Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Rais Magufuli anena mapya kuhusu Dodoma

$
0
0

Rais John Pombe Magufuli leo amekabidhi hati za kumiliki viwanja makao makuu ya nchi Dododma kwa Mabalozi wa nchi mbalimbali na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa ikiwa ni azma ya serikali yake kuhamia Dodoma kabla ya mwaka huu kuisha. 

Akizungumza wakati wa kukabidhi hati hizo Rais Magufuli amesema serikali ya awamu ya tano imeamua kutekeleza kwa vitendo maneno mazuri ya hayari Baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma, hivyo ameona sio vema yeye kuhamia Dodoma na kuwaacha mabalozi na wawakilisha wa marais wa  mataifa mbalimbali jijini Dar- esa Salaam na ndio maana ameamua kutoa hati hizo mapema. 

Rais Magufuli amesema serikali imeamua kutoa bure maeneo yenye ukubwa wa zaidi hekari tano kwa ajili ya Mabalozi na taasisi mbalimbali lengo likiwa ni kuonesha urafiki uliopo wa mataifa na nchi zinazowakilishwa na viongozi hao, na kwamba viongozi mbalimbali wa serikali yake tayari wamekwisha hamia Dodoma ikiwa ni pamoja na watumishi karibu 60,000. 

Amesema serikali inaendelea kuboresha miundombinu ya umeme, huduma za jamii hasa afya, elimu, maji na usafiri ambapo mkoa wa Dodoma umeunganishwa na barabara za lami na mikoa yote inayozunguka yani Morogoro, Singida, Manyara na Iringa. 

Ameongeza “Leo nimetoa maagizo kwa Viongozi wa TANROADS watangaze tenda kwa ajili ya kuanza ujenzi mkubwa wa uwanja wa Msalato ili ndege kubwa zinazotua Dar- esa Salaam zitue Dodoma nimefurahi kumuona mwakilishi wa African Development Bank ( Banki ya Maendeleo ya Afrika) tulizungumza na rais wa benki hiyo kwamba watatoa dola milioni 200 tumeshawaandikia barua ninauhakika watazitoa mapema kwa sababu tumewapa hati ya bure ya kukaa Dodoma”. 

Rais Magufuli ameeleza  kuwa wakati serikali ikisubiri fedha hizo kutoka Benki ya maendeleo ya Afrika ametoa maagizo ya tenda kutangazwa ili kazi ya ujenzi wa uwanja huo mkubwa wenye urefu wa zaidi ya kilimeta 3 ianze mara moja ambapo ndege ya aina yoyote inaweza kutua ikiwamo ndege mpya ya serikali Boeing Dreamliner 787-8 pamoja na ndege nyingine kubwa kutoka mataifa mbalimbali. 

Aidha Rais Magufuli ametoa wito kwa Mabalozi, Mashirika na Wawakilishi hao wa Mataifa mbalimbali waliopokea hati hizo kuhakikisha kuwa wanatumia vizuri fursa ya ukubwa wa viwanja walivyopewa kwa kuwekeza ipasavyo hasa kwa kujenga majengo ya ubalozi, sehemu za biashara na makazi kuliko kuendelea kubanana jijini Dar- es Salaam.

WaziribLugola Amtumbua Mwengine Kwa Uzembe Leo

$
0
0

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amemvua ujumbe wa Sekretarieti ya Kuzuia Biashara Haramu ya Binadamu, Abubakar Yunusi ambaye ni Inspekta wa Polisi Kitengo cha Uhamiaji. 

Lugola amechukua uamuzi huo leo Julai 30, 2018 wakati akikagua mabanda ya maonyesho katika viwanja vya mnazi mmoja yanapofanyika  maadhimisho ya kupinga usafirishaji wa bindamu, ambapo Yunusi amesema kuna vyombo vilivyotumika kusafirisha binadamu vimekamatwa na vinasubiri kutaifishwa, lakini hana idadi ya vyombo hivyo. 

“Unafanya kazi ya ubabaishaji hapa? huwezi kuja kwenye maonyesho hujui idadi yake,kazi yako ya ujumbe hakuna, wewe umejitambulisha mjumbe wa kamati ya kudhibiti usafirishwaji haramu wa binadamu, umesema kuna vyombo vimetumika,lakini  huna idadi yake”, amesema Lugola. 

Inspekta Yunusi anakuwa mtu wa tatu kuvuliwa madaraka na Waziri Lugola tangu alipoingia madarakani, ambapo Julai 6, 2018 katika mkutano wake na wanahabari aliagiza kushushwa vyeo kwa Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mbeya, Leopold Fungu na Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji Kagera, George Mrutu. 

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, nasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGISE

Tarime kwa waka moto Mbowe, Polepole waunguruma

$
0
0
NA TIMOTHY ITEMBE TARIME.

KATIBU wa Itikadi na uenezi Chama cha mapinduzi (CCM),Humphrey Polepole ameweka wazi chanzo cha wanasiasa wa vyama vya upinzani kuhama vyama vyao na kujiunga na Chama cha mapinduzi kuwa ni kumkubali Rais Awamu ya Tano,John Pombe Magufuli katika kuwatetea wananchi waliowanyonge na kupiga vita rushwa.

"Wapinzani wanamkubali Rais awamu ya Tano,John Pombe Magufuli kwa mpango wake kupambana na rushwa na kuwakumbuka wanyonge lakini kitendo cha baadhi ya wapinzani wachache kurusha maneno kuwa wanao hama vyama vyao na kuhamia CCM wamenunuliwa nikitendo ambacho hakina ukweli ndani yakealisema"Polepole.

Kauli hiyo aliitoa jana katika uzinduzi wa kampeni wakati akimnadi mgombea udiwani kata ya Turwa Chacha Mwita Ghati wa Chama cha mapinduzi baada ya aliyekuwepo,Zakayo Chaha Wangwe  kupitia Chama cha Demokorasia na maendeleo Chadema kujiuzulu na kuhamia CCM kwenye mkutano ambao ulifanyikia viwanja vya Rebu Senta huku Chadema ikizingulia viwanja vya Rebu sokoni.

Polepole aliongeza kuwa wananchi waliona macho wanatazama maendeleo yanayofanyika ndani ya utawala wa awamu ya Tano inayoongozwa na John Pombe Magufuli jambo ambalo linawafurahisha baadhi ya wapinzani kuachia ngazi na nyadhifa walizonazo na kuhamia CCM.

Kwa upande wake mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi mkoani Mara,Samweli Keboye maarufu namba tatu alisema kuwa utendaji kazi mzuri wa Rais Magufuli umekibeba Chama cha mapinduzi na hawanashaka katika uchaguzi wa maruio ndani ya kata ya Turwa wananhi wankiamini chama na watawapa kura.

Wakati huo huo,Mwenyekiti Chadema Taifa Freeman Mbowe  alitupia lawana Chama cha mapinduzi kuwa kinawanunua wapinzani sababu inayofanya wahamie CCM.

"Mimi tu nimewashinda wanachama cha mapinduzi kutofika Bei kwahalli hiyo wanapanga usiku na mchana ili kuhakikisha wananinunua jambo ambalo kwangu halitatokea wananchi mnatakiwa kuwa makini na wanaccm"alisema Mbowe.

Pia Mbowe alionyesha mashangao wake kwa serikali ya awamu ya tano kununua ndege ya mabilioni huku wananchi wake wanaukata wa maisha jambo ambalo alisema kununua ndege ya shilingi Bilion 680 hali wananchi wa Tanzania wanakula mlo mmoja kwa siku ni kitendo ambacho hakikubaliki.

Mbowe aliwataka wanaTurwa kutomwangusha na kumpigia kura zote za ndio mgombea udiwani kata ya Turwa wa Chama chake cha Chadema,Charles Mnanka.

Naye Mbunge wa jimbo la Tarime Mjini,Esther Matiko aliwataka wananchi kumuunga mkono na kuendelea kumwamini ili kupiga kurwa kwa Chadema ili waendelee kuongoza halmashauri ya Mji.

Shilole Angemuiga Diamond Angeongea Umombo Haraka Sana Ila Tatizo Lake Hili Hapa

$
0
0

By Luqman Maloto

MTAALAMU wa Kiingereza, Sarah Li Cain, raia wa Canada, ameshaandika makala nyingi kuelezea mbinu mbalimbali za kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha.

Hapa nimechagua andiko lake "How to Speak English With Confidence in 9 Easy Steps". Tafsiri yake ni jinsi ya kuzungumza Kiingereza kwa kujiamini katika hatua tisa rahisi. Katika hizo hatua tisa, nimependa kuizungumza ya tatu inayosema: "Make Friends with English Speaking Expats." Kwamba tengeneza urafiki na watu wenye umahiri wa kuzungumza Kiingereza.

Ukitaka kujua 'English Course' ya Diamond ndiyo hiyo namba tatu; kujenga urafiki na mafundi wa kuzungumza Kiingereza. Uzuri Diamond marafiki aliowatengeneza hawakuwa wa juujuu, bali ni wale ambao hata giza lilipoingia, alichangia nao shuka. Marafiki ambao alitumia muda wake mwingi pamoja naye.

Ndiyo, Diamond amekuwa hodari sana wa kuchagua wapenzi ambao ni mafundi wa kutafuna yai, tena yai lenyewe ni lenye kitunguu. Soma hii orodha; Wema Sepetu, Jokate Mwegelo, Penniel Mungilwa 'Penny', Zarinah Hassan 'Zari The Boss Lady'. Unakuwa na wapenzi hao kwa nyakati tofauti halafu usijue Kiingereza si ni kurogwa huko?

Wema anafahamika kwa kutema ung'eng'e. Hawezi kuzungumza sentensi mbili bila Kiingereza. Jokate si mzungumzaji sana wa Kiingereza, ila ni hodari sana. Jokate ni msomi sana huyu mrembo. Penny, kwake ndipo mayai hutagiwa. Zari kwao Uganda mayai ndiyo hukaangwa. Lugha anazozifahamu vema ni Kiingereza na Kiganda, lakini huzungumza zaidi Kiingereza.

Kama Shilole naye angekuwa na orodha ya wapenzi wenye ufundi mzuri wa Kiingereza, bila shaka angekuwa anakizungumza sana. Maana Diamond hivi sasa ni fundi, ukimwita kwa ajili ya mahojiano ya Kiingereza hana shida. Ulimi unanyooka vema tu.

Shilole labda kwa sababu amekuwa na Nuhu Mziwanda ambaye naye minara ya Kiingereza haisomi na sasa ameshaolewa na Uchebe ambaye ni wazi hiyo lugha kwake bado inaleta usumbufu. Maana kama angekuwa na ufundi mdogo tu wa lugha ya Malkia, asingeshindwa kumfundisha mkewe kutamka neno 'subscribe', mpaka aende British Council.

Haimaanishi amwache Uchebe, ila tunamkumbusha kuwa mwenzake Diamond sasa hivi yupo mbali

Wajanja wa Mjini Waiba Instagram Page ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda

$
0
0

*TAARIFA KWA UMMA*. Ukurasa wa *Instagram* wa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam *Mhe. Paul Makonda* umechukuliwa *(hacked)* na watu wasiojulikana hivyo kwa *post yoyote mpya* itakayotolewa kuanzia sasa haitokuwa imetoka mikononi mwa *RC Makonda.* *Jitiada za kuirejesha* mikononi mwake inaendelee hivyo kuwa makini na *UTAPELI* wa aina yoyote.

Mbwana Samatta Wetu Awa Lulu Huko Ughaibuni, Club Zamgombania Kumsajili

$
0
0

SAMATTA 🔥🔥: Baada ya klabu ya Levante inayoshiriki Ligi kuu nchini Hispania kutuma ofa ya €4m kumtaka mshambuliaji wa Krc Genk Mbwana Samatta, imeelezwa kuwa vigogo wa Ujerumani Borrusia Dortmund nao wapo tayari kumchukua mchezaji huyo.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na meneja wa mchezaji huyo Jamal Kisongo zinadai kuwa kuna klabu kadhaa zinahitaji huduma yake zikiwemo Dortmund pamoja na Metz.
Licha ya kutakiwa na klabu hizo, ni Levante pekee ndiyo iliyoonesha nia zaidi kumtaka mshambuliaji huyo kutoka Tanzania .

Pata Super Mkuyati Mpya Orjinal Inayo Imarisha Heshima ya Ndoa

$
0
0



SUPER MKUYATI MPYA ORJINAL INAYO IMARISHA HESHIMA YA NDOA

SUPER MKUYATI NI DAWA ILIYO KATIKA MFUMO WAJIDONGE NA UNGA IMETENGENEZWA KWA TEKNOLOJIA YA KISASA ILIYOFANYIWA UTAFITI WA KINA NA KUNDULIKA INAPAMBANA NA MAGONJWA SUGU YA KINA BABA DAWA HII INA GUVU (3)NA INAFANYA KAZI KWA PAMOJA (1) INAONGEZA NGUVU ZA KIUME 2 KWA UCHELEWE KUFIKA KILELEI KWA KWA WA DK 10-20 (3) INAZALISHA HOMONI KWA WINGI NA KUKUFANYA UWE NA MBEGU NYINGI ZENYE VIMELEO NYA UZAZI VILIVOKOMAA

MDINGO MIX NI DAWA INAYO LEFUSHA NA KUNENEPESHA MAUMBILE MADOGO YALIYOSINYAA KUNZIA NCHI
6-8 UPANA 3-4 INAZIBUA MILIJA YA UZAZI DAW HIZI HAZINA MADHARA KWA MTUMIAJI HATA KWA WAZEE WALIO NA UMRI WAMIKA 68-82 TUMIA LEO UONE MAJABU YAKE TIBA HIZI NIZAKUDUMU

DR GATUNDU ANAZO DAW ZAKISUKALI PRESHA HENIA NGILI YAKUSHUKA BILA UPADUJI VIDONDA VATUMBO KUPUNGUZA UNENE UZITO TEZI DUME NA KUPONA KABISA DAWA ZASILI

OFISI ZETU ZINA PATIKANA DR ZAKHEM KWA WALE WAMIKOANIi WATA TUMIWA KWA NJIA YA MABASI PASIPO NA MASHAKA


Piga Simu Namba 0768 408 794


Naibu waziri matatani adaiwa kutia hasara kampuni, kupelekwa Mahakamani

$
0
0

"Nitampeleka Mahakamani aliekuwa Naibu Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Anastazia Wambura kwa kitendo cha kufungia gazeti la Mwanahalisi bila sababu za msingi na kusababisha hasara ya shilingi bilioni 2.2 " Mbunge wa jimbo la Ubungo jijini Dar es salaam Saed Kubenea 

Rais Magufuli Kuhamia Dodoma Mwaka Huu

$
0
0

Rais John Magufuli amesema atahamia jijini Dododma kabla mwaka huu haujamalizika kama alivyoahidi serikali yake kuhamia huko.


Rais Magufuli amesema hayo wakati akizungumza katika hafla fupi ya kuwakabidhi hati za viwanja kwa mabalozi wa nchi mbalimbali na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa, Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 30.


Amesema hadi sasa viongozi wengi wa serikali wameshahamia Dodoma akiwamo Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, mawaziri na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kwamba Dar es Salaam amebaki yeye tu.


“Nimebaki mimi tu hapa. Nimepanga kabla mwaka huu haujamalizika nitahamia Dodoma, nilitaka nisihamie huko nikawaacha ndugu zangu wanaowakilisha nchi zao hapa Dar es Salaam, ndiyo mana nikahakikisha mnapata hati.


“Serikali imetoa maeneo mbalimbali jumla ya heka tano bure kwa ajili ya mabalozi, na ninyi ni mashahidi nimetoa hati hizi bila kudai chochote na mmepatiwa bila kusaini chochote, sijasema mhamie kesho, mtahamia wakati wowote mtakaotaka,” amesema Rais Magufuli.


Pamoja na mambo mengine, Rais Magufuli amesema, tayari viongozi wote na watumishi zaidi ya 6,000 wameshahamia hukoa ambapo pia amewatoa hofu mabalozi hao na wawakilishi wa kimataifa kuhusu usalama jijini humo.


“Tunaamini katika hatua tunazochukua mkihamia Dodoma itakuwa safi na kuhusu usalama tumehakikishiwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa.


“Dodoma ni mahali pazuri na ni rahisi kwenda nchi yoyote kwa kuanzia Dodoma. Tunaboresha huduma za usafiri ikiwamo miundombinu na afya kwa Dodoma na mikoa jirani ukiwamo Singida.


“Nimeagiza ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa msalato ili ndege zinazotua Dar es Salaam zitue Dodoma uanze kujengwa mara moja. Nataka niwahakikishie mabalozi Dodoma ni mahali pazuri nina uhakika patakuwa safi sana hasa baada ya ndege kutoka nchi zenu kutua hapa, tunataka kuitengeneza Tanzania mpya, yenye maendeleo na kushirikiana na sekta binafsi,” amesema.

Mwenyekiti wa UVCCM Aomba Radhi Kwa Kauli ya Kuwa CCM Ndio Inayoamua Maendeleo

$
0
0

Mwenyekiti wa UVCCM, Kheri James ameouomba radhi umma wa Watanzania kufuatia kauli yake iliyochukuliwa kama udhalilishaji kwa walipa kodi

Kheri alisema kuwa ‘CCM ndiyo inayoamua maendeleo yaje au yasije na hakuna mwananchi anayeweza kuchukua hatua yoyote dhidi ya chama hicho'

Kwa kauli yake amesema kuwa 'nachukua nafasi hii kuwaomba Radhi Watanzania Wenzangu wote walio kerwa na ujumbe huo'

Ameongeza kuwa anawashukuru viongozi wote wa kisiasa na kiraia walio nikosoa na kunikemea kwa maslahi mapana ya Taifa letu,ninawashukuru sana'

Joyce Kiria Amkingia Kifua Muna

$
0
0

Mtangazaji wa kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa kupitia Televisheni ya East Africa (EATV), Joyce Kiria amemkingia kifua muigizaji wa filamu Bongo, Rose Alphonce ‘Muna’ kuwa yuko sahihi kwa hivi sasa anavyotoka na kuonekana kwenye mitandao kabla ya kumaliza 40 ya mtoto wake aliyefariki kwa sababu hana sababu ya kuendelea kulia na kujifungia ndani kama watu wanavyomtaka. 

Akizungumza na Over Ze Weekend, Kiria ambaye kwa sasa anasimamia kupinga ukatili kwa wanawake na kuwainua kiuchumi, alisema kwamba anachojua toka zamani Muna ni mzazi aliyempenda sana mtoto wake kupitiliza hivyo hata akitoka akiwa amevaa nini ni moja ya kujipa moyo na kuondoa machungu aliyonayo. 

“Mimi binafsi nampongeza sana kwa kile anachokifanya sasa hivi, inaonekana jinsi gani alivyo shupavu maana bila hivyo basi angekuwa anaishi kwa maumivu makali tena ya kumsababishia athari ndani ya moyo,” alisema Kiria. 

Mwanaharakati huyo leo pia atafanya semina yake kubwa kwa ajili ya kuwahamasisha wanawake waweze kujikwamua wenyewe ambayo itafanyika katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem

Hii ndio kauli ya Ndugai baada ya Waitara kujiuzulu

$
0
0

Ikiwa zimepita siku mbili tokea kujiuzulu kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limesema limepokea barua rasmi leo ya Waitara. 

Hayo yamebainishwa na taarifa zilizotolewa na mtandao wa kijamii wa Bunge ukisema kwamba Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amepokea barua hiyo na kuahidi kumuandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC) ili kusudi aweze kuendelea na taratibu zingine. 

"Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai amesema kuwa leo asubuhi amepokea barua ya kujiuzulu Ubunge wa Jimbo la Ukonga kutoka kwa Mhe. Mwita Waitara na hivyo atamwandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ili aweze kuendelea na taratibu zingine", imesema taarifa hiyo. 

Waitara anakuwa Mbunge wa pili CHADEMA, kujivua ubunge ambapo Mbunge wa kwanza alikuwa Dk. Godwin Oloyce Mollel ambaye Disemba 14, 2017 alitangaza kujivua rasmi uanachama wa Chama hicho na kujiunga na CCM kwa madai ya kuunga mkono utendaji ya Rais Magufuli. 

Kwa kipindi cha takribani miaka mitatu tayari wabunge wanne wameshajivua nyadhifa zao, ambapo dimba lilifunguliwa na Lazaro Nyalandu kutoka CCM kwenda CHADEMA, Maulid Mtulia CUF kuelekea CCM, Godwin Mollel CHADEMA kwenda CCM na sasa Waitara kutoka CHADEMA kuhamia CCM.

Gazeti la Mwanahalisi Lashinda Kesi Mahakamani

$
0
0

Gazeti la Mwanahalisi lashinda kesi na Mahakama imeamuru lirejee tena mtaani.

Aidha, Mahakama imetengua amri ya Serikali iliyotaka wamiliki wa gazeti hilo kuomba upya usajili

Mkurugenzi wa Kampuni inayomiliki gazeti hilo, Saed Kubenea amesema wamapata hasara ya zaidi ya shilingi bilioni 2.2 hivyo wataenda Mahakamani kudai fidia

Mbali ya kudai fidia wamepanga kumshitaki binafsi aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakati huo Anastazia James Wambura

Huyu Hapa Mzungu ndio Mpenzi wa Malia Obama, Mtoto wa Rais Mtaafu Barack Obama

$
0
0

Mtoto wa kwanza wa Rais Mstaafu wa Marekani Barack Obama, Malia Obama mwenye umri wa miaka 20 akiwa na Boyfriend wake Raia wa Uingereza, wawili hawa ni Wapenzi na familia zao zinatambua, walikutana Havard University wanakosoma wote.

Article 4

Wanaume Wafupi Ndio Waume Bora Kabisa Ndoa zao Zinadumu Kuliko Wale Warefu

$
0
0

 

Wanaume ambao ni wafupi kwa kimo mara nyingi wanasifika kuwa waume bora kuliko wanaume warefu.
Pia inaarifiwa huwa na busara zaidi kufidia kimo chao, amekiri Adam Gopnik, mwanamme mmoja wenye umbo dogo.
Wiki kadhaa zilizopita, wana soshologia wawili kutoka Chuo Kikuu cha New York, walichapisha waraka mrefu ulioangalizia maisha ya watu wafupi.
Utafiti wao ulizua mjadala mkali kutoka kwa kile kinachoweza kusemekana kuwa jamii ya wanaume wenye kimo kifupi.
Waandishi wa waraka huo wa maswala ya kijamii unaashiria kwamba wanaume wenye haiba ya kuvutia mara nyingi hupendelewa katika maisha yao hivyo wanaripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na zaidi ya mpenzi mmoja.
Hata hivyo, hitimisho la waraka huo, pindi mtu anapoupitia, unashangaza. Ni kwamba, watu wafupi wana ndoa za kudumu zaidi.

nafanya hayo, katika mazingira magumu wakiwa katika umri tofauti na kipato tofauti, na wanayafanya hayo wakiwa na wanawake wafupi ambao wanawaoa, na wakati mwengine na hata wanawake warefu wanaokutana nao.
Wanaume wafupi wanaoa kuchelewa, lakini pindi wanapooa, wanadumu katika ndoa kwa muda mrefu, na kwa kiwango cha sayansi ya kijamii, angalau wanakuwa na furaha.
Kuna sababu zinazoonyesha kwa nini wanaume wafupi wanadumu kwenye ndoa.
Nazo ni, wanaume wafupi wanaonyesha kukata tamaa. Wanaume wafupi wanaishi katika ulimwengu wa wanaume warefu na wanajua kila fursa inayopatikana, ni bora kuidhibiti.

Hali ya kukata tamaa ndio inayowafanya wanaume wafupi kuwa wanaume bora kwa wake zao. Watafiti hao pia walisema kuwa wanaume wafupi hukimbilia kufanya kila kitu kuwafurahisha wapendwa wao wakati wanume warefu hilo halliwajalishi.
Moja wapo ya ufumbuzi wa ripoti hiyo pia ni kwamba wanaume wafupi wanafanya kazi chache za nyumbani wanapokuwa kwenye ndoa kuliko wanaume warefu, ingawa utafiti pia unaonyesha kwa wanaume wenye kimo kirefu, aina ya kazi zao za nyumbani inatofautiana.
Kwa maana nyengine, wanaume wafupi hawafiki juu ya makabati. Wanaume wafupi hawadumu kwenye ndoa kwa sababu ya kutaka kuridhisha, bali wanadumu kwenye ndoa kwa sababu wanataka kuonekana.
Utafitio huu kama ulivyosoma hapo awali umeua mjadala mkali lakini pindi mtu anaposoma utafiti wao kinachojitokeza zaidi ni kuwa wanaume wafupi wanakuwa na ndoa za kudumu.
Hii ni licha ya mazingira magumu wanayokabiliwa nayo katika ndoa zao na hufanya hivyo na wake wafupi waliowaoa lakini pia na wanawake warefu wanaokuwa wamewaoa.

Utafiti huo unahitimika kwa kusema wanaume wafupi hawana kasi ya kuoa lakini wanapooa wao hudumu katika ndoa zao.

Jipange Dada Usidhani Ndoa ni Kama Kupiga Picha Huku Umejibinua Makalio

$
0
0
Umepata bwana, umempenda kweli kweli na umemlalamikia sana eti kwanini hakupeleki kwa wazazi wake kukutambulisha, jamaa akagoma sana mwishowe akaona isiwe kesi akakupeleka.

Wewe badala hata utake hiyo advantage umefika tu siku ya kwanza umeshinda unachati, siku ya pili umeshinda unachati tena ndio unajisifia kwenye groups upo ukweni kumbe wao wanakutazama tu na kukupimia wala hawakwambii kitu.

Siku ya tatu wanakwambia leo ni zamu yako kupika, unaingia jikoni unaona kila kitu kigeni vya huku unaweka kule, vya kule unaweka huku (yaani hujui kupika chochote)

Sufuria unashika kama umeshika power bank, unapika na lipstick, mdomo mwekundu utafikiri mtoto wa jini katoka kufundishwa kunyonya damu tena huku umevaa saa, umevaa culture zimejaa nusu ya mkono, umevaa mini skirt kama wafanyakazi wa Emirates.

Msosi wa wakwe huwezi kupika. Ukiambiwa hufai kuolewa unavuta mdomo utafikiri umenyimwa USB cable ubust smartphone yako.

Unaanza kulalamika wakwe hawakupendi, unalalamika wee, unashindwa kuelewa kuwa wewe ndo tatizo.

Usitake kuolewa ukidhani mumeo atakula chips na wewe utakuwa utakula pizza kila siku, jifunze hata kuchemsha chai basi au unadhani google wataleta app ambayo unaweka USB kwenye simu yako alafu unaielekezea kwenye sahani inaproduce msosi.

#Jipange dada usidhani ndoa ni kama kupiga picha huku umejibinua makalio

Wivu Wasababisha Mwanaume Kumfungia na Kufuli Mke Wake

$
0
0
Mwanamme mwenye wivu amfungia na kufuli mpenzi wake ili asi cheat na kuondoka na funguo.
Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 25 aliamua kumshtaki mpenzi wake kwa polisi  baada ya kuchoka kuvumilia maumivu ya kukaa masaa bila kwenda haja na kuogopa kukata Jeans kwa mkasi kwa kumuogopa mpenzi wake huyo mwenye Umri wa miaka 40.

Unaniume Sana 'Baada ya Kwenda Mafunzo ya JKT Mpenzi Wangu Arudi Bila Bikira'

$
0
0
Hello Admin, naomba nisaidie hili
mimi ni kijana wa chuo mwaka wa pili, nilitokea kumpenda binti mmoja aliyemaliza kidato cha sita 2012 ambaye alikuwa ni jirani yangu na kwel tulipendana sana ,na tulipanga mimi na yeye tuje kuoana na kutokana na mazingira aliyolelewa baba yake akiwa mchungaji aliniambia kuwa yeye ni bikira na ataitunza hadi ndoa. kwakwel niliheshimu hayo mawazo yake kwa kuwa nlkw nampenda sana had wazazi wetu walikuwa wanalitambua hilo

Ila alipomaliza kidato cha sita alitakiwa aende kwenye mafunzo ya jkt kulingana na agizo la serikali hivyo alienda huko na nlikuwa nawasiliana nae mara kwa mara ingawa sio sana.


Kitu cha ajabu amebadilika sana kitabia tangu aliporudi ,nilipomuhoji vizur alikuja kuniambia kwa ss yeye sio bikira tena..nilipomuuliza kwa nn umechukua uamuzi huo? akaniambia alikuwa amechanganyikiwa kutokana na mazoez ya jkt had akafanya mapenz bila kujitambua ila akaomba msamaha na tuishi km zamani...kwakwel nimechanganyikiwa na sijui hata nimjibu nini? naomba ushaur kwako
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images