya WCB kama ilivyokuwa kwa wasanii wenzake, Harmonize na Rayvanny. Mara nyingi ameonekana kama kuwa nyuma ya wasanii hao hususan katika mpangilio wa kutoa kazi mpya.

MAVOKO AMEJITOA?

Tetesi za ‘town’ ni kwamba Mavoko amejitoa ndani ya WCB, vipo viashiria vinavyoweka wazi kuwa hayupo na lebo hiyo; la kwanza, kwa sasa Mavoko ameachia wimbo wake mpya unaoitwa Happy. Kama ilivyo kwa wasanii wote wa WCB, kuanzia audio huwa una viashiria kuwa yupo lebo hiyo lakini hakuna.

Pili, msimamizi wake mkuu, Diamond Platnumz amekuwa karibu na Mavoko pindi anapoachia kazi mpya’ lakini hadi sasa hakuna sapoti yoyote inayoonekana na hiyo inadhihirisha kuwa hawapo vizuri. Tatu, video aliyoachia nayo kama ilivyo kwenye audio, haina viashiria vya kuonesha imesimamiwa na WCB.Tokeo la picha la RICH MAVOKO
MAVOKO ANASEMAJE?

Showbiz lilimtafuta Mavoko kujua ukweli wa hili ambapo alionesha ‘kuwaka’ juu ya ukweli.“Siwezi kuongea lolote kwa sasa labda utafutwe uongozi wa WCB ndo unaweza kuongelea hili.”

BABU TALE ANENA

Upande wa Meneja wa WCB, Babu Tale naye alitafutwa kujua hili alisema WCB kuna utaratibu wa kuachiana nafasi na kwa Mavoko ndiye aliyekuwa anafuata. “Sioni haja ya kuongopa kwamba hayupo WCB, kwa sababu hata asipokuwepo lazima itajulika tu kwa watu kwamba hayupo, Mavoko yupo ila wakati yanatokea haya yote alikuwa na matatizo yake, pia alikuwa bize anashuti nyimbo zake.”


WENGINE LIPOJE HILI

Ipo ‘theory’ kuwa wanamuziki wote wanaong’ara chini ya mwamvuli wa staa huwa hawakui. Rejea msanii Mayokhoun na Bred ambao walikuwa wakali lakini wakawa chini ya Davido hadi leo hawajulikani walipo. Yuko wapi Corede Bello, kinda wa Don Jazz? Hata Tekno kama siyo kushtukia kujitoa kwa Davido asingekuwa staa mkubwa Afrika. Rudi Bongo, tupa jicho lako kwa Barakah The Prince aliyekuwa chini ya Kiba, Neddy chini ya Dimpoz au nenda Congo DR waone Fally Ipupa na Fere Gora waliokuwa chini ya Koffi Olomide.

Imebaki Stori

Ikumb-ukwe wakati Mavoko anaingia WCB, wimbo wake wa kwanza ulikuwa imebaki stori na kichupa kilienda kutengenezewa Sauz ‘Afrika Kusini’ na sasa ameonesha wazi kuachana na lebo hiyo na vyote alivyovifanya kwao IMEBAKI STORI.

STORI: MEMORISE RICHARD

Baada ya Yanga Kunusurika Kukimbiwa na Yondani Hichi Ndicho Wameamua Sasa

$
0
0
Hatimaye uongozi wa klabu ya Yanga umekata mzizi wa fitina kwa kumalizana na mchezaji wake, beki Kelvin Yondani kwa kusaini naye mkataba wa miaka miwili.

Hatua hiyo imefikiwa mwafaka mara baada ya mazungumzo mrefu baina ya uongozi na Yondani kumalizana vizuri.

Mkataba huo amesaini zikiwa zimesalia saa kadhaa dirisha la usajili nchini kufungwa wakati hapo awali alikuwa anatajwa kutua Simba.

Licha ya tetesi za beki huyo kuelezwa anawindwa na Simba, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Haji Manara aliibuka na kukanusha vikali kauli hiyo akisema hakuna ukweli wowote juu ya Yondani kuhitajika Simba.

Beki huyo sasa atasalia Yanga mpaka mwaka 2020 baada ya kutia kandarasi hiyo ya miaka miwili kuendelea kukipiga na Yanga

Leo ndio Leo, Inasemekana Mwezi Utapatwa Usiku Kwa Muda Mrefu Kuwahi Kutokea Duniani

$
0
0

Kama umefanikiwa kuiona Ijumaa ya leo Julai 27, 2018 basi mshukuru Mungu sana kwani umepata bahati ya kushuhudia tukio kubwa la kupatwa kwa mwezi usiku wa leo.


Kwa mujibu wa maelezo kutoka kwenye Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) tukio hilo litatokea majira ya kuanzia saa 4:30 usiku hadi 6:14 .

Tukio la kupatwa kwa mwezi linatarajiwa kuonekana vizuri katika maeneo mengi ya bara la Afrika, Asia na Ulaya. Hapa nchini Tanzania tukio hilo linatarajiwa kuonekana katika maeneo mengi na linatarajiwa kudumu kwa takribani masaa mawili.

Kupatwa kwa Mwezi hutokea wakati Dunia, Mwezi na Jua vinapokuwa kwenye mstari mmoja. Hali hiyo inapotokea mwanga wa jua unaofika katika uso wa mwezi huzuiwa na duara la Dunia. Katika mpangilio huo nuru ya Mwezi huonekana kuwa na giza (Total Lunar Eclipse), hali inayotarajiwa kujitokeza katika maeneo ya bara la Afrika, Asia na Ulaya usiku wa leo tarehe 27 Julai 2018.

Kupatwa kwa Mwezi husababisha mabadiliko katika nuru ya mwezi na hivyo kufanya nuru ya mwezi kuwa hafifu(Partial Lunar Eclipse) au kuwa giza (Total Lunar Eclipse). Kwa kuwa kupatwa kwa mwezi kutatokea kipindi Mwezi ukiwa mbali zaidi na Dunia, inatarajiwa kuwa tukio hili litaonekana kwa muda mrefu zaidi ukilinganisha na matukio mengine katika karne ya 21.

Faiza Ally Adai Sugu Atakuwa Amelogwa Vibaya Sana

$
0
0

Muigizaji wa Bongo movie na mjasiriamali maarufu Faiza Ally amerudi tena kwenye headlines na sakata la mzazi mwenzake ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu.

Faiza amemtolea povu zito Sugu na kudai atakuwa amelogwa maana matendo anayefanya sio ya kawaida hata kidogo na anaamini hakuwa hivyo zamani wakati wako wote.

Faiza amefunguka hayo baada ya sakata lao la juzi ambapo Faiza alimtolea povu Sugu Kwenye mitandao ya kijamii na kumtaka amuheshimu baada ya Sugu kumtuma Mke wake kufanya shopping ya Faiza badala ya kumpa pesa.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Refresh cha Wasafi Tv, Faiza ameongea haya:

Kwa jinsi ninavyomjua Baba Sasha ni mtu ambaye ana akili zake lakini sijui labda kalogwa kwa sababu nilijua naye mpaka mtoto akakua kuwa na alikuwa responsible father kwa wakati huo kwa nini sasa hivi amekuwa na mwanamke mwingine amebadilika”.

Faiza aliendelea kuelekeza tuhuma za kulogwa kwa Sugu:

Mimi nadhani atakuwa amelogwa tena atakuwa amelogwa milogo mibaya ambayo yeye mwenyewe hajui kwa sababu katika hali ya kawaida huwezi kuleta matatizo Kwenye kumlea mtoto mwenyewe mmoja halafu uwezo unao kama hajalogwa atakuwa na matatizo ya akili”.

Mke wa Mshikaji Wangu Aniduwaza!

$
0
0
Jana nimeduwazwa sana baada ya mke wa rafiki yangu kunitamkia wazi kuwa ananipenda na anataka kutoka na mimi.

Tangu nifahamiane naye miaka takribani mitano sasa tumekuwa tukiheshimiana naye sana kama mashemeji. mwaka huu akaniambia kuwa mumewe ameanza kubadilika kwa kuzidisha ulevi, kuchelewa kurudi nyumbani na wakati mwingine kulala nje na pia alizifuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mumewe kutoka kwa mtu aliyemsave kwa jina la kiume, hivyo nimsaidie kumshauri ili abadilke ila akanionya nisimwambie kama ni yeye ndiye kaniambia.

Nilimtia moyo kuhusu hali hiyo na kumwomba awe mvumilivu na asichoke kuongea na mumewe kuhusu hali hiyo ili abadilike. Binafsi nilipata wakati mgumu wa namna gani nitamshauri jamaa bila kumtajia makosa yake na wapi nimeyapata hivyo nikashindwa hiyo kazi.

Mke wa jamaa akaanza kunipigia simu usiku kulalamika kila mumewe anapochelewa kurudi na wakati mwingine akinipigia alfajiri kuniambia kuwa mumewe hajarudi hadi muda huo. Niliendelea kumtia moyo ingawa mambo hayo yalikuwa ni ya kweli.

Cha ajabu kuanzia wiki jana amekuwa akinitumia meseji za mapenzi, nikajua ni hizi meseji ambazo watu hutumiana hivyo sikujali sana hadi pale aliponiandikia akiniambia kuwa yuko serious anataka kutoka na mimi. Sikuamini nikampigia simu kusikia sauti yake kama ni yeye kweli, ndipo aliponithibitishia kuwa yuko serious na atatunza siri na kunitunzia heshima yangu kwa jamaa kwani tayari moyo wake umeangukia kwangu.

Sikuweza kumjibu kitu kwa namna nilivyopatwa na mshangao. hadi sasa anaendelea kunibembeleza na kunipa mbinu nyingi za kutimiza lengo lake bila kujulikana na watu.

Binafsi sina lengo la kumsaliti mshikaji wangu ila nimelileta kwenu ili mnishauri nimjibu vipi huyu mwanamke ili heshima yangu kwa familia hii iendelee kuwapo na pia kusitokee chuki yoyote kutokana na kadhia hii itakayopelekea urafiki wangu na familia hii kuyumba au kupotea.

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Diva Awananga Wanaume Aliowahi Kuwa Nao Kwenye Mahusiano

$
0
0

Mtangazaji wa Clouds Fm Loveness Malinzi maarufu kama Diva amewarushia madongo wanaume ambao amewahi kuwa nao Kwenye Mahusiano ya kimapenzi siku za nyuma.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diva amedaiwa wanaume wote aliokuwa nao Kwenye Mahusiano walipata umaarufu Kupitia Jina lake na sasa baada ya kuwaacha hawana kitu tena;

Wanaume wote niliowahi kuwa nao ni watu waliopata sana jina katika tasnia kwa kutumia jina la Diva kama mpenzi wao lakini baada ya kuwaacha Keisha habari yao hawana jipya hamna anayewaongelea hawana tena so called kiki tena so who made them famous”.

Lakini pia Diva aliendelea kujitapa kuwa ana nyota ya umaarufu ndio maana wanaume wote aliowahi kuwa nao walipata umaarufu Kupitia na yeye:

Mimi ndio niliwapa unaarufu hai watu ndio ujue watu na nyota zetu, Love me or hate me Ima star and I always shine…dear exes mshakuwa underground anzeni Tena hamjachelewa ila ndio hivyo pambaneni na hali zenu “.

Lakini Diva aliendelea kuwapa makavu na kuwa kuwataka wamuheshimu maana lawama jina mjini na walijulikana kwa sababu yake Ilan sasahivi kawaacha wanamiss kuandikwa.

Diva ameshawahi kuwa Kwenye Mahusiano na watu kadhaa maarufu kama vile Msanii mkongwe wa Bongo fleva Crazy GK, Heri Muziki, MO Racka na Mwanasiasa

Tabia Nne za Mpenzi asiyekuwa na penzi la kweli

$
0
0
WIKI iliyopita tuliona baadhi ya dalili ambazo zinaweza kukupa mwelekeo wa kujua kama mpenzi huyo ameumbwa kwa ajili yako, ama la, lakini wiki hii tunaangazia na kuzijua walau dalili Nne za Mpenzi ambaye hana mapenzi ya dhati nawe.

Ifahamike kuwa hakuna asiyehitaji mapenzi ya kweli ingawa kuna wapenzi wanaothamini penzi wmenzi wake anapokuwa na pesa au kazi Fulani na baada ya hapo hujitoa katika mahusiano hayo hali ambayo huleta kwikwi katika mtima wa moyo wa anayefahamu kupenda.
I

1.      Muongo

Hakuna asiyefahamu athari za mtu muongo katika jamii, vivyo hivyo ndivyo ilivyo katika mapenzi uongo ni sumu mbaya na nidalili moja wapo ya kuonyesha kuwa mpenzi wako hana penzi la dhati nawe na huyo aweza kukuletea athari za kufikiri hapo baadae endapo hautakuwa makini nae.

Hivi karibuni nilikuwa mjini Mbeya nikipata chakula katika moja ya mgahawa uliopo mkabala na Posta, katika mgahawa huo nilikutana na vijana wawili na msichana mmoja wakiwa wanakula chakula ambapo kati ya kijana mmoja alionekana kuwa ni mpenzi mpya wa yule binti ambaye alisikika akisema kiwa ‘’ukija kwangu atakalia sofa ambazo hujawahi kuziona maishani’’ hali iliyonishtua na kuelewa mara moja kati ya tabia alizonazo kijana yule ambaye anaonekana ni mcha Mungu.

Hivi utajisikiaje Mpenzi wako akigundua kuwa ulikuwa ukimdanganya na hatimaye yeye akajua ukweli wa suala ulilokuwa ukimpiga fiksi? Lakini ushauri wangu si kumacha bali jaribu kumshauri kwa hekima na akiendelea na tabia hiyo ujue kuwa hana mapenzi ya kweli kwako.

2.     Kupenda pesa

Ukiona mpenzi wako wa kike ama kiume anapenda sana kupata pesa kutoka kwako tambua ni moja ya dalili ambazo zinajieleza kuwa hana mpango nawe bali analazimika kuwa nawe kutokana na pesa ama kipato chako. Mpenzi wa namna hiyo ili kujihakikishia dalili hii siku moja akikuomba pesa hata kama ameziona mwambie kuwa huna, hapo yupo tayari kuvunja hata mahusiano kwasababu kitu muhimu kwake hajapata na wala wewe si muhimu tena kwake.

Nieleweke kuwa sisemi pesa ni mbaya katika mapenzi, la hasha bali pesa na mapenzi ni sawa na trafiki na kondakta katika mambo Fulani yale………ya kuchafua mifuko kwenye nguo nyeupe……………na ni muhimu wapenzi mkapenda kupeana maarifa ya kufanya kazi halali ili kujipatia vipato kwa ajili ya kuepukana na hili.

3.     Hajali kutokuwa jirani na wewe.

Mpenzi anaye kupenda muda mwingi hutamani kuwa nawe karibu na inapotokea hamjaonana hata masaa sita au matatu hujisikia shida ambapo kwa wengine hufikia kupiga simu na ukimuuliza anasemaje atakuuliza maswali yaliyoshonana kama ushanga mara upo wapi? Umekula? Na upo na nani? Na maswali mengi ya namna hiyo ili mradi moyo wake utulie.

Endapo Mpenzi wako mkiwa mbali naye kwa muda wa masaa mengi na yeye akaonyesha kuwa hakukosa chochote kutokuwa nawe karibu ama kuwasiliana nawe basi ujue kuwa mpenzi huyo ni kimeo yaani hana mapenzi ya dhati kwako.

4.     Anapenda kukuudhi

Dalili ya Nne ya mpenzi asiyekuwa na mapenzi ya dhati nawe ni yule anayependa kukuudhi mara kwa mara kana kwamba anatafuta sababu ya kuachana nawe lakini anashindwa kutamka bayana kuwa haitaji tena kuwa nawe.

Maudhi hayana budi kutokea pale inapobidi kwa bahati mbaya sana na si kwa makusudi, lakini wapo wapenzi wanaowaudhi wenzao kwa makusudi huku wakiendelea kusisitiza maudhi hayo kama utani na kujua kwa makusudi kuwa anamuumiza mwenzi wake bila kuomba msamaha. Ingawa kuomba msamaha ni kipaji na hasa katika mfumo dume ambao unaonesha kuwa mwanaume anapoomba msamaha basi ujue katumia njia nyingi za kumaliza tatizo hilo zimeshindikana hivyo kaomba msamaha kwa kulazimika sana na kwa siri.

Mpenzi msomaji wa safu hii, baada ya kuona dalili hizo za mpenzi asiyemwaminifu kwako, je wajua kuwa tendo la ndoa lina faida kubwa katika afya yako? wiki ijayo jiandae kujua faida nane za kufanya ngono kiafya.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Ijumaa

Mapenzi yamemchanganya Chioma wa Davido Mpaka Kaacha Chuo?

$
0
0
Tetesi zinazoendelea kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusiana na mpenzi wa sasa wa superstar Davido ambaye ni Chioma kufikia maamuzi ya kuacha chuo na kuhamisha maisha yake katika mapenzi na staa huyo hii ni baada ya kuonekana kukosa vipindi darasani.

Inadaiwa kuwa baba yake Chioma ambaye ni mchungaji hajapendezwa na taarifa hizo za mtoto wake kukosa vipindi na kufikia maamuzi hayo ya kuacha chuo ikiwa Chioma ni mwanafunzi wa chuo cha Babcock kilichopo Nigeria na alikuwa akifanya course ya uchumi tokea 2012 na kusemekana kuwa alitakiwa kumaliza elimu hiyo mwaka 2016.



Taarifa nyingine zinadai kuwa Chioma hajahudhuria masomo yake ndani ya mwezi mmoja katika chuo hicho na kuhusishwa  kuwa amekuwa na safari nyingi za nje na mpenzi wake Davido  huku marafiki zake wa karibu wakidai kuwa hawaoni dalili za Chioma luridi tena chuoni.



Huku tuhuma zingine zikidai kuwa baba wa Chioma aliwahi kuzungumza naye na kumtaka mwanae amalize shule kwanza kabla hajajihusiha na ishu za ndoa na wengi wanaamini kuwa Chioma na Davido wanaishi kama wanandoa kwa sasa.

Mbwana Samatta Kucheza Ligi Moja na Messi

$
0
0
Jina la nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta ameanza kuzivutia club za Ligi Kuu Hispania na hiyo imeripotiwa na mtandao wa macholevante.com kuwa wanamuhitaji

Mbwana Samatta ameripotiwa na macholevante.com kuhitajika na club ya Levante ya Hispania ambayo itashiriki Ligi Kuu Hispania msimu wa 2018/19, Levante imeonesha jitihada za kutaka kumsajili Samatta kufuatia kuumia kwa mshambuliaji wao Emmanuel Boateng.

Levante wametenga kiasi cha euro milioni 4 ambazo ni zaidi ya Tsh Bilioni 10.6 ili kunasa saini ya Samatta ambaye pia inaripotiwa kuna timu ya Ligi Kuu Ujerumani Bundeslinga inamtaka staa huyo, kama Samatta atajiunga na Levante atakuwa kapata nafasi ya kwenda kucheza Ligi moja na Lionel Messi wa FC Barcelona.

Mbwana Samatta ambaye alijiunga na KRC Genk mwaka 2016 akitokea TP Mazembe kwa ada ya uhamisho wa euro laki 8, hadi sasa ameichezea Genk jumla ya mechi 54 na kuifungia magoli 17 na magoli mawili katika michuano ya UEFA Europa League.

Abdul Nondo Amekamatwa na Polisi Chuoni, Sababu zaelezwa

$
0
0
Leo July 27, 2018 Taarifa ya kuifahamu ni kumhusu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo ambapo inadaiwa amekamatwa tena na Polisi na kulala katika Kituo cha Polisi Chuo Kikuu DSM.

Taarifa iliyotolewa inasema Nondo amekamatwa usiku jana July 26 majira ya saa tatu usiku akiwa chuoni hapo pamoja na baadhi ya wanafunzi wenzie.
VIDEO:

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upugufu wa Nguvu za Kiume, Busha, Kisukari na Vidonda vya Tumbo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO? BUSHA BILA KUPASUA KISUKALI NA VIDONDA VYA TUMBO? asilimia kubwa ya wanaume wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo

NI NINI KINACHOSABABISHA UUME KUZIDI KUWA MDOGO NA WEMBAMBA 1 kuugua chango LA uzazi 2 unene kupita kiasi 3 kuvaa nguo au chupi za kubana 4 kupiga punyeto kwa mda mrfu ,NI NINI TIBA YAKE MAKAKANUA MIX nidawa ya mitishamba iliyochanganywa NA mizizi kumi NA mbili urfusha NA kunenepesha UUME saizi upendayo ich 5,6,7, NA 8 kwa urfu NA sentimita 3,4, na 5 ipo dawa ya kunywa na kupaka NI NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupungukiwa kwa homoni ya testerone 2 kuhudhurika kwa Neva au uti wa mgongo 3 utumiaji holela wa madawa ya kizungu 4 usongo wa mawazo na asira 5 utumiaji wa vyakula vya mafuta mengi NI NINI TIBA YAKE MAPRO POWER NO 2 NDIO tiba tosha kwa sasa kwani utibu matatizo matatu kwa pamoja 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 adi 20 ,2 itakufanya urudie tendo zaidi Mara tatu 3 uhimalisha uume uliolegea na kusinyaa OKOA NDOA YAKO SASA ujihepusha na lawama ndani ya ndoa yako au pale ukutanapo na mpezi dawa hii itamfanya mpenzi wako hakueshimu na hasitoke nnje ya ndoa na ata wazee wenye umri mkubwa wanapona zipo dawa za kupunguza kitambi,minyama uzembe, presha ,kisukar mvuto wa mpezi au biashara FIKA OFISINI KWETU MBAGALA ZAKHEMU na wateja wa kanda ya ziwa yupo wakala wetu mwanza mjini au piga simu 0752348593

DR MABULA na utaletewa popote ulipo uduma hizi
Viewing all 104706 articles
Browse latest View live




Latest Images