Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Agosti 3

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Agosti 3

Pata Dawa ya Mtikulu, Dawa ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MTIMKULU NI DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO.

Matatizo haya yamekuwa yakiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia inchi (68)vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi Hormones za Getrogen ambapo mwanaume anapo balehe vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chango hushambulia neva ambapo huathiri misuri ya uume. Ngiri ambayo huleta maumuvu ya tumbo kuunguruma na kujaa gesi korodani moja kuvimba kutopata choo vizuri

Sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara hupelekea kupungua kwa nguvu za kiume na hamu ya tendo la ndoa hukosekana na kuisha kabisa

(MTIMKULU) ni dawa inayozarisha hormones za Getrogen nakufanya uume kukua na kuongezeka

(ITEGESHA)ni bora ya kurudisha nguvu za kiume na kukupatia hamu tendo ndoa zaidi ya mara nne bila kuchoka zaidi (dk1520)kwa tendo moja na hazina madhara kwa mtumiaji pia anatibu kisukari, miguu kuwaka moto kutoshika mimba, na mvuto wa mapenzi karibuni sana



Kwa Mawasiliano DR MADINA +255655105260

Joseph Kasheku Msukuma Afunga Bara Bara Kwa Muda Babati.

$
0
0
Na John Walter- Babati
Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku ‘King Msukuma’ amemwakikishia mgombea udiwani wa chama cha Mapinduzi Nikodemus Bonifasi kuwa atashinda kwa kishindo katika uchaguzi wa Marudio utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu.

Msukuma amemtabiria ushindi huo Mgombea huyo akiwa katika mkutano wa kampeni  kata ya Bagara mjini Babati uliofanyika mtaa wa Osterbay na kuhudhuriwa na Mamia ya wakazi wa Babati.

Huku msukuma akitumia zaidi ya dakika 45 kumnadi mgombea huyo maarufu kwa jina la Nyeusi aliongoza maandamano ya amani hadi ofisi za Ccm mtaa wa Osterbay kwa miguu na kuziba bara bara kwa muda huku wakiimba na kucheza nyimbo maarufu ya chama hicho ‘Ccm mbele kwa mbele.

Uchaguzi huu katika kata ya Bagara unakuja baada ya diwani wa Chadema Bwana Nyeusi ambaye ndiye mgombea wa Ccm kukihama cha hicho.

Kwa upande wa Chadema wamemsimamisha mwenyekiti wa mtaa wa Miomboni  Mathayo Zebedayo kugombea nafasi hiyo.

Mnangagwa ashinda urais nchini Zimbabwe

$
0
0

Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zimbabwe kwa mujibu wa tume ya uchaguzi wa nchi hiyo.

Kwamujibu wa BBC katika majimbo yote 10 yalioyotangazwa, Mnangagwa ameshinda kwa asilimia 50.8 ya kura kwa asilimia 44.3 alizopata mgombea wa chama cha upinzani Nelson Chamise.

Polisi waliwaondoa upinzani wakati wa kutangazwa matokeo baada ya kukataa kuyakubali matokeo hayo.

Mwenyekiti wa chama cha MDC Alliance, Nelson Chamisa amesema kuhesabiwa kwa kura hakukufanyiwa uhakiki.

Kwa ushindi wa asilimia 50 wa Mnangagwa umesababisha aepuke kwenda duru ya pili ya uchaguzi dhidi ya Chamisa.

Rais Mnangagwa amesema katika ukurasa wake wa Twitter kuwa huu ni mwamzo mpya.

Bwana Chamisa amesisitiza kuwa ZANU-PF haikushinda uchaguzi huu, wanajaribu tuu kupitisha suala lisilo na ukweli, amesema pia watapambana na suala hilo.

Uchaguzi huu ulikuwa wa kwanza tangu kiongozi wa muda mrefu Robert Mugabe kung’atuliwa madarakani.

Muungano wa Ulaya umekosoa kuchelewa kutangazwa kwa matokeo ya urais .

Umesema kuwa ilibaini baadhi ya matatizo, ukiwemo upendeleo wa vyombo vya habari, vitisho kwa wapiga kura na kutokuwa na imani na tume ya uchaguzi , ukiongeza kuwa ”mazingira ya uchaguzi hayakuboreshwa na hivyo kusababisha kuwepo kwa hali ya kiwango kikubwa cha ukosefu wa uaminifu “.

Hii ni mara ya baada ya miaka 16 kwa serikali kuwaruhusu waangalizi wa uchaguzi kutoka Muungano wa Ulaya na Marekani kuchunguza uchaguzi

Kwa upande wa Muungano wa Afrika, mapema wiki hii umesema kuwa uchagauzi huo ulikuwa huru na wa haki , akiongezea kuwa unaadhimisha wakati muhimu wa mabadiliko ya kisiasa.

Ripoti ya awali kutoka waangalizi wa SADC inasema kuwa uchaguzi huo ulikuwa wa amani na ulifanyika kulingana na sheria.

Wawakilishi wake, waziri wa maswala ya kigeni nchini Angola Manuel Domingos Augusto ameutaja uchaguzi huo kuwa wa  kidemokrasia.

Video: Sarah Anapika na Kunifulia, Hajawekeza Pesa Kwenye Muziki Wangu – Harmonize

$
0
0

Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize aka Konde Boy amefunguka kuzungumzia mambo mbalimbali kuhusu muziki wake pamoja na maisha yake ambapo pia alipata fursa ya kumzungumzia mpenzi wake Sarah.

VIDEO:

Bahati Bukuku Asakwa Kwa Utapeli Kongo

$
0
0
Staa wa muziki wa Injili, Bahati Bukuku (pichani), ameingia kwenye skendo nzito kufuatia kusakwa nchini Kongo kwa tuhuma za utapeli, Amani linakupa habari kamili.


TUJIUNGE NA CHANZO

Chanzo makini kutoka Kongo kilieleza kwamba, Bahati alitakiwa kwenda kufanya tamasha kwenye mkutano wa Injili ulioandaliwa na Askofu Wamwabi Francine wa Kanisa la Mlima wa Ushindi Mei, mwaka huu lakini hakutokea.

“Unajua alitakiwa kwenda kufanya huduma Kongo tangu mwezi wa tano lakini hakwenda na alikuwa ameshachukua fedha za watu, sasa kitendo hicho kimewakasirisha sana wahusika hivyo anasakwa kwa udi na uvumba nchini Kongo,” kilieleza chanzo.

 TUJIUNGE KONGO

Ili kuujua ukweli wa habari hizo, Amani lilifanya jitihada za kumtafuta Mwenyekiti wa Baraza la Wanamuziki lililopo Bukavu nchini Kongo, Wato Mukambilwa Adam ambaye alisema wamepokea malalamiko hayo na kuwasiliana na viongozi wa wanamuziki wa Injili Bongo.

Aliendelea kueleza kwamba, Askofu Wamwabi kupitia kwa Askofu Ben Cale

aliyemuunganisha na Bahati Bukuku alikuwa ameandaa mkutano ambao ulifanyika Mei, mwaka huu na walielewana kwamba malipo yake ni dola 2000 (zaidi ya shilingi milioni 4.5).



ATUMIWA ADVANSI

Alisema, baada ya kuelewana alitumiwa advansi kwa njia ya Western Union ambayo ni dola 1000 zilizobaki kutokana na mkataba walikubaliana kumalizana baadaye.

“Siku ya mkutano ikiwa imekaribia, Bahati akawa anapigiwa simu ili kuambiwa kwamba anatumiwa tiketi ya ndege lakini simu yake hiyo ya mkononi ilikuwa ikiita tu bila kupokelewa licha ya kutafutwa mara kadha wa kadha.



“Mkutano ulifanyika na watu walikasirishwa sana kuona walivyotangaziwa kwamba Bahati atakuwepo walidanganywa, kitendo hicho kilimuudhi Askofu Wamwabi na kueleza ukweli kwamba mwimbaji huyo alimtapeli.



“Askofu Wamwabi alieleza kwamba alifanya uchunguzi wake na kujua kuwa Bahati amemtapeli na siyo kwamba alikosa ndege kama alivyokuja kujitetea baadaye,” alisema Wato.



APIGWA MARUFUKU KONGO

Wato alieleza kwamba kutokana na kitendo hicho alichofanya Bahati na aliyemuunganisha ni kiongozi wa Serikali pia na huyo askofu ana nguvu sana nchini Kongo, muimbaji huyo amepigwa marufuku kukanyaga ardhi ya nchi hiyo.



“Askofu Caleb ambaye alimuunganisha alifikia uamuzi huo kiserikali na imewekwa muhuri na viongozi wote kwa kila ngazi kwa hiyo hata akirudisha hela haitoshi, maamuzi yaliyotolewa ni kwamba ni marufuku Bahati kukanyaga Kongo.



“Wakati Askofu Wamwabi anatoa taarifa hiyo alieleza kwamba maamuzi hayo yalifikiwa ili yawe fundisho kwa wengine kwani kuna wanamuziki wengi wa Injili kutoka Tanzania wamekuwa wakipokea fedha za kwenda kutoa huduma ya uimbaji lakini hawafiki, hivyo Bahati atakuwa fundisho kwa wote.



“Hivi karibuni Bahati alipigiwa simu na kueleza kwamba atarudisha hizo dola 1000 lakini mpaka sasa hajarudisha yuko kimya hivyo malalamiko yote tumeyapeleka kwa Chama cha Muziki wa Injili cha Tanzania Music Foundation ili kiweze kushughulikia na kutambua kwamba muimbaji huyo hatakiwi Kongo,” alimaliza Wato.


CHAMA CHA INJILI BONGO CHANENA

Akizungumza na Amani, Rais wa Tanzania Music Foundation, Dk. Donald Kissanga alikiri kupokea malalamiko hayo kutoka kwa Baraza la Muziki la Kongo na wanaendelea kuwasiliana nao ili kubaini ukweli wa hilo suala la Bahati kutapeli.

“Tumepokea malalamiko kuhusu Bahati kupokea fedha na kutokwenda kufanya huduma Kongo, tunafuatilia ili tusuluhishe yaishe maana tumekuwa tukisuluhisha matatizo mengi sana na yanaisha kwa sababu hii ya kufungiana siyo vizuri kwa waimbaji wetu,” alisema Dk. Donald.

 BAHATI ANASEMAJE?

Katika kuujua ukweli wa tuhuma hizo, Amani lilimtafuta Bahati ambaye alikuwa na haya ya kusema;

“Hao watu tulikubaliana kwenye mkataba kwamba ninaenda kuhudumu katika mkutano na siyo tamasha lakini wao wakawa wanatangaza kwamba naenda kwenye tamasha kitu ambacho ni kinyume na makubaliano yetu.



“Pia katika mkataba tulikubaliana wao watanitumia tiketi ya ndege lakini hawakutuma, sasa mimi ningeenda kwa muujiza gani? Watanzania wanajua tabia yangu sijawahi kumtapeli mtu maana mimi ni mtumishi wa Mungu.

Muone na Wasiliana na Dr Kanengo Bingwa wa Tiba Asili, Hutibu Magonjwa Haya

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  MALABALA  hutibu  kisukari , uti  wa  mgogo,  Change, pumu, busha, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri

POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge  20

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha, pia kunakuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu.

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Keisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete)  ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,. ( 3 ) kurudisha mtu aliye kufa kiutatanishi (msukule) (4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wa  chafu ndani ya mji,.Haya yote yana wezekana kwa DR KANENGO popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana buguruni chama, mbagala zakhiem karibia na uwanja wa mkutano, na wilaya ya bunda musoma : mawasiliano  ni simu namba :-0767-17-17-73 na  0716-60-89-59

NI  KWA  WALIO  TUMIA  DAWA  ZA MATATIZO  MBALIMBLI  BILA  MAFANIKIO   uwezo  WA  kurudisha  mali  iliyopotea  au  kudhulumiwa    muda  mfupi  tu,  Na natoa  dawa  ya  utajiri  kwa  wafanya  biashara     wachimbaji  madini, wafaryakazi,  wakulima, wafugaji na  kwa yeyote  anayetaka  kuwa  na  pesa   nyingi  katika   maisha  yake,  Na  pia  anaunganisha  utajiri    kwa muda  mfupi  sana  pamoja  na  kuboresha  akili  kwa  wanafunzi  na  kumfanya  afaulu  mitihani  yote  au  intaview  yeyote  na  ana  uwezo  mkubwa  wa  kutibu  ugonjwa  wa  Uvimbe tumboni .  pia anarudisha  Mke, mme, mchumba,    hawara, kwa  muda  wa  saa  3  na  anatimiza mahitaji  yote  hata  kama  upo  mbali   kiasi  gani,  ahadi  zote  atatimiza  kwa  muda  mfupi  tu  Na  kumfunga  asiwe  na mtu  mwingine  kwa  nini  unaumiza  kichwa ?

Muone  ( DR  )KANENGO,anatibu  nguvu  za  kiume  anarefusha  na  kunenepesha  uume  kwa  saizi  uipendayo  kwa  muda  mfupi   sana, pamoja  na  kuwa  na  hamu  ya  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  4  bila  hamu  kuisha   Na  utachelewa   kufika  kileleni  kwa  muda  wa  dakika   40  bila  kuchoka  hata  kama  una umri  mkubwa  kiasi  gani   Gerentii  miaka /=60    ukisha  pona  bila tatizo   kurudia  pia ana  uwezo  mkubwa  wa  kuongeza  hips na  makalio,  pia   anatibu  magonjwa  sugu  ya  zinaa  tumbo  kujaa  gesi,  kuuma  chini  ya  kitovu,vidonda vya tumbo,   kiuno,  miguu    kuwaka  moto  miguu,  kuvimba..Nk..Angalizo usitume meseji wala kubipu..
You can get it in   all East African countries, our service is fast and easy...

Contact Whatsapp 0767171773.Dar es salaam Tanzania. ..Dr. KANENGO 0716608959...You are welcome.

Nwanko Kanu Aitupia Dongo Arsenal

$
0
0
Nwanko Kanu aitupia dongo Arsenal
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Nigeria, Nwanko Kanu ameitupia dongo zito klabu hiyo kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ligi kuu nchini Uingereza (EPL) unaotarajia kuanza Agosti 11.

Arsenal ambayo imemuajiri kocha mpya, Unai Emery mwanzoni mwa mwezi juni baada ya kocha Arsene Wenger aliyedumu kwa miaka 22 klabuni hapo kuondoka.

"Kama itatokea Arsenal kushinda taji la EPL basi itakuwa ni maajabu ". Amesema Nwanko.

"Kwa kocha mpya, Unai Emery itakuwa ni changamoto kubwa kwake msimu huu, kwakuwa mashabiki wanataka kocha ashinde ubingwa katika msimu wake wa kwanza jambo ambalo ni ngumu kwake". Ameongeza nguli huyo wa soka.

Klabu ya Arsenal imesajili wachezji watano mpaka sasa ambao, Kanu anaamini wanahitaji muda zaidi wa kuzoea mazingira ya klabu hiyo pamoja na kuelewa mfumo wa kiuchezaji wa kocha, akitaja kuwa usajili huo ni mzuri kwa mbinu za kiulinzi kuliko kuzalisha magoli kitu ambacho kinahitajika zaidi katika klabu.

Nwanko Kanu alikuwa ni mmoja wa wachezaji walioshinda ubingwa wa EPL msimu wa 2003- 2004 bila kupoteza mchezo wowote pamoja na mastaa wengine kama, Thierry Henry, Jens Lehmann, Patrick Vieira, Freddie Ljungberg na Sol Campbell.

Aliichezea timu ya taifa ya Nigeria kwa mara ya kwanza mwaka 1994 katika mchezo dhidi ya Sweden, amecheza jumla ya mechi 87 akiifungia magoli 12 na amestaafu akiwa amecheza michuano mitatu ya kombe la dunia, michuano ya mwisho ni ya mwaka 2010 iliyofanyika nchini Afrika ya kusini.

Amber Lulu Adaiwa Kumwaga Matusi Mbele Ya Mashekhe

$
0
0
Amber Lulu Adaiwa Kumwaga Matusi Mbele Ya Mashekhe
Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema na ngoma yake ya ‘Jini kisirani’ Amber Lulu amedaiwa kumwaga matusi ya haja mbele ya viongozi wa dini ambao walikuwa safarini.

Global Publishers wanaripoti kuwa Amber Lulu aliongelea maneno hayo machafu alipokuwa kwenye ndege anasafiri kutoka Mwanza kuja Dar Es Salaam ambapo Idadi ya mashehe waliosikia ‘domo’ la msanii huyo likimwaga mitusi ni saba, kibaya zaidi miongoni mwao alikuwepo Mufti wa Tanzania Abubakary Zuberi na Shehe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, mashehe wanaoheshimika.Inadaiwa sakata hilo lilianza baada ya Amber Lulu kuanza kugombana na mtu aliyekaa naye siti moja baada ya kuomba Msanii huyo ahamishwe siti basi kusikia hivyo Amber Lulu alianza kuporomosha matusi mazito kwa Abiria mwenzake.

Kwa nini nikakae Kuna mtu kalipa milioni humu …(tusi zito)” sauti za “astaghfirullah” zikasikika kuashiria kuna watu walikuwa wakiomba msamaha kwa Mungu.

Kuashiria kwamba aliyekuwa akiombewa msamaha zaidi hajitambui akaporomosha tusi tena, kisha akanyanyuka kama mtu anayesema “mtanifanya nini?” Akaaga kwa sauti:

“Naenda chooni nilikirudi huko nataka kumjua aliyeniambia nihamie nyuma… (tusi zito tena) sauti za “astaghfirullah” zikafuatia”.

Haikujulikana kama ni ulevi au ndiyo akili za msanii huyo imepinda alianza kufanya mambo ambayo hayakuwa ya kawaida kwani alipotoka maliwatoni maziwa yake yalikuwa nje na hata sehemu nyeti za mwili zikionekana.

Karen Gadner Afunguka Baada Ya Picha Kuza Gumzo Mtandaoni

$
0
0
Karen Gadner Afunguka Baada Ya Picha Kuza Gumzo Mtandaoni
Msanii wa Bongo fleva kutoka THT anayefanya vyema na wimbo wa ‘Lawama’ Malkia Karen ambaye pia ni mtoto wa Mtangazaji wa Clouds Fm Gadner Habash amefungukia picha ili Goleta gumzo Kwenye mitandao.

Siku chache zilizopita Karen aliposti picha Kwenye ukurasa wake wa Instagram iliyomuonyesha akiwa amemuegemea Kwenye kochi Baba yake mara moja ilizua gumzo baada ya watu kudai haikuendana na maadili ya Kitanzania.

Kwenye mahojiano na Bongo 5, Malkia Karen amesema haoni tatizo na ile picha kwani alipigwa na marafiki zake ambao alikuwa nao ndani na hakuwa na maana mbaya kwani anampenda sana Baba yake:

Mimi binafsi sijaona kama ile ni picha mbaya na hata kwa Baba yangu sidhani kama ni picha mbaya .

Lakini pia Malkia Karen aliomba radhi kwa picha ile kama Iliwakera watu:

Ni kweli kila mtu anakuwa na mtazamo wake kwa sababu nikiposti picha watu wakaiona sio vibaya kusikia maoni ya watu na kama kuna watu wamekwazika kwa kuwa wameona kama sio maadili basi naomba wanisamehe Kwa kweli”.

Steve Nyerere Amfananisha Idris na Fransis Cheka

$
0
0
Steve Nyerere Amfananisha Idris na Fransis Cheka
Mchekeshaji maarufu nchini  steve nyerere amefunguka na kusema kuwa watu wanakosea sana wanapotaka kumfananisha yeye na idrisa sultan kwa sababu hawawezi kulingana hata siku moja.

Wawili hao ambao wote ni wa tasnia ya uchekeshaji wamekuwa wakifanya vizuri comedy na kila mtu kwa style yake na huku kila mmoja akiwa na mashabiki wake.

Hata hivyo kutokana na jinsi idris amekuwa akitania sana wasanii wenzie katika mitandao ya kijamii na hata kutoa kituko cha skendo zinazondelea kumkabili steve nyerere, steve nasema kuwa haweiz kujibishana na idris kwa sababu wao ni watu wawili tofauti ni sawa na van dame na fransis cheka.

siwezi kushindana na idrisa maana kushindana na idrisa ni sawa na teke la van dame na fransis cheka, hivyo ni vitu viwili tofauti.

Nedy Music Aamua Kujibadirisha Macho Aweka Lenz Machoni

$
0
0
Nedy Music Aamua Kujibadirisha Macho Aweka Lenz Machoni
Inaweza kuwa ni jambo jepesi kwao pale wanapotaka kujaribu mambo lakini inakuwa inawaweka mashabiki wao katika wakati mgumu sana hasa wanapofanya vitu vyenye utofauti uliopitiliza.

Msanii wa muziki anaofanya vizuri sasa katika muziki Nedy muziki nae amewaacha hoi mashabiki wake baada ya kupiga picha ikimuonyesha akiwa ameweka lenzi ya macho huku swala hilo likizoeleka kuwa ni la wanawake.

Hivi karibuni kumekuwa na tabia ya wasanii wa kiume kufanya vitu ambavyo vinakuwa kinyume na maadili ya jamii lakini pia vinapingana na jinsia zao, hapo karibuni kuli-trend swala la diamond platinimz kuonekana akiwa amevaa kikuku mguuni, leo hii ni Nedy music nae aliamua kuweka lenz .

Ingawa pia sio nedy pekee aliyemua kuja na style hii, pia Country boy katika wimbo wake mpya wa  wanaona haya ameonekana akiwa amefnya hivyo, mambo haya yanawafanya mashabiki kuwatukana, kuwadharau na hata kuwapoteza pia.

Mfanyabiashara Davis Mosha akamatwa na Askari wa Uhamiaji

$
0
0
Mfanyabiashara Davis Mosha akamatwa na Askari wa Uhamiaji
Mfanyabiashara Davis Mosha alikamatwa Agosti Mosi, 2018 kwa madai ya kuwazuia askari wa Idara ya Uhamiaji kutekeleza majukumu yao na bado anaendelea kushikiliwa kwa hatua zaidi.

Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Ali Mtanda amesema Mosha aliwashambulia askari hao na kumnyang’anya mmoja wao simu ya mkononi baada ya kufika katika jengo la Delina lililopo Sinza Mori.

“Askari walifika kwenye majengo hayo na kujitambulisha kwa mlinzi na moja kwa moja walionyeshwa ofisi za meneja.

"Wakati wakifanya mazungumzo ya kikazi na meneja huyo, ghafla akatokea Mosha na kuanza kuwafokea, kisha kuwashambulia na kumnyang’anya askari mmoja simu yake.” –Mtanda

Amesema alichofanya Mosha ni kinyume cha sheria ya uhamiaji namba 54 kifungu cha 45 kipengele 1 F, kinachozungumzia kumzuia ofisa wa uhamiaji kufanya kazi yake ya ukaguzi.

Mtanda amesema bado wanamshikilia Mosha kwa uchunguzi zaidi na kama kuna hatua nyingine zitafuata watatoa taarifa.

Ajali Yaua Watu Watatu wa Familia Moja Dodoma

$
0
0
Ajali Yaua Watu Watatu wa Familia Moja Dodoma
Watu wanne wamefariki dunia watatu wakiwa ni wa familia katika ajali iliyohusisha gari na pikipiki.

Akizunguma na wanahabari jana Agosti 2, Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma Gilles Muroto, alisema ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia jana wilayani Bahi, Dodoma kwenye barabara kuu ya Singida-Dodoma.

Waliofariki ni watoto Yusra Salum (5), Karialino Hamis (2), Hussein Hamisi (miezi miwili) na Mfaume Hamis (30) ambaye alikuwa dereva wa bodaboda.

Kamanda Muroto amesema mwendesha pikipiki huyo alikuwa amewapakia watoto watatu na mama yao na aliingia barabarani ghafla na pikipiki hiyo iligongwa na basi la kampuni ya Satco.

Muroto ameeleza kuwa basi hilo lilikuwa likitokea Mwanza kuelekea jijini Dar es salaam.

“Kwenye hiyo pikipiki walikuwa wamepanda jumla ya watu watano, watoto watatu na mama yao dereva amefariki dunia papo hapo na watoto watatu mama huyo na mama mwenyewe naye ni majeruhi hospitali,”alisema.

Kifesi Afunguka Ukaribu Wake na Zari Atoboa Siri ya Daimond Alivyomblock

$
0
0
Kifesi Afunguka Ukaribu Wake na Zari Atoboa Siri ya Daimond Alivyomblock
MITANDAO ya kijamii hasa Instagram kwa sasa ndiyo habari ya mjini. Huku mastaa wanajiachia kwa kuweka mambo yao mbalimbali bila kusahau picha kali.

Kutokana na utamaduni huo wa kutupia picha kali kwenye mitandao ya kijamii kutawala kwa sasa, vijana wengi wamepata ajira kwa kushika kamera na kuwang’arisha mastaa.

Wapo wengi na hakika hawawezi kutosha kuwaelezea hapa. Lakini miongoni mwao ni Mingo ambaye anawapiga picha mastaa mbalimbali akiwemo Nay wa Mitego na Tunda. Kuna Bentiliya, mpiga picha wa Sanchoka, Hamisa Mobeto na mastaa mbalimbali na kuna Andrew Kisula ‘Kifesi’, aliyekuwa anawapiga picha mastaa kutoka Lebo ya Wasafi Classic Baby ‘WCB’ wakiongozwa na bosi wao Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.

Mbali na kuwa mpiga picha tu Kifesi alijipatia umaarufu kwa picha zake kali ambazo zinatofautiana na wapiga picha wengi. Lakini siku za hivi karibuni tetesi ziliibuka kwenye mitandao ya kijamii na ikaelezwa kwamba amemwagana na WCB, Ijumaa likaamua kumsaka na huyu hapa anafunguka mambo mengi:
Picha inayohusiana
IJUMAA: Niaje Kifesi?

KIFESI: Poa, inakuwaje?

IJUMAA: Haiwi kitu. Tuanzie kwenye jina lako la Kifesi, lilitokana na nini?

KIFESI: Nilianza kuitwa kiutani na kina Moses Iyobo, kwa sababu baba yangu alikuwa anaitwa Kisula na wao wakaunga juu kwa juu.

IJUMAA: Wewe ni miongoni mwa wapiga picha Bongo wenye elimu, unaweza kuwaeleza wasomaji wetu juu ya elimu yako?

KIFESI: Nina Diploma kwenye masuala ya uhusiano.

IJUMAA: Mbali na kupiga picha kuna shughuli nyingine unafanya?

KIFESI: Hapana. Kwa sasa hiyo ndiyo shughuli yangu kuu. Lakini pia ninamiliki studio ya kupigia picha ingawa pia kuna mipango ya kuanzisha biashara ya chakula na kuendesha kipindi cha mahusiano kitakachorushwa kwenye televisheni.

IJUMAA: Kuna tetesi kwamba umezinguana na uongozi wa WCB, nini sababu hasa?

KIFESI: Hakuna zaidi, ila nimeamua kukaa pembeni. Si unajua kuna muda unafika na unahitaji kusimama wewe kama wewe!

IJUMAA: Siyo kwamba kuna ishu chini ya pazia?

KIFESI: Hakuna lolote. Ni mimi mwenyewe tu nimeamua kujitegemea.

IJUMAA: Ukiwa WCB, ulikuwa unakutana na changamoto gani?

KIFESI: Ambacho kilikuwa kinanikwaza ilikuwa ni kufanya kazi mpaka siku zangu za ibada, hili lilikuwa linanichukiza sana maana

nilijikuta nikiishi maisha ambayo siyo yangu. Namshukuru Mungu kwa sasa ninajitegemea mwenyewe.

IJUMAA: Vipi kuhusu faida?

KIFESI: Kutambulika kwa watu wengi.

IJUMAA: Kuna tofauti gani kwa sasa, ulipo kuwa pale WCB na unavyojitegemea?

KIFESI: Kwa sasa nina uhuru, amani na ninafanya kazi bila kusimamiwa na mtu yeyote. Lakini pia kipato changu kimeongezeka kulingana na kwamba ninafanya kazi kwa wingi niwezavyo.

IJUMAA: Bado una mawasiliano na Diamond?

KIFESI: Siwasiliani naye, ‘aliniblock’, lakini binafsi bado ninamheshimu, nina mthamini na ninamchukulia kama mtu mwenye mchango kwangu mkubwa.

IJUMAA: Vipi kuhusu Zari, bado unawasiliana naye?

KIFESI: Ndiyo, Zari ni rafiki yangu na tunaheshimiana.

IJUMAA: Ukiambiwa leo urudi WCB utakubali?

KIFESI: Hapana. Ninafurahia maisha yangu ninayoishi sasa kwa hiyo sijawaza kabisa juu ya jambo hilo na siwezi.

IJUMAA: Una kipi cha kumalizia?

KIFESI: Mungu ni mkubwa kwenye kazi zangu na ninamthamini sana na ninawakubali wote wanaonipa sapoti.

Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Jokate Aapishwa Rasmi Kuwa Mkuu wa Wilaya

$
0
0
Jokate Aapishwa Rasmi Kuwa Mkuu wa Wilaya
Mkuu mpya wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo ameapishwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo katika hafla fupi iliyofanyika wilayani humo.

Wastara Amshukuru Rais Magufuli kwa Mchango wa Matibabu Yake

$
0
0
Wastara Amshukuru Rais Magufuli kwa Mchango wa Matibabu Yake
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe (kushoto) akizungumza na Msanii wa Filamu nchini, Wastara Juma alipofika ofisini kwake jana jijini Dodoma kwa ajili ya kumshukuru Rais John Magufuli na serikali kwa michango waliyotoa kufanikisha matibabu yake  nchini India katika hospitali ya Saifee.


Msanii wa Filamu Bongo, Wastara Juma,  jana alifika katika ofisi za Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt.Harrison Mwakyembe jijini Dodoma kumshuruku Rais John Magufuli kwa msaada aliompa kufanikisha matibabu yake ya mguu nchini India katika hospitali ya Saifee Februari mwaka huu ambapo alisema sasa afya yake imeimarika.

Linah Atoboa Siri ya Walipokutana kwa Mara ya Kwanza na Mpenzi Wake

$
0
0
Linah Atoboa Siri ya Walipokutana kwa Mara ya Kwanza na Mpenzi Wake
MPENZI msomaji tunazidi kuinjoi simulizi za watu mbalimbali juu ya namna walivyokutana na kuanzisha uhusiano wa kimapenzi.  Wiki iliyopita tuliwaona mastaa wawili; Aunt Ezekiel na mpenzi wake Moses Iyobo ambaye ni dansa wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

Leo tunaye mwanamuziki anayefahamika kwa jina la Esterlina Sanga ‘Linah’ akisimulia namna alivyokutana na mpenzi wake anayefahamika zaidi kwa jina la Shabani au Director Gost. Huyu hapa songa naye; “Nilikutana na mpenzi wangu miaka mitatu iliyopita, nakumbuka siku ya kwanza kabisa tulikutana benki tukiwa kwenye mstari, tulikuwa tunalalamika kuhusu foleni kwa pamoja.

“Wakati huo sikumzingatia mpaka baadaye tulipokuja kufahamiana ndipo aliniambia kuhusu suala hili. Sasa siku hiyo ilipita, siku moja niliposti kwenye Mtandao wa Snap Chart kwamba ninakwenda muvi, kumbe na yeye akaniunganishia ili tu kuja kuonana na mimi.
Tokeo la picha la lina sanga
“Baada ya muvi alinifuata na kuniomba namba ya simu, nilimpa lakini sikumtilia maanani kwa sababu sikuwa hata ninakumbuka kwamba ndio yule tuliyekutana benki, nilifahamu tu ni kati ya mashabiki zangu wengi ambao hunishobokea wakiniona. “Sasa siku zilisonga mbele huku akinicheki mara kwa mara kwenye simu, lakini nilikuwa ninamjibu kwa mkato maana nilimuona ni mtu msumbufu fulani hivi,” anasimulia Linah.

Linah anaendelea kwa kusema, Shaban hakuchoka kumtafuta. Baada ya kuona kila akimpigia simu Linah anajibu kwa mkato hata alipomuomba waonane alimpotezea aliamua kumfungukia kwenye simu kwamba anampenda.

“Kiukweli siku ya kwanza aliponiambia ananipenda nilimpuuzia. Lakini baadaye niligundua ni mtu ambaye alikuwa anamaanisha kile alichokuwa anakisema kwa sababu alikuwa hakati tamaa. “Baada ya kuona hakati tamaa niliamua kumkubalia na kuwa naye, hapo ndipo safari yetu ya mapenzi ilipoanzia.
Picha inayohusiana
“Nilipokuwa naye ndipo nilipogundua mambo mengi. Kumbe jamaa ni mtu ambaye alikuwa ananifuatilia muda mrefu sana. Sikuweza kuamini aliponionyesha posti yake aliyoposti kwenye Mtandao wa Facebook mwaka 2013, kwamba anavutiwa na uzuri wangu na ananipenda sana.

“Pia aliandika kwamba atahakikisha anafanya kazi kwa bidii kuhakikisha anapata pesa na kunipata mimi na hatimaye Mungu ameweza kumsaidia na ameninasa na kunipa mtoto mzuri aitwaye Tracy, ha! ha! haa!,” Linah anafunguka na kucheka. Mrembo huyo anamalizia kwa kusema kwamba anampenda mpenzi wake huyo na wana malengo makubwa kwenye uhusiano.
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live




Latest Images