Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Agosti 9

0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Agosti 9

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

0
0


Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Wolper Amkingia Kifua Steve Nyerere Kwenye Suala la Rambirambi

0
0

Msanii wa filamu za Bongo Movie Jacqueline Wolper ameibuka na kumkingia kifua msanii mwenzake Steve Nyerere na kumtaka asivunjike moyo kusaidia wengine.

Steve Nyerere amekuwa Kwenye headlines za mitandao ya kijamii kwa muda sasa huku skendo ambayo imekuwa ikimuandama ni ya kila pesa za rambi rambi anazokusanya Kwenye misiba ya watu.

Na ishu hii imerudi  kwa kasi Tena mara baada ya Steve Nyerere kuonekana akiwa mstari wa mbele siku ya leo kwa ajili ya kuandaa msiba wa msanii Mzee Majuto.

Wolper ameibuka na kumkingia Steve na kumpa moyo kwa kazi nzuri anayofanya ya kuwasaidia watu ambao ni wafiwa na kumtaka ayapuuze maneno ambayo yamekuwa yakisemwa juu yake:

Kaka yangu Steve wewe ni miongoni wa watu wachache wenye moyo wapekee na wa kujitoa, Nimekua nikiona maneno kejeli na dharau mitandaoni zikiendelea juu yako ila nikiwa Kati ya watu wanaothamini mchango wako wa kujitoa kwa moyo haswahaswa kwenye matatizo ( misiba ) na hata raha nakuomba usivunjike moyo ,usikate tamaa kwa maana naamini hiyo ni karma uliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu. Najua unapitia kipindi kigumu kakaangu ila piga moyo konde na kuendelea kuifanya kazi yako kwa ufanisi ule ule kwa maana naamini ipo siku Mungu atakulipa. Binadamu tumeumbwa kuzungumza liwe jema liwe baya ila kwa unalolifanya ni wachache saana wenye moyo huo na jua kwamba tuko nyuma yako na tunakusupport. @stevenyerere2 Na hili la mzee wetu majuto tunakutegemea, Binafsi nakuamini na Niko nyuma yako. #Nakupenda..

JUKATA Yataka Wabunge Kuhama Vyama Na Ubunge Wao

0
0
Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limesema iko haja ya kuwapo kwa sheria ya kuruhusu wanasiasa kuhama vyama bila kupoteza nafasi zao za uongozi katika vyama wanavyohamia.

Mwenyekiti wa Jukata, Hebron Mwakagenda amesema hayo leo Jumatano Agosti 8, na kuongeza kuwa jukwaa hilo limefikia hatua hiyo baada ya kutafakari na kuona ipo haja ya kuruhusu mfumo huo ambapo pamoja na mambo mengine hatua hiyo itaokoa fedha za serikali katika kuendeleza nchi kihuduma na maendeleo.

“Kutokana na wimbi la wabunge na madiwani kuhama vyama kwa sababu mbalimbali na malalamiko ya Watanzania kuhusu gharama kubwa zinazotumika katika uchaguzi mdogo baada ya wanasiasa kuhama vyama.

“Kwa kuwa taifa linaingia katika kipinidi cha uchaguzi muda si mrefu ujao, Jukata tumetafakari na kuona ipo haja ya kuruhusu mfumo wa wanasiasa kuhama vyama pasipo kupoteza nafasi zao za kuchaguliwa,” amesema Mwakagenda.

Rais Magufuli Amlilia Mzee Majuto Baada ya Kupata Taarifa za Msiba

0
0
Rais Magufuli Amlilia Mzee Majuto baada ya taarifa za kifo chake zilizotokea jana mida ya saa mbili kupatikana:


Kujiamini na Kusimamia Ninachokiamini Kimenipa Mafanikio-Rosa Ree

0
0

MSanii wa Muziki wa Bongo fleva anayetamba kwa miondoko yake ya kipekee ya kurap amefunguka na kutoa siri yake iliyompa mafanikio mpaka leo yupo alipo kama Mwanamuziki.

Rosa Ree ambaye amewahi kufanya vizuri sana na wimbo wake ‘Way Up’ amefunguka na kuweka wazi siri ya mafanikio yake kwanza ni kujiamini halafu na kuamini anachokifanya.

Kwenye mahojiano na  Global Publishers, Rosa Ree alifunguka kuwa muda mwingi huko nyuma watu walikuwa wanamwambia kwamba anajifanya mnyamwezi kwa soko la Bongo hawezi kufika popote, lakini hakuwasikiliza kwa sababu alikuwa anawaza kwenda kimataifa.

Nisingejiamini na kusimamia kile nilichokiamini kiukweli nisingefika mahali nilipo leo, siku zote nilikuwa ninatazama soko la kimataifa, kwa hiyo hata maneno ya kunikatisha tamaa sikupenda kabisa kuyapa nafasi”.

Rosa Ree alizidi kupata mafanikio hivi karibuni baada ya kusaini dili la mamilioni na Recording Label  kutoka Afrika ya kusini ambayo ilimpatia nyumba mbili za kifahari.

Steve Nyerere Atoa Mpya 'Nimetukanwa Sana Kwenye Misiba, Huu Msiba wa Majuto Sihusiki na Chochote"

0
0
Steve Nyerere amekua miongoni mwa Mastaa wa Tanzania wanaotajwa kujitoa sana kwenye shughuli za watu wengine iwe shida au raha, na leo hii video inamuonyesha akiwa miongoni mwa watu wa kwanza kabisa kufika Muhimbili Hospitali baada ya kupokea taarifa za kifo cha Mzee Majuto.

Steve amekua akitukanwa na baadhi ya watu kutokana na kuonekana mara nyingi kuwa mstari wa mbele kwenye shughuli mbalimbali, tazama alichosema Steve Nyerere Muhimbili leo.

VIDEO:

Kabila hatagombea nafasi ya urais DRC 2018 ....Mrithi wake Huyu Hapa

0
0
Ramazani Shadari, Katibu Mtendaji wa chama kilichopo madarakani Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) Jumatano ameteuliwa kuwa mgombea kiti cha urais kwenye uchaguzi wa Disemba 23, 2018.

Shadary anagombea nafasi hiyo kwa tiketi ya muungano wa vyama vinavyo tawala (FCC) nchini DRC.

Uteuzi huo umeondoa kitendawili kilichokuwepo kwamba huenda Rais Joseph Kabila ambaye amekuwa madarakani tangu 2001, angewania muhula mwengine.

Tayari  Ramazani amewasilisha stakhabadhi zake za kuwania urais kwa tume ya ya uchaguzi jana mchana  saa chache kabla ya muda uliowekwa kukamilika.

Emmanuel Shadari mwenye umri wa miaka 57 ni mwandani wa karibu wa rais Joseph kabila. Alikuwa katibu wa kudumu wa chama tawala cha PPRD na mtu muhimu wa kampeni za rais Kabila

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Hivi Ndio Wanawake Walio Katika Ndoa Wanavyokosea Mpaka Baba Anaamua Kutoka Kimapenzi au Kuoa Kabisa Dada wa Kazi

0
0
Fuatilia haya Majibizano ya Baba Mwenye Nyumba, Mke na Dada wa Kazi alafu uniambie kosa ni la nani ?

MUME: Darl ninakikao mkoani kesho naomba niandalie vitu pls
MKE: Dada zile nguo za baba pmj na soksi ulifua?
DADA: Ndio nimepanga kabatini.
Mama anarudi chumbani na kumuomba hubby wakacheki TV sebulen, lakn baada ya muda mama anamuita dada akapange suruali kadhaa na mashati kwa ajili ya safari ya kesho, dada anapanga kila kitu anatoka.
MKE: kama tayari hakikisha unarekebisha yale mashuka pale kitandan weka na maji bafuni.

Dada anafanya na kwenda zake kulala, asubuhi dada anaamka mapema na kuandaa kila kitu ikiwamo na chai, baba anakunywa chai na kutaka kuondoka.

MKE: Dada msindikize baba ili ufunge geti sababu bado ni giza
DADA: sawa mama.

Dada anatoka na begi la baba hadi nje kwavile mkewe yupo ndani, baba anamtaka dada abaki vizuri na watoto, dada anaitika na kusema nawao wanamuombea safari njema. Baada ya muda baba anarudi toka safari.

MKE: huku akitabasam, dada si umemuona baba amerudi vipi chakula tayari?
DADA: ndio.
MKE: haya kapange meza vizuri mimi nandaa juice.

Baada ya muda wanakula na baba anagundua juice sio nzuri anaamua kuiacha na kusema leo wamesahau kuweka baadhi ya vitu hivyo hataweza kuinywa. Baadae baba anakumbuka kuwa aliacha boxer zake kwenye ndoo ya maji chumban na kufunika mfuniko, anamuuliza mama vipi zile nguo zangu kwenye ndoo zilifuliwa? Maana nilisahau kusema kama zina maji.

MKe: dada njoo hapa hivi zile nguo za baba chumbani ulifua?
DADA: ndio mama (lkn hasemi kama alianua na kuweka chumbani kwake akidhan atakunja baada ya kazi kupungua)
MKE: Darling zilifuliwa.
MUME: na watoto vipi wameshalala?
MKE: Anajibu wamelala darl.
MUME: Vipi dereva wao alifika kuchukua pesa yake?
MKE: dada eti uncle Hassan amechukua pesa yake?
DADA: hapana wamembadilishia gari uncle Hassan amesafiri kwa muda.

MKE: Tutampatia darl siku akirudi acha dada aendelee kuitunza
MUME: basi vizuri, ehee vipi na tution walienda leo
MKE: ndio walienda (anamgeukia dada, si eti ee walienda si eti)
DADA: Hapana Kelvin anaumwa leo siku ya pili nilinunua dawa dukan nimempa lkn hajambo.
MKE: (anashangaa) heeE! mtoto mgumu huyu kumbe jana alikua mgonjwa halafu wala!!! alikua anacheza tu jamani watoto!! Asante dada umefanya vizuri
MUME: Haya mimi niwaache nataka nikapumzike lkn darl nitaomba zile boxer nichome kabla ya kulala sababu zimeanza kuchoka
MKE: Anaingia chumbani anafungua kabati na kuzikosa lkn kabla hajajieleza anamuona dada analeta mzigo wa boxer zikiwemo chupi za mama na mataulo
MUME: Basi dada zirudishe tutachambua kesho nenda kafanye kazi zako.

Mume anainuka na kuelekea kulala, lkn anagundua mke wake alimwaga nguo kitandan wkt anatafuta boxer hivyo anaamua kurudi sebuleni ili aombe kuandaliwa kitanda, kwavile chumba cha dada kipo jiran na chao anagundua dada ameacha mlango wazi, anaamua kuufunga ili mbu wasiingie lkn anaona baadhi ya mashati na suruali zake zikiwa zimenyooshwa na kuwekwa pemben huku kitanda kikiwa kimetandikwa kwa ustadi anaamua kufunga mlango na kutoka, anafika sebuleni anakuta mama anatazama tamthilia anamwambia akatandike kitanda.

MKE: Dada njoo, (kwa sauti ya kunong'ona) naomba ukatandike kitanda haraka
DADA: Tayari nilipeleka viatu vya baba nikaamua kutoa na zile nguo
MKE: Anaamka na kwenda kuhakikisha anarudi na kumwambia mumewe tayari aende akalale
MUME: Anaenda kulala lkn huku akijuiliza sana ni nini amfanyie huyu dada kwa ukarimu anaowafanyia hapo nyumban, kwanza anajua ni vitu gani baba anabeba akiwa safarini, ndio pekee anaemtakia safari njema na kumuombea, ndio anaefua boxer zake na kutunza vizuri, ndio anaepika chakula kitamu, ndio anaetandika kitanda chake, ndio anaejua juice gani baba anapenda, ndio anaejua kama watoto wamerudi vipi kutoka shule, vilevile ndio anaejua kama watoto wake wanaumwa ama vipi.

Sasa mnafikiri baba atamzawadia nini huyu binti ambae amebakiza kujua style anazopenda baba tu, si atamfundisha ili kesho asimsumbue tena mke wake ambae kila kitu lazima amuulize dada. Akina baba hawaridhiki lakini Wamama jitahidini hata kama mnamajukumu kiasi gani.

Muone na Wasiliana na Dr Kanengo Bingwa wa Tiba Asili, Hutibu Magonjwa Haya

0
0

NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  MALABALA  hutibu  kisukari , uti  wa  mgogo,  Change, pumu, busha, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri

POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge  20

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha, pia kunakuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu.

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Keisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete)  ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,. ( 3 ) kurudisha mtu aliye kufa kiutatanishi (msukule) (4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wa  chafu ndani ya mji,.Haya yote yana wezekana kwa DR KANENGO popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana buguruni chama, mbagala zakhiem karibia na uwanja wa mkutano, na wilaya ya bunda musoma : mawasiliano  ni simu namba :-0767-17-17-73 na  0716-60-89-59

NI  KWA  WALIO  TUMIA  DAWA  ZA MATATIZO  MBALIMBLI  BILA  MAFANIKIO   uwezo  WA  kurudisha  mali  iliyopotea  au  kudhulumiwa    muda  mfupi  tu,  Na natoa  dawa  ya  utajiri  kwa  wafanya  biashara     wachimbaji  madini, wafaryakazi,  wakulima, wafugaji na  kwa yeyote  anayetaka  kuwa  na  pesa   nyingi  katika   maisha  yake,  Na  pia  anaunganisha  utajiri    kwa muda  mfupi  sana  pamoja  na  kuboresha  akili  kwa  wanafunzi  na  kumfanya  afaulu  mitihani  yote  au  intaview  yeyote  na  ana  uwezo  mkubwa  wa  kutibu  ugonjwa  wa  Uvimbe tumboni .  pia anarudisha  Mke, mme, mchumba,    hawara, kwa  muda  wa  saa  3  na  anatimiza mahitaji  yote  hata  kama  upo  mbali   kiasi  gani,  ahadi  zote  atatimiza  kwa  muda  mfupi  tu  Na  kumfunga  asiwe  na mtu  mwingine  kwa  nini  unaumiza  kichwa ?

Muone  ( DR  )KANENGO,anatibu  nguvu  za  kiume  anarefusha  na  kunenepesha  uume  kwa  saizi  uipendayo  kwa  muda  mfupi   sana, pamoja  na  kuwa  na  hamu  ya  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  4  bila  hamu  kuisha   Na  utachelewa   kufika  kileleni  kwa  muda  wa  dakika   40  bila  kuchoka  hata  kama  una umri  mkubwa  kiasi  gani   Gerentii  miaka /=60    ukisha  pona  bila tatizo   kurudia  pia ana  uwezo  mkubwa  wa  kuongeza  hips na  makalio,  pia   anatibu  magonjwa  sugu  ya  zinaa  tumbo  kujaa  gesi,  kuuma  chini  ya  kitovu,vidonda vya tumbo,   kiuno,  miguu    kuwaka  moto  miguu,  kuvimba..Nk..Angalizo usitume meseji wala kubipu..
You can get it in   all East African countries, our service is fast and easy...

Contact Whatsapp 0767171773.Dar es salaam Tanzania. ..Dr. KANENGO 0716608959...You are welcome.

Rich Mavoko Ashinda Kesi ya Kujiengua WCB

0
0
Rich Mavoko Ashinda Kesi ya Kujiengua WCB
Msanii Rich Mavoko ameshinda kesi ya kujiengua katika Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB). Kesi hiyo ilikuwa ikisikilizwa katika Ofisi za Baraza la Sanaa Tanzania (Basata).

Takribani miezi miwili iliyopita taarifa zilianza kusambaa kuwa Mavoko ametimuliwa WCB huku nyingine zikieleza kuwa amejiengua mwenyewe.

Aidha, viongozi wa lebo hiyo hawajataka kuweka bayana kinachoendelea dhidi ya Mavoko ambapo hivi karibuni, Mmoja wa viongozi hao, Hamis Taletale ‘Babu Tale’ hivi karibuni alikaririwa akisema wakati wa kuzungumzia jambo hilo haujawadia.

Ester Matiko na Mwandishi wa Habari Waachiwa na Polisi

0
0
Ester Matiko na Mwandishi wa Habari Waachiwa na Polisi
Mbunge wa Tarime Mjini,  Ester Matiko, mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima Sitta Tuma na wafuasi wengine 14 wa Chadema waliokuwa wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za kufanya mkutano usio halali wameachiwa.

Hata hivyo, wametakiwa kuripoti polisi kesho.

Matiko, Tuma na wafuasi hao walikamatwa na polisi jana wakati wa kampeni za kumnadi mgombea udiwani wa chama hicho Kata ya Turwa.

Akizungumza na wanahabari leo Agosti 9 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime /Rorya Henry Mwaibambe amesema polisi iliwataka wafuasi hao na viongozi watawanyike kwa kuwa mkutano huo siyo halali.

“Mkusanyiko huo haukuwa halali kwa kuwa chama hicho kilikuwa kimezuiwa kufanya mkutano,” amesema Kamanda Mwaibambe.

Pia, amesema baadhi ya wananchi waliondoka lakini wengine walikaidi, ndipo polisi ikalazimika kuwatawanya kwa mabomu lakini watuhumiwa hao walikaidi kuondoka jambo lililolazimu polisi kuwakamata.

“Nilipokea barua jana kutoka kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Kata ya Turwa ya kusitishwa kwa kampeni za chaguzi za Chadema lakini chama hicho kilikaidi licha ya kupewa barua ya kusitisha mkutano.

“Polisi tulipewa barua ya zuio la mkutano ikionyesha kuwa Chadema wamekiuka kifungu cha 124 A cha Sheria ya Taifa ya uchaguzi,kamati ya maadili ya uchaguzi Kata ya Turwa kupitia kikao kilichoketi Agosti 8,2018 kilichowashirikisha na viongozi wa siasa kilisitisha kampeni za Chadema,” ameongeza.

Amesema Chadema waliambiwa wasifanye mkutano tangu saa sita mchana jana lakini saa kumi jioni kundi la watu zaidi ya 300 walionekana ofisi ya Chadema wakiwa kwenye mkusanyiko.

Mwaibambe amedai mbunge Matiko alitakiwa kuondoka eneo hilo lakini aligoma na kuanza kutukana polisi na hakuna yeyote aliyepigwa wakati wanakamatwa na kupandishwa kwenye gari.

“Kama wamepigwa wakiwa ndani ya kituo hiyo ni ishu,” amesema.

Akizungumzia kukamatwa kwa mwandishi wa habari Mwaibambe amesema;

“Nimepigiwa simu nyingi na media nyingi, waandishi wa habari wakiwamo wa Tarime wakiomba nimwachie Mwandishi mwenzao lakini polisi tumekataa, huyu amekamatwa akiwa kwenye mkusanyiko uliozuiwa. Waandishi wenzake waliondoka yeye akabaki.”

Mwanasiasa wa Zimbabwe Aliyemtangaza Chamisa Kuwa Mshindi na Kutafuta Hifadhi Zambia Arejeshwa

0
0
Mwanasiasa wa Zimbabwe Aliyemtangaza Chamisa Kuwa Mshindi na Kutafuta Hifadhi Zambia Arejeshwa
Mwanasiasa wa cheo cha juu kwenye muungano wa upinzani nchini Zimbabwe MDC, Tendai Biti, amenyimwa hifadhi kwenye taifa jirani la Zambia.

Maafisa wa serikali ya Zambia wamemrejesha Biti hadi nchini Zimbabwe, licha ya kuwepo agizo la mahakama lililowazuia kufanya hivyo.

Mahakama kuu nchini Zambia ilikuwa imempa mwanasiasa huyo haki ya kuwasilisha ombi lake la kuomba hifadhi.

Lakini wakili wake Gilbert Phiri anasema Biti amekabidhiwa maafisa wa polisi wa Zimbabwe.

Polisi wa Zimbabwe wanamlaumu Bw Biti kwa kuchochea ghasia kufuatia uchaguzi wa wiki iliyopita.

Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Zambia Joe Malanji aliiambia BBC kuwa vigezo vyake kuomba hifadhi vilikuwa dhaifu.

"Alizuiwa eneo salama hadi pale aliporejeshwa Zimbabwe," waziri alisema.

Mapema wakili wake alisema mteja wake alikuwa amezuiwa kwenye mpaka na Zambia na mamlaka za Zimbabwe.

Rais Magufuli Asisitiza Ushirikiano Imara kati ya Tanzania na Uganda

0
0
Rais Magufuli Asisitiza Ushirikiano Imara kati ya Tanzania na Uganda
Rais John Magufuli amesema Tanzania na Uganda zitaendelea kufanya biashara kwa pamoja ili kuimarisha uchumi wa nchi zote mbili na kudumisha mshikamano kati yao.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi Agosti 9, Ikulu jijini Dar es Salaam wakati Rais Magufuli akizungumza baada ya mazungumzo yake na  Rais Yoweri Museven ambaye aliambatana na viongozi mbalimbali kutoka nchini Uganda.

“Nimefurahia sana ziara ya mzee wetu Museven pamoja na ujumbe aliokuja nao hivyo ningependa Tanzania na Uganda tufanye biashara kwa pamoja na tuwe kama ndugu,” amesema Magufuli

Aidha rais Magufuli amesema wamekaa na Rais Museven na kukubaliana kutafuta namna ya kuzuia watu wenye lengo la kuharibu viwanda vya Uganda kutokana na hali hiyo kuwahi kutokea kipindi cha nyuma

“Kuna sukari iliwahi kuingizwa hapa nchini kumbe ilikuwa haijatengenezwa na viwanda vya Uganda bali ilikua na lengo la kuharibu viwanda vyao hivyo tumezungumza na rais Museven ili suala hilo lisijitokeze tena,” amesema Rais Magufuli

Rais Museven yupo nchini kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kuimarisha ushirikiano na ujirani mwema uliopo kati ya Tanzania na Uganda.

Mourinho aamua kuacha kufikiria usajili ‘muda umefika wa mimi kuacha kufikiria hili’

0
0
Mourinho aamua kuacha kufikiria usajili ‘muda umefika wa mimi kuacha kufikiria hili’
Meneja wa Manchester United, Jose Mourinho amesema kuwa hana uhakika wa kufanya usajili mwingine kabla ya dirisha la usajili halijafungwa saa chache zijazo

Mourinho amekuwa akihitaji kumsajili beki wa kati wa Leicester City, Harry Maguire,  Toby Alderweireld  anayekipiga Tottenham Hotspur na Jerome Boateng  ili kuimarisha safu yake ya ulinzi.

Lakini meneja huyo raia wa Ureno kupitia mkutano wake na waandishi wa habari mapema hii leo ameeleza kuwa kunauwezekano mkubwa wa kutoongeza mchezaji mwingine ndani ya kikosi chake kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili leo siku ya Alhamisi.

Sina uhakika wa kuongeza mchezaji mwingine kabla ya dirisha hili la usajili halijafungwa leo hivyo ni muda kwangu kuacha kufikiria swala hilo.

Nitajaribu kuwa bize na wachezaji niliyonao katika michezo mitatu iliyopita kwasababu baada ya mechi na Spurs tutakuwa na mapumziko ya wiki kadhaa hivyo nitatumia muda huo kuwafanya wanaimarika.

Habari niliyonayo nikuwa hakuna usajili mwingine hivyo nitalazimika kuwa bize na wachezaji waliyopo kwa sasa.

Wachezaji kama Sergio Romero, Antonio Valencia, Marcos Rojo, Dalot, Ander Herrera na Nemanja Matic hawatakuwepo kwenye mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu Uingereza hapo kesho siku ya Ijumaa. Wakati huo huo Mourinho atalazimika kutazama ‘fitness’ ya wachezaji wake waliyochelewa kujiunga na kikosi baada ya kuwa mapumziko kutokana na kuzitumikia timu zao za taifa kwenye michuano ya kombe la dunia Urusi.

Mzee miaka 70 Ahukumiwa Miaka 30 Jela kwa Ubakaji wa Mtoto wa Miaka 11

0
0
Mzee miaka 70 Ahukumiwa Miaka 30 Jela kwa Ubakaji wa Mtoto wa Miaka 11
Leo August 9, 2018 Mahakama ya Wilaya Bukoba chini ya Hakimu mkazi Samweli Maweda imemuhukumu miaka 30 jela mzee wa miaka 70 kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 11 wa kata ya Maruku halmashauri ya wilaya Bukoba Mkoani Kagera.

Akiongea nje ya mahakama Wakili wa serikali mkoa wa Kagera Emmanuel Kahigi amesema kuwa tukio hilo lilitokea mwezi wa sita mwaka jana na kuongeza kuwa sambamba na mzee huyo aliyehukumiwa leo pia baba mzazi wa mtoto ameshafikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuhusika katika kosa hilo na kesi inaendelea.

Sifikirii Kabisa Kutoa Penzi Langu kwa Mwanaume wa Nje ya Nchi- Wolper

0
0
Sifikirii Kabisa Kutoa Penzi Langu kwa Mwanaume wa Nje ya Nchi- Wolper
STAA wa filamu ambaye pia ni mbunifu wa mavazi, Jacqueline Wolper, amefunguka kuwa kamwe hawezi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi tena na mwanaume ambaye siyo raia wa Tanzania kwa sababu kuna mengi alijifunza kipindi cha nyuma.



Akizungumza na Amani, Wolper alisema kama ni kumpata mpenzi ambaye anaamini atamfaa basi lazima atoke ndani ya nchi yake japokuwa kuna watu walianza minong’ono kuwa alipokuwa nchini Kenya hivi karibuni, alikuwa na mpenzi raia wa nchi hiyo.



“Sifikirii kabisa kutoa penzi langu kwa mwanaume ambaye siyo raia wa nchi yangu kwa sasa kwa sababu huko nyuma nilipitia huko lakini sasa sihitaji tena kama nimeamua kupendana na mwanaume basi atakuwa ni wa nchi yangu tu,” alisema Wolper ambaye huko nyuma alishawahi kutoka kimapenzi na raia wa Kongo.

Rais Magufuli, Kikwete Waongoza Mamia Kumuaga Mwili wa Mzee Majuto Katika Viwanja vya Karimjee

0
0
Mamia Wajitokeza Kumuaga Mzee Majuto Katika Viwanja vya Karimjee
Leo augost 9 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete wameongoza mamia ya waombolezaji katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kuaga mwili wa aliyekuwa muigizaji nguli wa vichekesho nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ leo Agost 9, 2018.



Mzee King Majuto alifariki dunia jana majira ya saa 2:00 usiku Agosti 8, 2018 katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu kwa siku kadhaa.



Baada ya kuaga mwili utasafirishwa kwenda nyumbani kwake jijini Tanga kwa maziko ambayo yatafanyika kesho Ijumaa.

Mzee Majuto ndiye alikuwa muigizaji wa kwanza kuandaa kazi zake katika mikanda na kuuza akiwa na Tanzania Film Company ( TFC), alikuwa mwigizaji mwenye mashabiki wengi kutokana maonyesho mbalimbali, vichekesho vyake aliyoshiriki nchi mbalimbali.

Masikini Rais Magufuli Ashindwa Kujizuia Amwaga Chozi Baada ya Kuaga Mwili wa Mzee Majuto

0
0
Masikini Rais Magufuli Ashindwa Kujizuia Amwaga Chozi Baada ya Kuaga Mwili wa Mzee Majuto
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ameshindwa kujizuia na kujikuta akimwaga machozi wakati alipokuwa akiaga mwili wa aliyekuwa msanii nguli wa vichekesho nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo Agosti 9, 2018.



Magufuli alifika Karimjee na kujumuika na viongozi mbalimbali akiwemo Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete na waombolezaji wengine katika kuaga mwili wa nguli huyo aliyefariki dunia jana Jumatano, majira ya saa 2 usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbuili alipokuwa akitibiwa.



Mwili wa Mzee Majuto umesafirishwa kwenda nyumbani kwake jijini Tanga ambako atazikwa kesho Ijumaa, Agosti 10, 2018 mchana.
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images