Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Kajala na Wema Sepetu Bado Paka na Panya, Wakwepana laivu Kwenye Sherehe

$
0
0
WASANII wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja zamani walikuwa marafiki wa kupika na kupakua kabla ya kugeuka kama paka na chui, juzikati kwenye sherehe ya arobaini ya mtoto wa mtangazaji Zamaradi Mketema walikwepana na kushindwa kusalimiana.

Katika tukio hilo, Kajala ndiye aliyekuwa wa kwanza kufika kwenye sherehe hiyo ulipofika muda wa kuitambulisha kamati ya maandalizi mbele ya mashabiki, Kajala alijitokeza mbele pamoja na wanakamati wenzake lakini baada ya muda Wema aliingia kwenye sherehe hiyo.

Sherehe ikiwa imenoga na wageni walipozidi kuongezeka, Zamaradi aliwaomba wanakamati watoke tena mbele wajitambulishe tena ambapo muda huu wanakamati walijimwaya tena mbele ya mashabiki akiwemo Wema lakini Kajala hakutokea kama ilivyokuwa awali.

Jambo lingine lililoonesha wawili hao kukwepana lilijidhihirisha kwa jinsi walivyokaa ambapo wanakamati wote ambao waliovaa sare walikaa kwenye meza maalum lakini Kajala alikwenda kukaa upande mwingine akiwa na Johari na Shamsa Ford ambaye naye alikuwa amevaa sare ya kamati.

Na: Richard Bukos

Natamani Kucheza na Wema Sepetu – Aslay

$
0
0

Muimbaji Aslay amedai anavutiwa na muigizaji wa mrembo Wema Sepetu katika filamu na kudai endapo siku ataamua kuingia katika uwanja wa uigizaji rasmi basi ni lazima atafanya naye kazi.


Akiongea kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa mubashara kupitia ukurasa wa facebook wa EATV, Aslay amedai Wema Sepetu ni mtu wa kwanza ambaye anatamani kufanya naye kazi.

“Endapo ntaigiza basi msanii wa kwanza kufanya naye kazi ni Gabo Zigamba kwa sababu ananivutia sana na kazi zake ila kwa upande wa kike natamani kucheza na Wema Sepetu, Irene Uwoya, Riyama na wengine wengi”, amesema Aslay.

Pamoja na hayo, Aslay ameendelea kwa kusema “sijawahi kufikiria kama ninaweza kuigiza ila huwa najaribu tu kidogo kidogo kuigiza tatizo kukaa mbele ya kamera ndio shida. Kiukweli navutiwa na movie ila kama mashabiki zangu wananiona najua kuigiza basi nashukuru sana na nitajaribu kufanya hivyo siku moja”.

Mbali na hilo, Aslay amesema katika vitu ambavyo huwa vinamchukiza zaidi ni kuona baadhi ya watu wakimzushia sifa mbaya kuwa anaringa jambo ambalo sio la kweli kwa upande wake

Huyu Hapa Malkia Amanirenas Shujaa wa Kiafrika Aliyeishinda Dola ya Kirumi

$
0
0
Kwa ufupi tu Malkia Candace Amanirenas ama KENDAKE alikuwa malkia wa ethiopia ya kale yaani KUSH EMPIRE ambayo kwa kipindi hicho utawala wa meroe ulikuwa Sudan ya sasa.

Alitawala kuanzia 40 BC mpaka 10 BC. Alijizolea umaarufu mkubwa baada ya kuwa kiongozi imara mwanamke shujaa ambaye aliweza kuitawala dola kubwa bila mfalme hivyo kujijengea heshima kubwa.

Mwanamama huyu alikuwa na jicho moja tu baada ya jingine kuwa limetoboka wakati wa moja ya vita na warumi ila pamoja na hayo bado alikuwa na uwezo mkubwa sana kwenye uwanja wa vita na alipigana kishujaa bila uoga.



UMAARUFU WAKE

Alijizolea umaarufu baada ya kuiongoza KUSH kwenye vita iliyodumu kwa miaka 5 yaani 27-22 BC dhidi ya Roman empire waliokuwa wameitawala dunia ya wakati huo na kwa muda huo walikuwa wameitawala misri.

Baada ya vita kali wazungu hao walipigwa na kufurushwa kutoka misri ya kusini kwa kuteka miji muhimu ya Syrene, Philae, na Elephantina, ila baadae warumi wakajipanga na wakarudi vitani na walipoona vita inawadhoofu mwishoni wakaamua kuheshimu mipaka ya wakush hao na wakasaini mkataba wa amani hivyo ushindi huu uliodhihirisha nguvu ya mtu mweusi kupinga ubeberu na ubabe wa wazungu.

Ni tukio la kishujaa sana na limemzolea mwanamama huyu umaarufu mkubwa ukizingatia Dola ya Rumi ilikuwa ndio yenye nguvu na kuogopeka sana wakati huo ni sawa na Marekani ya sasa.

HITIMISHO
Ingawa historia za namna hii hazifundushwi mashuleni tunaishia kufundishwa tu kuhusu ukoloni na jinsi tulivyopigwa kwenye majimaji resistance!!!

Ni wakati umefika sasa historia za namna hii zitunzwe na kuelezwa ili waafrika tuache kuwa na inferiority complex kwa wazungu na kuaminishwa hakuna tunaloweza wakati miaka ya nyuma tuliwahi kuwa na falme zetu zenye dola kamili inayojiendesha kwa mifumo thabiti bila kuomba misaada kwa wazungu.

Mzee akilimali kutinga Ikulu, Kisa mgogoro Yanga

$
0
0
Kutokana na hali ya Yanga kuwa katika kipindi cha mpito hivi sasa, imeelezwa kuwa Katibu wa Baraza la Wazee ndani ya klabu hiyo, Ibrahim Akilimali, amepanga kufika Ikulu kwa Rais John Pombe Magufuli.

Taarifa imeeleza kuwa Akilimali amefunguka na kusema njia pekee ya Yanga kuepukana na hali iliyonayo kwa sasa ni kupata msaada wa Rais Magufuli ili kuikomboa iweze kurejea kama ilivyokuwa zamani.

Akilimali ameeleza kuwa Yanga haijaanza leo kuwa na migogoro bali tangu kipindi cha utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hivyo si kitu kigeni kinachotokea hivi sasa.

Aidha, Katibu huyo amesema alikuwa mtu pekee aliyepinga klabu hiyo kukodishwa na akieleza chanzo cha migogoro ndani ya timu hiyo kuanza kushika kasi kilianza kipindi hicho.

Mzee huyo amesema kwa sasa anafanya namna ya kuweza kukutana na Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ili aweze kumfanyia mpango wa kukutana na Magufuli ambaye anaamini anaweza akawa msaada mkubwa kuisaidia Yanga.

List ya Vyuo Vikuu Bora Tanzania na Nafasi zao Kidunia

$
0
0

A list of best universities in the world for 2018 has just been released and the new ranking is something totally different from what we had before. Tanzanian Universities were not left out as some of them had noticeable changes in their world ranking.

From what we have on the list this year, it is obvious that most universities have worked extremely harder to make it to or remain on the list of top best Tanzanian Universities while some others have been totally skimmed off the list because they couldn’t increase their pace of improvements on certain areas which formed the criteria for ranking.

For instance, in 2015 51 Tanzanian Universities made it to the webometrics list of best universities in Tanzania but this year we have just 49 on the list.

Note that in webometrics University ranking, four major factors are put into consideration and these are: Presence, the rate of Impact, Openness and Academic excellence.

Based on the world ranking web of universities, below is the list of best Tanzanian Universities and their world ranking.


Best Tanzanian Universities 2018

1. University of Dar Es Salaam ( World Rank: 2021)

2. Muhimbili University of Health and Allied Sciences( World Rank: 2520)

3. Sokoine University of Agriculture(World Rank:3877)

4. University of Dodoma( World Rank: 4896)

5. Mzumbe University(World Rank: 5226)

6. Open University of Tanzania (World Rank: 5398 )

7. Catholic University of Health and Allied Sciences (Weill Bugando University College) – World Rank: 6037

8. Mkwawa University College of Education (World Rank: 6150)

9. Ardhi University (World Rank: 6427)

10. University of Iringa (World Rank: 7731)

11. Nelson Mandela African Institute of Science & Technology (World Rank: 8412)

12. Institute of Rural Development Planning (World Rank: 9000)

13. State University of Zanzibar(World Rank: 9745)

14. Hubert Kairuki Memorial University (World Rank: 10162)

15. St Joseph University in Tanzania ( World Rank: 11260)

16. Dar Es Salaam Institute of Technology(World Rank: 11466)

17. Kampala International University (World Rank: 12006)

18. Sumait University(World Rank: 12463)

19. Institute of Finance Management (World Rank: 13253)

20. Saint Augustine University of Tanzania (World Rank: 13330)

21. College of Business Education (World Rank: 13580)

22. Institute of Accountancy Arusha ( World Rank: 15906)

23. Tumaini University Makumira (World Rank: 15953)

24. Kilimanjaro Christian Medical University College (World Rank: 16191)

25. Saint John’s University of Tanzania (World Rank: 16536)

26. Zanzibar University (World Rank: 16578)

27. Dar es Salaam University College of Education (World Rank: 16654)

28. Moshi Co-operative University (World Rank: 16968)

29. Mount Meru University (World Rank: 17157)

30. Mwenge Catholic University( World Rank: 17350)

31. Mbeya University of Science & Technology (World Rank: 17477)

32. International Medical & Technological University (World Rank: 17731)

33. Muslim University of Morogoro (World Rank: 18068)

34. Teofilo Kisanji University (World Rank: 19033)

35. Mwalimu Nyerere Memorial Academy ( World Rank: 19252)

36. Arusha Technical College (World Rank: 19388)

37. Sebastian Kolowa Memorial University (World Rank: 19535)

38. University of Arusha ( World Rank: 20166)

39. United African University of Tanzania (World Rank: 20184)

40. Jordan University College (World Rank: 20825)

41. St Francis University College of Health and Allied Sciences (World Rank: 20861)

42. Tumaini University Dar es Salaam College (World Rank: 20891)

43. Ruaha Catholic University (World Rank: 20945)

44. Tumaini University Stefano Moshi Memorial University College (World Rank: 21032)

45. University of Bagamoyo UoB Dar es Salaam (World Rank: 21278)

46. Archbishop Mihayo University College of Tabora (World Rank: 21431)

47. Stella Maris Mtwara University College (World Rank: 21431)

48. Tanzanian Training Centre for International Health (World Rank: 22137)

49. Josiah Kibira University College (World Rank: 23025

Breaking News: Pigo Kubwa CHADEMA, Mbunge Wake Jimbo la Ukonga Mwita Waitara Atangaza Kuhamia CCM

$
0
0

Mbunge wa Ukonga (Chadema), Mwita Waitara amejiuzulu uanachama wa chama hicho na kujiunga na CCM leo Jumamosi Julai 28, 2018.


Waitara ametangaza uamuzi wake huo leo katika mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika ofisi ndogo za CCM Lumumba mjini hapa, akiwa sambamba na katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho, Humphrey Polepole.


Kwa uamuzi huo wa Waitara ambaye alikuwa CCM kabla ya kujiunga Chadema, jimbo la Ukonga linabaki wazi.


Waitara amekuwa mbunge wa pili wa Chadema na wa tatu wa upinzani kuhama chama na kujiunga na CCM. Wengine wa Dk Godwin Mollel (Siha) na Maulid Mtulia (Kinondoni).

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, nasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGISE

Ukipata Mke Mwaminifu na Mnashirikiana Kwenye Maendeleo, Mthamini Sana...

$
0
0
Wanaume wenzangu na mie, Ukipata Mke mwaminifu, mnayeshirikiana kwenye Malezi vyema, Asiyekuwa mshirikina, anayeamini katika maendeleo hata kama hana sura, wewe mthamini sana.... sana...... sana..... sana.... Hata kama haleti kipato, sawa sawa tu, mthamini sana. Mwanamke anaweza kugeuza maisha yako yakawa living hell kabisa. Mwanamke ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana kuharibu maisha ya mtu, so ni muhimu sana kuwa makini wakati wa kuoa na kama umeoa mwanamke mwema mthamini sana sana sana..... Sie wanaume tunawaitaji wanawake as we get older than they need us!!!!!

Na nyie Dada zetu, thaminini hawa wanaume pia, maana yake, twaweza pata pesa, tukajijenga vizuri, ila sijui mwaingiwa na pepo gani, watoto wakikuwa mnaanza kututenga nao na kutamani kujitegemea, mwisho waka hata mna attempt kutuua, yani mimi sijui wanawaka mna tabu gani, the more mnakuwa the less mnaituitaji, but the more we get older the more we need you.....
NI CHANGAMOTO KUBWA SANA,!

Jogging za Jumamosi na Jumapili zilihatarisha ndoa zetu.....

$
0
0
Picha ya Mfano Haihusiani na Habari


Wasalamu wana jukwaa

Kwa wale wakazi Dar au majiji makubwa neno jogging natumaini siyo geni kwao.

Katika utawala wa Kikwete jogging ilishamiri sana hasa siku za Jumamosi. Vikundi mbalimbali vilijipanga kufanya jogging. Baada ya jogging kilichofuata ni supu, bia, nyama choma na ile shughuli haramu.

Wake zetu hawakuwa salama kabisaaa kwani ma boss na wenye fedha walipata platform nyingine ya kuwagegeda wake zetu kwa kisingizo cha jogging!!

Nipeleke shukrani za dhati kwa Mheshimiwa sana maana tangia vyuma vigome kupakwa oil na grisi vikundi haramu hivyo vimetoweka kabisaaa kama siyo kufutika.

Sasa hivi siku za Jumamosi tunafanya usafi na wake zetu huku tukisubiru mihongo ichemke jikoni!!

By Yudatade Edesi Shayo

Jokate: Ali Kiba Ndiyo Nani?

$
0
0

Jokate Julai 26.2018 alitia timu katika arobaini ya mtoto wa mtangazaji Zamaradi Mketema ilipofanyika nyumbani kwake Bunju, jijini Dar es Salaam.

Alipoingia tu, watu waliohudhuria katika arobaini hiyo waligeuka kumuangalia kama wamepatwa na mshangao huenda kwa kitendo chake cha kupotea kwa kipindi kirefu machoni mwa watu.

MCL Digital ilimtafa alipokaa na kuzungumza naye mambo machache juu ya ukimya wake, ilianza na swali la kutoonekana mitandaoni tu baada ya Mwanamuziki Ali Kiba kufunga ndoa.

"Noooo sitaki utaje jina la Ali Kiba, ukitaka tuzungumze uliza kitu bila kuweka hilo jina na nikwambie tu mimi sijakimbia mitandaoni nipo sana, sema watu wanashindwa kuniona sababu mara nyingi nakuwa nacomment kwenye kurusa za watu haswaa nikiona kitu kimenivutia

"Kitu kingine ni ubize na majukumu yangu, ndio yanayoniweka kimya kwenye masuala mengine," alisema Jokate

Jokate ambaye kimuonekano ukimuangalia amenenepa na kuzidi kunawili, ila ule ujauzito aliokuwa anadaiwa anao, hakuna hata dalili ya kuonekana.

MCL Digital iliendelea kumuuliza habari za madai ya kuwa na ujauzito, Jokate mitandaoni kuna mambo mengi acha na hilo swali.

"Hayo mambo ya mitandaoni ungeyaacha tu, hilo swali hapana kwangu"

Aidha Jokate amesena kila kinachoongelewa mitandaoni anavisoma na kuvipotezea kwani amegundua wapo watu hawajui matumuzi ya mitandao wanatakiwa wapate elimu.

Baada ya Shule ya Jangwani Kuwa ya Mwisho, Mwalimu Mkuu na Walimu wengine 47 Waondolewa

$
0
0

Matokeo mabaya ya kidato cha sita katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani, jijini Dar es Salaam, yamesababisha walimu 48, akiwamo Mkuu wa Shule hiyo, Geraldine Mwaisenga, kuondolewa.


Mbali na walimu hao, serikali pia imetangaza kuwaondoa walinzi wote waliokuwapo pamoja na watumishi ambao hawakuwa walimu ikiwa ni jitihada za kuinusuru shule hiyo inayozidi kuporomoka kielimu.


Katika matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa hivi karibuni na Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (Necta) na kuwa gumzo miongoni mwa wadau wa elimu, shule hiyo kongwe ilishika moja kati ya nafasi 10 za mwisho. Kwa mujibu wa matokeo hayo, Shule hiyo ilikuwa ya 451 kati ya 453 zilizofanya mtihani huo.


Hatua ya shule hiyo kuwa mkiani kwenye matokeo hayo, ilisababisha Waziri wa elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Ndalichako, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo, kufika shuleni hapo na kutoa ya moyoni.


Jafo katika ziara yake shuleni hapo, bila kuuma maneno, alisema sababu zilizofanya kupatikana kwa matokeo hayo mabaya ni udhaifu katika uongozi wa shule, uasherati miongoni mwa wanafunzi na walimu kufika na kutia saini kisha kuondoka na kwenda kufanya shughuli zao binafsi.


Akitangaza uamuzi huo jana wakati akizungumza na kituo kimoja cha televisheni , Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando, alisema hatua hizo zimechukuliwa kuinusuru shule hiyo kongwe nchini.


Alisema shule hiyo ilikuwa na walimu 87, hivyo baada ya kuwaondoa 48 ambao ni zaidi ya nusu ya waliokuwapo serikali itahakikisha inaiongezea shule hiyo walimu angalau wengine 20.


“Tumewaondoa pia watumishi wasio walimu wakiwamo walinzi ambao walibainika kuwa ni kikwazo na walichangia kwa namna mbalimbali wanafunzi kufeli,” alisema.


“Tunahakikisha tunabadilisha utawala mzima na baadhi ya watumishi ili kuimarisha uongozi na usimamizi. Lengo ni kuhakikisha shule hiyo inafanya vizuri kwenye matokeo ya kidato cha nne na cha sita,” alisema.


Pia alisema serikali imeweka mkakati kuhakikisha wanafunzi wa shule hiyo wanakuwa na nidhamu inayotakiwa ili kufanya vyema kwenye mitihani.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upugufu wa Nguvu za Kiume, Busha, Kisukari na Vidonda vya Tumbo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO? BUSHA BILA KUPASUA KISUKALI NA VIDONDA VYA TUMBO? asilimia kubwa ya wanaume wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo

NI NINI KINACHOSABABISHA UUME KUZIDI KUWA MDOGO NA WEMBAMBA 1 kuugua chango LA uzazi 2 unene kupita kiasi 3 kuvaa nguo au chupi za kubana 4 kupiga punyeto kwa mda mrfu ,NI NINI TIBA YAKE MAKAKANUA MIX nidawa ya mitishamba iliyochanganywa NA mizizi kumi NA mbili urfusha NA kunenepesha UUME saizi upendayo ich 5,6,7, NA 8 kwa urfu NA sentimita 3,4, na 5 ipo dawa ya kunywa na kupaka NI NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupungukiwa kwa homoni ya testerone 2 kuhudhurika kwa Neva au uti wa mgongo 3 utumiaji holela wa madawa ya kizungu 4 usongo wa mawazo na asira 5 utumiaji wa vyakula vya mafuta mengi NI NINI TIBA YAKE MAPRO POWER NO 2 NDIO tiba tosha kwa sasa kwani utibu matatizo matatu kwa pamoja 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 adi 20 ,2 itakufanya urudie tendo zaidi Mara tatu 3 uhimalisha uume uliolegea na kusinyaa OKOA NDOA YAKO SASA ujihepusha na lawama ndani ya ndoa yako au pale ukutanapo na mpezi dawa hii itamfanya mpenzi wako hakueshimu na hasitoke nnje ya ndoa na ata wazee wenye umri mkubwa wanapona zipo dawa za kupunguza kitambi,minyama uzembe, presha ,kisukar mvuto wa mpezi au biashara FIKA OFISINI KWETU MBAGALA ZAKHEMU na wateja wa kanda ya ziwa yupo wakala wetu mwanza mjini au piga simu 0752348593

DR MABULA na utaletewa popote ulipo uduma hizi

Mwanamitindo Sylvester Afikishwa Mahakamani kwa kukutwa na Madawa ya Kulevya

$
0
0

Mwanamitindo wa mavazi, Wolfgang Sylvester (25) amefikishwa katika Mahakama ya Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha Dawa za kulevya aina ya Heroin Hydrochloride Kg. 2.49.

Mwanamitindo huyo amesomewa kosa na Wakili wa serikali Janeth Mogolo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janeth Mtega ambapo amedai amekamatwa na dawa hizo July 22, 2018 katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Wakili wa serikali Mogolo amedai kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo kinyume na kifungu cha 15(1)(b) cha sheria ya Dawa za kulevya namba 5 ya mwaka 2015.

Mogolo amedai kifungu hicho cha sheria kinaambatana na kifungu cha 57(1) na 60(2) cha Sheria ya makosa ya uhujumu uchumi kama ilivyorekebishwa mwaka 2016.

Wakili Mogolo amedai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika, hivyo anaiomba mahakama ipange tarehe nyingine ya kuisikiliza.

Baada ya maelezo hayo, Hakimu Mtega amesema mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza shauri  hilo mpaka ipate kibali maalum, hivyo mshtakiwa hapaswi kujibu lolote na mahakama hiyo haiwezi kutoa dhamana.

Hakimu Mtega ameahirishwa kesi hiyo mpaka August 9, 2018 na mshtakiwa amerudishwa rumande.

Ney wa Mitego Apaokonywa Magari 2 ya Mkopo, ni Baada ya Kushindwa Kulipa

$
0
0
Msanii nguli wa Hip Hop, Emmanuel Elibarik maarufu kama Ney wa Mitego anadaiwa kupokonywa magari mawili aliyokuwa ameyachukua kwa mkopo baada ya kushindwa kurejesha mkopo huo

VIDEO:

Je Umepungukiwa Nguvu za Kiume na Umetumia Dawa Bila Mafanikio?

$
0
0

JE UMEPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME NA UMETUMIA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO?  Hakika nawashukuru wote mliotumia hii dawa na kunipa pongezi nyingi Sana sasa offa imeisha maana nilitoa ya wiki 2 tu     na watu wengi walioitumia wamepona kabisa dawa hii ni dawa ya maajabu kabisa na huwezi kuamini ila wengi walioitumia wameiamini maana kati ya watu 89 walioitumia ndani ya wiki 2 watu76 wamepona kabisa na watu 9 hawajapona na watu 4 hawajatoa majibu! Dawa hii ni dawa inayotibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na unapona kabisa, dawa hii ni dawa ya asili,(mitishamba) utaitumia mara moja tu na hautatumia dawa ya nguvu za kiume tena dawa hii inawafaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70 zaidi ya miaka hyo haitakusaidia watafiti wa dawa asilia pamoja na waganga pia mashirika ya watafiti wameikubali pia dawa hii inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi ukitumia hii dawa unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha inauwezo wa ajabu na tiba bora kabisa SOMA DALILI HIZI  kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa 2 kushindwa kurudia tendo la ndoa 3 kuwahi kufika kileleni dawa hii imesaidia watu wengi sana dawa hii imegunduliwa na dr kiboko mganga wa tiba za jadi kutoka mafia pia tunatibu matatizo mbalimbali kama mambo ya biashara, nyota, kesi, mapenzi, nk, pia tunahitaji WAKALA wa kupokea dawa zetu katka nchi ya KENYA, ZAMBIA, UGANDA, mikoani tunatuma kwanjia ya mabasi au fika ofisini kwangu  Mafia kisiwani  maelezo zaidi wasiliana na DR KIBOKO 0679923297

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA.

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi +255 622588038au 0679119679 au +255 713101897

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Balaa la Kubambikiziwa Watoto

$
0
0
WANAUME watapata taabu sana! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya balaa la wanawake kuwabambikia watoto wanaume wao kuzidi kutikisa na kuwaachia maumivu makubwa wahusika, Risasi Mchanganyiko linakupa habari kamili.



Matukio ya wanaume kubambikiwa watoto kila kukicha yamekuwa yakizidi huku wengine wakijikuta wakichukua maamuzi magumu ya hata kuua wake zao au kuachana nao.



MO MUSIC YAMKUTA

Mwanamama Emilianne Masoud ‘Bad Gal PG’ hivi karibuni aliibuka na kuweka wazi kwamba mwanamuziki wa Bongo Fleva, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amemtelekeza mtoto aliyezaa naye na alianza kukataa tangu akiwa na ujauzito wa miezi mitano. “Nilikutana na Mo Music baada ya kutaka kumsimamia kazi zake kama meneja wake kupitia kwa mpenzi niliyekuwa naye kwa wakati huo lakini tukagombana hivyo sikuweza kumsimamia tena kazi zake.



“Baada ya hapo tulianzisha uhusiano wa kimapenzi na Mo Music ambapo nilipata ujauzito nikamwambia akasema haina shida, ujauzito ukiwa na mwezi mmoja nilisafiri kikazi India maana nafanya biashara nikakaa miezi mitatu nikarudi hapo mimba ikawa ina miezi minne.

“Niliporudi Mo Music akataka nimpe laki tatu akalipie kodi ya nyumba nikamwambia sina hapo ndipo mgogoro ukaanza akasema kama ni hivyo basi hanitaki tena na mimba siyo yake, tukaachana.



AMPA MTOTO BABA MWINGINE

“Kutokana na kwamba Mo Music nilimuomba majina yake kamili ili niandike kwenye kadi ya mtoto ya kliniki akanikatalia, nilipojifungua nilimpa mtoto jina la baba mwingine ambaye alikuwa mpenzi wangu zamani kabla ya Mo Music kwani naye alijua mtoto ni wake lakini uhakika baba wa mtoto ni Mo Music.



“Niko tayari kupima DNA na Mo Music maana nina uhakika yeye ndiye baba wa mtoto wangu lakini amekuwa akimkana kwamba siyo wake, wakati hata kufanana wanafanana mno hata ndugu zake wanajua, ninachohitaji ni yeye kutambua kwamba ana mtoto tu na kumpa malezi na siyo kitu kingine,” alisema Emilianne.



MO MUSIC ANASEMAJE?

Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Mo Music alisema hana mtoto bali ndiyo anategemea kupata kwa mpenzi aliyenaye kwa sasa, kuhusu huyo mwanamke hayuko tayari kupima DNA kwa kuwa ana wasiwasi mtoto siyo wake.



“Nina shaka sana na huyo mtoto siyo wangu maana huyo mwanamke alikuwa akijiuza India pia alikuwa na mwanaume wake mwingine, kingine ni kwamba kadi ya mtoto haijaandikwa jina langu, sasa mimi siwezi wala haiwezekani kukubali kwamba mtoto ni wangu, kwanza ananichafulia jina akicheza nitamshtaki,” alisema Mo Music.


MWINGINE ANYANG’ANYWA MTOTO

Katika tukio lingine, Aloyce Agostino ambaye ni mkazi wa Majumba Sita, Kisarawe mkoani Pwani amejikuta katika wakati mgumu baada ya kunyang’anywa mtoto ukweni kwani alikuwa akiishi na mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Hajrati Hamidu ambaye tayari alikuwa ameshamtolea barua ya uchumba ambapo waliishi kinyumba tangu mwezi wa sita mwaka jana.



Aliendelea kueleza kuwa walifanikiwa kupata mtoto wa kike ambaye ana miezi nane kwa sasa ambapo Mei, mwaka huu figisu zilianza kuibuka na mzazi mwenzake huyo kwani alimdanganya kwamba anakwenda kufanyia usafi makaburi ya wazazi wake lakini kumbe alikwenda kwa mwanaume mwingine. “Baada ya mzazi mwenzangu kusema kwamba anakwenda kufanyia usafi makaburi ya wazazi wake niliwasiliana na dada yake akasema hayupo huku, nikampigia simu yeye mwenyewe lakini alikuwa ‘ameniblock’.



“Siku tatu baadaye alirudi na alipofika akawa bize na simu kuna namba ikawa inampigia kila saa nikapokea ndipo akaongea mwanaume na kusema nimwache mwanamke wake na mtoto ni wake, nilishindwa kuongea naye ikabidi nikimbilie kwa dada yangu ndiyo akaendelea kuzungumza naye.

“Yule mwanaume akaeleza kwamba mtoto ni wake na alikuwa akimhudumia tangu huyo mzazi mwenzangu akiwa na ujauzito, baada ya hapo tulimuuliza mzazi mwenzangu tukiwa na ndugu zangu na wake akasema mtoto ni wangu lakini baadaye kesi ilihamia serikali ya mtaa na ustawi wa jamii ambapo huko ndipo alipokiri kuwa mtoto siyo wangu ni wa mwanaume mwingine aliyemtaja kwa jina la Jafari. “Hapo alisema kwamba wakati anakutana na mimi alikuwa tayari ana mimba ya mwezi mmoja lakini hakuniweka wazi na wakati wa ujauzito alikuwa anatumiwa fedha na huyo mwanaume licha ya kwamba tulikuwa tunaishi pamoja.



“Kutokana na hilo mwanamke aliamua kurudi kwao na mtoto kwa kuwa anaogopa na sasa kesi inaendelea ustawi wa jamii ambapo mwanamke alikiri kwamba mtoto ni wa huyo Jafari na siyo wangu ila ninachohitaji kwa sasa na ninaomba nisaidiwe ni kupima DNA maana nina uhakika mtoto ni wangu,” alisema Aloyce.



MAMA MTOTO ANASEMAJE?

Akizungumza Hajrati alisema kwamba mtoto huyo siyo wa Aloyce kwani wakati anaanza kuishi naye kinyumba alikuwa na ujauzito wa mwanaume mwingine, Jafari lakini baadaye alimwambia Aloyce ana ujauzito wake ndipo akamhudumia mpaka akajifungua.



“Wakati nakutana na Aloyce nilikuwa na ujauzito wa mwezi mmoja lakini sikumwambia bali nilipoishi naye kwa muda mfupi kama mwezi nikamwambia nina mimba maana huyo Jafari alikuwa safarini kwa wakati huo akawa ananitumia hela kwenye simu. “Sasa mwezi wa tano mwaka huu nilikutana na Jafari akamtaka mtoto wake ndipo ukweli ukajulikana hapo na sasa kesi ikimalizika nitaenda kuishi na huyo baba mtoto wangu maana hata kadi la mtoto nimeandika jina lake huyo Jafari na siyo Aloyce,” alisema Hajrati.

AWASHAURI WANAUME

Kutokana na kitendo hicho, Hajrati aliwashauri wanaume kuwa makini sana hasa pale wake au wapenzi wao wanawaambia wana ujauzito kwani wanawake wengi ni wadanganyifu mno.

NDUGU, MAJIRANI WAPIGWA BUTWAA



Katika mtaa huo wakazi wengi ambao ni ndugu na majirani waliozungumza na gazeti hili walijikuta wakipigwa butwaa kwa kitendo alichofanya Hajrati kwani siyo cha kawaida na hakijawahi kutokea hiyo ndiyo mara ya kwanza.

“Kiukweli tumeumia sana maana sisi tulikuwa tunampenda sana wifi yetu, tunamhudumia kwa kuwa tulijua kwamba mtoto ni wetu lakini kumbe alitufanyia ukatili wa aina hii, tunaomba tu DNA ihusike hapa ili tuujue ukweli kwani inawezekana anadanganya pia,” alisema Zawadi ambaye ni dada wa Aloyce.



TAKWIMU ZINASEMAJE?

Mwaka 2013, Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali nchini ilieleza kuwa, karibu nusu ya watu waliojitokeza kupima vinasaba (DNA) ili kubaini uhalali wa watoto wao, vipimo vilionesha si wazazi halisi wa watoto waliopimwa. Takwimu hizo ni kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2010, ikionesha kuwa, asilimia 48.32 ya wazazi ‘wanalea’ watoto wasio wa kwao wakati asilimia 51.68 ndiyo wazazi halali.

Waitara Asema Kilichomuondoa CHADEMA ni Ugomvi Kati yake Na Mbowe Baada ya Kumtaka Asigombee Tena Uenyekiti wa Chama Hicho

$
0
0
Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amesema kilichosababisha kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM ni Uenyekiti.

Waitara ametangaza uamuzi  wa kujiunga na CCM leo Julai 28 katika mkutano na wanahabari uliofanyika Ofisi za CCM, Lumumba.

“Shida ni uenyekiti wa Chadema, ukianzia kwa akina Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, hata mimi ni uenyekiti hapo kuna shida,” amesema.

Amesema suala la uenyekiti sio lake peke yake bali wapo wabunge wengi wanaoguswa nalo lakini hataki kuwataja kwa majina.

“Kuna kikao tulikaa na wabunge wengi wa majimbo na viti maalumu tukawa tunazungumza kwamba Tundu Lissu agombee uenyekiti baadaye hoja hiyo wakaicha mimi nikaendelea nayo. Wakaniambia ninataka Tundu Lissu agombee au ni mimi mwenyewe?” amesema na kuongeza:

“Mbowe amewahi kuniambia kamanda unanipinga na mimi ntakushughulikia na kwenye Chadema bado hakuna mtu kama yupo ntamng'oa hikii chama ni mali yangu.”

Waitara amesema kwamba ugomvi huo uliibuka kwa sababu mchakato wa Uchaguzi ndani ya chama hicho unakaribia na kosa lake ni pale alipotaka kujua ni kwa nini kiongozi huyo mpaka sasa anaendelea kushikilia Uenyekiti kwa takribani miaka 20 sasa.

"Sisi watu wa Tarime tulishaathiriwa naCHADEMA, Marehemu Chacha Wangwe alisema kwamba anataka kugombea nafasi y Uenyekit na Mbowe alimuambia kwamba atamshughulikia na sasa hatunaye. Sasa mimi nimeona bora nikimbie kabla sijashughulikiwa" Waitara.

Mbali na hayo Waitara amesema kwa kuwa anatamani kuwatumikia wananchi wa Ukonga amelazimika kuhamia CCM illi aweze kufanya kazi kwa kushirikiana na serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi wake.

"Mimi nimeona kabla hawajanipiga chini nijiondoe mwenyewe. Sasa ndani ya CHADEMA, ukionekana na mtu wa CCM unaulizwa kwa nini unaonekana na watu hao. Mimi shida yangu siyo CCM shida yangu ni kuona wananchi wangu wa Ukonga wanatatuliwa shida zao. Wananchi wa Ukonga wavumilie natafuta namna bora ya kuweza kuwana viongozi wa serikali bila kuhojiwa kama nimefumaniwa na mke wa mtu. Nimetaka kuwa huru" ameongeza.

Waitara amesema amejivua uanachama kwa kutumia Katiba ya CHADEMA, Ibara ya 5.41 ambapo ameweka wazi atakuwa siyo Mbunge wa Ukonga na hakihitaji tena chama hicho "Nimetupa jongoo na mti wake".

Waitara amesema uamuazi wake wa kuhamia CCM tayari ameungwa mkono na wazee wa jadi wa Musoma, na watu wake wa karibu.
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images