Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Hiki Ndicho Alichokifanya Mwarabu Fighter Baada ya Kufukuzwa Kazi WCB,

$
0
0
Hiki Ndicho Alichokifanya Mwarabu Fighter Baada ya Kukosa Kazi WCB,
Aliyewahi kuwa mlinzi wa msanii mkubwa Diamond platinumz amekuja na kitu kipya baada ya kuachana na kazi ya ulinzi katika kundi la WCB na kupata ajali mbaya iliyotaka kusababisha kuondoka na uhai wake.Mwarabu fighter ambae ameamua kuja na idea mpya ya kuanzisha kampuni yake ya ulinzi anasema kuwa inaweza kuwahudumia watu wote ikiwa ni kikundi au mtu mmoja mmoja.

Katika ukurasa wake wa instagram, Mwarabu fighert aliandika “Dear god please , bless the work of my hands.nilikiona kifo lakini ukanipa nafasi nyingine tena.mtanzania mwenzangu , hii ni kazi yangu na vijana wenzangu, nitasema na kufanya kweli daima fitina kwangu ni mwiko.upigie sima kwa mahitaji ya usalama wako binafsi,harusi, matamasha na nyumbani na popote ulipo , unapohitaji usalama.

Mwarabu Fighter hapo awali alikuwa akifanya kazi na Diamond Platinumz lakini kibarua kilikuja na kuota nyasi huku hgakuna aliwahi kutoa sababu ya yeye kuacha kufanya kazi na msani huyo.

‘Dogo Janja Ana Hadhi ya Kuwa Mume wa Mheshimiwa?’-Rado

$
0
0
‘Dogo Janja ana hadhi ya kuwa mume wa mheshimiwa?’-Rado
Staa kutokea kwenye Bongo Movie Irene Uwoya amefunguka kuhusiana na uteuzi wa Jokate Mwegelo  kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, baada ya kupewa ushauri na mmoja kati ya wasanii wenzake ambaye ni Rado katika ukurasa wa instagram.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Rado ametuma ujumbe mrefu wenye kuhoji na kumshauri Irene Uwoya nafasi yake katika siasa alichokifanya kipindi cha kampeni ya Urais mwaka 2015 na hivyo Irene Uwoya alionekana kuupata ujumbe huo na kumjibu Rado kupitia ukurasa wake wa instagram.

“Habari ya asubuhi ni nzuri kwangu na asante sana kwa ujumbe,Naamini sana na kuelewa katika mtazamo wako uliopendekeza na kutamani kutoa majibu chanya,Rado kaka yangu napenda kusema haya”>>> Irene Uwoya

“NAAMINI SANA SANA KATIKA MAAMUZI NA MAPENDEKEZO YA MWENYEKITI WANGU WA CHAMA.Naamini sana na nimependa sana katika uteuzi wa Jokate sababu baada ya kampeni na uchaguzi kuisha watu weng tuliendelea na mambo yetu binafsi lakini ukifuatilia kwa umakini”>>> Irene Uwoya

“Jokate amepambana na amekuwa karibu sana na harakati za chama na haswa kushiriki katika shughuli za kijamii kwa haya na mengi zaidi mimi nampongeza na kiukweli alipanda mbegu nzuri ambayo amevuna mavuno mazuri sana na hongera sana kwa Mheshiwa Jokate Mwegelo.Na pia amini katika hili wakati wa MUNGU ni wakati sahihi zaidi na still bado tuna muda na matumaini pia.Nitafanyia kazi pale nilipokosea na kurekebisha Asante”

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, nasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGISE

Wadada tu: Utajuaje Kuwa Wewe ni Changudoa

$
0
0

Wewe kama hujaolewa halafu unapanua miguu kwa jamaa ambae sio mume wako, yani boyfriend au mchumba kwa minajili ya kujipatia hela, ujue wewe ni changudoa. Huna tofauti na wale wanaosimama usiku kujiuza.

Japokuwa wewe husimami usiku lakini jijue kuwa na wewe ni changudoa kwasababu wote mnapewa pesa baada ya tendo. Hata kama hupewi mara tu baada ya tendo kama wanavyofanya changudoa wanaosimama barabarani, lakini unapewa pesa za matumizi na mtu ambaye si mume wako kisha ukampanulia miguu, jua wewe ni changudoa au tunaweza kukuita changudoa mwenye kiwango.

Kwa wale dada zangu ambao bado hawajaingia katika hii biashara nawashauri kufunga miguu yenu masije kujiingiza katika hii bihashara. Kwasababu mbali na kumchukiza Mungu unakuwa unajishusha thamani wewe mwenyewe.

Halafu uzuri wake ukifanya hivi huwezi ukaja kukosa wa kukuoa dada

Nina Mika 20 Sijawahi Fanya Mapenzi ila Nahisi Bikira yangu Haipo Je ni Kawaida?

$
0
0
Naitwa Nancy Naishi Kijitonyama , mimi ni Msichana na Miaka 20 nimekuwa nikijitunza kwa muda mrefu ili kutunza Bikira yangu kwa mwanaume atakaye nioa mungu akijalia ...so sijawahi fanya mapenzi na mtu yoyote japo napata vishawishi vingi....Saa zingine nikisikia hamu huwa najisugua kwa vidole sehemu zangu ili kutoa hamu....

Sasa hivi karibuni nimehisi huku chini hapako tight kama zamani hata nikiingiza kidole kinaingia bila shida sasa naogopa je Bikira yangu imeshatoka au ni kawaida? na je kujishika kwa vidole sehemu hizo kunaondoa bikira?

Please naomba ushauri.

Breaking News: Vitisho vyamng'oa diwani CUF Dar, ajiudhuru nafasi yake ikiwemo ya umeya ataja viongozi wa Chama

$
0
0

Diwani wa kata ya Vingunguti kupitia tiketi ya Chama cha Wananchi CUF ambae pia ni naibu meya wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam Omary Kumbilamoto amejiudhuru nafasi yake majira ya rasmi leo. 

Akizungumza na wahanahabari Kumbilamoto amesema kuwa amechukua uamzi huyo kutokana na vitisho anavyopewa na viongozi wa chama hicho pindi amepoungana na viongozi wa serikali katika kutekeleza majukumu ya kuwatumikia wananchi. 

"Nimejivua uanachama wa CUF na nafasi zangu zote ndani ya chama ikiwemo ya udiwani katika kata ya Vingunguti pia unaibu meya wa manispaa na nimechukua hatua ili kulinda na kutetea maslahi ya wananchi ninaowatumia hivyo ili niendelee kuteleza majukumu yangu ipasavyo najivua ili kuunga mkono jitihada za rais Magufuli na viongozi wote Serikali kwa ujumla" amsema Kumbilamoto. 

Ameongeza kuwa ndani ya chama cha wananchi Cuf kuna mgogoro ambapo amefananisha mgogoro kuwa ni sawa na ule wa Israil na Palestina kwani hauna suluhu, hivyo mara nyingi nimekuwa nijikita zaidi kusaidia kutatua changamoto za wananchi lakini viongozi wananitishia kunivua uanachama hivyo ni maamuzi magumu niliyoyafanya kwa wananchi wangu ila imenilazimu kufanya hivyo ili niwe huru kwasasa 

Aidha Rais wetu mpendwa amekua na ushawishi mkubwa kwa kuteleza changamoto hususani katika kuleta maendeleo nchini ikiwemo ujenzi wa fly over ya tazara, kununua ndege kwani tumekuwa tukishudia nchi za wenzetu wakiwa na vitu kama hivi lakini kwa sasa tuanaona hapahapa kwetu hivyo nampongeza kwa jitihada zake. 

Ameongeza kuwa katika miaka miwili ya udiwani ametekeleza ahadi mbalimbali ikiwemo kununua Ambulance ya wagonjwa kukarabati hospitali, lakini cha kushangaza kipindi cha masika wananchi walipata madha lakini hajawahi kuona kiongozi yeyote wa chama cha CUF akienda kusaidia au kuzungumza chochote zaidi ya Mkuu wa Mkoa na Wilaya ambao walikwenda kuona na kuwasaidia.

Lowassa atuma dongo hili hapa kwa wanaohama upinzani

$
0
0

Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ameweka wazi kwamba ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo wataondoka watu wengi kwa kujivua uanachama hivyo amewataka wafuasi wao wasikate tamaa bali vitendo hivyo vizidi kuwatia nguvu. 

Lowassa ametoa kauli hiyo kupitiwa ujumbe wa maandishi ikiwa ni katika hali ya kuwafariji wananchi wa jimbo la Monduli ambao Mbunge wao Julius Kalanga, amejuzulu na kujivua uanachama usiku wa kuamkia leo na kutimkia CCM kwa madai ya kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli. 

"Nimesikia taarifa za kujiuzulu kwa mbunge wangu wa Monduli Mh Julius Kalanga. Najua wana Monduli wote nikiwemo mimi uamuzi huo umetuhuzunisha na kutuumiza, lakini nawaomba msife moyo hata dakika moja zaidi kitendo hicho cha Kalanga kizidi kutupa nguvu, ari, hamasa na mori zaidi ya kuendeleza mapambano ya kuitafuta demokrasia na mabadiliko ya kweli," Amesema Lowassa. 

"Wataondoka kina Kalanga wengi tu lakini kasi ya moto ule jinsi ilivyo hivi sasa ndani ya mioyo ya watanzania ni ya “Moto wa kiangazi” Edward Lowassa. 

Lowassa ameongeza kwamba "Hakuna jipya katika hili, ni kawaida kwa wana siasa duniani kuhama vyama vyao na kubadilishana vijiti. Kwasababu zozote zile atakazokuwa amezitoa, hiyo ni haki yake kikatiba. Moto ule tuliyouwasha 2015 hauwezi hata mara moja kuzimwa na mbinu hizi".

Jerry Murro atwishwa migogoro ya ardhi Arumeru

$
0
0

Na Ferdinand Shayo, Arusha 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Meru Jerry Muro kutatua migogoro ya ardhi iliyokithiri katika wilaya hiyo na kudumu kwa miaka mirefu ikiwemo kurudisha maeneo ya serikali yaliyovamiwa na wananchi. 

Akizungumza katika halfa ya kumupisha Mkuu huyo wa Wilaya ,Gambo amesema kuwa yapo maeneo ikiwemo eneo la shamba la Malula ambalo lilitengwa kwa ajili ya uwekezaji lakini wako baadhi ya wananchi wamechukua eneo hilo na kulifanya eneo la kilimo. 

Gambo amemtaka kiongozi huyo kurudisha maeneo ya serikali yaliyochukuliwa kinyamela na baadhi ya watu ikiwemo kusimamia vyema maendeleo ya wilaya hiyo. 

Mkuu wa Wilaya ya Meru Jerry Muro  amemshukuru Raisi Magufuli kwa kumteua  ili aweze kuwatumikia wananchi  na kusimamia vyema ilani ya Chama cha Mapinduzi na kuhakikisha kuwa Watanzania wanapata maendeleo sawa sawa na dira ya Raisi. 

Amewataka Wakurugenzi kusimamia vyema mapato ya serikali na kuhakikisha kuwa kila fedha ya maendeleo inatumika vizuri ili kutatua changamoto za wananchi. 

Pia amewataka Wakurugenzi kuwasilisha taarifa za mapato yanmayotokana na wawekezaji wanaomiliki ardhi kubwa katika Wilaya hiyo wakiwemo wale wanaodaiwa kubadili matumizi ya ardhi. 

Alisema Kuwa atasimamia vyema ilani ya chama cha mapinduzi ili wananchi waweze kupata huduma bora na stahiki

Lugola Amtaka Zitto Kabwe Ajisalimishe Polisi Haraka Sana

$
0
0

Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola amemtaka mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe kujisalimisha kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi kwa maelezo kuwa ametoa kauli za uchochezi.


Lugola ametoa kauli hiyo leo Jumanne Julai 31, 2018 wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam.


Amesema Zitto ametoa kauli za uchochezi na kuwatukana viongozi wa Serikali wakati akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika jimbo la Kilwa Kusini.


Katika mkutano huo Zitto alialikwa na mbunge wa jimbo hilo, Seleman Bungara maarufu Bwege.


“Kosa jingine la Zitto ni kwenda kufanya mkutano eneo ambalo sio la kwake kwa mujibu wa taratibu. Nampa siku mbili ajisalimishe kwa RPC (Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi),” amesema Lugola.


“Akikaidi nitamuagiza IGP (Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini-Simon Sirro) amkamate popote alipo. Nilishasema na nitaendelea kusema katika uchaguzi huu na zijazo watu wanaotukana  viongozi hawatabaki salama.”

Katika hatua nyingine, Waziri Lugola amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mkuu wa Polisi Wilayani Kilwa(OCD) kutokana na kumruhusu Zitto kuendelea kufanya mkutano katika jimbo lisilo lake.

“ Na pia namulekeza IGP achukue hatua kwa mkuu wa polisi wa wilaya ya kilwa ocd, ya kwa nini hakuchukua hatua dhidi ya zitto kwa kuendelea kufanya yale tuliyoyakataza,” amesema.

Wanaume Washutumiwa Kutumia Likizo ya Uzazi Vibaya Kwa Kunywa Pombe, Waziri Ummy Mwalimu Atoa Mkwala Mzito

$
0
0
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amewataka wanaume kutoitumia likizo ya siku tano ya uzazi kwa wanaume kwenda kunywa pombe.

Aidha, amesema ataifuta likizo hiyo kwa wanaume endapo atajiridhisha haina manufaa na inatumika ndivyo sivyo.

Akizungumza kuhusu Wiki ya Unyonyeshaji itakayoanza kesho hadi Agosti 8, mwaka huu, Waziri Ummy amesema likizo hiyo ni kwa ajili ya kumsaidia mama anapokuwa amejifungua na si vinginevyo.

“Likizo ya uzazi kwa wanaume si ya kwenda kunywa pombe, lakini wapo wanaume wanachukua likizo na nyumbani hawaonekani, nitafanya utafiti kuangalia iwapo ina manufaa kama hakuna tutaifuta,” amesema.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Agosti 1

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Agosti 1

Pata Dawa ya Mtikulu, Dawa ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MTIMKULU NI DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO.

Matatizo haya yamekuwa yakiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia inchi (68)vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi Hormones za Getrogen ambapo mwanaume anapo balehe vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chango hushambulia neva ambapo huathiri misuri ya uume. Ngiri ambayo huleta maumuvu ya tumbo kuunguruma na kujaa gesi korodani moja kuvimba kutopata choo vizuri

Sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara hupelekea kupungua kwa nguvu za kiume na hamu ya tendo la ndoa hukosekana na kuisha kabisa

(MTIMKULU) ni dawa inayozarisha hormones za Getrogen nakufanya uume kukua na kuongezeka

(ITEGESHA)ni bora ya kurudisha nguvu za kiume na kukupatia hamu tendo ndoa zaidi ya mara nne bila kuchoka zaidi (dk1520)kwa tendo moja na hazina madhara kwa mtumiaji pia anatibu kisukari, miguu kuwaka moto kutoshika mimba, na mvuto wa mapenzi karibuni sana



Kwa Mawasiliano DR MADINA +255655105260

Zitto Kabwe Amjibu Waziri Lugola, Adai Hana Mamlaka Hayo ya Kumkamata, Mtishia Kwa Wazee wa Kigoma Kutest Mitambo ya Kikwao

$
0
0
Leo  Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola amemtaka Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ajisalimishe kwa Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi kwa kufanya Mkutano katika Jimbo lisilo lake.

Muda mfupi baada ya agizo hilo Zitto Kabwe amejibu kupitia ukurasa wake wa Twitter ;

“Waziri hana hayo mamlaka. Kama polisi wananitaka watoe wito wa kisheria nitakwenda. Naendelea na kampeni za Mbunge wa Buyungu ambapo tunamwunga Mgombea wa CHADEMA na madiwani wa ACT Wazalendo kwenye kata kadhaa. Nashauri Waziri ampate kwanza yule Mbwa wa Polisi Bandari”

==>>Baadae akaweka na video ya utani kuonesha wazee wa kigoma wakitesti mitambo yao kwa kimbunga.Itazame hapo chini:

Serikali Kumnyang’anya Mohammed Enterprises Mashamba.

$
0
0

Na. Hassan Mabuye, Wizara ya Ardhi
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabula amesema serikali imekusudia kuchukua baadhi ya mashamba yanayomilikiwa na Kampuni ya Mohammed Enterprises na kuwapa wananchi kwa kuwa wameshindwa kutimiza masharti ya endelezaji wake.

Mhe. Mabulla amesema hayo baada ya kufanya ziara ya ukaguzi wa mashamba katika Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga ambapo amegundua kampuni ya Mohammed Enterprises inamiliki maeneo makubwa sana kwa zaidi ya hekta 9,418 sawa na hekari 20,779 ambayo wamechukulia mkopo kwa ajili ya kupanda mkonge, kitu ambacho hakijafanyika kwa asilimia kubwa.

“Hii kampuni ya Mohammed Enterprises imetupa taarifa ambazo si za kweli kwamba wameendeleza maeneo yao wanayoyamiliki kwa asilimia 83, mimi nimefika katika mashamba yote 14 wanayoyamiliki na nimeona ni eneo kubwa sana ambalo limebaki pori na halijapandwa mkonge tangu wakabidhiwe mwaka 2000 takribani miaka 17 sasa wakati wananchi wa Korogwe wanakosa maeneo ya kulima, kuishi na kufugia” amesema Mhe. Mabula.

“Kwa sasa Wizara yangu imejiridhisha kwamba kuna haja ya kugawa maeneo yanayomilikiwa na Mohammed Enterprises ambayo hayajendelezwa kwa kupandwa mkonge ili wapewe wananchi wa Korogwe ambao wana uhaba wa ardhi kwa muda mrefu kutokana na maeneo makubwa kumilikiwa na watu wachache”. Mhe. Mabula ameongeza.

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla amefanya ziara ya ukaguzi wa mashamba yote 14 yanayomilikiwa na Kampuni ya Mohammed Enterprises na kugundua kuwa amepanda mkonge eneo dogo sana na sehemu kubwa ni mapori tofauti na taarifa aliyopewa na kampuni hiyo.

Waziri pia amesema mashamba hayo yametumika kuchukua mikopo benki lakini mikopo hiyo haijatumika kuendeleza mashamba hayo kitu ambacho kinafanya wananchi wayahitaji maeneo hayo lakini wanashindwa kuyatumia kwa kuwa yanamilikiwa na kampuni ya Mohammed Enterprises.

Akijatetea mbele ya Naibu Waziri wa Ardhi Meneja anayesimamia Mashamba yote ya mkonge ya kampuni ya Mohammed Enterprises ndugu Newalo Nyari mesema kwamba si kweli kwamba hawajaendeleza maeneo hayo bali wameendeleza na wamepanda mkonge baadhi ya maeneo na mengine wameyaacha mapori ili kuhifadhi misitu na mengine wanawaachia wananchi waweze kupanda mazao yao ikiwa ni ushirikiano wa kijirani.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Handeni aliyekuwa akikaimu nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Godwine Gondwe ambaye ameonesha kukasirishwa na maneno ya meneja huyo kwamba wameendeleza mashamba hayo wakati yeye mwenyewe ameshuhudia kwa macho yake mashamba yote 14 na kuona hali halisi ya mapori ambayo hayaendelezwa.

Baadhi ya wananchi wa Korogwe wameonesha kufurahishwa na hatua hiyo ya Serikali ya kuipunguzia umiliki wa baadhi ya maeneo yanayomilikiwa na kampuni ya Mohammed Enterprises ambayo watapewa wananchi hao ili waweze kufanya shughuli zao za maendeleo.

Hata hivyo kwa mujibu wa sheria ya ubatilishaji umiliki wa mashamba ni Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ndiye mwenye dhamana ya kumyanga’anya mmiliki wa ardhi au mashamba baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Waziri wa Ardhi.

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA


Sitaki Kusikia Kuhusu Mambo ya U-video Queen- Lulu Diva

$
0
0
Sitaki Kusikia Kuhusu Mambo ya U-video Queen- Lulu Diva
MWANADADA Lulu Abass ‘Lulu Diva’ ambaye kwa sasa anakimbiza kwenye gemu la Bongo Fleva na Wimbo wa Ona ambao amemshirikisha Rich Mavoko, amefunguka kuwa ukitaka kukosana naye basi mshirikishe kwenye masuala ya ‘u-video queen’, aliyokuwa anayafanya huko nyuma. Akipiga stori na Risasi Vibes, Lulu alisema kwamba akikumbuka baadhi ya mambo kwenye u-video queen, muda mwingine hutamani hata kulia.

“Kiukweli sitaki kusikia kabisa kuhusu mambo ya u-video queen, ni kweli ni mapito yangu na ndiyo huko nilikotoka, lakini kwa sasa ninaendelea na kuweka akili yangu yote kwenye muziki ninaoufanya na uigizaji huko ndiko ninafikiria zaidi. “Mtu unachukuliwa na kupewa kazi ya kupamba wimbo wa mtu kwa malipo kidogo, bado hicho kidogo chenyewe unakihangaikia na manyanyaso kibao,” alisema Lulu Diva

Babu Tale Afunguka Maisha Yake Ndani ya WCB

$
0
0
Bbu Tale Afunguka Maisha Yake Ndani ya WCB
Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale ameamua kuweka wazi kuwa yeye hajaenda shule kabisa kupata ujuzi na hajutii kwa hilo katika maisha yake ya sasa.



Babu Tale akifunguka kwenye kamera za Bongo5 amesema kuwa licha ya kukosa elimu ya darasani lakini katika familia yao amelelewa katika misingi ya dini na ndiyo maana pengine amefika hadi hapo alipo kwa sasa.

Akizungumzia kazi yake kubwa ndani ya WCB amesema kuwa yeye ni HR (Human Resource) na ana-play role kubwa pia kwenye kutoa ushauri na mawazo ndani ya WCB kwani hapendi maneno maneno.

Basata Yazidi Kuwabana Wasanii Yasema Watakaosafili Kwenda Nje Bila Kibali Chao Kutozwa Faini Mil.1

$
0
0
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limeeleza wazi juu ya sheria zao na kanuni mpya ambazo zinawataka wasanii wote watakaokwenda nje ya nchi kwa lengo la kufanya show kuwa na kibali maalumu kutoka kwao kitakachomruhusu kufanya hivyo.

PIX4a
Kaimu Katibu Mtendaji BASATA, Onesmo Kayanda kulia kwenye picha
Akizungumza na Bongo5, Kaimu Katibu Mtendaji BASATA, Onesmo Kayanda amesema kuwa sheria hiyo ipo wazi isipokuwa wasanii wakubwa huwa hawahudhurii kwenye semina na midahalo pia hawasomi sheria za BASATA ndio maana wanataharuki linapotokea suala la utekelezaji.

Akizungumzia suala la faini juu ya kibali hicho, Kayanda amesema kuwa endapo msanii atafanya show nje ya nchi bila kibali kwa mara ya kwanza ataonywa na kutozwa milioni 1 na akirudia tena faini itaongezeka na ikiendelea tabia hiyo basi atafutiwa usajili wake.

Lugola Ampa Miezi Minne Lugumi....Akishindwa Atamtupa Mahakama ya Mafisadi

$
0
0
Lugola Ampa Miezi Minne Lugumi....Akishindwa Atamtupa Mahakama ya Mafisadi
Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola ametoa onyo kwa mfanyabiashara  Said Lugumi baada ya kumpa miezi minne ya kukamilisha makubaliano  ya mkataba kati ya kampuni ya Lugumi na Jeshi la Polisi.

Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani, jijini Dar es Salaam jana Jumanne Julai 31, 2018 Waziri Lugola alisema kuwa mahakama  ya  kushughulikia kesi za rushwa iliyoanzishwa na Rais Dkt.Magufuli  bado haijapata wateja wakati ni wengi wanaoiba fedha za serikali.

“Mahakama ya kushughulikia kesi za rushwa inakosa wateja,na wanaoibia serikali wapo wengi mtaani,na kutokana hili  Saidi Lugumi nimempa miezi minne kukamilisha makubaliano ya mkataba na akishindwa atakuwa mteja wa mahakama hiyo” amasema Lugola.

Aidha Waziri Lugola aliongeza kuwa  mkataba unaomhusu mfanyabiahashara Said Lugumi  bado unafanyiwa uchunguzi na taasisi ya  kuzuia na kupambana na rushwa nchini (TAKUKURU) na baada ya uchunguzi hatua sitahiki zitachukuliwa.

Ikumbukwe kuwa mfanyabishara huyo aliingia katika msuguano na serikali mwaka 2016, ambapo kamati ya bunge ya hesabu za serikali (PAC) ilibaini ubadhilifu katika mkataba kati ya kampuni ya Lugumi na Jeshi la Polisi chini ya Mkuu wa jeshi la polisi wakati huo Ernest Mangu.

Mkataba huo  ulisainiwa kwa ajili ya  kufungwa  kwa mashine za utambuzi wa alama za vidole (AFIS) kwenye vituo 108 kwa gharama  ya shilingi bilioni 37 ambapo kampuni hiyo ilifunga  mashine hizo kwenye vituo 14 tu.

Jokate Anaweza Kumweka Pinda Mahabusu na Wakapiga Makofi- Lema

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe alitoa majibu baada ya kutakiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani kuripoti kwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi kwa kufanya mkutano katika Jimbo lisilo lake nakusema Waziri hana mamalaka hayo kisheria.

Muda mfupi baada ya Zitto kujibu Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema nae akatoa neno kuhusiana na kauli ya Zitto.

Namnukuu Lema “Zitto, Waziri Kange anaweza kuwa hana Mamlaka kisheria lakini nikukumbushe kuwa siku hizi mambo yanaendeshwa kwa mizuka na matamko, kwa bahati mbaya Polisi wameshindwa kushinda jaribu hili. Kwa hali ilivyo sasa Jokate anaweza kumweka Pinda mahabusu na wakapiga makofi”
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live




Latest Images