Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104698 articles
Browse latest View live

Faiza Ally Ashushiwa Mvua ya Matusi Baada ya Kuweka Picha Akiwa Ananyonyesha

$
0
0
Faiza Ally Ashushiwa Mvua ya Matusi Baada ya Kuweka Picha Akiwa Ananyonyesha
Mwanadada Faiza ally  siku ya jana aliacha  watu hoi baada ya kuweka picha akiwa anamnyonyesha mtoto wake wa kiume mdogo huku akiwa ameweka picha ya sehemu yake ya maziwa wazi huku mtoto huyo akiwa ananyonya.

Hii sio mara ya kwanza kwa msanii faiza kufanya hivyo kwa sababu alishawahi kuweka picha kiwa leba anajifungua na kusababisha watu wengi kulalamikia picha hiyo huku ikionekana kama ni udhalilishaji kwa wakina mama kama yeye.

Watu wengi wali-react kupitia picha hiyo huku wakimtukana sana kwa kujikosea heshima yeye mwenyewe na wanawake wenzie kwa sababu maswala kama hayo yalipaswa kuwa si ya kuonyesha mpaka katika mitandao ya kijamii kama anavyotaka kufanya yeye.

MPOKI Afunguka Anachoumwa VENGU/SIPENDI Kukaa na WASANII/Nampenda VANESA/Amefika Mpaka CHUMBANI

$
0
0
MPOKI afunguka anachoumwa VENGU/SIPENDI kukaa na WASANII/Nampenda VANESA/Amefika Mpaka CHUMBANI Tazama Hapa Chini kwenye Video:

H Baba Aliniambia Nivue Nguo Akanifanya Studio - Neylish Afunguka

$
0
0
Mwanamuziki H Baba Ameingia Katika kashfa mbaya baada ya Mrembo wa Instagram Neylisgh official Kufungukua Makubwa, Ney Amedai kuwa alipokuwa anaanza safari yake ya Kuwa muigizaji alikutana na Mwanamuziki H Baba na akadhani atamsaidia katika uigizaji lakini aliishia kuingizwa ndani ya studio na kufanyiwa kitu mbaya:

Mtazame hapa Akielezea Kilichotokea:

Kila Mwanaume Anaye Lala na Mimi Harudii Tena na wala Simu zangu Hapokei

$
0
0
Mimi  ni  mwanamke.Naomba msaada wa  mawazo  maana  sijui nina nini mimi...
Umri unanitupa mkono maana nakaribia miaka 35 lakini sijampata aliyewahi kunitangazia ndoa.Cha ajabu kila anayelala na mimi siku ya pili harudii tena na hata nikimpigia simu hapokei

Hapo ndo linapoanzia tatizo na  kunifanya nijisikie vibaya...Saivi  hata mtaani nachagua kwa kupita...
Kuna mwanaume mmoja huyo ndo aliwahi kunichana live kuwa nina maji mengi na MAMBO  yangu ni kubwa kiasi kwamba ha piz hadi amfikirie mpenzi wake wa zamani...

Jamani naomba msaada nifanyaje mie. Je kuna dawa ya kupunguza haya maji na kuifanya hii MAMBO  iwe  ndogo?
Hide My Name.

Aibu Kubwa:Nitaiweka Wapi Sura Yangu?

$
0
0
Kumbe ile kauli ya wahenga ya kwamba "Zamwizi ni arobani" kumbe ni kweli.
Ona huyu binti anavyo nitia haibu na nisijue niwapi nitaiwka sura yangu?

Hii ilitokea baada ya mimi kupata likizo ya mwezi m-moja hapa kazini kwangu, ndipo nikaamua kumtembelea dada yangu aliyeolewa Arusha.

Ndani ya nyumba nilikutana na Beki 3 (mfanya kazi) marayakwanza tulikutana chooni hii nibaada ya yeye kuni kuta nikiwa uchi chooni (naoga) ndipo nilipo mkamata mkono na kumuuliza kipi kilicho mfanya aingie wakati kaniona mimi nakwenda kuoga? Jibu lake lilikua "samahani"huku akiwa na mapepe.

Ndipo nilipo mkamata mkono na kumtuliza huku nikiwa uchi wa mnyama.
Kwakuwa ilikuwa ni usiku wa mananane (watu wote wame lala) mtoto (beki3)alitulia kama anasubili kunyolewa. Sikuhiyo nilijipigia la jogoo (goli moja) huko choon. Siku zilivyo endelea mtoto alizoea kale kamchezo. Japo alikua na miaka 15 lakini mtoto alionekana kamchezo anakijua (fundi) ilifikia wakati mtoto alikua akini fuata chumbani nilipo lala, na kuendela na kumuudhi mungu (kufanya zinaa). Bada ya mwezi na likzo yangu kuisha nilirejea nyumbani (Dar).

 Sasa ni miezi mitano (5) ninapata habari yule binti ana mimba na mtu pekee aliye mtaja ni mimi. Hapa nilipo nime lowa jasho sijui mkewangu akijua itakuaje? Sijui dada yangu yuko kwenye hali gani? sijui nitaiweka wapi sura yangu?

“Bongo Movie Kwenda Kwenye Birthday Ya Tiffah Ilikuwa ni Kiki Tu”- Shamsa Ford

$
0
0


Msanii wa Bongo movie Shamsa Ford amefunguka na kupasua kuwa habari ya wasanii wa Bongo movie  kama Wema, Aunty, Shamsa, Faiza, Maimatha na Wolper Kwenda Kwenye party ya Tiffah ilikuwa ni kiki tu.

SIku chache zilizopita Kwenye 40 ya mtoto wa Zamaradi, Babu Tale aliwaalika Bongo Movie kwa ajili ya kwenda South Africa Kwenye party ya Tiffah South Africa Lakini mara moja Zari aliwapiga stop.

Baada ya mgogoro wasanii hao kila mmoja ameonekana kughaili Kwenda huku wengine wakidai kulikuwa hakuna Safari bali ilikuwa ni kiki tu.

Gazeti la Amani, liliamua kuwasaka baadhi ya mastaa waliokuwemo kwenye kamati hiyo ambapo kila mmoja aliongea la kwake kama ifuatavyo;

Faiza Ally alisema kuwa alijua wazi kuwa hatakwenda kwa sababu Zari ‘alishamblock’ siku nyingi kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Mimi baada ya kutangaziwa vile tu nilijua siwezi kwenda kwa sababu Zari alishaniblock siku nyingi, sasa huwezi kwenda kwa mtu ambaye alishakublock na alivyosema maneno yale ndio kabisaaa”.

Maimatha wa jesse alidai kuwa hawezi kwenda kwa sababu hakuipenda tabia ya Zari kuwaambia kuwa watakwenda kumchafulia nyumba.

Sikuipenda kabisa tabia ya Zari, yeye angeacha akaona kama kweli tutaenda au la lakini kabla hata siku hajizafika akajibu palepale, ya nini kwenda? Nimemshangaa maana hajui kama kwake tungeenda ingekuwa na faida sana hata kujitangaza kibiashara“.

Shamsa Ford yeye alidai kuwa anachojua lile tangazo la wao kwenda Sauz kwenye sherehe ya Tiffah ilikuwa ni kiki tu wala hakukuwa na ukweli wowote.

Unadhani mchezo kuwasafirisha watu wote wale, ile ilikuwa ni sehemu ya kiki tu, wala siendi mimi”.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Breaking News: Julius Mtatiro ajivua uachama CUF, ajiunga CCM

$
0
0

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha CUF Julius Mtatiro amejivua uanachama wa chama hicho nakujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM huku akisema kuwa huu ni wakati wake wakwenda kutumia vipaji vyake kikamilifu pia kuwa balozi mkubwa wa Rais Magufuli Ndani na nje ya Nchi.


Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam amesema kuwa ameamua kuchukua uamuzi huo kwa kuwa jukwaa alilokuwa analisimamia katika siasa kwa miaka kumi limeshindwa kumpa nafasi yakuifanyia nchi yake maendeleo. 

"Nimeamua kwa dhati kuanzia hivi sasa, kuwa mmoja wa mabalozi wakubwa wa Taifa langu na balozi mkubwa wa Rais wa Taifa hili, na kazi hiyo ntaifanya ndani na nje ya nchi na ntafanya hivyo kwa vitendo na maneno na wala sitasita.

"Nimejiridhisha kwa hitaji la Nafsi yangu kwamba nijiunge na Chama cha Mapinduzi CCM, nawajulisha watanzania rasmi kuwa nimeanza mipango ya kutekeleza hili mara moja.

"Siendi CCM kutafuta nafasi na ukuu,uamuzi niliofanya ni uamuzi wa kutafuta jukwaa sahihi lakufanya siasa katika kipindi cha mbele cha maisha yangu." Amesema Julius Mtatiro na kuongeza;

"Maswala ya misimamo yangu ya sera na ilani za CUF na misimamo ya CUF hayo yanabakia CUF."

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Daimond Ashambuliwa Kisa Birthday ya Daylan

$
0
0
WAKATI akijiandaa kumfanyia sikukuu maalumu ya kuadhimisha kuzaliwa kwake mwanaye Tiffah, sherehe ya bethedai ya Dylan mtoto aliyezaa na Hamisa Mobeto aliyoifanya hivi karibuni jijini Dar imemponza mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na kujikuta akinagwa mitandaoni mpaka basi, Risasi Jumamosi linakupasha.  Matarajio ya sherehe ya Tiffah, mtoto aliyezaa na mrembo Zarina Hassan ‘Zari’ itakayofanyika Afrika Kusini Agosti 18 ni kufanya kufuru ambapo mambo yamepangwa kuwa moto na matamu kwa siku tatu mfululizo huku mamilioni ya fedha yamepangwa kutumika.

Daimond Ashambuliwa Kisa Birthday ya Daylan
Chanzo cha kunangwa kwa Diamond kilianzia kwenye posti aliyoiweka kwenye Istagram yake na kuandika maneno yafuatayo: “Very Happy Birthday to the Next Platnumz…My Kitinda Mimba, Mswahili Mwenzangu, Maskini Mwenzangu…Mnyonge Mwenzangu…”

“Mengi Uloyapitia Ukiwa mdogo, usiyejua hili wala lile yamenifanya nikupende sana na kuhakikisha nakulinda na kukutunza kwa hali yoyote ntayojaaliwa…Insha Allah. “Mwenyez Mungu akukuze vyema, akupe Akili, Afya, Furaha na akubariki, Ukikua uwe Mwanamziki Kama mie baba ako, Uzidi kupendwa na ukifanikiwa uwainue Maskini wenzetu zaidi Mtaani….Happy Birthday My Handsome.” Ilimalizia posti yake na inasomeka kama ilivyoandikwa. 

Kufuatia posti hiyo wadau wa mitandao ya kijamii na ‘wajuzi wakuu wa kukosoa’ walianza kupokezana posti hiyo na kuiambatanishia maneno ya kejeli na dharau kwa Diamond. “Acha unafiki ungekuwa na upendo huo ungempa mwanao haki sawa na yule wa ugenini (Tiffah),” moja ya komenti iliyomshambulia Diamond.

Aidha, baada ya mashambulizi hayo kuhusu posti hiyo hali ya hewa ilichafuka zaidi pale picha zilizomuonesha mwanamuziki huyo akimfanyia mwanaye Dylan sherehe ndani ya ofisi yake ya Wasafi Classic Baby ‘WCB’ iliyopo Mbezi Beach jijini Dar ziliposambaa mitandaoni.

HOJA ZIKAWA:

“Kwa nini asimfanyie nyumbani kwake Madale? “Kama alishindwa basi angekwenda kuifanya kwa mama yake (Mobeto) maana naye ana nyumba nzuri tu.“Jamaa ana matatizo sana… sijui kwa nini hajiongezi. Hata baada ya hoja kuwa ‘hoti’, Diamond hakujitokeza kujibu chochote, alipotafutwa kwenye simu iliita bila kupokelewa na hivyo kuwaacha wenye mitandao yao kuendelea kusema watakavyo.

Wapo waliosema kwamba alishindwa kuifanyia nyumbani kwake Madale kwa madai kuwa mama yake mzazi aitwaye Sanura Kassim ‘Sandra’ hampendi Dylan hivyo asingeruhusu bethidei kufanyika anapoishi, jambo ambalo halijathibitishwa na Risasi Jumamosi kwamba hali iko hivyo.

Hata hivyo katika siku za hivi karibuni kumekuwa na mivutano mingi kati ya familia ya Diamond na Mobeto kuhusu kushirikiana katika bethidei ya Dylan iliyofanyika Agosti 8 na kwamba mama wa mwanamuziki huyo anadaiwa kuwa aligoma.

Vigogo Chama cha Ushirika Kilimanjaro Kuendelea Kusota Rumande

$
0
0
Vigogo Chama cha Ushirika Kilimanjaro Kuendelea Kusota Rumande
Vigogo watano wa ushirika mkoani Kilimanjaro wanaokabiliwa na kesi mbili za uhujumu uchumi na kudaiwa kusababisha hasara ya zaidi ya Sh. bilioni 4.9, wamegonga mwamba katika maombi ya dhamana Mahakama Kuu, Kanda ya Moshi, baada ya Jaji Winfrida Koroso kutupa maombi hayo.

Jaji Koroso aliyesikiliza maombi hayo, anatoka Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, Kitengo cha Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa maarufu kama Mahakama ya Mafisadi.

Mahakama hiyo iliketi kwa siku mbili na kutoa uamuzi wake jana, baada ya mawakili wa upande wa utetezi ambao wanawawakilisha washtakiwa hao kuweka pingamizi, wakidai kwamba kuna udhaifu katika hati iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP).

Wanaokabiliwa na kesi hizo ni Mwenyekiti wa zamani wa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani humo (KNCU 1984 Ltd), Aloyce Kitau, makamu wake, Hatibu Mwanga na Katibu Mkuu, Honest Temba. Wote kwa pamoja wanatuhumiwa kuusababishia ushirika huo hasara ya Sh. bilioni 2.9

Wengine ni aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kiwanda cha Kukoboa Kahawa cha Tanganyika Coffee Curing Co. Ltd (TCCCo), Meynard Swai na Meneja Mkuu wa kiwanda hicho, Andrew Kleruu, ambao wanadaiwa kukisababishia hasara ya Sh. bilioni 1.6

Akisoma uamuzi huo jana, Jaji Koroso alisema mahakama hiyo imepima kwa umakini maombi ya dhamana hiyo na imeona hayana msingi, kwa kuwa suala hilo linagusa maslahi ya wanachama wa KNCU.

Jaji huyo alisema katika hati za viapo vya dhamana zilizowasilishwa katika mahakama hiyo, ni dhahiri kwamba si halali kisheria kwa sababu zimewasilishwa zikiwa zimedurufiwa na si halisi.

Katika shtaka la kwanza, Kitau (70), Mwanga (70) na Temba (38) wanatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi kinyume cha kifungu cha 96 (1) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 ya Sheria iliyofanyiwa Marejeo Mwaka 2002.

Ilidaiwa katika tarehe tofauti, kati ya Julai, 2014 na Novemba, 2017 wakiwa katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro, walitumia vibaya mamlaka ya ofisi yao na bila kufuata sheria, kuilipa fidia Kampuni ya Ocean Link Shipping Services Ltd.

Shitaka la pili ambalo pia linawakabili washtakiwa wote watatu, ni la kuisababishia hasara KNCU, kinyume cha Aya ya 10 (1) cha Jedwali, na vifungu vya 57 na 60 (2) vya Sheria ya Uhujumu Uchumi, Sura ya 200 ya Sheria iliyofanyiwa Marejeo Mwaka 2002.

Swai (57) na Kleruu (56) kwa upande wao, kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka mawili ya matumizi mabaya ya ofisi, kinyume na kifungu cha 96 (1) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 iliyofanyiwa Marejeo Mwaka 2002 na la pili ni la kukisababishia hasara kiwanda hicho.

Yanga waistaafisha jezi ya Cannavaro

$
0
0
Kuelekea mechi maalum ya kumuaga aliyekuwa beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro, uongozi wa klabu hiyo umesema utaistaafisha jezi yake, huku wakitangaza kumpa heshima kubwa mchezaji huyo ambaye ataagwa rasmi Agosti 12 mwaka huu.

Cannavaro ataagwa mjini Morogoro ambapo kikosi cha Yanga kitashuka dimbani kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Mawenzi Market inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza.

Akizungumza na www.eatv.tv Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Hussein Nyika, amesema mbali na kumuaga Cannavaro, Yanga ina mipango ya kumpeleka shule kusomea ukocha.

“Hatua hiyo imekuja kutokana na heshima kubwa ambayo mchezaji huyo ameipa mafanikio makubwa klabu pamoja na timu ya taifa, Taifa Stars juu ya upambanaji wake ndani ya Uwanja”, amesema Nyika.

Cannavaro aliyekuwa akivaa jezi namba 23, jezi hiyo itastaafishwa na haitoweza kutumika tena kutokana na kumuwekea heshima mchezaji huyo ambaye amepewa wadhifa wa Umeneja wa timu kwa sasa.

Vilabu mbalimbali vimeshastafisha jezi za nyota wao kwa sababu tofauti tofauti. Manchester City walistaafisha jezi namba 23 ya Marc-Vivien Foe baada ya nyota huyo wa Cameroon kufariki uwanjani, Napoli pia walistaafisha jezi namba 10 ya Diego Maradona, Inter Milan jezi namba 4 ya Javier Zanet na vilabu vingine vingi.

Nadir Haroub amekuwa nahodha wa Yanga kwa muda mrefu tangu alipostaafu Shadrack Nsajigwa na kumwachia kitambaa ambacho na yeye anakiachia rasmi Agosti 12.

Mfanyakazi Aiba Ndege ya Abiria na Kuiangusha Seattle Marekani

$
0
0
Mfanyakazi aiba ndege ya abiria na kuiangusha Seattle Marekani
Mfanyakazi mmoja wa shirika la ndege ameiba ndege isiyo na abiria kutoka uwanja wa ndege wa Seattle na kuiangusha karibu na kisiwa kilicho karibu.

Mamlaka zinasema kuwa mwanamume huyo alipaa na ndege hiyo bila ruhusa siku ya Ijumaa usiku saa za Marekani na kusababisha uwanja wa ndege kufungwa.

Rubani 'mlevi' atolewa katika ndege ya Uingereza
Ndege mbili za jeshi za F15 ziliifuata ndege hito. Haijulikani ikiwa mwanamume huyo alinusurika baada ya ndege hiyo kuanguka.

Polisi mkuu kaunti ya Pierce alisema kuwa hicho sio kitendo cha kigaidi akiongeza kuwa mwanamume huyo ni wa eneo hilo mwenye miaka 29

Ndege isiyo na madirisha yazinduliwa
Waelekezi wa ndege walijaribu kumshawishi mwanamume huyo kutua kabla ndege hiyo kuanguka.

Ndege hiyo ilikuwa aiana ya Horizon Air Q400, kwa mujibu wa taarifa ya shirika, mshirika wa Horizon la Alaska Airlines. Ilianguka kusini mwa kisiwa cha Ketron karibu na kituo cha kijeshi.

Kwenye kanda moja ya video mwanamume huyo anaweza kusikika akiwa na wasi wasi kuhusu ni kiasi gani cha mafuta alikuwa nacho. Pia alisema kuwa angetua mwenyewe kwa sababu alikuwa anafahamu kupitia michezo ya kompiuta.

Rich Mavoko ni Moja ya Wasanii Waliosaini Mikataba ya Kinyonyaji:-BASATA

$
0
0
https://www.youtube.com/watch?v=zaCO6VINkKI
Katibu mtendaji wa Baraza la sanaa la taifa ,ameongea na waandishi wa habari na kuzungumzia swala la kushindwa kwa kesi ya Rich mavoko ambapo amethibitisha kuwa Rich Mavoko alikuwa amesainishwa mkataba wa kinyonyaji hivyo wao kama baraza kazi yao kubwa ni kwasaidia wasanii kama hao na kwa Rich mavoko ameshasaidiwa.

sio kwamba kila msanii anaekuja hapa anakuja kwa sababu anamatatizo na baraza hapana, rich mavoko alikuja baraza kuangalia maswala yake ya mktaba, kama vile ambavyo baraza lilitangaza kwamba  baraza linapokea wasanii wote wenye shida  na mikataba yao.

kwaio rich mavoko amelata mkataba wake ambao tumesema tutaupeleka kwenye ile kamati inayshughulikia mambo hayo ya mikataba ya wasanii ambayo ni ya kinyonyaji na rich mavoko ni mmoja wao.

Lakini pia mh mungerza amesema kuwa Rich mavoko hakuwahi kusajiriwa BASATA kwa kiindi chote alichokuwa akifanya kazi hivyo wamesajiri na kwa sasa anatambulika rasmi na baraza hilo.lakini pia ametoa wito kwa wasanii kutosaini mikataba bila kuielewa au kuwa na sheria ya kuwalinda.

lakini pia leo hiii amekuja na amesajiriwa na baraza , kumbe siku zote hizo alikuwa anafanya kazi lakini alikuwa hatambuliki na BASATA, kwaio amekuja na tumempa kibali cha kufanya kazi.Kwaio naomba wasanii wasiingie katika mikataba wasioielewa.

Mashindano ya Kufuzu Afcon kwa Vijana U17 Kuzinduliwa leo

$
0
0
Mashindano ya Kufuzu Afcon kwa Vijana U17 Kanda ya CECAFA Kuzinduliwa leo
Mashindano ya kufuzu Afcon kwa vijana U17 Kanda ya CECAFA (CECAFA U17 Afcon Zonal qualifier ) yanazinduliwa leo Jumamosi,  August 11, 2018 katika uwanja wa Taifa, Dar Es salaam.

Katika uzinduzi, mwenyeji Tanzania atacheza na Burundi katika uwanja wa Taifa, saa 11.00 jioni.

Mashindano hayo yatashirikisha timu za vijana U17 kutoka mataifa tisa katika ukanda wa CECAFA ambayo ni Burundi, Rwanda, Sudani, Kenya, Uganda, Ethiopia, Sudan Kusini, Djibouti na mwenyeji Tanzania (Serengeti boys).

Bingwa katika mashindano hayo, ataiwakilisha Kanda ya CECAFA katika fainali za mashindano ya Afcon U17, Africa, mwakani  ambayo mpaka sasa mwandaaji ni Tanzania.

Mashindano hayo Watanzania wenzangu ni muhimu sana, ni muhimu kwa maana ya kupata ushindi (Ubingwa) ili ushiriki mashindano kama hayo Africa.

Iwe, isiwe, tufanye tufanyavyo Tanzania tuwe mabingwa wa mashindano hayo ili tuwe na sifa na uhakika wa kushiriki mashindano ya U17 Africa.

Tusibweteke kusema eti kwakuwa sisi ndio waandaaji wa mashindano ya Africa, tutashiriki kwa mgongo wa uenyeji wetu, tutakuwa tunajidanganya, lolote linaweza likatokea, wakubwa hao wakaamua kutunyang'anya uandaaji, japo hatuombei, tutajuta na kuijutia kuikosa nafasi ya ushiriki kwa kukosa sifa kama hatutakuwa mabingwa wa CECAFA katika mashindano yanayozinduliwa leo katika ardhi ya nchi yetu, Uwanja wa Taifa, Dar Es salaam, AIBU.

Vijana wetu, Serengeti boys, nawaamini sana katika uwezo wa kucheza mpira, naamini hata wewe Mtanzania mwenzangu unaamini hivyo kwani, ni juzi tu wamekuja na kikombe katika mashindano yaliyofanyika nchini Rwanda.

Vijana wetu hawa, wanahitaji hamasa ya ushangiliaji kutoka kwa Watanzania, tuwatie moyo, tujitokeze kwa wingi mno, tushangilie muda wote, wajue tunataka matokeo chanya kwa kila mchezo ili tuwe mabingwa wa mashindano hayo, nina imani umati na ushangiliaji wetu wa nguvu, vijana watafanya kweli, tutakuwa mabingwa, nchi yetu itasifika na kuaminika kwa Soka ulimwenguni, akina SAMATA wataongezeka ULAYA.

TFF kwa kuona umuhimu wa mashindano hayo, wamefanya sehemu yao ili kurahisisha ushindi na upatikanaji wa ubingwa,  mosi, wamepambana na kuwezesha mashindano hayo yafanyike NYUMBANI,  lakini katika kumwezesha kila Mtanzania kuingia uwanjani, wameondoa kiingilio, ni bure kabisa, hata ndururu moja hutoi, ni wewe tu na miguu yako, utaingia uwanjani kupitia geti, mlango utakaoupenda maana, milango yote itakuwa wazi.

Watanzania wenzangu, Mungu atupe nini, ebu tuoneshe kwa vitendo uzalendo wetu, tujitokeze kwa wingi, tuingie uwanjani kwa maelfu,  tuwashangilie vijana, kwa nguvu na umoja wetu, ubingwa utapatikana tu, tutawapapasa kikamilifu, morari ya vijana ikipanda kila dakika kwa makelele ya ushangiliaji kutoka kwa Watanzania wenzao.

Halafu ndugu, Watanzania, Wazalendo wenzangu,  katika ukanda huu wa CECAFA na Africa, Tanzania tunasifika kwa kuwa na mapenzi na mpira wa miguu kwa namna ambavyo tumekuwa tukijitokeza kwa wingi kuzishangilia timu zetu, ebu tusiipoteze sifa hii, mashindano hayo ni makubwa mno, tujitokeze kwa wingi mno, tuwashangilie vijana, watutoe kimasomaso, kikombe kibaki, tuwe na uhakika wa kushiriki Afcon U17 Africa, mwakani.

Kwa Mtanzania, Mzalendo,  mwenye machungu na nchi yake, mwenye kuhitaji mafanikio, hasa katika soka, ni wakati muafaka sana wa kuonesha uzalendo wetu kupitia mashindano hayo, TUJITOKEZE kwa wingi, tuje tuwashangilie vijana wetu kwa nguvu moja ya pamoja, UBINGWA ni WETU.

Adui akikufuata nyumbani si rahisi kukupiga, akikupiga, wewe utakuwa tatizo, maana nyumbani kwako una kila kitu na ziada ya wapiganaji, ukiona Baba umezidiwa , muite mama mmchangie, mtandikeni kwa kila aina ya silaha, mikanda ya suruali ya baba, viatu vya mchongoko vya mama, mwiko wa kusongea ugali, hata wigi la nywele za mama ni silaha imara kabisa kutosha kumuadabisha adui aliyekuvamia nyumbani kwako.

Tayari adui yuko nyumbani kwetu, ebu tumchangie, tumpige kwa kila aina ya silaha tulizonazo ndani mwetu, na katika mashindano hayo, silaha pekee za ushindi ni KUJITOKEZA kwa wingi kwenda uwanjani na KUSHANGILIA, kwisha habari yao.

Shime Watanzania, tuoneshe kwa vitendo kwamba, tunaipenda NCHI yetu, tunaupenda MPIRA, tujitokeze kwa wingi, tuwashangilie SERENGETI BOYS.

First Eleven Mpya ya Yanga Hatari Tupu

$
0
0
First Eleven ya Yanga Hatari Tupu
Kocha wa Yanga,Mwinyi Zahera amewatamkia mashabiki wa klabu hiyo, habari nzuri ya kufurahisha ambayo imetokana na kazi pevu anayoifanya kambini mkoani Morogoro.

Mechi kubwa ya Yanga inayofuata ni Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Algers ya nchini Algeria itakayofanyika Agosti 19 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambayo ni ya kukamilisha ratiba kwani maji yameshazidi unga.

“Tunaendelea vizuri na maandalizi yetu ya kujiandaa na ligi kuu lakini pia mechi yetu Kombe la Shirikisho dhidi ya USM Alger ambayo tutacheza hivi karibuni. “Hali ya kikosi changu kusema kweli ni nzuri na ninavutiwa zaidi na hali ya kujituma uwanjani inayoonyeshwa kila siku na wachezaji wangu,” alisema Zahera ambaye ana uraia wa DR Congo na Ufaransa.

“Kuhusiana na kikosi cha kwanza kitakachokuwa kikianza katika michuano ya ligi kuu, tayari nimekipata lakini hakutakuwa na mchezaji ambaye atakuwa na uhakika wa namba kwa asilimia mia moja, mchezaji atakayekuwa akifanya vizuri mazoezini huyo ndiye atakayekuwa na nafasi kubwa ya kucheza,” alisema Zahera.

Licha ya kutotaja wazi majina ya kikosi hicho, lakini kulingana na mazoezi ambayo wamefanya inaonekana wazi kuwa golini atakaa kipa Klaus Kindoki, atasaidiana na walinzi Juma Abdul, Gadiel Michael, Andrew Vicent ‘Dante’, Kelvin Yondani viungo ni Papy Kabamba Tshishimbi, Rafael Daud, Feisal Salum ‘Fei Toto’, Deus Kaseke na Mrisho Ngassa huku mbele akisimama mshambuliaji mmoja ambaye ni Heritier Makambo.

Mbunge Hussein Bashe Amkaribisha Zitto CCM

$
0
0

Kaka na Ndg yangu @zittokabwe, karibu CCM Sometimes its easy kuleta mabadiliko ya Haki,demokrasia,na maendeleo from within CCM kuliko kutafuta Reforms from outside bcs there is ideological,Structural and Moral Crisis huko nje few true solders out there.

***Ameandika Hayo Mbunge @bashehussein Katika ukurasa wake wa twitter akimtaka Zitto Ajiunge CCM.

Zitto Kabwe Amjibu Hussein Bashe Kiaina "Wajibu Wangu Nikuiua CCM"

$
0
0

Wajibu nimejipa duniani ni ku destroy CCM ili kukata mnyororo wa underdevelopment nchini kwetu. Nikishindwa mimi watafanya kizazi kijacho Lakini CCM itatoka tu. Hakuna marefu yasiyo na ncha.

***Ameandika Hayo Zitto Kabwe katika ukurasa wake wa twitter.

Je Umepungukiwa Nguvu za Kiume Na Umetumia Dawa Nyingi Bila Mafanikio?

$
0
0


Hakika nawashukuru wote mliotumia hii dawa na kunipa pongezi nyingi Sana sasa offa imeisha maana nilitoa ya wiki 2 tu     na watu wengi walioitumia wamepona kabisa

Dawa hii ni dawa ya maajabu kabisa na huwezi kuamini ila wengi walioitumia wameiamini maana kati ya watu 89 walioitumia ndani ya wiki 2 watu76 wamepona kabisa na watu 9 hawajapona na watu 4 hawajatoa majibu!

Dawa hii ni dawa inayotibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na unapona kabisa, dawa hii ni dawa ya asili,(mitishamba) utaitumia mara moja tu na hautatumia dawa ya nguvu za kiume tena

Dawa hii inawafaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70, zaidi ya miaka hyo haitakusaidia ....watafiti wa dawa asilia pamoja na waganga  wameikubali pia dawa hii inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi

Ukitumia hii dawa unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha, inauwezo wa ajabu na tiba bora kabisa

 SOMA DALILI HIZI;  kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa 2 .kushindwa kurudia tendo la ndoa 3. kuwahi kufika kileleni

Dawa hii imesaidia watu wengi sana dawa hii imegunduliwa na dr kiboko mganga wa tiba za jadi kutoka mafia pia tunatibu matatizo mbalimbali kama mambo ya biashara, nyota, kesi, mapenzi, nk, pia tunahitaji WAKALA wa kupokea dawa zetu katka nchi ya KENYA, ZAMBIA, UGANDA, mikoani tunatuma kwanjia ya mabasi au fika ofisini kwangu  Mafia kisiwani

maelezo zaidi wasiliana na DR KIBOKO 0679923297

Barakah The Prince Ajibu Tuhuma Za Kuwa na Kiburi

$
0
0

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Barakah The Prince amefungukia tuhuma ambazo amekua akirushiw ili nyingi kuwa ana kiburi.

Mashabiki wengi wa muziki wa Bongo fleva wamekuwa wakimtuhumu Barakah The Prince kwa kudai kuwa ni mtu ambaye ana kiburi hasa kwa mashabiki wake.

Kwenye mahojiano na Bongo 5, Barakah amefunguka kuwa yeye sio mfuatiliaji mzuri wa comments za mashabiki wake kwenye mitandao ya kijamii na kuhusu madai ya kuwa ana kiburi ameeleza kuwa wanamkosea sana Mwenyezi Mungu kwani wanaamini vitu ambavyo hawaambiwa bila kuthibitisha.

Mimi sio msamaha sana wa comments za mashabiki maana naamini ukisikiliza maoni ya watu unaweza ukachanganyikiwa mwisho wa siku unatakiwa ufabye kitu ambacho unajua kitakuwa Kiba faida kwako kuliko kufuata matakwa ya watu.

Unajua watu wanaamini wanachokisikia kuna kundi Dogo la watu linalowaaminisha watu wengi kuwa mimi mjeuri jambo ambalo sio la kweli kwani mashabiki wangu wa kweli wanajua mimi siko hivyo kabisa”.
Viewing all 104698 articles
Browse latest View live


Latest Images