Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Kuondoka Kwa Mbunge wa Monduli CHADEMA ni Dalili ya Lowassa Kuachana na Siasa?

$
0
0
Tukio la Mbunge wa Monduli kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga na CCM limeanza kutoa picha halisi kuhusu hatma ya Lowassa ndani ya CHADEMA na katika siasa nchini.

Katika watu ambao walikuwa karibu sana na Edward Lowassa kisiasa wakati akiwa CCM na CHADEMA mmojawapo ni Julius Kalanga Laizer ambaye alikuwa ni Mbunge wa Jimbo la Monduli kupitia CHADEMA.

Julius Kalanga Laizer alikuwa ni mmoja wa watu ambao kama utataka kuonana na Lowassa wakati akiwa Mbunge lazima upitie kwake. Kwa maneno mengine alikuwa ni gatekeeper au kiunganishi cha Lowassa.

Mtu yeyote aliyetaka kugombea udiwani katika Jimbo la Monduli ilikuwa lazima kwanza akubaliwe na Julius Laizer akishirikiana na Isack Joseph na pia Paulo Kiteleki. Ikumbukwe kuwa bila ridhaa ya Lowassa kama unataka uongozi katika Jimbo la Monduli utakuwa unapoteza muda wako.

Lowassa baada ya kuachia Jimbo la Monduli aliamua kumkabidhi kijana wake Julius Kalanga Laizer ambaye alihama naye kutoka CCM na kujiunga CHADEMA.

Kwa sasa Julius Laizer ameamua kurudi CCM na kwa maana hii kuna uwezekano mkubwa Lowassa ameishawaeleza vijana wake kama Laizer kuhusu hatma yake kisiasa ndani ya CHADEMA.

Ikumbukwe kuwa mpaka sasa madiwani zaidi ya 7 kwa tiketi ya CHADEMA katika Jimbo la Monduli wamejivua uanachama na kuhamia CCM.

Yajayo ndani ya CHADEMA yanafurahisha na kufikirisha!

Hii ndio faida ya mafuriko ya Edward Lowassa ambayo yako mbioni ‘’kuisomba’’ tena CHADEMA!

Swali la Dkt. Slaa bado VALID! Lowassa is an asset or a liability to the opposition party?

Harmonize Akana Tetesi Za Kumchumbia Sarah

$
0
0
Staa wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika label matata WCB Harmonize ambaye kwa sasa anafanya vyema kabisa na ngoma yake ya ‘Kwangwaru’ amefunguka na kukataa tetesi zinazodai kuwa amemvisha Pete mpenzi wake Sarah.

Tetesi za Harmonize kumvusha pete ya uchumba mpenzi wake Sarah zilianza kusambaa wiki chache zilizopita baada ya kuposti picha Kwenye mitandao ya kijamii zikiwaonyesha Harmonize akimvisha pete ya thamani Sarah.

Tukio hilo la kuvalishana pete lilionekana kwenye mitandao ya kijamii siku chache baada ya wawili hao kugombana na kurushiana maneno kwenye Instagram baada ya Tetesi za Harmonize kuchepuka.

Kwenye mahojiano aliyofanya alipokuwa nchini Kenya kwa ajili ya shoo yake Harmonize aliwaambia Pulse Live kuwa hajamvalisha pete ya uchumba Sarah kama Tetesi ila wapo mbioni kufanya hivyo:

Sijamvisha Pete mchumba wangu,… na Ndoa bado unajua siku zote ndoa ni mipango na ikifika wakati wa engagement nitawatangazia”.

Mwezi uliopita Harmonize alikumbwa na tetesi za kuchepuka na wasichana kadhaa ikiwemo msanii wa nyimbo za Injili kutoka Kenya na mtangazaji kutoka Nigeria lakini pia Ex wake Jacqueline Wolper.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upugufu wa Nguvu za Kiume, Busha, Kisukari na Vidonda vya Tumbo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO? BUSHA BILA KUPASUA KISUKALI NA VIDONDA VYA TUMBO? asilimia kubwa ya wanaume wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo

NI NINI KINACHOSABABISHA UUME KUZIDI KUWA MDOGO NA WEMBAMBA 1 kuugua chango LA uzazi 2 unene kupita kiasi 3 kuvaa nguo au chupi za kubana 4 kupiga punyeto kwa mda mrfu ,NI NINI TIBA YAKE MAKAKANUA MIX nidawa ya mitishamba iliyochanganywa NA mizizi kumi NA mbili urfusha NA kunenepesha UUME saizi upendayo ich 5,6,7, NA 8 kwa urfu NA sentimita 3,4, na 5 ipo dawa ya kunywa na kupaka NI NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupungukiwa kwa homoni ya testerone 2 kuhudhurika kwa Neva au uti wa mgongo 3 utumiaji holela wa madawa ya kizungu 4 usongo wa mawazo na asira 5 utumiaji wa vyakula vya mafuta mengi NI NINI TIBA YAKE MAPRO POWER NO 2 NDIO tiba tosha kwa sasa kwani utibu matatizo matatu kwa pamoja 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 adi 20 ,2 itakufanya urudie tendo zaidi Mara tatu 3 uhimalisha uume uliolegea na kusinyaa OKOA NDOA YAKO SASA ujihepusha na lawama ndani ya ndoa yako au pale ukutanapo na mpezi dawa hii itamfanya mpenzi wako hakueshimu na hasitoke nnje ya ndoa na ata wazee wenye umri mkubwa wanapona zipo dawa za kupunguza kitambi,minyama uzembe, presha ,kisukar mvuto wa mpezi au biashara FIKA OFISINI KWETU MBAGALA ZAKHEMU na wateja wa kanda ya ziwa yupo wakala wetu mwanza mjini au piga simu 0752348593

DR MABULA na utaletewa popote ulipo uduma hizi

Mahakama Yamuonya Mbowe

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imempa onyo  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe kwa kutohudhuria mahakamani mara mbili  katika kesi ya uchochezi inayomkabili yeye na wenzake nane. Ameambiwa iwapo atarudia tena kutofika mahakamani kwa sababu ambazo hazina msingi basi dhamana yake itafutwa.



Onyo hilo limetolewa leo Julai 31 na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kuwasomea washtakiwa maelezo ya awali (PH).



“Mwambieni asiendelee tena na huo mchezo aheshimu masharti ya dhamana na akirudia tena mahakama itamchukulia hatua ikiwamo kumfutia dhamana yake na kutaifisha fungu la dhamana ambalo ameliweka”.



Aidha Hakimu Mashauri ameondoa kumbukumbu barua zilizowasilishwa na wakili wa utetezi, Hekima Mwasipu ambazo ni nakala ya kusudio la kukata rufaa dhidi ya uamuzi uliotolewa katika maombi ya marejeo namba 126,2018 ya Mahakama Kuu na mwenendo wa maombi hayo.



Amesema, ataweka kumbukumbu hiyo pale wahusika watakapoyafikisha mahakamani kwa mujibu wa sheria. Kesi hiyo imepangwa Agosti 2,2018 kwa ajili ya washtakiwa kusomewa (PH).



Mapema wakili wa utetezi, Hekima Mwasipu alieleza mahakamani kuwa Mbowe hayupo lakini mdhamini wake yupo. Mdhamini wa Mbowe, ameileza mahakama kuwa amefanya mawasiliano na mshtakiwa (Mbowe) na amemueleza kuwa amekwama kwenye foleni.



Baada ya kutolewa kwa Maelezo hayo, Wakili wa Serikali Mkuu, Faraja Nchimbi aliiomba mahakama kumuingiza Mbowe kwenye kumbukumbu zake kuwa hiyo ni Mara ya pili mfululizo mshtakiwa ahudhurii kesi mahamani bila ya kutoa sababu za msingi.



“Julai 25, mwaka huu Mbowe hakufika mahakamani na mdhamini alieleza kuwa ameharibikiwa na gari akitokea Arusha, Leo amekwama katika foleni.



Naomba mahakama itoe onyo kwa washtakiwa kuheshimu masharti ya dhamana na kufika mahakamani kwa wakati.” Amedai Nchimbi.



Mahakama Yamuonya Mbowe
Wakili Mwasipu amedai mahakamani hapo kuwa, pamoja na kesi hiyo kupangwa kwa PH leo lakini mawakili wanaoiendesha kesi hiyo, Peter Kibatala yupo Mahakama Kuu na Jeremiah Mtobesya yupo Mwanza wameomba kesi iahirishwe hadi Agosti 2,2018 Saa 5 asubuhi watakuwepo.



Pia amewasirisha taarifa ya kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Rufaa mahakamani hapo na barua ya kuomba mwenendo wa maombi ya marejeo Mahakama Kuu.



Hata hivyo, wakili Nchimbi aliiomba mahakama kwa sasa isipokee maombi ya taarifa hiyo hadi pale yatakapofikishwa kwa kufuata utaratibu na msingi wa sheria.



Washtakiwa waliokuwepo mahakamani ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu bara na Mbunge wa kibamba John Mnyika, mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa Kawe Halima Mdee na  mbunge wa bunda, Esther Bulaya.



Wengine ni mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko na katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk Vincent Mashinji.



Washtakiwa hao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 13, ikiwemo kula njama,  kufanya mkusanyiko wenye ghasia, kuhamasisha hisia za chuki, kushawishi hali ya kutoridhika, uchochezi na kushawishi utendaji wa kosa la jinai kati ya Februari 1 na 16, 2018, Dar es Salaam.

Na Ripote wa Globu ya Jamii

Shilole: Q Chief Ndiye Aliyegundua Kipaji Changu na Kunishawishi Kufanya Mziki

$
0
0
Shilole: Q Chief Ndiye Aliyegundua Kipaji Changu na Kunishawishi  Kufanya Mziki
Msanii wa Bongo Fleva Shilole amefunguka kuwa  mtu aliyemwambia  kuwa ana kipaji cha kuimba na kumshawishi  kufanya mziki ni Q Chief.

Akizungumza na www.eatv.tv shilole amesema yeye hakuwa anajua kama ana kipaji cha kuimba lakini alikuwa anatamani tu japo alikuwa anaamini kuigiza ndio mahali pake.

Shilole amesema alikuwa anatamani ila hakujua ataanzia wapi lakini alipokutana na Q Chief alimuambia anatamani kuwa muimbaji ndio ukawa mwanzo mzuri wa yeye kuingia studio, ni baada ya Q Chief kumwambia unaweza.

“Unaweza kuwa na kitu ndani yako ila usijue kama unaweza ila mimi sasa hivi nafanya vizuri kuliko nilivyokuwa kwenye Bongo movies na pia kwenye muziki niko huru sana kuliko nikiwa naagiza”,amesema Shilole.

Hata hivyo, Shilole ameongeza kwa kusema siku amesikia Q Chief ametangza kuacha muziki, aliumia kwakuwa anajua uwezo wake ni mkubwa na alikuwa anaona wanapoteza kipaji kikubwa katika tasinia ya muziki nchini.

“Ila sasa hivi naona raha baada ya kuona yeye kutengua kauli yake na kuendelea na muziki na nyimbo yake mpya naipenda halafu ni kali. Kwahiyo mimi ni jambo la kujivunia kwa kuona mtu ambaye alinigundua upande wa pili katika tasnia ya kuimba amerudi tena”,amesema shilole.

Maimartha Afunguka Sababu ya Kumuita Jokate Mama wa Taifa

$
0
0
Maimartha Afunguka Kumuita Jokate Mama wa Taifa
Mtangazaji na mc maarufu nchini Maimartha amefunguka na kuongelea  video iliyo-trend sana katika mitandao ya kijamii wiki iliyopita ikimuonyesha akiwa katika  hafla ya Zamaradi  akimuita jokate mama wa taifa swala lililozua sana mtafaruku katika mitandao.

Maimarha anasema kuwa swala la yeye kumuita Jokate hivyo ni kwa sababu Jokate amekuwa mwanamke wa kuigwa na wanawake wengine kutokana na kujitoa kwake katika jamii hasa baada ya kuwa akifanya mambo mengi ya kunufaisha jamii.

Jokate ni mwanamke, oate ni mfano wa kuigwa,nadhani nilichokisema hata mh magufuli kakiona  hicho kitu na kama mwanamke unapokuwa unajulikana tumia hiyo nafasi kuelimiesha wengine , hata kama unasema kiasi gani,haijalishi kwenye mahusiano yako uumekutana na changamoto gani.haijalishi umedondoka au umeanguka mara ngapi.she is a mom, ni mama na kuna ambao wameunganisha , Unaweza ukaiunganisha lakini  naomba wasinitafutie shida..

Picha: Ilivyokuwa Kitchen Party Ya Zabibu Kiba

$
0
0
Picha: Ilivyokuwa Kitchen Party Ya Zabibu Kiba
Dada wa Staa wa Bongo fleva Ali Kiba, Zabibu Kiba anayetegemewa Kuolewa hivi karibuni na mpenzi wake ambaye ni mcheza mpira wa Abdi Banda.

Tangu wiki iliyopita Zabibu amekuwa akifanya shughuli mbali mbali kwa ajili ya kuelekea siku ya harusi yake itakayofanyika hivi karibuni.




Serikali Yasema Haina Taarifa ya Gazeti la Mwanahalisi Kushinda Kesi Mahakamani

$
0
0
Wakati mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya HaliHalisi, Saed Kubenea amesema Jumatano ijayo atachapisha nakala ya kwanza ya gazeti la Mwanahalisi baada ya kushinda kesi katika Mahakama Kuu, Serikali imesema haina taarifa na ujio huo.

Kubenea aliwaambia waandishi wa habari jana kwamba, gazeti hilo limeshinda kesi iliyofunguliwa mwaka 2017 katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam na uamuzi umefanyika hukumu ilitolewa Jumanne ya wiki iliyopita.

“Kama kampuni Jumatano ya wiki ijayo, tutachapisha nakala ya gazeti hilo kwa mara ya kwanza tangu lifungiwe,” alisema.

Alisema taratibu za kuomba leseni zinaendelea lakini gazeti kwa mujibu wa sheria halihitaji kusajiliwa tena badala yake, Mahakama imeamuru lifunguliwe na liendelee kuchapishwa.

Kubenea ambaye pia ni mbunge wa Ubungo (Chadema), alisema Mahakama imesema mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) hana mamlaka yoyote siyo tu kuomba watoe maelezo ni kwa nini walichapisha habari hiyo, bali hata kuwaomba wapeleke utetezi wao.

Wakili wa Kampuni hiyo, Nashoni Nkungu, alisema uamuzi huo ulitolewa Julai 24, mwaka huu na Jaji Beatrice Mutungi.

“Mahakama katika uamuzi wake ilisema amri zilizotolewa wakati wa kulifungia gazeti ni batili, hazikufuata misingi ya kisheria na hakukuwa na haki ya usikilizwaji kwa upande wa mlalamikaji.

“Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo hana mamlaka yoyote, si tu ya kuwaomba watoe maelezo juu ya habari husika, hata ya kuwaomba walete utetezi wao.

“Na mahakama ilisema hilo si jukumu mojawapo katika yale majukumu ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo kama yalivyoainishwa kwenye Sheria ya Huduma za Habari,” alisema Nkungu.

Alisema hata waziri hana mamlaka ya kulifungia gazeti kama alivyofanya kwa kupitia kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo.

“Mamlaka pekee ambayo anayo ni kuondoa ‘content’ ya habari ambayo inaonekana inahatarisha usalama wa taifa, kimsingi hata waziri hana mamlaka ya kufungia gazeti.

“Mahakama ilisikitishwa na kutotiliwa mkazo kwa amri ambazo zilitolewa mahakamani, kwani kulikuwa na amri zingine zilizotolewa, lakini mkurugenzi aliendelea kufanya kinyume, amekanywa kutoendelea kwenda kinyume na amri ambazo mahakama imekwishazitoa.

“Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo hana mamlaka yoyote si tu ya kuwaomba kama alivyofanya katika kesi hii, hana mamlaka yoyote ya kuandika barua kwa chombo cha habari na kukiambia kijieleze,” alisema.

Hata hivyo, mkurugenzi wa Maelezo ambaye pia ni msemaji wa Serikali, Dk Hassan Abbas alisema wao kama Serikali hawana taarifa ya hukumu hiyo.

Alisema mbali na kutokuwa na taarifa ya kushinda kesi hiyo, kuna taratibu chini ya sheria ya huduma za habari zinazotakiwa kufuatwa kabla gazeti halijachapishwa.

 “Sheria hiyo imeanza kutumika Desemba 31 mwaka 2016 ambayo inaeleza kwa namna yoyote ile hakuna gazeti litakaloruhusiwa kuchapishwa bila kuwa na leseni period (basi), ”alisema Dk Abbas.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Uchapishaji ya Hali Halisi, Saed Kubenea, alisema wanakusudia kuwashtaki Mwanasheria Mkuu wa Serikali na aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Annastazia Wambura, kwa madai kuwa wameisababishia hasara kampuni hiyo ya Sh bilioni 2.2.

Alisema uamuzi huo wa mahakama umewasaidia kuonekana mbele ya jamii kwamba hawakuwa na makosa na kudai kuna watu wana hila na gazeti lao lisionekane mtaani.

“Mahakama imethibitisha hatukuwa na hatia, hivyo tunapanga kudai fidia kwa sababu tumepata hasara zaidi ya Sh bilioni 2, tumepoteza wafanyakazi, matangazo na wadau mbalimbali tuliokuwa tukishirikiana nao.

“Tutamshtaki AG na aliyekuwa Naibu Waziri (Wambura) tutamshtaki binafsi ili iwe onyo kwa viongozi wengine wanaotumia madaraka yao vibaya,” alisema Kubenea.

Mkurugenzi huyo alisema wanatarajia gazeti hilo litaanza kuchapishwa wiki ijayo na kuwataka waandishi wa habari na vyombo vya habari wasiogope kudai haki kwani mahakama bado ziko huru na zinatenda haki.

“Mwaka 2012 tulifungiwa kwa muda usiojulikana tukaenda mahakamani gazeti likarejeshwa Septemba 2015, twendeni mahakamani tukajenge hoja.

“Tunaamini mahakama zetu bado ziko huru na zinaweza zikatenda haki, isipokuwa kuna baadhi ya watu ndani ya Serikali wana kiburi cha kutotii maamuzi ya mahakama, pengine kwa masilahi yao binafsi ama kwa kutumwa,” alisema Kubenea.


Waziri Lugola Amtaka Zitto Kujisalimisha Polisi

$
0
0
Waziri Lugola Amtaka Zitto Kujisalimisha Polisi
Leo Julai 31 Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Kangi Lugola amemtaka Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe kujisalimisha kituo kikuu cha polisi Lindi kutokana na kitendo cha kukaidi agizo la Rais Magufuli kwa mbunge yeyote kutofanya shughuli za mkutano tofauti na jimbo lake.

Hatua hiyo imekuja baada ya Zitto Kabwe kuhutubia na kutoa kauli za uchochezi kwenye mkutano ulioandaliwa na Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungala maarufu Bwege uliofanyika Julai 29 mwaka huu

“Congo ingepata Rais kama Magufuli sijui ingekuwaje” –Christian Bella

$
0
0
Staa wa miondoko ya Dance Tanzania mwenye asili ya Congo Christian Bella amezimiliki dakika tatu za mahojiano na ripota wa Ayo TV na millardayo.com ambapo amezungumzia mtazamo wake kuhusu utendaji kazi wa Rais Magufuli pamoja na maamuzi ya Serikali kufungia nyimbo za wasanii.

“Rais Magufuli ni kama baba yangu, ukiachana na mambo ya kiserikali mimi nikiwa Congo sijawahi pata nafasi hata ya kuitwa na Rais lakini Rais Magufuli yeye ameweza kuniita na kupongeza kazi zangu yani hii ni kumbukumbu kubwa “-Christian Bella

“Kuna vitu vingi na vikubwa sana Rais Magufuli anavifanya ambayo ni mifano ya kuigwa ambapo sisi kama Congo tungempata mtu kama yeye ingekuwa vizuri sana.”-Christian Bella

Billnas Amshauri Steve Nyerere Afungue Biashara Ya Mambo Ya Misiba

$
0
0
Billnas Amshauri  Steve Nyerere Afungue Biashara Ya Mambo Ya Misiba
Msanii wa Bongo fleva anayetamba na kibao chake cha Labda Bill Nas amempa ushauri wa bure msanii wa Bongo movie Steve Nyerere na kumtaka afungue kampuni yake ya binafsi itakayoshughulikia mambo ya misiba.

Steve Nyerere siku za hivi karibuni amekumbwa na skendo ya Kula fedha za rambi rambi zinazochangwa na watu kwa ajili ya kuwafikia wafiwa.

Steve Nyerere na Billnas waliingia Kwenye bifu zito mapema mwezi huu baada ya Steve kumwambia maneno kuhusu yeye na Nandy jambo ambalo halikumfurahisha kabisa Billnas.

Kwenye mahojiano na Wasafi Tv, Billnas ameibuka  kumtaka Steve kuweka ugizaji wake wa vichekesho pembeni na badala yake ajikite kwenye biashara ya kuandaa misiba maana ndio anayoiweza:

Steve badala ya kutumia pesa zake kuandaa comedy shoo kubwa sijui anaweza kufungua kampuni ya kushughulikia mambo ya misiba na inaweza kuwa kampuni kubwa tu na akatengeneza hela na akatumia mtaji huo huo mdogo akanunua magari ya kubebea maiti na akafanikiwa zaidi”.

Pata Dawa ya Mtikulu, Dawa ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0

MTIMKULU NI DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO.
Matatizo haya yamekuwa yakiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia inchi (68)vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi Hormones za Getrogen ambapo mwanaume anapo balehe vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chango hushambulia neva ambapo huathiri misuri ya uume. Ngiri ambayo huleta maumuvu ya tumbo kuunguruma na kujaa gesi korodani moja kuvimba kutopata choo vizuri

Sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara hupelekea kupungua kwa nguvu za kiume na hamu ya tendo la ndoa hukosekana na kuisha kabisa

(MTIMKULU) ni dawa inayozarisha hormones za Getrogen nakufanya uume kukua na kuongezeka

(ITEGESHA)ni bora ya kurudisha nguvu za kiume na kukupatia hamu tendo ndoa zaidi ya mara nne bila kuchoka zaidi (dk15
20)kwa tendo moja na hazina madhara kwa mtumiaji pia anatibu kisukari, miguu kuwaka moto kutoshika mimba, na mvuto wa mapenzi karibuni sana

Kwa Mawasiliano DR MADINA +255655105260

VIDEO:Mwanamuziki Tajiri P. Diddy Ampa Wizkid wa Afrika Dili Nono la Mamilioni

$
0
0
Rapa P. Diddy ni moja ya mastaa wakubwa duniani ambao kwa namna moja au nyingine wanasapoti sana muziki wa Afrika na awamu hii ameamua kufanya kazi kwa vitendo zaidi na Wizkid kutoka Nigeria.

P. Diddy kupitia bidhaa yake ya vinywaji vikali vya Cîroc amemtangaza Wizkid kuwa Balozi wa bidhaa hizo ambapo StarBoy mwenyewe amethibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa Twitter.

Kwa upande mwingine pia, Rapa Cassper Nyovest ambaye yeye ni balozi wa muda mrefu amemkaribisha Wizkid kwenye familia hiyo mpya ya Ciroc kwa kumwambia “Y’all already heard da bog!! Cirocboyz worldwide!!! Welcome to the family Wizzy Lion!!! Don’t do drugs!!! Do Ciroc!!! #CirocPhone .@wizkidayo“.

Dili hilo bado halijawekwa wazi lakini vyombo vya habari vinaeleza kuwa na thamani ya dola milioni $1.5 ambayo ni sawa na tsh bilioni 3.3 .

P. Diddy ana-share hisa na kampuni ya Diageo ambayo ndiyo inayozalisha kinywaji cha Ciroc, yeye yupo kwenye upande wa Marketing and Promotion ambako anahusika na masuala yote ya ishu za ubalozi na matangazo ya kinywaji hicho. Tazama video ya Wizkid akitangaza dili hilo



Biashara ya Benki Tanzania yasuasua kutokana na wateja kutolipa madeni

$
0
0
Biashara ya Benki nchini Tanzania imeendelea kuwa ngumu kwa baadhi ya taasisi kubwa za kifedha ambapo faida ya benki hizo imekuwa ikisuasua kwa miaka miwili sasa.

Wiki hii benki nchini Tanzania zimechapisha ripoti ya mwenendo wa hali ya biashara kama wanavyopaswa kwa mujibu wa sheria.

Gazeti la kilasiku la Kiingereza la The Citizen limeripoti hii leo Jumanne kuwa mdororo huo wa faida umetokana kwa kiasi kikubwa na mikopo ya wateja isiyolipwa (Non-Performing Loans).

Benki ya NMB ambayo inatajwa kuwa ndiyo taasisi kubwa zaidi ya kifedha Tanzania faida yake imeshuka na kufikia Sh bilioni 66.8 za Tanzania kwa kipindi cha Januari 1 mpaka Juni 30 mwaka huu kutoka Sh bilioni 76.2 kwa kipindi kama hicho mwaka 2017.

Hata hivyo, NMB wamefanikiwa kupunguza idadi ya madeni hayo yasiyolipika kutoka 6.6% mwezi Machi 2018 mpaka 5% kufikia mwezi Juni 2018.

Benki ya CRDB inatajwa kuwa ya pili kwa ukubwa nyuma ya NMB, nayo pia faida yake imeshuka kutoka Sh bilioni 39.6 kwa nusu ya mwaka 2017 mpaka Sh bilioni 32.6 kwa nusu yam waka huu, 2018.

Kiwango cha riba chapunguzwa Kenya

Je Afrika iko wapi katika uchumi unaokadiriwa kukuwa duniani 2018?

Hivi Karibuni, BBC ilifanya mahojiano na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB Charles Kimei ambaye alisisitiza kuwa mikopo isiyolipika ni kikwazo kikubwa cha ustawi wa benki.

"Unapokuwa na mikopo isiyolipika, faida inashuka na kwa hivyo huwezi kukuza akiba yako ya limbikizo la faida ambayo inatumika kama sehemu ya mtaji na hilo ni tatizo kubwa sana," alisema Kimei.

Kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya uchumi, uwepo wa mikopo isiliyolipika unatokana na upungufu wa fedha katika mzunguko na hivyo kuathiri hali ya biashara na ulipwaji wa madeni.

BBC

Kauli ya Lowassa Baada ya Mbunge wa CHADEMA Jimboni Kwake Kujiuzulu na Kuhamia CCM

$
0
0
Muda mchache baada ya Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga (Chadema), kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewataka wananchi jimboni humo wasife moyo na kuwa na utulivu.

Lowassa ambaye pia amewahi kuwa Mbunge wa Monduli kabla ya Kalanga, amesema amesikia taarifa za kujiuzulu kwa mbunge huyo na kwamba kwa sababu zozote ambazo amezitoa ni haki yake kikatiba.

“Najua Wana-Monduli wote nikiwamo mimi uamuzi huo umetuhuzunisha na kutuumiza, lakini nawaomba msife moyo hata dakika moja zaidi kitendo hicho kizidi kutupa nguvu, ari, hamasa na mori zaidi ya kuendeleza mapambano ya kuitafuta demokrasia na mabadiliko ya kweli.

“Hakuna jipya katika hili, ni kawaida kwa wanasiasa duniani kuhama vyama vyao na kubadilishana vijiti. Monduli imetupa heshima kwenye harakati za mabadiliko, naomba msife moyo,” amenukuliwa Lowassa ambaye pia ni Mjumbe Kamati Kuu ya Chadema.

Alichokisema Lowassa Kuhusu Tetesi za Mtoto Wake Kukugombea Umbunge Jimbo la Monduli

$
0
0
Baada ya kuwepo kwa mashinikizo mbalimbali yakimtaka Freddy Lowassa kijana wa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Edward Lowassa, kugombea nafasi ya Ubunge kwenye jimbo la Monduli. Mh. Lowassa amesema bado hajawa na maoni juu ya mashinikizo hayo kwani hayajamfikia.

Mh. Lowassa ameyasema hayo wakati  alipohojiwa kama yupo tayari kumruhusu kijana wake Freddy Lowassa kuchukua dhamana ya kuiongoza Monduli baada ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo Julius Kalanga kujiuzulu nafasi yake .

Mh. Lowassa amesema; "Mimi bado taarifa hizo za kumhusu Freddy sina, sijazipata. Ngoja kwanza nizifuatilie na baada ya hapo ninaweza kutoa tamko. Siwezi kuzungumzia kitu kwa sababu bado mimi hazijanifikia,".

Tangu kusambaa kwa taarifa za Mbunge Kalanga kujiuzulu nafasi yake na kuhamia CCM jana usiku, mitandaoni kumekuwa na mashinikizo mbalimbali ambayo yakimtaka Freddy Lowassa  kuwa mwakilishi wa wanaMonduli huku wakidai kwamba Kalanga amewaambisha wamasai.

Mmmojawapo ya watu hao ni Mbunge wa Sombetini Arusha, Ally Binamu Bananga yeye amedai kwamba yeye atakishawishi chama kimpitishe Freddy kugombea.

"Huyu ndio wa kwenda kuzima kiherehere cha Kalanga, uchaguzi mdogo ukiitishwa nitakishawishi chama changu twende na FREDDY LOWASSA, kampeni meneja nakamata ungo mwenyewe mzee baba, mkuu wa ngome Godbless Lema, huku mzee Lowassa, kule mama Lowassa" , ameandika Bananga  ujumbe huo.

Jimbo la Monduli limekuwa wazi kuanzia jana usiku baada ya Mbunge aliyechaguliwa 2015 (CHADEMA), Julius Kalanga kujiunga na CCM kwa kile alichoeleza kuwa ni kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli na kudai kuwa ameondoka CHADEMA kwasababu ya siasa za chuki na uhasama.

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Ladies:Wanaume wa Kuoa Hawatafutwi Clubs na Sehemu za Starehe

$
0
0
Some ladies have lost their thinking caps. Some found it but unable to use it. Must you clock 35 before you stop partying here & there? You already know all Eateries/ Hotels in town! You even know the tastes of their various ice-creams, pepper-soups, shawamas, etc.
And you can tell the prices of their beers and wines offhand.

Funny, you're singing “No man is responsible.”

*Which responsible man drinks to stupour and clubs every weekend?

*Which responsible man samples you and your slutty friends randomly?

*Which responsible man sags with dog's chains on his neck and tattoos on his body?

Ask your self; “Is the guy I'm currently dating my dream man?”

Dear sisters,

If you are living your life as above, my dear, you are living a life of mirage. Be real! Humble yourself and so you will be raised.

The so called "responsible men" you are searching for are not in the clubs and hotels, you won't find them at the weekly birthday 'bashes', weekend beach crashing or pool-side jamborees loitering around women of easy virtues, drunkards and men of questionable characters.

They are busy; in the Universities, Polytechnics and Colleges studying hard for the life after school, and in the offices, workshops, and on business trips striving hard to make life better for their families and better than they've met it.

Use that brain Sweet Sisters!

It's for thinking.

Fatma Karume amkaba shati Mnyeti

$
0
0
Fatma Karume amkaba shati Mnyeti
Chama cha Wanasheria Tanganyika Law Society, kimelaani vikali kitendo kilichofanywa na mkuu wa mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti aliyetoa amri ya kukamatwa kwa mmoja ya wakili wao Menrad De Souza kitu ambacho ni kinyume cha Sheria ukizingatia hana mamlaka hiyo.

Akizungumza na Waandishi wa habari mapema leo jijini Dar- esa Salaam Rais wa chama hicho Bi Fatma Karume amesema jana mchana mkuu huyo wa mkoa alimkamata mwanasheria wa chama hicho pamoja na wateja wake waliokwenda ofisini ili kuingia mkataba baina ya wateja na wakulima ndipo mkuu wa mkoa alipotoa amri kwa polisi mwanasheria huyo na wateja wake wakamatwe na kuwekwa ndani kwa masaa 48 kwa amri ya mkuu huyo wa mkoa.

Amesema chama hicho kimelazimika kutoa taarifa hiyo kwani siyo mara ya kwanza kwa wakuu wa mikoa na wilaya kutoa amri watu kuwekwa ndani na polisi kwa masaa 48, hivyo chama hicho kinapinga matumizi mabaya ya madaraka ya viongozi hao dhidi ya wananchi.

Fatma amesema hapa nchini hakuna mtu anayetoa hukumu ya mtu kukaa ndani isipokuwa Mahakama na hiyo ni baada ya kusikiliza pande zote mbili, hivyo wakuu wa wilaya na mikoa kutoa matamko ya kuwakamata watu ni sawa na kutoa hukumu jambo ambalo hawapaswi kufanya.

Ametumia fursa hiyo kueleza utofauti wa kisheria uliopo baina ya Zanzibar na Tanzania bara kwa kusema kuwa "Zanzibar huwezi kukaa ndani kwa miezi 9 bila kuhukumiwa hapo utapata dhamana moja kwa moja, hapa bara watu wanakaa miaka 9 mpaka 10 na hii ndio tofauti ya Sheria za Tanzania Bara na Zanzibar".

Ameongeza kuwa " Kuna changamoto kubwa sana kwa mawakili wetu kukaa ndani kwa muda mrefu, tatizo ni Tanzania Bara na sio Visiwani, bunge la huku Tanzania bara likipitisha Sheria siyo kwamba kesi hii hakuna kupata dhamana basi ndo imepita hapanaa hii ni sheria ovu".

Kwa upande wake wakili msomi Jebra Kambole amesema wakili huyo amekamatwa akiwa anatimiza majukumu yake ya kikazi, na kwamba Wakuu wa mikoa wamekuwa wakitumia sheria vibaya kuwaumiza wananchi na watu wengine kinyume na sheria.

"Kuna sheria na matumizi mabaya ya sheria, kwahiyo Wakuu wa mikoa wamekuwa wakitumia vibaya sheria na matokeo yake wanawaumiza wananchi, waandishi wa habari na wengine" ameongeza wakili Kambole.

Waziri wa Afya Awajia Juu Wanaume "Likizo Ya Uzazi Kwa Wanaume Si Ya Kunywa Pombe’'

$
0
0
Waziri wa Afya: Awajia Juu Wanaume "Likizo Ya Uzazi Kwa Wanaume Si Ya Kunywa Pombe’'
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amewataka wanaume kutoitumia likizo ya siku tano ya uzazi kwa wanaume kwenda kunywa pombe.

Aidha, amesema ataifuta likizo hiyo kwa wanaume endapo atajiridhisha haina manufaa na inatumika ndivyo sivyo.

Akizungumza kuhusu Wiki ya Unyonyeshaji itakayoanza kesho hadi Agosti 8, mwaka huu, Waziri Ummy amesema likizo hiyo ni kwa ajili ya kumsaidia mama anapokuwa amejifungua na si vinginevyo.

“Likizo ya uzazi kwa wanaume si ya kwenda kunywa pombe, lakini wapo wanaume wanachukua likizo na nyumbani hawaonekani, nitafanya utafiti kuangalia iwapo ina manufaa kama hakuna tutaifuta,” amesema.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images